BABA YANGU MALAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 106

  • @Bhailamkhan
    @Bhailamkhan  Год назад +12

    Karibu kujiunga na group la What's app
    BONYEZA LINK 👉👉chat.whatsapp.com/Jqzzxa1X8Qz...
    Subscribe hapa :
    / @bhailamkhan
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : facebook.com/profile.php?...

    • @babycappuccinocappuccino
      @babycappuccinocappuccino Год назад

      Jaman mbona mim nikijoin ilo group la whatsapp inakataa shida nin au ndo nina gundu

    • @Maokototv100
      @Maokototv100 Год назад

      Hii link ya watsap inakataa mkuu

    • @babycappuccinocappuccino
      @babycappuccinocappuccino Год назад

      @@Maokototv100 Bhailam bas awake number ya whatsapp apo tutume sms huko watuunge kama iyo link inamushkeri

    • @angelmsasani8384
      @angelmsasani8384 Год назад

      Bhailam wewe na ela unapewa mzigo unakula khaaa saluti kwako😂😂😂😂

    • @julianaedwin8652
      @julianaedwin8652 Год назад

      Niunge kwenye group

  • @brianitunda6051
    @brianitunda6051 Год назад +16

    Bhailam! Bhailam! Bhailam! Nimekuita Mara 3. Mungu akujalie afya njema na akulindie kipaji chako uzidi kuielimisha jamii. Funzo juu ya funzo. Nimeanza kukufuatilia kwenye funzo kwa chumvi nikaamua nikufuate huku.
    Movie zako ni maisha yetu halisi. Unatufundisha haswaaaa.

  • @brianitunda6051
    @brianitunda6051 Год назад +14

    Bhailam ktk level za juu. Upon vizuri mno kaka. Movie zako ni visa halisi ktk maisha yetu. Mafunzo tupu

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Год назад +2

    Uyo binti Wa bhailam kwa Iyi movie anaeza igiza kabisa

    • @KIDAWAFILM
      @KIDAWAFILM 10 месяцев назад +1

      Shukrani Sana❤❤

  • @kawanga0073
    @kawanga0073 Год назад +2

    Nilikuwa naangalia hapa nikamwambia ndugu yng mmoja kuwa nakuona mbali na kikubwa pambana na kipaji chako kiheshimu na Mungu atakujalia ila Mapungufu yko pambana nayo ndugu. 🤲🤲🤲🙏🙏🙏 Bless

  • @francescafrancesca8901
    @francescafrancesca8901 Год назад +6

    Kaka yangu Bhailam sijui niseme nini. Nakupenda na ninapenda kazi zako. Wewe ni wa muhimu sana katika jamii. Wewe ni mwalimu mwenye busara jamii inahitaji.
    Mungu akulinde na akubariki.
    Asante kwa mafundisho na ushauri.

  • @sarahnafulanafula5537
    @sarahnafulanafula5537 Год назад +2

    Nakupenda sana dada una ushauri nsuri sana

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 Год назад +5

    Bhailam mwamba hongera sana na wenzako wote 👏👏👏

  • @hamisissa1115
    @hamisissa1115 Год назад +4

    Nimependa huyo dada grace ni mwelewa sana.

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Год назад +3

    Kazi MZURI Sana nimependa sana huyo binti wa bhailam alivyojistiri ongera yake.

    • @KIDAWAFILM
      @KIDAWAFILM 10 месяцев назад +1

      Shukrani 🙏🙏

  • @gracealfonce3795
    @gracealfonce3795 Год назад +4

    Kazi nzur Sana na mzidi kufanya nzur saidi Mungu awainue

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Год назад +5

    Kazi nzuri sana
    Ila kwa upande wa Afande angalau bhs mkiigiza Tena sehemu inayo hitaji mtuhumiwa kukamatwa Afande awe ata na Pingu amfunge mtuhumiwa itaongeza uhalisia zaidi

  • @liberatusmushy8270
    @liberatusmushy8270 Год назад +1

    Upo vizuri mzee baba una baya kwenye hili ....movie zako ni mafunzo 2pu

  • @jacklinejustinekomedidevel9388
    @jacklinejustinekomedidevel9388 Год назад +1

