NDOTO ZAKO MAFANIKIO YAKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
    • FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
    Kila mmoja wetu ameumbwa ili kufanya kitu fulani maalum sana katika maisha haya. Na kama mtu atafanikiwa kukifahamu na kukifanya kitu hicho basi hupata pumziko kubwa au ahueni, au afadhali au urahisi mkubwa sana kwenye maisha kwa upande wa furaha na hata mafanikio ya vitu vya kumiliki.
    Lakini kama ilivyo kawaida ya vitu vyote vyenye thamani ya kweli, mara nyingi havipatikani kirahisi mfano wa dhahabu, almas, lulu, Tanzanite na Madini mengine yoyote.
    .
    Jitahidi sana kufuatilia mambo haya manne muhimu ili uweze kuishi ndoto yako ambayo ndiyo muongozo katika maisha yako ya mafanikio makubwa.
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    .
    #NdotoZako #YourDream #EzdenJumanneTV

Комментарии • 245

  • @elizabethpaul646
    @elizabethpaul646 5 лет назад +11

    Mim ni msikikizaj mzur saan wa vipindi vyako,lkn nakuw mgumu kuyatendea kaz sijui kwann😔😔

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  5 лет назад +11

      Unatakiwa kuamua na kuanza. Tunayo nguvu ya maamuzi na kufanya uchaguzi maishani mwetu. Ukishaamua jilazimishe kwa siku 7 za mwanzo. Then 7 za pili halafu 7 za tatu kwani tabia mpya hujengwa ndani ya siku 21 tu baada ya hapo inakuwa automatic

    • @silvestamalila1223
      @silvestamalila1223 5 лет назад

      Nakufatilia sana kaka ila sija fanikiwa kusoma vitab vya ko 0763168193 nipo mbya nitavipataje.?

    • @marconyasele8731
      @marconyasele8731 4 года назад +1

      Nimependa san uxhauli wako mkubwa

    • @asetenyubenibaba6273
      @asetenyubenibaba6273 4 года назад

      Kaa chini vikiri upya

    • @babyhamisi5331
      @babyhamisi5331 4 года назад

      Uko sahihi kabisa, lakini lazima ujishinde wewe mwenyewe lazima uamue, utabadilika tu

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 5 лет назад +1

    Oooohhhhhh my.mwenyezi mungu akujalie kila la kheri kaka kwa kutupa elimu.

  • @markamwakibete7149
    @markamwakibete7149 5 лет назад +3

    Pole ndugu kwakazi ngum naona wazi unatuelimisha bure nasema asante pia nashukuru kwakunikumbusha mengi maishani naona wewe nirafiki mzuri hasa ungekuapo tangu nikiwa mdogo,maana kila nilichoona hakifai kwangu leo naona nisababu hasa iliopelekea mimi kua hiv najilaum kwakutofata njia nilzoona hazifai leo ndio maisha halisi, NIKWELI NDOTO HUFA KUTOKANA NAKUTIMIZA NDOTO YA MWINGINE NAKUSAHAULIKA KABISA, Hofu yangu kuu nikuchelewa

  • @emmanuelmagese4323
    @emmanuelmagese4323 5 лет назад +3

    I love the statement "Everyone is born unique but most of us die copies" Ezden Jumanne.......

  • @oman3527
    @oman3527 5 лет назад +2

    Upp sahihi. Magundisho yko yananguvu ya Mungu ndani yke lazima Anayesikia kitu fulni kifanyike ktk life yke so Kazana kitufundisha kaka maisha yetu yawe sehemu salama.

  • @nuhumoreninkoko8639
    @nuhumoreninkoko8639 2 года назад +2

    Ahsante sana kaka Ezden

  • @abdallahmauka493
    @abdallahmauka493 5 лет назад +5

    Safi sana broo nakufatilia sana nimejifunza vingi toka kwako na nitaenderea kuwa karibu ili nijifunze zaidi shukrani sana broo🙏🙏

  • @neemahonorath385
    @neemahonorath385 5 лет назад +13

    WW na joell nanauka n watu ambao mnanifanya nijione cko mwenyewe atakama wote wameni kataaa mnani fanya niishi ndoto yng c atuna chakuwalipa zaid ya kushukuru na kumwomba munda ilimzid kuwanyanyua walio kata tamaaa

    • @charlesmgina6264
      @charlesmgina6264 5 лет назад +1

      Neema Honorath nc

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  4 года назад +1

      Asante sana kwa comment nzuri. Naam @joelnanauka anafanya kazi nzuri sana sana pia.

