#SIASA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- #EXCLUSIVE:TUNDU LISSU "MAKONDA HAKUZULUMIWA NYUMBA"...
#morning #lissu #chadema #morningbrainstorming #npointtz #npoint #ikulumawasiliano #ikulutanzania #samia #wizara #wazirimkuu #majaliwa #ikulumawasiliano #ikulu #ikuluzanzibar #thetrend #shortsvideo #shorts #comedy #amazing #amazingthings #nguvumoja #wenyenchi #alahly #mnyama #afl #africanfootball #africafootballleague #yanga #mayele #mayelestyle #uefa #yangasc #maxnzengeli
#yangasc #azamsports1hd #nbcplupdates
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: # / npointtz
INSTAGRAM: # / npointtz
FACEBOOK: # / n-point
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia Akaunti yetu ya RUclips na mitandao mingine ya kijamii.
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia
WhatsApp/Telegram +255746180800
nPOiNT, 2024 © All Rights Reserved
Amina Huyo makonda ni mhalifu
MashaAllah tundu lisu anaamsha watu ccm ni sawa na pherao au amrish puri ,huyu anafaa kabisa asilimia 10000%kuongoza nchi yetu
Very smart 🧠
Huyu Jamaa Ni kichwa sana namkubali sana maana ana mawazo makubwa ya kimaendeleo kimkakati na kifikira
Leo nimekuelewa vzr Zaidi Lisu kwakuwa umefafanua vzr Sana Tena kwa utulivu
Hongera Sana.
👌
Hoja za Mh Lissu huwa ni hoja zenye maana Zaidi kuliko za mtu yeyote hapa Tanzania. Mungu akujalie miaka mingi yenye furaha na Amani mh Lissu 🙏
Only for people who are not educated like you. Tundu Lissu is a puppet. Huyu anatumiwa na wazungu. Hawezi kuisema Marekani kwa kuuwa wananchi wa Palestina
itabidi hapa unataka kutuambia hata baba yako mzazi hana maana mbele ya lissu?
Kweli kbs Lisu muhimu sana kwenye Taifa hili kuwa makini na mtu anaembeza Lisu ujue uyo CCM tu hawezi kumpenda sababu anahofu ya ugali wake
mzee wangu lisu umeongea point kubwa sana tena saana sisi tunatawaliwa na ccm atujitawali kweli katiba ibadilishe na rais asiwe mungu kwetu
Safi risu
Watu wenyeweledi kama Lisu walipaswa kuwa viongozi wakutupeleka ktk dira nzuri ya Nchi yetu.
Sana kichwa huyu jamaa
Lisu kichwa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Safi sana mwamba
Nimeelewa ila kunakomenti ukisoma umu unaelewa kuwa bado kunakazi ya kufanya ili watazania wakuelewe
Ubalikiwe Lisu kwa Elimu nzuli Ukiona mtu haelewi hoja za huyu kaka huyo ni chizi
Kweli kabisa mkuu 🤝🏿
kabisa hujakosea
Kiswahili ni hakudhulumiwa na sio hakuzulumiwa❤
Lissu the super Guru
Hivi kweli Clemence Mkondya umekuwa chawa hata huelewi hali halisi ilivyo Tanzania .Pole sana.
