MWALIMU MGENI; KIJANA ALIE UZA NYUMBA ILI ANUNUE CAMERA YA KUIGIZIA, BABA JOAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 197

  • @Deborahdepsy-qh4rj
    @Deborahdepsy-qh4rj 10 месяцев назад +2

    Nakupenda sana mwalimu movi zako huwanamafunzo sana umenifanya nichochee talanta yangu kwaimani nakuombea mungu akutimizie maombi yako

  • @AngelinaKinuthia
    @AngelinaKinuthia Год назад +4

    Mwalimu mgeni wee wamwanya kabisha,busara Na hekima kwako kimbindi yako naifuatagiriaga Sana ,inanigusaga mno Wale wako Na vipaji❤❤❤🎉

  • @Bahati-vc8fo
    @Bahati-vc8fo 10 месяцев назад

    Aki mashaallah mwalimu mgeni uko vizuri Allah akupe guvu na akupe moyo uzidi kuendelea

  • @patricksonandanje4632
    @patricksonandanje4632 11 месяцев назад +1

    Mwalimu mgeni huwa sichoki kutazama filamu zenu kutoka huku Kenya.Respect kwako..

  • @user-cv8kw8kd4k
    @user-cv8kw8kd4k Год назад

    Mwalim mgeni ninasubiri episode 14.. uko sawa . Uko vizuri sana. Nimeipenda sana

  • @alexpaster4853
    @alexpaster4853 11 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana Mwalim mgeni,kazi nzuri ...Mungu yu pamoja nawe...

  • @zacdere9097
    @zacdere9097 Год назад +16

    Mwalimu mgeni hoiyeee like zangu kutoka Kenya please

  • @Prettygirl-s3o
    @Prettygirl-s3o 11 месяцев назад +1

    Uko vizuri baba Joan Mungu akufikishe mbali zaidi

  • @danieljilala
    @danieljilala 11 месяцев назад

    Hongeraa sanaaa mwalimu mgeni Mungu akutie nguvu katika kazi zakoooo uzidi kutuelimisha zaidiiii 🙏🙏🙏💓💓💓❤️❤️❤️

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Год назад +5

    We mwalimu una hekima saana ❤Mtegemee Mungu pia

  • @jacksonbenjamin9949
    @jacksonbenjamin9949 11 месяцев назад +1

    Kazi yako nimeitumia kuwaelimisha watoto wangu na wamejitambua kuwa kufeli shule sio kufeli maisha pia ipo vizuri kiroho Mungu akubariki ufike mbali

  • @GladishKnow
    @GladishKnow 11 месяцев назад

    Hpo mwalimu umeweza am watching from Saudi kazi nzur safi san bigup👍👍👍

  • @exaverymakoye6026
    @exaverymakoye6026 11 месяцев назад

    Amen sana Mungu akuzidishie zaidi kwa kukumbuka umhim wa sisi watazamaji wako

  • @maxmiliankadawiibalaja2198
    @maxmiliankadawiibalaja2198 Год назад +6

    Namkubali Sana Mwamba huyo Mwalimu mgeni 💪

  • @PastorJonasfamily
    @PastorJonasfamily 10 месяцев назад

    Tunakupenda sana mwalimu mugeni

  • @elijahonyancha5018
    @elijahonyancha5018 Год назад +2

    Namkubali sana sana mwalimu god bless you so much walai 💯👍

  • @EdinaMayo
    @EdinaMayo Год назад +5

    Ntusubhile kandimbele bhileke ibhileke bhigende ibhindi bhiloza ,umetisha kaka Muha mwenzangu💪💪😅😅

    • @ramadhanjumanne8882
      @ramadhanjumanne8882 Год назад +1

      Tupe tafsiri yake

    • @NUHUONLINETV
      @NUHUONLINETV Год назад

      @@ramadhanjumanne8882 anakujambia unanuka

    • @ramadhanjumanne8882
      @ramadhanjumanne8882 Год назад

      Ahsante Kwa tafsiri! Niliwahi kuskia huo msemo kwa Mo Music kwenye kibao chake cha "Basi nenda" kuna ubeti anatamka hayo maneno.

