Huku mmaichi yawenzetu marecani .Europe kama una jifunguwa nilazima ukuwe na mmeo kama huna una enda hata dada yako .wala mtu wowote. Uta jifunguwa watu ulio enda nawo wako hapo
@@RandB_Channel si kama sina nikonawo wengi tu uaminifu ndio hakuna mimi naendaga na mume wangu lakini mda mwingine anakuwa kazini akija hospital ananikuta nimeshajifungua.
Umefanya vizuri iyo support kubwa sana kwa mke pia na mtoto. Inchi za wazungu Nikawaida sana
MASHA ALLAH BILLAS ALLAH AWABARIKI NA MKEO KATIKA MAISHA YENU INSHA ALLAH
Hongera sana billinas kushuhudia mateso wanayopata wamama wakati wa kujifungua
Hongera now nenga unaitwa baba
Hongera sana billinas ok vizur
Mungu awalinde
Hongeren sana mungu awakuzie mtoto wenu
Ameen
Jamani uendelee hivyo hivyo huo ndo upendo wa kweli kwa mke wako
Congratulations 👏
Hongereni Mungu awakuzie
I wish mwanaume wangu apitie haya
Hongereni sana mungu awakuzie mtoto wenu
Hongereni sana
Hongera sana kwa kuitwa baba
Kwa kweli lnauma alafu jitu linatoka..huko litokako..linakupigia MTT wako Jaman MTT anauma..Bora kusikia
Kupiga mtt ni kitu kingine ..maana gata bible inaruhusu kumchapa mtt ktk kumkanya
Ongera kaka
Hongereni
Hongera mwaya
Hongera sana
Jmm🎉🎉🎉
masha Allah
Huku mmaichi yawenzetu marecani .Europe kama una jifunguwa nilazima ukuwe na mmeo kama huna una enda hata dada yako .wala mtu wowote. Uta jifunguwa watu ulio enda nawo wako hapo
Hapana si lazima kama hauna mimi mwenyewe nimejifunguwa watoto wawili hospital tena nikiwa peke yangu na madoctar tu
@@fatumamuya7296 basi kama hawuna. Hawuna tu .sasa kama unaye inabidi akuye akufariji ju Leba si mchezo
@@RandB_Channel si kama sina nikonawo wengi tu uaminifu ndio hakuna mimi naendaga na mume wangu lakini mda mwingine anakuwa kazini akija hospital ananikuta nimeshajifungua.
@@fatumamuya7296 ndo hivo.miye nilikuwa nasemeya kuhusu kwetu africa. Hawa itikiyagi mke aingiye na mmeo mu hospital
@@RandB_Channel sawa ndugu hakuna shida🙏👍
🥰🥰🥰🙏🙏
ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI ATAKUPA UTAKACHO.,*#
ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
Kwel Kwa wanaume ni wachache san
Ssw
Huwez kuingia leba mwongo billnas hawaruhusiw wanaume koz inawapein zaid
Inaruhusiwa na unaona kabisa mtoto anavyotoka
Hospital za pesa
inategemea na hospitali,zipo kibao wanaruhusu Ila kama mkeo anajifungulia hizi huku changamsha nchi ndiyo hivyo hutaruhusiwa
Agakahan leba wanaume wanaruhusiwa dear acha kumutukana mwenzio bure
Pesa yk tuu
Hongera sana
Waooo hongera billnas umekua mfano mzuri hata kwa wanaume wengne
ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI ATAKUPA UTAKACHO.,*#
ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
Hongera Sana