Kweli
huyo ripota wenu ni mwizi mzulumati
Lisu huwa anaongea pointi sana tena kwa Facts na hata wale walioamuwa akili zao kushikwa na wenye madaraka wanamwelewa ni basi watz tuna unafiki Sana
Huyu bro.anajua aisee huchoki kumsililiza
Sanaa
Npointtv kazi yeni ni nzuri 🔥
Tatizo watu hamtaki kuambiwa ukweli tundu lissu tunakuelewa sana tundu lisu saaafi hata wakuchafue guna dowa baba,🙏🙏
Watanzania wengi Wana uelewa mdogo Sana hasa kwenye mambo ya msingi ya nchi,wajinga ni wengi,watakaomuelewa Lisu hapa ni wachache sana
Kabisa yaani we acha tu
Kabisa na wajinga haohao ndio wananjaa balaaa
Ujinga si ubaya ila ubaya kukataa kukubali kuluhusu kichwa chako ili upate elimu uweze kujua mengi usipate shida kwenye maisha lkn sio sisi watanzania wengi wetu wabishi hata kwa mambo tusioyajua mbaya sana Mungu atusaidie hii elimu anayotupa LISU leo ikawe ya nchi nzima tujue mazuri namabaya ujinga ututoke vichwani🙏
Unavyosema watanzania wengi wana uelewa mdogo na wewe upo kwenye hilo kundi au upo kundi la waelewa? Umefanya utafiti gani kujua kwamba tanzania asimia ya watu wanauelewa mdogo? Yaani wewe ndio punguani, mjinga kabisa
Lissu ndo habari ya njini
Makonda yuko sahihi tatizo lako ni siasa za kinafiki we dai katiba makonda yuko sawa
Watanzania tuungane kudai katiba ilituishi kwa kujitawala tupate mema ya nchi yetu
kaka Malizawa George 🔥🔥🔥🔥
Na bado kuna kiumbe anaweza akaigiza kutokuelewa.
Ameongea ukwelii sanaaa
Wenye vichwa vyao hawataki ukweli maana wanajua hujuma zao zitaumbuliwa watulie tu ukweli uwe wazi
ASANTE SANA MR ANTIPASSLISSU
huyo ripota wenu ni mzulumati kanizulumu hela yangu sh 15000 ya saloon
😂😂😂😂
Mwambie akupe hela yako
Anajua kuzungumza
Na anyozungumza ni mazito ukiwa na uelewa.mdogo huwezi kuelewa
Mh lisu najua wew ni mcha mungu nakuomba Binafsi muache mh Makonda afanye kazi aliyo tumwa na mama ata wew anayo simamia kwa wananchi najua ata wew unayafulahia sema ndo uwez kusema ukwel
lissu wewe ni nuru kwa taifa letu badala ya kukushambulia kwa maneno ilipaswa taifa likutumie vizuri ili kuleta manufaa kwa taifa letu watu kama lissu mataifa ya wenzetu wanalindwa sana
Kulinganisha Ubelijiji na Tanzania utapata ugumu sana mwandishi, Jua idadi ya watu ( Raia ) wenye uweleo mkubwa ni ndogo sana Tanzania sio swala la Kwenda shule pekee ila ukidhibiti mfumo wa taarifa kwa muda mrefu jua binadamu huwa kama Ngombe asijua atachinjwa,Kukamuliwa maziwa,kupelekwa malishoni au la, Nakukumbusha Kampuni ya Serikali kuwa na gazeti la Kingereza pekee ( Daily News na Sunday News) kwa muda mrefu na Lakiswahili liwe na UHURU haikuwa bahati mbaya.
Tuipe chadema nchi hivi vitu vitawezekana mapema tuu
1àà❤
4:10 6:40 🎉😂❤😢
Ushauri wa Bure, tutafutieni hizo nyaraka mzitafsiri katika luggage rahisi, ili tusome wenyewe na kuona kama kuna Umuhimu wa kuidai hiyo katiba au la😂
Huyu ndo tundu lisu mungu atakulinda baba wala hutakufa huyu makonda mungu atamkomesha ipo siku yake
Binafs makoda hapana mimi ni ccm lakn makonda! apana mama tubadilishie uyu mtu
Makonda katuhumiwa kwa mauaji ya watanzania mpaka Marekani na Ulaya imempa stop. Serikali yetu ingekuwa huru, ikawaruhusu watanzania wampeleke mahakamani leo hii Makonda angekuwa gerezani. Ndo maana ccm na serikali haikuchunguza kupotea na kuokota maiti za watu fukweni na upelelezi huru wa Lisu kupigwa risasi. Hawa wenzetu wanavyombo , satalite tungedai wangetoa vithibitisho hivi kwa picha. Kinyume chake wakampumzisha, wakamremba vizuri na wamemleta tena awapigie debe washinde. Muuaji atawezaje kuweka mambo sawa ya nchi.
