nakuomba kama utapata na fasi act mchezo huo halafu unafikia jela bila ya kufanya kosa bali umesingiziwa baada ya kutimikia jela ndio ukweli unatokea na kuifunza dunia uonevu wa kupewa .yani mm nina ndugu wapo jela kwakusingiziwa kumbaka mwanafunzi
Nakusapoti sana una akili ww mana huku taka kupangisha ulinunua tena napia utatoboa tuu mungu yupo nawe kilajambo nikumuamin mungu tuu hongera sn👍👍👍👍👍👍👈👈👈👈🌹🙏🙏🙏🙏🙏
hata mimi nimekuangalia leo tuu lakini nimekukubali mwalim mgeni pale shule ulipochukua hekma mwanafunzi aliekufokea kuhusu kutoa mimba!! mungu akupe hitaji la moyo wako
Ulizaliwa 98 then 99 ukaenda sanday school 😂😂 na bado unayakimbuka ya wakati upo na mwaka mmoja yaani unakumbuka paka utamu wa matiti ya mama😂😂 ILA NIMEKUMBUKA WE NI MUIGIZAJI😂😂
Nakupenda sana mwalimu movi zako huwanamafunzo sana umenifanya nichochee talanta yangu kwaimani nakuombea mungu akutimizie maombi yako
Mwalimu mgeni wee wamwanya kabisha,busara Na hekima kwako kimbindi yako naifuatagiriaga Sana ,inanigusaga mno Wale wako Na vipaji❤❤❤🎉
Aki mashaallah mwalimu mgeni uko vizuri Allah akupe guvu na akupe moyo uzidi kuendelea
Mwalimu mgeni huwa sichoki kutazama filamu zenu kutoka huku Kenya.Respect kwako..
Mwalim mgeni ninasubiri episode 14.. uko sawa . Uko vizuri sana. Nimeipenda sana
Ubarikiwe sana Mwalim mgeni,kazi nzuri ...Mungu yu pamoja nawe...
Mwalimu mgeni hoiyeee like zangu kutoka Kenya please
Uko vizuri baba Joan Mungu akufikishe mbali zaidi
Hongeraa sanaaa mwalimu mgeni Mungu akutie nguvu katika kazi zakoooo uzidi kutuelimisha zaidiiii 🙏🙏🙏💓💓💓❤️❤️❤️
We mwalimu una hekima saana ❤Mtegemee Mungu pia
😂😂😂tunakukubali ilamyakabadoo 😂😂😂😂
Mbona iyirlugakamakiburundiminaku elewa😂😂😂yani
Kazi yako nimeitumia kuwaelimisha watoto wangu na wamejitambua kuwa kufeli shule sio kufeli maisha pia ipo vizuri kiroho Mungu akubariki ufike mbali
Hpo mwalimu umeweza am watching from Saudi kazi nzur safi san bigup👍👍👍
Amen sana Mungu akuzidishie zaidi kwa kukumbuka umhim wa sisi watazamaji wako
Namkubali Sana Mwamba huyo Mwalimu mgeni 💪
Tunakupenda sana mwalimu mugeni
Namkubali sana sana mwalimu god bless you so much walai 💯👍
Ntusubhile kandimbele bhileke ibhileke bhigende ibhindi bhiloza ,umetisha kaka Muha mwenzangu💪💪😅😅
Tupe tafsiri yake
@@ramadhanjumanne8882 anakujambia unanuka
Ahsante Kwa tafsiri! Niliwahi kuskia huo msemo kwa Mo Music kwenye kibao chake cha "Basi nenda" kuna ubeti anatamka hayo maneno.
Mwlimu mgeni na clam kwei mbarikiiwe sana❤
Ntawuryakatamugoye mwenewacu baba joan ndagukundanda caaane
Mtangazaji Mwambie Baba Johan nahitaji msaada wake kwenye Sanaa ya Uigizaji kwa ujumla maana nimekosa mtu wa kunishika mkono
Really
Mwalimu Mgeni Respect kwako
Duh ebwanae polesana mwalimumgeni nawafikishiesalamu mama namkeo waambie nawapapolexana kwauzito walioupitie wote nawapendasana familiyamzima munguawabarikini sana
Bab joan unajua buan kiukweli mungu akusimamie🎉
Leo ombi langu limetimia kabisa ahsanteni sana 😢😢😢😢😢❤❤❤❤🙏🙏🙏
😂😂😂😂😂mcepukojamani😂😂😂😂
Usijali endekea kutupatia vtu vzr, tunapenda kazi zako, nasi tupo boda ya Msumbiji.
