LIVE: BEKA NA MZAZI MWENZAKE WANAFUNGUKA MUDA HUU CHANZO CHA UGOMVI WAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024

Комментарии • 647

  • @mummyomoze242
    @mummyomoze242 3 года назад +5

    Beka yupo Sawa kabisa. Na wanapendana hawa tumwachie Mungu afanye kazi yake. Na wewe Beka funga ndoa haya hayataendelea

  • @kazumaryussuph1641
    @kazumaryussuph1641 3 года назад +12

    Yaan nlichogundua beka flavour ana wivu saana

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 года назад +7

    media za bongo zinapenda sana kuanika hadhalani mambo ya ndani bila taadhali. kushauriana ni jambo zuri sana haswa wana ndoa.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 года назад +12

    Safi sana Happee, Nimekupenda sana, umeongea point my love 😘😍

    • @kisokakasuku2137
      @kisokakasuku2137 3 года назад +2

      Beka anajisahau kumbuka uyu ni mwanamke, ukisema chann wenzio wasema watakipata lini

    • @albertdoherty9394
      @albertdoherty9394 3 года назад +1

      Kabisa hata mm nimemuelewa

  • @fidelisvenance6431
    @fidelisvenance6431 3 года назад +14

    Beka oa acha kuzingua..kauli ya mwanaume inakua na nguvu ukiwa kwenye ndoa ..AMINI NAKUAMBIA🤗

    • @nyamkamawanjara29
      @nyamkamawanjara29 3 года назад +2

      kuoa sio tatizo kama hajaacha ujinga wake atamsumbua tu dada wa watu

    • @fatmann6341
      @fatmann6341 3 года назад

      Umenena hasaa beka oa yote hayo nihiyo dada amechokaa hasira zake hasa nindoa mbonaa atakusikiliza vizurii tuu

    • @piumagoha
      @piumagoha 2 года назад +1

      Huyo cyo mwanamke wa kuoa. Ushauri wangu tu Beka atafute mwanamke mwingine wa kuoa. Huo ujinga aachane nao

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 3 года назад +38

    Jamani Jamanii kabinti kazuri Mashaalah Mume mtihani.

    • @salimdzuya5480
      @salimdzuya5480 3 года назад +3

      Uzuri Wa mwanamke sio sura tu,Tabia muhimu zaidi ,kama jamaa hataki dem wake awe Vedio vixen yeye analazima gani yeye afanye?

    • @AishaAisha-rh1fc
      @AishaAisha-rh1fc 3 года назад +1

      Wazuri ndugu yangu wengi nandio wanaongoza kwa umalaya na kudanga uyo mwanamke mumshauri atulie

    • @victormushi6641
      @victormushi6641 3 года назад

      WAKO HANA MTIHANI?

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 года назад +1

      Umeona eee🤔🤔

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 года назад

      @@salimdzuya5480 aaaah www nan kakwambia hayo maneno tu broo ata kwa khanga yapo

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 3 года назад +7

    Nimefurah kuona mmeludiana Mungu awabariki

  • @fredyfundi6
    @fredyfundi6 3 года назад +7

    cha msingi brooo punguzen matangazo na cha msing tambua mahusiano ni uwanja mpana saaan BEKA ....ko jaribu kujua kuwa huyo ndio mke wako wa dhat ikiona kiza kinakuwa kinene ndo kunakucha mpende mke wako......afu jaribu kuangali kuwa asiyekosa ni mungu

  • @netlity5532
    @netlity5532 3 года назад +30

    Jamani yote Kwa yote vijana wenzangu tutafute hela...siongei Sana mwenye kuelewa kanielewa

    • @junioryasin5306
      @junioryasin5306 3 года назад +3

      Kwakwel tuachane na mademu yanatupotezea muda tu hayana maana

    • @josephatjordan5560
      @josephatjordan5560 3 года назад

      Tutafute hela tuachane na mademu!!!Ukiwa nae akizngua chapa mbele hamna kujenga kibanda

