MAKONDA AMJIBU TUNDU LISSU USIKU HUU BAADA YA KUMUITA MTEKAJI NA MUUAJI MBOWE AMKATAA MWENZIE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 482

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 7 дней назад +2

    Watu wanamaisha magumu lete sera zako ....
    Shukuru Mungu uko hai kazi iendelee

  • @HassanNdauka-x1z
    @HassanNdauka-x1z 7 дней назад +7

    Ww ingekua serikali wasingejisumbua kukushambulia njiani, wangekufuata nyumbani 2

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 7 дней назад

      Wewe ni mpumbavu au unajizima data. Kwenye maegesho ndani ya uzio wa makaazi ya viongozi, ni njiani? Cctv kamera nani aliziondoa baada ya tukio?

    • @DudddyWhyCant
      @DudddyWhyCant 7 дней назад

      Elimu yako imeishia kwenye kutukana, huna hoja ya kumjibu mtu? Kila mmoja ana haki ya kujibu anacho kijua yeye, sasa unatukana nini? Wenye kutukana mnajulikana tu.

    • @rabsonmichael9720
      @rabsonmichael9720 7 дней назад

      Kwa mazingira ya hili tukio selikari hawawezi kuepuka lawama hata siku moja,

  • @ahmedaljabri5891
    @ahmedaljabri5891 5 дней назад +4

    Yani wa TZ muna wakati kweli kumsikiza mtu ana ongea kuhusu mambo ya watu badala ya kuuza sera zake ata wafanyia nini wa TZ..hata sauti ya siyasa hana

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 7 дней назад +5

    Dunia hii kumbe hata shetani anaweza kujigeuza malaika inatisha sana

  • @jonathanijumba8461
    @jonathanijumba8461 2 дня назад +4

    Kwahiyo ulikosa cha kupost mpaka upost uongo kuwa makonda kamjibu Mh Lisu, Pumbavu kabisa.

  • @chrisostomruta-cw3zf
    @chrisostomruta-cw3zf 7 дней назад +7

    Makonda ACHA maigizo usicheze na damu za watu

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 8 дней назад +6

    Acha uongo kiazi matosani 🌈💯 makonda makonda marruufuku aliyopigwa inshu. Ya mashoga. Na huko marekani siyo peponi 😅😅😅

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 8 дней назад

      @@aediayumgo8546 Marekani sio peponi lkn ndiko viongozi wanakopatia misaada ya kila aina ikiwemo ya kukufanya wewe uwe bwege na mpumbavu kiasi hicho,hujielewi na wala hujitambui

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 7 дней назад +5

    MUONGO HUNA USHAHIDI ILA UNAONGEA ILI TUKUONEEE HURUMA ILI TUKUCHANGIE PESA
    KILA SIKU NI WEWE TU KILA SIKU JAMBO HILO HILO SASA C UENDE MAHAKAMANI

    • @christianmwabukusi8132
      @christianmwabukusi8132 7 дней назад

      Ukimtaja mtu hadharani kama hivi unaweza kumshtaki. Mbona hashtaki?

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 7 дней назад

      @@christianmwabukusi8132 NDIYO HAPO SASA IKIWA USHAHIDI ANAO KWA NINI? ASIFUNGUE KESI YA SHAMBULIO LA MWILI
      LISSU ANATAFUTA HURUMA ILI TUMCHANGIE KODI ZETU

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk 7 дней назад +4

    Kwani USA ni mbinguni? Hata alivyopigwa marufuku kapungukiwa nini?

  • @BornifaceMwampulo
    @BornifaceMwampulo 7 дней назад +5

    Wewe ni mwongo makonda anaaminika sana na ukitaka kushindana na makonda utakuwa unajaribu kuukimbiza upepo kisiasa amekuzidi sana

    • @rabsonmichael9720
      @rabsonmichael9720 7 дней назад

      Kamzidi nini na atakama kamzidi ndio asiseme maovu aliyomfanyia,kwani tumekuwaje mbona tumekuwa na roho mbaya sana.

