#SIASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #EXCLUSIVE:TUNDU LISSU "MAKONDA HAKUZULUMIWA NYUMBA"...
    #morning #lissu #chadema #morningbrainstorming #npointtz #npoint #ikulumawasiliano #ikulutanzania #samia #wizara #wazirimkuu #majaliwa #ikulumawasiliano #ikulu #ikuluzanzibar #thetrend #shortsvideo #shorts #comedy #amazing #amazingthings #nguvumoja #wenyenchi #alahly #mnyama #afl #africanfootball #africafootballleague #yanga #mayele #mayelestyle #uefa #yangasc #maxnzengeli
    #yangasc #azamsports1hd #nbcplupdates
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: # / npointtz
    INSTAGRAM: # / npointtz
    FACEBOOK: # / n-point
    Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia Akaunti yetu ya RUclips na mitandao mingine ya kijamii.
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia
    WhatsApp/Telegram +255746180800
    nPOiNT, 2024 © All Rights Reserved

Комментарии • 199

  • @Josephchihoma
    @Josephchihoma 5 месяцев назад +3

    Amina Huyo makonda ni mhalifu

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 6 месяцев назад +1

    MashaAllah tundu lisu anaamsha watu ccm ni sawa na pherao au amrish puri ,huyu anafaa kabisa asilimia 10000%kuongoza nchi yetu

  • @SHEILAGERADY
    @SHEILAGERADY 6 месяцев назад +5

    Very smart 🧠

  • @isaacnewtonmmary3377
    @isaacnewtonmmary3377 7 месяцев назад +10

    Huyu Jamaa Ni kichwa sana namkubali sana maana ana mawazo makubwa ya kimaendeleo kimkakati na kifikira

  • @masumbukokilunga4265
    @masumbukokilunga4265 7 месяцев назад +9

    Leo nimekuelewa vzr Zaidi Lisu kwakuwa umefafanua vzr Sana Tena kwa utulivu
    Hongera Sana.

  • @okashhabib6944
    @okashhabib6944 6 месяцев назад +1

    👌

  • @fadhilikombe3338
    @fadhilikombe3338 7 месяцев назад +15

    Hoja za Mh Lissu huwa ni hoja zenye maana Zaidi kuliko za mtu yeyote hapa Tanzania. Mungu akujalie miaka mingi yenye furaha na Amani mh Lissu 🙏

    • @Gracemima
      @Gracemima 7 месяцев назад

      Only for people who are not educated like you. Tundu Lissu is a puppet. Huyu anatumiwa na wazungu. Hawezi kuisema Marekani kwa kuuwa wananchi wa Palestina

    • @BTVBATTAWY
      @BTVBATTAWY 7 месяцев назад

      itabidi hapa unataka kutuambia hata baba yako mzazi hana maana mbele ya lissu?

    • @BertinaCharlie
      @BertinaCharlie 7 месяцев назад

      Kweli kbs Lisu muhimu sana kwenye Taifa hili kuwa makini na mtu anaembeza Lisu ujue uyo CCM tu hawezi kumpenda sababu anahofu ya ugali wake

  • @suleimanmrita1992
    @suleimanmrita1992 7 месяцев назад +4

    mzee wangu lisu umeongea point kubwa sana tena saana sisi tunatawaliwa na ccm atujitawali kweli katiba ibadilishe na rais asiwe mungu kwetu

  • @DutchGogo
    @DutchGogo 7 месяцев назад +5

    Safi risu

  • @rajeshndola
    @rajeshndola 6 месяцев назад +5

    Watu wenyeweledi kama Lisu walipaswa kuwa viongozi wakutupeleka ktk dira nzuri ya Nchi yetu.

  • @JohnMassmu
    @JohnMassmu 25 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 6 месяцев назад +1

    Safi sana mwamba

  • @JohnKombe-l5h
    @JohnKombe-l5h 7 месяцев назад +3

    Nimeelewa ila kunakomenti ukisoma umu unaelewa kuwa bado kunakazi ya kufanya ili watazania wakuelewe

  • @DanielMgeni-x1z
    @DanielMgeni-x1z 7 месяцев назад +15

    Ubalikiwe Lisu kwa Elimu nzuli Ukiona mtu haelewi hoja za huyu kaka huyo ni chizi

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 6 месяцев назад

    Kiswahili ni hakudhulumiwa na sio hakuzulumiwa❤

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 7 месяцев назад +2

    Lissu the super Guru

  • @silasmakweta3002
    @silasmakweta3002 7 месяцев назад +7

    Hivi kweli Clemence Mkondya umekuwa chawa hata huelewi hali halisi ilivyo Tanzania .Pole sana.

