Shukran shehk kwa nasaha hii nzuri ya kutupambanuwa mawazo na kutufanya kuitumia imani kama ngao yakutukubusha tuitunze furaha na amani kwa wenza wetu barikiwa
The presence consciousness among Muslims is one of the best achievements of Islam & the world today. There is, as it turns out, an urgent need for the propagation of this Islamic virtue. May Allah grant you every blessing Sheikh Othman Maalim.👊
NOT ALL THE WOMEN OF NOW! THEY ARE MANY WOMEN ARE FAITHFUL N HONEST N LOYAL. SIO KILA MWANAMKE WA LEO NDIO MUHUNI SIO KWELI WENGI WAO WAAMINIFU WAKO NA WANAJISTIRI NAFSI ZAO WALA HAWAKURUKA ROHO NA PESA AU VITU WAMEQINAI ROHO NA MYONYO ZAO PIA. DONT TALK BACK ABOUT ALL THE WOMEN OF NOW. WAKO WEMA WAAMINIFU NA WAKO NDIO TTAMAA HATA HAPO ZAMANI WAKUWEPO WAMINIFU NA WAKO SIO WAAMINIFU SAME KAMA WANAUME PIA WAPO WAAMINIFU NA WAPO SIO WAAMINFU PIA. ZAMANI NA SASA PIA. MAKHLUKU LLAH ALL!
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu Alhamdhulillah ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤️ Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akujalie umri mrefu wenye twaa uzidi kutuelimisha Allaah asituharamishie kwako yaa rabb 🤲❤️
@@gomesamakota3294 Nakuombea kwa Allaah Azza wa jaala Akujalie mke mwema kakangu Na wote ambao wanatafuta wake wema na wote ambao wanatafuta wanaume wema Rabbana Thaqabal Duaa🤲
@@zuhoor-mc7hq shukran mumy nakupenda pia M/mngu atakujaalia kuna nguvu sana kwenye kumuomba M/MUNGU omba subir SUBRAH pia uwe nayo maana watakuja wengi Alhamdullilah nmeiyona nguvu hy na nmepata mumewangu Alhamdullilah
Waaoow kwelimimi kama mimi bila unafiki huwa sipendi kumwona mme wangu akiwa hana furaha juu ya kitu ambacho ninauwezo nacho mfano ndio wanaume waliumbiwa tamaa na haiwezekani kuyabadili mawazo hayo ila sio wote kuna wale baadhi yao hujizuia na kushindana na tamaa hizo ila namba kubwa nikama hizo tamaa waliumbiwa na hapo ndipo nikasema mwanaume hawezi teseka kwa kuwa anamtamani mwanamke mwingine nichukie ndio ningumu kukubali ila ukiukumbuka msaada wa MWENYEZI MUNGU KUWA BILA YEYE HAKUNA LINALO KUSHINDIKANA bora tuu kuukunjuwa moyo na kukubaliana na matokeo na sikuyakataa juu mwanaume akiamia kutembea na dunia yote utadanya nini nahaziiliki utapigana na wangapi bora tuu kumruhusu awaoe watakao mfurahisha bora tuu mimi nisiwaze uninga ingawa wivu upo ila siwexi upa nafasi upitilize igombane na kila ajae ajee tuu ila mbuzi ale urefu wakamba yake nahio ndio kauli yangu
Lkn wao ndio viongozi wakua furaha za wake zao ila wanawake tunajitahidi kufanya kila kitu kuwafanya wawe na furaha mdogo wangu anataman kufa sasa hivi kwaajili ya ndoa mumewe kamakura hana kitu zaidi ya chumba kimoja na kitanda leo wana nyuma na magari 3 yamepaki lkn ananiambia dada raha na hivi vyote sina nataman kufa mwanaume anamdharau waziwazi amazumza na wanawake mbele yake tena anamwambia usitegemee mimi kutulia kabisa si unamuona baba yangu anaoa kila siku na mimi siwezi kutulia kabisa bora aoe ujue kaoa lkn yh ni micjepuko tu mwishoa namwambia hakuna kufa km mapenzi ya kwisha dai talaka Allah ameiruhusu talaka kwa wana ndoa yani niliongea nae mpaka sasa katulia anasubiri mambo yakae sawa adai talaka yake maana anamwambia hasa kwamba ukiondoka utakuwa chizi unaondoka unaacha nyumba nzuri hii na magari kwa hiyo wanaume baadhi yao wanaona km mali ni kila kitu na huwezi muacha kwa sababu ya mali wakati mali ni amar tu zikupita mtu kamkuta hata kazi ya maana hana ni kibalua wa kufyatua matufali kwenye sait leo ni maneja wa hardware kubwa tu hakuyapata yoye hayo kabla hajao
