Msimamo wa Alikiba Bifu la Lunya na Young Killer | Kumbe King Anamkubali....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • XXL Kutoka nyumbani kwa Marioo, Bad Nation #cloudsdigitalupdates

Комментарии • 91

  • @juniorkyando3546
    @juniorkyando3546 Год назад +35

    Young killer is the best namkubali kichizi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Ronny-ok3qd
    @Ronny-ok3qd Год назад +18

    Team young killer gonga like 🚒

  • @asajilemwaitenga4935
    @asajilemwaitenga4935 Год назад +34

    Killer mnyama sana sema alishaacha kuwa lamba miguu Cloud Media maana mnapenda sana kumpoteza msoki

    • @user-jy3mi7sw5e
      @user-jy3mi7sw5e Год назад

      ruclips.net/video/O0IALZfelFc/видео.html

  • @albertkatuga2434
    @albertkatuga2434 Год назад +40

    Aikiba kweli wewe mwanmziki unjua how to explain and interpret 😄😁😁😁 wasitupiane mikono tu

  • @gikundimitu7821
    @gikundimitu7821 Год назад +11

    Killer🔥🔥

  • @BarakaKanyamibwa-lo4gc
    @BarakaKanyamibwa-lo4gc Год назад +9

    Yani alikiba tuke achana na music pia busara unayo big up umeongea bro

  • @omyjy4819
    @omyjy4819 Год назад +14

    Lunya 👑👑👑

  • @bornkilla6173
    @bornkilla6173 Год назад +7

    Young killer 💥

  • @juniourku
    @juniourku Год назад +24

    Msodok myama🔥🔥🔥 ww uyo sijui young kunya bit zinazopigw kweny ngoma zak ndo kali ila ukimsikiliz Amna kit anaimba😂😂😂

  • @rosemoshi7673
    @rosemoshi7673 Год назад +2

    Ali kaongea jaman thus why I love him so so much tusichochee vita waache watupe vitu

  • @user-fl4lr2lq3s
    @user-fl4lr2lq3s Год назад

    Alikiba na marioo wote washamba hawajui mzuki

  • @lemmyajabu8171
    @lemmyajabu8171 Год назад +6

    Lunya moto sanaa🔥🔥🔥 unyama mwingiiii sana

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Год назад +4

    Enheeeeeee mambo kama hzi sasa mnakuwa kma mnatupa mb nyie 😂😂😂 safi sana

  • @officialndaluj4868
    @officialndaluj4868 Год назад +14

    youny killer ni rapa bora tunafaamu hilo lakini media kubwa za bongo ni zinamkazia wao wamebase sana upande wa lunya na inakuwa haiko sana

    • @MohamedYusufu
      @MohamedYusufu Год назад +1

      Xhda killer now Hana soko

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Год назад +1

      ​@@MohamedYusufusoko kaliua nani?

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Год назад +1

      hata lunya watamtupa sio muda wee subiri

  • @fasterwalker1464
    @fasterwalker1464 Год назад +3

    Msodoki mtu mbaya kmmk kwaanaejua mziki hawez kumpinga ndomaana hata marioo kaanza kusema yy mbuzi mshkaji wake ndomaana ampingi

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Год назад +10

    Bongen ila young kila ni moto

  • @burtonmwanjela
    @burtonmwanjela Год назад +12

    Msodoki de' son 🔥

    • @user-jy3mi7sw5e
      @user-jy3mi7sw5e Год назад

      ruclips.net/video/O0IALZfelFc/видео.html

  • @limymasele21
    @limymasele21 Год назад +6

    Mbuzi anachinjwa na kuchunwa ngozi anachemshwa Kisha analiwa

  • @metuselamazubesi-yw5dh
    @metuselamazubesi-yw5dh Год назад +1

    Sina swaga kabic

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Год назад +5

    KingKiba elewa Killer n mwambaaaa aseeeeh

  • @b9media144
    @b9media144 Год назад +4

    @Medias. Kwanini Lunya mnamuita sana kufanyanae Intavyu lakini Killer hapewi? Japo mnampa sana Lunya, lkn haumfanyii Killer awe chini na hii n kwasababu Killer anakubalika sana na Jamii kuliko Lunya
    Endeleeni kumnyima Killer, ila mitaani tunajua kuwa Killer n mkali zaidi 🔥🔥🔥

