NIMELAZIMISHWA KUMTOA KAFARA MUME WANGU NA SASA YUPO ICU NA NIMEZAA NA NYOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 98

  • @daynadiny3791
    @daynadiny3791 Год назад +4

    Amina baba namimi napokea kupitia maombi haya mwanangu arudishwe kwajina ra yesu kristo wanazareti aminaaaaaaaaaaaaaa

  • @HappinessAhia-ey1lq
    @HappinessAhia-ey1lq 2 месяца назад +1

    Ee Yesu naomba unikumbuke katika hii Madhabahu nami nifunguliwe na watoto wangu na mume wangu kwa jina la Yesu

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 Год назад +3

    MUNGU ninakushukuru kwakuwa Wewe nimwema San 🇹🇿🇹🇿 ubarikiwe Sana mtumishi wamungu

  • @LauSeven-vj1tf
    @LauSeven-vj1tf 4 месяца назад +1

    Amen mtumishi 🙏

  • @JoyceGerson
    @JoyceGerson 2 месяца назад

    Baba mungu akutie nguvu nmebarikiwa sana naomb uniombee nimeachana na mume wng

  • @GwamakaMwansasu
    @GwamakaMwansasu Год назад +1

    Piga kazi ya mungu yesu akuongezee siku za kuishi kuhani mussa

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 Год назад +1

    Mmmh haya bwana!

  • @InviolathaLinusi
    @InviolathaLinusi 3 месяца назад

    Mungu akuongezee nguvu za kulitangaza jna lake🙏🙏🙏

  • @sharifayussuf-dx7vn
    @sharifayussuf-dx7vn 8 месяцев назад

    Nashukuru mungu kumgusa huyu baba asaidie wa2b ubarikiwe san

  • @rofinkitali3765
    @rofinkitali3765 Год назад +2

    Amen. Kuhani mchawi.
    Mke wa nyoka.amezàa na nyoka.
    Amen. Kaandaliwa kafundishwa na analipwa.

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 Год назад

      Umeona kama mimi, huyu anawalipa na ameona script hawashiki vizuri anamuongoza mwenyewe.

    • @sabinamatutu8382
      @sabinamatutu8382 Год назад +1

      Nalia namlilia Mungu lwa huyu mpiga ramli Mwenyez mungu ana muona amemvisha mwanangu vitu kwa kutumia mtu nakamuonyesha aende kwake kawa muumini wa uko leo mtoto wangu nilomlea mwenyewe kasoma mpaka chuo kikuu kwa jitihada zangu kapata kaxi kaambiwa mimi ndo mchawi wake nimepewa umalkiia nalia mwanangu anateketea anachokifanya hakuna daaah wale hela wao aambiwa mm ndo nazichukua MUNGU UTATENDA HAKI

    • @jescadeogratias5292
      @jescadeogratias5292 Год назад

      Wachawi mnajulikana,Moto unawawakiae

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад

      ​@@jescadeogratias5292 mmm labda na wewe mchawi

  • @erickaloyce2624
    @erickaloyce2624 Год назад

    Nabii naomba uombee wazazi wangu wafunguke kiroho. Amina

  • @ChekwemoiVanis
    @ChekwemoiVanis Год назад +1

    Amen

  • @ZainabuGodon
    @ZainabuGodon 2 месяца назад

    Amina baba

  • @Rose-ly1je
    @Rose-ly1je Год назад

    Nakukubali Sana Baba Angu Kuhani Mussa Richard Mwasha.... Nafuatilia nikiwa Ethiopia

    • @IdaDeogratias-n6c
      @IdaDeogratias-n6c Год назад

      Samahani ndugu kwema, nauliza kama nikitaka kuchati na nabii Richard Musa nafanyaje maana no zake hazionyeshwi kamaunazo nisaidie nateseka san pamoja na familia yangu nisaidie kuniunganisha kwake