  • @BeatriceMose-n1n
    @BeatriceMose-n1n 10 месяцев назад

    Mwlimu mgeni na clam kwei mbarikiiwe sana❤

  • @SimonManirakiza-k3e
    @SimonManirakiza-k3e 10 месяцев назад

    Ntawuryakatamugoye mwenewacu baba joan ndagukundanda caaane

  • @maxmiliankadawiibalaja2198
    @maxmiliankadawiibalaja2198 Год назад +8

    Mtangazaji Mwambie Baba Johan nahitaji msaada wake kwenye Sanaa ya Uigizaji kwa ujumla maana nimekosa mtu wa kunishika mkono

  • @livingstonhezron6722
    @livingstonhezron6722 Год назад +3

    Mwalimu Mgeni Respect kwako

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi 11 месяцев назад

    Duh ebwanae polesana mwalimumgeni nawafikishiesalamu mama namkeo waambie nawapapolexana kwauzito walioupitie wote nawapendasana familiyamzima munguawabarikini sana

  • @TabiaNchimbi
    @TabiaNchimbi 10 месяцев назад

    Bab joan unajua buan kiukweli mungu akusimamie🎉

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. Год назад +5

    Leo ombi langu limetimia kabisa ahsanteni sana 😢😢😢😢😢❤❤❤❤🙏🙏🙏

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 11 месяцев назад

    Usijali endekea kutupatia vtu vzr, tunapenda kazi zako, nasi tupo boda ya Msumbiji.

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi 11 месяцев назад

    Ndio nikweli ahsante mwalimumgeni upovzurixana mungu akuongoze na azidikukuinua kwanza nimkweli upomuwazisana

  • @SadikMwakapwisa
    @SadikMwakapwisa 11 месяцев назад

    Mwalimu eee kazi yako iko powa na ni nzuri inatufunza sana hata tukiwa kitaa so big up sana

  • @veronicanyangi501
    @veronicanyangi501 10 месяцев назад

    Amina mwalimu mgeni❤❤❤

  • @gikundirofrancois9556
    @gikundirofrancois9556 Год назад +1

    Mwalimu mgeni ❤ enderea kutumburundisha

  • @Lunesavage-vu8yv
    @Lunesavage-vu8yv Год назад +1

    Tunamkubali sana anajua uyo kbx😍

  • @REHEMANCHALIKA
    @REHEMANCHALIKA 10 месяцев назад

    Mwalimu mgeni yuko na konqubin yan mchepuko 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @witnesskessy9705
    @witnesskessy9705 Год назад +1

    Nampenda sana yuko vizuri😊❤

  • @kabendemustari4625
    @kabendemustari4625 11 месяцев назад

    Nakufurahiya sana,nami ni muha nipo Rwanda. Jina ni Pascal kutoka gisenyi towt

  • @TabiaNchimbi
    @TabiaNchimbi 10 месяцев назад

    Mwalim mgeni 🎉🎉🎉🎉

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi 11 месяцев назад

    Hongerasana mwalimumgeni

  • @romanilyimo
    @romanilyimo Год назад +3

    Baba Johan hapo kwenye miaka umetupiga za macho kabisa

  • @AshuraAhmed
    @AshuraAhmed Год назад +2

    Mwalimu mwenye busara na hekma zake❤❤❤

    • @suleimanrashid58
      @suleimanrashid58 Год назад

      Muongo huyo haifanani jibaba lote hilo kuwa na umri huo hata ukicalculete utakuta ni 25

  • @RahmaSaid-j3k
    @RahmaSaid-j3k 11 месяцев назад

    Uko vizuri hongera sana

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 11 месяцев назад

    Nikweli kabsa kaka ukovizur sana mana nina Chek sana muvu zako umetisha sana ❤❤👈👈👍👍👍👍🙏🙏🙏👍👍

  • @NDAYISHIMIYEMartine-md1yu
    @NDAYISHIMIYEMartine-md1yu 10 месяцев назад

    Mwalimu mugeni Mungu azidishiye mibalaka kwakipaji chako umecheza vidhuli kwaujasili

  • @EliasKisao
    @EliasKisao 11 месяцев назад

    Kama ntusuvire uko vizuri yaani umenikumbusha mengi

  • @joelokayomakori
    @joelokayomakori 9 месяцев назад

    congratulations 🎇🎇🎇🎇ila usemi fulani apo umenigusa sana

  • @PaulMulikha
    @PaulMulikha 11 месяцев назад

    Mwalimu mgeni hongera sana

  • @MJFAMILY2005
    @MJFAMILY2005 10 месяцев назад +1

  • @erastojr1195
    @erastojr1195 Год назад +1

    Mwalimu mgeni big up sana broo🎉

  • @edgarmomanyioigo7428
    @edgarmomanyioigo7428 Год назад +3

    Leo mm kawaii nipeeni zangu

  • @hellenluvuno8798
    @hellenluvuno8798 Год назад +1

    Waah kumbe mwalimu mgeni n kijana mdogo hivo😂😂

  • @Aaron-eg4sy
    @Aaron-eg4sy 10 месяцев назад

    Tumika tu n'a mungu aku bariki

  • @florencenekesa5199
    @florencenekesa5199 11 месяцев назад

    May God bless you mwalimu mgeni🙏,,,
    Alafu nimebaki apo kwa Steve mangumi😂😂can someone like my comment pliz😂😂😂