  • @mathanikibuti6676
    @mathanikibuti6676 Год назад +7

    SOUND CHECK MICROPHONE ONE TUUU,,,,😬😬😬😬 HATUSIKIIIIII

  • @Maduga_comedian
    @Maduga_comedian Год назад +4

    Kama unamkubali @youngkiller gonga like

  • @RealDuran
    @RealDuran Год назад

    Young killer mnoma bna

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад +12

    KIBA ANAWAKA

  • @user-lk2hj6zs7h
    @user-lk2hj6zs7h Год назад +4

    Namkubar mbuz

  • @Oldskulgemini9991
    @Oldskulgemini9991 Год назад +11

    Kiba kashinda tu kusema Lunya kwa Sasa anafanya vizuri kazunguka mbaka kwa Mtu wa UK anamsikiliza Lunya 😂😂

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey Год назад +1

      Hapo kunaprogram ya kumshusha killer kumpandsha lunya kama walivyofanya kumshusha Godzilla ilikumpandisha Billnass

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Год назад

      @@ZeraGeofrey Killer alishashuka mda Sana Wala hakuna mtu atapoteza muda kuanza kumfikiria killer Saivi kwa kipi sasa, ngoma anazotoa haziendi mjini tulishamsahau, amshukuru Lunya maana Bila kum diss Lunya tusingemkumbuka kabisa. Staili anayoitumia imeshapitwa na wakati watu hawataki kusikia mtu anaongea kwenye wimbo wanataka mistari inaendana na flows kali. Msodoki alikuja akahit wakati wake upishapita mda Sana Lunya amekiteka soko toka 2019 mbaka Leo na wakina Conboi vile vile, mfano killer kwa Sasa huwezi mfananosha hata na Conboi, Conboi anatoa ngoma mbaka Fat Joe kutoka marekani kaikubali kwasababu anarap kwa staili inayovutia mtu hata kama haelewi lugha anajua kabisa huyu jamaa ni mkali, msodoki yeye anaongea tu kwenye biti yani wanaomwelewa ni watu wa mikoani ndani ndani huko

  • @willyntacobakinvuna5885
    @willyntacobakinvuna5885 Год назад +2

    Hii Haina upinzan killer tz hakuna wakumtoa kimichano

  • @benjaminmushi7538
    @benjaminmushi7538 Год назад

    Mwaza mwaza kaka anajuwa

  • @rymax7790
    @rymax7790 Год назад +4

    🔥🔥🔥

  • @shaurisafari
    @shaurisafari Год назад +9

    Msodokiii

  • @mmchopper3399
    @mmchopper3399 Год назад +1

    Killer ni mnyama sio poa

  • @ramadhanmngeza1065
    @ramadhanmngeza1065 Год назад +2

    killer jeshi

  • @ahmedseif5612
    @ahmedseif5612 Год назад +3

    SIO KILA YOUNG NI KILLER!!!!

  • @edwinamos9734
    @edwinamos9734 Год назад +8

    Mariooo fara wewe qm unamjua killer au ushamba wa kuchelewa game

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Год назад +7

    Sauti zinapishana na picha wakulungwa 😢😢

    • @user-jy3mi7sw5e
      @user-jy3mi7sw5e Год назад

      ruclips.net/video/O0IALZfelFc/видео.html

  • @victormbugobola802
    @victormbugobola802 Год назад +6

    Killer on 🔥🔥🔥🔥 sana

  • @Greatnessfxx
    @Greatnessfxx Год назад +23

    Team Young lunya gonga like apaaa❤❤❤❤

  • @Rains477
    @Rains477 Год назад +3

    Killer ni mbayaa ...kuzoza kuzoa

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 Год назад +1

    #msadoki Hana mpinzani uwo ndio ukweri ni wamoto

  • @Remmy1149
    @Remmy1149 Год назад +4

    Killer mwamba huyo lunya kwao ana baa kwa nyuma

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Год назад

      Kumbe unaijua hyo sema msodoki anajua mziki itafute ngoma moja inaitwa the waiting is over 2 ninoma hyo

  • @rostardlonis3257
    @rostardlonis3257 Год назад +1

    Wanafki hao

  • @user-uk9gs3qh2k
    @user-uk9gs3qh2k Год назад +1

    Yani uwe unataka au hutaki young killer anajua Sana Sana zaid ya huyo mbuz

  • @sadruhsnow5637
    @sadruhsnow5637 Год назад +7

    Killer

  • @brunomelody1174
    @brunomelody1174 Год назад +2

    Season au session

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Год назад +8

    😂😂😂msodoki atabaki kuwa bora anaambo mengi

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Год назад +1

      Sasa msanii huna mambo mengi unakuwa Bora Sasa😃😂😂 Lunya mbaka watu wa UK wanasikilizwa si umemsikia Kina hapo😃

