7 LESSONS People Learn Too Late In Life

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
    • FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
    Kama ukizungumza na wazee wengi utagundua kuwa wanatamani wangefanya vitu fulani kwenye maisha yao laity kama muda ungerudi nyuma.
    Sisi kama vijana ni muda muafaka kujifunza mengi toka kwao ili badae tusiwe katika kundi la kulalamika au kuwa na majuto kwa kufanyia kazi mambo haya saba ambayo ni majuto kwa watu wengi kwa vile hawakutumia muda wao vizuri. Somo la leo ni seven (7) LESSONS People Learn Too Late In Life
    1. Everything Is temporary - (Kila kitu si chenye kudumu)
    2. Life isn't fair - (Maisha hayako sawa)
    3. Family matters more than friends - (Familia ni bora kuliko marafiki)
    4. Others treat you the way you treat yourself - (Wengi watakuona vile unavyojiona wewe)
    5. Happiness is a choice and requires hard work - (Furaha ni chaguo lako na inahitaji uifanyie kazi)
    6. A lifetime isn't very long - (Maisha ni mafupi)
    7. You played it too safe - (Ulikua woga au umakini uliopitiliza)
    #7Lessons #TooLate #EzdenJumanne
  • ХоббиХобби

Комментарии • 187

  • @greatestdaniel7865
    @greatestdaniel7865 5 лет назад +1

    brother EZDEN unafundisha had una kela brother umenigusa had natoa machozi

  • @yusuphmwaigomole3104
    @yusuphmwaigomole3104 7 месяцев назад +1

    Family matters than friends, hilarious!!!

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 4 года назад +1

    Shukria brother Edzen.

  • @Alex-t8f8q
    @Alex-t8f8q 5 месяцев назад +1

    asante bro

  • @feristamwakatwila7498
    @feristamwakatwila7498 5 лет назад +1

    Wonderful

  • @muhammehusna3384
    @muhammehusna3384 2 года назад +1

    Nikweli broo unachokiseema mara nyng tunakumbuka shuka kumekuucha kweuupe

  • @mumdecutymariammariammunga7501
    @mumdecutymariammariammunga7501 5 лет назад +1

    Kweli kabisa

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Год назад +1

    That’s better lesson but siyo kwa ndugu wa sikuhizi my brother.labda wandungu wanayo hofu ya Mungu siyo wote,mimi kwetu tumezaliwa 6 baba akafa ndugu wakwao na baba walitutupa tumelelewa na bibi mzaa mama badae mama akafa mwahao etumezaliwa 6 mwanamke ni mimi tu,ila wakaka zangu hamna hata mmoja ananijali,na siyo eti nawategemea nataka tupendane tujuliane hali ila wapi hamna hata umoja anataka undugu na mwenzake kila mtu ipo kivyake hata niuguze hamna anaye niuliza dada mgonjwa yupo vipi? But rafiki nipo naye mimi akiniona mwanangu anaumwa anahangaika ananisikilia imani kama anacho chakunisaidiya ananisaidiya,anawasaidiya wanangu kusoma vitu wasivyo vielewa shule she works hurt for helping my children to success at school Ana huruma sana anawaona jinsi wanangu ni mayatima ananipa moyo,ananambia Niko mama bora vitu vingi tu,ila ndugu zangu mimi hamna anaye ni saport kwanza ndiyo wakiskia blessing Allah kaniteremshia maneno yanakuwa mengi.Mimi ndigu yangu aliwahi kunipa sumu eti tu nataka kuondoka Marekani na watoto wangu wote,ila Allah kaniponya niliondoka nawanangu wote mpaka hivi akiniongelesha labda anitukane tu.zamani ndiyo undugu ulikuwa kuyana ila hivi karma ya leo umebadilika kuwa ni kufanana tu .is depending unaweza kuwa na rafiki akamzidi ndugu kwa kukusamini na kukuheshim.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Год назад +1