@@pikanaauntzuu1466 Dadangu Mamie kuwa amnyamazie na asimwonyeshe dharao ila akubliane matokeo ila awe mtu waibadani na mwenye upendo kwa kila mtu na asishindane nae na asimbembeleze awe kama jinga kubwa lisilo ona na asimfanyie dharao kwani dharao hazita saidia kitu yeye amfanyie yote ya mke na mama watoto na kama ni ugonjwa wo wote waaina ye yote amwombe ALLAH amusuru maana yeye yugo pale kuwatetea wanandoa haswa walewatesekao juu ya ndoa na ALLAH huwanusuru na kila baya lote maana hukuutafuta huo ugonjwa ila yeye , kwani niwangapi unasikia kuwa mke ana ukimwi na anazaa vyema ila mme nimgonjwa ukimwi ilifikiria ALLAH hatazami matendo na uwaminifu ndani ya yanyumba ya walioko kwenye ndoa nikikwambia hivi mimi yashanikuta Kwanzaa ndoa ikiwa changa tuu ila imagine sikipoteza furaha kwa mda mrefu nilikaa nakamati nahalmashauri wakilishi nawatendaji wakichwa changu nikasema si MUNGU anasema tuombe natutapewa, tutafute na tutapata, tubishe na tutafunguliwa nikamwomba MUNGU anipe moyo wangu wakukubaliana na matokeo na vile alivyo mwema akanipa nikamwomba moyo wakumpenda tuu sana nasikumchukia akanipa nikamwomba anizibe masikio nisipende kuwasikiliza watu akanipa nimamwomba anipe moyo wakuridhika akanipa nikamwomba anipe moyo wakusaidia hata kuwatongoza akanipa na mwishowe nikayashinda yote ila furaha yake yeye dadako asikubali ipotee maana atapata maradhi mengi mfano ya moyo, kisukari, vidonda vya tumbo nakadhalika mwambie asibadili cho chote kile aishi tuu kama zamani na kuuchukulia ule semo kuwa kila jogoo baada ya kuyachakura majalala yote lazima alifuate banda lake na hata kama litasahau banda wewe mwombee uzima na amani kila saa mwishowe mbio za sakafuni zitapunguwa kasi na mwisho kuchoka na kutulia na i
Sasaa hii ndio fremmwork kuwenii na subra tuoneveinskwenda pia shidaa nyeginee ni dragzyywanapaga mipagoo mukuwe na subra kwasababu yakuharibu mipagoo oky nilitowa idiaa Sasa wanatakuni control mim wachaniwajuwe wotee niliwaona kabisa
Tengezenii fitnas nzurii yskuzinii na kitegaa uchumii uwazii wakusaidia technology hiyoo ndio shida kubwa kuwavontol na binadamuu shida kubwa wamesoma lakini wanashindwa marifaa Sasa sett this is best to control thisoky
DO U EXCEPT YR WIFE TO HAVE ANOTHER MAN!? IF!? U CANT! ALSO LADIES CANT EXCEPT HER HUSBANDS TO MARRIE ANOTHER WIFE. KWA SABABU NYIE WANAUME HAMNA UKWELI WALA HAMUWEZU KUWAPENDA WOTE WAWILI SAWA SAWA. HAYO MAMBO YA HADITHI ZA ZAMANI HUJUWI ZIMETUNGWA NA WANAUME ONLY ILI WAPATE KUOWA WAKE WENGI KWA UCHU WAO TUU BAAS HAWAWEZI WAKE WAWILI!? JE!? WATAWEZA WAKE WENGI WA NNE!?? U CANT LOVE THEM THE SAME AS U TALK ONLY U SHOW U LIKE TO TALK MAMBO YA MAPENZI NA KUOWA TUU SHEKHE WEYE HUNA JENGINE ILLA UCHU NA KUTIA FITNA WANAUME NA WAKE ZAO KUWAOWA WAKE WENGI HUO NI UFITNA MKUBWA TENA UNOUFANYWA. MKE MMOJA HAMUMUWEZI MMO TUU KUJIPA NA KUJIONESHA TUU.😢
Huyu bwana ni mwamba kwa kueleza mashaalah mungu amjaze hadha fadhili rabbi.
