Billinass ni msiri sn nyumba wanazo ,kwa mfano Nandy anajenga kitambo sn tena si nyumba 1 ,Nahisi wana kamirisha nyumba ya Ndoto zao but iwe surprise ,Nandy akiwa mjamzito aliwahi kutembelea mjengo wk ghorofa flani hivi ,Pia dada yk Nandy alihojiwa alisema Nandy ana jenga nyumba 2 ,Labda wanajenga ya kushea mke na mume
Billinass ni msiri sn nyumba wanazo ,kwa mfano Nandy anajenga kitambo sn tena si nyumba 1 ,Nahisi wana kamirisha nyumba ya Ndoto zao but iwe surprise ,Nandy akiwa mjamzito aliwahi kutembelea mjengo wk ghorofa flani hivi ,Pia dada yk Nandy alihojiwa alisema Nandy ana jenga nyumba 2 ,Labda wanajenga ya kushea mke na mume
Facts kweli
Nimekuwa wa kwanza,,,namimi nimsanii jamani naombeni support yenu kwangu pia
Nandy kajitahidi jamaa kidogo ameanza kupendeza
Wanazo hao awataki watu wajue hao sio watu wa sifa
Njoooo nikuuzie nyumba yangu billnass wasikunange nauza milioni 500 iko mbezi beach
Wasiri sn hao wana jenga
Vidox kukupenda tu
Ila billnass anakya mtu mzima asaiv ujana unaishia
Angalau nenga angalau anaanza kupendeza
Hata huku goba ni jirani yangu
Muongo nyumba wanazo nyingi
Muongo nyumba wanazo mbili grofa