Bando MC Ft Mr Blue - Uswazi(Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 12 июн 2020
- #newmusic #bando #trending #newmusic
(C) Slide Digital
Bando MC Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/1kqop5
Written & Performed by Bando MC x Mr Blue
Audio Produced by Bear
Studio KILI RECORD
Video Directed by DEO ABEL
Video Production WORKSPACE FILM
Follow Bando On:
Instagram: bando_tz?igshid...
Facebook : web. bandomcoffic...
Twitter: mussabando?lang=en
TikTok: www.tiktok.com/t/ZM2Rv917o/?t=1
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Видеоклипы
Kama unampango wa kumdisi BANDO wewe ni mtoto tulia TUPIA LIKE KWA BOY KUTOKA SHINYANGA
We mtoto tulia
M
Kama hii ngoma ya #uswazi inafany vizuri mtaani kwako gonga like hapa
Aman
We mtoto Tulia ngoma Tam sana 2023 gusa apa
Mganga anaweza kuwa na dawa zote ila dawa ya meno akanunua dukanii
Dah hii kalii.
Nilikuambia unakipaji tangu siku ya kwanza nakusikiliza na mimi ni shabiki yako mkubwa sn.Acha tupush ngoma
Maana keleke ya mlango haiwezi zuiazuia mwenye nyumba usingizi.
Sasa hapa ulimaliza kabisa.. Bando mc wewe ni ile mbogi mbaya.. Nairobi ishaakubali bro.. Lyrics ziko juu kuliko robani
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
In Kenya this is the TRUE BONGO we have always appreciated since back then. Back to it's roots.....
My family forever
ruclips.net/video/gsdtWrVPOYY/видео.html
Mistari ya Bando imekwenda shule!
Duuuuuuu hatariiiii sanaaaa
Wakenya chapeni like hapa...Bando umemada ngoma jo 🙆🏽♂️ BARS!!!!
Thanks blood
Nomaaa. Na nusu
Kwa leo tupitie 10 bora za captain
Roho mbya haijeng maana haina kiwnja😁😁😁 big up sn bro
Mganga anaweza kua na dawa ila ya meno ananunua dukani... daaah!!
Unaweza kuwa unaoga hku ukimtongoza mpita njia
Bando mc nakukubal since day one boy unajua mpk unakela, ngoma iko 🔥🔥🔥👉✈️👉📍📍📍👉🎤 wataelewa2
Mzee baba umetetisha
Tulishachukiwa na wazazi kabla hatubarehe
Umekalisha vilaza wote na matozi wete bongo fanya ututembee wauni🇿🇦mtaani kwetu tunakukubali sana machintanga uku
Bless
chaaaaaaaa KAZI NZURI SANAA
Much love #Bando hapo Mr Blue uligonga ndipo much respect
Thanks my g
Unyamaaa zaid ya unyamaaa
umeua bando shida sana
Big up xan bando
Jua sana
Kweli uswazi ujumbeee mkali haina kufeli
Nakubali mwanangu
Ukitwa mpenzi bila pesa ujue wewe mpenzi wa mungu
Haki trna
Bando ww ni la talented artist nakubal..
Bless bro
Kali sana bro keep pushing
Amen
Mmetishaaa
Safi sanaaa,,,
Ilibidi nitafute hii song baada ya kuskiza mistari vile inasheheni buzara na ufundi wa hali ya juu kazi mubashara🔥🔥🔥🔥🤘🤘🤘
Mr blue ndio kaharibu humu
Hatariiiiii goma kali
Nomaaa snaa
Kali yawi
Kaka noma Sanaa hiii
umeuwaaa
Bandooooo Mc Hatari sana
Nomaàaaaa sanaaa
Pita kwangu
Yap nakubali
Karibu good ritmo
Nomaaaaaaa
Chorus Kali saana
Uswazii sanaa tuu
Tisha thana Mazee
Yaani hapa Byser ndó kesha MURDER chorus!! 🔥🔥🔥
Kaz kaz mzee
ukiitwa mpenz bila pesa ujue ww n mpnz wa mungu
Jamani hii ndio misitali
Hali kwetu nakotoka sio shwari, yaani kijito nyama, sinza mchicha na makumbusho ndo ugari#umeua MC WANGU
*Me napenda hii nyimbo na wiwa kuitzama kila baada ya dakika 10 asee **#bandomc** umejua kutunyoosha*
Jamaa anajua siyo wakina mind wanabwabwaja tuu
Team bando tujuane
Tupo
Respect to bonge la song'i
Good sana kijana, Babu usiejua wajukuu , Unatunisha mbavu mbili wee unakifua ama kifua Kikuu, Nakubali!
Kaliiiiiiiiii
Nakubali
#sanaaaa mwanaaa wa
W #uswaziii
#uswaziii life
Uswazi kwetu 💪🏿💪🏿
Bandooo wenye akili kama wewe ndo tumeielewaa!!! Kaz nzur
Bless san mkuu
Sijawahi kumpingaa bando,,,,,Mwanangu anaweza sana piaa Mr Bluee hujawahi koseaaa ni MIRAHAAA TU,,,
Demu wako asipouona mwezi ujue amepatwa na ......
Sana mkalii Ngoma kalii
Hardcore bongo🔥🇰🇪🇰🇪
Ila mtaani tumealalisha kila demu mzuli tumemzalisha like kwa bando
Mzee Umeua Ukiitwa Mpenzi Bila Pesa Ww Ni Mpenzi Wa Mungu
Punch after
Na mtaa unaitwa makoroboiii🙌 oyaaa wa Mwanza niwaone apaaa✊
Makini sana
Dem wako asipopata mwezi jua kasha pata jua
Mambo yanasonga ila hayawezi kusonga ugali safi sana nakubali mazee IBRA apa the chiganian presenter from mbaga TV online usisahau kusubscribe.
Noma san
Mganga anaweza akawa na dawa zote ila ya dawa ya meno akanunua dukani 🎤🎤
Waiting you and professor jay collabo
Bado motooo
Verse ya Bayser kali sana
Good song,,,mwendelezo mzuri utafika mbali kaza buti
Bando we bonge la mc hatari unatishasnaa
Nakubaliiiii
I was only here to see MR Blue. Mwingine ajipe shughuli
Uswazi take away shwali
Sio poa
Dawa zote ila atanunua dawa ya meno
Bandoooooooooo... Songa nayo kamanda ⚡⚡⚡
Majumba sita
Safi san video imeendana 💯 na audio
Hii ngoma nazidi kurudia kuangalia sipati jibu ngoma Kali Sana dogo sukuma kete
Manengo again💥💫
Mambo yanasonga ila ayasongi ugali
Bando fireeeeeeeeeeeeeeeee
xana boe
BLUE imeweza bando imeweza
Bro Punchline after punchline.. Who is this guy 😂😂😂.. I'm fan big man
Thnks
Kizaziiiiii🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥
Matanda Stand up 🔥🔥🔥
Blue tulia #chorus ya kijanja ,,piga like zote kama vipi
Mr Blue still great....someone anisaindie na account yake ya RUclips....