Kwanza anahadhir kama atak😅mashaaallh❤hatumii nguvu😊wallhah nakupenda allh akuwek natamn skunikuone😊
Allahu akulinde sana Mwaalim mimi akiwa anaweza kutimiza matumizi siwezi nikakataa sababu najua Dini inakubali
Hilo jambo lina VIGEZO vinne vilotimilika ikiwa mume hana walau kimoja bsi yy si miongoni anoruhusiwa kuwa na mke hata mmoja au kuoa kabisa🙌🤝
MashaAllah shekh Othman Allah akupe umri mrefu wenye manufaa
Shukran shehk kwa nasaha hii nzuri ya kutupambanuwa mawazo na kutufanya kuitumia imani kama ngao yakutukubusha tuitunze furaha na amani kwa wenza wetu barikiwa
Maa Shaa Allah
Allah SW àkupe umri mrefu tuzidi kufaidika na elmu yako sheikh
The presence consciousness among Muslims is one of the best achievements of Islam & the world today. There is, as it turns out, an urgent need for the propagation of this Islamic virtue. May Allah grant you every blessing Sheikh Othman Maalim.👊
Ameen❤
amiin inshaallah
Alhamdullillah, mashaallah jazakallah kheri.
Asalam alaikum warahmatulah wabarakatu mwalimu Wang Asante kwa husia njema Ana Badawi sarmada min Congo
Mashallah mashallah 🙏
Ma Shaa Allah
Jazakhallah khairan Sheikh watu
Maashallah hakika shekh inapendeza sana
mashaallah allah akupe umri mrefu amiin🙏🙏🙏🙏🙏😊😊
Mashallah mungu akujalie maisha malefu vizazi vyetu uwaelimishe kielimu
Mashallah ostadhi wangu mungu akujaze neema kubwa sana kwa mawaidha yako mazuri♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Na mungu akujalie mwisho mwema
NOT ALL THE WOMEN OF NOW! THEY ARE MANY WOMEN ARE FAITHFUL N HONEST N LOYAL. SIO KILA MWANAMKE WA LEO NDIO MUHUNI SIO KWELI WENGI WAO WAAMINIFU WAKO NA WANAJISTIRI NAFSI ZAO WALA HAWAKURUKA ROHO NA PESA AU VITU WAMEQINAI ROHO NA MYONYO ZAO PIA. DONT TALK BACK ABOUT ALL THE WOMEN OF NOW. WAKO WEMA WAAMINIFU NA WAKO NDIO TTAMAA HATA HAPO ZAMANI WAKUWEPO WAMINIFU NA WAKO SIO WAAMINIFU SAME KAMA WANAUME PIA WAPO WAAMINIFU NA WAPO SIO WAAMINFU PIA. ZAMANI NA SASA PIA. MAKHLUKU LLAH ALL!
