CHANUO HANA UJANJA KWA MADEBE LIDAI / AMRUHUSU KUOA WAKE HATA WANNE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 181

  • @edwinmaruka3128
    @edwinmaruka3128 2 года назад +5

    Mie ni Mkenya,Madebe ni mwalimu aishie nyakati zote.Hongera kwa kazi yako pamoja na mkewo Chanuo.

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 4 года назад +18

    Mashaallah madebe ana maneno ya busara nawapenda sna mungu alide ndowa wenu amen

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 2 года назад +1

    Mtangazaji.upo.fresh.unifurahishaa.sanaa

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 года назад +2

    Mtangazaji unafurahisha sana! Big Madebe Lidai na mke wako, Hongereni sana

  • @willistonemnengo
    @willistonemnengo 2 года назад +2

    Madebe hongereni jamaa muko juu Tu sana.🇰🇪🇰🇪

  • @petermacharia9234
    @petermacharia9234 4 года назад +3

    The only man I follow nabii mswahili unanifunza kweli babu

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 4 года назад +7

    Asaalam alykum waramatulah wabarakatul. Masha Allah mumependeza. Allah awape mapenzi na furaha katika NDOA yenu. ❤👍

  • @rajaboywiliam8742
    @rajaboywiliam8742 2 года назад +2

    Madebe nakubali xana naomba nije kujifunzia kwako utakua hunilipi adi nijue mkuuu na mwenyez mungu atakubaliki inshaa llah,

  • @michaelmpagwa2553
    @michaelmpagwa2553 2 года назад +2

    Sema iyo pisi ya kwenda jamani,,, hongera mzeee kwa kazi nzur ya sanaa

  • @ntanyaboytz1635
    @ntanyaboytz1635 Год назад +2

    Nakubar bro

  • @nekesaphinorah6121
    @nekesaphinorah6121 Год назад +2

    Madebe all the way kenya

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 2 года назад +2

    kumbe Mimi ndonakufa,ila mwanaume Afi ✔️madebe nachunuo nawakubari sanaaa❤️❤️❤️

  • @zubedachao3970
    @zubedachao3970 3 года назад +2

    Chanuo mrembo Masha Allah.Allah awalinde na kila Shari

  • @berenaleopard5764
    @berenaleopard5764 4 года назад +3

    Jamani kumbe chanuo ni mke wa madebe duuu vizuri sana nakupenda sana chanuo

  • @abdallahamadi9380
    @abdallahamadi9380 3 года назад +5

    Kazi nzuri sana Madebe and your team. From Kenya

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 4 года назад +9

    Maa sha Allah, nawakubali sana

  • @aaaabbsbba5254
    @aaaabbsbba5254 4 года назад +5

    Hakika mashaAllah mungu awalinde ktk ndoa yenu na kazi yenu pia nawapenda sanaa

  • @mosesndoipo-yf4xq
    @mosesndoipo-yf4xq Год назад +1

    abari senu mko sawa nawapenda sana kuwa fatiliya

  • @omarygesa2884
    @omarygesa2884 4 года назад +4

    Huyo chanuo anakipaji balaa👏👏👏👏

  • @jonathanjj.pachajjpacha9127
    @jonathanjj.pachajjpacha9127 3 года назад +2

    Namkubari sana brother madebe

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 4 года назад +5

    Chanuo na madebe mashaallah sf sn 👌👌😍

  • @daudikololo5966
    @daudikololo5966 2 года назад +2

    hongela dada chanuo nikweli wengi tunavipaji ila tatizo hapo kwenye hongo langono nishida

  • @herryemmanuel942
    @herryemmanuel942 3 года назад +1

    Yaaani mtangazaji kwa Hindi unavyohoji najifunza vitu vingi kutokana na watangazaji wengine hongera kwa kujua kazi yako.napia nawapa big up sana hao wanandoa Cha msingi komaeni sana msirudi nyuma Wala kusikiliza kelele za walioshindwa kujua Nini chakula Cha walaji na muda.

  • @RashidHassan-c5f
    @RashidHassan-c5f 9 месяцев назад +1

    Hongeren

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад +4

    Maa Shaa Allah, Mabrooq Mr &Mrs..