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 7 месяцев назад +3

    Lisu huwa anaongea pointi sana tena kwa Facts na hata wale walioamuwa akili zao kushikwa na wenye madaraka wanamwelewa ni basi watz tuna unafiki Sana

  • @jubilatembise8431
    @jubilatembise8431 7 месяцев назад +3

    Huyu bro.anajua aisee huchoki kumsililiza

  • @GodwinShumaMsolox_tz-sb2cy
    @GodwinShumaMsolox_tz-sb2cy 7 месяцев назад +6

    Npointtv kazi yeni ni nzuri 🔥

  • @MagdarenaLunyalula
    @MagdarenaLunyalula 7 месяцев назад +3

    Tatizo watu hamtaki kuambiwa ukweli tundu lissu tunakuelewa sana tundu lisu saaafi hata wakuchafue guna dowa baba,🙏🙏

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 7 месяцев назад +8

    Watanzania wengi Wana uelewa mdogo Sana hasa kwenye mambo ya msingi ya nchi,wajinga ni wengi,watakaomuelewa Lisu hapa ni wachache sana

    • @alimussa2655
      @alimussa2655 7 месяцев назад

      Kabisa yaani we acha tu

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 7 месяцев назад

      Kabisa na wajinga haohao ndio wananjaa balaaa

    • @BertinaCharlie
      @BertinaCharlie 7 месяцев назад

      Ujinga si ubaya ila ubaya kukataa kukubali kuluhusu kichwa chako ili upate elimu uweze kujua mengi usipate shida kwenye maisha lkn sio sisi watanzania wengi wetu wabishi hata kwa mambo tusioyajua mbaya sana Mungu atusaidie hii elimu anayotupa LISU leo ikawe ya nchi nzima tujue mazuri namabaya ujinga ututoke vichwani🙏

    • @abelritte1808
      @abelritte1808 6 месяцев назад

      Unavyosema watanzania wengi wana uelewa mdogo na wewe upo kwenye hilo kundi au upo kundi la waelewa? Umefanya utafiti gani kujua kwamba tanzania asimia ya watu wanauelewa mdogo? Yaani wewe ndio punguani, mjinga kabisa

  • @MagdarenaLunyalula
    @MagdarenaLunyalula 7 месяцев назад +4

    Lissu ndo habari ya njini

  • @PhilbianJohn
    @PhilbianJohn 2 месяца назад

    Makonda yuko sahihi tatizo lako ni siasa za kinafiki we dai katiba makonda yuko sawa

  • @DonaldMgohele
    @DonaldMgohele 7 месяцев назад +7

    Watanzania tuungane kudai katiba ilituishi kwa kujitawala tupate mema ya nchi yetu

  • @paulmajani6283
    @paulmajani6283 7 месяцев назад +2

    kaka Malizawa George 🔥🔥🔥🔥

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 7 месяцев назад +4

    Na bado kuna kiumbe anaweza akaigiza kutokuelewa.

  • @MainaTanju
    @MainaTanju 5 месяцев назад

    Ameongea ukwelii sanaaa

  • @danielkanso
    @danielkanso 7 месяцев назад +6

    Wenye vichwa vyao hawataki ukweli maana wanajua hujuma zao zitaumbuliwa watulie tu ukweli uwe wazi

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 7 месяцев назад +8

    ASANTE SANA MR ANTIPASSLISSU

    • @RenaldPeter-y5i
      @RenaldPeter-y5i 7 месяцев назад

      huyo ripota wenu ni mzulumati kanizulumu hela yangu sh 15000 ya saloon

    • @thepresidenttobe5481
      @thepresidenttobe5481 7 месяцев назад

      😂😂😂😂
      Mwambie akupe hela yako

  • @LajabuSafari-k3y
    @LajabuSafari-k3y 7 месяцев назад +3

    Anajua kuzungumza

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 6 месяцев назад

      Na anyozungumza ni mazito ukiwa na uelewa.mdogo huwezi kuelewa

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 7 месяцев назад

    Mh lisu najua wew ni mcha mungu nakuomba Binafsi muache mh Makonda afanye kazi aliyo tumwa na mama ata wew anayo simamia kwa wananchi najua ata wew unayafulahia sema ndo uwez kusema ukwel

