MKE KAZIZAKE NI MBILI TU //SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 201

  • @samayraqueen134
    @samayraqueen134 Год назад +3

    MashaAllah sheh una mawaidha mazuri sana tunataka uje kwetu Burundi Inshallah

  • @AminKofa
    @AminKofa 3 месяца назад +2

    Mashaalah❤

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed Год назад +14

    S.A.W REHMA NA AMAN ZIMFIKIYE JUU YAKE NA MASWAHABA ZAKE NA AAL ZAKE ❤️

  • @RehemaMohd-yi9tu
    @RehemaMohd-yi9tu Год назад +6

    Shukran sheikh Othman maalim kw kutkumbush hakika weng wet tunashau wajib na majukum yet kw waum zetu ila na kwa wanaum nao nijkm lao kuwjibk kw wezawao shukrn kw ukmbush.

  • @abdallahmahmoudy3528
    @abdallahmahmoudy3528 Год назад +4

    Alhamdulillah, Allaah akulipe kheir maalim,darsa njema sana kwa mlokuwa bado kuolewa na kuoa,pateni faida ktk darsa hii
    Alhamdulillah

  • @ZuberiKikoti-zo2on
    @ZuberiKikoti-zo2on Месяц назад

    Mwenyezi mungu akulipe kwa elimu unayo itoa inshaalla

  • @HALIMAKOMBO-xx5gz
    @HALIMAKOMBO-xx5gz 8 месяцев назад +1

    Asalamu aleikum warahmatullah wabarakatu. Shukran kwa darsa lako Allah barik. Sheikh naomba jawabu lako kma mumeo haezi kanya dadake anapokosea na siku zote anaambia mke kuwa astahamili maudhi yote ya dadake . Jee ni sawa yeye kama kiongozi wa familia kuyanyamazia kisa anaogopa familia yake na kupuuzia anachopitia mke . Na jee hapo inaezekana patikana vp furaha ndani ya ndoa hii

  • @ZuhuraSaid-sx8xh
    @ZuhuraSaid-sx8xh Год назад +4

    Unacho kisema nikweli kabisa ila waume wetu mtihani mkubwa tunavumiliat inshallah mungu awaongoze

    • @mirajiissa4603
      @mirajiissa4603 Год назад

      Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?

  • @YusufuBakheresa-kf2iw
    @YusufuBakheresa-kf2iw Год назад +12

    MashaaAllah sheikh zama hizi mpk wanaume awajitabuwi tunapo toa darsa kw wanawake lawama nyingi ni kwamba wanaume awajui majukum yao sjui hao nao tuwambie nn

    • @mohammedibimkubwa4947
      @mohammedibimkubwa4947 Год назад

      Kwani ni uongo. Nyinyi ni viongozi kiongozi ni mfano.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Mtwambie nn na nyie ndio viongozi??? Wengi wenu siku hzi mnapenda mteremko. Utamkuta janadume zima kwenye tick-tock mkewe anafanya upuuzi nayy linabururwa km pumbavu hata haya halioni.

    • @mirajiissa4603
      @mirajiissa4603 Год назад

      Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 Год назад +1

      Kwani hamuoni majumba siku hizi yana hudumia na wanawake wanaume wapo bze na TV au games unaingia fb utako tiktok uningia insta siku imepita na bado anataka mwanamke huyohuyo ampe pesa leo mnataka kuolewa na mama zenu kwasbabu ndio wanaweza wapa pesa na wala hamuwi nao kwa mapenzi bali kwasbabu hamtaki kazi mnakubali kuwa nao lwasbabu ya pesa

  • @kibambiibrahim5714
    @kibambiibrahim5714 9 месяцев назад +1

    Mashekhe Wangu nami niwakumbushe kuvaa Pete na saa mkono wa kulia Sio wa kushoto

  • @aamarsuleymain2932
    @aamarsuleymain2932 Год назад +67

    Sio kwa wanaume wa sasa mwanaume wa sasa ni gubu kero kwanza anataka pesa zako umlishe wanahitaji mwanamke uende kutafuta yeye analala unaludi hoi utatimiza majukumu ya ndani kweli wanaume mubadilike

    • @mirajiissa4603
      @mirajiissa4603 Год назад +5

      Ndivyo mnavyopenda hivo wengi ktk ninyi wanaona kazi ni bora kuliko mume

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Год назад

      @@mirajiissa4603 Kwa hiyo akae nyumbani mle mawe...

