The Story Book: TSUNAMI ‘Wimbi la Kifo’

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 332

  • @hamadomar8320
    @hamadomar8320 2 года назад +1

    Hapo sawa professor

  • @dadyshunaydah9421
    @dadyshunaydah9421 2 года назад +115

    Tunaomkubali Professor Jamal April Tusisite Kuungana Kwa Likes Kwa Kutuletea The Story Book Ya “TSUNAMI” 🌊👍🏿

  • @arvilkuria2051
    @arvilkuria2051 2 года назад

    Aiii bro ukona luk safii sana 😉kwanza viatu 👍🏾

  • @adenabdi1862
    @adenabdi1862 2 года назад +1

    Asate kaka

  • @peterwapesa7947
    @peterwapesa7947 2 года назад +104

    Kama unamkubali Huyu jamaa aongezewe mshahara mara mbili like hapa

  • @africanwatz4240
    @africanwatz4240 2 года назад +49

    Hakika tunapaswa kumuabudu mungu kila wakati ya maisha yetu

  • @del-mohaa7527
    @del-mohaa7527 2 года назад +2

    Ukitazama kwenye hio video utaona umebaki msikiti tu kma ulivyojengwa hakuguswa hata na chembe ya maji

  • @fineboyAfrica
    @fineboyAfrica 2 года назад +65

    Ghabhabu za Allah (sw) tumuogopeni Allah. Sisi viumbe hatuna uwezo wa kuepuka na adhabu zake😭

    • @jaycodestz1304
      @jaycodestz1304 2 года назад

      Swahihi kabsa sheikh wngu

    • @hallin9561
      @hallin9561 2 года назад +2

      sasa nan aliyesema iyo ni adhabu ya Mungu, ayo ni mabadiriko ya hali ya nchi wew unasema adhabu, kasome vyotevyote sio unabezi na elimu akhera tu

    • @fineboyAfrica
      @fineboyAfrica 2 года назад

      @@hallin9561 jitie kidole halafu ukinuse

    • @issaomar9483
      @issaomar9483 2 года назад +3

      @@hallin9561 we mpumbavu izo ni adhabu za Allah iyo ni ishara tosha kuwa hamna mungu kama yeyeee

    • @jaycodestz1304
      @jaycodestz1304 2 года назад

      @Issa Omary sahihi kak

  • @ibrahimissajrc2043
    @ibrahimissajrc2043 2 года назад +43

    Hongera sana kwa elimu kubwa kama hizi.
    Kiukwel janga hili nilikuwa bdo mdogo sn na hata ckufaham chochote.
    Like zenu jmn kwa Mr Jamal na like zenu wale ambao kipindi kile tulikuwa wadogo na leo ndio tumefaham Zaid kisa hiki kupitia the story book

    • @magrethjohn4929
      @magrethjohn4929 2 года назад

      2004 nlkuwa darasa la 2 now am 26 years dah! Enx kwa jamal🙏🙏🙏

  • @INGRIDCHILUMBA
    @INGRIDCHILUMBA 3 месяца назад +4

    Mungu ndio kila kitu tumuombe atujelie mwixho mwema, na pia km unakubali kazi za huyu jamaa ya kutuelimisha gonga like hapa twende pamoja

  • @geofreystephen8499
    @geofreystephen8499 2 года назад +84

    My uncle alitravel on the day of the disaster. Na alilala close to the hotel iliyotokewa na janga hilo. Yaan,angesema abaki one more day..leo ingekua another story. I hope they are resting in erternal peace in heaven🙏

