Broo unajita ww bingwa wa kuogelea daa ukisema hvo sisi wngne tunamanisha unatutambia Mimi niko tayari kuandaa mashindano ya kuogelea na wewe na uknizid nitakulipa pesa ukiwa tayari nifate mbweni beach nyuma ya hoteli madina al tul bahar na jungle paradise nimezalwa pemba na ninauzowefu wa kuogelea kwa muda wa miaka ishirini 25 ukwa tyar nigate ukniulzia t utanipata
Mazingira bado hayajawa bora kwa Makachu. Kwa mfano,hapo wanaporukiya ni hatari na ingefaa wakajengewa "ramp" la kurukia ambalo litasaidia usalama wao
nimeipenda iyo
Farasi 😅😅😅mpuuzi kweli hyu hjawahi kuw serious 🤣🤣🤣
Serikali kama inasapoti jambo hili walitakiwa waweke Life guard,watu ambao kazi yao nispecial nikuokoa watu
Jambo Zanzibar
Uko vzr full kujiamini
Broo unajita ww bingwa wa kuogelea daa ukisema hvo sisi wngne tunamanisha unatutambia Mimi niko tayari kuandaa mashindano ya kuogelea na wewe na uknizid nitakulipa pesa ukiwa tayari nifate mbweni beach nyuma ya hoteli madina al tul bahar na jungle paradise nimezalwa pemba na ninauzowefu wa kuogelea kwa muda wa miaka ishirini 25 ukwa tyar nigate ukniulzia t utanipata
Hiyooo hajui kuogelea broo Pemba kuna watu wanaogelea haswaaa wakojani yy anajigamba Kwa Forodhani ambapo hapan hata maji anaogelea hapo hapo
@rajakhamis8902 nakupataje swimmer
I wish 😂
kikosichochote kimchukue
Kikosi gani na hao wa mji mkongwe si unajua
Sasa miaka 25 na wenyewe wanakaa wadogo jmn bongo sihami ng'o
Ukwel
Wana anza wakiwa wa dogo miaka mi 5
Zanzibar ni nyumbani tunajua watoto wadogo wanaogelea kwa hiyo sio ajabu mtoto wa miaka7 kujua kuogelea