    • @abdallahmahmoudy3528
      @abdallahmahmoudy3528 Год назад +1

      Sahihi, Allaah akuhufadhi

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Год назад

      @@abdallahmahmoudy3528 Amin Insha Allah

    • @rahimaan6481
      @rahimaan6481 Год назад

      Yani kweli kbsa wanaume walio wengi sasaiv anatafuta mwanamke alie na kazi au biashara,wao wamekaa tu vibomu sasa khaaa 😂😂 haya hawana wanaomba haoooo balaaa yani mtihani,tena wakishajua upo ughaibun mamaaaaaaa weeeee na ndoa utatangaziwa,ili upigwe vibomu vzr,me ntafunga tu jmn maana kila nikiwawaza hawa jamaa wasasa asilimia kubwa wapigaji😢

  • @FatmaJambwali
    @FatmaJambwali 11 месяцев назад

    Masha allah m/mungu akujalie mwisho mwema
    In sha allah m/mungu atujalie upendo kwa waume zetu❤

  • @daud405
    @daud405 Год назад +2

    Allahu Akbar, wanawake Mungu aliwapendelea sana yaani kumtii tu mume anapata pepo... kwa kweli wanawake walio wengi hawataona pepo. wanawake wana usheutena mkubwa sana sababu ya tamaa.

    • @mohamedjuma7206
      @mohamedjuma7206 10 месяцев назад

      Hehehe mungu sio mjinga bana.Alijua wengi watashindwa kutuheshimu tu ndio wakapewa hiyo offer

  • @caswaralbadry8481
    @caswaralbadry8481 Год назад +2

    Mwanaume akiwa mchamungu hapo anapaswa kumpata mwanamke mchamungu na mambo yataenda vizuri ama mwanaume akiwa wa hovyo akitaka mwanamke mwema i asije kumhatibu ni bora kwa mwanamke mchamungu kumkataa mwanaume huyo , mana mwanaume ananguvu ktk familia koliko mwanamke, nafasi ya kuchagua mwanamke mwema ni kwa mwanaume mwema tu si haki kwa yule asiekua mchamungu.
    Ama maswala kupokeleana vitu ni jambo la kujituma na kuzidisha mapenzi si lazima mpaka kusumbuana mambo mengine ukiashikilia mno yanleta hitilafu bora utafute lenye ukaribu wa kuleta mapenzi zaid.

  • @ashamshona9321
    @ashamshona9321 Год назад +1

    Mashaallah shekh wangu

  • @neemahassan5726
    @neemahassan5726 10 месяцев назад +3

    Mashaallah shekh ila wanaume wetu hawa niwazito Hata Katka ibada pia unamuambia mume wangu swali anakuambia nitaswal kesho kila siku kesho jee hayo Mengine atayaweza?

  • @RamlaAli-to7uo
    @RamlaAli-to7uo Год назад +3

    Shukraan yaa sheikh...jazaka Allahu khayran.

    • @biswalhadogani-wt8kv
      @biswalhadogani-wt8kv Год назад

      Shee mm nimemfukuza mime WG kwa kunifosi mid nikakope blaki ili pesa akafanyie mambo take na deni ya ribs nilipe mile tena ananiamrisha nikope boda nikichelewa ktk biashara na pesa zangu zatumika ktk kila kazi pesa zake anaficha na chakula Hanna tens tabligh na kitambulisho anacho nilichoka kwakweli anachezea dini tuu mmmh mmmmh hapana

    • @zubedamusa9048
      @zubedamusa9048 10 месяцев назад

      Mashaallah Allah akulipe

  • @mariamsefukhamissi8809
    @mariamsefukhamissi8809 Год назад +1

    Jazakum'Allahu'khayran ❤❤❤❤❤

  • @habibahusein3883
    @habibahusein3883 Год назад

    Shukran Sana shekh kwa darsa zuri

  • @BiubwaMohammed-wn4jz
    @BiubwaMohammed-wn4jz Год назад +2

    Kusemakweli sijuniseemeje jmni wanaumewengine wagumu kmngozi yangamia

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 Год назад +9

    JAZZAKALLAH KHERI.Bega kwa bega mpaka Firdaus

  • @user-ju9mi1ft4v
    @user-ju9mi1ft4v Год назад +1

    Mashaa Allah tabaraka Allah

  • @AmourAbdallah-t9j
    @AmourAbdallah-t9j 4 месяца назад +2

    Kweli hutosahau mpaka unatiwa kaburini kwa maneno machafu

  • @mwajumamohamed4696
    @mwajumamohamed4696 Год назад +8

    Mashallah,Mungu azidi kukupa umri usaidie kuelimisha kizazi chetu.Akujaaliye kila yalo mema duniani na akhera inshaallah

