"NILIFANYIWA TAMBIKO LA DAMU YA NJIWA NA MBWA"...."ROHO YA MAMBO YA ZINAA IMENITESA KWA MUDA MREFU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 82

  • @barikiisaya4254
    @barikiisaya4254 5 месяцев назад +1

    Kupitia madhabahu hii wates wangu woote nawaweka peupe kwa jina la Yesu.

  • @catherinelenard8327
    @catherinelenard8327 3 года назад +4

    Najiungamanisha na madhabahu ya mtumishi wa mungu musa nasimama kinyume na roho za mauti na maroho wachafu yashindwe kwa jina la yesu ngoa kila roho chafu mtumishi wa mungu

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 Год назад +1

    Pole sana Dada Mungu ni mwema atakufungua katika vifungo

  • @fatumaazidi4518
    @fatumaazidi4518 2 года назад +3

    Hakuna lakushindika ukiwa ngomeni mwa yesu,hakika yesu wa kuhana naomba unisaidie namimi katika masomo yangu nifanye vizuri 🙏 ameen 🙏

  • @jmubs95
    @jmubs95 Год назад +1

    God's revenge is the best it has no appeal. Barikiwa sana maishani dada🙏🏼

  • @innocentbrayan4460
    @innocentbrayan4460 2 года назад +3

    kwakwel kuhani musa Mwenyeez Mungu azid kukusimamia baba atutokata tamaa watoto wako kama ulivo baba na ss wanao ndivo ivo ivo

  • @djumazuena52
    @djumazuena52 2 года назад +2

    AMEN AMEN AMEN. mungu ni.mkuu

  • @HusnaSharifu
    @HusnaSharifu 8 месяцев назад

    Asante Yesu

  • @beatriceumuhevyi188
    @beatriceumuhevyi188 2 года назад +2

    Mungu ni mwema kabisa

  • @hildamkumbwa3258
    @hildamkumbwa3258 3 года назад +7

    Bonge la ushuhudaa!! Bwana Yesu na matendo yake makuu kupitia mtumishi wake Kuhani Musa, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa huduma njema

  • @MtemiChitema
    @MtemiChitema 7 месяцев назад

    My god is spiritual in answering people's questions 😮😮

  • @catherinelenard8327
    @catherinelenard8327 3 года назад +2

    Yesu ni mwema sana

  • @RehemaFidelis
    @RehemaFidelis 9 месяцев назад

    🤲🤲🤲🙏🙏ameni.sana

  • @GetfordMasehe-c1o
    @GetfordMasehe-c1o 11 месяцев назад

    Ubarikiwe sana Nabii nakukubali

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy Год назад

    Ameeeeeen. Baba . MusaLichrd. Mwacha.
    Balikiwa Baba. 😊

  • @ashuramwangi4839
    @ashuramwangi4839 3 года назад +1

    Mungu akubariki na aendelee kukuweka uendelee kutufungua

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 2 года назад +1

    Amen, Yesu wetu ni mwema

  • @Philippebedi
    @Philippebedi 5 месяцев назад

    Mungu abariki mitumishi wa mungu,nime barikiwa

    • @Philippebedi
      @Philippebedi 5 месяцев назад

      Mungu wako afunguwe maisha yangu mitumishi wa mungu

  • @HusnaSharifu
    @HusnaSharifu 8 месяцев назад +1

    😢😢Yesu asante Kwa ukombozi wako nalia Kwa huu ushuhuda yoote nimeyapitia hayo jamani

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack2558 3 года назад +1

    amina baba huu mwaka wangu

  • @DeviMngumi
    @DeviMngumi 11 месяцев назад

    Amina sana yan

  • @halimaabdallah386
    @halimaabdallah386 2 года назад +1

    Yesu wa Kuhani musa naomba na omba mkomboe mume wangu mikononi kwa wachawi wamemchukua tangu mwezi wa saba kwa damu ya yesu naomba nisaidie.

  • @SarshNishael
    @SarshNishael 2 месяца назад

    Jamani mungu wa mbinguni azidi kukueka mtumishi wa mungu uzidi kutuokoa

  • @johnshayo179
    @johnshayo179 3 года назад +1

    Amina baba

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 3 года назад +1

    Yesu Kama Yesu yupo Imara

  • @brianjack9286
    @brianjack9286 3 года назад +1

    Amen

  • @ashuramachinja
    @ashuramachinja 7 месяцев назад

    Aminaa

  • @ZubedaZubeda-u2c
    @ZubedaZubeda-u2c 4 месяца назад

    Kupitiya ushuhuda uyu kilamabayawalonifanyiy nakupitiy kizazi cangu yawarudiliy kwajinala yesu ameeeeeeeen

  • @lightessmbweli7624
    @lightessmbweli7624 2 года назад +1

    Nakupend saan Babaa

  • @DeborahMwakapala
    @DeborahMwakapala 4 месяца назад

    Amina sana

  • @Kigalirwanda-c5y
    @Kigalirwanda-c5y 11 месяцев назад

    Ameeeeeeeeeeeena
    Baba
    Musa
    Lichard
    Mwachard 🖐️🖐️🖐️🖐️😁😁😁😁😁

  • @AndrewMayende-z5b
    @AndrewMayende-z5b Год назад

    Aminna

  • @DavidMponya-l8f
    @DavidMponya-l8f 3 месяца назад

    Mungu wa kuhani musssa ni Mungu alive hai

  • @beatriceumuhevyi188
    @beatriceumuhevyi188 2 года назад +1

    Mungu ni mukubwa kabisa

  • @lahabesheuya1257
    @lahabesheuya1257 Год назад +1

    Mimi naamini maana mtesi aliekua nanashikilia nyumba yangu nakusema yakwake alikata moto

  • @GetfordMasehe-c1o
    @GetfordMasehe-c1o 11 месяцев назад

    Amina Amina 😁😁😁😁

  • @catherinelenard8327
    @catherinelenard8327 3 года назад +1

    Yesu ameimaliza

  • @pilijohn1478
    @pilijohn1478 3 года назад +1

    Da sawa sawa

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 года назад +1

    Mungu akikutaka,lazima utapatikana tu,Amina kubwa mno.

