cha msingi brooo punguzen matangazo na cha msing tambua mahusiano ni uwanja mpana saaan BEKA ....ko jaribu kujua kuwa huyo ndio mke wako wa dhat ikiona kiza kinakuwa kinene ndo kunakucha mpende mke wako......afu jaribu kuangali kuwa asiyekosa ni mungu
BEKA ACHA MANENO YAKO MUOE MTOTO WA WATU ACHA KHMUWEKEA MASHARTI KAMA VILE UMEMUOA....BINTI ANAKUPENDA HALAFU NI MCHAPA KAZI LAKIN UNAMZIBIA NA KUMUHARIBIA MUOE KAMA HUTAKI HAPPY MOVE ON KUWA NA MTOTO SIO KIGEZO CHA KUMFUNGA MTOTO WA WATU😏
Happy nikikuangalia wewe ni mrembo,unaheshima na nimwanamke ambae ni ndoto ya kila mwanamme.why huyo kijana akusumbue hivyooo?hebu tulia Mungu akupe mwanamme sahihi kwako
Beka yuko sawa. Huyu dada hajitambui. Ukishakuwa kwenye mahusiano na mtu huwezi kufanya hayo na mwanaume mwingine bila kumtaarifu. Hata mimi lazima ningeliamsha dude tu. Usipokuwa na wivu kwa mpenzi wako basi unazuga naye. UKWELI UBAKI KUWA UKWELI HUYU BEKA NI MWANAUME A.K.A BABA ASIYETAKA UJINGA.
Beka my brother.mbona unakataa Happy kuonekana kwa vidio na wakati anavaa nguo nzuri.ila wewe unacheza wimbo na wanawake wakivaa nguo za aibu naukiwashikashika.I love you Happy,uko dada mzuri sana.
Hayo yote mnayomshauri mwanamke mwenzenu mjue mila nazo zipo. Mwanamke anayejielewa awezi fanya huu ujinga anaoufanya. Kwani kumwomba tu ruhusa nayo ni shida? Kama hawezi aende tu. Nipo upende wa Beka 100%
@@priscaherman5302 kwahiyo unataka waowane siku mbili wameachana olewa ukiwa na uhalika kuna upendo wa kweli na usidhulumu moyo wako maan doa siyo kitu ya kujaribi mtu hana upendo na wew una mlazimisha akuowe haya amekuowa siku mkigomba anakwambia kwanza ulinilazimisha mimi sikuwa na mpago utafanyaje? Kingine mwana ume mwenye upendo na wew umezaa naye ameona mmegombana hata kama chumba ni yake anatakiwa akupishe wew chumba usisumbuke wew na mtoto yeye akatafute kwingine na siyo wew ukahagaike kutafuta chumba ni kweli kuzni siyo kitu kizuri lakini kama huna uhakika na unapo peleka moyo wako usifanye kwahara ni mawazo yangu
Huyu dada anapitia wakati mgum kwenye mapenz maana happy anamapenz ya dhati na akipata mtu sahihi atadum ktk ndoa beka bado anamambo ya ujana mbona kuna vijana wadogo wako ktk ndoa na wametulia
@@taustaus2737 utakoma na roh mbaya yako haachiki mtu na akitusumbua tunakoroga uji tumuharbu ile sura kwasababu ndiyo inayompa kibri afu tunamuacha aendelee na video vixsen
Brother wanawake wote wazur uwa sio wa kuoa ni wakuchapa unaondoka alafu maarufu oa mwanamke wa kawaida atakae kueshimu kusikiliza agalia wote waliodumu kwenye ndoa wake zao wakoje
Alafu huyu kijana ni mnafki sana, tena nasema tena, miaka takribani 3 iliopita alihojiwa kuhusu ndoa akasema ndoa imesha pita, hau ilikua imepita na upepo?
Kaliwa mtoto nzuri acha ushamba beka video vixen ni kazi wanalipwa dolla or pound 200-300 acha mtoto nzuri ajipatie ridhiki mjini hapa usimbanie na wivu wako hizo ni stress za muziki
Exactly ndugu ile ni kazi halali Kama kazi zingine cio kweri kuzarau vixien ata akilipwa laki 2 ninyingi Sana kwamaisha yasasa.Beka cio Kama hataki Bali wivu tu umemjaaa hajui mjini nikujiongeza,Kama vipi aache uyo mke asimzuie riziki wanaume tupo.