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw 7 месяцев назад +4

    lissu wewe ni nuru kwa taifa letu badala ya kukushambulia kwa maneno ilipaswa taifa likutumie vizuri ili kuleta manufaa kwa taifa letu watu kama lissu mataifa ya wenzetu wanalindwa sana

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 7 месяцев назад +3

    Kulinganisha Ubelijiji na Tanzania utapata ugumu sana mwandishi, Jua idadi ya watu ( Raia ) wenye uweleo mkubwa ni ndogo sana Tanzania sio swala la Kwenda shule pekee ila ukidhibiti mfumo wa taarifa kwa muda mrefu jua binadamu huwa kama Ngombe asijua atachinjwa,Kukamuliwa maziwa,kupelekwa malishoni au la, Nakukumbusha Kampuni ya Serikali kuwa na gazeti la Kingereza pekee ( Daily News na Sunday News) kwa muda mrefu na Lakiswahili liwe na UHURU haikuwa bahati mbaya.

  • @lubuvamgosi720
    @lubuvamgosi720 7 месяцев назад +1

    4:10 6:40 🎉😂❤😢

  • @deohank5995
    @deohank5995 7 месяцев назад +2

    Ushauri wa Bure, tutafutieni hizo nyaraka mzitafsiri katika luggage rahisi, ili tusome wenyewe na kuona kama kuna Umuhimu wa kuidai hiyo katiba au la😂

    • @MagdarenaLunyalula
      @MagdarenaLunyalula 7 месяцев назад +1

      Huyu ndo tundu lisu mungu atakulinda baba wala hutakufa huyu makonda mungu atamkomesha ipo siku yake

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 7 месяцев назад +4

    Binafs makoda hapana mimi ni ccm lakn makonda! apana mama tubadilishie uyu mtu

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 7 месяцев назад

      Makonda katuhumiwa kwa mauaji ya watanzania mpaka Marekani na Ulaya imempa stop. Serikali yetu ingekuwa huru, ikawaruhusu watanzania wampeleke mahakamani leo hii Makonda angekuwa gerezani. Ndo maana ccm na serikali haikuchunguza kupotea na kuokota maiti za watu fukweni na upelelezi huru wa Lisu kupigwa risasi. Hawa wenzetu wanavyombo , satalite tungedai wangetoa vithibitisho hivi kwa picha. Kinyume chake wakampumzisha, wakamremba vizuri na wamemleta tena awapigie debe washinde. Muuaji atawezaje kuweka mambo sawa ya nchi.
      Nchi yetu ni ngumu sana. Lisu anayaelewa, na wengi wanayafahamu. Sasa unamkuta Makonda majukwaani kwenye misiba akijichanganya na watu aliotaka kuwaua, na watu ambao ndugu zao alihusika katika kupotea kwao na wananchi tunalazimishwa na serikali hii hii tumsikilize huyu kijana. Inatisha na inasikitisha, kuua , kunnyong’onyesha nguvu za wananchi wasijitambue na kugawanyika ila tu ccm wachaguliwe tena na waxidi kuitawala nchi hii kwa ubabe uleule. Ni hatari kubwa kwa hapa tulipopafikia. Wananchi tuwe serious , tujitafakari upya, na tufanye nini.
      Katiba mpya ni sasa. Tume huru ya uchaguzi ni lazima.

