MPENZI WA BEKA FLAVOUR AGOMA KUBADILI DINI MPAKA NDOA "MAMA YANGU HAPENDI UISLAMU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 108

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 2 месяца назад +12

    Beka umeokota dodo chini ya mpera,unamwanamke mzur na mwenye akili sana mashallah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @BrianPrudenceOngera
    @BrianPrudenceOngera Месяц назад +1

    It's a Good couple between Beka and Happiness All best wishes for you

  • @khadijasaleh898
    @khadijasaleh898 2 месяца назад +12

    Beka una mwanamke mzuri sana hongera💕

    • @miniee_134
      @miniee_134 2 месяца назад +1

      Ila ndo amuoe sasa

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 месяца назад +6

    Allah akuvushe salama happy wangu najua hapo unayopitia katika hali hii

  • @user-rs1bo1ic7j
    @user-rs1bo1ic7j 2 месяца назад

    Mwanamke amezungumza ukweli . Nivizuri kuwa mkweli . Kutoka kwenye ukristo nikutoka mojakwamoja kuelekea kwenye ndoa . Ni haki tena yuko na Imani na yuko na mapenzi ya kweli kwa mzazi mwenziye ❤❤❤❤ BEKA timiza kile ambacho Allah anatuwamrisha . Tayari mwanamke amesha kuweka nafasi ya kuwa baba na amekupa nafasi ya kuitwa mwanawume . Yuko tayari kuwa muislam lakini ikiwa ataishi kwenye ndowa . Mpe heshima fika kwenye wa zazi wake .Allah aweke wepesi❤❤❤❤

  • @rajah9328
    @rajah9328 2 месяца назад +3

    Ukwel vile mnavyopendna watu wengi wanapenda couple yenu 100%. Beka wacha bangi zako Ndoa muhimu sana Dini zote

  • @Rachel-94tz
    @Rachel-94tz 2 месяца назад +4

    Happy,usimwache Mungu kwaajil ya kituzbali acha kitu kwaajil ya Mungu,IMAN NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU,SHIKILIA IMAN AKO,,maan hata mbinguni hutoenda na mmeo,Bali nafsi Ako na IMAN AKO ndo itakuponya

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 2 месяца назад +6

      Weww uislam ndio dini ya haki izo dini nyengine zoote haramuu

    • @Rachel-94tz
      @Rachel-94tz 2 месяца назад +2

      @@nahlahassan-fd6le Masha Allah,,ko ukiwa muislam tu pepo yako!??

    • @Mtoto-ig5vw
      @Mtoto-ig5vw 2 месяца назад +1

      @@nahlahassan-fd6le😂😂😂

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад +7

    Kuzini tu tu muogopeni Mungu jamani na moto wakw😭

  • @hellenalex9541
    @hellenalex9541 2 месяца назад +5

    My favorite couple 🥰

  • @elizabethbigilwa6822
    @elizabethbigilwa6822 2 месяца назад +1

    Wewe bi. Dada Mungu mmoja mtangazi Acha mambo yako

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 2 месяца назад +6

    Muoe tu mtoto happy karembooooo❤❤❤❤❤

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 2 месяца назад +5

    Mhm hapo mtihani.wakaka oeni wadada wa dini yenu .mpate kumjua mungu.wakristo ni wakristo,na waislam waislam.sasa mnachnganya dini afu kumbqdilshq mtu dini ataka mafunzo hasa apate kuingia miguu yte.sasa beka dini ya kislaqm imekukalia kushoto utaweza kumfundsha kweli happy.na happy kanaelekea kana khofu ya mungu.

    • @DM.2200
      @DM.2200 2 месяца назад +2

      Umeongea kweli aisee au wafungr ya bomani ili kuondoa utata kila mtu kwake ila shida tena itakuja kwa watoto😢

    • @miniee_134
      @miniee_134 2 месяца назад +1

      Kweli kabisaa 💯💯💯happy ataishia kupenda zaidi dini yake ya kikristo kwasababu beka mwenyewe dini ya kiislamu kashasema hapendi vitu hivyo,, Astaghfirullah, Allah awafungulie wote wawili mioyo Yao na waikubali na kuuipenda dini ya kiislamu.

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 месяца назад +1

    Beka unazingua😢😢😢 sana mwanamke amejitoa kwa lolote lakini unapuuzia

  • @Mtoto-ig5vw
    @Mtoto-ig5vw 2 месяца назад +3

    Waowane kiislam alaf after apo kila mtu abaki kwenye dini yake basi 😊

    • @Sandra39823
      @Sandra39823 2 месяца назад +1

      Atakuwa ameenda kinyume, Mwenyezi Mungu hafanyiwi njaja

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 2 месяца назад

      Allah hachezewi

  • @GladnessSamson-xk2ii
    @GladnessSamson-xk2ii 2 месяца назад

    Hii couple naipenda mnooo❤

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 2 месяца назад +2

    Eti Nimebadilisha Dini Ila bado nna ka Ulokoke mana sijawahi kwenda maskini 🥹 Kama Pete imechukua myaka 10 Ndoa jee!!! Mpaka aniowe lililililiiiiiii 😂😂😂😅😅😅