    • @junioryasin5306
      @junioryasin5306 3 года назад +1

      @@josephatjordan5560 off course

  • @tibubandar413
    @tibubandar413 3 года назад +3

    Ushauri wangu Beka huyu dem hakufai....hawezi kunukuu maneno ya konde eti "Bwana ako kanijibu upumbavu"

  • @qatarqqt8013
    @qatarqqt8013 3 года назад +14

    happy wewe ni 🔥🔥🔥😁😁

  • @thisiszai2045
    @thisiszai2045 3 года назад +12

    Happy shikilia kwenye msimamo wako wa ndoa, Mungu akuongoze

  • @lilianjohn2077
    @lilianjohn2077 3 года назад +5

    Happy Reuten you're so cute🥰🥰🥰🥰🥰.......love you moreeee ❤❤❤❤❤

  • @karimujuma6595
    @karimujuma6595 3 года назад +10

    Ukiwa na mwanamke mzuri ni sawa na kulima shamba la miwa karibu na shule umia tu beka ulimtangaza Sana

  • @alexsamwel3033
    @alexsamwel3033 3 года назад +3

    Dah!!! Xa cjui Beka unatak mungu akupe nn tenaa ndg yng

    • @sayunwilliam8351
      @sayunwilliam8351 3 года назад +1

      wewe beka pumbavu zako kuoa utaki alafu unampangiee maisha

    • @AnethJoseph-m5i
      @AnethJoseph-m5i 5 месяцев назад

      Sio lazima ndoa kama mpaka mmezaa heshima lazima na mipaka ifatwe

  • @asifiwekasege4662
    @asifiwekasege4662 3 года назад +1

    anae muonaa bekaa anavoongaliaa kwa aibuu gonga like

    • @kisokakasuku2137
      @kisokakasuku2137 3 года назад

      Ukiona mwanaume hajiamini kwa mke ,jua nayeye nimchafuzi

  • @umutoni-roussel5233
    @umutoni-roussel5233 3 года назад +3

    You fighting for your love
    And I believe harmo understand this

  • @graceamadi2141
    @graceamadi2141 2 года назад +3

    Go gal you are right that's your right stand firm

  • @nicksonhelman3436
    @nicksonhelman3436 3 года назад +5

    Ila pisi Kali du vijana sijui tunataka nn baadaye tutaowa waganga sasa

  • @jojininga1780
    @jojininga1780 3 года назад +4

    Nimempendasana dada kahongea ukwelisana hanajitambua Sana uyodada

  • @superwomen6506
    @superwomen6506 3 года назад +6

    Ssafi happy akuowe shida ni nn tunataka ndoa 😊😊😊😊😊

  • @sarahsimon8060
    @sarahsimon8060 3 года назад +6

    Huyo mwanaume anataka kumpotezea muda halafu amwache

  • @charlesmyamba5292
    @charlesmyamba5292 3 года назад +7

    Beka funga ndoa mbna ka unajibu jeuli vle hujiamin kidume ?

  • @winfridahubert4072
    @winfridahubert4072 3 года назад +6

    BEKA ACHA MANENO YAKO MUOE MTOTO WA WATU ACHA KHMUWEKEA MASHARTI KAMA VILE UMEMUOA....BINTI ANAKUPENDA HALAFU NI MCHAPA KAZI LAKIN UNAMZIBIA NA KUMUHARIBIA MUOE KAMA HUTAKI HAPPY MOVE ON KUWA NA MTOTO SIO KIGEZO CHA KUMFUNGA MTOTO WA WATU😏

  • @ClaireHappy
    @ClaireHappy 3 года назад +9

    Safi sana Happy🔥🔥🔥❤️

  • @adamsaga6700
    @adamsaga6700 3 года назад +4

    Kanyagia Dada umenipunga mno amekuzini miaka minane akuowe big up happy

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 3 года назад +1

      Good point

    • @mrkje4727
      @mrkje4727 2 года назад

      Beka simamia msimamo wako ww mtoto wa kiume hongera sana

  • @saneathanas8547
    @saneathanas8547 3 года назад +2

    Happy nikikuangalia wewe ni mrembo,unaheshima na nimwanamke ambae ni ndoto ya kila mwanamme.why huyo kijana akusumbue hivyooo?hebu tulia Mungu akupe mwanamme sahihi kwako

    • @nivicaspect3597
      @nivicaspect3597 3 года назад

      POINT!!!