  • @AliKhamisi-f4m
    @AliKhamisi-f4m Год назад +1

    Mwalimu mgeni naiyangalia kila ukipost🇴🇲

  • @atanasjisonge2538
    @atanasjisonge2538 Год назад

    Big up sana baba Joan ata miye nimeanza kukufuatalia kwenye mwalim mgeni

  • @DorcasDori-p2n
    @DorcasDori-p2n 11 месяцев назад

    Baba Joan unaweza sana 🙏 🙏 🙏

  • @رحمهبهاري
    @رحمهبهاري 10 месяцев назад

    Mmmh jaman kumbe mdgo nimedhan tuko sawa 💋

  • @nadiahsambo1799
    @nadiahsambo1799 Год назад +1

    Mwalimu mgeni nangoja episode 16

  • @aliceshija3123
    @aliceshija3123 11 месяцев назад

    Baba joan unaweza sana,pia unabusara sana

  • @sergesnshimirimana6049
    @sergesnshimirimana6049 11 месяцев назад

    Bireke bigend ibindi biroza kbs Ata na kwa kirundi ndo hivo hivo🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @MaryamShaaban-y3b
    @MaryamShaaban-y3b Год назад

    Hongera mwalim mgen❤❤

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 Год назад

    Waoooooh Muha mwenzetu

  • @NaivaetNai
    @NaivaetNai Год назад

    Ila mwalimu mgeni Bora uslimu

  • @ENOCKSAM1015
    @ENOCKSAM1015 11 месяцев назад +1

    Mwalimu Ntunzu,namkubali sana ❤

  • @HamzaHado-t2c
    @HamzaHado-t2c Год назад

    Uko vizuri broo naisubili ijayo

  • @JustusRweyemamu-e3g
    @JustusRweyemamu-e3g 11 месяцев назад

    Safi sana naba joani wewe nufughter

  • @emmanueloinoth
    @emmanueloinoth Год назад +1

    Mwalimu mgeni ❤❤❤❤

  • @KulwaStephen
    @KulwaStephen Год назад +2

    Safi Sana mwalimu mgeni🎉🎉🎉

  • @GideonMasina
    @GideonMasina 11 месяцев назад

    Mwalimu Mugen namukubali

  • @SaSa-st8st
    @SaSa-st8st Год назад +2

    nakuomba kama utapata na fasi act mchezo huo halafu unafikia jela bila ya kufanya kosa bali umesingiziwa baada ya kutimikia jela ndio ukweli unatokea na kuifunza dunia uonevu wa kupewa .yani mm nina ndugu wapo jela kwakusingiziwa kumbaka mwanafunzi

  • @DhgFhc-bs7dd
    @DhgFhc-bs7dd Год назад

    I do like baba Joan yaani Mwalimu mgeni

  • @salmashabani3158
    @salmashabani3158 11 месяцев назад

    Yaan twakupenda sana baba Joan ❤❤❤

    • @thomasarandi7965
      @thomasarandi7965 11 месяцев назад

      KUTOKA KENYA ZAKO ZAPENDESA SANA MWALIMU MGENI

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 11 месяцев назад

    Nakusapoti sana una akili ww mana huku taka kupangisha ulinunua tena napia utatoboa tuu mungu yupo nawe kilajambo nikumuamin mungu tuu hongera sn👍👍👍👍👍👍👈👈👈👈🌹🙏🙏🙏🙏🙏

  • @abdallahmahsen4091
    @abdallahmahsen4091 9 месяцев назад +1

    CONGRTS SIJAWAHI ONA INTERVIEW YAKO ,,, KAZA KIPINDI SABABU UNA DEAL NA TAIFA LA KESHO ,,,

  • @CalebNaibei-z8y
    @CalebNaibei-z8y 11 месяцев назад

    mungu awe pamoja nawe mwalimu mgeni

  • @lilymkwizu6884
    @lilymkwizu6884 Год назад +1

    Sio kweli, huyo ni kuanzia 30 above

  • @xtinewarui8600
    @xtinewarui8600 Год назад +1

    Still waiting mwalimu mgeni 15

  • @LusekelokyambaKyamba
    @LusekelokyambaKyamba 11 месяцев назад

    Nakubali sana

  • @ConsolataJohn-u1k
    @ConsolataJohn-u1k 10 месяцев назад +1

    Baba joan we ni muongo et miaka 24😂😂😂

  • @RadegundaChambi-ec7yw
    @RadegundaChambi-ec7yw Год назад +1

    Namkubali mno yuko vizuri kwenye majukumu yake hiyo nafasi wengi wanateswa kwenye makazi yao hasa ukiwa na vipaji

