KISA CHA MFALME MWENYEKUCHUKUA KILA MWANAMKE MZURI //SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Mfalme huyu akichukua kila mwanamke mrembo ,kama anamumume huamrisha mumewake auliwe .

Комментарии • 122

  • @ismailhussein9734
    @ismailhussein9734 Год назад +20

    Huyu bwana ni mwamba kwa kueleza mashaalah mungu amjaze hadha fadhili rabbi.

  • @ZuwenaIssa-k6c
    @ZuwenaIssa-k6c Год назад +6

    Kwanza anahadhir kama atak😅mashaaallh❤hatumii nguvu😊wallhah nakupenda allh akuwek natamn skunikuone😊

  • @sadanahimana7193
    @sadanahimana7193 6 месяцев назад +2

    Allahu akulinde sana Mwaalim mimi akiwa anaweza kutimiza matumizi siwezi nikakataa sababu najua Dini inakubali

    • @Munayya-g2p
      @Munayya-g2p 4 месяца назад

      Hilo jambo lina VIGEZO vinne vilotimilika ikiwa mume hana walau kimoja bsi yy si miongoni anoruhusiwa kuwa na mke hata mmoja au kuoa kabisa🙌🤝

  • @salsashmomy
    @salsashmomy Год назад +7

    MashaAllah shekh Othman Allah akupe umri mrefu wenye manufaa

  • @حمدانالحويطي-م8ك
    @حمدانالحويطي-م8ك Год назад +6

    Shukran shehk kwa nasaha hii nzuri ya kutupambanuwa mawazo na kutufanya kuitumia imani kama ngao yakutukubusha tuitunze furaha na amani kwa wenza wetu barikiwa

  • @MohamedShamte-i4l
    @MohamedShamte-i4l Год назад +1

    Maa Shaa Allah
    Allah SW àkupe umri mrefu tuzidi kufaidika na elmu yako sheikh

  • @jamalabdullahjs2646
    @jamalabdullahjs2646 Год назад +10

    The presence consciousness among Muslims is one of the best achievements of Islam & the world today. There is, as it turns out, an urgent need for the propagation of this Islamic virtue. May Allah grant you every blessing Sheikh Othman Maalim.👊

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Год назад +2

    Alhamdullillah, mashaallah jazakallah kheri.

  • @AishaAisha-gb2dz
    @AishaAisha-gb2dz Год назад +3

    Asalam alaikum warahmatulah wabarakatu mwalimu Wang Asante kwa husia njema Ana Badawi sarmada min Congo

  • @rizikibakari3598
    @rizikibakari3598 Год назад +3

    Mashallah mashallah 🙏

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Год назад +3

    Ma Shaa Allah
    Jazakhallah khairan Sheikh watu

  • @AbdalaMauya
    @AbdalaMauya 2 месяца назад

    Maashallah hakika shekh inapendeza sana

  • @AliyaMasud-uk2ox
    @AliyaMasud-uk2ox 6 месяцев назад

    mashaallah allah akupe umri mrefu amiin🙏🙏🙏🙏🙏😊😊

  • @tatumaulidudulele5467
    @tatumaulidudulele5467 Год назад

    Mashallah mungu akujalie maisha malefu vizazi vyetu uwaelimishe kielimu

  • @zubedamituro6606
    @zubedamituro6606 Год назад +7

    Mashallah ostadhi wangu mungu akujaze neema kubwa sana kwa mawaidha yako mazuri♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @Aminachande-wg6vi
    @Aminachande-wg6vi Год назад +7

    Na mungu akujalie mwisho mwema

  • @bas2823
    @bas2823 Год назад +2

    NOT ALL THE WOMEN OF NOW! THEY ARE MANY WOMEN ARE FAITHFUL N HONEST N LOYAL. SIO KILA MWANAMKE WA LEO NDIO MUHUNI SIO KWELI WENGI WAO WAAMINIFU WAKO NA WANAJISTIRI NAFSI ZAO WALA HAWAKURUKA ROHO NA PESA AU VITU WAMEQINAI ROHO NA MYONYO ZAO PIA. DONT TALK BACK ABOUT ALL THE WOMEN OF NOW. WAKO WEMA WAAMINIFU NA WAKO NDIO TTAMAA HATA HAPO ZAMANI WAKUWEPO WAMINIFU NA WAKO SIO WAAMINIFU SAME KAMA WANAUME PIA WAPO WAAMINIFU NA WAPO SIO WAAMINFU PIA. ZAMANI NA SASA PIA. MAKHLUKU LLAH ALL!