      Dah pole sana sister, nafahamu siku hizi wengi sana wamebadilika na ni kweli kuna muda rafiki anaweza kuwa na nguvu sana kuliko ndugu hii ni mara nyingi sana. Jitahidi sana ujenge ukaribu wa kutosha na Mwenyezi Mungu kwani huyo ni rafiki wa kweli asiyeweza kukuacha hata kwa hali gani. kuwa mtu mwema kwa wengine, dunia inahitaji sana upendo... kila jema unalofanya Mungu atakulipa kwa namna yake, wanaokufanyia ubaya wewe usilipe kwa ubaya, achana nao waepuke endelea na safari yako. Mwishoni watakuja kuelewa na kuwa na malipo yao stahiki. WEMA HAUOZI

  • @rashidsango4046
    @rashidsango4046 4 года назад +1

    Ndugu swala la Idea nimelipenda sana manake namimi kidogo ni hairishe lakwangu. Lakini lazima nilifanye. Ubarikiwe sana ndugu

  • @kingmswati4802
    @kingmswati4802 5 лет назад +4

    kunawatu kama edzen ,joel nawengine wanatakiwawawepo duniani ili wengine tufungue ufaham nakufanya mambo mazuri. Asante sana bro

  • @imanueljohn9253
    @imanueljohn9253 5 лет назад +1

    Thanx bro for gud lesson

  • @tadhimanmsouth288
    @tadhimanmsouth288 5 лет назад +1

    Kaka nimejifuza kitu 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️ asante

  • @marcelinaghuliku6408
    @marcelinaghuliku6408 5 лет назад

    umenifungua sana naomba uniunge kwenye group 0689842958

  • @calvinjoseph
    @calvinjoseph 4 года назад +2

    This is my favorite lesson brother, For really you always deliver the great contents

  • @eliasmaika5464
    @eliasmaika5464 5 лет назад +1

    Safi xn Bro kwa somo nzuri ubarikiwe xn

  • @ukhtynajratgirlismail6009
    @ukhtynajratgirlismail6009 5 лет назад +6

    Asante Sana brother Leo umetoa somo Kali Sana yaani nimelipenda mno ambae hatofanyia kazi hili somo kamwe hatoelewa lolote walahi nimechukua daftari na pen nimeandika I dear zote so nazifanyia kazi kuanzia muda huuu siachi hata sekunde ipite shukuraan brother ubarikiwe🙏🙏🙏💪💪

  • @nizigabosco3359
    @nizigabosco3359 2 года назад +1

    I love you because you like to say true in our life

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 года назад +1

      Thank you. Truth helps and saves a lot of time. Be blessed

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 года назад +2

    Best lesson ever, I love the entire content,stay blessed My Brother 🙏🤝

  • @mashaurinelson7106
    @mashaurinelson7106 4 года назад +1

    Thank brother this topic teach me and must Change me

  • @machilamutua4749
    @machilamutua4749 5 лет назад

    hey bro ukosawa umenifunza mengi nisiyoyajua

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 4 года назад

    Dah,, shukrani sana,, darasa huru hili jamani,,, ahsante sana,,,

  • @gabrielkatana7930
    @gabrielkatana7930 3 года назад

    An idea is not an idea till it written... ntakufnyia kaz iyo....fursa nyingi zimenponyoka tu!!!!

  • @leilamohamed7445
    @leilamohamed7445 5 лет назад

    Asante mungu akuete uzindi kutufunza najifunza megi kutoka kwako mungu akubariki

  • @stanokinya8214
    @stanokinya8214 5 лет назад +2

    Family matters more than friends that's true big up man👏

  • @medsonstarlon6057
    @medsonstarlon6057 4 года назад

    Nakuelewa sana bro Ezden, ubarikiwe sana

  • @sabrinasaid839
    @sabrinasaid839 4 года назад

    Ahsante sijutii kukujua...yaani kila nikikusikiliza naongeza kitu

  • @mariamnahodha2390
    @mariamnahodha2390 5 лет назад +3

    Thanks, sauti inanihimiza niwe mtu Fulani hivii nalala na hili neno, (everything is temporaly) and happiness is choice ,promise ..i will do as you do ...kuongea kiinglish nako ni kujifunza kupitia wewe mimi napenda kiinglish Sana brother

