NIMELAZIMISHWA KUMTOA KAFARA MUME WANGU NA SASA YUPO ICU NA NIMEZAA NA NYOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 101

  • @HappinessAhia-ey1lq
    @HappinessAhia-ey1lq 7 месяцев назад +1

    Ee Yesu naomba unikumbuke katika hii Madhabahu nami nifunguliwe na watoto wangu na mume wangu kwa jina la Yesu

  • @daynadiny3791
    @daynadiny3791 2 года назад +4

    Amina baba namimi napokea kupitia maombi haya mwanangu arudishwe kwajina ra yesu kristo wanazareti aminaaaaaaaaaaaaaa

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 Год назад +3

    MUNGU ninakushukuru kwakuwa Wewe nimwema San 🇹🇿🇹🇿 ubarikiwe Sana mtumishi wamungu

  • @LauSeven-vj1tf
    @LauSeven-vj1tf 9 месяцев назад +1

    Amen mtumishi 🙏

  • @GwamakaMwansasu
    @GwamakaMwansasu Год назад +1

    Piga kazi ya mungu yesu akuongezee siku za kuishi kuhani mussa

  • @sharifayussuf-dx7vn
    @sharifayussuf-dx7vn Год назад

    Nashukuru mungu kumgusa huyu baba asaidie wa2b ubarikiwe san

  • @rofinkitali3765
    @rofinkitali3765 2 года назад +2

    Amen. Kuhani mchawi.
    Mke wa nyoka.amezàa na nyoka.
    Amen. Kaandaliwa kafundishwa na analipwa.

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 2 года назад

      Umeona kama mimi, huyu anawalipa na ameona script hawashiki vizuri anamuongoza mwenyewe.

    • @sabinamatutu8382
      @sabinamatutu8382 2 года назад +1

      Nalia namlilia Mungu lwa huyu mpiga ramli Mwenyez mungu ana muona amemvisha mwanangu vitu kwa kutumia mtu nakamuonyesha aende kwake kawa muumini wa uko leo mtoto wangu nilomlea mwenyewe kasoma mpaka chuo kikuu kwa jitihada zangu kapata kaxi kaambiwa mimi ndo mchawi wake nimepewa umalkiia nalia mwanangu anateketea anachokifanya hakuna daaah wale hela wao aambiwa mm ndo nazichukua MUNGU UTATENDA HAKI

    • @jescadeogratias5292
      @jescadeogratias5292 2 года назад

      Wachawi mnajulikana,Moto unawawakiae

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      ​@@jescadeogratias5292 mmm labda na wewe mchawi

  • @erickaloyce2624
    @erickaloyce2624 2 года назад

    Nabii naomba uombee wazazi wangu wafunguke kiroho. Amina

  • @InviolathaLinusi
    @InviolathaLinusi 7 месяцев назад +1

    Mungu akuongezee nguvu za kulitangaza jna lake🙏🙏🙏

  • @JoyceGerson
    @JoyceGerson 7 месяцев назад

    Baba mungu akutie nguvu nmebarikiwa sana naomb uniombee nimeachana na mume wng

  • @Rose-ly1je
    @Rose-ly1je Год назад

    Nakukubali Sana Baba Angu Kuhani Mussa Richard Mwasha.... Nafuatilia nikiwa Ethiopia

    • @IdaDeogratias-n6c
      @IdaDeogratias-n6c Год назад

      Samahani ndugu kwema, nauliza kama nikitaka kuchati na nabii Richard Musa nafanyaje maana no zake hazionyeshwi kamaunazo nisaidie nateseka san pamoja na familia yangu nisaidie kuniunganisha kwake

  • @ZulfaIsdol
    @ZulfaIsdol Месяц назад

    Munguu akubariki

  • @irandukundairatanzana
    @irandukundairatanzana 2 года назад +1

    amina baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Bintimrembo-y1v
    @Bintimrembo-y1v 2 года назад +1

    Mmmh haya bwana!