    • @blessmoarusha1990
      @blessmoarusha1990 3 года назад

      Yan mm huwa wananitia moyo Sana Hawa jamaa na ukiweza kuyaish maneno ya hawa jakaaa ahakkia utajikuta unakuwa wa tofaut sana aiseee.

  • @ulimwenguwamitimifupi5113
    @ulimwenguwamitimifupi5113 5 лет назад +2

    Safi sana Kaka! Ujumbe mzuri.

  • @halimaismailfungameza7990
    @halimaismailfungameza7990 5 лет назад +7

    Kwanza shukuraan zako zikufikie popote ulipo tunakushuru coz kila ufundishalo cjawai kusikia hamasa ambalo limenikatisha tamaa kila hamasa ufundishalo unazidi kuniweka niwe bora zaidi inshallah, Allah bless you naamini penye nia pana njia nasi tunatakiwa kumiliki business zetu Asanti🙏🙏🙏 Sana kwa hamasa unazotufundisha sijawai kujutia bando langu😂😂😂😂

  • @zahirgomelo198
    @zahirgomelo198 5 лет назад +1

    Mentor thank you for all this good staff

  • @salimaalphonsine448
    @salimaalphonsine448 5 лет назад +6

    Asante sana brother napenda sana kazi zako from belgium +32🇧🇪

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  5 лет назад +2

      Nashukuru sana sana. Please keep sharing this message kwa wale unaona hii channel inaweza kuwa msaada. Be blessed!🙏🙏

  • @leahjohn9038
    @leahjohn9038 5 лет назад

    Yan co tu kukuelewa bali nimekupenda pia, leo hii umenifanya kusimama na kwenda na sio kurudi nyuma.
    Asante sana bro

  • @azyzahyussuf6804
    @azyzahyussuf6804 5 лет назад

    M.mng akusimamie katika kila hatua. unaongea yale yaliondani ya mioyo yetu. kila m2 n m2 wa kujifnz kwa mwenzake. mm najifnza kupitia wewe. hongera sana Mung akubrk ktk kazi zako pia akusimamie ktk kila kona ya maisha yako. Upo juuu zaid💖

  • @zainabsaid2173
    @zainabsaid2173 2 года назад

    Asante sana mungu akubariki kwa hili hakika nimejifunza mengi kupitia wew na naamin nikiyafanyia kama nitafanikiwa

  • @kevinmwemezi5374
    @kevinmwemezi5374 5 лет назад +1

    Mungu akubariki brother message zako zinatia moyo sana na kunifundisha

  • @swalhaprettyswalha7154
    @swalhaprettyswalha7154 5 лет назад +1

    Asante brother kwakaziako nzur naimani utawasaidia wale ambao wanaitajikusaidiwa kimawazo shukrani zote zikufikie popote ulipo asante mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @elizabethben2342
    @elizabethben2342 5 лет назад +1

    thanks bro ezden,mungu akuongoze

  • @selemanijuma546
    @selemanijuma546 3 года назад

    Mamb..Ubarikiwe sana...umebadilisha sana maisha yangu nimejiajiri na nina ofis yangu kwasasa bt nilianza kukufatilia mwaka 2 iliyopita mungu akubarik sana Amin.

  • @tegazaina7236
    @tegazaina7236 5 лет назад

    Asante kwa somo zuri na lenye faraja ndani yake, Allah akulipe inshallaj

  • @officialdillvan6815
    @officialdillvan6815 5 лет назад

    Thank you so much do you teach the pleople
    That good I LIKE 👍👍👍👍

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 5 лет назад +1

    Allah akubariki sanaa kwa kutufunza vingi

  • @eng.anoldkishumu3080
    @eng.anoldkishumu3080 5 лет назад +1

    Asante sana kaka

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 лет назад +1

    Napenda kukusikiliza whenever i get time. Asante kaka Ezden. We learn a lot.You r one of a kind. Mola akubariki 😘👍🙌

  • @celinedaniel6330
    @celinedaniel6330 5 лет назад +1

    hongera sana Kaka ezden kuwa motivational speaker si mchezo mchezo!.... hongera sana hata kwa speech hiii imesimama!