  • @leticialawi9569
    @leticialawi9569 Год назад

    Nami watesi wangu waisheee

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 2 года назад +1

    Baba mudogo akakufa
    Amiiiiiiiiiina
    Baba

    • @jasminswedy2351
      @jasminswedy2351 2 года назад

      Aminaaa kubwa sana na Mimi nakuomba yesu wa ngomeni mussa unitembelee katika fammilyia yangu unitibu roho chafu

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Год назад

    Majabu
    Amiiina
    Baba
    Niko vibaya
    Niombeye
    Amiiina

  • @JenniferMwaikuka
    @JenniferMwaikuka 5 месяцев назад

    Mungu fundi

  • @edmundkapondo4042
    @edmundkapondo4042 3 года назад +3

    Mmm shuuda konk 🙋

  • @furahammbibya8127
    @furahammbibya8127 2 года назад +2

    Jina la bwana libarikiwe sana

  • @souzanenabuki5272
    @souzanenabuki5272 2 года назад

    Uni kumbuke Yesu wa kohani na Nabii Musa.
    Kwajina na Yesu christ.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 года назад +1

    Mungu atusaidie sana🙏🏼🙏🏼

  • @grorymsangi4651
    @grorymsangi4651 3 года назад

    Amina

  • @godfreyswai4965
    @godfreyswai4965 10 месяцев назад

    Ashukuriwe yesu alie kupa hii kazi,yakusaidia Hawa watu,baba kuhani.

  • @kabwefrancine99
    @kabwefrancine99 2 года назад +1

    Na mimi maramingi niki kufwatilia youtube usiku, nakuhona kundoto Naku fatilia nyuma uni sahidiye ila cha ajabu baba kuhani musa ulikuwa una ni kwepa ,kwa kweli na shindwa kupata majibu, napiga sim kwenye nember nime chukua hapa youtube lakini amu nipokei 😭😭🇧🇮

  • @souzanenabuki5272
    @souzanenabuki5272 2 года назад

    Na pokeya kwajina la Yesu christ

  • @happykwekwe5312
    @happykwekwe5312 3 года назад

    Eeeeh mtumishi asifiwe yesu mm nmkenya nautanisaidia vp mtumishi

  • @mwamwajaupendo7471
    @mwamwajaupendo7471 2 года назад

    Wanaomtesa mwanangu wanaswe na yesu wa ngomeni wa kuhani Musa wafe wafe katika jina la yesu

  • @blessinganael1390
    @blessinganael1390 3 года назад

    Yesu ni mwema Anaviinua vinyonge kutoka jaani

  • @lahabesheuya1257
    @lahabesheuya1257 Год назад

    haponikiboko Baba hakika

  • @rehema6660
    @rehema6660 Год назад

    Namie niponye bwana na mipango yote ya adui

  • @sofiastifano5530
    @sofiastifano5530 3 года назад

    Maumbili nayapenda na uponyaje mtumishi musa ninakukumbali

  • @mjemamjema9920
    @mjemamjema9920 2 года назад +1

    Nabii unapatikana wapi nimevutiwa na maombi shuhuda na unabii wako natamani kufika kwenywe kansa lako

    • @DeborahMwakapala
      @DeborahMwakapala 4 месяца назад

      Sio nabii ni Kuhani na mwalimu Musa Richard Mwacha, anapatikana Kimara temboni dar es salaam

  • @NeemaSalanga
    @NeemaSalanga 4 месяца назад

    Pihy naomba maombi niwwze kufika napitia magumu

  • @lumandesarah6240
    @lumandesarah6240 2 года назад

    Nabii wa kuhani Musa namiye bachawi yote vente balishaka funga batoto yangu bakate moto bote

  • @MohdAbdallah-vl5ug
    @MohdAbdallah-vl5ug 6 месяцев назад

    Naomba namba ya simu ya kohani nataka nije huko

  • @martinsnyirenda211
    @martinsnyirenda211 2 года назад

    Doccoment

  • @IzkiOamn
    @IzkiOamn Год назад

    Malipo ni hapahapa dunian tuombe na kuamin jmn

  • @susanngatia4928
    @susanngatia4928 2 года назад

    Kipimo walichonipimia watapimiwa mara thelathini kWa damu ya yesu kristo

  • @NeemaSalanga
    @NeemaSalanga 4 месяца назад

    Naombini namba yamungozo nahitaji kuja huko mutumshi

  • @philipinalyimo7164
    @philipinalyimo7164 2 года назад

    Hakika MUNGU wa kuwani ni mkubwaa

  • @josephpatrick9861
    @josephpatrick9861 3 года назад

    Ngomen kiboko sana

  • @emanueljmassawemassawe-qs2zl
    @emanueljmassawemassawe-qs2zl 5 месяцев назад

    🇮🇱 🙏 🇮🇱

  • @Sandramalikia
    @Sandramalikia 8 месяцев назад

    Asante yesu

  • @pillyjoseph
    @pillyjoseph 2 года назад

    Amen

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 2 года назад

    Baba mudogo akakufa
    Amiiiiiiiiiina
    Baba

  • @leticialawi9569
    @leticialawi9569 Год назад

    Amen