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 Год назад +11

    MASHA ALLAH shukrain sheikh wetu ALLAH akujalie afya njema akuifaidhi ALHMDULLAH tunafaidika kwa kutufuza

    • @samiramohamed5699
      @samiramohamed5699 Год назад +1

      Cheik maanlim ukweli kuna wake wajibu mume vibaya lkn kunao waume majibu yao mabaya zaidi yetu

    • @saidally2262
      @saidally2262 Год назад

      Allahu Akbar!.Allah atupe wake wema

  • @mariammaulidlimo9332
    @mariammaulidlimo9332 Год назад +5

    Mimi sina la kusema .... Allah akulipe duniani na akhera shekhe kwa mafundisho yako

  • @MaryamHamad-uw9of
    @MaryamHamad-uw9of Год назад +5

    Alhamdulillah Allah atujaze ufahamu kwa wanaume na wanake na kutuwezesha elimu na moyo wa kutekeleza yalio kua ni wajibu kwa kl mmoja ktk maisha ytu

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 Год назад +9

    Maashaallah Shekh Othman Maalim Unawapa Dawa Waume Na Wake Wajitambue Wajielewe Shukraan Shekh Allah Atakulipa Yalio Mema Inshaallah

    • @mirajiissa4603
      @mirajiissa4603 Год назад

      Ametoa darsa kwa watu wote wake kwa waume ,,, Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?

  • @MwamvuaSowa
    @MwamvuaSowa Год назад +2

    Shekhe wanaume wa sk hizi hawatak mwanamke asiefanya kazi au biashara wanataka wanamwake wapambanaji Sasa ndio maana tunachoka

  • @ndayisengaMelanie
    @ndayisengaMelanie 9 месяцев назад +1

    Huwezubadirisha duniya WWE kiricobaki wekura pess zamshahara tu

  • @AbdallaNdolo
    @AbdallaNdolo Год назад +1

    Shida ya bibi zetu, wamekosa taqwa ,subra na uvumilivu.

    • @khadeejahsaid6226
      @khadeejahsaid6226 Год назад +1

      Wapo waliosubiri na bado wanaendelea kusubiri law vituko vya wanaume

    • @daud405
      @daud405 Год назад

      tatizo kubwa lina wanawake . wana tamaa sana. wanaona ndugu zake ndo muhimu kuliko kujenga nyumba yake na mumewe kwanza. hawana subra ya kweli wanawake

    • @kassimmanaramalika8592
      @kassimmanaramalika8592 Год назад

      Hâta wanaume walio na tamaa 😂wako,anapata pesa yupotayari akampe yoyote lakini hawezi kuiudumia familia yeke na akirudi nyumbani anataka alishwe upo😢

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@daud405. Ttzo ni w’me waliowengi siku hzi hawataki wake wasionakazi. Anavyotaka awakisanye mpaka wa4 kila mmoja ajitegmee mwenyewe halafu yy awe anazunguruka na kipesa chake cha mabamia tu na tungule basi! Ama utasikia wanachosema w’ke wanajiweza Ila wanachokihitaji ni tendo la ndoa tu. Masikini hawajijui km wao ni viongozi na wachunga wa wake na vizazi vyao. Wao wanaona kazi Yao ni kupita akilala tu.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +3

      Abdullah Ndolo. Allah amekuamrisha kumuhudumikq mkeo na kizazi chako na sio kujiachia ukamtegemea mkeo avumilie shida…. W’ke waliowengi wanavumilia sana lkn matokeo yake unakuta m’me akianza kupata hajui km kuna kueka ili kiwafae mbele. Yy akipata tu anakwenda kutafuta mke mwengine anaongeza. Ssa hii peke yake inafanya w’ke wakate tamaa.

  • @NuruKasim-nz1fc
    @NuruKasim-nz1fc 7 месяцев назад +1

    Mimi hurauka Sasa kumi na nusu Nika mwacha mume wangu akiwa kitandani na nikirurudi kutoka soko hata hawezi niambie au kunipokea na ninapofua nguo zake huniuliza watafuta Pepo au thawabu Sasa Mimi hushangaa kwanini mume wangu huniambia hivyo

  • @ashrafyyousuf6821
    @ashrafyyousuf6821 Год назад +6

    Allahu Akbar,wakumbushe ya sheikh😭😭😭

  • @Sakasha-c8s
    @Sakasha-c8s 3 месяца назад +2

    Wajaalie wanaume wenye wake wajuwe wajibu wao

  • @MauwaSama
    @MauwaSama 11 месяцев назад

    Mashaallah❤

  • @tausikhitentya3357
    @tausikhitentya3357 Год назад +9

    Walhamdulillah! Shekhe Othmani Allah akulipe kwa kutukumbusha. Pia Allah SW atujaalie imaan, inshallah. Maana kwa dunia ya leo, mitihani na hali ngumu za maisha zinatupeleka mahala sipo.