    • @alimussa2655
      @alimussa2655 7 месяцев назад

      Yule jamaa kirusi

    • @GabrielMwakasege-sx9wv
      @GabrielMwakasege-sx9wv 7 месяцев назад

      Ccm yawapi wewe nimwizi

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 7 месяцев назад

      @@GabrielMwakasege-sx9wv asante iyo ni fani

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 7 месяцев назад

      @@GabrielMwakasege-sx9wv mpaka yakukute wewe au ndg yako ndo utajua mtu anatuumiwa kuzulum uhai wa binadam cjui unaelewa maana yake au niachie hapo maana sisi wengine atajafundishwa matus

  • @Jemahjampa
    @Jemahjampa 6 месяцев назад +2

    Mange kimambi kanifanya Nije kusubscribe huku

  • @ChristopherMasobeji
    @ChristopherMasobeji 6 месяцев назад

    Kila mtu hakos kasolo

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 7 месяцев назад +2

    Hahaha GSM kajenga nyumba

  • @abnermailos8043
    @abnermailos8043 7 месяцев назад +3

    Unatetea ujinga mwache tundu aseme kilakitu

  • @MagdarenaLunyalula
    @MagdarenaLunyalula 7 месяцев назад

    Hahaha ina maa a arudishe cheti. Cha bashite? Duu

  • @henrynicholaus3977
    @henrynicholaus3977 7 месяцев назад

    Natamani kurudi shule nikasome sheria

  • @wilfredbyabato4732
    @wilfredbyabato4732 7 месяцев назад +1

    Lisu ametema madini sanaa apa

  • @ErnestSelestine
    @ErnestSelestine 7 месяцев назад +2

    makonda oyeee

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw 7 месяцев назад +3

    Tumemmis makonda yupo wapi

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 7 месяцев назад +1

      kila kitu kina mwanzo na mwisho wangapi walipita wenye akili kama ya makonda piiiipoz mungu akulinde mh tundu at lis

  • @silasmakweta3002
    @silasmakweta3002 7 месяцев назад +4

    Francis kweli humuelewi anacho ongea Lissu uchawa wako ni WA hatari sana.

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 7 месяцев назад

      Kuna wajinga na mazezeta wengi hata uwezo wa kudikiliza hawezi.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 7 месяцев назад

      Chawa wake wako pamoja na kunguni. Hatari sana

  • @NicholausKalolo
    @NicholausKalolo 7 месяцев назад +2

    nakupenda makonda safi sana

    • @alimussa2655
      @alimussa2655 7 месяцев назад

      We kum* tu kama yeye

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 7 месяцев назад

      Si wote mazezeta matupu na ujinga mlio nao pia.

  • @SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz
    @SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz 7 месяцев назад

    Hahaha

  • @richardchawenda5938
    @richardchawenda5938 7 месяцев назад

    Wazungu wa nini sasa acha makonda afanye kazi

  • @Brayootech
    @Brayootech 7 месяцев назад

    Nilikua simkubali lissu lakini kwa hili lissu inabidi awe raisi aiseeee anamadini sana huyu jamaa

  • @mkulamasanja4969
    @mkulamasanja4969 7 месяцев назад

    😮

  • @SYLIVERIOKILIMILA
    @SYLIVERIOKILIMILA 7 месяцев назад

    Lisu anatumwa na mataifa ya nje aharibu aman ya Tanzania

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 7 месяцев назад

      Acha ujinga. Ingine darasani tena. Mtu gani usichoelewa. Uchawa mwingine hauna maana. Nitaumia sana. Tumia sindano na dawa ziwaingie vizuri chawa wote wa nchi hii.

  • @naimamrisho1154
    @naimamrisho1154 6 месяцев назад

    Hata wewe ukiingia hapo utatuibia tuu,wanasiasa mna Rangi Moja msituchanye akili banaa,katiba ni mbovu yes ufanyike mkakati wakubadilisha lakini hakuna mwanasiasa anayeitakia hii nchi uzuri labda Mimi period .... comment ziwe za upole please 😂

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 7 месяцев назад +1

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 7 месяцев назад

    Lisu rudi uberigij

  • @sautiyanoti5242
    @sautiyanoti5242 7 месяцев назад

    Safiiii sanaaa

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 7 месяцев назад +3

    Lisu,uikate tamaa una kazi ngumu na sisi kama taifa,tatizo letu kubwa ni ujinga,angalia hata comments zao.

  • @AndrewMalalika
    @AndrewMalalika 7 месяцев назад

    Ruzuki ni Kodi ya wananchi je ninyi ruzuki ya chadema inasaidiaje wananchi ?

    • @sethkivuyo3342
      @sethkivuyo3342 7 месяцев назад +1

      Kukupatia elimu mjinga kama wewe...