  • @rovisonmashaija3198
    @rovisonmashaija3198 2 года назад +12

    Naomba like 300 sijachelewa

  • @maikooscar8119
    @maikooscar8119 2 года назад +27

    Leo nimewahi kama unamkubali jamar gonga like hapo chini🙏🙏❤️

  • @hassanpande9915
    @hassanpande9915 2 года назад +6

    Kama unamkubar JAMAL APRIL like 👍

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 года назад +7

    Allah alionesha uwezo wake.ili.tuzidi.kumkumbuka na.kumuogopa yeye tu

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 2 года назад +1

      Swadakta

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 2 года назад +1

      @@barakashaban9698 ndio ivo wasiokua.waislam wanaona.ni jambo la.kawaida na kujipa moyo Eti.ni.tetemeko.tu,.sisi tunaamini.ni Allah kutuonesha uwezo wake na tuwe na.khofu ya kumrudia na tupunguze kufanya Dhambi au tuache kabisa

  • @holnmedia1263
    @holnmedia1263 2 года назад +6

    Aya bwa hata mie sijachelwa naomb lik🖖😁

  • @temitopegidion9185
    @temitopegidion9185 2 года назад +8

    Wa kwanza kucomment❤

  • @braysonsamson1436
    @braysonsamson1436 2 года назад +12

    Mungu azidi kukuongezea maarifa zaidi uwe na elimu zaidi nasisi tupate uelewa kupitia wewe

  • @hathumanimahale1746
    @hathumanimahale1746 2 года назад +33

    Mungu atujalie mwisho wetu mwema🙏🙏🙏🙏🙏

  • @cynthianganga9399
    @cynthianganga9399 2 года назад +3

    Nilikuwa Thailand huo mwaka,ila usiku huo wa sunami ndio nilifika kenya for Christmas,nilijua mungu yupo na mm nilishii puket najua hii island vizuri sana RIP waliopoteza wapendwa wao

  • @doctorsulaiman2127
    @doctorsulaiman2127 2 года назад +26

    Big up wasafi media. Special thanks Mr professor Jamal April Mustafah we really appreciate

  • @binzid9046
    @binzid9046 2 года назад +3

    Naikumbuka vzr hii siku nilikua zangu fukweni Zanzibar naogelea Mara gafla maji yalikua yanajaa gafl yametoka gafla yamerud tena watu wt wamekimbia kuelea kando za ufukweni naikumbuk vzr tn sn

    • @iddjuma4126
      @iddjuma4126 Год назад

      Ilikuwaje nipe story zaidi natamani kujua maji yalifika Zanzibar

  • @johnerisha5874
    @johnerisha5874 2 года назад +9

    Daaah nilikua darassa la kwanza naikumbuka hii str vzr, hongera Mr jamal

  • @ramxoketti7521
    @ramxoketti7521 2 года назад +3

    Ukiangalia vizur kuna kipande majengo yote yapo chini mskiti hauja dhurika tizama kwa maakini🤔

  • @jeniphermarcus268
    @jeniphermarcus268 2 года назад +14

    Hatimaye 🥰🥰🥰

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 года назад +8

    Sikuwah kufahamu jambo hili,, Ahsante Jamal dah maana nilikua mdogo sjui darasa la nne

  • @loganpoul
    @loganpoul 2 года назад +7

    Hii ilinipata nikiwa srilanka Alhamdulliah nilitoka salama,lakini Ile shule yenye tulikua tunasoma ilifutwa na tsunami

    • @hildpaul7823
      @hildpaul7823 2 года назад

      ohh pole

    • @loreensaimon3958
      @loreensaimon3958 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣😂🤣

    • @hildpaul7823
      @hildpaul7823 2 года назад

      🤣🤣🤣

    • @loganpoul
      @loganpoul 2 года назад

      @@mwajumakulugai6416 sasa mwajuma wacheka nini hapo?kweli kabisa Yani kuna kitu ya kuchekesha?