    • @richardjuma6405
      @richardjuma6405 3 года назад

      U Kuma nn ebu acha kushauli utumbo kwenye hamna afu nakuomba uelewe ujinga n hasara nyooooooooooo

  • @issahussein9224
    @issahussein9224 3 года назад +2

    Bro Beka pls muowe mtoto ...mstarabu uyooo kwakumskiya uyooo....mipango hali tena iyo nahunahishi naye bro Beka

  • @fredyfundi6
    @fredyfundi6 3 года назад +4

    hao wanapendana but POINT NI KUSIKILIZANA TUU

  • @gibsonntamamilo490
    @gibsonntamamilo490 3 года назад +1

    Beka yuko sawa. Huyu dada hajitambui. Ukishakuwa kwenye mahusiano na mtu huwezi kufanya hayo na mwanaume mwingine bila kumtaarifu. Hata mimi lazima ningeliamsha dude tu. Usipokuwa na wivu kwa mpenzi wako basi unazuga naye. UKWELI UBAKI KUWA UKWELI HUYU BEKA NI MWANAUME A.K.A BABA ASIYETAKA UJINGA.

  • @stephaniem408
    @stephaniem408 3 года назад +1

    Beka my brother.mbona unakataa Happy kuonekana kwa vidio na wakati anavaa nguo nzuri.ila wewe unacheza wimbo na wanawake wakivaa nguo za aibu naukiwashikashika.I love you Happy,uko dada mzuri sana.

  • @mobbael9473
    @mobbael9473 3 года назад +13

    No reason 4 breakup,
    Settle your things to spare your relation.

    • @chainbre275
      @chainbre275 3 года назад +1

      But the lady want to be officially married but seems beka isn't serious about marriage and this will make beka kumpoteza this humble lady

    • @eddymsese8747
      @eddymsese8747 3 года назад

      We mnafiki beka bint kaxania msimàmo wako mpe muda was ndoa akizingua ukimpata was kukuoa olewa asikupotezee muda na usirud mpaka ndoa

  • @nurahyusuph9771
    @nurahyusuph9771 3 года назад +12

    Nakupenda happy Wang jamani 💯❤

  • @ericasimon9631
    @ericasimon9631 3 года назад +6

    Mmegombana halafu mnaenda wote kwenye interview ushenzi huo

  • @Sppah697
    @Sppah697 3 года назад +5

    Happy, she is so sweet!

  • @hassanjr5318
    @hassanjr5318 2 года назад +1

    ila haka kademu fresh sana 😀😍❤️

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 3 года назад +10

    Happy kuwamakini kwamaoniyangu husiyo muowaji mtaniambiya mbelenihuko 🤣wemzuli jiwongeze fanyakazi popotepale babamtotowako anaonekanajeuli😂nawakati hajakuowa Be free🥰😂

    • @coletashirima2193
      @coletashirima2193 3 года назад +1

      S anafanya kazi kwani

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 3 года назад +1

      Kabisa yaan beka sio muoj uyu anamuumiza tu happy wa watu.

    • @mussamayele3134
      @mussamayele3134 3 года назад +2

      beka mpe kazi ya maana mkeo izo kz ambazo uzitaki . daa pumbavuuuu beka kumbe hujamuowa kumanyoko we beeka

    • @mussamayele3134
      @mussamayele3134 3 года назад +1

      beka msenge uyo demu mzr angalia utapokonywa watu wanaona na mate yanawadoka ujue

    • @piumagoha
      @piumagoha 2 года назад

      Hayo yote mnayomshauri mwanamke mwenzenu mjue mila nazo zipo. Mwanamke anayejielewa awezi fanya huu ujinga anaoufanya. Kwani kumwomba tu ruhusa nayo ni shida? Kama hawezi aende tu. Nipo upende wa Beka 100%

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 3 года назад +9

    Mwamba uoe acha sheria wakati huko nje ya sheria mpuuzi ww.