    • @This-f1k
      @This-f1k 7 месяцев назад

      Ya ccm inakusaidiaje ww

    • @agreymbwilo5874
      @agreymbwilo5874 7 месяцев назад

      Kazi ya ruzuku ni kusaidia kuendesha shughuli za chama. Na si kusaidia wananchi. Zile shughuli unazoona zinafanywa na makonda zinaendeshwa na ruzuku kutoka kwenye chama chake. Shughuli unazoona anafanya mbowe zinaendeshwa na ruzuku za chama chake.

    • @alimussa2655
      @alimussa2655 7 месяцев назад

      ​@@agreymbwilo5874mfahamishe boya uyo

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 7 месяцев назад

    Kweli kunamengi tusiyo yajua nchi hii kuna mambo yakutisha sana t

  • @MagdarenaLunyalula
    @MagdarenaLunyalula 7 месяцев назад +1

    Pookea mauwa yako baba makonda ni katiri sana tena sana wanyonge tunamkabidgi mungu ashughulike nae

  • @kazigembeleke5958
    @kazigembeleke5958 7 месяцев назад

    Kwani kukaa mpaka iwe Brussels tu ila labda kama alisema

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 7 месяцев назад +3

    Viongozi wa chadema kweli mmekosa hoja .Tundulusu achakuongea mambo ya mtu. Zungumza Sera na hoja zako .

    • @RamaHRIzmaelov
      @RamaHRIzmaelov 7 месяцев назад

      CCM wanawapenda watu kama ww hatari

    • @NAFTALIMUNDANGA
      @NAFTALIMUNDANGA 7 месяцев назад +1

      Huyu Makonda kwa maana hii ni kibaka na ni mwizi, akamatwe kama vibana na panya road wengine

    • @charlesshitobelo6870
      @charlesshitobelo6870 7 месяцев назад +5

      Lissu anajibu kulingana na kile anachoulizwa na mwandishi. Suala la sera unalitoa wapi wewe? Shida yako umekaririshwa.
      Sidhani hata kama unaelewa maana ya sera na jinsi ya kuzifafanua
      Lissu anapojibu swali anafafanua jinsi sera za CCM zilivyo mbovu, hazilindi uhai wa raia wake zinasababisha watu kuawa na maiti kutupwa mitoni na baharini.
      Sikiliza akili kubwa hiyo, usikalie uchawa.

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 7 месяцев назад +1

      Kwa kichwa chako sera ni nini? Hivi mbona wewe unaonekana kichwa hakina kitu

    • @STEVENKAJUMBA
      @STEVENKAJUMBA 7 месяцев назад

      Kwaivyo kwa uwelewa wako tudu lisu Ana hoja.au ndyo uchawa

  • @MagdarenaLunyalula
    @MagdarenaLunyalula 7 месяцев назад +1

    Unaesema amani una amani gani uajula mlo mmoja tena ugali wa bamia chukuchuku kaa na ujinga wako na hilo branketi la kijani lililokufunika gubigubi hujitambui mwache kamanda lisu apasue majipu hitimisho tunataka kativa mpya na tume huru

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 7 месяцев назад

    aaaa hapana ushuru wa mageti ni mengi sana mpk juzi usk njia ya Nzega Tabora nilisumama nikauliza why mnanipiga tochi usk kwenye gari langu lori (truck)? Wakasema tunakagua nkawauliza kwani sina haki ya kujisimamia mwenyewe nikijua sjabeba kitu chochote kinachohusiana na nyie na nikapita km gari hizo ndogo saloon ambao nao wana uwezo wa kubeba mkaa? Why me mnaniangalia cause am driving the truck? Wakashindwa kujibu ... Nkawambia toeni skeleton na mwache kunimulika na tochi cause am empty with container here ni haki yangu ya kisheria kutembea usk na nikiwa sjavunja sheria

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 7 месяцев назад

    wacha unafiki Tundu kwa hivo alidhulumiwa mkundu wako

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 7 месяцев назад

      Unataka vitu unavyo mtukana muheshimie aisee chunga mdomo wako

  • @HansHarold-e5l
    @HansHarold-e5l 6 месяцев назад

    Strong Institutions Vs Strong People

  • @NAFTALIMUNDANGA
    @NAFTALIMUNDANGA 7 месяцев назад +1

    Kwa namna hii, makonda si tapeli na mwizi kabisa huyu. Mbona hakamatwi? au police kazi yao ni kuone wanyonge tu? Sasa Samia naye anampa nafasi za uongozi kibaka kabisa huyu.