    Jamani nipenda Sana

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Год назад +4

    Bhailam ni mmoja tu❤

  • @amanirazalo4338
    @amanirazalo4338 Год назад +1

    Good hongera bailam

  • @nancynkya4462
    @nancynkya4462 Год назад +1

    tunakupenda kaka unaziba pengo la kanumba 👍👍

  • @japhethelijah4252
    @japhethelijah4252 Год назад +3

    Aseeeee kijana Malaya ata shetani akasomi

  • @mrjhonblaise1749
    @mrjhonblaise1749 Год назад +5

    C cool 🔥🔥🎤🎤🎤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪

  • @fa.fa.9713
    @fa.fa.9713 Год назад +2

    Bhailam 😂😂klicho na mwanzo kna mwsho hya jela hiyoo😅❤❤

  • @docine976
    @docine976 Год назад +2

    Nzuri sana! un très bon boulot! félicitations

  • @Ummyrahy6666
    @Ummyrahy6666 Год назад +2

    Kma umegundua hyu mke wa afande anajarbu njia za vai wew ni mwamba😂😊

  • @frankmwaikambo-on7tg
    @frankmwaikambo-on7tg Год назад +7

    Huyu askari anajua huyu jamaa ni fundi kinoma..

  • @saft9482
    @saft9482 Год назад +3

    Nkupenda kidaw jmn❤❤❤❤

    • @vikramkanjibay01
      @vikramkanjibay01 Год назад +1

      Na yeye anakupenda pia amenambia

    • @saft9482
      @saft9482 Год назад +2

      @@vikramkanjibay01 nafurah kusikia hvyoo jmn dd kidawa

    • @KIDAWAFILM
      @KIDAWAFILM 10 месяцев назад +1

      Nakupenda pia❤❤

  • @joshuambena6145
    @joshuambena6145 Год назад +3

    Hooo good work

  • @mariamdennis9576
    @mariamdennis9576 Год назад +2

    😂😂😂😂😂aisee baba wa hiv namkata mtama

  • @Seifbrown
    @Seifbrown Год назад +1

    😂😂😂 best sana daddy 😂😂😂

  • @hellenbenny8913
    @hellenbenny8913 Год назад +2

    Good job wallah mimi ingekua hii ndo Familia yangu sintaruhusu huu ujinga haki vile nitapambana mpaka kieleweke

    • @mauwasharifu
      @mauwasharifu Год назад

      Nitumie namba yako ya WhatsApp bhailam by kagere mbande

  • @Jamila96_juma
    @Jamila96_juma Месяц назад

    Mbwela na Bhailam mna vipaji halisia kabisa

  • @CHRISOSTOMMBESWA
    @CHRISOSTOMMBESWA Год назад +1

    Huyu jamaa chuma,,, anajua kuigiza sanaa

  • @hamisijongo5818
    @hamisijongo5818 Год назад +2

    Unajitahid Ila utuleteagi mwendelezo wa movie sijui unafeli wapi

  • @bashirimussa2154
    @bashirimussa2154 Год назад +2

    Sonia mzuri sana yupo wapi❤❤

  • @mikaelmikaelamr
    @mikaelmikaelamr Год назад +1

    Good job

  • @YaaMnyad
    @YaaMnyad Год назад

    Hahahaaaa baila unajua kwakweli dah..