  • @halimafazeli52
    @halimafazeli52 3 года назад +2

    Dada umenikuna panapo washa ww njoo unywe soda kwaza😍 Kam ajakuwowa unafanya kazi

  • @sarahlimbu706
    @sarahlimbu706 3 года назад +8

    i feel you happy na uko mjeuri km mimi😂😂🤣😍

  • @fatumakassim64
    @fatumakassim64 3 года назад +17

    Sawasawa mwanamke mwezangu taka ndoa

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 3 года назад +3

    Huwezi ukamlimiti mkeo kwa mtindo huu huo ni ushamba, na wakati mwinzio yupo kazini we mbona humpi hata elfu kumi za matumizi,

  • @yasiniibrahim3335
    @yasiniibrahim3335 3 года назад +6

    apo mwanamke yupo sawa uwezi kumpangia mtu sheria kabda hujamuoa , we bint ukipata mume olewa

    • @fainajaffary4070
      @fainajaffary4070 3 года назад +1

      Kunywa soda nakuja kulipa aisee

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 3 года назад +1

      Kabisa afu msichana mzur sijui anakwama wap,..Kama hamtak aachie ngaz watu wambebe chap

    • @fainajaffary4070
      @fainajaffary4070 3 года назад

      @@janethkilonzi4260 wasanii kuoa kaz sana kwa nadra sana mana vichupi wanavyo vingi😏😏😏

  • @mlasiapolina7774
    @mlasiapolina7774 3 года назад +2

    Yahani wewe Dada big up ni mekupenda bureeeee ni mwongo huyo

  • @imakulatasumaye6818
    @imakulatasumaye6818 3 года назад +4

    Dada dowa haiombwi akikuowa siku mki gombana atakwambia aulimulazimisha shauri yako chamsingi asikubane

    • @priscaherman5302
      @priscaherman5302 3 года назад

      Kwaiyo unataka wazini mpaka lini

    • @imakulatasumaye6818
      @imakulatasumaye6818 3 года назад

      @@priscaherman5302 kwahiyo unataka waowane siku mbili wameachana olewa ukiwa na uhalika kuna upendo wa kweli na usidhulumu moyo wako maan doa siyo kitu ya kujaribi mtu hana upendo na wew una mlazimisha akuowe haya amekuowa siku mkigomba anakwambia kwanza ulinilazimisha mimi sikuwa na mpago utafanyaje? Kingine mwana ume mwenye upendo na wew umezaa naye ameona mmegombana hata kama chumba ni yake anatakiwa akupishe wew chumba usisumbuke wew na mtoto yeye akatafute kwingine na siyo wew ukahagaike kutafuta chumba ni kweli kuzni siyo kitu kizuri lakini kama huna uhakika na unapo peleka moyo wako usifanye kwahara ni mawazo yangu

  • @ahmedsalim4930
    @ahmedsalim4930 2 года назад +1

    Best advice keep it up babie girl🍹👍🏽👍🏽

  • @kisokakasuku2137
    @kisokakasuku2137 3 года назад +1

    Ukiona mwanaume hajiamini kwa mke jua nayeye nimchafuzi

  • @amirijr
    @amirijr 3 года назад +4

    Yaani mahusiano ya wasanii bwana, bora hawa wa kwetu kina Mwajuma ndala ndefu na Aisha mashuzi hawana mambo mengi.

    • @salamafulu2185
      @salamafulu2185 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣nimecheka Kama Sina akili kiukwel

    • @agaowajouniar6614
      @agaowajouniar6614 3 года назад

      🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐

    • @rosejulius7597
      @rosejulius7597 3 года назад

      Beka Shemeji yangu mrizishe mdogo wangu nawapenda hote

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 3 года назад +10

    Mm mwenyewe naona beka hayuko tayar happy mwambie ndoa kwanza kuzini ni dhambi na yeye anajua

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 3 года назад +1

    demu anajuwa haki yake lkn wamefanya makosa kuweka mambo hadharani.lkn ni biashara zaidi