  • @adamally8791
    @adamally8791 4 года назад

    Sema broo unamadin sana kaka, kuna vitu vingi sana najifunza kupitia wewe Mungu akubariki sana👏 endelea kutukumbusha, coz tunajisahau sana cc vijana haswa kwenye swala zima la starehe za kupenda wanawake mana mtu anaona ufahari kuwa na wanawake weeeeengi, anapoteza nguvu huko, muda na pesa nyingi kwa hivyo vitu vya temporary

  • @AaBb-jz9qb
    @AaBb-jz9qb 4 года назад

    Shukran sana kaka 😍

  • @2nukasim804
    @2nukasim804 3 года назад

    Allah akuongoze kaka wanifunza vingi san shukran

  • @2nukasim804
    @2nukasim804 3 года назад

    Allah akuongoze kaka wanifunza vingi san shukran

  • @eliaminmjema8570
    @eliaminmjema8570 4 года назад

    Brother umetisha sana ila nafanyake kuipata furaha ya kudum nisaidie kwa hili

  • @philomenasimon9942
    @philomenasimon9942 5 лет назад

    nataman kila kipnd chako no sikikose maan saiv najiona nimt wapekee sana nakumbuak kweny kipnd flan chak uliwah kusema ukipend kusoma vitabu Nata ukiwa katikat yawat weng utaongea vitu vya msing nanikwel kwa kiasi flan umenibadilisha japokua me bado ni mdog lakn nashukuru San kwa vipind vyako vinanibadilisha

  • @bekammika7665
    @bekammika7665 2 года назад

    Hujawahi kosea kakaa eziden jumanne,,

  • @fatumaluze7724
    @fatumaluze7724 4 года назад

    Napenda Sanaa mafunzo yako kaka hakika yana elimishaa Sanaa

  • @salumkhamis5468
    @salumkhamis5468 4 года назад

    Huyu jamaa angelikuwa mwalimu wa shule basi sidhani kama kuna mwanafunzi atafeli somo lake.

  • @reganpaul8542
    @reganpaul8542 5 лет назад

    Kaka umenipa somo kubwa sana ubarikiwe sana

  • @abdullaabubakar5528
    @abdullaabubakar5528 5 лет назад

    Kaka ezden nakukubali snaaaa ww ni kitabu tosha na najiona kama ni ww ninavyofunguka akili na kujifunza vingi kujuwa wengi zaidi niliyokuwa nayaelewa hapa nilipo mungu akubariki moreee blesaa

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 5 лет назад

    shukran

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 лет назад

    Ujumbe makini sanaa nimejifunza kitu kipya pia

  • @hamzaadam977
    @hamzaadam977 5 лет назад

    Nakubal Sikupingi ila naona kama unasalimia waislam tyu

  • @kassimjeuri6031
    @kassimjeuri6031 4 года назад

    Napenda sana video sana sina mafunzo

  • @phinisonvenas3700
    @phinisonvenas3700 5 лет назад

    Asante kwa kunikubusha na mungu akubaliki

  • @mocomoco1836
    @mocomoco1836 5 лет назад

    Safi sna nimejifunza maisha yangu yajayo

  • @salomemtani5687
    @salomemtani5687 5 лет назад

    Nawezaje kujihunga kwenye group lako au unaweza kuniunga 0782771341

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 лет назад

    Safi napata Elimu kubwa ya kujitambua na upeo wa kujua vingi

  • @medameda3920
    @medameda3920 5 лет назад

    Bro m n mbunifu sana wa plan asa biashara lkn tatizo mtaji na aidia zangu nying hujikuta zina potea tu na tatizo n mtaji wa kuziazisha.

