MBUNGE KISHIMBA AWACHANA MAWAZIRI, AONGEA KWA UCHUNGU "HAKUNA PESA MADUKA YOTE YAMEJAA PLASTIKI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июн 2024

Комментарии • 19

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 29 дней назад +5

    Prof Kishimba ule mpango wako wa bangi kuazao la bishara iliishiwapi?

  • @stevenmahinda657
    @stevenmahinda657 29 дней назад +2

    Sheria nyingii za faini hazitekelezeki so inatengeneza mazingira ya rushwa...ni afadhali kwa mfanyabiashara kutoa rushwa ya 50,000 kuliko million 15

  • @BlazeSunshine-je1zt
    @BlazeSunshine-je1zt 28 дней назад +1

    Safi mbonge wetu mungu akusimamie

  • @obbybenitho5803
    @obbybenitho5803 29 дней назад +2

    Mbunge kishimba namuamini sana father 😢😢😢😢

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 29 дней назад +2

    Unajua nchi hii wafanyabishara wanashughulika sana kuhakikisha wanajenga uchumi wao binafsi na ili mitaji izidi kukua wachangie pato kwa umma lakn ubaya unakuja serikali inatumia nguvu nying sana kuwabana wafanya biashara wadogo na wa kati huku pesa hizo zikikusanywa zinaenda kupotelea mikononi mwa serikali yenye dhamana ya kusitawisha nchi. Si bora na wao wakwepe kodi.

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 29 дней назад +1

    Mil'15 watafunga wengi ndy maana wafanyaBiashara wametangaza Kugoma

  • @user-jn3jh7yp3w
    @user-jn3jh7yp3w 29 дней назад

    Asante Sana kishimba, Chloroquine ndyo Dawa halisi ya malaria,huu mpango wa mseto ni mpango wa kutupunguza tu watanzania

  • @dottomatola5905
    @dottomatola5905 29 дней назад

    Khasante mbunge wangu mitano tena

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 25 дней назад

    Unasema ukweli Mbunge Kishimba uko wazi hali ni mbaya sanaaaa kwenye mahospitalini

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 28 дней назад

    Huyu mzee anasema ukweli hii sheria itasababisha TRA wote wakae mtaani wawe wanakagua risiti ili wapige watu fine na kukusanya rushwa

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 23 дня назад

    Hayo mawazo yako kishimba ni ya kipuzi.
    Ukisha waruhusu madoctor wataanzania wataiba dawa nakuziuza kwenye hospital zao..

  • @user-ku4xq4nd9v
    @user-ku4xq4nd9v 29 дней назад +1

    Tunaogopa hata kufanya biashara

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 29 дней назад

    Sema baba japo ukweli unauma waambie tu mana nikweli kabisa mtu kama hanapesa anafia kitandani bila matibabu na akifa ndugu watalipa bili yote wakati mtu akutibiwa nyie nchi hii Ina waywa damu sana

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia 29 дней назад

    Genius

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 29 дней назад

    Shamba la serikali ni walipa kodi wake. Serikali inachukua kingi na kuchukua kingi ni kutumia nguvu. Hilo chimboko la kutotoa listi

  • @ibrahimbaila7764
    @ibrahimbaila7764 29 дней назад

    Nilisema ata ile sheria ya mimba wangekua wanashikwa wanawake .

  • @JacklineswaniMakindo
    @JacklineswaniMakindo 29 дней назад +1

    Ni wajibu wa muuzaji kutoa risiti..na si ombi

    • @ce-08
      @ce-08 28 дней назад

      Na ww mteja n wajibu kudai