  • @calvinkasaje1938
    @calvinkasaje1938 3 года назад +2

    Kama mwenzio unamwamini masharti ya nn! Hayo masharti yatafanya uchelewe zaid kuoa, coz yanapunguza mapato. Unajibebesha zege

  • @blessingsfredi4666
    @blessingsfredi4666 3 года назад +7

    Nilichogundua hawa watu wanapendana Ile mbaya

  • @raykim6420
    @raykim6420 3 года назад +1

    Beka flavor uko good sana & uko wise👍👍 huyo dem ni Jezebel

  • @fidelisvenance6431
    @fidelisvenance6431 3 года назад +8

    Iyo zawadi ya valentine mpe mpenzi wako 🤗

  • @madiwarongomba6
    @madiwarongomba6 3 года назад

    R
    Beka acha hiyo demu kiburi mademu wapo wengi mzee

  • @taustaus2737
    @taustaus2737 3 года назад +28

    Huyu dada anapitia wakati mgum kwenye mapenz maana happy anamapenz ya dhati na akipata mtu sahihi atadum ktk ndoa beka bado anamambo ya ujana mbona kuna vijana wadogo wako ktk ndoa na wametulia

    • @sniperbogo6210
      @sniperbogo6210 3 года назад +3

      Tatzo lenu ndio hilo inawezekana nyie ndo wtu mnaomshaur huyu dada afanye anachokitaka kisa hajafunga harusi

    • @shadowmedia7644
      @shadowmedia7644 3 года назад

      Like me

    • @taustaus2737
      @taustaus2737 3 года назад

      @@sniperbogo6210 kabisa yani kama ningekua nikonae karibu ningemshauri ili baadae asije kujuta kupenda pasipo pendeka

    • @sniperbogo6210
      @sniperbogo6210 3 года назад +1

      @@taustaus2737 utakoma na roh mbaya yako haachiki mtu na akitusumbua tunakoroga uji tumuharbu ile sura kwasababu ndiyo inayompa kibri afu tunamuacha aendelee na video vixsen

    • @taustaus2737
      @taustaus2737 3 года назад

      @@sniperbogo6210 utakoma mwenyewe nakihereherechako kama kuku anataka kutaga mayai

  • @khadijaali4620
    @khadijaali4620 2 года назад

    Hey beutefull don't west ur time u still Yung sioni love hapo kwa huyo jamaa

  • @abdulkihanza4431
    @abdulkihanza4431 3 года назад +1

    Bw Beka huyo bint anakupenda Sana Sana, hivo usifanye utani utamkosa, fanya uwezavyo umuoe mtoto mashallah

  • @adbashtv6701
    @adbashtv6701 3 года назад +3

    Huyu demu boya sana unawezaje kufanya vitu eti acha nifanye nitamwambia nyumbani. Hata kama ni wewe lazimauzingue

  • @abdallahsimba1660
    @abdallahsimba1660 3 года назад +6

    Jmniii tuweni mknii kweny kuchagua wachumbaaa

  • @issaissah8832
    @issaissah8832 3 года назад +4

    Mapenzi ya mitandao kwahyo Ayo ndio mzazi wenu au alafu we beka Wacha wivu hataivyo uyo si mkeo

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 3 года назад

      Kabisa kabisa,sababu beka hatak kumuoa ndio sababu ya hayo...muoe uwe na haki

  • @hellenpaul2149
    @hellenpaul2149 2 года назад

    Happy nakupenda Bure dear jaribu kua na msimamo wako love mwanaume asikuzoe sanaaa

  • @zainabumashine3542
    @zainabumashine3542 3 года назад +1

    Nyie kina kaka mnatutesa
    Sana mwanamke kumuacha
    Mwanaume anaempenda kazi sana
    Mtuurumietu

    • @shadowmedia7644
      @shadowmedia7644 3 года назад

      Zai mashallah wewe jaman 😍😍😍😍😍😍😍🙏

  • @mzozofilmproductionm-f-p1744
    @mzozofilmproductionm-f-p1744 3 года назад +3

    Aise huyu mwanamke anahakili sanaaa dah! Kiukweli beka kapata mwanamke jamani dah!