    • @abdallahmahmoudy3528
      @abdallahmahmoudy3528 Год назад

      Khs wakti kuwa na mitihan ktk maisha"Sisi ndo wassbabishaji baada ya kuacha majukumu yetu na kuwatwisha wanawake lkn kubwa zaidi ucha Mungu dhaifu vipi Allaah ataturidhia?

    • @allanmbilinyi4826
      @allanmbilinyi4826 10 месяцев назад

      MWANAMKE ANATAKIWA KUONGOZWA SIO KUIONGOZA NI AMRI YA MWENYE ZI MUNGU.AKIPATA NAFASI YA KUIONGOZA LAZIMA KUWE NA MATATIZO KWA SABABU SIO HITAJI LA MWENYE ZI MUNGU.

  • @mohammedibimkubwa4947
    @mohammedibimkubwa4947 Год назад +10

    Mm ningeomba pia mufanye jitihada yakuelimisha hao wanaume, maana mwanamke hujitahidi ila mda mwingine wanaume ni wauwaji wa mapenzi ya ndoa zao.

  • @Veronicahcharles61comAsia
    @Veronicahcharles61comAsia 23 дня назад +1

    Maajabu hawataki kujua umepataje wapi yaani ata harambee,kuzini umezini ili umlishe subhanalla hao ndio wapo kwa sasa

  • @mariamndarwemeye1761
    @mariamndarwemeye1761 10 месяцев назад +2

    Kwa kweli, Allah awape subra wanawake wote dunian

  • @RossaMengo
    @RossaMengo 7 месяцев назад +1

    Kwahivyo wanawake wakomavu wazini wasiolewe..wadogo ndio wanafaa kuolewa

  • @MupakatongaChimera-f2v
    @MupakatongaChimera-f2v Год назад +1

    Wengine wanaowa tu bila ndoa napia mwanamke ndo anayejitafutia mahitaji huyu nae nmume aina gani je anahitaji kuheshimiwa

  • @Veronicahcharles61comAsia
    @Veronicahcharles61comAsia 23 дня назад +1

    😂😂😂 sheikh kwangu unanijenga wow Allah akupe ufunuo wa nyoyo za wazee wetu wa sasa,😢😢lau wakaulizwa wataka wakae ndani mke akamtafutie yeye...

  • @ashrafyyousuf6821
    @ashrafyyousuf6821 10 месяцев назад +1

    Wana ume wote wange fata hivi, wallahi nsizani wange kuwepo wana waku dai talaka... Pale hambapo kiongozi kinapo geuka mashariti ndio inapo ingia shida... 😢

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Год назад +7

    Sisi ambao wake zetu hawafanyi kazi tunastarehe jaman

    • @aminanahimana8759
      @aminanahimana8759 Год назад +1

      Hhhh Kabsaa Ma sha Allah Allah awazidishie kheri na wanandoa ote

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Год назад

      @@aminanahimana8759 Aamin... Mana hawa wanaofanya kazi wanaodai wakiwezeshwa wanaweza lazma mume ajiandae na wali wa rice cooker

    • @khadijamgambo6874
      @khadijamgambo6874 Год назад

      Wali wa rice cooker ni haki yako kumpkia mkeo... Hakuamrishwa mwanamke kupka wala kufua wala kuosha vyombo...

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Год назад

      @@khadijamgambo6874 na kufanya kazi je kaamrishwa? rudi tena chuoni.... Ww unafikir mtume alikua anapikiwa na nani......

  • @shamsaabdulkhadilly8106
    @shamsaabdulkhadilly8106 Год назад +1

    Wanaume wasasa waowanajua kufuja wakezao nakuwageuza kuwa sehemu ya uwanja wamazoezi

  • @mwajumaanthony5470
    @mwajumaanthony5470 Год назад +2

    Naombeni ushauri

  • @djafarsangara9465
    @djafarsangara9465 Год назад +2

    wanawake wa iyi carne walisha badilika sana kama wana jikamata kama wao ndiyo wa responsable wa wanaume , shukrani kwa ukumbusho sheikh

