Hongera sana kwa elimu kubwa kama hizi. Kiukwel janga hili nilikuwa bdo mdogo sn na hata ckufaham chochote. Like zenu jmn kwa Mr Jamal na like zenu wale ambao kipindi kile tulikuwa wadogo na leo ndio tumefaham Zaid kisa hiki kupitia the story book
My uncle alitravel on the day of the disaster. Na alilala close to the hotel iliyotokewa na janga hilo. Yaan,angesema abaki one more day..leo ingekua another story. I hope they are resting in erternal peace in heaven🙏
@@barakashaban9698 ndio ivo wasiokua.waislam wanaona.ni jambo la.kawaida na kujipa moyo Eti.ni.tetemeko.tu,.sisi tunaamini.ni Allah kutuonesha uwezo wake na tuwe na.khofu ya kumrudia na tupunguze kufanya Dhambi au tuache kabisa
Nilikuwa Thailand huo mwaka,ila usiku huo wa sunami ndio nilifika kenya for Christmas,nilijua mungu yupo na mm nilishii puket najua hii island vizuri sana RIP waliopoteza wapendwa wao
Naikumbuka vzr hii siku nilikua zangu fukweni Zanzibar naogelea Mara gafla maji yalikua yanajaa gafl yametoka gafla yamerud tena watu wt wamekimbia kuelea kando za ufukweni naikumbuk vzr tn sn
Hawatoelewa mpka yatokee kifo cha cha ardhi ni maji , MAJI NI ZAIDI YA CHCHTE JAPO MOTO UPO ILA HUWEZI SHJNDANA MA NGUVU YA MAJI 🙏🙏ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏
Siku hii nlikuepo Zanzibar maeneo ya shangani ulipiga mtetemeko mkubwa wa ardhi na bahari kuleta mawimbi mazito mpaka watu wakaanza kuingiwa na khofu ila baada ya muda ikanza kutulia
Hii ni alama moja wapo ya uwepo wa MwenyeziMungu tuishi kwa kuzingatia mwenyezimungu yupo na hizi ni ishara zake tumuogope, tuogope hasira na adhabu zake Hakika MwenyeziMungu ni mkubwa na mwenye nguvu. Huu ni ukumbusho na ishara kubwa itawafaa wenye kuamini anayesema haya ni mabadiriko ya hali ya hewa/nchi mimi nakubaliana na yeye lakini anatakiwa kujifunza mabadiriko hayo husababishwa na Muumba.Tumuogope MwenyeziMungu tuishi kwa imani na tupate mwisho mwema
Unasauti nzur pia unajua kusimulia unaenda jins story inavoenda kama ya kutisha upo vizur kuna yule mwingine anatufokea na sauti yake kqma anatangaza taarifa ya habari na sio story tena
Yesu Kristo anatukumbusha kuwa narudi mda sio mrefu. Shida ya mwanadamu ni mbishi afu viburi mno. Hakika watakufa wengi sana!! Mkiambiwa kuwa Yesu anarudi siku za hivi karibuni hamsikii. Sasa hiyo iliyotokea mwaka wa 2004 ni mfano tu!! Kitu chenyewe bado, na inakuja. Nakwambia Yesu atakaporudi hii dunia kwanza inaisha yote, yaani ni zaidi ya hatari. Ndugu katika Yesu Kristo hakika tukesheeee;!!! Yesu asifiwe sana!! Anakuja siku si nyingi. Sasa cjui atakukuta wapi na unafanya nini!!!!
Acha upumbavu wewe jinga wewe na waliokupeleka shule halafu hadi leo natural hazards unasingizia Mungu. Hata ambao waliwaletea imani na dini sio mazuzu km wapokeaji. Next time usiniletee kauli za kifala boya wewe. Toa hoja na sio matusi ya rejareja
@@ambrosromanus9547 ww ni mjinga!! Usiokuwa na akili!! Usitegemee akili zako mwenyewe!! Yesu anarudi, na anaporudi kabla hajarudi vitu kama hivi hutokea!! Majanga ya asili yatatokea kama tetemeko!! Mafuriko makubwa, afu hata njaa, vita baina ya nchi na nchi, ufalme na ufalme hawataelewana!! Ni mapigano tu yatatokea kama hii ya Russia na ukrein!! Yaani hizi ni mifano tu ya kuja kwake mwana wa Adam!! Yesu Kristo. Upo ndugu!! Soma Mathayo24:1-26. Utaona mambo.