  • @prospermaturo2378
    @prospermaturo2378 3 года назад

    We msikilize mumeo acha kiburi cha fedha. Beka upo sahihi broo sharaut

  • @TwalibuMussa-i3m
    @TwalibuMussa-i3m 4 месяца назад

    Brother wanawake wote wazur uwa sio wa kuoa ni wakuchapa unaondoka alafu maarufu oa mwanamke wa kawaida atakae kueshimu kusikiliza agalia wote waliodumu kwenye ndoa wake zao wakoje

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 3 года назад +1

    Hongera Sana kwa kuka nakutafakari kua haya nimaisha na baada yahaya Kuna mengine

  • @muzneali387
    @muzneali387 3 года назад +2

    Kweli kabisa dada SHIKA msimamo wako

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 3 года назад +7

    Alafu huyu kijana ni mnafki sana, tena nasema tena, miaka takribani 3 iliopita alihojiwa kuhusu ndoa akasema ndoa imesha pita, hau ilikua imepita na upepo?

  • @rashidywadobwa2792
    @rashidywadobwa2792 2 года назад

    Akuna kufanya vidio safi becka

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 3 года назад +1

    Nikwli lakin dada yang ulivo fanya kwnn wazoni hakum abiwa usirudie tena dada yang lida ndowa yako achana Allah awalide beka naoba umuowe ❤🇴🇲😅

  • @vitalresspeter7295
    @vitalresspeter7295 2 года назад

    vizuli sana zingatia uwo msimamo benka binafsi tunawajua jisi walivyo binafsi nakupa hongera tu

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 3 года назад +1

    Kaliwa mtoto nzuri acha ushamba beka video vixen ni kazi wanalipwa dolla or pound 200-300 acha mtoto nzuri ajipatie ridhiki mjini hapa usimbanie na wivu wako hizo ni stress za muziki

    • @kisokakasuku2137
      @kisokakasuku2137 3 года назад

      Exactly ndugu ile ni kazi halali Kama kazi zingine cio kweri kuzarau vixien ata akilipwa laki 2 ninyingi Sana kwamaisha yasasa.Beka cio Kama hataki Bali wivu tu umemjaaa hajui mjini nikujiongeza,Kama vipi aache uyo mke asimzuie riziki wanaume tupo.

  • @abelmchenga50
    @abelmchenga50 3 года назад +2

    Toa mahali beka mbona mwanamke mzuri tu achana na mawazo ya kuwaza mwanamke mwingine hayo yote hayana faida yoyote nakusihi kaka shemeji yetu anakupenda nenda katoe mahali. Uschelewe wahi nazani mahali yenyewe sio yakusema kwamba huna s kweli fanya ivo ndugu

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi2089 3 года назад +1

    Bekha anazingua! mwanamke yuko tayar kwa kila kitu.

  • @mkundegift6097
    @mkundegift6097 3 года назад +1

    😂😂😂🔥🔥dah yn happy anaongea jmn lkn safi dada ake umejitetea vzr mno

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 2 года назад

    Beka mtoto mzuri huyo unasubir Nini kufunga ndoa, Kama mapungufu kila binadamu anayo nikuelekezana tu pale mmoja anapokosea

  • @alimsonera8501
    @alimsonera8501 3 года назад +5

    Huyo jamaa hana akili au ndo Kiki . Mambo ya ndani anaweka hazarani. Na huyo mwanamke anaonesha hamtaki tena.. huyo jamaa hatakiwi tena

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 3 года назад +2

    mdada mzuri maashaallah

  • @yusramadodo8269
    @yusramadodo8269 Год назад

    Wanawake tunatolewa mbali sana halafu tunajisahau mheshim sana beka kakutoa mbali na beka nimuelewa San pia toka kwenye mahusiano tunawafuatilia San pia dada tunakupenda San na pia jichunge San dada dada beka anakupenda sana utakuja kujutia