  • @EzraKambalemukewa
    @EzraKambalemukewa 7 месяцев назад

    Mimi simu Tanzania alakini huyu ni mjinga sana

    • @cosmasmwaifwani243
      @cosmasmwaifwani243 7 месяцев назад

      Mjinga hujijui kuwa ni wewe ila sisi tunakujua kuwa wewe ndiyo mjinga

    • @MagdarenaLunyalula
      @MagdarenaLunyalula 7 месяцев назад

      ​@@cosmasmwaifwani243mjinga babaako na mamaako ealiokube wa mimbwa chini ya uvungu lissu ndo habari ya mjini pumbavu wewe mjinga mmoja

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du 7 месяцев назад +3

    Nina kukubal miaka kedekede kudadadek ccm wanakuogopa kama njaaa

  • @weremamwita8981
    @weremamwita8981 7 месяцев назад

    Ila tu Tundulizu tushawachoka na siasa zenu!

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 7 месяцев назад

      Kalalee

    • @williamgeorge-hd2tn
      @williamgeorge-hd2tn 7 месяцев назад

      Una roho ya shetani

    • @weremamwita8981
      @weremamwita8981 7 месяцев назад

      @@williamgeorge-hd2tn sawa niombee; kwasababu we unaona kuna mwanasiasa anaongelea mambo ya maisha ya watanzania zaidi ya kujinasibu kuingelea utahari wao. Ukweli usemwe, nchi imebaki pango hakuna ccm wala upinzani.

    • @weremamwita8981
      @weremamwita8981 7 месяцев назад +1

      @@RomanMwinyi ukweli mchungu ati eeh!

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 7 месяцев назад

      Fisiem hoyeeeeee

  • @judithmwamukinga4448
    @judithmwamukinga4448 7 месяцев назад +1

    Kwani kero anazotatua zimesababishwa na utawala wa nani?hiliatuhitaji kwenda chuo niakiri ya kuzaliwa

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 7 месяцев назад

      Shida we unsongozwa na uzwazwa wako. Matatizo hutakiwa kitatuliwa kwa utaratibu wa sheria ndugu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 6 месяцев назад

    Hivi ninyi mbwa na kengeza na kuguru hamuwezi endesha maisha yenu mpaka mumjseme makonda??? Sheeeenzi

    • @isihakamahawi7793
      @isihakamahawi7793 6 месяцев назад

      Ss makonda si kiongozi na sisi si wananchi lazima tumuongelee kiongozi wetu

  • @GabrielMwakasege-sx9wv
    @GabrielMwakasege-sx9wv 7 месяцев назад

    Tundulisu pumzika aunalolote

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 7 месяцев назад

    Kwanini GSM alijenga nyumba? Je rais hakuwa na nyumba ya kuishi? Je allikuwa anatoa rushwa na kwanini? Je kazi ya wafanyabiashara ni kuwajengea nyumba marais? Makonda ni jambazi anayepaswa kufia gerezani au kuuawa kama tutatumia jicho kwa jicho na jino kwa jino kama kweli ndiye aliyehusika na kumshambulia Lissu.

  • @AndrewMalalika
    @AndrewMalalika 7 месяцев назад

    Jamani ruzuki ndo ajira ya watu ka lema anasema anagombea anatetea watu kama ni kweli mbona milioni kumi na moja hasaidii hata mtu yyte?jamanini siasa ni ajira msidanganywe

    • @ebitariho9720
      @ebitariho9720 7 месяцев назад

      Hivi ccm haipokei ruzuku? Hivi Kuna Chama kinacho pokea ruzuku nyingi kuliko ccm? Au ccm sio Chama cha siasa.

    • @agreymbwilo5874
      @agreymbwilo5874 7 месяцев назад

      Hamna mtu asiyejua kama siasa ni ajira. Hata uchungaji ni ajira ila hatuachi kwenda kusali. Hawa ni watu ambao wanalipwa mshahara kwa kutuongoza na kupigania haki zetu. So suala sio ajira. Ila kwenye hiyo ajira anafanya nn. Hata raisi analipwa mshahara kwa kazi anayoifanya so whaat?