Na cha ajabu na ndoo mjue huwa ni Amri ya mwenye Bahari. Huwezi ona samaki hata mmoja na wanyama wote hukimbia kabla ya Tsunami kutokea. Yaani Allah huwaondoa viumbe wake pendwa na kuwaadhibu viumbe wake wakorofi.
Hakika wewe ni professor wa jamii nzima kaka. Yaani professor wa wasomi na wasio wasomi, wewe ndio maana nzima ya msomi. Umefanikiwa kurudisha kwa jamii kile ulichokipata shule
Hapo sawa professor
Tunaomkubali Professor Jamal April Tusisite Kuungana Kwa Likes Kwa Kutuletea The Story Book Ya “TSUNAMI” 🌊👍🏿
Aiii bro ukona luk safii sana 😉kwanza viatu 👍🏾
Asate kaka
Kama unamkubali Huyu jamaa aongezewe mshahara mara mbili like hapa
Hakika tunapaswa kumuabudu mungu kila wakati ya maisha yetu
Ukitazama kwenye hio video utaona umebaki msikiti tu kma ulivyojengwa hakuguswa hata na chembe ya maji
Ghabhabu za Allah (sw) tumuogopeni Allah. Sisi viumbe hatuna uwezo wa kuepuka na adhabu zake😭
Swahihi kabsa sheikh wngu
sasa nan aliyesema iyo ni adhabu ya Mungu, ayo ni mabadiriko ya hali ya nchi wew unasema adhabu, kasome vyotevyote sio unabezi na elimu akhera tu
@@hallin9561 jitie kidole halafu ukinuse
@@hallin9561 we mpumbavu izo ni adhabu za Allah iyo ni ishara tosha kuwa hamna mungu kama yeyeee
@Issa Omary sahihi kak
Hongera sana kwa elimu kubwa kama hizi.
Kiukwel janga hili nilikuwa bdo mdogo sn na hata ckufaham chochote.
Like zenu jmn kwa Mr Jamal na like zenu wale ambao kipindi kile tulikuwa wadogo na leo ndio tumefaham Zaid kisa hiki kupitia the story book
2004 nlkuwa darasa la 2 now am 26 years dah! Enx kwa jamal🙏🙏🙏
Mungu ndio kila kitu tumuombe atujelie mwixho mwema, na pia km unakubali kazi za huyu jamaa ya kutuelimisha gonga like hapa twende pamoja
My uncle alitravel on the day of the disaster. Na alilala close to the hotel iliyotokewa na janga hilo. Yaan,angesema abaki one more day..leo ingekua another story. I hope they are resting in erternal peace in heaven🙏
Yuko wp saiv
Dah..anabahati sana. Nchi gani io alikua ameenda, alifikia hotel gani?
Ungesema ilitokeya inchi ngani????