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 4 года назад +3

    Nawapenda bure mungu ailinde ndoayenu

  • @sergesntirandekuranikuki2635
    @sergesntirandekuranikuki2635 2 года назад +1

    Who is here 2021 watching talented boy

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 года назад +4

    Nawakubali Sana ao jamaaa wako sawa

  • @rehemaochola5274
    @rehemaochola5274 8 месяцев назад +1

    Chanuo kumbe we ndo ulikubali madebe akue na mabibi wengi, basi mbona walia sai

  • @lissaseif4744
    @lissaseif4744 8 месяцев назад +1

    Mapenziiii hy leo unalia😂😂shikmooo wanaumerr

  • @habibasalhe5690
    @habibasalhe5690 4 года назад +2

    Masha Allah ..
    Mungu awabariki na awaongoze kwenye mising ya dini na awaepushe na husda za watu aaamni
    Nimeikubali sana MOVE YA WALI WANGU...😍😍😘

  • @hongerenialoiyq710
    @hongerenialoiyq710 2 года назад +2

    Mashaallah mom

  • @PeterMayunga-v8d
    @PeterMayunga-v8d 8 месяцев назад +1

    Hilijamaaa halifai kwenye jamiii yan nikatil sana hil

  • @zlfamz3540
    @zlfamz3540 3 года назад +1

    Hongeren bi,bw sana

  • @fishhamza1648
    @fishhamza1648 4 года назад +1

    Manshaallah Allah awatiliye wepesi

  • @mdigowanimdigowani7401
    @mdigowanimdigowani7401 4 года назад +2

    Mtangazaji umecheza hapo nimependa unavyo uliza maswali😂😂👍👊

  • @listentoquranandmawaidhach4992
    @listentoquranandmawaidhach4992 4 года назад +3

    Masha Allah Madebe mzee wa Busara

  • @hassansalumu
    @hassansalumu Месяц назад +1

    Wamwera awachwiii

  • @abdallahdouble6066
    @abdallahdouble6066 3 года назад +2

    mjumbe duh

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 4 года назад +3

    Chanuo Mashallah

  • @anthonykamkolwe5766
    @anthonykamkolwe5766 4 года назад +6

    Siku zote pambana watu wakujue wenyewe sio uwajulishe...........#nakukubari sanaaa

    • @yasirmilanzi1559
      @yasirmilanzi1559 4 года назад +1

      kwa hy tutarajei kumuona shemeji.yatu mama boss akija kwenye ngoma

    • @geofreykyando5316
      @geofreykyando5316 4 года назад +1

      bonge la interview, nimeipenda mno. Mm ni shabiki wa Madebe

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 года назад +1

    Mashallah, chanuo mrembo

  • @somokichefuchefu200
    @somokichefuchefu200 4 года назад +2

    ManshaAllah💞💞

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 4 года назад +1

    Daahh Raha sana Kaka

  • @moneyommy5668
    @moneyommy5668 4 года назад +2

    inapendeza sanaaaa

    • @salimusalimu4912
      @salimusalimu4912 2 года назад

      Assalam alkm mrembo mzuri mashallah umeolewa ddangu

  • @zamamuuhamisi6654
    @zamamuuhamisi6654 4 года назад +8

    Chanuo umeongea point hapo kwenye watu wenye vipaji kusaidiwa ngumu me nahitaji kuigiza pamoja na nyie LP MEDIA

  • @mariamabdallah3535
    @mariamabdallah3535 3 года назад +2

    Maneno ya madebe😃😃

  • @mwanahawasaid1561
    @mwanahawasaid1561 4 года назад +6

    Nimeelewa hapo kwenye utu na ubinaadam..na hapo kwenye mwanaume aliyezaa hafi.

  • @paulinekababa524
    @paulinekababa524 4 года назад +3

    mashaallah

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 4 года назад +12

    Majaze dunia lkn kwanza muoane alafu ndio mzae sio mzini ndio mzae yani sasa ivi wanawake wanaolewa wakiwa na mimba mh!sijui wanafanya fashion yopo ndani shera nakitumbo mungu nilinde

    • @rashidkarisa7799
      @rashidkarisa7799 4 года назад +1

      Hao wapo ndani ya ndoa mbona

    • @fetychina3273
      @fetychina3273 4 года назад +1

      @@rashidkarisa7799 najua ila ameulizwa amesema mtoto kwanza wamema kabla kuona mh!haya mradi mungu amewaonyesha njia sahihi siombaya

    • @rashidkarisa7799
      @rashidkarisa7799 4 года назад +1

      Ok ni kweli

    • @abdallahmzee5701
      @abdallahmzee5701 4 года назад +1

      Sikuizi wanafanya fashion wenyewe kila unaemuona mjamzito alafu ndy anaolewa

    • @fetychina3273
      @fetychina3273 4 года назад +1

      @@abdallahmzee5701 😀😀😀🤲

  • @josephelias9997
    @josephelias9997 3 года назад +1

    Madebe lidai na mss wako zaudia mnatisha sana sana sana

  • @augustinobenedictor3788
    @augustinobenedictor3788 4 года назад +1

    Mm nakubalii San kila movie bas chanuo hawep bx ananifurahishaa San akiw ndn ya script😄😄😄