  • @rahmamohammed9678
    @rahmamohammed9678 Год назад +10

    Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
    Alhamdhulillah
    ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤️
    Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akujalie umri mrefu wenye twaa uzidi kutuelimisha
    Allaah asituharamishie kwako yaa rabb 🤲❤️

    • @S.Mnguyu
      @S.Mnguyu Год назад +1

      Asalam alayka warahmatullah wabarakatu na shida nisaidien namba ya shekhe othuman ninamtihan takriban miaka2 nisaidien mwenye kua nazo

    • @OsmanMshindo
      @OsmanMshindo Год назад +1

      Wallah

    • @Emedroadtocanada
      @Emedroadtocanada Год назад +1

      Aaaamin

    • @gomesamakota3294
      @gomesamakota3294 Год назад +1

      Je umeolewa dada mm naitaji mke

    • @rahmamohammed9678
      @rahmamohammed9678 Год назад

      @@gomesamakota3294
      Nakuombea kwa Allaah Azza wa jaala Akujalie mke mwema kakangu
      Na wote ambao wanatafuta wake wema na wote ambao wanatafuta wanaume wema
      Rabbana Thaqabal Duaa🤲

  • @zuhoor-mc7hq
    @zuhoor-mc7hq Год назад +29

    MASHA LLAH... wajazakam llahu khaira 🙏 shekh wangu Othman jamaani napenda Sana mawaidh Yako ...Niombee shekh wangu mola anijalie mume mwema nakuomb Sana shekh wangu....Yaa الله nakuomb ukiniruzuku mume mwema naomba Yaa الله nijaalie NAMI nije kuwa zawjaatii swaliyhina AMIIN 🤲 THUUMA AMIIN 🤲 YAA WADUDU 🤲 mola akupe umri mrefu katika kulingania dini ya Allah AMIIN 🤲

    • @hanifaally4694
      @hanifaally4694 Год назад +1

      Ameen Yarab ALLAH (s.w) KAREEM atakuwa haja ya moyo wako Ameen

    • @zuhoor-mc7hq
      @zuhoor-mc7hq Год назад +2

      @@hanifaally4694 shukran Sana UKHTY Hanifa niombee Sana dada yangu katika imaan.... mtume anasem ukimuombea mwenzako nawe malaika watakuombea....mola akubariki sister ahsante... 🌹🌹Nimekupenda Bure wallah ❤️❤️

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Год назад +1

      Kheri In Shaa Allah waume tupo Alhamdulillah ww mwenyewe 2

    • @hanifaally4694
      @hanifaally4694 Год назад +1

      @@zuhoor-mc7hq shukran mumy nakupenda pia M/mngu atakujaalia kuna nguvu sana kwenye kumuomba M/MUNGU omba subir SUBRAH pia uwe nayo maana watakuja wengi Alhamdullilah nmeiyona nguvu hy na nmepata mumewangu Alhamdullilah

    • @OsmanMshindo
      @OsmanMshindo Год назад +1

      ​@@hanifaally4694 ❤

  • @hassanboru4038
    @hassanboru4038 Год назад +16

    huyu shehe amejaliwa na mola kwa dini napenda tu sana I always listen to him.

    • @wizlamability
      @wizlamability 6 месяцев назад

      Baraka allahu ladhwim shk OTHMAN ALLAH akuhifidhi ndugu yangu.

