NINI KINAFATA BAADA YA KUFA? |SHEKH:MSELEM BIN ALY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 июл 2021
  • #AdilAbdallah #DarsaLaShekhShahran
    Karibu ujiunge nasi Adil TV. Adil TV nikituo kinacho onyesha Video tofauti kama vile Move,Tamthilia,Qaswida,Comedy Clip,Show n.k Ili kujiunga nasi bonyeaza SUBSCRIBE ili kupata video mpya kila tunapo ingiza. Pia weka komenti zako katika video hii. Napia TUNATANGAZA BIASHARA YAKO tupigie 0774 362 246
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 67

  • @user-oc4zc4eg3f
    @user-oc4zc4eg3f 7 месяцев назад +5

    Mashaallah mm huyu shekhe nampenda kuliko nnavojipenda mm kwa ajili ya Allah Allah tukutanishe sisi na waja wako wema na utupe hatma njema

  • @hemedjumaa390
    @hemedjumaa390 Год назад +2

    Faswaha wa Kuichambua Tafsiri ya Qur'an vilivyo Sheikh Mselem Bin Aly M/Mungu amjaze kheri Tunakupenda kwa Ajili ya Allah Sheikh Wetu.

  • @husseinfunga3272
    @husseinfunga3272 2 года назад +4

    Shekhe mselem bin alli allah akupe umri mrefu wenye manufaa kwa akhera yako na dunia pia ,uwe ni mwenye manufaa kwa watu

  • @tindambaraka2357
    @tindambaraka2357 2 года назад +3

    MAASHALLAH NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH SHK MSELLEM ALLAH S.W AKULINDE

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 года назад +6

    Mashaallah Allah akuhifadhi 😭😭😭kuamsha. Nafsi zetu yote unayozungumza tunapitia yaarabby tujalie kujenga aakhera yetu🤲🤲🤲

  • @salmamohd5110
    @salmamohd5110 3 года назад +3

    Allah akubarikini nyote masheikh wetu tuliowamiss muda mrefu

  • @mwajumamfinanga5778
    @mwajumamfinanga5778 2 года назад +2

    Maashaallah tulikumisi shehe wetu

  • @alliabdallah224
    @alliabdallah224 3 года назад +5

    Fundi Allah ameturudixhia ktka macho yetu alhamdulillah

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 года назад +1

    Subuhanallah yarabi tujaaliye mwisho mwema wajawako

  • @fadaukheri2746
    @fadaukheri2746 Месяц назад

    Allah akujaalie umr mrefu wenye neema kher barka na mafaniko

  • @fadaukheri2746
    @fadaukheri2746 Месяц назад

    Sheikh msellem bin ally nakupenda sana kwa ajl ya Allah

  • @khalfanmkonde6819
    @khalfanmkonde6819 3 года назад +2

    Alhamdulillah Quruan imetoka gerezan, Allah ampe siha njema

  • @takdirmahmoud
    @takdirmahmoud 3 года назад +1

    Mungu azidi kukupa Ujuzi zaidi sheikh wetu

  • @mudathirabdallah1582
    @mudathirabdallah1582 3 года назад +4

    Masha Allah Allah akupe umri mrefu

  • @imanmohamed2215
    @imanmohamed2215 7 месяцев назад +1

    Subhan’Allah

  • @saidaomar6084
    @saidaomar6084 3 года назад +5

    Alhamdullilah. Sauti tuliyoizoweya ktk tafsiri ya quran imerudi. Alhamdullilah. Barakallahu fyk.

  • @hamidomar7474
    @hamidomar7474 3 года назад +1

    Homgeraa sana mamaetu samiya allah akulipe ww na kizazi chako amin

  • @khamismwakiro1568
    @khamismwakiro1568 3 года назад +1

    Allah akurefushie umri sheikh wetu na alipambe bongo lako na nur ya elmu

  • @iddymwingamno7144
    @iddymwingamno7144 2 года назад +1

    Allah akupe kheir

  • @abdulhalimahmed207
    @abdulhalimahmed207 3 года назад +4

    MASHALLAH ALLAHUMMA BARIK

  • @Ali-ui7qh
    @Ali-ui7qh 2 года назад

    JAZAKA ALLAHU KHER SHEIKH ALLAH AKULIPE MALIPO BILA.YA HISABU NAKUPENDA SANA SHEIKH MSELEM UNAFAHAMIKA SHUKRAN SANA ALLAHU AKBAR