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 4 года назад +7

    MASHAALLAH NMEPENDA SANA MPKA NMETAMANI NDOA JAMANI 💕💕

    • @sjfamily8121
      @sjfamily8121 4 года назад

      Kwani hujaolewa zenna

    • @zennakailo8106
      @zennakailo8106 4 года назад

      @@sjfamily8121 Bado Allah hajatua neema kwangu juu ya mume

    • @minabaka1910
      @minabaka1910 4 года назад

      @@zennakailo8106 nipo apa nikuoe

    • @zennakailo8106
      @zennakailo8106 4 года назад

      @@minabaka1910 ndo wale wale tu

    • @sismnfamily3426
      @sismnfamily3426 4 года назад

      @@zennakailo8106 wale wale ndio kina nani? tupe nasisi tuwajue

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 4 года назад +4

    Mmakonde mwenzangu kumbe🤔🤔💃💃🥰

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад

    Kwani Mtu Na Mkewe Jameni Madebe Na Chanuo😂😂😂😂Amuoniani Wevuuuu Kazi Mnazo Fanya

  • @sjfamily8121
    @sjfamily8121 4 года назад +2

    Bro nawakubali Sana pamoja n mkeo

  • @martinky977
    @martinky977 4 года назад +3

    Nabii mswahili

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 3 года назад +1

    Yes Madebe hatarisana

  • @salummazurui3270
    @salummazurui3270 2 года назад +1

    Unatoa kidogo kidogo tuachie vyombo

  • @khadijakuhigwa9946
    @khadijakuhigwa9946 4 года назад

    Safi sana Lp media

  • @Fatima-sv5gp
    @Fatima-sv5gp 4 года назад +1

    Nakukubali madebe

  • @ismailngombo5378
    @ismailngombo5378 2 года назад +1

    KAZI NZURI ENDELEA WA KISINI MWENZANGU.

  • @tasnimnematullah2499
    @tasnimnematullah2499 4 года назад

    Mash'Allah Allah awabariki

  • @mebakarimohamed686
    @mebakarimohamed686 4 года назад +5

    🇰🇪ma SHA Allah

  • @roseodipo9868
    @roseodipo9868 4 года назад

    Hongeren ORG bag's

  • @oscarsumary6155
    @oscarsumary6155 4 года назад +1

    Kutoka Kenya nakufatilia sana madebe

  • @antoinea.katembo5326
    @antoinea.katembo5326 4 года назад +2

    Ahahah aisee kumbe wanajigombanisha kisa waamuliwe na madebe tu! Kazi ipo kweli

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 4 года назад +1

    Nabii Wewe mkali sikuamini kua chanuo ni mkewako

  • @noshadimustafa5857
    @noshadimustafa5857 4 года назад +1

    Nabii swahiliii

  • @tausimohammed7760
    @tausimohammed7760 4 года назад +7

    😂😂na uyo mswahili kweli namuonaga anakunywaga maji ya kandolo

  • @hakikajuma8453
    @hakikajuma8453 4 года назад +4

    Kumbe madebe upo ukoo mmoja na mama yangu MBinga

  • @zuberihassan2450
    @zuberihassan2450 4 года назад +1

    Nmeinjoy sana na interview yako bro

  • @zughurakimati3211
    @zughurakimati3211 4 года назад +1

    Kuijaza dunia kwahalali sio zinaaa

  • @shabanbachane7318
    @shabanbachane7318 3 года назад +1

    Madebe tunakuomba uiendeleze filamu ya matusi

  • @fatumamwantumu4081
    @fatumamwantumu4081 4 года назад +1

    Mtangazaji noma unachekesha mno

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 4 года назад +3

    Host vp mbona kama ulikua unambana madebe kutupa hayo maneno ya uswahil

  • @issayahaya346
    @issayahaya346 4 года назад +1

    Gangala maswali yko matatizo sana kama mlachapat hv

  • @mcwamodotz6762
    @mcwamodotz6762 4 года назад

    Namkubali Sana zaudia

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад

    Love you guys

  • @omarisaria3168
    @omarisaria3168 3 года назад +1

    unaniudhi kweli,ah mtoto chanuo wewe ulinitisha sana katika muvi yako,wee ukija kenya hurudi labda tusionane