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 9 месяцев назад

    Hata wanawake wa sasa ni balaaaaaa hawaelekezeki

  • @ziadamsongo2302
    @ziadamsongo2302 Год назад +2

    hizo zilikuwa enz za mitume nakama wapo basi niwewe shekhe ila hawa waume tulonao mtoto utabebelea mgongoni na kichwani beseni la mboga unapita mtaani mbogambogaaa ukirudi jiko limenuna upike vitoto vile nae akirudi ale na kuoga alale anasema hela hana

    • @sihabahusseinmdee1102
      @sihabahusseinmdee1102 Год назад

      ndio maana tukaambiwa tuchaguane kwa usahihi, mwanaume anaejua dini hawezi kumfanya mkewe kijakazi wake na mwanamke mwenye dini hawezi mkasirisha mume wake pia hivyo tuoane wenye dini

  • @AshaSaleh-qu8rk
    @AshaSaleh-qu8rk Год назад +3

    Mungu awaaongoze waume zetu watambue majukumu yao ili waturahisishie majukumu yetu

    • @mohamedjuma7206
      @mohamedjuma7206 10 месяцев назад

      Hili Sasa ndio neno.Sio wale wanaocomain Eti wanaume wa siku hizi.Mungu atuongoze wanaume tusitelekeze majukumu yetu

  • @MaisalaKatele-w3r
    @MaisalaKatele-w3r 8 месяцев назад +1

    Allah😮akupe umri mrefu shekhe nakuoenda kwa ajili ya allah

  • @HafsaBakari-p2w
    @HafsaBakari-p2w 6 месяцев назад +1

    Namuomba M/mungu amuongoze mume wangu

  • @richbird.123
    @richbird.123 Год назад +8

    Natamani mume wangu apitie hapa wallahy

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 Год назад +1

      Pole sana Habibty! Zidisha Dua Allah amguse moyo wake ili akumbuke wajibu wake kama mume.

    • @enterenter7798
      @enterenter7798 7 месяцев назад

      😂

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 Год назад +4

    MASHAALLAH ❤❤❤shukurani Sana ❤️ ❤️

  • @HawaAdam-t2l
    @HawaAdam-t2l 7 месяцев назад +1

    Mungu,akuzidishie Kila la heri.,ul

  • @AzizaAhmed-x1e
    @AzizaAhmed-x1e 2 месяца назад +1

    🎉😊😊😊😊😊😊❤❤❤❤❤

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад +4

    Mashalla Allah ❤❤❤

  • @subyshaban
    @subyshaban 3 дня назад

    Sijui hata nalia nini mimi🥺🥺🥺😭😭😭😭😭😭😭😭😭, Ila namuomba tu ALLAH s.w, Rabb Inni Lima'anzalta Ilaiyha min khaiyrin fakhir🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤍🤍🤍

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад +14

    Ssa mke kw km punda kwa mizigo anayobebeshwa. Yy na mume wote wanachokq Tena yy anachoka zaidi mana pengine anabeba majukumu na huku anabeba na mizigo ya ujauzito/tumbo akitua. W’ke jamani ni dhaifu si punda wenu km abebe mtto miezi tisa atue, abbe mwengine na mwengine, afanye kazi, akuhudumikie ww! Ndio mana hua mkali km moto, anachoka ati? Ww ukirudi kazini umechoka na miguvu yako yote hio, unataka mtu wakukukqndq na kukuliwaza na yy akirudi kazini kachokq. Ndio inqpofika usiku mnajitupa tu km mijoka upepo tu unakutokeni.

  • @chikusellah5671
    @chikusellah5671 Год назад +1

    Dini ni ile ile nmwamke n mwaume niyuleyule mpaka siku ya kiyama hivyo tubadilike

  • @MwamvuaSowa
    @MwamvuaSowa Год назад

    Alhamdlilah

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Год назад +18

    siyo wa sasa hivi wamekuwa wanaume suruali ila hawapendi kutafuta wanazurura kwenda kucheza bao au vijiweni anangoja mkewe akimbizane na biashara alete chochote mke anatoka yeye anabaki amelala kitandani na ndiyo maana wanawake nao wamewabadilikia akatafute chochote bora alete chakula hajui km mwanamke kafanya ukahaba akalete chakula haya yote chanzo ni wanaume na mwanamke akishajua njia za hella tuu ataaanza kumdharau mwanaume yaani akishanogewa nje sahau ndo imetoka hivyo hatakuheshimu tena mjue hilo tabia mbaya zote wananzofanya wanawake wengi wa sasa zimesababishwa na wanaume kutokujishughulisha na kazi yoyote

    • @mirajiissa4603
      @mirajiissa4603 Год назад +2

      Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?