  • @robertbuiru834
    @robertbuiru834 3 года назад

    Saf

  • @hbtv6036
    @hbtv6036 3 года назад

    Dah. Yan cna ata cha kuxema leo kk ila video zako zinanifunza xanaa kk dah cto acha kukufatlia broh

  • @hbtv6036
    @hbtv6036 3 года назад

    Dah. Yan cna ata cha kuxema leo kk ila video zako zinanifunza xanaa kk dah cto acha kukufatlia broh

  • @osinyoruth2769
    @osinyoruth2769 3 года назад

    Dear l have enjoyed your lesson.keep it up its time l need my l dear to work

  • @shemahabdallah5594
    @shemahabdallah5594 5 лет назад

    Familiya ni bora kulik marafik,nimeielew hi kaka

  • @daliciabuganda7697
    @daliciabuganda7697 5 лет назад

    Kaka Mimi Nina tabia ya kuaishilisha idea Mara nyingi na kuona nikitu cha kawaida nisaidie msaada wa mawazo nisiwe mtu wa kugailisha mambo

  • @jumandutu2275
    @jumandutu2275 5 лет назад

    Maneno yananiingia sana asanteee kaka angu

  • @jumandutu2275
    @jumandutu2275 5 лет назад

    Maneno yananiingia sana asanteee kaka angu

  • @vailethjohn4067
    @vailethjohn4067 4 года назад

    Asante sana my brother,

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 5 лет назад +1

    Leo Nimepata madini ya thamani mapema asubuhi, 🙏

  • @wemamuss
    @wemamuss 5 лет назад

    Shukran kaka kwa somo zuri

  • @williumonesmo8897
    @williumonesmo8897 5 лет назад

    l trust you for you studies

  • @gabieltangson73
    @gabieltangson73 4 года назад

    nazid kujifunza kaka ezden

  • @ubaydahsaidi4812
    @ubaydahsaidi4812 4 года назад

    Hiyo Edia mm nikiwa nayo rakini pesa sina

  • @emmanuelletinga7159
    @emmanuelletinga7159 5 лет назад +2

    Yes you're gifted brother!!
    brilliant work thumb up!

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 5 лет назад

    Kwel kabsaa family ni bora kuliko marafiki, na wapo wenye kujali marafiki kuliko wazazi. Ya a,rabb nifanyie wepes ya kuwathami family yang.

  • @caeolinekimaro2571
    @caeolinekimaro2571 5 лет назад +1

    wow...am lerng de things lol...

  • @husseinyahya9273
    @husseinyahya9273 2 года назад

    Kaka naswali nini maana ya neno mafanikio?

  • @hajihemedi5189
    @hajihemedi5189 4 года назад

    that is bright ideas

  • @ramadhannasser8457
    @ramadhannasser8457 5 лет назад

    Namba moja mm niko apo

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 4 года назад

    Sante mwalimu

  • @GabrielAmede-h8d
    @GabrielAmede-h8d 5 месяцев назад

    Nimependezwa na mafundisho yako shukrani Sana endelea kufanya content Kuna madini tunayapata big up sana

  • @bryanbyamungu9891
    @bryanbyamungu9891 4 года назад

    Thanks man

  • @sandraumulisa239
    @sandraumulisa239 2 года назад

    Thanks 🙏

  • @tatuatut7542
    @tatuatut7542 5 лет назад

    Kweli sana

  • @eliapendakileo4787
    @eliapendakileo4787 5 лет назад +2

    Hahahahahahahahabahahahaha kaka umenifurahisha kwenye point number 7.

  • @Mgeni-n3h
    @Mgeni-n3h 10 месяцев назад

    Ni kweli kaisa

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 5 лет назад

    nice

  • @sleyoumkhamic9237
    @sleyoumkhamic9237 5 лет назад +2

    mashallah allhamdu lillah kufikia😂😂😂😂😂 kukutana na hii video siyo bure for sure mimi legend king.

  • @simeoandrew942
    @simeoandrew942 5 лет назад +2

    kweli kaka nimeona hao wazee wengi wao wanajilaum pind wakiona kijana amefikia hatua flan kimaendeleo na wakati wanatoa honger kwa kijana ambaye ajitambua ingali bado kijana na wanatoa hamasa kuwa tuzid kupambana #Ezden broo nakufutilia xn epsode zako zote I learn something from u God bless u

  • @rahelnchagwa7959
    @rahelnchagwa7959 5 лет назад

    Ahsant sana kwa somo!Naomba kama una group uniunge 0623560027

  • @jumakubobela7474
    @jumakubobela7474 5 лет назад +1

    Duh! You are the biggest inspirer in the country.
    Keep held up Bro.