  • @jamesdastan5588
    @jamesdastan5588 5 лет назад +1

    Eeeeh bhana bro saf sana

  • @rahmamusemuse6526
    @rahmamusemuse6526 5 лет назад

    ManshaAllah Jazakha Khaira Allah akuongoze uzidishe kutuelimisha... Mi pia nimmoja Kati yawanafunzi wanao kufuatilia kwa ukaribu .

  • @salomekombo6166
    @salomekombo6166 5 лет назад +1

    Nakukubali sanaa broo

  • @emanuelyalexsandar6493
    @emanuelyalexsandar6493 3 года назад

    Napenda mafundisho yako pia nime nufaika kwa kiasi ki kubwa cz vile venye umenipa mwanga na maarifa katka njia na nia mungu aku barki popote ulipo aku inulie hekima forever nta penda mafundisho yako

  • @jarufuadam7272
    @jarufuadam7272 5 лет назад

    Topic nzur sana .

  • @veronicakaunda330
    @veronicakaunda330 5 лет назад +1

    Asante sanah nmepata fundisho

  • @mdudutv4535
    @mdudutv4535 5 лет назад +2

    Dah endelea kunipa madini kk one love

  • @bincy7840
    @bincy7840 4 года назад

    Full respect I really appreciate your teachings. Long live successful path each one teach one.

  • @mbekiclinic
    @mbekiclinic 4 года назад

    Ahsante sana booos!!!!!!

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 5 лет назад +1

    Nashukuru kwa elimu nzuri

  • @jescanzaly6282
    @jescanzaly6282 5 лет назад

    Good good bless u unatufungua hakika

  • @vuaihukum8384
    @vuaihukum8384 5 лет назад +1

    you're teachin' us many things about success
    So inakuwa ni vizuri sana kwetu sisi kwani tunapata ushauri na mawazo mazuri kutoka kwako
    WEWE SASA NI KIONGOZI JUST LEAD US TO GET SOMEMORE😍

    • @salimsaid6998
      @salimsaid6998 5 лет назад

      I am so impressed with your lectures full of inspiration and thoughts our life

    • @atubeka9317
      @atubeka9317 5 лет назад

      Safi Sana Kiongozi big up

  • @mwamvitakituka2994
    @mwamvitakituka2994 5 лет назад +1

    Ahsante J4, una ni encourage sana. Mungu akuzidishie afya.

  • @SalmaSalma-yc6dg
    @SalmaSalma-yc6dg 5 лет назад

    Shukran sana kaka nakufuatilia sana na iko siku nitakuletea majibu kwa yale nimejifunza

  • @swimcoachabel1105
    @swimcoachabel1105 5 лет назад

    Asante sana madini yako nayapokea yanazidi kunijenga

  • @nizigamabosco2095
    @nizigamabosco2095 4 года назад

    God bless you l love you so much, from burundi.

  • @everadakayanda7885
    @everadakayanda7885 5 лет назад

    Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri

  • @jacksonkinange4605
    @jacksonkinange4605 5 лет назад

    Kweli Kaka nimechoka kuishi maisha yasiyo yangu nafanyia kazi kuanzia sasa

  • @emotionalvoice972
    @emotionalvoice972 5 лет назад +1

    Kujifunza na kukiweka katika matendo, watu wanaweza kukudharau leo lakini kesho wakaheshima matokeo ya kile unachokifanya yakionekana,
    Allah azid kutupa afya njema ya mwili, akili na nafsi tuendelee kujifunza zaidi