Nchi yetu ni ngumu sana. Lisu anayaelewa, na wengi wanayafahamu. Sasa unamkuta Makonda majukwaani kwenye misiba akijichanganya na watu aliotaka kuwaua, na watu ambao ndugu zao alihusika katika kupotea kwao na wananchi tunalazimishwa na serikali hii hii tumsikilize huyu kijana. Inatisha na inasikitisha, kuua , kunnyong’onyesha nguvu za wananchi wasijitambue na kugawanyika ila tu ccm wachaguliwe tena na waxidi kuitawala nchi hii kwa ubabe uleule. Ni hatari kubwa kwa hapa tulipopafikia. Wananchi tuwe serious , tujitafakari upya, na tufanye nini.
Katiba mpya ni sasa. Tume huru ya uchaguzi ni lazima.
Yule jamaa kirusi
Ccm yawapi wewe nimwizi
@@GabrielMwakasege-sx9wv asante iyo ni fani
@@GabrielMwakasege-sx9wv mpaka yakukute wewe au ndg yako ndo utajua mtu anatuumiwa kuzulum uhai wa binadam cjui unaelewa maana yake au niachie hapo maana sisi wengine atajafundishwa matus
Mange kimambi kanifanya Nije kusubscribe huku
Kila mtu hakos kasolo
Hahaha GSM kajenga nyumba
Unatetea ujinga mwache tundu aseme kilakitu
Hahaha ina maa a arudishe cheti. Cha bashite? Duu
Natamani kurudi shule nikasome sheria
Lisu ametema madini sanaa apa
makonda oyeee
👍👍 anawanyoosha
Tumemmis makonda yupo wapi
kila kitu kina mwanzo na mwisho wangapi walipita wenye akili kama ya makonda piiiipoz mungu akulinde mh tundu at lis
Francis kweli humuelewi anacho ongea Lissu uchawa wako ni WA hatari sana.
Kuna wajinga na mazezeta wengi hata uwezo wa kudikiliza hawezi.
Chawa wake wako pamoja na kunguni. Hatari sana
nakupenda makonda safi sana
We kum* tu kama yeye
Si wote mazezeta matupu na ujinga mlio nao pia.
Hahaha
Wazungu wa nini sasa acha makonda afanye kazi
Nilikua simkubali lissu lakini kwa hili lissu inabidi awe raisi aiseeee anamadini sana huyu jamaa
😮
Lisu anatumwa na mataifa ya nje aharibu aman ya Tanzania
Acha ujinga. Ingine darasani tena. Mtu gani usichoelewa. Uchawa mwingine hauna maana. Nitaumia sana. Tumia sindano na dawa ziwaingie vizuri chawa wote wa nchi hii.
Hata wewe ukiingia hapo utatuibia tuu,wanasiasa mna Rangi Moja msituchanye akili banaa,katiba ni mbovu yes ufanyike mkakati wakubadilisha lakini hakuna mwanasiasa anayeitakia hii nchi uzuri labda Mimi period .... comment ziwe za upole please 😂
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Lisu rudi uberigij
Safiiii sanaaa
Lisu,uikate tamaa una kazi ngumu na sisi kama taifa,tatizo letu kubwa ni ujinga,angalia hata comments zao.
Uko sahihi kabisa wajinga ni wengi
Kweli kabisa. Kazi ngumu ipo
Ruzuki ni Kodi ya wananchi je ninyi ruzuki ya chadema inasaidiaje wananchi ?
Kukupatia elimu mjinga kama wewe...