  • @HalimaSharrif
    @HalimaSharrif 11 месяцев назад

    hata mimi nimekuangalia leo tuu lakini nimekukubali mwalim mgeni pale shule ulipochukua hekma mwanafunzi aliekufokea kuhusu kutoa mimba!! mungu akupe hitaji la moyo wako

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly Год назад +4

    Ila watu wakigoma saut zinafanana saut yako kama ya ndalo

  • @ScolasticaPeter
    @ScolasticaPeter 10 месяцев назад

    Unajutahidi Sana kaka

  • @johnmaky9383
    @johnmaky9383 11 месяцев назад

    Très intelligent mon frère qui Jésus Christ te comble a jamais Zaïre (RDC)

    • @johnmaky9383
      @johnmaky9383 11 месяцев назад

      Que Jésus Christ te garde à jamais

  • @SammyNjuguna-t3t
    @SammyNjuguna-t3t 10 месяцев назад

    Mimi niko Kenya Nairobi kanazawa kabisa tunaona nwatoto

  • @Zakayo-z1k
    @Zakayo-z1k Год назад +1

    baba Joan namkubsalii sana

  • @janethmshahara4048
    @janethmshahara4048 Год назад

    Nakupenda jmn ilo jina Sasa doooh

  • @PaulMipata
    @PaulMipata Год назад +1

    Kwa miaka hapo tumepigwa ila mwalimu mgeni upovizuri na unamsimamo

  • @DamianoCostantine-bn3rl
    @DamianoCostantine-bn3rl Год назад

    Mhhh miaka 24 sio kweli

  • @ezekielvictor5212
    @ezekielvictor5212 10 месяцев назад

    Nakukubar kwa kuelimisha mambo haya yapo

  • @FaustinMagwala
    @FaustinMagwala Год назад

    Nampenda sana tuzubere

  • @shadrackndossy8181
    @shadrackndossy8181 11 месяцев назад

    2015 alienda chuo gan? Wakati ndo alikuwa form two uyu ege imeenda anatupanga tu sema tuna kukubali ivyo ivyo

  • @BagenzaAsmani
    @BagenzaAsmani Год назад +1

    1998ao 1999 wa Bongo muna vituko.

  • @paschaelcheyo
    @paschaelcheyo 11 месяцев назад

    ndugu tunasubiri mwendelezo wa mwalimu mgeni binti mwenye mimba na yule mwalimu waliishiaje

  • @YunusiAthumani-zg8py
    @YunusiAthumani-zg8py 10 месяцев назад

    Mbona kwenye umri kaongopa 1998mpaka ss ana miaka 25 aseme ukweli tuu asifiche umri

  • @samwelmagodi753
    @samwelmagodi753 Год назад +1

    Baba joan/mwl mgeni nitumie jina la hiyo chemical uliyotumiq kumaliza hizo ndevu za juu.

  • @MadinaAhmed-u9z
    @MadinaAhmed-u9z 11 месяцев назад +2

    Waha wote tujuane bhireke bhigende ibhindibhirodha pigakaz

  • @rithanaftal8616
    @rithanaftal8616 Год назад

    Mwalimu mgeni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 Год назад +1

    Ulizaliwa 98 then 99 ukaenda sanday school 😂😂 na bado unayakimbuka ya wakati upo na mwaka mmoja yaani unakumbuka paka utamu wa matiti ya mama😂😂
    ILA NIMEKUMBUKA WE NI MUIGIZAJI😂😂

  • @musicgospel7353
    @musicgospel7353 Год назад

    Majina wee makalio sana

  • @floribertmandro8883
    @floribertmandro8883 Год назад

    Ndugu yangu hata na mimi nina ngoja Episoder 14. Jamani unafanya muzuri.

  • @hafidhbakari7228
    @hafidhbakari7228 Год назад

    Mbona episode zinachelewa kutoka

  • @KhalidMadenge
    @KhalidMadenge 11 месяцев назад

    Ulikosea tu kumaliza alitakiwa mwalimu mkuu namwalimu washule nyingine

  • @ChuxDaniel
    @ChuxDaniel Год назад +1

    Uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uhooo 24 weee