  • @EmmyMaimuna
    @EmmyMaimuna Год назад

    Amina 🙏

  • @IdaDeogratias-n6c
    @IdaDeogratias-n6c Год назад

    Nabii naomba kule ninakokaa niamishwe niamie dar es saalam pia familia yangu inateseka uchumi nimbaya sana na nduguzangu hakuna aliefanikiwa nisaidie baba

  • @allykachol7760
    @allykachol7760 2 года назад

    Yesu wa Ngomeni ni. mafuriko hizi nii levo zingine ee Mwenyezi Mungu tunaomba tusaidie

  • @janethkinabo3486
    @janethkinabo3486 2 года назад +1

    Dah jamani watu wakimbilie kwa Yesu. Baba Mungu akubariki

  • @ZainabuGodon
    @ZainabuGodon 7 месяцев назад

    Amina baba

  • @fabianontahondi
    @fabianontahondi Год назад

    Na mm nimepona amen

  • @zubedamwesiga
    @zubedamwesiga 7 месяцев назад

    Yesu tusaidie kufumua mabaya yote

  • @vickystellah3194
    @vickystellah3194 2 года назад

    Ubarikiwe sana Baba Kuhani wa Mungu. Hallelujah

  • @christopherkasile6307
    @christopherkasile6307 Год назад

    Amina

  • @HappinessMilinde
    @HappinessMilinde 10 месяцев назад

    Mungu tusaidie ss waja wako maana shetani yupokazn

  • @sheilaneema
    @sheilaneema 2 года назад

    Amen 🙏🙏🙏 mungu akubariki mutumishi

  • @Johnsonnyaombo
    @Johnsonnyaombo Год назад

    amina

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 Год назад

    Amen Amen Amen Amen Amen 🙏

  • @mariammhina9517
    @mariammhina9517 2 года назад +1

    Mmmh

  • @EmmyOlomi
    @EmmyOlomi 4 месяца назад

    Naomba na Mimi nipew uponyaj was kuwaxha mwli mzima😢😮😢😮😢😮😢😮😮😢😢😮😢

  • @salomeedson
    @salomeedson 2 года назад

    Najiunganisha nipate kaz nzurii

  • @chakimtaratibu9255
    @chakimtaratibu9255 2 года назад +1

    Eeeeeeh Bwana Yesu nisaidie duniani machafuko

  • @tyrawanga563
    @tyrawanga563 Год назад

    Wachawi wenyewe wamepararaaa waa

  • @Nancy588
    @Nancy588 Год назад

    😢😢😢😢😢😢nipewe uponaji nami pia mitashukuru maana nateseka

  • @elsonjonh3075
    @elsonjonh3075 2 года назад

    Kupitia madhabahu hii Yesu nisaidie dhid ya rafik zangu kuwa adui zangu

  • @Nancy588
    @Nancy588 Год назад

    Naomba kuwa huru pia😢😢😢Eeeh mungu

  • @laurianogerold5129
    @laurianogerold5129 2 года назад +2

    Sina mashaka sana na mtumishi wa Mungu huyu lakini najiuliza mbona mda wote anazungumzia uchawi kanisani na sio watu kuomba sana na kuacha njia mbaya?

    • @berniceonegbmusic2324
      @berniceonegbmusic2324 2 года назад +1

      Hii ni clip tu.enda Kwa live yake utaona Ibada yote

    • @joycerobison854
      @joycerobison854 2 года назад

      Shida mnasikiliza vipande vidogo

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 2 года назад

      Wewe umerongw uwezi elewa 😏😏

    • @braybray1514
      @braybray1514 2 года назад +1

      Brother unachoongea Mimi Ndio najiuliza kila siku

    • @rahabumwakajoka6721
      @rahabumwakajoka6721 2 года назад +2

      Nimekuelewa mno wachache watakao kuelewa, kwanza mchawi mwenyewe hata sijamuelewa, macho makavu kama Katengenezwa vile

  • @edsonkigodi8223
    @edsonkigodi8223 Год назад

    Awashiwe moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @faithnjeri3531
    @faithnjeri3531 Год назад

    Amen🙏🙏🙏

  • @jecinterchemutai2338
    @jecinterchemutai2338 2 года назад

    Ya Ile ndege ya mwanza kumbe wao kaiteka,,,, eeeh Mungu tusaidie

  • @maryd1538
    @maryd1538 2 года назад

    Amen

  • @beatusanselmo2899
    @beatusanselmo2899 2 года назад

    Mtoto wa nne nmemzalisha mm kama nurse wa zamu kipindi hicho eee mungu tenda miujiza