    • @sophiaommy8343
      @sophiaommy8343 7 дней назад

      Tulia ukweli ndio huo wengi tunajua

  • @abdulmsuya8542
    @abdulmsuya8542 7 дней назад +4

    Makonda jembe letu, tunakupenda# MTi wenye matunda

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 8 дней назад +5

    Waovu wanatubu kanisani leo kwa kujifariji,maji ni shingoni

  • @JaneLaizer-tb6zl
    @JaneLaizer-tb6zl 5 дней назад +1

    Nice mkuu wa mkoa wetu we love you

  • @AllanKinyunyu
    @AllanKinyunyu 8 дней назад +10

    Umeshindwa maandama unaanza kuzungumza ujinga mtupu

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 8 дней назад +1

      Maandamano kashindwaje?Kwani mwenye uchungu na nchi hii ni Lissu na Chadema tu?Hivi familia ya Ali Kibao unafikiri haina uchungu na ndugu yao kuuwawa?

    • @GodfreyMwamaso
      @GodfreyMwamaso 8 дней назад

      Kashindwa wakati waliandamana polisiccm maandamano yalifanikiwa polisi walifanikiwa kuandamana tunawashukuru Chadema wametoa somo

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 8 дней назад

      @@GodfreyMwamaso Watu wengi wa CCM ni wapumbavu na ni wajinga sana,ni wagumu kuelewa

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 7 дней назад +3

    LISU ndiye ZELENSKY na watanzania.Anataka aonewe huruma na dunia nzima kwa maslahi yake.

  • @AntonyKawage
    @AntonyKawage 7 дней назад +6

    Siku za mwovu zikifika hata ajifiche vipi Mungu Humuweka hadharani.Acheni Mungu aitwe Mungu kwani ndiye pekee mwenye mamlaka na hatma juu ya Maisha ,yetu.

  • @EflaimBukuku
    @EflaimBukuku 8 дней назад +4

    Ogopa sana mtu anaeimba mtu anaeimba pambii za huruma na kujifanya mtakatifu mbele za watu huyo ni mtu mbaya lani nyuma ya pazia ni nyoka

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 7 дней назад +2

    Huyu mzee muongo😂😂😂 khaa utakufa vibaya

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimu 7 дней назад +4

    MKUMBUKE MUNGU NI FUNDI. YOTE YATJULIKANA. WENYE AKILI TUMESHAELEWA

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 8 дней назад +7

    Kweli we ni mjinga sana.

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 8 дней назад +5

    Si walikwambia ukajieleze ukakimbia kikwenda kiwa shoga

  • @engineertarimo7345
    @engineertarimo7345 7 дней назад +3

    Channel yenyewe inaitwa Chawa wa mama. Hata watoa maoni humu wengi pengine ni hao chawa

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 7 дней назад +1

    Tundu lisu Mshukuru Mungu na Dr Samia kakutoa mbali

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 8 дней назад +4

    Mungu ana mguvu kuliko serekali ukweli unajulikana.

  • @samwelmachaka936
    @samwelmachaka936 8 дней назад +5

    Hutapata uraisi pole za uchochezi

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 8 дней назад

      Tatizo wewe sio mpiga kura peke yako na wizi wa kura umeshafika ukingoni

  • @Aronchai-yt3bq
    @Aronchai-yt3bq 8 дней назад +7

    Nahisi tundu lisu ugonjwa haujaisha umesha kua kama chizi2 na wanao kusapoti mashoga wenzako, we umesha nunuliwa na ulaya magharibi hata ufe sawa2 tanzania yetu utuachie mpuuz mmoja wewe

    • @MmohamediSaidi
      @MmohamediSaidi 8 дней назад

      Asa we unamlawiti mama yako ndio maana hamuelewani na baba yako

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 8 дней назад

      Wewe ndio chizi na ni mwendawazimu,Lissu ndie aliyepigwa risasi na ndie anayetuambia Makonda na Serikali yake ndio waliohusika kumumiza,wewe unakataa,haya tuambie,nani alimpiga risasi Lissu?

    • @Aronchai-yt3bq
      @Aronchai-yt3bq 8 дней назад

      Zuzu ni zuzu tu mashoga ni wengi kimbe mpo

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 8 дней назад

      @@Aronchai-yt3bq Wewe na CCM yako ndio mashoga,jiulize nani alikwenda kumwona Papa kule makao makuu ya Kanisa Katoliki kule Vatican ambako ndiko ushoga umeidhinishwa?Mmezoea kudanganywa na viongozi wenu,Dunia ni kijiji siku hizi.