  • @salimawishenga7588
    @salimawishenga7588 Год назад +5

    Barakallahu fiyk yaa Shaikh Uthuman ❤❤❤

  • @fatumasalim1946
    @fatumasalim1946 Год назад +5

    Mungu akupe umri mrefu

  • @gamblilekamau129
    @gamblilekamau129 Год назад +6

    Mash Allah Jazaqah Lau Kheor

  • @haoranyusuf6164
    @haoranyusuf6164 Год назад +5

    Alhamdulillah Allah akuzidishie ilmu uzidi kutuilimisha

  • @miishhassn
    @miishhassn Год назад +5

    😂😂😂😂kwel professor wakutoa talaka had jiran😂 alhamdulillah shukran kwa somo zuri shekh wetu Mungu azidi kukuweka❤❤

  • @dickikahese9681
    @dickikahese9681 Год назад +6

    mashaaalwah shekhe othman maalim mungu akuongezee kheri zaidi na maisha marefu

  • @jeanpaulharerimana2687
    @jeanpaulharerimana2687 5 месяцев назад

    Mashallah

  • @eshaswalehmohammed3924
    @eshaswalehmohammed3924 Год назад +5

    Mashallah ❤️ wajazakam llahu Khaira🙏

  • @rizikishahari6948
    @rizikishahari6948 Год назад +8

    Maa shaa Allah! Allah Atujaalie wanawake wote kuwa mfano wa Mama yetu Sarah

    • @AishaKasabalala-dr5lo
      @AishaKasabalala-dr5lo Год назад

      Allahumma Amiina Allahakuhidhi shekhe.

    • @SaleheGiza
      @SaleheGiza 9 дней назад

      Njoo nikuoe uwe mke wangu nikutuze na kukulea uzae watoto inshahhall

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +3

    Subuhanallh yarabi tujaalie wanawake wote tuwe na moyo kama wa bibi sara tusiwe na tamaa za kiibilisi

  • @حمدانالحويطي-م8ك
    @حمدانالحويطي-م8ك Год назад +3

    Waaoow kwelimimi kama mimi bila unafiki huwa sipendi kumwona mme wangu akiwa hana furaha juu ya kitu ambacho ninauwezo nacho mfano ndio wanaume waliumbiwa tamaa na haiwezekani kuyabadili mawazo hayo ila sio wote kuna wale baadhi yao hujizuia na kushindana na tamaa hizo ila namba kubwa nikama hizo tamaa waliumbiwa na hapo ndipo nikasema mwanaume hawezi teseka kwa kuwa anamtamani mwanamke mwingine nichukie ndio ningumu kukubali ila ukiukumbuka msaada wa MWENYEZI MUNGU KUWA BILA YEYE HAKUNA LINALO KUSHINDIKANA bora tuu kuukunjuwa moyo na kukubaliana na matokeo na sikuyakataa juu mwanaume akiamia kutembea na dunia yote utadanya nini nahaziiliki utapigana na wangapi bora tuu kumruhusu awaoe watakao mfurahisha bora tuu mimi nisiwaze uninga ingawa wivu upo ila siwexi upa nafasi upitilize igombane na kila ajae ajee tuu ila mbuzi ale urefu wakamba yake nahio ndio kauli yangu

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 Год назад

      Lkn wao ndio viongozi wakua furaha za wake zao ila wanawake tunajitahidi kufanya kila kitu kuwafanya wawe na furaha mdogo wangu anataman kufa sasa hivi kwaajili ya ndoa mumewe kamakura hana kitu zaidi ya chumba kimoja na kitanda leo wana nyuma na magari 3 yamepaki lkn ananiambia dada raha na hivi vyote sina nataman kufa mwanaume anamdharau waziwazi amazumza na wanawake mbele yake tena anamwambia usitegemee mimi kutulia kabisa si unamuona baba yangu anaoa kila siku na mimi siwezi kutulia kabisa bora aoe ujue kaoa lkn yh ni micjepuko tu mwishoa namwambia hakuna kufa km mapenzi ya kwisha dai talaka Allah ameiruhusu talaka kwa wana ndoa yani niliongea nae mpaka sasa katulia anasubiri mambo yakae sawa adai talaka yake maana anamwambia hasa kwamba ukiondoka utakuwa chizi unaondoka unaacha nyumba nzuri hii na magari kwa hiyo wanaume baadhi yao wanaona km mali ni kila kitu na huwezi muacha kwa sababu ya mali wakati mali ni amar tu zikupita mtu kamkuta hata kazi ya maana hana ni kibalua wa kufyatua matufali kwenye sait leo ni maneja wa hardware kubwa tu hakuyapata yoye hayo kabla hajao