Kiswahil tafadhari
Ata shosho yangu
Naomba like 300 sijachelewa
Sijui ufanyie nn izo like 😏😏😏
Leo nimewahi kama unamkubali jamar gonga like hapo chini🙏🙏❤️
Kama unamkubar JAMAL APRIL like 👍
Allah alionesha uwezo wake.ili.tuzidi.kumkumbuka na.kumuogopa yeye tu
Swadakta
@@barakashaban9698 ndio ivo wasiokua.waislam wanaona.ni jambo la.kawaida na kujipa moyo Eti.ni.tetemeko.tu,.sisi tunaamini.ni Allah kutuonesha uwezo wake na tuwe na.khofu ya kumrudia na tupunguze kufanya Dhambi au tuache kabisa
Aya bwa hata mie sijachelwa naomb lik🖖😁
Wa kwanza kucomment❤
Mungu azidi kukuongezea maarifa zaidi uwe na elimu zaidi nasisi tupate uelewa kupitia wewe
Mungu atujalie mwisho wetu mwema🙏🙏🙏🙏🙏
Nilikuwa Thailand huo mwaka,ila usiku huo wa sunami ndio nilifika kenya for Christmas,nilijua mungu yupo na mm nilishii puket najua hii island vizuri sana RIP waliopoteza wapendwa wao
Big up wasafi media. Special thanks Mr professor Jamal April Mustafah we really appreciate
Naikumbuka vzr hii siku nilikua zangu fukweni Zanzibar naogelea Mara gafla maji yalikua yanajaa gafl yametoka gafla yamerud tena watu wt wamekimbia kuelea kando za ufukweni naikumbuk vzr tn sn
Ilikuwaje nipe story zaidi natamani kujua maji yalifika Zanzibar
Daaah nilikua darassa la kwanza naikumbuka hii str vzr, hongera Mr jamal
Ukiangalia vizur kuna kipande majengo yote yapo chini mskiti hauja dhurika tizama kwa maakini🤔
Ishara ya ukubwa wa Allah
Hatimaye 🥰🥰🥰
Hello Jennifer
Sikuwah kufahamu jambo hili,, Ahsante Jamal dah maana nilikua mdogo sjui darasa la nne
Hii ilinipata nikiwa srilanka Alhamdulliah nilitoka salama,lakini Ile shule yenye tulikua tunasoma ilifutwa na tsunami
ohh pole
🤣🤣🤣🤣😂🤣
🤣🤣🤣
@@mwajumakulugai6416 sasa mwajuma wacheka nini hapo?kweli kabisa Yani kuna kitu ya kuchekesha?
Hawatoelewa mpka yatokee kifo cha cha ardhi ni maji , MAJI NI ZAIDI YA CHCHTE JAPO MOTO UPO ILA HUWEZI SHJNDANA MA NGUVU YA MAJI 🙏🙏ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏
Amina!
Amin
Amin rabill alamin
Professor next week leta stroy ya Elon musk I want to know more about this guy
Gonga like za kutosha ka wakubali kazi za professor ❤️
The greatest one, Jamal no one like
👁️ 👁️
👃
👄
Natazama nikiwa Mombasa Kenya... Mafunzo mazuri na Mungu atuepushe na majanga kila kukicha... AMIN
i like your creativity😃
Huyu jamaa anajua sanaaa naelewa kazi zake
Jamal April hakina ww ni mwalimu unatupa elimu
We appreciatee u bro u are amazing
Bro we ni noma uko vzur umenifanya nijue mengi
PETE ZA MAJINI ZENYE MVUTO MKUBWA UTAJIRI
ttps://m.ruclips.net/video/wrdjNRzYUxg/видео.html
Nilikuwa kidato cha kwanza,nakumbuka tulikatazwa kwenda kuogelea pwani
Ivi kwann Tanzania inakuaga na neno isiyojulikana?? Nchi zingine zmetoa takwim sahihi,ila sisi neno “isiyojulikana”halikosekanagi na inakera.
Eti ili tusichekwe kama na sisi hangs limetukumba ata hao watu kumi na ngapi walio kufa sio kweli walipunguzwa ili tuonekane tumependelewa na mungu
Siku hii nlikuepo Zanzibar maeneo ya shangani ulipiga mtetemeko mkubwa wa ardhi na bahari kuleta mawimbi mazito mpaka watu wakaanza kuingiwa na khofu ila baada ya muda ikanza kutulia
Kwa wale wappenzi wa Movie Reviews kwa lugha ya Kiswahili, msisite kutembelea page yetu.
Pamoja
Tumche mungu tumemsahau
Allah anatisha, ana nguvu na mjuzi wa kila jambo!
