Nalia namlilia Mungu lwa huyu mpiga ramli Mwenyez mungu ana muona amemvisha mwanangu vitu kwa kutumia mtu nakamuonyesha aende kwake kawa muumini wa uko leo mtoto wangu nilomlea mwenyewe kasoma mpaka chuo kikuu kwa jitihada zangu kapata kaxi kaambiwa mimi ndo mchawi wake nimepewa umalkiia nalia mwanangu anateketea anachokifanya hakuna daaah wale hela wao aambiwa mm ndo nazichukua MUNGU UTATENDA HAKI
Samahani ndugu kwema, nauliza kama nikitaka kuchati na nabii Richard Musa nafanyaje maana no zake hazionyeshwi kamaunazo nisaidie nateseka san pamoja na familia yangu nisaidie kuniunganisha kwake
Nabii naomba kule ninakokaa niamishwe niamie dar es saalam pia familia yangu inateseka uchumi nimbaya sana na nduguzangu hakuna aliefanikiwa nisaidie baba
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive
Ee Yesu naomba unikumbuke katika hii Madhabahu nami nifunguliwe na watoto wangu na mume wangu kwa jina la Yesu
Amina baba namimi napokea kupitia maombi haya mwanangu arudishwe kwajina ra yesu kristo wanazareti aminaaaaaaaaaaaaaa
MUNGU ninakushukuru kwakuwa Wewe nimwema San 🇹🇿🇹🇿 ubarikiwe Sana mtumishi wamungu
Amen mtumishi 🙏
Piga kazi ya mungu yesu akuongezee siku za kuishi kuhani mussa
Nashukuru mungu kumgusa huyu baba asaidie wa2b ubarikiwe san
Amen. Kuhani mchawi.
Mke wa nyoka.amezàa na nyoka.
Amen. Kaandaliwa kafundishwa na analipwa.
Umeona kama mimi, huyu anawalipa na ameona script hawashiki vizuri anamuongoza mwenyewe.
Nalia namlilia Mungu lwa huyu mpiga ramli Mwenyez mungu ana muona amemvisha mwanangu vitu kwa kutumia mtu nakamuonyesha aende kwake kawa muumini wa uko leo mtoto wangu nilomlea mwenyewe kasoma mpaka chuo kikuu kwa jitihada zangu kapata kaxi kaambiwa mimi ndo mchawi wake nimepewa umalkiia nalia mwanangu anateketea anachokifanya hakuna daaah wale hela wao aambiwa mm ndo nazichukua MUNGU UTATENDA HAKI
Wachawi mnajulikana,Moto unawawakiae
@@jescadeogratias5292 mmm labda na wewe mchawi
Nabii naomba uombee wazazi wangu wafunguke kiroho. Amina
Mungu akuongezee nguvu za kulitangaza jna lake🙏🙏🙏
Baba mungu akutie nguvu nmebarikiwa sana naomb uniombee nimeachana na mume wng
Nakukubali Sana Baba Angu Kuhani Mussa Richard Mwasha.... Nafuatilia nikiwa Ethiopia
Samahani ndugu kwema, nauliza kama nikitaka kuchati na nabii Richard Musa nafanyaje maana no zake hazionyeshwi kamaunazo nisaidie nateseka san pamoja na familia yangu nisaidie kuniunganisha kwake
Munguu akubariki
amina baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mmmh haya bwana!
Amina 🙏
Nabii naomba kule ninakokaa niamishwe niamie dar es saalam pia familia yangu inateseka uchumi nimbaya sana na nduguzangu hakuna aliefanikiwa nisaidie baba
Yesu wa Ngomeni ni. mafuriko hizi nii levo zingine ee Mwenyezi Mungu tunaomba tusaidie
Mmm
Dah jamani watu wakimbilie kwa Yesu. Baba Mungu akubariki
Amina baba
Na mm nimepona amen
Yesu tusaidie kufumua mabaya yote
Ubarikiwe sana Baba Kuhani wa Mungu. Hallelujah
Naomba namba ya mchungaji huyo
Amina
Mungu tusaidie ss waja wako maana shetani yupokazn
Amen 🙏🙏🙏 mungu akubariki mutumishi
amina
Amen Amen Amen Amen Amen 🙏
Mmmh
Naomba na Mimi nipew uponyaj was kuwaxha mwli mzima😢😮😢😮😢😮😢😮😮😢😢😮😢
Najiunganisha nipate kaz nzurii
Eeeeeeh Bwana Yesu nisaidie duniani machafuko
Wachawi wenyewe wamepararaaa waa
😢😢😢😢😢😢nipewe uponaji nami pia mitashukuru maana nateseka
Kupitia madhabahu hii Yesu nisaidie dhid ya rafik zangu kuwa adui zangu
Naomba kuwa huru pia😢😢😢Eeeh mungu
Sina mashaka sana na mtumishi wa Mungu huyu lakini najiuliza mbona mda wote anazungumzia uchawi kanisani na sio watu kuomba sana na kuacha njia mbaya?
Hii ni clip tu.enda Kwa live yake utaona Ibada yote
Shida mnasikiliza vipande vidogo
Wewe umerongw uwezi elewa 😏😏
Brother unachoongea Mimi Ndio najiuliza kila siku
Nimekuelewa mno wachache watakao kuelewa, kwanza mchawi mwenyewe hata sijamuelewa, macho makavu kama Katengenezwa vile
Awashiwe moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amen🙏🙏🙏
Ya Ile ndege ya mwanza kumbe wao kaiteka,,,, eeeh Mungu tusaidie
Amen
Mtoto wa nne nmemzalisha mm kama nurse wa zamu kipindi hicho eee mungu tenda miujiza
Duuuuh hii ni too much aisee
Yani hawa wachawi ni wachafu
Mmmmmmmh
Ee Mungu wangu
Wafichue baba
Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba namba yako
Asant yesu
Ameen
Mnazinguwaaa
R.i.p Joseph
Mbon unamlisha maneno mdomoni
Natamani kipata namba ya office
Àmeeeeeen
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
Kwakweli
Ameeeen
Asante baba
Fichua kila kona bwana yesu
Bwana uwajua walio wake
Siku moja nitafika hapo ngome,najua nahitaji sana huduma yako nami niwe huru
Mungu funguwa watu wako
👏👏👏
Nime funguwa🔥🔥🔥🔥🔥
Kuhani naomba number yako
Najiungamanisha nipone magonjwa niliyonayo
Asante yesu
Najiunganisha madeni yaishe
Naomba mungu namimi nipone kupitia kuhani musa
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive
Unapatikana wap mtumishi
FUMUA KILA MAHALI
🔥🔥🔥🔥🔥
Yesu Kristo alie hai WA NGOMENI ni motoooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dah nataman sana kufka uko kwamtumshi wamungu shida zangu zote zinaweza kuisha
Hakika jitahidi sana ufike hats asipokunyanyua utspokea. amini tu utamuon Mungu kwa viwango vingine na ukifika hutamani kutoka,
Mmm shida tuu ndizo zinawapeleka Kusali
Aludifwe
👏👏👏👏👏👏👏🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Naomba mtu anaejua namba za Nabii richard Musa anisaidie jamani nateseka sana
amina
Amen
Amen 🙏 🙏 🙏
Amen