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Год назад

      @@Oldskulgemini9991 🤣🤣🤣🤣sasa mtanzania mmoja anamsikiliza uko UK ambae alikuwa anaishi Tanzania nisawa mm nibebe simu yangu nanyimbo zangu

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Год назад

      @@sharifabahar9905 bro killer anakonection na marapa karibia wote wakubwa Africa wote anakutana nao Kila siku wengine ameshapiga nao ngoma tayari, vitu vingine inabidi ukubali tu msodoki tulishamsahau huku mjini labda huko mikoani ndani ndani ila soko la mjini alishapotea mda Sana tangu 2018 huko Sasa Hivi ashukuru Lunya amempa kiki Subiri kiki iishe hiyo anapotea Tena😆 staili anayoitumia imeshapitwa na wakati watu mjini siku hizi hawasikilizi hizo mambo

  • @Sonbeats255
    @Sonbeats255 Месяц назад

    Nimechelewa sana kusikiza hii kitu, kama umemsikiza #Alikiba vizuri utaelewa kwamba alimskia Young Lunya alipokua Marekani tena kwa kuambiwa na mtu mwingine imagine unatoka Tz unakwenda kumjua au kumskiza Young Lunya Mtanzania mwenzio nchi nyingine tena mbali sana ina maanisha nini? Ila YoungKiller huwa anamsikiliza😂 shout it to my bro #YoungKillerMsodoki

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 Год назад +4

    Mbuzi ni wakuchinjwa kuchunwa kupikwa na kupakuliwa

  • @mahubirins3921
    @mahubirins3921 Год назад +5

    Mbuzi ni mbuzi tu😂😂

  • @user-xv8xz7tb7j
    @user-xv8xz7tb7j Год назад

    Mi mwenyewe ni tram killer

  • @nathaliapeter9085
    @nathaliapeter9085 Год назад +2

    Lunya mkalii

  • @kapeamohamed2750
    @kapeamohamed2750 Год назад +2

    Mfalme wetu

  • @KingloveNyakamwe-sm5dr
    @KingloveNyakamwe-sm5dr Год назад

    lunya mwamba kamsaiidia young killer kukaa kwenye trend haya nyimbo yake ya sitaki kuwa singo ipo namb ngap on treanding

  • @sappyjr4543
    @sappyjr4543 Год назад +2

    Meena ally kama hayupo vile😂😂😂

  • @user-fl4lr2lq3s
    @user-fl4lr2lq3s Год назад +1

    Lunya anarap nini

  • @DezlyRitto
    @DezlyRitto Год назад +6

    Msodoki

  • @antonymodestus2872
    @antonymodestus2872 Год назад +6

    Lunya mavi 2 hata ww marioo akuna unacho jua wanakupaisha paisha kama mkali utakuja ujue tu kama au jui na mzik wenu wakubebabana makuz

  • @charlesmadata3410
    @charlesmadata3410 Год назад +3

    umeogea poit xana kaka

  • @AdijaAmiri-mr6gs
    @AdijaAmiri-mr6gs Год назад

    Kiwalani bombom stand up..... mbuzi hatar

  • @YoungblackMwanaCongo-tp6td
    @YoungblackMwanaCongo-tp6td 7 месяцев назад

    Young killer ndo mkali nite young black mwana Congo

  • @creinojohnson847
    @creinojohnson847 Год назад

    uyo mdada hapo pembeni ya babuu wa kitaa a.k.a Johnii amekaa kama doli la Ellion Musk😂😂 au babuu kalinunua

  • @kisabihamadi7555
    @kisabihamadi7555 Год назад +7

    Lunya the best rapper

  • @user-lx4kd6gi4r
    @user-lx4kd6gi4r Год назад +1

    Lunya moto xana

  • @yusuphismail64
    @yusuphismail64 Год назад

    Sio season na ww ni session

  • @oketchmusic4838
    @oketchmusic4838 Год назад +2

    😂😂😂😂😂

  • @masongatz
    @masongatz Год назад

    Unasemaje kuhusu ubunifu katika track ya #Mizimu hautajuta ruclips.net/video/1Qr4-oxvImY/видео.html

  • @japhsam_simulator
    @japhsam_simulator Год назад +2

    Acheni kumlinganisha killer na vitu vya kijinga

  • @ChellyDeBoe-vi1nw
    @ChellyDeBoe-vi1nw Год назад +2

    Killer mOt0r..