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
Alhamdhulillah
ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤️
Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akujalie umri mrefu wenye twaa uzidi kutuelimisha
Allaah asituharamishie kwako yaa rabb 🤲❤️
Asalam alayka warahmatullah wabarakatu na shida nisaidien namba ya shekhe othuman ninamtihan takriban miaka2 nisaidien mwenye kua nazo
Wallah
Aaaamin
Je umeolewa dada mm naitaji mke
@@gomesamakota3294
Nakuombea kwa Allaah Azza wa jaala Akujalie mke mwema kakangu
Na wote ambao wanatafuta wake wema na wote ambao wanatafuta wanaume wema
Rabbana Thaqabal Duaa🤲
MASHA LLAH... wajazakam llahu khaira 🙏 shekh wangu Othman jamaani napenda Sana mawaidh Yako ...Niombee shekh wangu mola anijalie mume mwema nakuomb Sana shekh wangu....Yaa الله nakuomb ukiniruzuku mume mwema naomba Yaa الله nijaalie NAMI nije kuwa zawjaatii swaliyhina AMIIN 🤲 THUUMA AMIIN 🤲 YAA WADUDU 🤲 mola akupe umri mrefu katika kulingania dini ya Allah AMIIN 🤲
Ameen Yarab ALLAH (s.w) KAREEM atakuwa haja ya moyo wako Ameen
@@hanifaally4694 shukran Sana UKHTY Hanifa niombee Sana dada yangu katika imaan.... mtume anasem ukimuombea mwenzako nawe malaika watakuombea....mola akubariki sister ahsante... 🌹🌹Nimekupenda Bure wallah ❤️❤️
Kheri In Shaa Allah waume tupo Alhamdulillah ww mwenyewe 2
@@zuhoor-mc7hq shukran mumy nakupenda pia M/mngu atakujaalia kuna nguvu sana kwenye kumuomba M/MUNGU omba subir SUBRAH pia uwe nayo maana watakuja wengi Alhamdullilah nmeiyona nguvu hy na nmepata mumewangu Alhamdullilah
@@hanifaally4694 ❤
huyu shehe amejaliwa na mola kwa dini napenda tu sana I always listen to him.
Baraka allahu ladhwim shk OTHMAN ALLAH akuhifidhi ndugu yangu.
Barakallahu fiyk yaa Shaikh Uthuman ❤❤❤
Mungu akupe umri mrefu
Mash Allah Jazaqah Lau Kheor
Alhamdulillah Allah akuzidishie ilmu uzidi kutuilimisha
😂😂😂😂kwel professor wakutoa talaka had jiran😂 alhamdulillah shukran kwa somo zuri shekh wetu Mungu azidi kukuweka❤❤
Amiin
mashaaalwah shekhe othman maalim mungu akuongezee kheri zaidi na maisha marefu
Mashallah
Mashallah ❤️ wajazakam llahu Khaira🙏
Je dada umeolewa?
Maa shaa Allah! Allah Atujaalie wanawake wote kuwa mfano wa Mama yetu Sarah
Allahumma Amiina Allahakuhidhi shekhe.
Njoo nikuoe uwe mke wangu nikutuze na kukulea uzae watoto inshahhall
Subuhanallh yarabi tujaalie wanawake wote tuwe na moyo kama wa bibi sara tusiwe na tamaa za kiibilisi
Mashaallah
Waaoow kwelimimi kama mimi bila unafiki huwa sipendi kumwona mme wangu akiwa hana furaha juu ya kitu ambacho ninauwezo nacho mfano ndio wanaume waliumbiwa tamaa na haiwezekani kuyabadili mawazo hayo ila sio wote kuna wale baadhi yao hujizuia na kushindana na tamaa hizo ila namba kubwa nikama hizo tamaa waliumbiwa na hapo ndipo nikasema mwanaume hawezi teseka kwa kuwa anamtamani mwanamke mwingine nichukie ndio ningumu kukubali ila ukiukumbuka msaada wa MWENYEZI MUNGU KUWA BILA YEYE HAKUNA LINALO KUSHINDIKANA bora tuu kuukunjuwa moyo na kukubaliana na matokeo na sikuyakataa juu mwanaume akiamia kutembea na dunia yote utadanya nini nahaziiliki utapigana na wangapi bora tuu kumruhusu awaoe watakao mfurahisha bora tuu mimi nisiwaze uninga ingawa wivu upo ila siwexi upa nafasi upitilize igombane na kila ajae ajee tuu ila mbuzi ale urefu wakamba yake nahio ndio kauli yangu