Toa mahali beka mbona mwanamke mzuri tu achana na mawazo ya kuwaza mwanamke mwingine hayo yote hayana faida yoyote nakusihi kaka shemeji yetu anakupenda nenda katoe mahali. Uschelewe wahi nazani mahali yenyewe sio yakusema kwamba huna s kweli fanya ivo ndugu
Wanawake tunatolewa mbali sana halafu tunajisahau mheshim sana beka kakutoa mbali na beka nimuelewa San pia toka kwenye mahusiano tunawafuatilia San pia dada tunakupenda San na pia jichunge San dada dada beka anakupenda sana utakuja kujutia
Bwana beka flavour inakubidi ku tafuta hela . Na nyingine inakubidi ujiamini kiukweli mke wako anakupenda ila punguza wivu ongeza mahaba . Ka dada ka watu bado ka dogo sana usimpe stress kwaajili ya urembo wake nimeamua kuku foll instant and RUclips ila ukizingua we subiri
Becka unazingua asbh kwenye Leo tena ulisema hutakikuhojiwa tena nahautafanya tena interviu yaleotena ndioilikua ya mwisho mbona bd unaendelea kuhojiwa
Beka yupo Sawa kabisa. Na wanapendana hawa tumwachie Mungu afanye kazi yake. Na wewe Beka funga ndoa haya hayataendelea
Yaan nlichogundua beka flavour ana wivu saana
media za bongo zinapenda sana kuanika hadhalani mambo ya ndani bila taadhali. kushauriana ni jambo zuri sana haswa wana ndoa.
Safi sana Happee, Nimekupenda sana, umeongea point my love 😘😍
Beka anajisahau kumbuka uyu ni mwanamke, ukisema chann wenzio wasema watakipata lini
Kabisa hata mm nimemuelewa
Beka oa acha kuzingua..kauli ya mwanaume inakua na nguvu ukiwa kwenye ndoa ..AMINI NAKUAMBIA🤗
kuoa sio tatizo kama hajaacha ujinga wake atamsumbua tu dada wa watu
Umenena hasaa beka oa yote hayo nihiyo dada amechokaa hasira zake hasa nindoa mbonaa atakusikiliza vizurii tuu
Huyo cyo mwanamke wa kuoa. Ushauri wangu tu Beka atafute mwanamke mwingine wa kuoa. Huo ujinga aachane nao
Jamani Jamanii kabinti kazuri Mashaalah Mume mtihani.
Uzuri Wa mwanamke sio sura tu,Tabia muhimu zaidi ,kama jamaa hataki dem wake awe Vedio vixen yeye analazima gani yeye afanye?
Wazuri ndugu yangu wengi nandio wanaongoza kwa umalaya na kudanga uyo mwanamke mumshauri atulie
WAKO HANA MTIHANI?