    • @abdallahmahmoudy3528
      @abdallahmahmoudy3528 Год назад

      Swadakta, umesema Kweli, Allaah lkariim akuhufadhi, wengi ktk wanaume wapo hivyo,basi jutahidini msimuasi Allaah kwa ajili ya kutulilisha pia kutuvisha, Allaah akulipeni kheir na akusameheni madhambi yenu...

    • @caswaralbadry8481
      @caswaralbadry8481 Год назад +1

      Hatari hii kwa kweli nalo jibu

    • @aishasaidi1182
      @aishasaidi1182 Год назад

      Jee shekhe kama mwamke yukonanyumba yakeharafu piayukonakaziake mumeakafunga ndoanayule mwanamke mwenyenyumba harafu matumizimengi anatoa mwanamke kulikohatayule mume aidha ukutemume hanakitu kabisa hapo nidhambi sidhambi

    • @issaathumani7610
      @issaathumani7610 Год назад

      @@aishasaidi1182 siyo dhambi bali mke atoe kwa ikhlasw na asimseme kwa alichotoa mume wake amsubirie mume wake juu ya hali yake na amstiri kwa kila hali maisha ya ushirikiano ktk ndoa na kumcha Allah Mtukufu ndio yataleta furaha na mafanikio wengi walikuwa kama nyinyi na leo wapo ktk mafanikio makubwa sababu ya subra juu ya waume zao ambao hawakuwa na kitu

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 Год назад +1

    Wanaume wa sasa hv sasa anakwambia nataka mwanamke mpambanaji yaan ukiwa mkaa nyumban wanasema we sio wife material 😅na ndio maana asa hv tunafanya hadi kaz ngumu wanawake na ndio maana hamu ya ndoa inapotea ukirid hoi😅😅

  • @MuhidinKombo
    @MuhidinKombo Год назад

    Ukisema ivo utakuwa huko sahihi hiduniya mwanaume anojali familiya yake kwa ukarimu huyu ndo mwanaume halafu kila mtu na mapungufuyake

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Год назад +6

    Mashallah tabaraqah ❤

  • @KuruthumOmmary
    @KuruthumOmmary 9 месяцев назад

    Wanaume wengine anataka wewe mwanmke umlishe na kazi anafanya lakini pesa yake hawisikii hata mlio wake ni wanyonyaji hatari hasa wanaume baadhi wakiislam

  • @mohammedibimkubwa4947
    @mohammedibimkubwa4947 Год назад +1

    Shekhe samahani, naomba kuuliza jee hao wanaume wale wamebeba kweli hayo majukumu yao?

  • @BiubwaMohammed-wn4jz
    @BiubwaMohammed-wn4jz Год назад

    Boranistaghfiru 2

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 4 месяца назад

    Subhanallah
    Jazakumullah kheirun

  • @AzizaAhmed-x1e
    @AzizaAhmed-x1e 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @aminasaid9382
    @aminasaid9382 Год назад +2

    Maashaallah Tabarakaallah sheikh Allah atuhifadh sote lakini samahani km nitakuwa nimekwaza mtu sauti yako ina panda na kushuka maneno mengine hayasikiki vizuri .tafadhali sauti iwe vizuri sheikh Shukran kwa Mawaidha mazuri

    • @zania1295
      @zania1295 Год назад +1

      Shukran sheikh.

    • @YusuphShaaban
      @YusuphShaaban 8 месяцев назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Год назад

    Kila siku mi nasema mke si mfanyakazi leo wanaume wanaoa wafanyakazi na sio wake zao mume anataka umpikie umfulie umsafishie nyimba na ukisema usifanye hayo bac ni kosa huna sifa ya kuwa mke unaone si mke kabisa na haya yote ni Africa tu lkn nchi zingine zote huwezi kuona mke ni mtumwa km Africa hasa Tanzania mtihani huu tena sasa hivi ndio kabisa mambo yamebadilika kila siku waume wengi hawataki kazi wanataka fanyiwa kila kitu na wake zao na pesa wewe mke ndio uwape

  • @AlmasihKiandiko
    @AlmasihKiandiko 4 месяца назад

    Okay

  • @HalimaKatotoally200-bw6xj
    @HalimaKatotoally200-bw6xj Год назад

    🙏🙏

  • @ndayisengaMelanie
    @ndayisengaMelanie 9 месяцев назад

    Huyajuwi chekh werogota tu ugewambiya wakezako

  • @MwangazaBakari
    @MwangazaBakari Год назад +1

    Jazakkallahu lheir.

