The Story Book BAHARI na Siri zake za Kutisha / Professor Jamal April azama baharini
HTML-код
- Опубликовано: 28 окт 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Your the best man gonga like nyingi kwa jamali hapa
Tumsapport huyu jamaa yuko vizur, pamoja sana jamal
Kweli nime Amini ww ni professor tena ni wa kwanza kutokea Africa Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akupe afya iliyo njema uzidi kutuelimisha Jamal
Mara zote kilicho Bora lazima kisifiwe #ProfessorJamal you did it well nimependa the way ambavyo umepresent content ya story, mbali na ubora wa maudhui lakini pia sauti nzuri yenye ladha ya kumshawishi zaidi mkilizaji nayo umebarikiwa hongera sana
Lakini ambacho ningeomba as you told us mwanzoni kabisa kuwa utasimulia kuhusiana na mizimu ambayo ipo Zanzibar this also must be good I wish siku moja uisimulie
Congratulations to you all wasafi and all who have been included in one way or another to made this for us as your fan we thanks so much and much appriciation and respect to you Guys
Dah inaomba moyo kufanya hivyo kaka. Kweli wewe ni jasari na yote hayo ni kwa sababu yetu ili tujifunze mengi zaidi. Ahsante sana Mungu akubariki
Katika the storybook ambazo uliwahi kuzifanya hii ni dop! Hongera sana. Jitahidi ujielekeze kwenye huu mwelekeo kwani tunavyo vitu vingi Tanzania watu hawavijui. Hongera sana kwa maudhui, kifupi huchoshi!
Very impressive work
Salumu milanzi unamjua
Ur documentaries are incredible professor jamal💜✨✨najivunia kuwa mswahili , this is amazing the world should know of ur work📌
#KING professor tupe na ww story book yako ya maisha 1day
u riskd yo life for , us ur family, and wasafi too MASHALLAH JAMAL
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2017 katika visiwa vya bongoyo Dar es salaam tulikuwa tumeenda kwa ajili ya uvuvi wa samaki tukatega nyavu yetu ghafla watu wa boya wakaona kurabu zinazama ndio nikatoka mimi na mwezangu tukaelekea majani Kwa ajili ya kufunga madumu kwenye karabu ghafla tukasikia daiva anavuma tabidi tumwambie nahoza Ndipo hapo daiva wetu akaibuka na kuwambia watu kamuona samaki mkubwa wa ajabu
malizia story
Ndy
Tafadhali prof tusimulie kiundan kuhusu maajabu saba ya dunia
Jamal, from kenya here, for real you have talent, big up, bro... gd job, you real inspire people out here ranking you, the top story teller in east Africa....
Hongera Professor... Am a PADI Scuba Diving Instructor and a girl child mentor...!
Hauna mpinzani kaka wew ni ziadi ya noma kabisaaa
My sweet home
Maeneo gn.. bububu au
Faiza❤
@@awadhally1052 yes
Kenyan top comedian
Nakurank Jamal amazing talented story taller
Creativity one nakukubali sana kaka
Professor Jamal nimeshinda kweli hata hao ma Ptofessor wakweli hawajafanya utafiti kama huo nakupa medani ya Gold 🏅🏅🏅
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yaan wewe Jamal mungu atakulipa kwa ubunifu huo 🙏🙏🙏
Upo vizuri professor
Big jamari nakukubari kama simba diamond Big Rambo 🦁🦁❤❤❤❤💎🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daah Mungu akujarie jamar April na akibariki sana
We ni mzug uliyevishwa ngoz ya kiafrikaa... Bigupbrodah
Najifunza maisha na safari nzr ya maisha kupitia ww kaka ongera my bro kazi nzr kaka mungu Aku bless
Daah, unajitaidi Sana kutuelimisha vile Dunia ilivyo pamoja na viunbe vyake..
Umetisha Sana uko daraja la juu Sana huku Africa unapoteza muda ulaya ndio kunakufaa
kwaiyo Africa akukai watu acha kua mtumwa
Jamal we ni mkali sana yan....ivo tu
WE jama una juwa sana aisé 🔥🔥🔥🔥
Hongera Sana professor April
Jamari mstafa wewe ni kichwa zaidi ya kichwa hongera kwa kipaji
Unajua sana unachokifanya kaka na team wasafi.
Brother wee ni hatari sanaa big up sanaa
Ukatae ukubali haka ka jamaa kana stori Kali Sana ILa Ku mambo uwa kanatupiga live Kabisa
Or in or kazi nzuri
I love my Zanzibar
Proffessor Jamal we love u thnks kwa kaz zako nzri
wasafi ni kubwa kwa sababu ina watu wanaosubutu kufanya mambo
Amen umerudi salama,mungu atukuzwe nakukubali sana mwanangu
Wasafi 4life♥️🔥😘
Daaaah jamal uko jasiri kuingia chini yamaji na hauna uzowefu ni moyo
Mm najifunz kuogelea ili nikatafut utajir chini ya Bahar
@@aminatanzanya7475 mmmmmmh ok pambana
@@aminatanzanya7475 utajiri gani
@@adilaamani7027 msikilize Jamal vizur ndo utanielew
@@aminatanzanya7475utajiri uko katika hekalu ya mwenyez mngu,wewe wacha bangi
Kaz mzur jamal respect
Love you jamal
Daah umejitahidi bro kutafutiya hii story mungu akupe uwezo zaidi tujuwe mengi zaidi kaka one love
Kazi nzuri
Jamal I love it....make sure unaweka yenye inaweza kujidownload ndio tuwatch baadaye
Hongera sana mwenyezimungu akupe hitaji la moyo wako Inshallah
Ahsant Sana kwa ubunifu wenu tunapata vitu vinavyo vutia na vya tofauti Sana
Kama unamkubali professor gonga like hapa
Asante sana my brother from another mother
Jamal hongera sana kiukweli The Story book ya mara hii ni ya kipekee sana, umetisha sana Professor, karibu tena Zanzibar.