    • @Aronchai-yt3bq
      @Aronchai-yt3bq 8 дней назад

      Sikuelewa kama anazungumzia vyama kumbe we umesikia anaongelea vyama, kweli, mtumba ni mtumba2 hauwez geuka special

  • @mtabevilaini6527
    @mtabevilaini6527 8 дней назад +5

    Pole sana😢

  • @jumasaghida5492
    @jumasaghida5492 8 дней назад +4

    Pole sana broo mungu anajua nawaumbuka tuu,nawanaokukejeli majibu nihapa duniani

  • @MohdMohd-o7e
    @MohdMohd-o7e 6 дней назад +3

    Lisu anatumia nguv sana kutuaminsha kuwa mwema kumbe ni mshez tu

  • @rashidnzunda
    @rashidnzunda 8 дней назад +4

    SASA hapo unaongea Nani si wapeleke vyombo husuka..

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 8 дней назад

      @@rashidnzunda Umelazimishwa kumsikiliza?usiwe mtu wa hovyo,kama hayakuhusu na hayajakugusa ebu acha.

  • @IlhamKhalid-mt3jp
    @IlhamKhalid-mt3jp 7 дней назад +3

    Kwahakika tulipotoka kubaya sana , tulipo sasa hatari sana na tunapokwenda itakuaje !!!? Lazima tutafakari kwa kina

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 5 дней назад +3

    Acha ujinga makonda wala hakuhusika mnatekana wenyewe .wewe ulitakiwa ufe kabisa na ukiendelea makonda akikushitaki utamlipa mapesa mengi .Acha uwongo unakuwa kama simwanasheria

  • @ImanNjogolo
    @ImanNjogolo 7 дней назад +2

    Huyu lisu subirini mtajionea ,hana mtu mwema kwake wote anaona wabaya.haiwezekani.acheni uchochezi na vurugu zenu chadema.dah?

  • @Christophergaspar-qe7wk
    @Christophergaspar-qe7wk 6 дней назад +2

    Kwani ukiingia marekani utakuwa malaika? huyu Tundulisu aongee vitu vya maana, na sio huo upuuzi.

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 7 дней назад +2

    Hizi ni tuhuma,MTUHUMIWA
    Atamjibuje mtoa tuhuma humu?? Tunaskizia nalo🤔

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 7 дней назад +3

    Hivi bila kwenda Marekani utakosa nini? Wewe umesoma lakini huna akili.

  • @SimbabweSaid
    @SimbabweSaid 7 дней назад +5

    Wewe kibaraka msenge wa wazungu we ndio mchafu bora ungekufa tu acha uongo kwani mpaka sasa hujui alietaka kukuuwa ni mbowe na red briged ya chama chenu koma kudanganya watu

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba 2 дня назад +1

    Lissu ubalikiwe sana,,watesi wako wanajifanya kumcha mungu nyakati za mwishi wao

  • @MngwaliAllykizangwa
    @MngwaliAllykizangwa 7 дней назад +3

    Maswala ya kupinga ushoga ndy yaliofanya hao jamaa zako kumzuia asiende huko kwao
    Kuwa mkweli lisu,ikulu hawaendi kwa njia ya mkato.

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 7 дней назад +2

    Lisu muongo anatafuta kiki awaongoze yeye ni mkuu wa nchi?! Acha uongo wako tumechoka na hoja zako hampati urais ng'oh

  • @ANGELUSLIJUJA
    @ANGELUSLIJUJA 7 дней назад +3

    WAKATI UNAPIGWA LISASI MWENYEKITI WAKO UNAKUMBUKA ALIKUWA WAPI ACHENI PICHA ZENU ZA KIJINGA MTAMALIZANA KWA KUTAKA KIKI ZA KISIASA MMESHIDWA MAANDAMANO MNAANZA KUTAFUTIZA VIJITUKIO HII NCHI SIO YAKO PEKEYAKO MTAMALIZANA WENYEWEKWA WENYEWE. LENGO LENU MLIVULUGE ILI TAIFA AMTAWEZA

