BILLNASS ASIMULIA ALICHOKUTANA NACHO LEBA WAKATI NANDY ANAJIFUNGUA | "NILILIA SANA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • BILLNASS ASIMULIA ALICHOKUTANA NACHO LEBA WAKATI NANDY ANAJIFUNGUA | "NILILIA SANA"

Комментарии • 72

  • @denysemariebaziruwiha702
    @denysemariebaziruwiha702 2 года назад +13

    Umefanya vizuri iyo support kubwa sana kwa mke pia na mtoto. Inchi za wazungu Nikawaida sana

  • @aminaomy8139
    @aminaomy8139 2 года назад +1

    MASHA ALLAH BILLAS ALLAH AWABARIKI NA MKEO KATIKA MAISHA YENU INSHA ALLAH

  • @mariaikombe7839
    @mariaikombe7839 2 года назад +5

    Hongera sana billinas kushuhudia mateso wanayopata wamama wakati wa kujifungua

  • @hassanmbwana5105
    @hassanmbwana5105 2 года назад +6

    Hongera now nenga unaitwa baba

  • @tausihamisi193
    @tausihamisi193 2 года назад +4

    Hongera sana billinas ok vizur

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 2 года назад +7

    Hongeren sana mungu awakuzie mtoto wenu

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 года назад +10

    Jamani uendelee hivyo hivyo huo ndo upendo wa kweli kwa mke wako

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 2 года назад +1

    Congratulations 👏

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад +5

    Hongereni Mungu awakuzie

  • @sabrinamsabaha2905
    @sabrinamsabaha2905 2 года назад +6

    I wish mwanaume wangu apitie haya

  • @rehemamshiko6753
    @rehemamshiko6753 2 года назад +2

    Hongereni sana

  • @hadijaabdallah4057
    @hadijaabdallah4057 2 года назад +1

    Hongera sana kwa kuitwa baba

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal9061 2 года назад +8

    Kwa kweli lnauma alafu jitu linatoka..huko litokako..linakupigia MTT wako Jaman MTT anauma..Bora kusikia

    • @marselinarweyemamu4034
      @marselinarweyemamu4034 2 года назад +4

      Kupiga mtt ni kitu kingine ..maana gata bible inaruhusu kumchapa mtt ktk kumkanya

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 Год назад

    Ongera kaka

  • @conymbetsa9377
    @conymbetsa9377 2 года назад +1

    Hongereni

  • @hawahawa6132
    @hawahawa6132 2 года назад +1

    Hongera mwaya

  • @wennceslausmushi2356
    @wennceslausmushi2356 2 года назад +1

    Hongera sana

  • @NeemaLaizer-r2l
    @NeemaLaizer-r2l 11 месяцев назад

    Jmm🎉🎉🎉

  • @kulway4669
    @kulway4669 2 года назад

    masha Allah

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 2 года назад +4

    Huku mmaichi yawenzetu marecani .Europe kama una jifunguwa nilazima ukuwe na mmeo kama huna una enda hata dada yako .wala mtu wowote. Uta jifunguwa watu ulio enda nawo wako hapo

    • @fatumamuya7296
      @fatumamuya7296 2 года назад

      Hapana si lazima kama hauna mimi mwenyewe nimejifunguwa watoto wawili hospital tena nikiwa peke yangu na madoctar tu

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 2 года назад

      @@fatumamuya7296 basi kama hawuna. Hawuna tu .sasa kama unaye inabidi akuye akufariji ju Leba si mchezo

    • @fatumamuya7296
      @fatumamuya7296 2 года назад

      @@RandB_Channel si kama sina nikonawo wengi tu uaminifu ndio hakuna mimi naendaga na mume wangu lakini mda mwingine anakuwa kazini akija hospital ananikuta nimeshajifungua.

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 2 года назад +1

      @@fatumamuya7296 ndo hivo.miye nilikuwa nasemeya kuhusu kwetu africa. Hawa itikiyagi mke aingiye na mmeo mu hospital

    • @fatumamuya7296
      @fatumamuya7296 2 года назад

      @@RandB_Channel sawa ndugu hakuna shida🙏👍

  • @aishaally733
    @aishaally733 2 года назад +1

    🥰🥰🥰🙏🙏

  • @djnajma5627
    @djnajma5627 2 года назад +2

    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
    DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI ATAKUPA UTAKACHO.,*#
    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html

  • @Bimwana-uc1og
    @Bimwana-uc1og Год назад

    Kwel Kwa wanaume ni wachache san

  • @milkasimon6664
    @milkasimon6664 2 года назад

    Ssw

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 2 года назад +1

    Huwez kuingia leba mwongo billnas hawaruhusiw wanaume koz inawapein zaid

    • @Qeek_Smart
      @Qeek_Smart 2 года назад +4

      Inaruhusiwa na unaona kabisa mtoto anavyotoka

    • @teddyaloyce8218
      @teddyaloyce8218 2 года назад +3

      Hospital za pesa

    • @blandinamyinga9489
      @blandinamyinga9489 2 года назад +4

      inategemea na hospitali,zipo kibao wanaruhusu Ila kama mkeo anajifungulia hizi huku changamsha nchi ndiyo hivyo hutaruhusiwa

    • @agnesskiginga3890
      @agnesskiginga3890 2 года назад +6

      Agakahan leba wanaume wanaruhusiwa dear acha kumutukana mwenzio bure

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 года назад

      Pesa yk tuu

  • @dottohamis4427
    @dottohamis4427 2 года назад

    Hongera sana

    • @annastaziavicent5930
      @annastaziavicent5930 2 года назад

      Waooo hongera billnas umekua mfano mzuri hata kwa wanaume wengne

  • @djnajma5627
    @djnajma5627 2 года назад +1

    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
    DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI ATAKUPA UTAKACHO.,*#
    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html

  • @kissashamme8099
    @kissashamme8099 2 года назад

    Hongera Sana