BABUTALE KUHUSU MILIONI 500 WANAZOTOZWA WASANII WCB "ZUCHU AKITAKA KUONDOKA BILIONI 5"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июн 2023

Комментарии • 141

  • @ChristineKatana-rk8mu
    @ChristineKatana-rk8mu Год назад +6

    Babutale napenda vile unaongealea wasanii waliotoka wasafi, huna kinyongo hats, that is a sign of maturity and a good leader, soft spoken person, keep up the good work muheshimiwa all the way from kenya

  • @khamisbk8569
    @khamisbk8569 Год назад +20

    Taleeeeeee..... Is talented one...

  • @shedrackdamian2870
    @shedrackdamian2870 Год назад +7

    Mzee Ana ponti nzurii Sana 🙏🙏🇹🇿🇰🇪🇺🇬

  • @josephmwita996
    @josephmwita996 Год назад +6

    😀😀😀😀 eti bora Zuchu tumuweke ndani

  • @dalalizanzibar9583
    @dalalizanzibar9583 Год назад +18

    Kwa hiyo dada yetu Zuu mnamuoa kwa mission 😢

  • @chizashungu1236
    @chizashungu1236 Год назад +18

    NICE ONE BABU TALE.WCB THE BEST MUSIC LABEL IN ALL EAST AFRICA.

    • @innocentboykid2442
      @innocentboykid2442 Год назад +1

      Rich hajalipa lakn akaunt yake imezuiliwa na video zimwfutwa

  • @shariffsuleiman2889
    @shariffsuleiman2889 8 месяцев назад +1

    I like this guy soo much from 254🇰🇪 Babuu

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 Год назад +5

    babu tale look like a good guy and father

  • @charlesmatesorehani5012
    @charlesmatesorehani5012 Год назад +9

    Uyo kweri kabsa Yvan apa Holland 🇳🇱 tunamuskiya saana

  • @davidmsia4322
    @davidmsia4322 Год назад +3

    Millard! Nice interview, reasonable questions! Informative... I wish, interviews zote za wasanii zingekua na ubora huu!

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Год назад +32

    Kwa kweli Africa haswa hizi nchi zetu East Africa tunahitaji zaidi Uelewa kuhusu Mambo ya mikataba wengi ni kelele Tu ooh kaonewa ooh kanyanyaswa daah 😂😂😂

    • @mlangaliromwenda6945
      @mlangaliromwenda6945 Год назад +2

      Kipi ww unacho kielea kuhusu mikataba ya Africa na outside Africa. Mkataba nilazima uwe na mwisho. (Eg: 5 yrs or 30 yrs contract) f 🇦🇺

    • @diamondplatnumz.148kviews5
      @diamondplatnumz.148kviews5 Год назад +3

      Sahihi

    • @suzyjoseph6706
      @suzyjoseph6706 Год назад +4

      Uko sahihi, niko ulaya mzungu kila issue ya pesa wanataka 80% rafiki yangu aliondoka akasema yeye ni maskini jeuri hawezi, mie nikapigakazi nikaongeza shift mbili nimekuwa mtumwa kwa miaka miwili ila sasa nina office yangu account zinasoma vizuri, sasa Leo jamaa yangu aliyekuwa maskini jeuri nikija Tanzania nampa elfu 30 ya kula hali ngumu, jamani tuheshimu mabosi tutafika mbali

    • @safariadrien5348
      @safariadrien5348 Год назад +1

      Tatizo unashabikia mtu mpaka unaona akidaiwa anaonewa

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      Mambo mengi huwa tunayaongelea kishabiki tu.tuna safari ndefu.

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Год назад +6

    Na kweli mboso Oman Muscat ❤❤

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +5

    Mboni bilioni 5😂😂😂😂

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Год назад +10

    Babu T👍👍👍

  • @Amaxkey1
    @Amaxkey1 Год назад +13

    Good

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +4

    Nakubaliii manager

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql Год назад +10

    Kwamb utalipishwa hela kama watakuona wewe ni lulu tu😂😂😂😂kina mavoko tokea kaja hadi kaondoka alikuwa anaingiza hasara asa amlipishe kisa nn

  • @juliennenzeyimana3274
    @juliennenzeyimana3274 Год назад +18

    Babu tale nimstarabu kwakweri anajibu kwa heshima?