  • @RamadhaniMteganda
    @RamadhaniMteganda 27 дней назад

    Kaswida

  • @SelemanMilungu
    @SelemanMilungu 7 месяцев назад

    Wake zetu ivisasa awajitambui kwenye mari

  • @zulekhajama2894
    @zulekhajama2894 Год назад

    Hao wanaume wenye majukumu wakwapi?

  • @SaadaShauri
    @SaadaShauri Год назад

    Wanaume wasasa hawana uwadilifu wanakwaza akili tu zawenziwao

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 Год назад +3

    Aisee kumbe wagumba hatuna ruhusa kuolewa subhan Allah! Na wajane pia marufuku sawa sheikh ahsantee!

    • @narknark4249
      @narknark4249 Год назад

      Mungu atakupa, hakuna lisilowezekana mbele ya Mungu... Kila la heri mummy

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 Год назад

      Utapata,mi mwenyewe natamani nipate mke asiezaa iwe tunacheza cheza kila wkt

    • @elbattawy2864
      @elbattawy2864 Год назад

      Hujafahamu sister., Alitoa mfano Mtume S.A.W alioa wajane, fuatilia vizuri mawaidha yeye aligusia kwa vijana ambao wanataka kuingia sasa katika ndoa.

  • @MohammedFakihi-k6j
    @MohammedFakihi-k6j Год назад

    Amina allah atujalie tuwe miongoni mwawaja ambao hatuwanyanyac wake zetu

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 7 месяцев назад

    Maa shaa Allah ❤❤❤❤❤

  • @AishaMahadhi-n2m
    @AishaMahadhi-n2m Год назад

    😊

  • @safianamani1375
    @safianamani1375 Год назад

    Siyo duniya ya lewo..... Makatili hawaogobe Mola

  • @wyckliffeamaasa5739
    @wyckliffeamaasa5739 Год назад

    TabbarkkAllah! Mafundisho mazuri Sana ila kwenye kizazi hiki hupati hata mmoja,maana hao wake wamegeuka vibaka tu,waenda mbio kumbe nyuma yako Kuna mwingine aandaliwa meza.

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 Год назад

      Mwanamke akishapenda kapenda ila akupende na usimjali na madharau pengine na watu wa mume wa karibu wanyanyase heeee siku akiota mabawa si rahisi kumrudisha

  • @daud405
    @daud405 Год назад

    tamaa za wanawake ni shida. tena imani ya magharibi ya kugawana mali nusu kwa nusu imeleta shida.hamna haja ya kuharibu hela kwa ajili ya Katiba. Katiba kipo tayar '' Quran ''. lakin washenzi america na washirika wamechafua dunia

    • @kassimmanaramalika8592
      @kassimmanaramalika8592 Год назад

      Kwanini ! unazavyodhani wanaume wamekamilika hapana na wao pia wapo wanaume ukouko nnchi za kimagharibi wanaolelewa kama wao ndio wanawake hawataki kufanya lolote😮 unalijuwa? ILO! basi usitia mabaya yote kwenye kapu moja

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +2

      Ttzo nyie w’me. W’me wengi siku hzi wavivu na hawataki kusoma. Wao wakishaambiwa na masheikh oeni mpaka wanne wanaoa hata km hawana uezo nao. Ww unategemea maisha ya ssa ukusanye wake bila ya uwezo na wtto wanahitaji kusoma, matibabu na mambo mengine na m’ke anamahitaji ni m’ke gani atakayevumilia ujinga wako??? Oa kwa mujibu wa uwezo wako ili utimize majukumu yako na mkeo apate utulivu nyumbani akulee ww na watto wako. Ww pesa ikibaki baada ya kuekq akiba unakimbilia kuoa bila ya kufikiria km unajizidishia mizigo.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +2

      Isitoshe wanaume wengi siku hzi wanatafuta wake wenye kazi zao wawakusanye mpaka wanne halafu wao wawe kazi Yao kupita wakilala tu. Ati wanasema w’ke haja zao ni kustiriwa tu?

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +1

      Ww umeyaona ya kugawana tu? Mbona hamusemi ya mke kumlazimisha kufanya kazi akabeba majukumu ya ndani yote na ww ukajifanya unajenga baadae ukamgeukq na nyumba ikawa kwa jina lako??? W’me wengi mnaishi mnawafanyia udhalimu w’ke ni matapeli, mnapenda bure na kusaidiwa na mkishafika malengo mnayoyataka mnaacha wake na kutafuta wengine. Hamuishi kwa kufuata uisilam lkn wkt wa kuachana ndio mnaukumbuka uisilam.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +3

      @@kassimmanaramalika8592. Hao wanaume wavivu hawapo magharibi tu hata hapo Tnz wamejazana tele. Nikukusanya wake tu na kila mke anajitegemea/anakazi yake. Yy kazi yake huona kupita akilala tu. Ukiwauliza wanakwambia w’ke wapo wengi tuwahifadhi. Mana wanavyoona wao au wanavyofundishwa na masheikh ubwabwa kua mke wajibu wake kwake ni tendo la ndoa tu na huduma wala kumlinda na kumtunza.

