Nalia namlilia Mungu lwa huyu mpiga ramli Mwenyez mungu ana muona amemvisha mwanangu vitu kwa kutumia mtu nakamuonyesha aende kwake kawa muumini wa uko leo mtoto wangu nilomlea mwenyewe kasoma mpaka chuo kikuu kwa jitihada zangu kapata kaxi kaambiwa mimi ndo mchawi wake nimepewa umalkiia nalia mwanangu anateketea anachokifanya hakuna daaah wale hela wao aambiwa mm ndo nazichukua MUNGU UTATENDA HAKI
Samahani ndugu kwema, nauliza kama nikitaka kuchati na nabii Richard Musa nafanyaje maana no zake hazionyeshwi kamaunazo nisaidie nateseka san pamoja na familia yangu nisaidie kuniunganisha kwake
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive
Nabii naomba kule ninakokaa niamishwe niamie dar es saalam pia familia yangu inateseka uchumi nimbaya sana na nduguzangu hakuna aliefanikiwa nisaidie baba
Amina baba namimi napokea kupitia maombi haya mwanangu arudishwe kwajina ra yesu kristo wanazareti aminaaaaaaaaaaaaaa
Ee Yesu naomba unikumbuke katika hii Madhabahu nami nifunguliwe na watoto wangu na mume wangu kwa jina la Yesu
MUNGU ninakushukuru kwakuwa Wewe nimwema San 🇹🇿🇹🇿 ubarikiwe Sana mtumishi wamungu
Amen mtumishi 🙏
Baba mungu akutie nguvu nmebarikiwa sana naomb uniombee nimeachana na mume wng
Piga kazi ya mungu yesu akuongezee siku za kuishi kuhani mussa
Mmmh haya bwana!
Mungu akuongezee nguvu za kulitangaza jna lake🙏🙏🙏
Nashukuru mungu kumgusa huyu baba asaidie wa2b ubarikiwe san
Amen. Kuhani mchawi.
Mke wa nyoka.amezàa na nyoka.
Amen. Kaandaliwa kafundishwa na analipwa.
Umeona kama mimi, huyu anawalipa na ameona script hawashiki vizuri anamuongoza mwenyewe.
Nalia namlilia Mungu lwa huyu mpiga ramli Mwenyez mungu ana muona amemvisha mwanangu vitu kwa kutumia mtu nakamuonyesha aende kwake kawa muumini wa uko leo mtoto wangu nilomlea mwenyewe kasoma mpaka chuo kikuu kwa jitihada zangu kapata kaxi kaambiwa mimi ndo mchawi wake nimepewa umalkiia nalia mwanangu anateketea anachokifanya hakuna daaah wale hela wao aambiwa mm ndo nazichukua MUNGU UTATENDA HAKI
Wachawi mnajulikana,Moto unawawakiae
@@jescadeogratias5292 mmm labda na wewe mchawi
Nabii naomba uombee wazazi wangu wafunguke kiroho. Amina
Amen
Amina baba
Nakukubali Sana Baba Angu Kuhani Mussa Richard Mwasha.... Nafuatilia nikiwa Ethiopia
Samahani ndugu kwema, nauliza kama nikitaka kuchati na nabii Richard Musa nafanyaje maana no zake hazionyeshwi kamaunazo nisaidie nateseka san pamoja na familia yangu nisaidie kuniunganisha kwake
Dah jamani watu wakimbilie kwa Yesu. Baba Mungu akubariki
Yesu tusaidie kufumua mabaya yote
Amina
Yesu wa Ngomeni ni. mafuriko hizi nii levo zingine ee Mwenyezi Mungu tunaomba tusaidie
Mmm
Naomba na Mimi nipew uponyaj was kuwaxha mwli mzima😢😮😢😮😢😮😢😮😮😢😢😮😢
Mmmh
😢😢😢😢😢😢nipewe uponaji nami pia mitashukuru maana nateseka
Eeeeeeh Bwana Yesu nisaidie duniani machafuko
Na mm nimepona amen
Amen 🙏🙏🙏 mungu akubariki mutumishi
Ubarikiwe sana Baba Kuhani wa Mungu. Hallelujah
Naomba namba ya mchungaji huyo
Najiunganisha nipate kaz nzurii
Mmmmmmmh
Naomba kuwa huru pia😢😢😢Eeeh mungu
Mungu tusaidie ss waja wako maana shetani yupokazn
Kupitia madhabahu hii Yesu nisaidie dhid ya rafik zangu kuwa adui zangu
Amina 🙏
Mtoto wa nne nmemzalisha mm kama nurse wa zamu kipindi hicho eee mungu tenda miujiza
Yani hawa wachawi ni wachafu
Sina mashaka sana na mtumishi wa Mungu huyu lakini najiuliza mbona mda wote anazungumzia uchawi kanisani na sio watu kuomba sana na kuacha njia mbaya?
Hii ni clip tu.enda Kwa live yake utaona Ibada yote
Shida mnasikiliza vipande vidogo
Wewe umerongw uwezi elewa 😏😏
Brother unachoongea Mimi Ndio najiuliza kila siku
Nimekuelewa mno wachache watakao kuelewa, kwanza mchawi mwenyewe hata sijamuelewa, macho makavu kama Katengenezwa vile
Wafichue baba
Mnazinguwaaa
Ya Ile ndege ya mwanza kumbe wao kaiteka,,,, eeeh Mungu tusaidie
Awashiwe moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wachawi wenyewe wamepararaaa waa
Ee Mungu wangu
Mbon unamlisha maneno mdomoni
Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba namba yako
Nime funguwa🔥🔥🔥🔥🔥
Asant yesu
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive
Siku moja nitafika hapo ngome,najua nahitaji sana huduma yako nami niwe huru
Ameen
Mungu funguwa watu wako
Àmeeeeeen
👏👏👏
Kuhani naomba number yako
Amen🙏🙏🙏
Amen 🙏 🙏 🙏
Asante baba
Fichua kila kona bwana yesu
Bwana uwajua walio wake
Natamani kipata namba ya office
🔥🔥🔥🔥🔥
Najiungamanisha nipone magonjwa niliyonayo
Asante yesu
Najiunganisha madeni yaishe
Naomba mungu namimi nipone kupitia kuhani musa
R.i.p Joseph
Unapatikana wap mtumishi
FUMUA KILA MAHALI
Yesu Kristo alie hai WA NGOMENI ni motoooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
amina baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Dah nataman sana kufka uko kwamtumshi wamungu shida zangu zote zinaweza kuisha
Hakika jitahidi sana ufike hats asipokunyanyua utspokea. amini tu utamuon Mungu kwa viwango vingine na ukifika hutamani kutoka,
Mmm shida tuu ndizo zinawapeleka Kusali
Aludifwe
👏👏👏👏👏👏👏🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Naomba mtu anaejua namba za Nabii richard Musa anisaidie jamani nateseka sana
Amen
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
Kwakweli
Amen
Nabii naomba kule ninakokaa niamishwe niamie dar es saalam pia familia yangu inateseka uchumi nimbaya sana na nduguzangu hakuna aliefanikiwa nisaidie baba
amina
Amen Amen Amen Amen Amen 🙏
Ameeeen