    • @patsonanyitike9584
      @patsonanyitike9584 7 месяцев назад

      Jiz huyooooooo mwenez

    • @deodathsilayo3639
      @deodathsilayo3639 7 месяцев назад

      Unataka hela za wanaume mtafute umwombe😂

  • @GelvasMoses
    @GelvasMoses 7 месяцев назад +2

    Unachokiongea mzee sikuelewi kabisa izo shelia unazoongelea watu wanasota mageteza miaka hakuna wakuwatetea,nibola hawa wanaotatua matatizo hazalani,binafsi yangu magu alikua kiongozi bora sana na hata makonada anafuata njia yake

    • @talents7934
      @talents7934 7 месяцев назад +2

      Anacgokifanya Makonda Sasa hivi Ndicho alichokifanya Magufuli kipindi chake na alivyoondoka Wakayarudisha tena Hivo basi hata makonda cheo chake kikiisha Haya anayoyatatua kama hayana Ulinzi wa Sheria yaani katiba Mpya Basi elewa kuwa Watayabomoa tena aoiyeyajenga,Magufuli angekuwa amekubali Mabadiliko ya Katiba mpya kazi yake aliyoifanya Nzuri isingeharibiwa na tungekuwa mbali sana kimaendeleo

  • @AllyFaraji-r4y
    @AllyFaraji-r4y 7 месяцев назад +1

    Ni yeye tu watanzani tumpe nchi uyu lissu atupereke nchii ya Adi ana madini mengi sana ktk kichwa chake

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 7 месяцев назад

      Hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa labda mtaa uwe na watu wa aina yake!

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 7 месяцев назад

      Kama una ushahidi na wewe Ni mwasheria peleka mahakama yoyote duniani ili watanzania wapate haki yao!!!

  • @sondajohn1371
    @sondajohn1371 7 месяцев назад

    Wenye utapia mlo wanapata wakat mgum kumuelew

  • @AloneChuga
    @AloneChuga 7 месяцев назад

    Huyu mpumbavu furani,huna lolote mpumbavu moja tu

  • @jovitusiinnocent7534
    @jovitusiinnocent7534 7 месяцев назад +1

    Acheni uhuni wewe kwanza unavyo hongea ni uongo mtupu

  • @Gracemima
    @Gracemima 7 месяцев назад

    Lissu ni muongo. Mwache Hayati Magufuli apumuzike. Unazidi kuwaumiza watanzania kwa kumusema mtu hawezi kukujibu. Marekani ni kitu gani? Hakuna nchi inavunja haki za binadamu Kama Marekani. Makonda hana haja ya kwenda Marekani kwani kuna nini. Makonda sio puppet Kama wewe. Marekani does not matter anymore. Angalia mauwaji ya watu wa Palestine, nani anataka kwenda Marekani? Tundu Lissu wake up.

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 7 месяцев назад

    Naomba muulize autoa wapi ujasiri akiwa JKT aliwauliza swali wakuu wa majeshi wakakimbia na kumuacha lisu,,

  • @meyou-zz8mj
    @meyou-zz8mj 7 месяцев назад

    Tatizo lissu na Zitto ni wapambe walimsaidia sana kikwete ili Magufuli asikuchukue lasimali so Lissu Zitto hao Ccm B hao Team Kikwete wote

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 6 месяцев назад

      Wewe tunahitaji kuongeza uelewa wako kichwani

  • @AndrewMalalika
    @AndrewMalalika 7 месяцев назад

    Kwa nini hakustakiwa kwa kesi hizo nawe ni mwanasheria ukiukwaji ni kupinga ushoga nawe unapenda ushoga sio kingine

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 7 месяцев назад

      Ashtakiwe na nani we chawa

  • @ahz6907
    @ahz6907 6 месяцев назад

    HAKUZULUMIWA IANDIKWE HAKUDHULUMIWA!