  • @AnointAmoss
    @AnointAmoss 2 месяца назад

    Duuuuh hii ni too much aisee

  • @MagdalenaMatiko
    @MagdalenaMatiko 8 месяцев назад

    Yani hawa wachawi ni wachafu

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 года назад +2

    Mmmmmmmh

  • @nevelinenafoula
    @nevelinenafoula Год назад

    Ee Mungu wangu

  • @bernadetachaula9047
    @bernadetachaula9047 2 года назад +2

    Wafichue baba

  • @jessedaud8629
    @jessedaud8629 2 года назад

    Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba namba yako

  • @rehemachipwaza5907
    @rehemachipwaza5907 2 года назад

    Asant yesu

  • @saumueunice1716
    @saumueunice1716 2 года назад

    Ameen

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Год назад

    Mnazinguwaaa

  • @judithleonis824
    @judithleonis824 2 года назад

    R.i.p Joseph

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Год назад

    Mbon unamlisha maneno mdomoni

  • @matridamganga1683
    @matridamganga1683 2 года назад

    Natamani kipata namba ya office

  • @maryd1538
    @maryd1538 2 года назад

    Àmeeeeeen

  • @elenarozzy3341
    @elenarozzy3341 2 года назад

    Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @ashuramachinja
    @ashuramachinja 7 месяцев назад

    Kwakweli

  • @jamilabigrimana3028
    @jamilabigrimana3028 2 года назад

    Ameeeen

  • @roidamulamata1224
    @roidamulamata1224 2 года назад

    Asante baba

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 2 года назад

    Siku moja nitafika hapo ngome,najua nahitaji sana huduma yako nami niwe huru

  • @marieayinkam4521
    @marieayinkam4521 2 года назад

    Mungu funguwa watu wako

  • @magicalproducts8874
    @magicalproducts8874 2 года назад

    👏👏👏

  • @juniorbrownclassic_officie3907
    @juniorbrownclassic_officie3907 2 года назад

    Nime funguwa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tyrawanga563
    @tyrawanga563 Год назад

    Kuhani naomba number yako

  • @matridamganga1683
    @matridamganga1683 2 года назад

    Najiungamanisha nipone magonjwa niliyonayo

  • @fatmaomary3981
    @fatmaomary3981 2 года назад

    Asante yesu

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 Год назад

    I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive

  • @agnestweve7218
    @agnestweve7218 2 года назад

    Unapatikana wap mtumishi

  • @KYFjamii
    @KYFjamii 2 года назад

    FUMUA KILA MAHALI

  • @juniorbrownclassic_officie3907
    @juniorbrownclassic_officie3907 2 года назад

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @augustinemsengi5867
    @augustinemsengi5867 2 года назад

    Yesu Kristo alie hai WA NGOMENI ni motoooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ivany6538
    @ivany6538 2 года назад

    Dah nataman sana kufka uko kwamtumshi wamungu shida zangu zote zinaweza kuisha

    • @allykachol7760
      @allykachol7760 2 года назад

      Hakika jitahidi sana ufike hats asipokunyanyua utspokea. amini tu utamuon Mungu kwa viwango vingine na ukifika hutamani kutoka,

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Mmm shida tuu ndizo zinawapeleka Kusali

  • @kingbiggy870
    @kingbiggy870 2 года назад

    Aludifwe

  • @fatmaomary3981
    @fatmaomary3981 2 года назад

    👏👏👏👏👏👏👏🙏🏻🙏🏻🙏🏻

    • @IdaDeogratias-n6c
      @IdaDeogratias-n6c Год назад

      Naomba mtu anaejua namba za Nabii richard Musa anisaidie jamani nateseka sana

  • @JohnMayenga-w2e
    @JohnMayenga-w2e 3 месяца назад

    amina

  • @TheresiaWilson-k4x
    @TheresiaWilson-k4x Год назад

    Amen

  • @faridababu2509
    @faridababu2509 2 года назад

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @ChekwemoiVanis
    @ChekwemoiVanis Год назад +1

    Amen