    • @حمدانالحويطي-م8ك
      @حمدانالحويطي-م8ك Год назад +2

      @@pikanaauntzuu1466
      Dadangu Mamie kuwa amnyamazie na asimwonyeshe dharao ila akubliane matokeo ila awe mtu waibadani na mwenye upendo kwa kila mtu na asishindane nae na asimbembeleze awe kama jinga kubwa lisilo ona na asimfanyie dharao kwani dharao hazita saidia kitu yeye amfanyie yote ya mke na mama watoto na kama ni ugonjwa wo wote waaina ye yote amwombe ALLAH amusuru maana yeye yugo pale kuwatetea wanandoa haswa walewatesekao juu ya ndoa na ALLAH huwanusuru na kila baya lote maana hukuutafuta huo ugonjwa ila yeye , kwani niwangapi unasikia kuwa mke ana ukimwi na anazaa vyema ila mme nimgonjwa ukimwi ilifikiria ALLAH hatazami matendo na uwaminifu ndani ya yanyumba ya walioko kwenye ndoa nikikwambia hivi mimi yashanikuta Kwanzaa ndoa ikiwa changa tuu ila imagine sikipoteza furaha kwa mda mrefu nilikaa nakamati nahalmashauri wakilishi nawatendaji wakichwa changu nikasema si MUNGU anasema tuombe natutapewa, tutafute na tutapata, tubishe na tutafunguliwa nikamwomba MUNGU anipe moyo wangu wakukubaliana na matokeo na vile alivyo mwema akanipa nikamwomba moyo wakumpenda tuu sana nasikumchukia akanipa nikamwomba anizibe masikio nisipende kuwasikiliza watu akanipa nimamwomba anipe moyo wakuridhika akanipa nikamwomba anipe moyo wakusaidia hata kuwatongoza akanipa na mwishowe nikayashinda yote ila furaha yake yeye dadako asikubali ipotee maana atapata maradhi mengi mfano ya moyo, kisukari, vidonda vya tumbo nakadhalika mwambie asibadili cho chote kile aishi tuu kama zamani na kuuchukulia ule semo kuwa kila jogoo baada ya kuyachakura majalala yote lazima alifuate banda lake na hata kama litasahau banda wewe mwombee uzima na amani kila saa mwishowe mbio za sakafuni zitapunguwa kasi na mwisho kuchoka na kutulia
      na
      i

  • @mudykaila7437
    @mudykaila7437 Год назад +4

    shehe mashaallah tunakupenda sana

  • @ramlazubery1682
    @ramlazubery1682 Год назад +2

    MASHAALLAH ALLAH KARIM akuzidishie umri mrefu. Sheikh wetuuu.

  • @rizikishahari6948
    @rizikishahari6948 Год назад +4

    Yaa Rabb tujaalie kujitoa mhanga kwa ajili Yako!!!

  • @abdymmanga6338
    @abdymmanga6338 Год назад

    Mashallah ❤

  • @TwalaaTaib
    @TwalaaTaib Год назад +3

    Mashallah Sheikh jazakallahu Kheri Frm Kenya

  • @haoranyusuf6164
    @haoranyusuf6164 Год назад +3

    Mashallah Allah akuzidishie ilmu uzidi kutuilimisha

  • @aishamother9943
    @aishamother9943 Год назад +3

    Allahu Akbar

  • @ShuraimSoud
    @ShuraimSoud Год назад

    DUKTUR SHEKH OTHMAN MAALIM..