    • @javanindosi9332
      @javanindosi9332 9 месяцев назад +1

      Jamn tunaomba tisht za Africa n boy tuzipat huku bulundi🇧🇮🇧🇮 tunazipenda sn

  • @youngjamaica5099
    @youngjamaica5099 Год назад +3

    Mpemba kafunga Duka🤗

  • @saidndaro6630
    @saidndaro6630 Год назад +2

    Respect man tale along side MILLA

  • @wahidamaulid9527
    @wahidamaulid9527 Год назад +17

    na kwa zuchu anavouwasha 🔥🔥 kiasi alipe ivoo mkali kuliko dmond

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami5224 Год назад +14

    NI SAWA KWA YANGA NA FEI, HAIWEIKANA YANGA WAMLEE WAMTANGAZE ZEN AZAM WAJE WAMCHUKUE TU KWA MILIONI 100 NI UJINGA SANAAA

  • @kutokaughaibuni
    @kutokaughaibuni Год назад +1

    Hahahah mzeee Kamaliza hahaha Katoa Code zote Hahhaa Google Ads Ukiweka Dola 3000 tu Basi Kila Kitu kina panda Hahaha Kim Mashavu anasema anamarobot hahaha

  • @ChocllatteMedia
    @ChocllatteMedia Год назад +11

    🔥🔥🔥

  • @kutokaughaibuni
    @kutokaughaibuni Год назад +1

    Anaitwa Raymond Shabani

  • @odaxcontawa
    @odaxcontawa Год назад +1

    Tale big brain

  • @edsonsizoki9693
    @edsonsizoki9693 Год назад +13

    rich mavoko munasema kama hakulipa chocote hamukumunyanganya acount zake

    • @chancepascalkifula3970
      @chancepascalkifula3970 Год назад +4

      Si akuA napesa wamfanyaj na akuingiza pesa

    • @vangraphixvan8320
      @vangraphixvan8320 Год назад +2

      Ww ulikuwshaid

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no Год назад +4

      @@chancepascalkifula3970 Rich alikuwa mvivu wa kutoa nyimbo ndio maana mapato yake yakawa madogo

  • @user-zj9er4us6n
    @user-zj9er4us6n Год назад +1

    🎉 miziki nikama pumzi

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 Год назад +3

    Kuondoka kwa rayvany ilikua kazi ngumu sana kumzuia kwa kua ni ndugu yenu wewe tale na madee

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 10 месяцев назад +1

    babu tale ni moja ya majambazi kwa inchi inayo chipukia kama tz nimajizi mnaua kipaji cha richi mavoko mnakataza media zisipigwe ngoma zake mnadiriki haa

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 Год назад +4

    Rich kaja wasaf amesha tengeneza jina tunataka utaje msanii mlio mtoa nyinyi kisha akaondoka bule

  • @kutokaughaibuni
    @kutokaughaibuni Год назад +1

    B ni KWELI Huyu Mzee ni Jau

  • @FurahaEliya-df5fo
    @FurahaEliya-df5fo Год назад +6

    BABUTALE kumbe wewe naye mwongo hivi! Eti tunachukua kidogo kuliko tulizowekeza ni "UONGO HUO"

    • @fabianiemmanuel6630
      @fabianiemmanuel6630 Год назад

      Haya tuambie ukweli ww hua diamond awekeza kias gan😃😃

    • @safariadrien5348
      @safariadrien5348 Год назад +1

      Umeshawahi kumusimamia musani?

    • @eliashibundabalinze2754
      @eliashibundabalinze2754 Год назад

      Unajua maana ya brand???

    • @FurahaEliya-df5fo
      @FurahaEliya-df5fo Год назад +2

      @@fabianiemmanuel6630 Ukweli ni kwamba huwezi kuwekeza pesa nyingi halafu uchukue kidogo ya ulichowekeza. "Wewe inakuingia akilini unanunua embe 200k halafu uuze 200k h
      Iyo hiyo bila faida? Au uuze 100k?" Mimi kusema ni mwongo sijamaanisha hawajawekeza ninachomaanisha hawezi kuwekeza kwa msanii pesa nyingi halafu waziache tu zipotee eti wanachukua kidogo tu. Au nyie hamjamsikiliza vizuri BABUTALE alichojibu? Kuchukua pesa kwa msanii uliyeekeza nguvu kubwa kwake sio dhambi kwa sababu tayari umemfanya kuwa wa "Thamani" kuliko alivyokuwa mwanzo.