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 2 месяца назад +4

    Huyo mwanamke hafai inamaana mama yake ni adui wa dini yetu ya kislaam kwa mie akae na mwanaye tu huyo mtoto wake

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 2 месяца назад

      Huyu mwanamme kwani unamuona mzima hana lolote

    • @clustermqsir9840
      @clustermqsir9840 2 месяца назад

      Wewe ndio adui wa hiyo dini

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 2 месяца назад +3

    Nawapenda

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 месяца назад +2

    Naona huyu mwanamke anataka ndoa tu Na awe na uhakika na watoto wake watatunzwa Na apate mtelemko mjini ila huyu fala mwanaume inaonekana amependeza zaidi , mwanamke ni mrangi, mnyaturu, mwiraqw, mchaga au makabila ya tanga au mpare?

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 2 месяца назад +1

    Yani huyu mwanamke hajielewi kabisa ukiona mwanamke au mwanaume anabadilisha dini kwasababu ya mapenzi bc ujue wana mapungufu ya akili wote wawili m2 habadilidhi dini kwasababu ya mapenzi anabadilisha kwasababu ya kuamini dini alokua sio sahihi na kuamua kwenda dini nyengine

  • @Naju645
    @Naju645 2 месяца назад +3

    Mwanaume anaonekana mjanjamjanja huyu atamzalisha paka watoto5 naasimuoe uislam haina Pete hiyo Pete zuga tu

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 2 месяца назад +1

    Ss mtapambana upate ndoa mbona mnazaa watoto mama anaangalia tu kuwa na msimamo.

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 месяца назад +3

    DAKIKA YA 9 NDO UKATHIBITISHA KUWA UNACHOKIFANYA NI HARAMU😊

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 2 месяца назад +1

    Ushungi na nguo mikono kaoshi😂 yan waz😢
    Ila ushungi umekupendezaa

  • @MwanaidiSephu
    @MwanaidiSephu 2 месяца назад +1

    Nice😊

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 месяца назад +1

    Huyo mwanamke ni kabila gani ? Mwanamke anaweza kuliwa na wala usijue mkuu kuwa Na akiba ya maneno na mwanamke wa kitanzania kutaka kuolewa na wewe haimaanishi anakupenda mara ameona yuko mkono salama kiuchumi 😅

  • @FatmaMohammed-ry8yo
    @FatmaMohammed-ry8yo Месяц назад

    Kaka una dhima kubwa km ulimsilimisha kisha unamwacha anaenda kanisani hapo moja toa moja

  • @jacquelinekennedy5740
    @jacquelinekennedy5740 2 месяца назад +3

    Presenter wakike try to be proffesional in just a good way .. kuna vitu unaongea they don’t have to be said there kama hapo kweny kubadili dini

    • @salomeraymond2051
      @salomeraymond2051 2 месяца назад

      Achagui la kuongea kwenye media na lipi sio la kuongea

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 2 месяца назад +1

    😂 happy jamani hembu kua na msimamo kwenye dini unatuchanganya 😮

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk 2 месяца назад +1

    Bs ukiona ivo ata beka haswa
    Li

  • @RuwaidaBakar
    @RuwaidaBakar 2 месяца назад +3

    Mundesley dini huyo dada uislam ndiyo dini yahaki

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 месяца назад +1

    Huyo mwanamke ni kabila gani ?

  • @DM.2200
    @DM.2200 2 месяца назад +2

    Fungeni ndoa ya bomani kiishe kila mtu abaki na dini yake coz wanaweza funga ndoa kiislam na dada akabaki kwenda church itakua haina maana ya kubadilisha din

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 2 месяца назад +1

      Waislamu hatuna ndoa ya bomani ni uzinzi tu kama ni bomani ni Bora waendelee kazini hivyohivyo na uzinifu wao.
      Wasihadae walimwengu bure.

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 2 месяца назад +1

    Acha kutoa vipete nenda kwao katoe mahari tangaza ndoa usiri usiri na watoto ndo wanakuja ao

  • @sarastephano3409
    @sarastephano3409 2 месяца назад

    Huyu dada nampenda anamisimamo

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 2 месяца назад +1

      Angekuwa na Msimamo angebeba mimba nyingine apo wote awajielewi wamekutana pipa na mfuniko 😏

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 2 месяца назад

      Msimamo gani alokuonesha ukavutiwa nao

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 2 месяца назад

    Muongo sana mwanaume, kubadil dini kwa ajil ya mwanaume huo ni ufala

  • @annakimei4083
    @annakimei4083 2 месяца назад

    Wachaga tunapenda heshima

  • @salwamohammed4787
    @salwamohammed4787 2 месяца назад +2

    Subuhanna allha😢😢

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 2 месяца назад

      Mtihani mkubwa sn wa2 hawajielewi unazaa njee ya ndoa tena kwa makusudi

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 2 месяца назад +7

    Happy wala usijilaumu kuwa haujawahi kuenda mkitini wala kuswali uka jiona ww sio muislam kuna watu wamezaliwa waislam na hawapajui msikitini. Beka kama ulimbadilisha mtt wawatu dini inabidi umfundishe na umuelekeze