  • @neemamosses9259
    @neemamosses9259 Год назад +5

    Nakupenda bure

  • @miguelbeneditojose3268
    @miguelbeneditojose3268 Год назад +1

    Unaweza kaka yangu

  • @Mr_destiny
    @Mr_destiny Год назад +4

    More appreciation broo,,,on e a citizen always a citizen

  • @peterwizoo2255
    @peterwizoo2255 Год назад +1

    Bhailam unajua sana

  • @Anithabeniaa
    @Anithabeniaa Год назад +3

    Waooo!!! Good job

  • @ahmedomar-kn2yy
    @ahmedomar-kn2yy Год назад

    Nakubar kaka

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Год назад

    Nakubali unaeza Bhailam

  • @kassimdadi5406
    @kassimdadi5406 Год назад +5

    Bhailam at it again 🙏

  • @roseramadhana5951
    @roseramadhana5951 Год назад +2

    Kaz nzur

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Год назад +2

    Jmn mbn mm sioni wateja wakinunua bidhaa kwa binti wa bahilam

    • @KIDAWAFILM
      @KIDAWAFILM 10 месяцев назад +1

      Mda wa kula wateja bado 😂😂😂😂

  • @mussamlowe-cl2rn
    @mussamlowe-cl2rn Год назад +4

    Namkubaliii bhailam😅

  • @omaribazanga7967
    @omaribazanga7967 Год назад +1

    Eti ile ya kifafa hajaisikia vizuri😂

  • @isayaminja4961
    @isayaminja4961 Год назад +2

    Jamani kidawa anajua

    • @KIDAWAFILM
      @KIDAWAFILM 10 месяцев назад +1

      Ahsante❤❤

  • @imanipirfa225
    @imanipirfa225 Год назад +1

    Wapo wazee kama wao😢😢

  • @zeroconscious1916
    @zeroconscious1916 Год назад +4

    Nimechelewa kidogo ila nimepata seat

  • @SayuniJila-jh2hk
    @SayuniJila-jh2hk Год назад

    Bhailam kubali saana

  • @ismailsundaylumulaabwalalu357
    @ismailsundaylumulaabwalalu357 Год назад +1

    Bailam mbone usijiunge mkojani gang

  • @Seifbrown
    @Seifbrown Год назад

    Jama yuko vizuli kweli 😂😂

  • @angelinewawira9591
    @angelinewawira9591 Год назад +1

    Bilam nakupenda Bure😘

  • @fatmaalghafri6087
    @fatmaalghafri6087 Год назад

    Eti anaumwa huyu pole pole 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Год назад

    Nice Work 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @neemanelson6057
    @neemanelson6057 Год назад +4

    Mhhhh apo kweny police hajavaa uhusika 😭

  • @moiminiIssauw2
    @moiminiIssauw2 Год назад +2

    Naona leo wamwisho jmn 😒😒😒courage pro ila huyu baba daah 😱😂

  • @iddjuma2206
    @iddjuma2206 Год назад +1

    Niko mombasa kenya nishabiki wako hapo ungekua na violet na Sarah ingekuwa Tamu
    Nipe like

  • @nyoksheaven2031
    @nyoksheaven2031 Год назад +3

    Road to 10k guys🥳🥳🥳let's do this ❤❤❤

  • @derek-madreeksentlove6014
    @derek-madreeksentlove6014 Год назад +1

    Great

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 Год назад +2

    Xix❤and E❤😢😢😂

  • @mwanatumukombo9440
    @mwanatumukombo9440 Год назад +1

    🔥🔥

  • @clarisraha6871
    @clarisraha6871 Год назад

    Hyo bb ameletwa utadhan n mtoto wake ak ibu jameni

  • @milleniumkibasa8773
    @milleniumkibasa8773 Год назад +1

    ❤️❤️

  • @dephrosekahambu2914
    @dephrosekahambu2914 Год назад +3

    Binti yako dada koma wé!

    • @KIDAWAFILM
      @KIDAWAFILM 10 месяцев назад +1

      😂😂😂

  • @ashaamran4879
    @ashaamran4879 Год назад +2

    Wakwanza kuangalia na kucomment nipeni like zenu

  • @breezysaspect6172
    @breezysaspect6172 Год назад +2

    🤣🤣💯

  • @aureusnchimbi7243
    @aureusnchimbi7243 Год назад

    🤜

  • @nancynkya4462
    @nancynkya4462 Год назад

    hiii nikazi kubwa kaka haitakiwi kuishia tu RUclips

  • @cylne6111
    @cylne6111 Год назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 3 месяца назад

    ❤❤❤😂😂😂😂

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 Год назад +1

    Babaaaaaaaa

  • @alex181
    @alex181 Год назад

    😂namkubal bhailam anavocheka so poa unyama kicheko flan

  • @clarisraha6871
    @clarisraha6871 Год назад

    Msamehe hatorudia kosa kurudia kosa ndio kosa

  • @JunMbawala-iq9gi
    @JunMbawala-iq9gi Год назад

    Mbna nikitaka kujiunga inagoma

  • @dogbydangotebabalao7908
    @dogbydangotebabalao7908 Год назад

    Bailhammmmmmm

  • @sosaseaman
    @sosaseaman Год назад

    Huyu police wa inchi gani form

  • @salimgona7918
    @salimgona7918 Год назад +1

    👍👍👍

  • @bashirimussa2154
    @bashirimussa2154 Год назад

    Sonia😢

  • @fatumaramadhan4475
    @fatumaramadhan4475 Год назад +1

    😍😍😍

  • @lulutv9339
    @lulutv9339 Год назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @Du-Rango
    @Du-Rango Год назад

    HAKUNA MWANAMUME AMBAYE NI MALAYA,... SHAME ON YOU VERY CHEAP VIDEOS.

  • @josephmirambo
    @josephmirambo Год назад +1

    Good job

  • @NurulAbswartv
    @NurulAbswartv Год назад +1

    Good job