  • @sashah_ace8598
    @sashah_ace8598 2 года назад +19

    Hawatoelewa mpka yatokee kifo cha cha ardhi ni maji , MAJI NI ZAIDI YA CHCHTE JAPO MOTO UPO ILA HUWEZI SHJNDANA MA NGUVU YA MAJI 🙏🙏ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏

  • @indivirabonnymatenje7290
    @indivirabonnymatenje7290 2 года назад +8

    Professor next week leta stroy ya Elon musk I want to know more about this guy

  • @aloycembener6530
    @aloycembener6530 2 года назад +24

    Gonga like za kutosha ka wakubali kazi za professor ❤️

  • @johnerisha5874
    @johnerisha5874 2 года назад +15

    The greatest one, Jamal no one like

  • @kenethfred5366
    @kenethfred5366 2 года назад +19

    👁️ 👁️
    👃
    👄
    Natazama nikiwa Mombasa Kenya... Mafunzo mazuri na Mungu atuepushe na majanga kila kukicha... AMIN

  • @Samjo.magold_brand
    @Samjo.magold_brand 2 года назад +16

    Huyu jamaa anajua sanaaa naelewa kazi zake

  • @ngido255
    @ngido255 2 года назад +4

    Jamal April hakina ww ni mwalimu unatupa elimu

  • @wardennyanga5925
    @wardennyanga5925 2 года назад +13

    We appreciatee u bro u are amazing

  • @rojacriss8675
    @rojacriss8675 2 года назад +4

    Bro we ni noma uko vzur umenifanya nijue mengi

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 года назад +2

    PETE ZA MAJINI ZENYE MVUTO MKUBWA UTAJIRI
    ttps://m.ruclips.net/video/wrdjNRzYUxg/видео.html

  • @salehaliy7198
    @salehaliy7198 2 года назад +3

    Nilikuwa kidato cha kwanza,nakumbuka tulikatazwa kwenda kuogelea pwani

  • @emmynellyson463
    @emmynellyson463 2 года назад +1

    Ivi kwann Tanzania inakuaga na neno isiyojulikana?? Nchi zingine zmetoa takwim sahihi,ila sisi neno “isiyojulikana”halikosekanagi na inakera.

    • @MohamedHassan-sp2un
      @MohamedHassan-sp2un 2 года назад

      Eti ili tusichekwe kama na sisi hangs limetukumba ata hao watu kumi na ngapi walio kufa sio kweli walipunguzwa ili tuonekane tumependelewa na mungu

  • @nassorali8040
    @nassorali8040 2 года назад +3

    Siku hii nlikuepo Zanzibar maeneo ya shangani ulipiga mtetemeko mkubwa wa ardhi na bahari kuleta mawimbi mazito mpaka watu wakaanza kuingiwa na khofu ila baada ya muda ikanza kutulia

  • @vibandaumiza
    @vibandaumiza 2 года назад +4

    Kwa wale wappenzi wa Movie Reviews kwa lugha ya Kiswahili, msisite kutembelea page yetu.

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 года назад +5

    Tumche mungu tumemsahau

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 2 года назад +7

    Allah anatisha, ana nguvu na mjuzi wa kila jambo!

  • @3kings63
    @3kings63 2 года назад +9

    I was first one on show but the last words make my day
    Leave in your dreams

  • @princeyabili789
    @princeyabili789 2 года назад +24

    I'm a little scared of that story because I'll be traveling in Thailand in July I'll be in Bangkok for two months. Prince from Oslo Norway 🇳🇴🇳🇴🇳🇴🇳🇴

    • @athuman6223
      @athuman6223 2 года назад +2

      stay safe

    • @princeyabili789
      @princeyabili789 2 года назад +1

      @@athuman6223 thanks 🙏 you

    • @barikimbacho6731
      @barikimbacho6731 2 года назад +1

      Don't be scared. Remember right now there are some people in Bangkok so should they running. Death is everywhere.

    • @princeyabili789
      @princeyabili789 2 года назад

      @@barikimbacho6731 🙏🙏☺️

    • @barikimbacho6731
      @barikimbacho6731 2 года назад +1

      NJIA YA MWANADAMU KWENDA KUKUTANA NA MUNGU WAKE NI LAZIMA APITE MLANGO WA MAUTI. KAMA UNAOGOPA KWENDA KUKUTANA NA MUNGU WAKO JIULIZE UMEMFANYA NINI?