  • @apolinemalungano433
    @apolinemalungano433 3 года назад +3

    Happy yuko sawa huyo Beka wivu tu nakumpotezea mda

  • @fainajaffary4070
    @fainajaffary4070 3 года назад +3

    Happy safi sana akuoe jaman😅🤣🤣😍😘

  • @baenimuhimafabrice
    @baenimuhimafabrice 3 года назад +2

    Bwana beka flavour inakubidi ku tafuta hela .
    Na nyingine inakubidi ujiamini kiukweli mke wako anakupenda ila punguza wivu ongeza mahaba .
    Ka dada ka watu bado ka dogo sana usimpe stress kwaajili ya urembo wake nimeamua kuku foll instant and RUclips ila ukizingua we subiri

  • @geomangi6123
    @geomangi6123 2 года назад

    kiukweli ukiona mwanamke anaomba ndoa jua kaamua kunsettle. beka akomae kiakili amuoe binti. happy marriage guys.

  • @halphanhamisi1795
    @halphanhamisi1795 2 года назад

    Sahihi br beka sikupng

  • @ramadhanikibenga6317
    @ramadhanikibenga6317 3 года назад +1

    SAFI SANA BINTI AKUOE KWANZA NIMEKUKUBALI SANA BINTI SHIKILIA HAPO HAPO SAFIIIIIIIIII

  • @janewashe7276
    @janewashe7276 3 года назад +1

    Happy umeongea point 👏👏👏👏👏👏👏afunge ndoa basi

  • @hellenpaul2149
    @hellenpaul2149 2 года назад

    Beka yupo sahihi na anachokiongea na amesema hataki mwanamke wake awe vixen basi haina haja ya malumbano mengi

  • @nasrahsamwely6871
    @nasrahsamwely6871 3 года назад +3

    Anachekesha uyu bint 😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️💖💖💖💖

    • @charlesbaba8820
      @charlesbaba8820 3 года назад

      Kama humuoiii muachee nimuoe

    • @nasrahsamwely6871
      @nasrahsamwely6871 3 года назад

      @@charlesbaba8820 alafu ni mrembo Mashaallah ❤️❤️❤️

  • @linarchristian4960
    @linarchristian4960 3 года назад +1

    Masharti mengi na haujaoa..shida

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 3 года назад

    Mwanamke mzur adi rahaaa wwecheusi mangara mwezangu owa my PONIPONI

  • @ramadhanrajab2872
    @ramadhanrajab2872 3 года назад +2

    Becka unazingua asbh kwenye Leo tena ulisema hutakikuhojiwa tena nahautafanya tena interviu yaleotena ndioilikua ya mwisho mbona bd unaendelea kuhojiwa

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 3 года назад

      Ukiwa clouds ukitoka lazima ukutane na AYOTv sababu ayo anafanya kazi pale..kwahyo interview zimefanyika siku moja.

  • @patrickjacksoni5393
    @patrickjacksoni5393 2 года назад +1

    Nimekuelewa sana beka

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 3 года назад +3

    Mambo hovyo na ya aibu hapa duniani utayakuta kwa wasanii,hasa wa muziki na filamu.Kuanzia muonekano wao mpaka matendo yao.

  • @swamweliteobady4496
    @swamweliteobady4496 3 года назад +2

    Huyu Dada ameongea vzr sana kama umemfatilia

  • @lucylucy2404
    @lucylucy2404 3 года назад +2

    Beka nahisi unamchezea huyo dada kwanin usioe mbk unafosiwa

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 3 года назад

      Yaaaan beka unazingua ..msichana mzur sijui nn shida

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 3 года назад

    BEKA HUYO MWANAMKE ANATAKA NDOA, NA UKIONA HIVO KUNA MTU ANATAKA KUMPA USIPOANGALIA UTANYANG'WA AISEEE.. HUYO MWANAMKE UJAMUELEWA ANACHOTAKA,,, ANATAKA NDOA HUYO.

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 3 года назад

    MUNGU awafanyie wepesi waowane Beka kapata mke mrembo sana na wanapendana

  • @gloryprotas1043
    @gloryprotas1043 2 года назад

    Nimeipenda hyooo jaman duuh dada kaongea point

  • @sikudhanimohamedi2653
    @sikudhanimohamedi2653 3 года назад +1

    Tafuta hela happy hana mipango wa kukuoa huyo