Ya ccm inakusaidiaje ww
Kazi ya ruzuku ni kusaidia kuendesha shughuli za chama. Na si kusaidia wananchi. Zile shughuli unazoona zinafanywa na makonda zinaendeshwa na ruzuku kutoka kwenye chama chake. Shughuli unazoona anafanya mbowe zinaendeshwa na ruzuku za chama chake.
@@agreymbwilo5874mfahamishe boya uyo
Kweli kunamengi tusiyo yajua nchi hii kuna mambo yakutisha sana t
Pookea mauwa yako baba makonda ni katiri sana tena sana wanyonge tunamkabidgi mungu ashughulike nae
Kwani kukaa mpaka iwe Brussels tu ila labda kama alisema
Viongozi wa chadema kweli mmekosa hoja .Tundulusu achakuongea mambo ya mtu. Zungumza Sera na hoja zako .
CCM wanawapenda watu kama ww hatari
Huyu Makonda kwa maana hii ni kibaka na ni mwizi, akamatwe kama vibana na panya road wengine
Lissu anajibu kulingana na kile anachoulizwa na mwandishi. Suala la sera unalitoa wapi wewe? Shida yako umekaririshwa.
Sidhani hata kama unaelewa maana ya sera na jinsi ya kuzifafanua
Lissu anapojibu swali anafafanua jinsi sera za CCM zilivyo mbovu, hazilindi uhai wa raia wake zinasababisha watu kuawa na maiti kutupwa mitoni na baharini.
Sikiliza akili kubwa hiyo, usikalie uchawa.
Kwa kichwa chako sera ni nini? Hivi mbona wewe unaonekana kichwa hakina kitu
Kwaivyo kwa uwelewa wako tudu lisu Ana hoja.au ndyo uchawa
Unaesema amani una amani gani uajula mlo mmoja tena ugali wa bamia chukuchuku kaa na ujinga wako na hilo branketi la kijani lililokufunika gubigubi hujitambui mwache kamanda lisu apasue majipu hitimisho tunataka kativa mpya na tume huru
aaaa hapana ushuru wa mageti ni mengi sana mpk juzi usk njia ya Nzega Tabora nilisumama nikauliza why mnanipiga tochi usk kwenye gari langu lori (truck)? Wakasema tunakagua nkawauliza kwani sina haki ya kujisimamia mwenyewe nikijua sjabeba kitu chochote kinachohusiana na nyie na nikapita km gari hizo ndogo saloon ambao nao wana uwezo wa kubeba mkaa? Why me mnaniangalia cause am driving the truck? Wakashindwa kujibu ... Nkawambia toeni skeleton na mwache kunimulika na tochi cause am empty with container here ni haki yangu ya kisheria kutembea usk na nikiwa sjavunja sheria
wacha unafiki Tundu kwa hivo alidhulumiwa mkundu wako
Unataka vitu unavyo mtukana muheshimie aisee chunga mdomo wako
Strong Institutions Vs Strong People
Kwa namna hii, makonda si tapeli na mwizi kabisa huyu. Mbona hakamatwi? au police kazi yao ni kuone wanyonge tu? Sasa Samia naye anampa nafasi za uongozi kibaka kabisa huyu.
Analindwa na raisi
Mimi simu Tanzania alakini huyu ni mjinga sana
Mjinga hujijui kuwa ni wewe ila sisi tunakujua kuwa wewe ndiyo mjinga
@@cosmasmwaifwani243mjinga babaako na mamaako ealiokube wa mimbwa chini ya uvungu lissu ndo habari ya mjini pumbavu wewe mjinga mmoja
Nina kukubal miaka kedekede kudadadek ccm wanakuogopa kama njaaa
Ila tu Tundulizu tushawachoka na siasa zenu!
Kalalee
Una roho ya shetani
@@williamgeorge-hd2tn sawa niombee; kwasababu we unaona kuna mwanasiasa anaongelea mambo ya maisha ya watanzania zaidi ya kujinasibu kuingelea utahari wao. Ukweli usemwe, nchi imebaki pango hakuna ccm wala upinzani.
