Karibu kujiunga na group la What's app BONYEZA LINK 👉👉chat.whatsapp.com/Jqzzxa1X8Qz... Subscribe hapa : / @bhailamkhan Like Ukurasa wetu wa Facebook : facebook.com/profile.php?...
Bhailam! Bhailam! Bhailam! Nimekuita Mara 3. Mungu akujalie afya njema na akulindie kipaji chako uzidi kuielimisha jamii. Funzo juu ya funzo. Nimeanza kukufuatilia kwenye funzo kwa chumvi nikaamua nikufuate huku. Movie zako ni maisha yetu halisi. Unatufundisha haswaaaa.
Nilikuwa naangalia hapa nikamwambia ndugu yng mmoja kuwa nakuona mbali na kikubwa pambana na kipaji chako kiheshimu na Mungu atakujalia ila Mapungufu yko pambana nayo ndugu. 🤲🤲🤲🙏🙏🙏 Bless
Kaka yangu Bhailam sijui niseme nini. Nakupenda na ninapenda kazi zako. Wewe ni wa muhimu sana katika jamii. Wewe ni mwalimu mwenye busara jamii inahitaji. Mungu akulinde na akubariki. Asante kwa mafundisho na ushauri.
Kazi nzuri sana Ila kwa upande wa Afande angalau bhs mkiigiza Tena sehemu inayo hitaji mtuhumiwa kukamatwa Afande awe ata na Pingu amfunge mtuhumiwa itaongeza uhalisia zaidi
Karibu kujiunga na group la What's app
BONYEZA LINK 👉👉chat.whatsapp.com/Jqzzxa1X8Qz...
Subscribe hapa :
/ @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : facebook.com/profile.php?...
Jaman mbona mim nikijoin ilo group la whatsapp inakataa shida nin au ndo nina gundu
Hii link ya watsap inakataa mkuu
@@Maokototv100 Bhailam bas awake number ya whatsapp apo tutume sms huko watuunge kama iyo link inamushkeri
Bhailam wewe na ela unapewa mzigo unakula khaaa saluti kwako😂😂😂😂
Niunge kwenye group
Bhailam! Bhailam! Bhailam! Nimekuita Mara 3. Mungu akujalie afya njema na akulindie kipaji chako uzidi kuielimisha jamii. Funzo juu ya funzo. Nimeanza kukufuatilia kwenye funzo kwa chumvi nikaamua nikufuate huku.
Movie zako ni maisha yetu halisi. Unatufundisha haswaaaa.
Bhailam ktk level za juu. Upon vizuri mno kaka. Movie zako ni visa halisi ktk maisha yetu. Mafunzo tupu
Uyo binti Wa bhailam kwa Iyi movie anaeza igiza kabisa
Shukrani Sana❤❤
Nilikuwa naangalia hapa nikamwambia ndugu yng mmoja kuwa nakuona mbali na kikubwa pambana na kipaji chako kiheshimu na Mungu atakujalia ila Mapungufu yko pambana nayo ndugu. 🤲🤲🤲🙏🙏🙏 Bless
Kaka yangu Bhailam sijui niseme nini. Nakupenda na ninapenda kazi zako. Wewe ni wa muhimu sana katika jamii. Wewe ni mwalimu mwenye busara jamii inahitaji.
Mungu akulinde na akubariki.
Asante kwa mafundisho na ushauri.
Nakupenda sana dada una ushauri nsuri sana
Bhailam mwamba hongera sana na wenzako wote 👏👏👏
Nimependa huyo dada grace ni mwelewa sana.
Kazi MZURI Sana nimependa sana huyo binti wa bhailam alivyojistiri ongera yake.
