SINGELI IMESHINDIKANA MBAGALA, BAROBARO AFANYA BALAA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- SINGELI IMESHINDIKANA MBAGALA, BAROBARO AFANYA BALAA
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Oya huyu jamaa anaimba live tukumbuke, hio pumzi sio mchezo na anakimbizana na beat za singeli.Salute kwake
Waimba singeli wote pumzi zao🙌
@@sabrysultansalum5864 wengine baadhi yao hugandamizia mzee
Huju fundi baro baro 🔥🔥🔥🔥
Heshima yako👏👏👏👏
Kweli mungu akiamua kukutoa na kukuweka sehem anaweza,jamaa alikuwa msajili lain za simu mtaani,aisee na jukwaa analiwezea
Mwanang huyo tulikuwa tunasajili wote line Temeke
Uzuri wa singeli mzuka mwingi hata kama hujui kucheza yan ni 🔥 mziki wa kitaa kibongo bongo wenzetu lazima waweke macho chini hii ndo tz
Baro ndo mwanamjzik wasingeri namba1 kwAkulitawala jukwaa
Mmetisha
Awesome ❤❤❤❤
Kinachonifurahisha wasanii wa singeli wanajua kuwaimbisha mashabiki zao sana
uyu jamaa ni 💥💥💥💥💥💥
Salute to Barobaro
Mbagala wanapenda singeli kuliko mziki wowote inavyoonekana
Singeli kimataifa zaidi
Uyu jini🙌🙌
Hayo ndiyo mambo wabongo wanayoyajuaaaaa
🔥🔥🔥
mwamba
Mziki wa africa
Hawa si ndo mchana wanatimuliwa na wagambo halafu usiku wote huu yanaenda kujazana kama mambw,,,au bac
Acha zarau maneno gani hayo
Mbwaaa wewe naukoo wako
We chiz nn nan mbwa mbwa ww na mama yako
@@rashidikanyama2357 zaidi ya 95% waliojazana hapo ni machinga ambao hufanya shughuli zao maeneo hayo,,,Leo siku ya 4 wanatimuliwa na migambo kwamba hakuna kupanga biashara,,,Sasa badala ya kukaa kuchekecha akili namna ya familia na wazazi wanaowategemea wapate kula,yenyewe yamejazana hapo.
@@jamesmzaki6041 Kila kitu kina wakati wake kuna wakati wakulia na wakati wakucheka.
Sasa wasifurahi hata kidogo?
Mmetisha