  • @Malaikakisseto
    @Malaikakisseto Год назад

    Sasa utajuaje kama atazaaa au laaa! Maana wanawake wengine wagumba

  • @سيوابورندي
    @سيوابورندي 7 месяцев назад

    Sio kwa sasa

  • @ziyadaahmed4168
    @ziyadaahmed4168 Год назад

    Nimeipenda Dalsa ila apo kwenye kuowa bikra kwa Dunia hii Hakuna , alafu hapo kwenye mwanamke mgumba kama ni bint hajaolewa utamjuaje kama ni mgumba?

    • @elbattawy2864
      @elbattawy2864 Год назад

      Muoe sheikh kama hazai uislamu umekuruhusu kuongeza mke hadi 4, lakini haimaanishi umdharau na kumdhalilisha uyo ambae hazai, kumbuka kwamba Allah ndio hujaalia kizazi kwa mwadamu

  • @AbubakariKifojo-nk7ek
    @AbubakariKifojo-nk7ek Год назад

    Ahsant kwa darasa shekh

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Jqzakalah kher ya sheikh

  • @daud405
    @daud405 Год назад

    Allahu Akbar, wanawake Mungu aliwapendelea sana yaani kumtii tu mume anapata pepo... kwa kweli wanawake walio wengi hawataona pepo. wanawake wana usheutena mkubwa sana sababu ya tamaa.

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 Год назад

      Nyie ndio walim wetu kwasababu yani ushenzi wenu leo hii mwanamke ndio anasimamia nyumba kwa kila kitu km wanawake ni mashetani umezaaliwa na mwanamke pia hujasalimika pia unaushetani ndani yako dear teni uliokomaa maana nyoka huzaa nyoka

  • @SharifShaurifhaji
    @SharifShaurifhaji Год назад

    Sio wote

  • @NasraAmosi-or6sx
    @NasraAmosi-or6sx Год назад

    Ni kweli

  • @MwangazaBakari
    @MwangazaBakari Год назад

    Jazakkallahu lheir

  • @AshfainaPaul
    @AshfainaPaul Год назад

    ❤❤❤

  • @muslimmuslim512
    @muslimmuslim512 Год назад

    Masha Allah

  • @mwajumaanthony5470
    @mwajumaanthony5470 Год назад +1

    Jamani haya yote naona yanani husu Mimi hivi toka juzi nadai talaka yangu hataki kunipa.. maana kila kitu najijali mwenyewe yy mwisho wake akisha toa hela ya shule na ya chakula basi yaani Hana mawazo ya maendeleo hata kidogo mpka sasa tuna miaka 16 kwenye ndoa hatuna hata kiwanja kinacho niumiza yeye hata hajali ndio maana mm nadai taraka yangu na hataki kutoa sijui nimfanyeje mwenzenu

    • @elbattawy2864
      @elbattawy2864 Год назад +1

      Kwanini udai talaka? talaka ni kitu chengine mfahamishe mumeo na usijaribu kumlazimisha majukumu ambayo yako nje ya uwezo wake ni kharam pia mwanamke kudai mambo ambayo anajuwa dhati mumewe hana uwezo., jitafakari

    • @omarissamashaallahpresiden2920
      @omarissamashaallahpresiden2920 Год назад

      Miaka 16 ishi na mumeo huyo ni wako mumestahamiliana mpaka kufikia kuwa na watoto wakubwa Alhamdullillah zidisha upendo utamuona anabadilika nampe nasaha mume wangu watoto wetu washakuwa tuwatafutie kiwanja (kama hukupata kwa mume watoto watakutaftia kwa uwezo wa Allah

    • @AyshaHamis-qw3gi
      @AyshaHamis-qw3gi 7 месяцев назад

      Kumbe unahudumiwa chakula watt shule shukuru dadang kuna watu hata kula awahudumiwi wanahudumia wanawak wenyew kwahy tulia kidgo hyo wak anajitambua mamb na kiwanj pengn hana uwez akiwa na uwez sidhan kam yy ataki kuwa na nyumba yakwake binafsi