  • @muutasimrashid135
    @muutasimrashid135 3 года назад

    bomba mkuu

  • @learn2earnclass
    @learn2earnclass 5 лет назад +2

    Kazi nzuri sana brother.. Asante

  • @erickerickmboge2403
    @erickerickmboge2403 4 года назад +1

    Asante barikiwaa sana

  • @jacksonchimomo554
    @jacksonchimomo554 5 лет назад +1

    Vizur Sana kijana unafanya kazi nzur

  • @shauricaptain4619
    @shauricaptain4619 5 лет назад +1

    Dah,,, hii iko poa balaa

  • @richarvalsn7944
    @richarvalsn7944 5 лет назад +2

    Makubali💯

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 3 года назад +1

    I have learn a lot today, much respect bro

  • @gladmboya2385
    @gladmboya2385 5 лет назад +1

    Ubarikiwe sana brother,

  • @yehovashamatv4178
    @yehovashamatv4178 5 лет назад +1

    Thanks bro God bless you

  • @alicemzaza8460
    @alicemzaza8460 5 лет назад +1

    Asante kaka mungu hakubariki Sana kakang

  • @everlinekawawa5759
    @everlinekawawa5759 5 лет назад +1

    Dhaaa salut kwako bro

  • @suzan638
    @suzan638 5 лет назад +1

    saf sana bro nakuelewaga sanaa

  • @sifanicholas5454
    @sifanicholas5454 5 лет назад

    Safi sana brother unafungua fahàmu za wengi

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 5 лет назад +1

    nakukubar#

  • @isuphusamweli3468
    @isuphusamweli3468 5 лет назад

    Honger unatuelimisha sana mungu akutie nguvu

  • @pazetv5639
    @pazetv5639 2 года назад

    asante sana mkufunzi wangu nimepata shule! !!!

  • @geofrayreuben1090
    @geofrayreuben1090 5 лет назад +1

    I like it Bro God bless you

  • @betramkomba2140
    @betramkomba2140 4 года назад +1

    Mungu akubaliki unafanya poa sana

  • @nuhumoreninkoko8639
    @nuhumoreninkoko8639 2 года назад +2

    Sauti yako hakika brother imebarikiwa na mungu ahsante Sana natumaini nitaanza sasa na nitakapo fikia ndoto zangu nitajisifu kwa sauti yako iliyobarikiwa Brother Ezden Jumanne?

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 года назад +1

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

  • @mgonja12abubakar49
    @mgonja12abubakar49 4 года назад

    Brother upo vizuri tatizo huwa unajisahau sana unakuwa mzito wakwenda direct kwenye point

  • @jonaslasway5396
    @jonaslasway5396 5 лет назад +1

    Uko vizuri mkuu.

  • @keyvogad1421
    @keyvogad1421 5 лет назад +1

    Thank broh Kwa kunikumbusha

  • @estergregorylugalama5731
    @estergregorylugalama5731 5 лет назад

    mim naendelea kukuombea zaidi uwe na afya tele na Mungu akufunulie zaidi vingine undelee kutufundusha zaidi

  • @zeynabmohammed445
    @zeynabmohammed445 5 лет назад +1

    Thanks bro for ur Advice

  • @josephjames7926
    @josephjames7926 5 лет назад

    katika watu wew una utu ili watu wengine wafanikiwe kupitia wewe .penda sana brother

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 2 года назад +1

    ❤pamoja bro

  • @ganettsofa7015
    @ganettsofa7015 5 лет назад +1

    Ukweli mtupu kaka asante

  • @mariamnahodha2390
    @mariamnahodha2390 5 лет назад +1

    Asante,nimekuelewa

  • @alexnkya5624
    @alexnkya5624 4 года назад

    Napenda vipindi vyako.

  • @davidkakaa1001
    @davidkakaa1001 4 года назад

    Safi sana bro

  • @muhsinyahaya5822
    @muhsinyahaya5822 5 лет назад

    Thanks brother kwa mafunzo yako

  • @kashambanange6843
    @kashambanange6843 5 лет назад +1

    I like the way ur

  • @kinlee8035
    @kinlee8035 4 года назад

    Broo uko vizur saana ✊👍

  • @harounpaul4514
    @harounpaul4514 5 лет назад

    Great!

  • @stevenchusi8559
    @stevenchusi8559 5 лет назад

    I ' m very happy to hear these inspirations, but only one thing l would like to advice you, if possible just try to make a visit either to the universities or even colleges, where the young people are collected together, l think it is an idea and you can make money,,, think about it because some us of we need these inspirations not only to the social media but also to the universities,,, thank you so much for this Education and God may Bless you.

