Bingwa wa kuogelea ZANZIBAR "Naogelea kwa miaka 25/Nimebeba MAITI 5"/Atoa sababu ya VIFO hivyo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 16

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Месяц назад

    Mazingira bado hayajawa bora kwa Makachu. Kwa mfano,hapo wanaporukiya ni hatari na ingefaa wakajengewa "ramp" la kurukia ambalo litasaidia usalama wao

  • @ShearbyBrand
    @ShearbyBrand 3 года назад +1

    nimeipenda iyo

  • @Katuni862
    @Katuni862 Год назад

    Farasi 😅😅😅mpuuzi kweli hyu hjawahi kuw serious 🤣🤣🤣

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 11 месяцев назад

    Serikali kama inasapoti jambo hili walitakiwa waweke Life guard,watu ambao kazi yao nispecial nikuokoa watu

  • @tamrikznz7583
    @tamrikznz7583 2 года назад

    Jambo Zanzibar

  • @salimkassim6020
    @salimkassim6020 2 года назад

    Uko vzr full kujiamini

  • @rajakhamis8902
    @rajakhamis8902 2 года назад +1

    Broo unajita ww bingwa wa kuogelea daa ukisema hvo sisi wngne tunamanisha unatutambia Mimi niko tayari kuandaa mashindano ya kuogelea na wewe na uknizid nitakulipa pesa ukiwa tayari nifate mbweni beach nyuma ya hoteli madina al tul bahar na jungle paradise nimezalwa pemba na ninauzowefu wa kuogelea kwa muda wa miaka ishirini 25 ukwa tyar nigate ukniulzia t utanipata

    • @abdillahfaki8446
      @abdillahfaki8446 Год назад

      Hiyooo hajui kuogelea broo Pemba kuna watu wanaogelea haswaaa wakojani yy anajigamba Kwa Forodhani ambapo hapan hata maji anaogelea hapo hapo

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 10 месяцев назад

      @rajakhamis8902 nakupataje swimmer

  • @membatz8248
    @membatz8248 3 года назад

    I wish 😂

  • @mamasahim5573
    @mamasahim5573 3 года назад

    kikosichochote kimchukue

  • @shellaking6185
    @shellaking6185 3 года назад +1

    Sasa miaka 25 na wenyewe wanakaa wadogo jmn bongo sihami ng'o

    • @mwangiakila8020
      @mwangiakila8020 3 года назад

      Ukwel

    • @zuhuramuhanga5400
      @zuhuramuhanga5400 2 года назад

      Wana anza wakiwa wa dogo miaka mi 5

    • @khalifaali2613
      @khalifaali2613 2 года назад

      Zanzibar ni nyumbani tunajua watoto wadogo wanaogelea kwa hiyo sio ajabu mtoto wa miaka7 kujua kuogelea