  • @husseinrambo6182
    @husseinrambo6182 5 лет назад +3

    Thanks broo, am learning to you everyday am get new things from your Oooooh god long life 2u kaka.

  • @eliazalyemmanuel9478
    @eliazalyemmanuel9478 5 лет назад +1

    sana kaka mimi na ww nikama samaki na maji kwa kombi ziko god

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 5 лет назад +2

    That's Ezden Jumanne💪💪💪...

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 5 лет назад +2

    Familia ni Bora kuliko marafiki

  • @assamwakasanga3570
    @assamwakasanga3570 5 лет назад +3

    thanks a lot May brother

  • @yongtifu3069
    @yongtifu3069 Год назад

    🤑💪👉🤳

  • @rahemahrahemah2719
    @rahemahrahemah2719 5 лет назад +1

    Waaleykum salamu ! Shukran Kaka Ezden

  • @francismsangi3244
    @francismsangi3244 5 лет назад

    Others treat you the way you treat yourself. Unavyojichukilia ww ndivyo jamii yako inakuchukulia hivyo hivyo. Nimepaelewa sana hapa. Mungu akubariki sana bro

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi1888 5 лет назад +4

    Thanks so much my Brother....... 😘😘 hujawahi kuniangusha.

    • @esternzumbi1888
      @esternzumbi1888 5 лет назад +3

      Nimeanza kulike comment yangu maana najikubali sanaa........

    • @esternzumbi1888
      @esternzumbi1888 5 лет назад +3

      Kweli huwezi kuzuia taarifa kuja kwako ila unaweza kuchagua taarifa gani ije kwako ..........💪💪

    • @habibabora3404
      @habibabora3404 5 лет назад

      Hapo ninakuelewa sana Kaka.nikweli ukiwa nakitu marafiki wengi lakini ukiwa hauna wanaondoka

  • @fadhilimboya1807
    @fadhilimboya1807 4 года назад

    hahaaaa it happened to me broo,

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 5 лет назад

    Tatizo unaongea sana hadi nasisinzia bhana yaani

  • @ulimwenguwamitimifupi5113
    @ulimwenguwamitimifupi5113 5 лет назад +1

    Asante sana Brother.

  • @annajames6196
    @annajames6196 5 лет назад +3

    Thanks,,God bless u

  • @stephahObimo
    @stephahObimo 5 лет назад +5

    Ezden nalia Kwanini sikukufaham toka nikiwa na nywaka mitano Hakika unanigusa,unanifundisha,unanipanua kiakili sijutii kukufaham Samahani Kama Ntakuwa nakosea one Love my brother

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  5 лет назад +2

      hujachelewa bado...fuatilia na kikubwa zaidi fanyia kazi haya mafundisho unayopata

  • @makelemomagesa5577
    @makelemomagesa5577 5 лет назад

    Tatizo familia zetu nidunisana ukianza kufanikiwa wote wanakutazama wewe wajifunze kwako uwape misaada

  • @edwardalfred1172
    @edwardalfred1172 5 лет назад +2

    Hakika kila ninaposikiliza napata nafasi ya kujifunza na kunipa nguvu ya kufanya zaidi maishani. keep it up brother.

  • @damasprotas4126
    @damasprotas4126 5 лет назад +1

    Daaaaaaah I'm the best!!!
    .....I like my self....you like is extra

  • @jovinhojr774
    @jovinhojr774 5 лет назад +1

    Nimekpata fresh

  • @irenembilinyi4628
    @irenembilinyi4628 5 лет назад +1

    Asante Ezden umenivusha mahali

  • @YudaMatesie80
    @YudaMatesie80 5 лет назад +3

    Well done @Ezden

  • @markamwakibete7149
    @markamwakibete7149 5 лет назад +2

    Ahsante kwamafundisho Ezd kinachotutesa zaidi nikucmama katika wazo moja mpaka unapogundua haupo sahihi umechelewa sana