Amiin
I was first one on show but the last words make my day
Leave in your dreams
I'm a little scared of that story because I'll be traveling in Thailand in July I'll be in Bangkok for two months. Prince from Oslo Norway 🇳🇴🇳🇴🇳🇴🇳🇴
stay safe
@@athuman6223 thanks 🙏 you
Don't be scared. Remember right now there are some people in Bangkok so should they running. Death is everywhere.
@@barikimbacho6731 🙏🙏☺️
NJIA YA MWANADAMU KWENDA KUKUTANA NA MUNGU WAKE NI LAZIMA APITE MLANGO WA MAUTI. KAMA UNAOGOPA KWENDA KUKUTANA NA MUNGU WAKO JIULIZE UMEMFANYA NINI?
Tsunami yaogopesha sana
I'm from Kenya Nairobi county, I'm watching this from yaya center
Jammal kwl unajitahid kutupa vitu adhim na adim Mungu akujaze khair na umri
umetishaa mkuuuu wew n zaid ya professor
Usiwe Na Chelewa Kuachiya Kaka Nilikuwa Nisha Miss
Your the best Jamal..keep it up comrade
Jamal ANAUPIGA MWINGI ✌🏿💯
Inatisha...nice job mr jamal
jamaliii👊👊👊👊👊🙏
PETE ZA MAJINI ZENYE MVUTO MKUBWA UTAJIRI
ttps://m.ruclips.net/video/wrdjNRzYUxg/видео.html
Dah Mungu atujaalie kifo chema
Mungu azidi kukuweka na uzidi kutukumbusha inshaallah
Nilikuw bdo mdog wa myak mi tatu
Jamari Kama diamond Big ❤💪🙏🔥🔥
Eee sikuwahi kujua kuwa Tanzania , Kenya , Somalia mpaka dar es salaam huko zilipata tetemeko hili ya Allah
nakubari mzee bab
Hii ni alama moja wapo ya uwepo wa MwenyeziMungu tuishi kwa kuzingatia mwenyezimungu yupo na hizi ni ishara zake tumuogope, tuogope hasira na adhabu zake Hakika MwenyeziMungu ni mkubwa na mwenye nguvu. Huu ni ukumbusho na ishara kubwa itawafaa wenye kuamini anayesema haya ni mabadiriko ya hali ya hewa/nchi mimi nakubaliana na yeye lakini anatakiwa kujifunza mabadiriko hayo husababishwa na Muumba.Tumuogope MwenyeziMungu tuishi kwa imani na tupate mwisho mwema
Kaka Jamal mwenyezi mungu kukupa uzima na afya njema ili uendelee kutujuza matukio kama haya hongera kwakazi nzuli
Mshahara wanaomlipa huyu profesa hautoshi..ata kama sifahamu😂
Ni mda sana 2004 nlikuwa na mwaka 1 saiva 19
Nimefika mapema leo
huyu proffesor ni zaid ya proffesor kabxa
Nakumbuka siku hii, dah zenji wameweka historia ya tetemeko
Japo nilikuwa kadogodogo😌😌
Me niko bara ninamiaka 29 lakini hii kitu ndo nasikia leo kwa mara ya kwanza ety. Kumbe kitu halisi na kilitokea...?
Ndio kilitokea naikumbuka hii siku nikiwa zanzibar Allah atunusuru na kila mabalaa
Unasauti nzur pia unajua kusimulia unaenda jins story inavoenda kama ya kutisha upo vizur kuna yule mwingine anatufokea na sauti yake kqma anatangaza taarifa ya habari na sio story tena
Nipeni likes zaa prof Jamal
Kama unamkubali proffessor gonga like
Gonga like kama unamkubaL the story book
Jamani tunaomba the story book ya raisi aliekula bata zaidi duniani
Love from 254 🇰🇪 ♥️♥️
💪🏼💪🏼
Hahaha tanzania tuna watu wasiojulikana kila sehem🤣🤣
Nimeona kipande cha San Andreas movie na mission impossible. Simulizi ya kweli
Yesu Kristo anatukumbusha kuwa narudi mda sio mrefu. Shida ya mwanadamu ni mbishi afu viburi mno. Hakika watakufa wengi sana!! Mkiambiwa kuwa Yesu anarudi siku za hivi karibuni hamsikii. Sasa hiyo iliyotokea mwaka wa 2004 ni mfano tu!! Kitu chenyewe bado, na inakuja. Nakwambia Yesu atakaporudi hii dunia kwanza inaisha yote, yaani ni zaidi ya hatari. Ndugu katika Yesu Kristo hakika tukesheeee;!!! Yesu asifiwe sana!! Anakuja siku si nyingi. Sasa cjui atakukuta wapi na unafanya nini!!!!