  • @mulamajoel5370
    @mulamajoel5370 2 года назад +8

    Tsunami yaogopesha sana

  • @indivirabonnymatenje7290
    @indivirabonnymatenje7290 2 года назад +8

    I'm from Kenya Nairobi county, I'm watching this from yaya center

  • @kaazykazunguabdool3266
    @kaazykazunguabdool3266 2 года назад +3

    Jammal kwl unajitahid kutupa vitu adhim na adim Mungu akujaze khair na umri

  • @tariqkingu1980
    @tariqkingu1980 2 года назад +3

    umetishaa mkuuuu wew n zaid ya professor

  • @jamesblackjaguar2084
    @jamesblackjaguar2084 2 года назад +3

    Usiwe Na Chelewa Kuachiya Kaka Nilikuwa Nisha Miss

    • @seifseif1572
      @seifseif1572 2 года назад

      Your the best Jamal..keep it up comrade

  • @christophertz
    @christophertz 2 года назад +5

    Jamal ANAUPIGA MWINGI ✌🏿💯

  • @saudepinky7869
    @saudepinky7869 2 года назад +6

    Inatisha...nice job mr jamal

  • @mirajiabdallah1339
    @mirajiabdallah1339 2 года назад +4

    jamaliii👊👊👊👊👊🙏

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 года назад +1

    PETE ZA MAJINI ZENYE MVUTO MKUBWA UTAJIRI
    ttps://m.ruclips.net/video/wrdjNRzYUxg/видео.html

  • @edwardbinya3761
    @edwardbinya3761 2 года назад +4

    Dah Mungu atujaalie kifo chema

  • @khamischumu6830
    @khamischumu6830 2 года назад +11

    Mungu azidi kukuweka na uzidi kutukumbusha inshaallah

  • @esperancehavyarimana8649
    @esperancehavyarimana8649 2 года назад +2

    Nilikuw bdo mdog wa myak mi tatu

  • @jimyjastini9995
    @jimyjastini9995 2 года назад +6

    Jamari Kama diamond Big ❤💪🙏🔥🔥

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Год назад +1

    Eee sikuwahi kujua kuwa Tanzania , Kenya , Somalia mpaka dar es salaam huko zilipata tetemeko hili ya Allah

  • @wazoboy1319
    @wazoboy1319 2 года назад +4

    nakubari mzee bab

  • @jumachawinga7261
    @jumachawinga7261 Год назад +1

    Hii ni alama moja wapo ya uwepo wa MwenyeziMungu tuishi kwa kuzingatia mwenyezimungu yupo na hizi ni ishara zake tumuogope, tuogope hasira na adhabu zake Hakika MwenyeziMungu ni mkubwa na mwenye nguvu. Huu ni ukumbusho na ishara kubwa itawafaa wenye kuamini anayesema haya ni mabadiriko ya hali ya hewa/nchi mimi nakubaliana na yeye lakini anatakiwa kujifunza mabadiriko hayo husababishwa na Muumba.Tumuogope MwenyeziMungu tuishi kwa imani na tupate mwisho mwema

  • @baltonmanjise7209
    @baltonmanjise7209 2 года назад +4

    Kaka Jamal mwenyezi mungu kukupa uzima na afya njema ili uendelee kutujuza matukio kama haya hongera kwakazi nzuli

  • @athuman6223
    @athuman6223 2 года назад +2

    Mshahara wanaomlipa huyu profesa hautoshi..ata kama sifahamu😂

  • @akrashaaloisy5722
    @akrashaaloisy5722 2 года назад +2

    Ni mda sana 2004 nlikuwa na mwaka 1 saiva 19

  • @kmcompany1902
    @kmcompany1902 2 года назад +5

    Nimefika mapema leo

  • @abdulthabit948
    @abdulthabit948 2 года назад +1

    huyu proffesor ni zaid ya proffesor kabxa

  • @fettyabiola1389
    @fettyabiola1389 2 года назад +6

    Nakumbuka siku hii, dah zenji wameweka historia ya tetemeko
    Japo nilikuwa kadogodogo😌😌

    • @mussatete2618
      @mussatete2618 2 года назад +1

      Me niko bara ninamiaka 29 lakini hii kitu ndo nasikia leo kwa mara ya kwanza ety. Kumbe kitu halisi na kilitokea...?