  • @khatumalisalman2547
    @khatumalisalman2547 Год назад +1

    Umri wako uwe na manufaa sku zte inshallh

  • @mohammedkimanga8960
    @mohammedkimanga8960 3 года назад +1

    Shukrni sna sheikh tuko pamja kutoka Kenya

    • @hamidomar7474
      @hamidomar7474 3 года назад +1

      Vp uko kenya mupo powa

    • @mavigomavigo1415
      @mavigomavigo1415 3 года назад

      Allah zidikumlinda hiyu fundiwetu aa rahasana shekhe wangu unajuasanaaaa

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 2 года назад +2

    Yarab tupe husnlhatimaa wajawako

  • @mrishobaranabas9897
    @mrishobaranabas9897 2 года назад +1

    Sheikh yupo vizur mno anakumbusha kwa dalili na mifano

  • @sufianimgeni4792
    @sufianimgeni4792 3 года назад +3

    Allah akupe umri mrefu sheikh wetu.

  • @adammakeo9366
    @adammakeo9366 3 года назад +3

    Fasaha la kutasir Quran,,,amerudi kwenye mimbar,,Allah amfanyie wepesi

  • @albahry2280
    @albahry2280 3 года назад +9

    Huyu jamaaa fundi jaman achen masihara kabisa

    • @albahry2280
      @albahry2280 3 года назад +1

      Kaka sio mchezo she mselem anajuwa. ....Mana mm nlitegemea atakuwa kashasahu baadhi ya vit ila ndo kwanza amezd

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 3 года назад

      Maashaa Allah

    • @idrisashaka5881
      @idrisashaka5881 3 года назад

      Mashaallah shekhe wetu

    • @swabriali4583
      @swabriali4583 3 года назад

      Mola amzidishie elimu ya dini na dunia

    • @jumatano242
      @jumatano242 Год назад

      Hicho kipaji sio bahati

  • @yahayab4u614
    @yahayab4u614 3 года назад

    Allah tuwezeshe tuingie peponi inshaaaalah

    • @jumatano242
      @jumatano242 Год назад

      In sha Allah ila juhudi tuioneshe ili kupitia juhud hiyo Allah atufanyie wepesi

  • @hasbunakhamis487
    @hasbunakhamis487 2 года назад

    Mashallah Asante shekh wngu

  • @ruqaiyahmuhangia9002
    @ruqaiyahmuhangia9002 2 года назад

    Allah akufanyie kwakila zito kwako liwe jepesi

  • @rukiaibrahim7124
    @rukiaibrahim7124 3 года назад +2

    MashaAllah

  • @abdulhakim4650
    @abdulhakim4650 3 года назад +3

    Kwa kweli shekhery umesemea kweli kabisa Allah atupe mwisho mwema

  • @abasukhairsikhairi115
    @abasukhairsikhairi115 3 года назад

    Allah akuifadh shek mselem akupe umli mlefu

  • @abrahmanally5679
    @abrahmanally5679 Год назад

    Mashallahh

  • @idrisashaka5881
    @idrisashaka5881 3 года назад +1

    Mashaallah

  • @zainabzanzibar1518
    @zainabzanzibar1518 3 года назад

    Alhamdulillah Neema imeturejelea

  • @jafarismaily266
    @jafarismaily266 2 года назад

    mashaallah

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 3 года назад

    Jaazakallah

  • @bashkidana9404
    @bashkidana9404 3 года назад

    Manshallah

  • @saidhamadkhamis8445
    @saidhamadkhamis8445 3 года назад

    Barakallah fiiqum

  • @mrishobaranabas9897
    @mrishobaranabas9897 2 года назад

    Mim nimemuelewa vizuri kuhusu baada ya kufa nini kinafuata

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Год назад

    Hii ndo quran tafsiri sio neno maana

  • @mwajumamfinanga5778
    @mwajumamfinanga5778 2 года назад

    Maashaallah tulikumisi shehe wetu

  • @ibrahimmwazin.8819
    @ibrahimmwazin.8819 2 года назад

    Mashaallah