Umeona eee🤔🤔
@@salimdzuya5480 aaaah www nan kakwambia hayo maneno tu broo ata kwa khanga yapo
Nimefurah kuona mmeludiana Mungu awabariki
cha msingi brooo punguzen matangazo na cha msing tambua mahusiano ni uwanja mpana saaan BEKA ....ko jaribu kujua kuwa huyo ndio mke wako wa dhat ikiona kiza kinakuwa kinene ndo kunakucha mpende mke wako......afu jaribu kuangali kuwa asiyekosa ni mungu
Jamani yote Kwa yote vijana wenzangu tutafute hela...siongei Sana mwenye kuelewa kanielewa
Kwakwel tuachane na mademu yanatupotezea muda tu hayana maana
Tutafute hela tuachane na mademu!!!Ukiwa nae akizngua chapa mbele hamna kujenga kibanda
@@josephatjordan5560 off course
Ushauri wangu Beka huyu dem hakufai....hawezi kunukuu maneno ya konde eti "Bwana ako kanijibu upumbavu"
happy wewe ni 🔥🔥🔥😁😁
Happy shikilia kwenye msimamo wako wa ndoa, Mungu akuongoze
Ameen
Happy Reuten you're so cute🥰🥰🥰🥰🥰.......love you moreeee ❤❤❤❤❤
Ukiwa na mwanamke mzuri ni sawa na kulima shamba la miwa karibu na shule umia tu beka ulimtangaza Sana
Kawaida ya mama
Dah!!! Xa cjui Beka unatak mungu akupe nn tenaa ndg yng
wewe beka pumbavu zako kuoa utaki alafu unampangiee maisha
Sio lazima ndoa kama mpaka mmezaa heshima lazima na mipaka ifatwe
anae muonaa bekaa anavoongaliaa kwa aibuu gonga like
Ukiona mwanaume hajiamini kwa mke ,jua nayeye nimchafuzi
You fighting for your love
And I believe harmo understand this
Go gal you are right that's your right stand firm
Ila pisi Kali du vijana sijui tunataka nn baadaye tutaowa waganga sasa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuja kwa wairack mtoto w home hiyo
Kmmk nimecheka kifala yani
Nimempendasana dada kahongea ukwelisana hanajitambua Sana uyodada
Ssafi happy akuowe shida ni nn tunataka ndoa 😊😊😊😊😊
Yuko sawa happy amuoee kwanza ndio aweke sheria
Shida ni pesa beka hana
Kwakweli
Huyo mwanaume anataka kumpotezea muda halafu amwache
Beka funga ndoa mbna ka unajibu jeuli vle hujiamin kidume ?
BEKA ACHA MANENO YAKO MUOE MTOTO WA WATU ACHA KHMUWEKEA MASHARTI KAMA VILE UMEMUOA....BINTI ANAKUPENDA HALAFU NI MCHAPA KAZI LAKIN UNAMZIBIA NA KUMUHARIBIA MUOE KAMA HUTAKI HAPPY MOVE ON KUWA NA MTOTO SIO KIGEZO CHA KUMFUNGA MTOTO WA WATU😏
Safi sana Happy🔥🔥🔥❤️
Jaman,yaan ungekua naakil ungemuoa...
Kanyagia Dada umenipunga mno amekuzini miaka minane akuowe big up happy
Good point
Beka simamia msimamo wako ww mtoto wa kiume hongera sana
Happy nikikuangalia wewe ni mrembo,unaheshima na nimwanamke ambae ni ndoto ya kila mwanamme.why huyo kijana akusumbue hivyooo?hebu tulia Mungu akupe mwanamme sahihi kwako
POINT!!!
U Kuma nn ebu acha kushauli utumbo kwenye hamna afu nakuomba uelewe ujinga n hasara nyooooooooooo
Bro Beka pls muowe mtoto ...mstarabu uyooo kwakumskiya uyooo....mipango hali tena iyo nahunahishi naye bro Beka
hao wanapendana but POINT NI KUSIKILIZANA TUU
Beka yuko sawa. Huyu dada hajitambui. Ukishakuwa kwenye mahusiano na mtu huwezi kufanya hayo na mwanaume mwingine bila kumtaarifu. Hata mimi lazima ningeliamsha dude tu. Usipokuwa na wivu kwa mpenzi wako basi unazuga naye. UKWELI UBAKI KUWA UKWELI HUYU BEKA NI MWANAUME A.K.A BABA ASIYETAKA UJINGA.
Beka my brother.mbona unakataa Happy kuonekana kwa vidio na wakati anavaa nguo nzuri.ila wewe unacheza wimbo na wanawake wakivaa nguo za aibu naukiwashikashika.I love you Happy,uko dada mzuri sana.
No reason 4 breakup,
Settle your things to spare your relation.