  • @janethkinabo3486
    @janethkinabo3486 Год назад +1

    Dah jamani watu wakimbilie kwa Yesu. Baba Mungu akubariki

  • @zubedamwesiga
    @zubedamwesiga 2 месяца назад

    Yesu tusaidie kufumua mabaya yote

  • @christopherkasile6307
    @christopherkasile6307 10 месяцев назад

    Amina

  • @allykachol7760
    @allykachol7760 Год назад

    Yesu wa Ngomeni ni. mafuriko hizi nii levo zingine ee Mwenyezi Mungu tunaomba tusaidie

  • @EmmyOlomi
    @EmmyOlomi 7 дней назад

    Naomba na Mimi nipew uponyaj was kuwaxha mwli mzima😢😮😢😮😢😮😢😮😮😢😢😮😢

  • @mariammhina9517
    @mariammhina9517 Год назад +1

    Mmmh

  • @Nancy588
    @Nancy588 8 месяцев назад

    😢😢😢😢😢😢nipewe uponaji nami pia mitashukuru maana nateseka

  • @chakimtaratibu9255
    @chakimtaratibu9255 Год назад +1

    Eeeeeeh Bwana Yesu nisaidie duniani machafuko

  • @fabianontahondi
    @fabianontahondi Год назад

    Na mm nimepona amen

  • @sheilaneema
    @sheilaneema Год назад

    Amen 🙏🙏🙏 mungu akubariki mutumishi

  • @vickystellah3194
    @vickystellah3194 Год назад

    Ubarikiwe sana Baba Kuhani wa Mungu. Hallelujah

  • @salomeedson
    @salomeedson Год назад

    Najiunganisha nipate kaz nzurii

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 Год назад +2

    Mmmmmmmh

  • @Nancy588
    @Nancy588 8 месяцев назад

    Naomba kuwa huru pia😢😢😢Eeeh mungu

  • @HappinessMilinde
    @HappinessMilinde 6 месяцев назад

    Mungu tusaidie ss waja wako maana shetani yupokazn

  • @elsonjonh3075
    @elsonjonh3075 Год назад

    Kupitia madhabahu hii Yesu nisaidie dhid ya rafik zangu kuwa adui zangu

  • @EmmyMaimuna
    @EmmyMaimuna Год назад

    Amina 🙏

  • @beatusanselmo2899
    @beatusanselmo2899 Год назад

    Mtoto wa nne nmemzalisha mm kama nurse wa zamu kipindi hicho eee mungu tenda miujiza

  • @MagdalenaMatiko
    @MagdalenaMatiko 4 месяца назад

    Yani hawa wachawi ni wachafu

  • @laurianogerold5129
    @laurianogerold5129 Год назад +2

    Sina mashaka sana na mtumishi wa Mungu huyu lakini najiuliza mbona mda wote anazungumzia uchawi kanisani na sio watu kuomba sana na kuacha njia mbaya?

    • @berniceonegbmusic2324
      @berniceonegbmusic2324 Год назад +1

      Hii ni clip tu.enda Kwa live yake utaona Ibada yote

    • @joycerobison854
      @joycerobison854 Год назад

      Shida mnasikiliza vipande vidogo

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Год назад

      Wewe umerongw uwezi elewa 😏😏

    • @braybray1514
      @braybray1514 Год назад +1

      Brother unachoongea Mimi Ndio najiuliza kila siku

    • @rahabumwakajoka6721
      @rahabumwakajoka6721 Год назад +2

      Nimekuelewa mno wachache watakao kuelewa, kwanza mchawi mwenyewe hata sijamuelewa, macho makavu kama Katengenezwa vile

  • @bernadetachaula9047
    @bernadetachaula9047 Год назад +2

    Wafichue baba

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Год назад

    Mnazinguwaaa

  • @jecinterchemutai2338
    @jecinterchemutai2338 Год назад

    Ya Ile ndege ya mwanza kumbe wao kaiteka,,,, eeeh Mungu tusaidie

  • @edsonkigodi8223
    @edsonkigodi8223 Год назад

    Awashiwe moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tyrawanga563
    @tyrawanga563 Год назад