@@RomanMwinyi ukweli mchungu ati eeh!
Fisiem hoyeeeeee
Kwani kero anazotatua zimesababishwa na utawala wa nani?hiliatuhitaji kwenda chuo niakiri ya kuzaliwa
Shida we unsongozwa na uzwazwa wako. Matatizo hutakiwa kitatuliwa kwa utaratibu wa sheria ndugu
Hivi ninyi mbwa na kengeza na kuguru hamuwezi endesha maisha yenu mpaka mumjseme makonda??? Sheeeenzi
Ss makonda si kiongozi na sisi si wananchi lazima tumuongelee kiongozi wetu
Tundulisu pumzika aunalolote
Tulia wew low mind😂
Kwanini GSM alijenga nyumba? Je rais hakuwa na nyumba ya kuishi? Je allikuwa anatoa rushwa na kwanini? Je kazi ya wafanyabiashara ni kuwajengea nyumba marais? Makonda ni jambazi anayepaswa kufia gerezani au kuuawa kama tutatumia jicho kwa jicho na jino kwa jino kama kweli ndiye aliyehusika na kumshambulia Lissu.
Jamani ruzuki ndo ajira ya watu ka lema anasema anagombea anatetea watu kama ni kweli mbona milioni kumi na moja hasaidii hata mtu yyte?jamanini siasa ni ajira msidanganywe
Hivi ccm haipokei ruzuku? Hivi Kuna Chama kinacho pokea ruzuku nyingi kuliko ccm? Au ccm sio Chama cha siasa.
Hamna mtu asiyejua kama siasa ni ajira. Hata uchungaji ni ajira ila hatuachi kwenda kusali. Hawa ni watu ambao wanalipwa mshahara kwa kutuongoza na kupigania haki zetu. So suala sio ajira. Ila kwenye hiyo ajira anafanya nn. Hata raisi analipwa mshahara kwa kazi anayoifanya so whaat?
Jiz huyooooooo mwenez
Unataka hela za wanaume mtafute umwombe😂
Unachokiongea mzee sikuelewi kabisa izo shelia unazoongelea watu wanasota mageteza miaka hakuna wakuwatetea,nibola hawa wanaotatua matatizo hazalani,binafsi yangu magu alikua kiongozi bora sana na hata makonada anafuata njia yake
Anacgokifanya Makonda Sasa hivi Ndicho alichokifanya Magufuli kipindi chake na alivyoondoka Wakayarudisha tena Hivo basi hata makonda cheo chake kikiisha Haya anayoyatatua kama hayana Ulinzi wa Sheria yaani katiba Mpya Basi elewa kuwa Watayabomoa tena aoiyeyajenga,Magufuli angekuwa amekubali Mabadiliko ya Katiba mpya kazi yake aliyoifanya Nzuri isingeharibiwa na tungekuwa mbali sana kimaendeleo
Ni yeye tu watanzani tumpe nchi uyu lissu atupereke nchii ya Adi ana madini mengi sana ktk kichwa chake
Hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa labda mtaa uwe na watu wa aina yake!
Kama una ushahidi na wewe Ni mwasheria peleka mahakama yoyote duniani ili watanzania wapate haki yao!!!
Wenye utapia mlo wanapata wakat mgum kumuelew
Huyu mpumbavu furani,huna lolote mpumbavu moja tu
Acheni uhuni wewe kwanza unavyo hongea ni uongo mtupu
Lissu ni muongo. Mwache Hayati Magufuli apumuzike. Unazidi kuwaumiza watanzania kwa kumusema mtu hawezi kukujibu. Marekani ni kitu gani? Hakuna nchi inavunja haki za binadamu Kama Marekani. Makonda hana haja ya kwenda Marekani kwani kuna nini. Makonda sio puppet Kama wewe. Marekani does not matter anymore. Angalia mauwaji ya watu wa Palestine, nani anataka kwenda Marekani? Tundu Lissu wake up.