  • @khadijakuhigwa9946
    @khadijakuhigwa9946 4 года назад

    Madebe $ Chanuo bange la kolabo

  • @saidimandai2173
    @saidimandai2173 4 года назад

    Ongereni

  • @zughurakimati3211
    @zughurakimati3211 4 года назад

    Umebugi kwenje adam

  • @francekabelege2998
    @francekabelege2998 4 года назад +1

    Et zaudiaaa mbwe mbwe zote ila kwa madebe ndiyo kidog ndiyoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @asfarsham9037
    @asfarsham9037 4 года назад +1

    Nimependa chanuo katulia kimke kabisa Hana mashauzi rahaaa

  • @laylasuliman5805
    @laylasuliman5805 4 года назад +2

    Madebe yaan kwa misemo yako kwenye tamthilia zako kumbe unawatt wengi na wanawake tofauti nilijua ww huwezi kukosea kumbe ni wale wale😅😅

  • @dashcombokinondoni1992
    @dashcombokinondoni1992 4 года назад

    Gangana umewakamata Sana du ongera mtangazaji kwa kuwabana

  • @francekabelege2998
    @francekabelege2998 4 года назад

    Madebe mkee karuhusu bhana ongezaaa mwingn wake Kama hawa wapo kwl mana daaaaah

  • @jumadulaz9370
    @jumadulaz9370 3 года назад +1

    chanuo msambaa

    • @abuumohamed9857
      @abuumohamed9857 3 года назад +1

      Wali wangu adi raa
      C chok kuitazam wali wangu
      Wacha ata inimalixie mb zangu

  • @abumoyo5341
    @abumoyo5341 4 года назад +4

    Nawapenda sn hawaa watu

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад

    Madebe unaanza kunenepa eeeee chunga sana husinenepe sana

  • @othmanhaji1832
    @othmanhaji1832 4 года назад +7

    Hawa Waislam. Inasikitisha sana wanaitangaza ZINAA na kuiona ni kawaida tu. Madebe na Mkeo mtubie kwa Mola wenu na muikemee ZINAA.

    • @ashazubere3837
      @ashazubere3837 4 года назад +1

      Hao wanandoa jaman wamesha oawana tayali

    • @leahjoram7693
      @leahjoram7693 4 года назад +1

      Kama kawaida waislamu ndio wazinifu WA kweli, Ile uslamu WA kitambo sio WA Sasa hivi

    • @rizikisalum9678
      @rizikisalum9678 4 года назад +1

      @@ashazubere3837 iyo miaka ya nyuma hawakuowana wameowana juzi tu

    • @muzdalifamohammed8893
      @muzdalifamohammed8893 4 года назад +5

      Sio uislam ni wao wenyewe, hakuna kipengele ata kimoja kwenye uislam kinoruhusu tendo la ndoa kabla ndoa... ukimuona muislam kalewa ujue ni yy co uislam ulomruhusu kufanya ivo...

    • @sismnfamily3426
      @sismnfamily3426 4 года назад +1

      @@leahjoram7693 mbona chuki na waislamu bro, kwani nyinyi maowana basi?

  • @husseinkirobo771
    @husseinkirobo771 4 года назад +1

    Si kuzin kabla ya kuowan apo mmekosey muomba wenu madebe

    • @reginakalokola8145
      @reginakalokola8145 4 года назад

      Mmmmm kwani wao ni malaika

    • @priscamlyuka5531
      @priscamlyuka5531 4 года назад +1

      @@reginakalokola8145 nashangaaa watu wanapenda kujudge wakati wao wenyewe wanasuguana sana tu

  • @lucasmihambo848
    @lucasmihambo848 3 года назад +1

    Duh madebe

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 4 года назад +1

    Na wapenda nyie mpaka naumwa

  • @sambayoo6441
    @sambayoo6441 4 года назад

    Ila mshakaji jitahidi kuwa unavaa atilist na hadhi yako

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 4 года назад +1

    Mtangazaji kuwa siriaz na kipindi bhana, unacheeeeeka

  • @mtimkavu6062
    @mtimkavu6062 4 года назад

    Kwenye mtu Na binaadamu hapo umekwenda hovyo hayo yote yanamaaana moja tu hayatofautishi jinsia

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 4 года назад +5

    yani ww madebe maneno yako usipokua makini ..utakuja kuingia ktk usafiri

  • @julejule4477
    @julejule4477 3 года назад +1

    Afute tatuu