    Wachawi wenyewe wamepararaaa waa

  • @nevelinenafoula
    @nevelinenafoula Год назад

    Ee Mungu wangu

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Год назад

    Mbon unamlisha maneno mdomoni

  • @jessedaud8629
    @jessedaud8629 Год назад

    Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba namba yako

  • @juniorbrownclassic_officie3907

    Nime funguwa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @rehemachipwaza5907
    @rehemachipwaza5907 Год назад

    Asant yesu

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 11 месяцев назад

    I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 Год назад

    Siku moja nitafika hapo ngome,najua nahitaji sana huduma yako nami niwe huru

  • @saumueunice1716
    @saumueunice1716 Год назад

    Ameen

  • @marieayinkam4521
    @marieayinkam4521 Год назад

    Mungu funguwa watu wako

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад

    Àmeeeeeen

  • @magicalproducts8874
    @magicalproducts8874 Год назад

    👏👏👏

  • @tyrawanga563
    @tyrawanga563 Год назад

    Kuhani naomba number yako

  • @faithnjeri3531
    @faithnjeri3531 Год назад

    Amen🙏🙏🙏

  • @faridababu2509
    @faridababu2509 Год назад

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @roidamulamata1224
    @roidamulamata1224 Год назад

    Asante baba

  • @matridamganga1683
    @matridamganga1683 Год назад

    Natamani kipata namba ya office

  • @juniorbrownclassic_officie3907

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @matridamganga1683
    @matridamganga1683 Год назад

    Najiungamanisha nipone magonjwa niliyonayo

  • @fatmaomary3981
    @fatmaomary3981 Год назад

    Asante yesu

  • @judithleonis824
    @judithleonis824 Год назад

    R.i.p Joseph

  • @agnestweve7218
    @agnestweve7218 Год назад

    Unapatikana wap mtumishi

  • @KYFjamii
    @KYFjamii Год назад

    FUMUA KILA MAHALI

  • @augustinemsengi5867
    @augustinemsengi5867 Год назад

    Yesu Kristo alie hai WA NGOMENI ni motoooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @irandukundairatanzana
    @irandukundairatanzana Год назад +1

    amina baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ivany6538
    @ivany6538 Год назад

    Dah nataman sana kufka uko kwamtumshi wamungu shida zangu zote zinaweza kuisha

    • @allykachol7760
      @allykachol7760 Год назад

      Hakika jitahidi sana ufike hats asipokunyanyua utspokea. amini tu utamuon Mungu kwa viwango vingine na ukifika hutamani kutoka,

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад

      Mmm shida tuu ndizo zinawapeleka Kusali

  • @kingbiggy870
    @kingbiggy870 Год назад

    Aludifwe

  • @fatmaomary3981
    @fatmaomary3981 Год назад

    👏👏👏👏👏👏👏🙏🏻🙏🏻🙏🏻

    • @IdaDeogratias-n6c
      @IdaDeogratias-n6c Год назад

      Naomba mtu anaejua namba za Nabii richard Musa anisaidie jamani nateseka sana

  • @TheresiaWilson-k4x
    @TheresiaWilson-k4x Год назад

    Amen

  • @elenarozzy3341
    @elenarozzy3341 Год назад

    Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @ashuramachinja
    @ashuramachinja 2 месяца назад

    Kwakweli

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад

    Amen

  • @IdaDeogratias-n6c
    @IdaDeogratias-n6c Год назад

    Nabii naomba kule ninakokaa niamishwe niamie dar es saalam pia familia yangu inateseka uchumi nimbaya sana na nduguzangu hakuna aliefanikiwa nisaidie baba

  • @Johnsonnyaombo
    @Johnsonnyaombo Год назад

    amina

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 11 месяцев назад

    Amen Amen Amen Amen Amen 🙏

  • @jamilabigrimana3028
    @jamilabigrimana3028 Год назад

    Ameeeen