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 2 месяца назад +4

      Kweli ila swala ndio nguzo ya Imani, na wala sio tu kuenda msikitini pekee

    • @chukijuma1321
      @chukijuma1321 2 месяца назад

      FC

  • @fatmaabdi7192
    @fatmaabdi7192 2 месяца назад

    Kuzaa tu ndoa aaah

  • @SelineChandja
    @SelineChandja 2 месяца назад +1

    ❤❤❤

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 2 месяца назад

    Mamako hapendi uislam lakin anapenda unavyozaa na kijana wa kiislamu bila kuolewa eeh 😂

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 месяца назад +3

    Mkuu kuwa na akiba ya maneno hawajui wewe wanawake wa kitanzania wanawake wengi wanyenyekevu sana wakati wa uchumba ila ukimuowa wengi uwa wanabadilika kabisa

  • @HazinaElisha
    @HazinaElisha 2 месяца назад +1

    Akitaka aache kuhama na limimba lakee hilo

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 2 месяца назад +2

    👍👌

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 2 месяца назад

    Waiwane ila kilamtuue abakiye ku dini yake

  • @mpalazotz7753
    @mpalazotz7753 2 месяца назад

    Mtihan huo

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 2 месяца назад +13

    Mwanamme anaweza kuowa mwanamke wa kikiristo si haram lakini mwanamke hawezi kuolewa na mkiristo.

    • @clustermqsir9840
      @clustermqsir9840 2 месяца назад +5

      Hehehe...kwahyo mwanamke hana dini??? Haramu iwe haramu tu 😂😂😂😂

    • @masumbukojames5134
      @masumbukojames5134 2 месяца назад +4

      Ubàguzi wa waziwazi

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад +1

      Hajapenda huyo

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 2 месяца назад +3

      Si ubaguzi ila mwanamke atazidiwa nguvu na mwanamme ndo mana uislamu umekataza

    • @Sandra39823
      @Sandra39823 2 месяца назад

      Inakatazwa usitupotoshe, Qur'an inasema msiwaoe wanawake washirikina,
      Qur'an 2 :221 inasema, WALA MSIWAOE WANAWAKE WASHIRIKINA MPAKA WAAMINI, NA MJAKAZI MUUMINI NI BORA KULIKO MSHIRIKINA HATA AKIKUPENDEZENI, WALA MSIWAOZE MABINTI ZENU KWA WANAUME WASHIRIKINA MPAKA WAAMINI, NA MWANAUME MTUMWA NI BORA KULIKO MSHIRIKINA HATA AKIKUPENDEZENI, HAO WANAITIA KWENYE MOTO, NA .MWENYEZI MUNGU ANAITIA KWENYE PEPO,NA MAGAFIRA KWA IDHINI YAKE, NAE HUZIBAINISHA AYA ZAKE KWA WATU ILI MPATE KUKUMBUKA,
      Hiyo ni Qur'an bishana, inakataza pande zote mbili kwani atakushawishi umfate,

  • @HassaniOmarimumbwe
    @HassaniOmarimumbwe 2 месяца назад

    Mapemzi magumu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 месяца назад

    Wanawake hawana dini wanabadilisha dini kabisa

    • @alphredinaalphonce7043
      @alphredinaalphonce7043 2 месяца назад

      Imeandikwa wap ndugu

    • @ukhutfatumah1154
      @ukhutfatumah1154 2 месяца назад

      Muone huyu fuvu lake ebu tuheshim kidg jamn 😢

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      @@ukhutfatumah1154 hamna dini nyie hamna misimamo kwenye maslahi kokote mnaolewa Na dini mnabadilisha sababu maisha yenu ni watu tegemezi sana bila uwepo wa sisi wanaume nyie si lolote kabisa !

    • @SweetBulushi
      @SweetBulushi 2 месяца назад

      Sio wanawake wote ni wale watamaa na wasio jielewa, kuna kijana mkiristo anataka kuniowa mm tena akasema atakubali kuwa Islam lakn mm bdo moyo wangu aujaridhia maan ajatambua muhimu wa dini yangu yy anajali mapenz... so usisime wanawake atuna dini ni hawo wasio jitambua na tamaa zao.

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      @@SweetBulushi huyo ni mwanaume mbwege tena mwanaume akibadili dini kwa ajili ya mwanamke huyo sio mume wa kuowa mwanaume ni kichwa Na mwanamke ndio anafuata dini ya mwanaume kamwe siwezi kufanya upuuzi huo kubadili dini kwa ajili ya mwanamke kwanza mwanamke hawezi kukuheshimu ukibadili dini kwa ajili yake , upuuzi huo ni wanaume wapuuzi wasiojielewa ndio wanafanya

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 2 месяца назад

    😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏

    • @najmasaid7057
      @najmasaid7057 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wanakuchefua