Natural forces zinahusiana nini na Yesu
@@ambrosromanus9547 hongera mtaalamu wangu!! Ww ni jinga kweli.
Acha upumbavu wewe jinga wewe na waliokupeleka shule halafu hadi leo natural hazards unasingizia Mungu. Hata ambao waliwaletea imani na dini sio mazuzu km wapokeaji. Next time usiniletee kauli za kifala boya wewe. Toa hoja na sio matusi ya rejareja
Amen mungu atuepushe na vifo vya kutisha
@@ambrosromanus9547 ww ni mjinga!! Usiokuwa na akili!! Usitegemee akili zako mwenyewe!! Yesu anarudi, na anaporudi kabla hajarudi vitu kama hivi hutokea!! Majanga ya asili yatatokea kama tetemeko!! Mafuriko makubwa, afu hata njaa, vita baina ya nchi na nchi, ufalme na ufalme hawataelewana!! Ni mapigano tu yatatokea kama hii ya Russia na ukrein!! Yaani hizi ni mifano tu ya kuja kwake mwana wa Adam!! Yesu Kristo. Upo ndugu!! Soma Mathayo24:1-26. Utaona mambo.
Fahamu zaidi kuhusu watu wenye mwanya
ruclips.net/video/GhzCttrLmxc/видео.html
Na cha ajabu na ndoo mjue huwa ni Amri ya mwenye Bahari. Huwezi ona samaki hata mmoja na wanyama wote hukimbia kabla ya Tsunami kutokea. Yaani Allah huwaondoa viumbe wake pendwa na kuwaadhibu viumbe wake wakorofi.
Good documentary prof
Yupo sawa na kwa upande wangu ninamkubali sana
Napenda sana usimulizi wako kaka u r my role model.We ni mkali yani
❤❤❤❤❤ i am following you in Kenya samburu county
Hakika wewe ni professor wa jamii nzima kaka. Yaani professor wa wasomi na wasio wasomi, wewe ndio maana nzima ya msomi. Umefanikiwa kurudisha kwa jamii kile ulichokipata shule
PROFESSOR 🥂🙌🙌
Wazee wa the story book
Thumbs up for the only prof in town👍❤️
Ni ukumbusho tu wa Allah juu ya waja wake
Inatisha...nice job mr jamal
Tunaomkubali jamali professional tuweke likes kwa ajil yake♥️👏
I see your work proffesor
We jamaa unanikoshaga sana na simlizi zako 😇
Professor 🔥🔥🔥🔥
#Diego👑
Natamani sana the sully documentary from Kenya
The story book ibaki milele....!!
From qatar 🇫🇷 jamali is better
*Number of Death yatabirika kuzidi 227,898 R.I.P😥🕊️Ukanda wa Indian Ocean. Magnitude ya Tsunami 9.1-9.3 Mw*
Maumivuyake omba yasikukute haya yaani maumivuyake nimakalimnooo tumuomba mungu atuepushe nabalaa hili kwakweli nguvu zamungu haziwezekani
Kuna kipande majengo yote yapo chini isipokuwa Msikiti
Subhanallah
Unataka kusema nn apo 🥴🥴😅
Duuu leo umeamsha akili zangu professor.....for sure leo umeongea ukweli... God bless you for me
Was waiting..