    • @FurahaEliya-df5fo
      @FurahaEliya-df5fo Год назад

      @@safariadrien5348 rejea comment yangu tafakari kwanza nahisi hujaelewa maana yangu umeenda moja kwa moja kwenye mihemuko yako "hisia siku zote haikupi uwelewa sahihi wa jambo Ila tafakari ndio msingi pekee unaoweza kukupa kuelewa jambo" TAFAKARI KWANZA..........

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel7364 Год назад

    Babu tale toka awe Mh. amekuwa mstaarabu sana

  • @mungaieve796
    @mungaieve796 5 месяцев назад

    yes

  • @amalone0
    @amalone0 Год назад +1

    Rayvanny msanii mpendwa WCB kwel tale hujakosea

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Год назад +3

    Uko sahihi huwezi Lima usivune

  • @bama9271
    @bama9271 Год назад +12

    Sasa kama mavoko ilikuwa hivo,kwanini nyimbo zake zishikiliwe na wasafi? Acha uongo mzee

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 Год назад +1

      Mkataba broh..... labda yeye siyo wakulipa pesa but nyimbo zake

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Год назад

      C angeenda kushtaki hiyo biashara

    • @saidseif9645
      @saidseif9645 Год назад

      ajalipa mkwanja

  • @westcijosh
    @westcijosh Год назад +2

    Rich sawa akulipa ila platforms zake mmezishikilia ikiwemo youtube

  • @jasjoesalam9382
    @jasjoesalam9382 Год назад +15

    Nyimbo zote za mavoko zinashikiliwa na WASAFI hana access na nyimbo za zamani mpaka leo.

    • @suntzu8959
      @suntzu8959 Год назад +5

      Nyimbo ziligharimiwa na WCB. Nipe nikupe

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад +2

      Ungeuliza ni kwanini hivyo? Kuna mkataba? Je unasemaje huo mkataba?

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Год назад

      swali kwa nini ziwe chini ya wcb mpk leo?

    • @suntzu8959
      @suntzu8959 Год назад

      @@ikouwasi7644 hajazilipia.

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      @@ikouwasi7644 makubaliano ktk mkataba yanasemaje...mikataba ipo kulinda pande zote mbili.

  • @chalesmapua5115
    @chalesmapua5115 10 месяцев назад

    Kwann apo ndooo ujue jeshiiiiiii sio mtu mzulii wivuuu ndo tatizo lenuuu mulijua mondi ata kua mungu aina iyooo kulaaa chumaiyo watu wap mtwra kila mtu kondekonde way kondeeee

  • @jamesvmusic2677
    @jamesvmusic2677 Год назад +5

    🔥🔥🔥🔥

  • @izack9191
    @izack9191 Год назад +4

    Zinapigwa nje wapi?

  • @miniveronline
    @miniveronline Год назад +1

    Asambona channel yake ya rich mavoko bado mpo nayo

  • @alphalungele-479
    @alphalungele-479 Год назад

    Rich alilipishwa akaamua kuacha RUclips,Instagram, kwa Wafasi

  • @cooler3263
    @cooler3263 Год назад +6

    I got some

  • @DiorMabaril-qy6yp
    @DiorMabaril-qy6yp 7 дней назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌍

  • @njarubakiarie2235
    @njarubakiarie2235 Год назад +1

    wizi mtupu

  • @dijahmriri523
    @dijahmriri523 Год назад +3

    Sio kwa ubaya ila ongea ya babu tale sijaielewa

    • @dalalizanzibar9583
      @dalalizanzibar9583 Год назад

      Sio kwa ubaya, me sijakuelewa umemaanisha nini ili nikueleweshe

    • @dijahmriri523
      @dijahmriri523 Год назад +1

      @@dalalizanzibar9583 😂😂😂😂😂Kwa nin anafanya mapozi Kama mwanamke

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Год назад

      Huenda kazaliwa Mwaume peke yake huenda hana mambo Yale lakini ameathiriwa na Dada zake

    • @daviddaudi964
      @daviddaudi964 Год назад

      ​​@@dijahmriri523 kumbe na mimi nimemuomba kama wewe.
      Ila wanaume wcb wote wanamapozi za kike, wa kike wanamapozi za kihuni