    • @salsashmomy
      @salsashmomy 2 года назад +1

      Ndio kilitokea naikumbuka hii siku nikiwa zanzibar Allah atunusuru na kila mabalaa

  • @IreneShadrack-p6c
    @IreneShadrack-p6c 4 месяца назад +1

    Unasauti nzur pia unajua kusimulia unaenda jins story inavoenda kama ya kutisha upo vizur kuna yule mwingine anatufokea na sauti yake kqma anatangaza taarifa ya habari na sio story tena

  • @chriswashington7745
    @chriswashington7745 2 года назад +9

    Nipeni likes zaa prof Jamal

  • @eliasmambosasa2747
    @eliasmambosasa2747 2 года назад +2

    Kama unamkubali proffessor gonga like

  • @africanwatz4240
    @africanwatz4240 2 года назад +4

    Gonga like kama unamkubaL the story book

  • @philbertkasonda9439
    @philbertkasonda9439 2 года назад +2

    Jamani tunaomba the story book ya raisi aliekula bata zaidi duniani

  • @k_man254
    @k_man254 2 года назад +26

    Love from 254 🇰🇪 ♥️♥️

  • @Thevoltex14
    @Thevoltex14 2 года назад +3

    Hahaha tanzania tuna watu wasiojulikana kila sehem🤣🤣

  • @jovinmakene1572
    @jovinmakene1572 2 года назад +4

    Nimeona kipande cha San Andreas movie na mission impossible. Simulizi ya kweli

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 года назад +8

    Yesu Kristo anatukumbusha kuwa narudi mda sio mrefu. Shida ya mwanadamu ni mbishi afu viburi mno. Hakika watakufa wengi sana!! Mkiambiwa kuwa Yesu anarudi siku za hivi karibuni hamsikii. Sasa hiyo iliyotokea mwaka wa 2004 ni mfano tu!! Kitu chenyewe bado, na inakuja. Nakwambia Yesu atakaporudi hii dunia kwanza inaisha yote, yaani ni zaidi ya hatari. Ndugu katika Yesu Kristo hakika tukesheeee;!!! Yesu asifiwe sana!! Anakuja siku si nyingi. Sasa cjui atakukuta wapi na unafanya nini!!!!

    • @ambrosromanus9547
      @ambrosromanus9547 2 года назад +1

      Natural forces zinahusiana nini na Yesu

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 2 года назад +1

      @@ambrosromanus9547 hongera mtaalamu wangu!! Ww ni jinga kweli.

    • @ambrosromanus9547
      @ambrosromanus9547 2 года назад

      Acha upumbavu wewe jinga wewe na waliokupeleka shule halafu hadi leo natural hazards unasingizia Mungu. Hata ambao waliwaletea imani na dini sio mazuzu km wapokeaji. Next time usiniletee kauli za kifala boya wewe. Toa hoja na sio matusi ya rejareja

    • @pendorobert3552
      @pendorobert3552 2 года назад +1

      Amen mungu atuepushe na vifo vya kutisha

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 2 года назад

      @@ambrosromanus9547 ww ni mjinga!! Usiokuwa na akili!! Usitegemee akili zako mwenyewe!! Yesu anarudi, na anaporudi kabla hajarudi vitu kama hivi hutokea!! Majanga ya asili yatatokea kama tetemeko!! Mafuriko makubwa, afu hata njaa, vita baina ya nchi na nchi, ufalme na ufalme hawataelewana!! Ni mapigano tu yatatokea kama hii ya Russia na ukrein!! Yaani hizi ni mifano tu ya kuja kwake mwana wa Adam!! Yesu Kristo. Upo ndugu!! Soma Mathayo24:1-26. Utaona mambo.