  • @Munayya-g2p
    @Munayya-g2p 6 месяцев назад +1

    Haya wanaume mko wapi mnaosema mwanaumebhajaombiwa mwanamke mmoja😂😂😂😂😂😂❤❤

    • @Munayya-g2p
      @Munayya-g2p 4 месяца назад

      Wanajifanya hawajasikia maana ibada wanayoipenda nikuzagamuana tuuu🙌🙄

  • @Faizamideva-bv6oo
    @Faizamideva-bv6oo Год назад +5

    Mungu anijaliye moyo kama hiyo Ishaallah

  • @Munayya-g2p
    @Munayya-g2p 6 месяцев назад

    Hapo kwenye KUONGEZA MKE ni pagumu jamani mnatuonea😂😂😂😂😂😂ila in shaa Allah nitalifikiria ila nikiolewa tu atuoe sote siku moja in shaa allah

  • @AMZASAIDEofficialm6332
    @AMZASAIDEofficialm6332 Год назад +3

    Nishallha yako safi

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 6 месяцев назад +1

    MA SHA ALLAH

  • @Faizamideva-bv6oo
    @Faizamideva-bv6oo Год назад +4

    Mashallah

  • @NimcoSMursal
    @NimcoSMursal 6 месяцев назад

    Mashaallah mashaallah tabarakallahu.Allah ikhaliki yarab tawilliki umuriki🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @AliSuleiman-bo5gq
    @AliSuleiman-bo5gq 6 месяцев назад

    Mashallah al sheikh othman maalim..Allah akupe umri mrfu en thanks 4 ur beautiful mawaidhwa❤

  • @mussaathumani9814
    @mussaathumani9814 Год назад

    Kwaiyo mungu ana mikono shehe

  • @khadijarashid2291
    @khadijarashid2291 Год назад +2

    Maashaallah tabaraka rahmani

  • @ShahaMakame-ei2ri
    @ShahaMakame-ei2ri 2 месяца назад

    maashAllah shehe wng Asante sana kwa kumtupa vitu km hv

  • @rezicky
    @rezicky Год назад +2

    MA SHAA ALLAH

  • @BahatiMbuba
    @BahatiMbuba Год назад +1

    Kisa kipo aya ipi ya sura ipi?

  • @GemmaGemm-t7f
    @GemmaGemm-t7f 6 дней назад

    Alaahumma amin anashukulu kwa mawaidha mazuli ishalaa

  • @AzaShamba
    @AzaShamba Год назад +1

    YA ALLAH AKUHIFADHI SHEKHE OTHUMAN. MASHALAAH. JAZAKHALHERI❤❤

  • @user-mq2ip3dh4v
    @user-mq2ip3dh4v 6 месяцев назад

    Mashaalah, Jazakalahu khair

  • @esharashid4072
    @esharashid4072 Год назад

    Sasaa hii ndio fremmwork kuwenii na subra tuoneveinskwenda pia shidaa nyeginee ni dragzyywanapaga mipagoo mukuwe na subra kwasababu yakuharibu mipagoo oky nilitowa idiaa Sasa wanatakuni control mim wachaniwajuwe wotee niliwaona kabisa

  • @esharashid4072
    @esharashid4072 Год назад

    Tengezenii fitnas nzurii yskuzinii na kitegaa uchumii uwazii wakusaidia technology hiyoo ndio shida kubwa kuwavontol na binadamuu shida kubwa wamesoma lakini wanashindwa marifaa Sasa sett this is best to control thisoky