But the lady want to be officially married but seems beka isn't serious about marriage and this will make beka kumpoteza this humble lady
We mnafiki beka bint kaxania msimàmo wako mpe muda was ndoa akizingua ukimpata was kukuoa olewa asikupotezee muda na usirud mpaka ndoa
Nakupenda happy Wang jamani 💯❤
Mmegombana halafu mnaenda wote kwenye interview ushenzi huo
Alafu wanaenda na gar moja hahahahaaaaa
😂😂😂
😂😂😂😂
Happy, she is so sweet!
ila haka kademu fresh sana 😀😍❤️
Happy kuwamakini kwamaoniyangu husiyo muowaji mtaniambiya mbelenihuko 🤣wemzuli jiwongeze fanyakazi popotepale babamtotowako anaonekanajeuli😂nawakati hajakuowa Be free🥰😂
S anafanya kazi kwani
Kabisa yaan beka sio muoj uyu anamuumiza tu happy wa watu.
beka mpe kazi ya maana mkeo izo kz ambazo uzitaki . daa pumbavuuuu beka kumbe hujamuowa kumanyoko we beeka
beka msenge uyo demu mzr angalia utapokonywa watu wanaona na mate yanawadoka ujue
Hayo yote mnayomshauri mwanamke mwenzenu mjue mila nazo zipo. Mwanamke anayejielewa awezi fanya huu ujinga anaoufanya. Kwani kumwomba tu ruhusa nayo ni shida? Kama hawezi aende tu. Nipo upende wa Beka 100%
Mwamba uoe acha sheria wakati huko nje ya sheria mpuuzi ww.
Kabisa anajitetea upuuzi
Dada umenikuna panapo washa ww njoo unywe soda kwaza😍 Kam ajakuwowa unafanya kazi
i feel you happy na uko mjeuri km mimi😂😂🤣😍
Sawasawa mwanamke mwezangu taka ndoa
Huwezi ukamlimiti mkeo kwa mtindo huu huo ni ushamba, na wakati mwinzio yupo kazini we mbona humpi hata elfu kumi za matumizi,
Usijifanye unayajua sana ya wenzako
apo mwanamke yupo sawa uwezi kumpangia mtu sheria kabda hujamuoa , we bint ukipata mume olewa
Kunywa soda nakuja kulipa aisee
Kabisa afu msichana mzur sijui anakwama wap,..Kama hamtak aachie ngaz watu wambebe chap
@@janethkilonzi4260 wasanii kuoa kaz sana kwa nadra sana mana vichupi wanavyo vingi😏😏😏
Yahani wewe Dada big up ni mekupenda bureeeee ni mwongo huyo
Dada dowa haiombwi akikuowa siku mki gombana atakwambia aulimulazimisha shauri yako chamsingi asikubane
Kwaiyo unataka wazini mpaka lini
@@priscaherman5302 kwahiyo unataka waowane siku mbili wameachana olewa ukiwa na uhalika kuna upendo wa kweli na usidhulumu moyo wako maan doa siyo kitu ya kujaribi mtu hana upendo na wew una mlazimisha akuowe haya amekuowa siku mkigomba anakwambia kwanza ulinilazimisha mimi sikuwa na mpago utafanyaje? Kingine mwana ume mwenye upendo na wew umezaa naye ameona mmegombana hata kama chumba ni yake anatakiwa akupishe wew chumba usisumbuke wew na mtoto yeye akatafute kwingine na siyo wew ukahagaike kutafuta chumba ni kweli kuzni siyo kitu kizuri lakini kama huna uhakika na unapo peleka moyo wako usifanye kwahara ni mawazo yangu
Best advice keep it up babie girl🍹👍🏽👍🏽
Ukiona mwanaume hajiamini kwa mke jua nayeye nimchafuzi
Yaani mahusiano ya wasanii bwana, bora hawa wa kwetu kina Mwajuma ndala ndefu na Aisha mashuzi hawana mambo mengi.