Lkn wao ndio viongozi wakua furaha za wake zao ila wanawake tunajitahidi kufanya kila kitu kuwafanya wawe na furaha mdogo wangu anataman kufa sasa hivi kwaajili ya ndoa mumewe kamakura hana kitu zaidi ya chumba kimoja na kitanda leo wana nyuma na magari 3 yamepaki lkn ananiambia dada raha na hivi vyote sina nataman kufa mwanaume anamdharau waziwazi amazumza na wanawake mbele yake tena anamwambia usitegemee mimi kutulia kabisa si unamuona baba yangu anaoa kila siku na mimi siwezi kutulia kabisa bora aoe ujue kaoa lkn yh ni micjepuko tu mwishoa namwambia hakuna kufa km mapenzi ya kwisha dai talaka Allah ameiruhusu talaka kwa wana ndoa yani niliongea nae mpaka sasa katulia anasubiri mambo yakae sawa adai talaka yake maana anamwambia hasa kwamba ukiondoka utakuwa chizi unaondoka unaacha nyumba nzuri hii na magari kwa hiyo wanaume baadhi yao wanaona km mali ni kila kitu na huwezi muacha kwa sababu ya mali wakati mali ni amar tu zikupita mtu kamkuta hata kazi ya maana hana ni kibalua wa kufyatua matufali kwenye sait leo ni maneja wa hardware kubwa tu hakuyapata yoye hayo kabla hajao
@@pikanaauntzuu1466
Dadangu Mamie kuwa amnyamazie na asimwonyeshe dharao ila akubliane matokeo ila awe mtu waibadani na mwenye upendo kwa kila mtu na asishindane nae na asimbembeleze awe kama jinga kubwa lisilo ona na asimfanyie dharao kwani dharao hazita saidia kitu yeye amfanyie yote ya mke na mama watoto na kama ni ugonjwa wo wote waaina ye yote amwombe ALLAH amusuru maana yeye yugo pale kuwatetea wanandoa haswa walewatesekao juu ya ndoa na ALLAH huwanusuru na kila baya lote maana hukuutafuta huo ugonjwa ila yeye , kwani niwangapi unasikia kuwa mke ana ukimwi na anazaa vyema ila mme nimgonjwa ukimwi ilifikiria ALLAH hatazami matendo na uwaminifu ndani ya yanyumba ya walioko kwenye ndoa nikikwambia hivi mimi yashanikuta Kwanzaa ndoa ikiwa changa tuu ila imagine sikipoteza furaha kwa mda mrefu nilikaa nakamati nahalmashauri wakilishi nawatendaji wakichwa changu nikasema si MUNGU anasema tuombe natutapewa, tutafute na tutapata, tubishe na tutafunguliwa nikamwomba MUNGU anipe moyo wangu wakukubaliana na matokeo na vile alivyo mwema akanipa nikamwomba moyo wakumpenda tuu sana nasikumchukia akanipa nikamwomba anizibe masikio nisipende kuwasikiliza watu akanipa nimamwomba anipe moyo wakuridhika akanipa nikamwomba anipe moyo wakusaidia hata kuwatongoza akanipa na mwishowe nikayashinda yote ila furaha yake yeye dadako asikubali ipotee maana atapata maradhi mengi mfano ya moyo, kisukari, vidonda vya tumbo nakadhalika mwambie asibadili cho chote kile aishi tuu kama zamani na kuuchukulia ule semo kuwa kila jogoo baada ya kuyachakura majalala yote lazima alifuate banda lake na hata kama litasahau banda wewe mwombee uzima na amani kila saa mwishowe mbio za sakafuni zitapunguwa kasi na mwisho kuchoka na kutulia
na
i
shehe mashaallah tunakupenda sana
MASHAALLAH ALLAH KARIM akuzidishie umri mrefu. Sheikh wetuuu.
Yaa Rabb tujaalie kujitoa mhanga kwa ajili Yako!!!
Mashallah ❤
Mashallah Sheikh jazakallahu Kheri Frm Kenya
Mashallah Allah akuzidishie ilmu uzidi kutuilimisha
Allahu Akbar
DUKTUR SHEKH OTHMAN MAALIM..
Haya wanaume mko wapi mnaosema mwanaumebhajaombiwa mwanamke mmoja😂😂😂😂😂😂❤❤
Wanajifanya hawajasikia maana ibada wanayoipenda nikuzagamuana tuuu🙌🙄
Mungu anijaliye moyo kama hiyo Ishaallah
Mashaalah je dada umeolewa?