  • @MADRASATISWADAQALLAHUNYARUGUSU
    @MADRASATISWADAQALLAHUNYARUGUSU Год назад +1

    Poa

  • @sharifrajab1166
    @sharifrajab1166 Год назад +1

    Jazakallahu khayr

  • @kudrasslaybeautybar8779
    @kudrasslaybeautybar8779 4 месяца назад

    Shukran

  • @mayaalrawahy5470
    @mayaalrawahy5470 Год назад +1

    Ma sha allah

  • @Hatifissa-l4p
    @Hatifissa-l4p 7 месяцев назад

    Mashallah

  • @zaituni-im6yk
    @zaituni-im6yk Год назад +1

    Mashalah

  • @pilifarhani6049
    @pilifarhani6049 6 месяцев назад

    Mashallah

  • @elqadirdaraja5290
    @elqadirdaraja5290 3 месяца назад

    Misteke

  • @haoranyusuf6164
    @haoranyusuf6164 Год назад +1

    A

  • @Faizamideva-bv6oo
    @Faizamideva-bv6oo Год назад +1

    😂😂kabisa herikuwa blibli

  • @bas2823
    @bas2823 Год назад +1

    DO U EXCEPT YR WIFE TO HAVE ANOTHER MAN!? IF!? U CANT! ALSO LADIES CANT EXCEPT HER HUSBANDS TO MARRIE ANOTHER WIFE. KWA SABABU NYIE WANAUME HAMNA UKWELI WALA HAMUWEZU KUWAPENDA WOTE WAWILI SAWA SAWA. HAYO MAMBO YA HADITHI ZA ZAMANI HUJUWI ZIMETUNGWA NA WANAUME ONLY ILI WAPATE KUOWA WAKE WENGI KWA UCHU WAO TUU BAAS HAWAWEZI WAKE WAWILI!? JE!? WATAWEZA WAKE WENGI WA NNE!?? U CANT LOVE THEM THE SAME AS U TALK ONLY U SHOW U LIKE TO TALK MAMBO YA MAPENZI NA KUOWA TUU SHEKHE WEYE HUNA JENGINE ILLA UCHU NA KUTIA FITNA WANAUME NA WAKE ZAO KUWAOWA WAKE WENGI HUO NI UFITNA MKUBWA TENA UNOUFANYWA. MKE MMOJA HAMUMUWEZI MMO TUU KUJIPA NA KUJIONESHA TUU.😢

    • @AzaShamba
      @AzaShamba Год назад

      Hujui ulitendalo, ALLAH AKUSAMEHE

  • @kabujubuju
    @kabujubuju 10 месяцев назад

    Allah akujalie umri mrefu sheikh uzidi kutufunza mengi 🤲🤲

  • @mariamchembea9089
    @mariamchembea9089 Год назад

    Basi mie mshipa wangu mmoja wa fahamu unkatika sheikh maana sina wivu kwa kweli😂

  • @MariamMohamed-bw8xf
    @MariamMohamed-bw8xf 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

  • @FaimaMakolo
    @FaimaMakolo 7 месяцев назад

    Mashaallah....allah akilipe insha allah

  • @AishaMgaya-td7uz
    @AishaMgaya-td7uz 11 месяцев назад

    Mashaallah mashaallah mashaallah 🥰 🥰🥰

  • @MalikiRamadhani-e7v
    @MalikiRamadhani-e7v 7 месяцев назад

    Allah akupe umrimrefu wenyemanufaa

  • @mbusamuyisa1109
    @mbusamuyisa1109 Год назад

    Yaani wee unawashinda wote ALLAH akubariki

  • @SadakatiRamadhani
    @SadakatiRamadhani Год назад

    Mashanlaaa mm ndoa ishanishinda namshukuru mungu tu

  • @mbusamuyisa1109
    @mbusamuyisa1109 Год назад

    Inatubidi kumu partage kwa wote

  • @DhB-z1p
    @DhB-z1p 6 месяцев назад

    Allah akujaalie mwisho mwema sheikh

  • @DjumaAsuman-e5e
    @DjumaAsuman-e5e Год назад

    SH allah aakuhifadhi pp pl ulipo

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Год назад

    Mashaallah

  • @Abdul-iv4fe
    @Abdul-iv4fe Год назад

    Mashallah shekh wangu

  • @Man-p4m
    @Man-p4m Год назад

    Mashaallah

  • @MchangamweIdd
    @MchangamweIdd Год назад

    Maasha Alllahu

  • @Faizamideva-bv6oo
    @Faizamideva-bv6oo Год назад +1

    Mungu nikubu