🤣🤣🤣🤣nimecheka Kama Sina akili kiukwel
🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐
Beka Shemeji yangu mrizishe mdogo wangu nawapenda hote
Mm mwenyewe naona beka hayuko tayar happy mwambie ndoa kwanza kuzini ni dhambi na yeye anajua
demu anajuwa haki yake lkn wamefanya makosa kuweka mambo hadharani.lkn ni biashara zaidi
Kama mwenzio unamwamini masharti ya nn! Hayo masharti yatafanya uchelewe zaid kuoa, coz yanapunguza mapato. Unajibebesha zege
Nilichogundua hawa watu wanapendana Ile mbaya
Beka flavor uko good sana & uko wise👍👍 huyo dem ni Jezebel
Iyo zawadi ya valentine mpe mpenzi wako 🤗
R
Beka acha hiyo demu kiburi mademu wapo wengi mzee
Huyu dada anapitia wakati mgum kwenye mapenz maana happy anamapenz ya dhati na akipata mtu sahihi atadum ktk ndoa beka bado anamambo ya ujana mbona kuna vijana wadogo wako ktk ndoa na wametulia
Tatzo lenu ndio hilo inawezekana nyie ndo wtu mnaomshaur huyu dada afanye anachokitaka kisa hajafunga harusi
Like me
@@sniperbogo6210 kabisa yani kama ningekua nikonae karibu ningemshauri ili baadae asije kujuta kupenda pasipo pendeka
@@taustaus2737 utakoma na roh mbaya yako haachiki mtu na akitusumbua tunakoroga uji tumuharbu ile sura kwasababu ndiyo inayompa kibri afu tunamuacha aendelee na video vixsen
@@sniperbogo6210 utakoma mwenyewe nakihereherechako kama kuku anataka kutaga mayai
Hey beutefull don't west ur time u still Yung sioni love hapo kwa huyo jamaa
Bw Beka huyo bint anakupenda Sana Sana, hivo usifanye utani utamkosa, fanya uwezavyo umuoe mtoto mashallah
Huyu demu boya sana unawezaje kufanya vitu eti acha nifanye nitamwambia nyumbani. Hata kama ni wewe lazimauzingue
Jmniii tuweni mknii kweny kuchagua wachumbaaa
Mapenzi ya mitandao kwahyo Ayo ndio mzazi wenu au alafu we beka Wacha wivu hataivyo uyo si mkeo
Kabisa kabisa,sababu beka hatak kumuoa ndio sababu ya hayo...muoe uwe na haki
Happy nakupenda Bure dear jaribu kua na msimamo wako love mwanaume asikuzoe sanaaa
Nyie kina kaka mnatutesa
Sana mwanamke kumuacha
Mwanaume anaempenda kazi sana
Mtuurumietu
Zai mashallah wewe jaman 😍😍😍😍😍😍😍🙏
Aise huyu mwanamke anahakili sanaaa dah! Kiukweli beka kapata mwanamke jamani dah!
We msikilize mumeo acha kiburi cha fedha. Beka upo sahihi broo sharaut
Brother wanawake wote wazur uwa sio wa kuoa ni wakuchapa unaondoka alafu maarufu oa mwanamke wa kawaida atakae kueshimu kusikiliza agalia wote waliodumu kwenye ndoa wake zao wakoje
Hongera Sana kwa kuka nakutafakari kua haya nimaisha na baada yahaya Kuna mengine
Kweli kabisa dada SHIKA msimamo wako
Alafu huyu kijana ni mnafki sana, tena nasema tena, miaka takribani 3 iliopita alihojiwa kuhusu ndoa akasema ndoa imesha pita, hau ilikua imepita na upepo?
😆😆😆😆
😁😁😁
Akuna kufanya vidio safi becka
Nikwli lakin dada yang ulivo fanya kwnn wazoni hakum abiwa usirudie tena dada yang lida ndowa yako achana Allah awalide beka naoba umuowe ❤🇴🇲😅
Hakuna ndoa hapa wote wazinifu tu
vizuli sana zingatia uwo msimamo benka binafsi tunawajua jisi walivyo binafsi nakupa hongera tu
Kaliwa mtoto nzuri acha ushamba beka video vixen ni kazi wanalipwa dolla or pound 200-300 acha mtoto nzuri ajipatie ridhiki mjini hapa usimbanie na wivu wako hizo ni stress za muziki
Exactly ndugu ile ni kazi halali Kama kazi zingine cio kweri kuzarau vixien ata akilipwa laki 2 ninyingi Sana kwamaisha yasasa.Beka cio Kama hataki Bali wivu tu umemjaaa hajui mjini nikujiongeza,Kama vipi aache uyo mke asimzuie riziki wanaume tupo.