Hapo kwenye KUONGEZA MKE ni pagumu jamani mnatuonea😂😂😂😂😂😂ila in shaa Allah nitalifikiria ila nikiolewa tu atuoe sote siku moja in shaa allah
Nishallha yako safi
MA SHA ALLAH
Mashallah
Mashaallah mashaallah tabarakallahu.Allah ikhaliki yarab tawilliki umuriki🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Mashallah al sheikh othman maalim..Allah akupe umri mrfu en thanks 4 ur beautiful mawaidhwa❤
Kwaiyo mungu ana mikono shehe
Ndio, mikono miwili
Maashaallah tabaraka rahmani
maashAllah shehe wng Asante sana kwa kumtupa vitu km hv
MA SHAA ALLAH
Kisa kipo aya ipi ya sura ipi?
Alaahumma amin anashukulu kwa mawaidha mazuli ishalaa
YA ALLAH AKUHIFADHI SHEKHE OTHUMAN. MASHALAAH. JAZAKHALHERI❤❤
Ameen
Mashaalah, Jazakalahu khair
Sasaa hii ndio fremmwork kuwenii na subra tuoneveinskwenda pia shidaa nyeginee ni dragzyywanapaga mipagoo mukuwe na subra kwasababu yakuharibu mipagoo oky nilitowa idiaa Sasa wanatakuni control mim wachaniwajuwe wotee niliwaona kabisa
Tengezenii fitnas nzurii yskuzinii na kitegaa uchumii uwazii wakusaidia technology hiyoo ndio shida kubwa kuwavontol na binadamuu shida kubwa wamesoma lakini wanashindwa marifaa Sasa sett this is best to control thisoky
Poa
Jazakallahu khayr
Shukran
Ma sha allah
Mashallah
Mashalah
Mashallah
Misteke
A
😂😂kabisa herikuwa blibli
DO U EXCEPT YR WIFE TO HAVE ANOTHER MAN!? IF!? U CANT! ALSO LADIES CANT EXCEPT HER HUSBANDS TO MARRIE ANOTHER WIFE. KWA SABABU NYIE WANAUME HAMNA UKWELI WALA HAMUWEZU KUWAPENDA WOTE WAWILI SAWA SAWA. HAYO MAMBO YA HADITHI ZA ZAMANI HUJUWI ZIMETUNGWA NA WANAUME ONLY ILI WAPATE KUOWA WAKE WENGI KWA UCHU WAO TUU BAAS HAWAWEZI WAKE WAWILI!? JE!? WATAWEZA WAKE WENGI WA NNE!?? U CANT LOVE THEM THE SAME AS U TALK ONLY U SHOW U LIKE TO TALK MAMBO YA MAPENZI NA KUOWA TUU SHEKHE WEYE HUNA JENGINE ILLA UCHU NA KUTIA FITNA WANAUME NA WAKE ZAO KUWAOWA WAKE WENGI HUO NI UFITNA MKUBWA TENA UNOUFANYWA. MKE MMOJA HAMUMUWEZI MMO TUU KUJIPA NA KUJIONESHA TUU.😢
Hujui ulitendalo, ALLAH AKUSAMEHE
Allah akujalie umri mrefu sheikh uzidi kutufunza mengi 🤲🤲
Basi mie mshipa wangu mmoja wa fahamu unkatika sheikh maana sina wivu kwa kweli😂
❤❤❤❤❤
Mashaallah....allah akilipe insha allah
Mashaallah mashaallah mashaallah 🥰 🥰🥰
Allah akupe umrimrefu wenyemanufaa
Yaani wee unawashinda wote ALLAH akubariki
Mashanlaaa mm ndoa ishanishinda namshukuru mungu tu
Inatubidi kumu partage kwa wote
Allah akujaalie mwisho mwema sheikh
SH allah aakuhifadhi pp pl ulipo
Mashaallah
Mashallah shekh wangu
Mashaallah
Maasha Alllahu
Mungu nikubu
Mashallh nimependa mawaidha yakoo mungu akujaliye mwishoo mwema
Mashallah shee wetu
Andika vizuri bc