Yaaani mtangazaji kwa Hindi unavyohoji najifunza vitu vingi kutokana na watangazaji wengine hongera kwa kujua kazi yako.napia nawapa big up sana hao wanandoa Cha msingi komaeni sana msirudi nyuma Wala kusikiliza kelele za walioshindwa kujua Nini chakula Cha walaji na muda.
Majaze dunia lkn kwanza muoane alafu ndio mzae sio mzini ndio mzae yani sasa ivi wanawake wanaolewa wakiwa na mimba mh!sijui wanafanya fashion yopo ndani shera nakitumbo mungu nilinde
Sio uislam ni wao wenyewe, hakuna kipengele ata kimoja kwenye uislam kinoruhusu tendo la ndoa kabla ndoa... ukimuona muislam kalewa ujue ni yy co uislam ulomruhusu kufanya ivo...
Mie ni Mkenya,Madebe ni mwalimu aishie nyakati zote.Hongera kwa kazi yako pamoja na mkewo Chanuo.
Mashaallah madebe ana maneno ya busara nawapenda sna mungu alide ndowa wenu amen
Mtangazaji.upo.fresh.unifurahishaa.sanaa
Mtangazaji unafurahisha sana! Big Madebe Lidai na mke wako, Hongereni sana
Madebe hongereni jamaa muko juu Tu sana.🇰🇪🇰🇪
The only man I follow nabii mswahili unanifunza kweli babu
Asaalam alykum waramatulah wabarakatul. Masha Allah mumependeza. Allah awape mapenzi na furaha katika NDOA yenu. ❤👍
Madebe nakubali xana naomba nije kujifunzia kwako utakua hunilipi adi nijue mkuuu na mwenyez mungu atakubaliki inshaa llah,
Sema iyo pisi ya kwenda jamani,,, hongera mzeee kwa kazi nzur ya sanaa
Nakubar bro
Madebe all the way kenya
kumbe Mimi ndonakufa,ila mwanaume Afi ✔️madebe nachunuo nawakubari sanaaa❤️❤️❤️
Chanuo mrembo Masha Allah.Allah awalinde na kila Shari
Jamani kumbe chanuo ni mke wa madebe duuu vizuri sana nakupenda sana chanuo
Kazi nzuri sana Madebe and your team. From Kenya
Maa sha Allah, nawakubali sana
Hakika mashaAllah mungu awalinde ktk ndoa yenu na kazi yenu pia nawapenda sanaa
abari senu mko sawa nawapenda sana kuwa fatiliya
Huyo chanuo anakipaji balaa👏👏👏👏
Namkubari sana brother madebe
Chanuo na madebe mashaallah sf sn 👌👌😍
hongela dada chanuo nikweli wengi tunavipaji ila tatizo hapo kwenye hongo langono nishida
Yaaani mtangazaji kwa Hindi unavyohoji najifunza vitu vingi kutokana na watangazaji wengine hongera kwa kujua kazi yako.napia nawapa big up sana hao wanandoa Cha msingi komaeni sana msirudi nyuma Wala kusikiliza kelele za walioshindwa kujua Nini chakula Cha walaji na muda.
Asante sana
Hongeren
Maa Shaa Allah, Mabrooq Mr &Mrs..
Nawapenda bure mungu ailinde ndoayenu
Who is here 2021 watching talented boy
Nawakubali Sana ao jamaaa wako sawa
Chanuo kumbe we ndo ulikubali madebe akue na mabibi wengi, basi mbona walia sai
Mapenziiii hy leo unalia😂😂shikmooo wanaumerr
Masha Allah ..
Mungu awabariki na awaongoze kwenye mising ya dini na awaepushe na husda za watu aaamni
Nimeikubali sana MOVE YA WALI WANGU...😍😍😘
Mashaallah mom
Hilijamaaa halifai kwenye jamiii yan nikatil sana hil
haahahahhah
Hongeren bi,bw sana
Manshaallah Allah awatiliye wepesi
Mtangazaji umecheza hapo nimependa unavyo uliza maswali😂😂👍👊
Masha Allah Madebe mzee wa Busara
Nahm
Wamwera awachwiii
mjumbe duh
Chanuo Mashallah
Siku zote pambana watu wakujue wenyewe sio uwajulishe...........#nakukubari sanaaa
kwa hy tutarajei kumuona shemeji.yatu mama boss akija kwenye ngoma
bonge la interview, nimeipenda mno. Mm ni shabiki wa Madebe
Mashallah, chanuo mrembo
ManshaAllah💞💞
Daahh Raha sana Kaka
inapendeza sanaaaa
Assalam alkm mrembo mzuri mashallah umeolewa ddangu
Chanuo umeongea point hapo kwenye watu wenye vipaji kusaidiwa ngumu me nahitaji kuigiza pamoja na nyie LP MEDIA
Maneno ya madebe😃😃
Nimeelewa hapo kwenye utu na ubinaadam..na hapo kwenye mwanaume aliyezaa hafi.