Shukrani 🙏🙏
Kazi nzur Sana na mzidi kufanya nzur saidi Mungu awainue
Kazi nzuri sana
Ila kwa upande wa Afande angalau bhs mkiigiza Tena sehemu inayo hitaji mtuhumiwa kukamatwa Afande awe ata na Pingu amfunge mtuhumiwa itaongeza uhalisia zaidi
tutalifanyia kazi ilo
@@Bhailamkhan respect bro 💪
Upo vizuri mzee baba una baya kwenye hili ....movie zako ni mafunzo 2pu
Jamani nipenda Sana
Bhailam ni mmoja tu❤
Good hongera bailam
tunakupenda kaka unaziba pengo la kanumba 👍👍
Aseeeee kijana Malaya ata shetani akasomi
C cool 🔥🔥🎤🎤🎤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪
Bhailam 😂😂klicho na mwanzo kna mwsho hya jela hiyoo😅❤❤
Nzuri sana! un très bon boulot! félicitations
Kma umegundua hyu mke wa afande anajarbu njia za vai wew ni mwamba😂😊
Huyu askari anajua huyu jamaa ni fundi kinoma..
Nkupenda kidaw jmn❤❤❤❤
Na yeye anakupenda pia amenambia
@@vikramkanjibay01 nafurah kusikia hvyoo jmn dd kidawa
Nakupenda pia❤❤
Hooo good work
😂😂😂😂😂aisee baba wa hiv namkata mtama
😂😂😂 best sana daddy 😂😂😂
Good job wallah mimi ingekua hii ndo Familia yangu sintaruhusu huu ujinga haki vile nitapambana mpaka kieleweke
Nitumie namba yako ya WhatsApp bhailam by kagere mbande
Mbwela na Bhailam mna vipaji halisia kabisa
Huyu jamaa chuma,,, anajua kuigiza sanaa
Unajitahid Ila utuleteagi mwendelezo wa movie sijui unafeli wapi
Sonia mzuri sana yupo wapi❤❤
Good job
Hahahaaaa baila unajua kwakweli dah..
Nakupenda bure
NAKUPENDA PIA
Unaweza kaka yangu
More appreciation broo,,,on e a citizen always a citizen
Bhailam unajua sana
Waooo!!! Good job
Thank you! 😊
Nakubar kaka
Nakubali unaeza Bhailam
Bhailam at it again 🙏
Kaz nzur
Jmn mbn mm sioni wateja wakinunua bidhaa kwa binti wa bahilam
Mda wa kula wateja bado 😂😂😂😂
Namkubaliii bhailam😅
Eti ile ya kifafa hajaisikia vizuri😂
Jamani kidawa anajua
Ahsante❤❤
Wapo wazee kama wao😢😢
Nimechelewa kidogo ila nimepata seat
Bhailam kubali saana
Bailam mbone usijiunge mkojani gang
Jama yuko vizuli kweli 😂😂
Bilam nakupenda Bure😘
Eti anaumwa huyu pole pole 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nice Work 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Mhhhh apo kweny police hajavaa uhusika 😭
Atali San bailamu
Naona leo wamwisho jmn 😒😒😒courage pro ila huyu baba daah 😱😂
Niko mombasa kenya nishabiki wako hapo ungekua na violet na Sarah ingekuwa Tamu
Nipe like
Road to 10k guys🥳🥳🥳let's do this ❤❤❤
Great
Xix❤and E❤😢😢😂
🔥🔥
Hyo bb ameletwa utadhan n mtoto wake ak ibu jameni
❤️❤️
Binti yako dada koma wé!
😂😂😂
Wakwanza kuangalia na kucomment nipeni like zenu
🤣🤣💯
🤜
hiii nikazi kubwa kaka haitakiwi kuishia tu RUclips
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤😂😂😂😂
Babaaaaaaaa
😂namkubal bhailam anavocheka so poa unyama kicheko flan
Msamehe hatorudia kosa kurudia kosa ndio kosa
Mbna nikitaka kujiunga inagoma
Bailhammmmmmm
Huyu police wa inchi gani form
👍👍👍
Sonia😢
😍😍😍
😭😭😭😭😭😭😭😭
HAKUNA MWANAMUME AMBAYE NI MALAYA,... SHAME ON YOU VERY CHEAP VIDEOS.
Good job
Good job