Toa mahali beka mbona mwanamke mzuri tu achana na mawazo ya kuwaza mwanamke mwingine hayo yote hayana faida yoyote nakusihi kaka shemeji yetu anakupenda nenda katoe mahali. Uschelewe wahi nazani mahali yenyewe sio yakusema kwamba huna s kweli fanya ivo ndugu
We mwache tu ajiringishe saiv atajuta
Bekha anazingua! mwanamke yuko tayar kwa kila kitu.
😂😂😂🔥🔥dah yn happy anaongea jmn lkn safi dada ake umejitetea vzr mno
Beka mtoto mzuri huyo unasubir Nini kufunga ndoa, Kama mapungufu kila binadamu anayo nikuelekezana tu pale mmoja anapokosea
Huyo jamaa hana akili au ndo Kiki . Mambo ya ndani anaweka hazarani. Na huyo mwanamke anaonesha hamtaki tena.. huyo jamaa hatakiwi tena
😂😂😂😂😂
mdada mzuri maashaallah
Wanawake tunatolewa mbali sana halafu tunajisahau mheshim sana beka kakutoa mbali na beka nimuelewa San pia toka kwenye mahusiano tunawafuatilia San pia dada tunakupenda San na pia jichunge San dada dada beka anakupenda sana utakuja kujutia
Happy yuko sawa huyo Beka wivu tu nakumpotezea mda
dada kaongea vizur na anajielewa
@@kazembally6032 hiyo kweli
Happy safi sana akuoe jaman😅🤣🤣😍😘
Bwana beka flavour inakubidi ku tafuta hela .
Na nyingine inakubidi ujiamini kiukweli mke wako anakupenda ila punguza wivu ongeza mahaba .
Ka dada ka watu bado ka dogo sana usimpe stress kwaajili ya urembo wake nimeamua kuku foll instant and RUclips ila ukizingua we subiri
Sawa
kiukweli ukiona mwanamke anaomba ndoa jua kaamua kunsettle. beka akomae kiakili amuoe binti. happy marriage guys.
Sahihi br beka sikupng
SAFI SANA BINTI AKUOE KWANZA NIMEKUKUBALI SANA BINTI SHIKILIA HAPO HAPO SAFIIIIIIIIII
Happy umeongea point 👏👏👏👏👏👏👏afunge ndoa basi
Beka yupo sahihi na anachokiongea na amesema hataki mwanamke wake awe vixen basi haina haja ya malumbano mengi
Anachekesha uyu bint 😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️💖💖💖💖
Kama humuoiii muachee nimuoe
@@charlesbaba8820 alafu ni mrembo Mashaallah ❤️❤️❤️
Masharti mengi na haujaoa..shida
Mwanamke mzur adi rahaaa wwecheusi mangara mwezangu owa my PONIPONI
Becka unazingua asbh kwenye Leo tena ulisema hutakikuhojiwa tena nahautafanya tena interviu yaleotena ndioilikua ya mwisho mbona bd unaendelea kuhojiwa
Ukiwa clouds ukitoka lazima ukutane na AYOTv sababu ayo anafanya kazi pale..kwahyo interview zimefanyika siku moja.
Nimekuelewa sana beka
Mambo hovyo na ya aibu hapa duniani utayakuta kwa wasanii,hasa wa muziki na filamu.Kuanzia muonekano wao mpaka matendo yao.
Huyu Dada ameongea vzr sana kama umemfatilia
Beka nahisi unamchezea huyo dada kwanin usioe mbk unafosiwa
Yaaaan beka unazingua ..msichana mzur sijui nn shida
BEKA HUYO MWANAMKE ANATAKA NDOA, NA UKIONA HIVO KUNA MTU ANATAKA KUMPA USIPOANGALIA UTANYANG'WA AISEEE.. HUYO MWANAMKE UJAMUELEWA ANACHOTAKA,,, ANATAKA NDOA HUYO.
MUNGU awafanyie wepesi waowane Beka kapata mke mrembo sana na wanapendana
Nimeipenda hyooo jaman duuh dada kaongea point
Tafuta hela happy hana mipango wa kukuoa huyo