  • @ladysasty
    @ladysasty 2 года назад +2

    Fahamu zaidi kuhusu watu wenye mwanya
    ruclips.net/video/GhzCttrLmxc/видео.html

  • @alikarisa
    @alikarisa 2 года назад +4

    Na cha ajabu na ndoo mjue huwa ni Amri ya mwenye Bahari. Huwezi ona samaki hata mmoja na wanyama wote hukimbia kabla ya Tsunami kutokea. Yaani Allah huwaondoa viumbe wake pendwa na kuwaadhibu viumbe wake wakorofi.

  • @issahshio820
    @issahshio820 2 года назад +18

    Good documentary prof

  • @Jabalpetersan
    @Jabalpetersan 2 года назад +4

    Napenda sana usimulizi wako kaka u r my role model.We ni mkali yani

  • @RealLukuman
    @RealLukuman Год назад +1

    ❤❤❤❤❤ i am following you in Kenya samburu county

  • @barikimbacho6731
    @barikimbacho6731 2 года назад +2

    Hakika wewe ni professor wa jamii nzima kaka. Yaani professor wa wasomi na wasio wasomi, wewe ndio maana nzima ya msomi. Umefanikiwa kurudisha kwa jamii kile ulichokipata shule

  • @kingkittah6748
    @kingkittah6748 2 года назад +19

    PROFESSOR 🥂🙌🙌

  • @youngsamalo1156
    @youngsamalo1156 2 года назад +4

    Wazee wa the story book

  • @KushAscend
    @KushAscend 2 года назад +20

    Thumbs up for the only prof in town👍❤️

  • @hassanally4960
    @hassanally4960 2 года назад +1

    Ni ukumbusho tu wa Allah juu ya waja wake

  • @saudepinky7869
    @saudepinky7869 2 года назад +4

    Inatisha...nice job mr jamal

  • @lilianjames7813
    @lilianjames7813 Год назад +4

    Tunaomkubali jamali professional tuweke likes kwa ajil yake♥️👏

  • @lovenesamani1326
    @lovenesamani1326 2 года назад +6

    I see your work proffesor

  • @masolavachui1728
    @masolavachui1728 2 года назад +4

    We jamaa unanikoshaga sana na simlizi zako 😇

  • @selemanzuber50
    @selemanzuber50 2 года назад +11

    Professor 🔥🔥🔥🔥

  • @nadersharzuw3n230
    @nadersharzuw3n230 2 года назад +4

    #Diego👑

  • @markmurunga5215
    @markmurunga5215 2 года назад +3

    Natamani sana the sully documentary from Kenya

  • @alindingo1382
    @alindingo1382 2 года назад +3

    The story book ibaki milele....!!

  • @johnjosephat6656
    @johnjosephat6656 Год назад +1

    From qatar 🇫🇷 jamali is better

  • @mariashauri6192
    @mariashauri6192 2 года назад +2

    *Number of Death yatabirika kuzidi 227,898 R.I.P😥🕊️Ukanda wa Indian Ocean. Magnitude ya Tsunami 9.1-9.3 Mw*

  • @najash1122
    @najash1122 2 года назад +1

    Maumivuyake omba yasikukute haya yaani maumivuyake nimakalimnooo tumuomba mungu atuepushe nabalaa hili kwakweli nguvu zamungu haziwezekani

  • @issaomar9483
    @issaomar9483 2 года назад +8

    Kuna kipande majengo yote yapo chini isipokuwa Msikiti
    Subhanallah

    • @tuzomtuku587
      @tuzomtuku587 Год назад

      Unataka kusema nn apo 🥴🥴😅

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 2 года назад +1

    Duuu leo umeamsha akili zangu professor.....for sure leo umeongea ukweli... God bless you for me

  • @eddykalkz360
    @eddykalkz360 2 года назад +5

    Was waiting..