Ndio nikweli ahsante mwalimumgeni upovzurixana mungu akuongoze na azidikukuinua kwanza nimkweli upomuwazisana
Mwalimu eee kazi yako iko powa na ni nzuri inatufunza sana hata tukiwa kitaa so big up sana
Amina mwalimu mgeni❤❤❤
Mwalimu mgeni ❤ enderea kutumburundisha
Tunamkubali sana anajua uyo kbx😍
Mwalimu mgeni yuko na konqubin yan mchepuko 🎉🎉🎉🎉🎉
Nampenda sana yuko vizuri😊❤
Nakufurahiya sana,nami ni muha nipo Rwanda. Jina ni Pascal kutoka gisenyi towt
Mwalim mgeni 🎉🎉🎉🎉
Hongerasana mwalimumgeni
Baba Johan hapo kwenye miaka umetupiga za macho kabisa
😂😂😂😂😂
Mwalimu mwenye busara na hekma zake❤❤❤
Muongo huyo haifanani jibaba lote hilo kuwa na umri huo hata ukicalculete utakuta ni 25
Uko vizuri hongera sana
Nikweli kabsa kaka ukovizur sana mana nina Chek sana muvu zako umetisha sana ❤❤👈👈👍👍👍👍🙏🙏🙏👍👍
Mwalimu mugeni Mungu azidishiye mibalaka kwakipaji chako umecheza vidhuli kwaujasili
Kama ntusuvire uko vizuri yaani umenikumbusha mengi
congratulations 🎇🎇🎇🎇ila usemi fulani apo umenigusa sana
Mwalimu mgeni hongera sana
❤
Mwalimu mgeni big up sana broo🎉
Leo mm kawaii nipeeni zangu
Waah kumbe mwalimu mgeni n kijana mdogo hivo😂😂
Tumika tu n'a mungu aku bariki
May God bless you mwalimu mgeni🙏,,,
Alafu nimebaki apo kwa Steve mangumi😂😂can someone like my comment pliz😂😂😂
Mwalimu mgeni naiyangalia kila ukipost🇴🇲
Big up sana baba Joan ata miye nimeanza kukufuatalia kwenye mwalim mgeni
Baba Joan unaweza sana 🙏 🙏 🙏
Mmmh jaman kumbe mdgo nimedhan tuko sawa 💋
Mwalimu mgeni nangoja episode 16
Baba joan unaweza sana,pia unabusara sana
Bireke bigend ibindi biroza kbs Ata na kwa kirundi ndo hivo hivo🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hongera mwalim mgen❤❤
Waoooooh Muha mwenzetu
Ila mwalimu mgeni Bora uslimu
Mwalimu Ntunzu,namkubali sana ❤
Uko vizuri broo naisubili ijayo
Safi sana naba joani wewe nufughter
Mwalimu mgeni ❤❤❤❤
Safi Sana mwalimu mgeni🎉🎉🎉
Mwalimu Mugen namukubali
nakuomba kama utapata na fasi act mchezo huo halafu unafikia jela bila ya kufanya kosa bali umesingiziwa baada ya kutimikia jela ndio ukweli unatokea na kuifunza dunia uonevu wa kupewa .yani mm nina ndugu wapo jela kwakusingiziwa kumbaka mwanafunzi
I do like baba Joan yaani Mwalimu mgeni
Yaan twakupenda sana baba Joan ❤❤❤
KUTOKA KENYA ZAKO ZAPENDESA SANA MWALIMU MGENI
Nakusapoti sana una akili ww mana huku taka kupangisha ulinunua tena napia utatoboa tuu mungu yupo nawe kilajambo nikumuamin mungu tuu hongera sn👍👍👍👍👍👍👈👈👈👈🌹🙏🙏🙏🙏🙏
CONGRTS SIJAWAHI ONA INTERVIEW YAKO ,,, KAZA KIPINDI SABABU UNA DEAL NA TAIFA LA KESHO ,,,
mungu awe pamoja nawe mwalimu mgeni
Sio kweli, huyo ni kuanzia 30 above
Still waiting mwalimu mgeni 15
Nakubali sana
Baba joan we ni muongo et miaka 24😂😂😂
Namkubali mno yuko vizuri kwenye majukumu yake hiyo nafasi wengi wanateswa kwenye makazi yao hasa ukiwa na vipaji
hata mimi nimekuangalia leo tuu lakini nimekukubali mwalim mgeni pale shule ulipochukua hekma mwanafunzi aliekufokea kuhusu kutoa mimba!! mungu akupe hitaji la moyo wako
Ila watu wakigoma saut zinafanana saut yako kama ya ndalo
😂
😂😂
Unajutahidi Sana kaka
Très intelligent mon frère qui Jésus Christ te comble a jamais Zaïre (RDC)
Que Jésus Christ te garde à jamais
Mimi niko Kenya Nairobi kanazawa kabisa tunaona nwatoto
baba Joan namkubsalii sana
Nakupenda jmn ilo jina Sasa doooh
Kwa miaka hapo tumepigwa ila mwalimu mgeni upovizuri na unamsimamo
kabisa
Mhhh miaka 24 sio kweli
Nakukubar kwa kuelimisha mambo haya yapo
Nampenda sana tuzubere
2015 alienda chuo gan? Wakati ndo alikuwa form two uyu ege imeenda anatupanga tu sema tuna kukubali ivyo ivyo
1998ao 1999 wa Bongo muna vituko.
ndugu tunasubiri mwendelezo wa mwalimu mgeni binti mwenye mimba na yule mwalimu waliishiaje
Mbona kwenye umri kaongopa 1998mpaka ss ana miaka 25 aseme ukweli tuu asifiche umri
Baba joan/mwl mgeni nitumie jina la hiyo chemical uliyotumiq kumaliza hizo ndevu za juu.
Waha wote tujuane bhireke bhigende ibhindibhirodha pigakaz
Mwalimu mgeni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ulizaliwa 98 then 99 ukaenda sanday school 😂😂 na bado unayakimbuka ya wakati upo na mwaka mmoja yaani unakumbuka paka utamu wa matiti ya mama😂😂
ILA NIMEKUMBUKA WE NI MUIGIZAJI😂😂
Majina wee makalio sana
Ndugu yangu hata na mimi nina ngoja Episoder 14. Jamani unafanya muzuri.
Mbona episode zinachelewa kutoka
Ulikosea tu kumaliza alitakiwa mwalimu mkuu namwalimu washule nyingine
Uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uhooo uwongo uwongo uhooo 24 weee