Naomba muulize autoa wapi ujasiri akiwa JKT aliwauliza swali wakuu wa majeshi wakakimbia na kumuacha lisu,,
Tatizo lissu na Zitto ni wapambe walimsaidia sana kikwete ili Magufuli asikuchukue lasimali so Lissu Zitto hao Ccm B hao Team Kikwete wote
Wewe tunahitaji kuongeza uelewa wako kichwani
Kwa nini hakustakiwa kwa kesi hizo nawe ni mwanasheria ukiukwaji ni kupinga ushoga nawe unapenda ushoga sio kingine
Ashtakiwe na nani we chawa
HAKUZULUMIWA IANDIKWE HAKUDHULUMIWA!
Wewe msomi achana makonda fikilia nini ufanye kuisaidia nchi,mambo ya makonda yana muhusu yeye na chama chakesomi unaongea pumba kabisa unaonekana wewe sio kiongozi kabisa
Arudishe cheti cha watu kwanza😂😂😂😂
Poa
Kutetea au kuwa mtetezi sio lazima ufuate katiba.hata mimi nisie na elimu ya uasksli nikikuta mtuanatendewa ndivo sivo lazima ntamsaidia.mf,nikute mtu anabaka anaetendewa hivyo akaniomba msaada na kuniita najina.niseme mimi siopolisi nenda polisi.makonda wamletea hizokelo sio yeye anasema leteni kelo binafsi.yeye anaomba kelo za kisiasa na serikali.sasa wenyeimani nae wanaleta shida zao.eeeeee anawasaidia ,kes ikowapi?.
Lisu huna akili domo kubwa tu
Una fangasi ya ubongo
@@uriostanley2331 kama za kwako sinazokuzumbua mpuuzi mkubwa wewe
@@uriostanley2331 kichwa maji
Ujasoma. Huwezi kumuelewa lisu hii ni akili kubwa ndyo maana wali enginired kumuuwa.
Kifo ni siri ya mungu. Waliplan kumuuwa wakafa wao.
Kwani tundulissu wewe huwezi kuongea bila kumtaja magufuli inamaa wewe ni msafi sana hiyo ni siasa ya hovyo sana maana unahangaika na malehemu muda wote huwezi kuongea bila kumtaja malehemu magufuli
Magufuli alitaka amtanulize mbinguni lkn Mungu kwa maajabu akamtanguliza
Mbna kipande si mmalize
Konda oye🎉
Kondo
Achana na magu we mzee mjiongelee wenyew
Huyu jamaa faraa sana,Magufuli ajengewe nyumba, alikuwa hana uwezo kujijengea faraa sana huyu,kama ndivyo why hukumpleka mahakani,kila siku marekani marekani wewe mpumbavu sana
Dah! Lissu awe fara kwako😂 aisee we ni bonge la mavi
Sababu zakila mteule na taasisi zaselikali kutotoa haki.wewe kammwanasiasa usipuuzwe nawatu wako ungefanyaje?
Lissu ni msema kweli atakae mbeza ni chawa TU lakini ukweli uko palepale
Ni kweli sana. Yaani kuna wale hata akili hawana ndo wanaobisha na hawaelewi
wewe lisu acha ujinga kama ingekua ivyo kwanini ashindwe kuichukua?
danganya wajinga wasio jitambua na saizi Ikulu hakuna kualikwa.
Hivi wewe ndugu unayegoma kwamba si hivyo basi sema wewe ilikuwa. Unapopinga kitu lete wewe cha kwako basi maana ukiongea tu unakuwa mjinga
Wewe siyo wa kumjibu LISSU
Huna akili za kujibizana na kamanda.
Bora tuachie sisi tunao mwelewa LISSU
Uoga umekuja kaludi sasa endelea kuongeaongea watakujatena