    • @becare2300
      @becare2300 10 месяцев назад

      Tambooo za tale

  • @madcity5933
    @madcity5933 Год назад +4

    500 million tz Kenya ni 30 M , nikipata hizo nishafunga mchezo , thats alot of money, pesa nzuri sana , nikishika hizo sai huku wataniita illuminati 😅😅

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 10 месяцев назад

      Kwahyo tufanyaje? Wakenya kama pesa yenu kubwa mbona munanjaaa had munajiua

    • @nyahingathadeo826
      @nyahingathadeo826 9 месяцев назад

      Ndo maana uko Kenya mie Niko tz,lakin bado unavaa nguo za juma jux wa tz😀😀😀

    • @madcity5933
      @madcity5933 9 месяцев назад

      @@nyahingathadeo826 😂😂😂

  • @daviddaudi964
    @daviddaudi964 Год назад +1

    Mbona mapozi kama za kike vile, au ndo uhalisia wa wcb?

  • @saidiwakufuta
    @saidiwakufuta Год назад +2

    Rich hakutoa hela saw Ila si mlichukuwa akaunt zake ndo maana Hadi Leo Hana akaunt zake

    • @AmelbergaKempanju-uf1zh
      @AmelbergaKempanju-uf1zh Год назад

      Acha uwongo si alifungua akaunti mpya na isitoshe kwenye hizo platforms haifikii hata million tano

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 9 месяцев назад

    Huyu bwana sauti yake ni hiyo?

  • @oyay2821
    @oyay2821 11 месяцев назад

    Rich mavoko alitoka WCB ndio mukamzima kabisa

  • @jairosdaka7328
    @jairosdaka7328 10 месяцев назад

    Ray is not yet out from wasafi b live me or not

  • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
    @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar Год назад +4

    Hapo kwenye Naseeb kujaza France mara mbili ya wizkid umetulisha Matango pori Mjomba

  • @sheehamadnganzi8317
    @sheehamadnganzi8317 Год назад +3

    Eti zuchu all over African? Your not serious my friend,do your research please

    • @ericklyatuu1301
      @ericklyatuu1301 Год назад

      Kakwambia east Africa

    • @sheehamadnganzi8317
      @sheehamadnganzi8317 Год назад

      @@ericklyatuu1301 I'm not idiot my friend I understand what he said

    • @amalone0
      @amalone0 Год назад

      Kasema east Africa sio unakurupuka

    • @amalone0
      @amalone0 Год назад

      Kasema east Africa sio unakurupuka

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Год назад +1

    Waache kujitetea mikataba yao mibovu fyuuuuu

  • @user-nf7yn8pt5d
    @user-nf7yn8pt5d 9 месяцев назад

    you can't carve a mask and then others come and take its interpretatio,even it the sons are recorded or.or what is thesignificance of this statement

  • @nasrasalumu7005
    @nasrasalumu7005 10 месяцев назад

    Sema wewe mzee moro uitendei haki miradi haiendi migogoro kibao alafu nduguyetu wadamu ni aibu kubwa

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Год назад +8

    million 500 za bongo ni 30milions Kenya money kama sijakosea😂😂😂😂

    • @abubakarimsere
      @abubakarimsere Год назад +5

      Unazo!!??

    • @barakachalres9316
      @barakachalres9316 Год назад +10

      Ila Kenya ndio nchi yenye njaa sana na maandamano kila siku

    • @abubakarimsere
      @abubakarimsere Год назад +2

      @@barakachalres9316 mwamba hajielewi😄😄😄😄

    • @___19965
      @___19965 Год назад

      Do you have it?

    • @adamelly6051
      @adamelly6051 Год назад +1

      Bro wanakucheka ila uko sawa ni ksh 30million kenya

  • @mrs2918
    @mrs2918 Год назад +1

    rich mavoko mlichukua you tube yake na jina lake acha uongo kocho wewe

  • @nasrasalumu7005
    @nasrasalumu7005 10 месяцев назад

    Mavoko mmemuua kipaji nyie niwanyonyaji muongo we mzee

  • @shariffsuleiman2889
    @shariffsuleiman2889 8 месяцев назад

    I like this guy soo much from 254🇰🇪 Babuu

  • @shariffsuleiman2889
    @shariffsuleiman2889 8 месяцев назад

    I like this guy soo much from 254🇰🇪 Babuu

  • @shariffsuleiman2889
    @shariffsuleiman2889 8 месяцев назад

    I like this guy soo much from 254🇰🇪 Babuu