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 7 дней назад +2

    Mbona chadema hatusikii wakiongea kuhusu kujenga nchi saa yote maneno ni kuuwa tu vita tu

  • @RoseJoseph-z6y
    @RoseJoseph-z6y 7 дней назад +4

    We vp unamwongelea makonda ww mwenyew shida tupu hatukupi kura kwenda huko kila mtu ana mapungufu yake

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi 7 дней назад +2

    n kweli makonda n muuwaji me cjawahi mkubali ata mara moja makonda n mnafki sana makonda umeyakanyaga

    • @octaviannyalusi7894
      @octaviannyalusi7894 4 часа назад

      Mnauwana wenyewe chadema wasenge nyie mnafikir hatujuiii?

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 7 дней назад +1

    Kumeanza kuchangamka Uchaguzi sera hii zio nzuri tengeneza nyingine

  • @MagrethNjavike-hy2en
    @MagrethNjavike-hy2en 7 часов назад

    Achana na Makonda kwanza nyie wapinzani hatumwoni hata mmoja ambae anaweza akashika nchi ninyi wenyewe mnamashida kibao yaani wa Tz Mungu atusaidie tu

  • @gelvaskatapa3080
    @gelvaskatapa3080 8 дней назад +3

    Siasa za huu mwaka ni makonda nasiyo unakuja kuongozaje Tz mbona hata siasa unashindw je kuongoza tutaweza kweri?

  • @RashidDjuma
    @RashidDjuma 5 дней назад +2

    😊Makonda tunakupenda 4:15 4:22

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla5355 7 дней назад +2

    Ukimsikiliza unaona anahangaika kutunga story anaungaunga

  • @BarakaMashimba-sr9ow
    @BarakaMashimba-sr9ow 7 дней назад +3

    Unazeeka vibaya sasa muache makonda wetu wewe hofu yako unahisi makonda ni rais ajaye 😂😂

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 7 дней назад +2

    Pumbavu kumbe hatamuuaji anaingia kanisani nakuimbakweri

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 7 дней назад +2

    Maendeleo Bila Uhai Ni Sawa Na Bure Ogopeni Kumwaga Damu

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 7 дней назад +2

    Zamani nilikuwa naona kama mzee unaakili kumbe unazeeka vibaya marekani wana hisa na wewe ili kuangamiza taifa hili na kamwe hutotawala nchi hii

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 7 дней назад +2

    YESU Ndiye njia ya kweli na Uzima ya kwenda mbinguni HEBU mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi Uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 7 дней назад +2

    Nmejarbu kusoma comments za watu wengi nmeona wengi wanatukana tu Kwan Kuna shida gan ukitoq majobubkwa hoja mmekalia matusi tu hahahaha Ulaya mtu anaweza kufanya hatia 2005 akaja kukamatwa 2025,hapa nmegundua wanao tukana Sana n wananchiiii ambao hivi karbu Po makonda ameonekana kuwa n mtu wa watu sna so ata Kama aliwah kufanya kibaya atutaki utuambie mabaya yake hahaah ila bongo Rahaa Sana😂😂

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 7 дней назад +5

    Kila siku una mhemko.. Acha uongo we mzee

  • @Omarimakuka
    @Omarimakuka 7 дней назад +2

    Wameishiwa kisiasa hawana cha kutuambia wanatuletea siasa za kimarekani

  • @DulaRashid-r5z
    @DulaRashid-r5z 7 дней назад +2

    We huna akili Sasa kma sio kweli hajafanya hivo makonda akamstaki kwa kukashfiwa kuzushiwa makonda atoke aseme sio kweli ipo siku atakuilikana tu

  • @ThomasWangoina
    @ThomasWangoina 8 дней назад +2

    Angekuwa mwizi ikulu wa simu angekiona,risasi kwa MTU mnacoment ujinga

  • @jumaibrahim7781
    @jumaibrahim7781 8 дней назад +8

    Uyu kishakuwa mweu

  • @RobertRumuli-g8x
    @RobertRumuli-g8x 5 дней назад +2

    Oya lissu mungu akubaliki Sana awa watu wasio julikana sasa kumekucha

  • @LukeloKibumo-uu2oh
    @LukeloKibumo-uu2oh 7 дней назад +2

    Wewe domokubwa kwani marekani nimbinguni

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 7 дней назад +1

    TUNDU LISSU,hilo lilishapita na MUNGU akakujaalia afya na hukufa!!sasa achana na hayo,anza kujenga hoja kwa wapiga kura wako utawafanyia jambo gani ili upate kura uende ikulu!!maana bado unatafuta huruma ya wapiga kura wako!!