mashaallah
Majaze dunia lkn kwanza muoane alafu ndio mzae sio mzini ndio mzae yani sasa ivi wanawake wanaolewa wakiwa na mimba mh!sijui wanafanya fashion yopo ndani shera nakitumbo mungu nilinde
Hao wapo ndani ya ndoa mbona
@@rashidkarisa7799 najua ila ameulizwa amesema mtoto kwanza wamema kabla kuona mh!haya mradi mungu amewaonyesha njia sahihi siombaya
Ok ni kweli
Sikuizi wanafanya fashion wenyewe kila unaemuona mjamzito alafu ndy anaolewa
@@abdallahmzee5701 😀😀😀🤲
Madebe lidai na mss wako zaudia mnatisha sana sana sana
Mm nakubalii San kila movie bas chanuo hawep bx ananifurahishaa San akiw ndn ya script😄😄😄
MASHAALLAH NMEPENDA SANA MPKA NMETAMANI NDOA JAMANI 💕💕
Kwani hujaolewa zenna
@@sjfamily8121 Bado Allah hajatua neema kwangu juu ya mume
@@zennakailo8106 nipo apa nikuoe
@@minabaka1910 ndo wale wale tu
@@zennakailo8106 wale wale ndio kina nani? tupe nasisi tuwajue
Mmakonde mwenzangu kumbe🤔🤔💃💃🥰
Mhmh w wapi
@@muhsinihassan8245 mtwara
Sehem gani saan maan mtwr kubwa jmn
@@muhsinihassan8245 masasi
Kwani Mtu Na Mkewe Jameni Madebe Na Chanuo😂😂😂😂Amuoniani Wevuuuu Kazi Mnazo Fanya
Bro nawakubali Sana pamoja n mkeo
Nabii mswahili
Yes Madebe hatarisana
Unatoa kidogo kidogo tuachie vyombo
Safi sana Lp media
Nakukubali madebe
KAZI NZURI ENDELEA WA KISINI MWENZANGU.
Mash'Allah Allah awabariki
🇰🇪ma SHA Allah
Hongeren ORG bag's
Kutoka Kenya nakufatilia sana madebe
Ahahah aisee kumbe wanajigombanisha kisa waamuliwe na madebe tu! Kazi ipo kweli
Nabii Wewe mkali sikuamini kua chanuo ni mkewako
Nabii swahiliii
😂😂na uyo mswahili kweli namuonaga anakunywaga maji ya kandolo
Hahahaha jmn nimecheka kwanguvu ndani ya daladala
Kumbe madebe upo ukoo mmoja na mama yangu MBinga
Nmeinjoy sana na interview yako bro
Asante ndugu
Kuijaza dunia kwahalali sio zinaaa
Madebe tunakuomba uiendeleze filamu ya matusi
Mtangazaji noma unachekesha mno
Host vp mbona kama ulikua unambana madebe kutupa hayo maneno ya uswahil
Gangala maswali yko matatizo sana kama mlachapat hv
Namkubali Sana zaudia
Love you guys
Mashaallah mnakazi nzuri
unaniudhi kweli,ah mtoto chanuo wewe ulinitisha sana katika muvi yako,wee ukija kenya hurudi labda tusionane
Madebe $ Chanuo bange la kolabo
Ongereni
Umebugi kwenje adam
Et zaudiaaa mbwe mbwe zote ila kwa madebe ndiyo kidog ndiyoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimependa chanuo katulia kimke kabisa Hana mashauzi rahaaa
Madebe yaan kwa misemo yako kwenye tamthilia zako kumbe unawatt wengi na wanawake tofauti nilijua ww huwezi kukosea kumbe ni wale wale😅😅
Kwani ye si mwanadam
@@reginakalokola8145 apo sasa😂😂😂
Gangana umewakamata Sana du ongera mtangazaji kwa kuwabana
Madebe mkee karuhusu bhana ongezaaa mwingn wake Kama hawa wapo kwl mana daaaaah
chanuo msambaa
Wali wangu adi raa
C chok kuitazam wali wangu
Wacha ata inimalixie mb zangu
Nawapenda sn hawaa watu
Madebe unaanza kunenepa eeeee chunga sana husinenepe sana
Hawa Waislam. Inasikitisha sana wanaitangaza ZINAA na kuiona ni kawaida tu. Madebe na Mkeo mtubie kwa Mola wenu na muikemee ZINAA.
Hao wanandoa jaman wamesha oawana tayali
Kama kawaida waislamu ndio wazinifu WA kweli, Ile uslamu WA kitambo sio WA Sasa hivi
@@ashazubere3837 iyo miaka ya nyuma hawakuowana wameowana juzi tu
Sio uislam ni wao wenyewe, hakuna kipengele ata kimoja kwenye uislam kinoruhusu tendo la ndoa kabla ndoa... ukimuona muislam kalewa ujue ni yy co uislam ulomruhusu kufanya ivo...
@@leahjoram7693 mbona chuki na waislamu bro, kwani nyinyi maowana basi?
Si kuzin kabla ya kuowan apo mmekosey muomba wenu madebe
Mmmmm kwani wao ni malaika
@@reginakalokola8145 nashangaaa watu wanapenda kujudge wakati wao wenyewe wanasuguana sana tu
Duh madebe
Na wapenda nyie mpaka naumwa
Ila mshakaji jitahidi kuwa unavaa atilist na hadhi yako
Mtangazaji kuwa siriaz na kipindi bhana, unacheeeeeka
Hicho sio kipindi cha Siriaz ni cha kucheka tu .
Kwenye mtu Na binaadamu hapo umekwenda hovyo hayo yote yanamaaana moja tu hayatofautishi jinsia
yani ww madebe maneno yako usipokua makini ..utakuja kuingia ktk usafiri
Afute tatuu