  • @nghomanohosea9251
    @nghomanohosea9251 7 месяцев назад

    Wewe msomi achana makonda fikilia nini ufanye kuisaidia nchi,mambo ya makonda yana muhusu yeye na chama chakesomi unaongea pumba kabisa unaonekana wewe sio kiongozi kabisa

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 7 месяцев назад

    Arudishe cheti cha watu kwanza😂😂😂😂

  • @lubuvamgosi720
    @lubuvamgosi720 7 месяцев назад

    Poa

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile 7 месяцев назад

    Kutetea au kuwa mtetezi sio lazima ufuate katiba.hata mimi nisie na elimu ya uasksli nikikuta mtuanatendewa ndivo sivo lazima ntamsaidia.mf,nikute mtu anabaka anaetendewa hivyo akaniomba msaada na kuniita najina.niseme mimi siopolisi nenda polisi.makonda wamletea hizokelo sio yeye anasema leteni kelo binafsi.yeye anaomba kelo za kisiasa na serikali.sasa wenyeimani nae wanaleta shida zao.eeeeee anawasaidia ,kes ikowapi?.

  • @rosetreffert6727
    @rosetreffert6727 7 месяцев назад +2

    Lisu huna akili domo kubwa tu

    • @uriostanley2331
      @uriostanley2331 7 месяцев назад

      Una fangasi ya ubongo

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 7 месяцев назад

      @@uriostanley2331 kama za kwako sinazokuzumbua mpuuzi mkubwa wewe

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 7 месяцев назад

      @@uriostanley2331 kichwa maji

    • @frankremishoy5778
      @frankremishoy5778 7 месяцев назад

      Ujasoma. Huwezi kumuelewa lisu hii ni akili kubwa ndyo maana wali enginired kumuuwa.

    • @frankremishoy5778
      @frankremishoy5778 7 месяцев назад

      Kifo ni siri ya mungu. Waliplan kumuuwa wakafa wao.

  • @SelemaniJuma-jt7oe
    @SelemaniJuma-jt7oe 7 месяцев назад

    Kwani tundulissu wewe huwezi kuongea bila kumtaja magufuli inamaa wewe ni msafi sana hiyo ni siasa ya hovyo sana maana unahangaika na malehemu muda wote huwezi kuongea bila kumtaja malehemu magufuli

    • @emmanuelmasele9585
      @emmanuelmasele9585 7 месяцев назад

      Magufuli alitaka amtanulize mbinguni lkn Mungu kwa maajabu akamtanguliza

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 7 месяцев назад

    Mbna kipande si mmalize

  • @vedastocharles
    @vedastocharles 7 месяцев назад +2

    Konda oye🎉

  • @agreyangaza9124
    @agreyangaza9124 6 месяцев назад

    Achana na magu we mzee mjiongelee wenyew

  • @AloneChuga
    @AloneChuga 7 месяцев назад

    Huyu jamaa faraa sana,Magufuli ajengewe nyumba, alikuwa hana uwezo kujijengea faraa sana huyu,kama ndivyo why hukumpleka mahakani,kila siku marekani marekani wewe mpumbavu sana

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 7 месяцев назад

      Dah! Lissu awe fara kwako😂 aisee we ni bonge la mavi

  • @charlesgasper-wo9hc
    @charlesgasper-wo9hc 7 месяцев назад

    Sababu zakila mteule na taasisi zaselikali kutotoa haki.wewe kammwanasiasa usipuuzwe nawatu wako ungefanyaje?

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 7 месяцев назад +1

    Lissu ni msema kweli atakae mbeza ni chawa TU lakini ukweli uko palepale

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 7 месяцев назад

      Ni kweli sana. Yaani kuna wale hata akili hawana ndo wanaobisha na hawaelewi

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 7 месяцев назад +1

    wewe lisu acha ujinga kama ingekua ivyo kwanini ashindwe kuichukua?
    danganya wajinga wasio jitambua na saizi Ikulu hakuna kualikwa.

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 7 месяцев назад +1

      Hivi wewe ndugu unayegoma kwamba si hivyo basi sema wewe ilikuwa. Unapopinga kitu lete wewe cha kwako basi maana ukiongea tu unakuwa mjinga

    • @KwiniJoel
      @KwiniJoel 7 месяцев назад

      Wewe siyo wa kumjibu LISSU
      Huna akili za kujibizana na kamanda.
      Bora tuachie sisi tunao mwelewa LISSU

  • @GabrielMwakasege-sx9wv
    @GabrielMwakasege-sx9wv 7 месяцев назад +1

    Uoga umekuja kaludi sasa endelea kuongeaongea watakujatena