  • @rajabumtuga7372
    @rajabumtuga7372 7 дней назад +1

    Wala hata hatubishan sana lakin mungu ndie atakae mlipia kwa yote aliyopitia. Mungu semanao hao wauaji. Kama ikikupendeza andelea na aliepokea kazi ya kuua

  • @pablozungu1351
    @pablozungu1351 5 дней назад

    😂piga kaka Makonda hawakuwezi 😂😂😂😂😂

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 8 дней назад +2

    Magufuli junior. Siku yako yaja kama muungu wako. Hata huyu muungu wa pili anaweza kutoweka bila kutarajiwa. Sikiliza na ushike unabii huu.

  • @Dutichgogo
    @Dutichgogo 2 дня назад +1

    Wauwaji wataukumiwa kwa neno

  • @EmmanuelMoshi-q9f
    @EmmanuelMoshi-q9f 8 дней назад +2

    Naona kuna vilaza humu inaoneka wana uwezo mdoho sana wa kufikiri, pamoja hao anaowataja na nuie mnaoshadadia mjue haitaisha kabla wapendwa wenu kufanyiwa ukatili huu alafu mje mseme mnayosema humu

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 7 дней назад +2

    Wewe umeona kujifanyisha kuomba nyimbo za Mungu kujifanya mwema muuaji mkubwa

  • @AlphonceKisusi
    @AlphonceKisusi 5 дней назад +1

    Bora kuangalia picha za ngono kuliko kusikiliza hii bweha

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula2679 7 дней назад +2

    Makonda kamuomba Warioba msamaha kabla giza😂😂

  • @JackMaganga
    @JackMaganga 2 дня назад +1

    Hoyo makonda hafai

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 7 дней назад +1

    Live long comrade may You live as God said, you are the Icon of true freedom💪💪💪💪

  • @octaviannyalusi7894
    @octaviannyalusi7894 4 часа назад

    Nenda Kwenye party Kwa P.didy kunamualiko wako huko

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 7 дней назад +1

    Hutaki kuweka hadharani kivipi km kweli taja. Makonda sio. KUU wa nchi. Marekani hawataki watu weusi watu weusi wanawaua kila siku

  • @pendomalisa9308
    @pendomalisa9308 7 дней назад +1

    Aaaa lissu acha uongo ulimuanda magufuli kwa maneno mpaka tukakuchoka Leo umerudi kwa makonda we we hujioni umekua kichekesho watu wanaambiana Leo huyu mwehu atamsingizia nano hebu kua usiwe wakusikilizwa na kudharauliwa kila siku

  • @octaviannyalusi7894
    @octaviannyalusi7894 4 часа назад

    Ndomaana umekuwa CHIBA mpuuzi wew

  • @OmaryRamadhaniAlly
    @OmaryRamadhaniAlly 6 дней назад +2

    Huna jipya wewe kafie mbali

  • @CosmasKatule
    @CosmasKatule 5 дней назад +2

    Ngugu yangu tundu pole Sana muda wako wakufa ulikuabado mungu ndie anaejua achana nao tupambanie katiba

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 7 дней назад +2

    Makonda atakupelaka mahakamani kwa defamation.