Napenda ubunifu wa kazi yako jamal very good.
I really appreciate boss Jamal
Ur the Best Risk Taker
All is kutupea Effectively
Perfect Education we deserv
Trust me #Prof_JAMAL ur LEGENDARY
No one ever try this before #BLESSED🙏😊
Dah! Mungu anamaajabu yake.
Endelea kutujuza maana bado tuko kwenye Giza . Nakukubali
the guy is training Jamal is a professional diver
Hongera saana professor. Tuna kufata toka Uganda
Am watching you my brother i like what you doing
Jamal April nice nakupata nikiwa from 🇧🇮🔥🔥
Woow
Wasafi mko juu sana kwanin hampewi tuzo
Napenda hii thestorybook and msimuliz anafanya part yake mashallah
Hongera sana jamal wewe ni
Good work Prof Jamal. kindly Bring us the Story of Daniel. Thank you
That guy training Jamal is an expert. Kudos to both of them 👏👏
Watcha nikupende mwalimu wewewwww ni mwalimu kweli 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥 nakupenda sana kutoka congo 🇨🇩🇨🇩
Hapo ndipo utajakubali uchawi wa mzungu kwa maana ukishavaa hayo mavazi ya Diving hata uwende deep kiasi gani wanyama na viumbe utakavyokutana navyo huko chini vinakuona kama mwenzao vile yann
Baarakallahu fiika
Maana nimeinjoy mno.
Wasafi 4life 💎 Napenda Sana Munavyojituma ila zidisheni Vipiti Kwenye Tv...
Hongera kwa kweli umishinda majaribu ....binafsi siwez na sitajaribu lbda iwe ni lzm ila mwenyewe Sina hina ndoto
Tanzania imebarikiwa, Zanzibar, Mt Kilimanjaro, victoria, Ngorongoro... nyinyi bado mpo usingizini.... your country is the tourist capital of the world....
Jamal u so genius😂😂kweli unaependa kazi yako😘😘...ua mum must be so proud of u!...the way i was holding my breath😂😂😂ungedhani mimi ndio nmeingia kwa maji...good job mkuu
Na ushaambiwa ku hold breath is one very big mistake 😅
Julliet mambo
Julliet mambo
Kateshian safi sana😘
@@rayyanjulliet4694 nkajua umehold breath mpak Leo kumb bado upo hai
Nakubal Sana broo upo vizur napenda Sana kuangalia the story book
Pole sana kwa kazi ngumu
hongera kazi zuri Sana 💙💙💙💙🇰🇪🇰🇪💛💚
Tamu story🔥🔥🔥
Good I saw my school Zanzibar diving
Professor upo njema san kuliko kawaid ila kuna jambo moja liache kipindi unazungumza..... #mapozi yakizidi san baada ya mamb uraharibu... punguza kujitikisa unapozungumza ...
Much respect broo ur next level
Kwel Kabsaaa,,, aweke pozi hzooo akiwaa anahadisia story na sio akiwaa anaongea kawaida
Ma sha Allah Baba ,Maman,Mtoto wote umesahau mke wako
Genius professor jamal
Wow ningependa kufika Zanzibar siku moja inshAllah 🙏🏾❤
Nikirudi saudia baada ya miezi miwili come home
Welcome to zanzibar hakuna matata
Karibu zanzibar
Welcome
Itoshe kusema tumebarikiwa wapigaji na wadangaji Lkn huyu tulie barikiwa ni professor haswa congratulations all the best
MashaAllah
Nenda na kisiwan mafia ukaitangaze kwa vitu vya kitali ila bg up brooo💖💜💞💓
Jamal salute to you
really appreciated kwa kazi nzuri brother Jamal , keep moving
U are the professional speaker who I do like coz u do explain all that people never know that is why I really like to listen to u
Nat Geo should see this.Jamal to the world
Nimeipenda sanaaa hii Jamal...safiii sanaaa nice experience..uko vizuri.
Nakupnda sana brother .. unajua sana brother
Thanks Jamal for your historic story, am glad you tell it well... I love it👍
Safi sana jamal nimeipenda hiii story book nimeipenda
Jamal April is good documentarian , your Good teacher, your good in telling stories don stop bro ever , #thestorybook forever 🙏
Professor ni mmoja tuu Africa
uyu jamaa ni proffesor🙌
ruclips.net/video/lgdiJ7RU1qA/видео.html tu hi
Yaani Leo story Book imekuwa dop 👏💪👍
I am delighted to have heard several projects of an amazing storyteller as you sire. I am a voiceartist based in Tanzania and am longing to launch a project with you sir.
P0
Pa moja sana mwamba 💪
Nakufuatilia sanaa prof asente sanaa
your so amazing and differ I learn many thing to you broh am proud of you nigguh
Akhy i love this guy from kenya proffesa 💝
39:00 👏
Kenya wapi coz pia mm nko kenya
Ni gay ama
@@abuuakhy4001 hahahahaha i love him like a bro, You people got dirty mind
@@abuuakhy4001 am not female that's all you need to know
Nice experience professor, nimejifunza sana ila ungejali kama ungeandika contacts za hao jamaa ... ningeshukuru sana
jamal🙌🙌🎉🎉
U do your resarch
well