  • @silasjoseph9220
    @silasjoseph9220 5 лет назад

    Ubarikiwe sana bro ni elimu nzur

  • @user-qu6bv7dm3c
    @user-qu6bv7dm3c 11 месяцев назад

    Asante kwa ujumbe mzuri

  • @abdatikhamis7208
    @abdatikhamis7208 5 лет назад

    Asante bro nimefaidika sana ktk kipindi chako ,kwa ufasaha

  • @patrickmlelwa6816
    @patrickmlelwa6816 Год назад +1

    asante bro

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 5 лет назад

    Asante kaka kwa ujumbe,Mungu akulipe kher inshaaAllah

  • @festoamos_tz
    @festoamos_tz 5 лет назад +2

    Bro Ezden! Unafanya vizuri sana ktk hii industry, kuna namna nikisikiliza na kutazama video zako huwa kuna namna najiona kuifikia ndoto yangu,
    Ila kwa nyongeza hapo kuna kitu umesema kwamba kuna watu wanaishi maisha ya kukopy ila nahisi tatizo kubwa ni kwamba #wao wenyewe hawajijui ni akina nani.......
    So njia zifuatazo zinaweza kumsaidia mtu kujijua yeye ni nani
    1.fikiria ni kitu gan kinakuchukua mda mwingi kukiwaza? Kwa siku nzima wiki mwez au mwaka
    2.hear the voice that defines you in you, yani kuna saut ya ndani ya mtu ambayo huwa inamwambia yeye ni nani so itii hiyo saut na uifanyie kazi
    3.try everything that is in your ability, fanya kila unachoweza kufanya mwisho utajikuta kuna kitu kimoja unachoweza kukifanya zaid na kikakubalika
    4.dont fear to fail, usiogope kufell maana kufel ni sehem pia ya kujifunza never fear to failure because the fear to failure is an absolutely failure
    5.listen to what people say about you, and medutate what they say kwa sababu watu wanakuona na wanajua ni nn unafanya hivyo wakikwambia kwmb wanaona unaweza kufanya kit fulan. Usipuuzie kakifikirie huenda ikawa kwel
    6.assess your ability, by yourself what are you capable to do.
    Bro Ezden nafikiri hiki kinaweza kuwasaidia watu kujijua wao ni akina nani AHSANTE NAITWA FESTO AMOS 0766181367

    • @pazetv5639
      @pazetv5639 2 года назад

      thanks brother we can add value to the life if we're positive may God bless you! !

  • @rajabkibugula9122
    @rajabkibugula9122 5 лет назад +1

    nakubali bro

  • @amaniminja1890
    @amaniminja1890 5 лет назад

    Masha Allah
    Now days kabla sijalala. Nasikiliza one of your video ili nikilala nifikirie nmepata nn from it. 🙏🏽

  • @emmachrist6249
    @emmachrist6249 5 лет назад

    Napenda mafundisho yako

  • @mwasitiathumani5580
    @mwasitiathumani5580 5 лет назад

    Mm nakukubali sana brother uko vzr na mungu atakulipa maana hakuna atakaeweza kukulipa Kwa kazi unayoifanya

  • @richsimfukwe6227
    @richsimfukwe6227 5 лет назад +2

    sawa

  • @husseinkatalika353
    @husseinkatalika353 5 лет назад

    Nakukubali kutoka ujerumani

  • @husseinkihungo2895
    @husseinkihungo2895 5 лет назад

    Asante Sana bro

  • @mdgy7188
    @mdgy7188 4 года назад

    Safii mnoo

  • @officialdillvan6815
    @officialdillvan6815 5 лет назад

    Tuna fanyia kazi sana. wanao kuponda akili azijafunguka
    Ziliko nimependa sana vipindi viako

  • @paramountrose4313
    @paramountrose4313 5 лет назад +1

    Asanté.

  • @husseinitaba8550
    @husseinitaba8550 5 лет назад +2

    I am a boxer. Lakini nakufatilia sana

  • @anickwilliam1237
    @anickwilliam1237 5 лет назад

    nakukubali sana kaka

  • @rehemabdallah9205
    @rehemabdallah9205 2 года назад +1

    Heshima kwako brow unafanya vitu vizur sikuzote

  • @mubamdetele6055
    @mubamdetele6055 4 года назад

    Ni kweli kabisa

  • @tatuatut7542
    @tatuatut7542 5 лет назад

    Hili Somo sichoki kukisikiliza.waoooi!