  • @Nghomano
    @Nghomano 7 дней назад +3

    Lissu umechanganyikiwa upimwe akili umekua una shutumu watu wasio na hatia,huna hoja pumbavu,

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 7 дней назад

      Umechanganyikiwa wewe usie jua nchi inaenda wapi

  • @imakitori399
    @imakitori399 6 дней назад +2

    Wasio muelewa Lissu ni washoga tu

  • @munisindeshisamson3590
    @munisindeshisamson3590 6 дней назад +2

    Karibu Yesu a!arudi. Kila kitu kitawekwa wazi

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 6 дней назад +2

    tindu lisu ukipata nchi Mimi najinyonga .umepewa mkataba wamashoga utofanikiwa mpuuziwewe

    • @NiazonBukoke
      @NiazonBukoke 6 дней назад +1

      Wakat mwingine tumien akili ,je angekua baba yako...ungefurahi??

    • @geofkabo7843
      @geofkabo7843 5 дней назад +1

      Ila mikataba ya mama haaa hamuioni

  • @ImanNjogolo
    @ImanNjogolo 7 дней назад +1

    Fungukeni jamani duh.chadema wanatengeneza hoja za uongo.na wanatumia nguvu,kuwashusha viongozi wetu.duh

  • @mathiasombella7516
    @mathiasombella7516 8 дней назад +1

    Dan ,tuache kumdhihaki uyu Mungu jaman😎

  • @JUMA3DTZ
    @JUMA3DTZ 7 дней назад +2

    Uyu jamaa kura yangu hapati

  • @brog1394
    @brog1394 7 дней назад +2

    Shetani ndani ya kanisa! Kumbe jamaa ni muuaji! Aisee

  • @VeronicaPaul-cj1yu
    @VeronicaPaul-cj1yu 7 дней назад +1

    Nimeamini kumbe hata wewe muongo dah! Kumbe Tanzania akuna wapinzani Kuna waongo wa siasa... Asante mungu kwa kutufumbua mapema

  • @200Stella
    @200Stella 5 дней назад +3

    Huyu ni mtu mchochezi sana na hana busara wala hekima...

  • @abdulmsuya8542
    @abdulmsuya8542 7 дней назад +2

    Makonda wetu, tunakupenda

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 7 дней назад +2

    Wacha kuabudu wazungu.

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 7 дней назад

    Makonda he's the best person and good leader don't talk bad things about him

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 7 дней назад +1

    Kajibu kesi kwanza !ukishinda tutakuelewa!Yote uliyofanya Arusha nafuta kabisa!

  • @joselinejonathan8818
    @joselinejonathan8818 5 дней назад +1

    Mimi nakubari maneno ya Lisu, Unajua hii stahili ya Makonda aliokuja nayo Makonda kufanya anadaidia watu, imefanya watu wamwamini Makonda km ni mtakatifu

  • @sistymsigwa2738
    @sistymsigwa2738 7 дней назад +2

    Moja ya kitu ambacho sikuwahi kukuamini ni pamoja na elimu ya huyu bwana ...Haki inapatikana mahakamani hujapeleka malalamiko kazi kupiga porojo kwenye mtandao na press

    • @Michaelmwasese-m7y
      @Michaelmwasese-m7y 7 дней назад

      Kakimya mahakani nenda wewe

    • @rabsonmichael9720
      @rabsonmichael9720 7 дней назад +1

      Sasa hao waliopewa tuhuma za kutaka kumua mwenzao mbona nao wameshindwa kwenda kushtaki.?

    • @thamani5842
      @thamani5842 7 дней назад

      Dereva wake pia kamkimbiza, wamemficha alipotakiwa polisi akatoe ushahidi hawakumpeleka hadi leo, wanakijua walichokifanya, na anawajua vizuri walompiga risasi anawapaka uchafu magufuli na makonda

  • @imanmwashitete5243
    @imanmwashitete5243 6 дней назад +1

    Kwani marekani ni kwao Aya asipo enda humuwezi Alisha kushinda muache tu Wala hatukuelewi kabisa

  • @EliasMwita-q3x
    @EliasMwita-q3x 7 дней назад +2

    Ongea 2 ila omba yasikukute😢

  • @NeemaNjera-ho6ln
    @NeemaNjera-ho6ln 7 дней назад +2

    Kama.ni.kweli.majibu.ya.mngu.yako

  • @ernestkaji9640
    @ernestkaji9640 7 дней назад +1

    Hapo ndipo mnaponichoshaga chadema,tafuteni mbinu nzuri wananchi tuwaelewe tuwape ridhaa ya kutawala nchi