Km kwahyo Bila Mh Makonda kutoa amri yakukamatwa kwa Hao majangili msingelifanya? Yani hadi makonda aingilie Kati Bila yeye kazi haifanyiki 😢😢😢 loooh jamani! Rais Samia anaimani na nyinyi lkn hamtendi haki hadi mfokewe
Mm nina swali kama mmeweza kuwakamata wabakaji kwa cku moja siku zote hizo mlikuwa unasubir nn? Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa asingekuja makonda wabakaji wasingekamatwa daa taarifa zenu sa zingne zinawavua nguo mnabaki uchi kabisa hamjui tu
SASA AFANDE SIKU ZOTE MLIKUA WAPI, HADI MH MAKONDA KUINGILIA KATI?, NDO HAKI YA HUYU MAMA KUPATIKANA AU KUSHUGHULIKIWA?, MNAFANYA KAZI NZURI JESHI LA POLISI, LAKN HAKI IKICHELESHWA, NI SAWA NA KUNYIMWA.
Police hivi kwann mko hivi jaman mnataka muabudiwe nyie Kwan nyie sio binadam Kama sisi jaman ndio maana mimi nasemaga hamna shidaa yanamwisho ndio maana hata wengine wakistaafu wanakuwa Kama makapurwa million 200 ya mafao inakuwa miez 4 kwisha maana mna laana za watu wengi mno
Wakati wote ulikua wapi
hadi makonda aingilie ndio mfanye kazii
Kwaiyo kumbe lilikuwa linawezezekana lkn ni mpk tusukumwe kuna mambo yanatia aibu na kuudhi sana
Kwan.siku.xot.hiz mlikuwa wap
Kwahiyo nyie hamjui wajibu wenu mpaka Mkuu wa Mkoa aingilie kati
Sasa ilikuwa lazima mkuu aseme?
Km kwahyo Bila Mh Makonda kutoa amri yakukamatwa kwa Hao majangili msingelifanya? Yani hadi makonda aingilie Kati Bila yeye kazi haifanyiki 😢😢😢 loooh jamani! Rais Samia anaimani na nyinyi lkn hamtendi haki hadi mfokewe
Mnakuwaga wapi Mnakulaga pesa Za Serikali bure yaani mpaka Mkuu awaamshe
Wanyongwe tu maana hata ingekuwa niwatoto wao wamefanyiwa hivo wangejiskieje mungu ana waona ujue😭😭😭
Hapo kwanza usalama wa huyo mama ndo kiwe kipao mbere maana hana usalama na ma Police
❤❤❤ Asante sana Baba
Siku zote mlikuwa wapi mpka makonda
🎉kwa nini wakuu mikoa mingine wasifuate nayo za makonda hapa hapa tanga hapafai wañyonge wanavyo zuluwa hawana kukimbilia
KWAHIYO ASINGEKUA MAKONDA HAO WALAWITI WASINGE KAMATWA😆
Mbarikiwe na Allah awape wepesi ktk utendajikazi wenu
Mnakuaga wapi kwamba makonda asinge kuwa kama alivyo watu wangekufa na majanga badilikeni bana
Sasa kama mh asingeta Gaza hii ingekuwaje?
Inasikitisha inaoneka wajibu amjui au paka makonda. Aongee
inamaana bila uwepo wa makonda arusha hakuna huduma za kutatuwa kelo za wananch sio
Jamani mlikuwa wapi kutafuatilia hayo hasa la mtoto mda wote huo? Hadi mkuu wa mkoa aje ndo mnakuwa na akili timamu? Hata aibu huna. Mungu anawaona!
huyo ndio makonda.makonda mchapa kz
Safi sana
Mlikuwa wap mda wote mpak aje astak kwa makonda
Mungu awe nanyi
wakati wote ulikuwa wapi wewe mpka aje makonda aje kufanya hzo kaz
Muheshimiwa mkuu wa wiliya..arusha mjini jitaidi saana kusimamia..haki ipatikane kwa huyo..mtoto na mama yake usalama wake pia na matibabu apate.
Makonda hoyeee
Na nyinyi viongozi wa wilaya mjikaze sasa
Kituo cha mulieti kinautilitimba sana.
Kwahiyo siku zote mulikuwa wp?
Mm nina swali kama mmeweza kuwakamata wabakaji kwa cku moja siku zote hizo mlikuwa unasubir nn? Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa asingekuja makonda wabakaji wasingekamatwa daa taarifa zenu sa zingne zinawavua nguo mnabaki uchi kabisa hamjui tu
Yaan inasikitisha!
Kwahiyo mpkaa wananchi wajue ndio mfanye kazi
Umeongea vizuri ila wangeongea wahanga maana kuaminiana ni ngumu. Isijeikawa unatupiga au laa.
SASA AFANDE SIKU ZOTE MLIKUA WAPI, HADI MH MAKONDA KUINGILIA KATI?, NDO HAKI YA HUYU MAMA KUPATIKANA AU KUSHUGHULIKIWA?, MNAFANYA KAZI NZURI JESHI LA POLISI, LAKN HAKI IKICHELESHWA, NI SAWA NA KUNYIMWA.
Police hivi kwann mko hivi jaman mnataka muabudiwe nyie Kwan nyie sio binadam Kama sisi jaman ndio maana mimi nasemaga hamna shidaa yanamwisho ndio maana hata wengine wakistaafu wanakuwa Kama makapurwa million 200 ya mafao inakuwa miez 4 kwisha maana mna laana za watu wengi mno