Unajua nchi hii wafanyabishara wanashughulika sana kuhakikisha wanajenga uchumi wao binafsi na ili mitaji izidi kukua wachangie pato kwa umma lakn ubaya unakuja serikali inatumia nguvu nying sana kuwabana wafanya biashara wadogo na wa kati huku pesa hizo zikikusanywa zinaenda kupotelea mikononi mwa serikali yenye dhamana ya kusitawisha nchi. Si bora na wao wakwepe kodi.
Sema baba japo ukweli unauma waambie tu mana nikweli kabisa mtu kama hanapesa anafia kitandani bila matibabu na akifa ndugu watalipa bili yote wakati mtu akutibiwa nyie nchi hii Ina waywa damu sana
Prof Kishimba ule mpango wako wa bangi kuazao la bishara iliishiwapi?
Sheria nyingii za faini hazitekelezeki so inatengeneza mazingira ya rushwa...ni afadhali kwa mfanyabiashara kutoa rushwa ya 50,000 kuliko million 15
Safi mbonge wetu mungu akusimamie
Mbunge kishimba namuamini sana father 😢😢😢😢
Unajua nchi hii wafanyabishara wanashughulika sana kuhakikisha wanajenga uchumi wao binafsi na ili mitaji izidi kukua wachangie pato kwa umma lakn ubaya unakuja serikali inatumia nguvu nying sana kuwabana wafanya biashara wadogo na wa kati huku pesa hizo zikikusanywa zinaenda kupotelea mikononi mwa serikali yenye dhamana ya kusitawisha nchi. Si bora na wao wakwepe kodi.
Mil'15 watafunga wengi ndy maana wafanyaBiashara wametangaza Kugoma
Asante Sana kishimba, Chloroquine ndyo Dawa halisi ya malaria,huu mpango wa mseto ni mpango wa kutupunguza tu watanzania
Khasante mbunge wangu mitano tena
Unasema ukweli Mbunge Kishimba uko wazi hali ni mbaya sanaaaa kwenye mahospitalini
Huyu mzee anasema ukweli hii sheria itasababisha TRA wote wakae mtaani wawe wanakagua risiti ili wapige watu fine na kukusanya rushwa
Hayo mawazo yako kishimba ni ya kipuzi.
Ukisha waruhusu madoctor wataanzania wataiba dawa nakuziuza kwenye hospital zao..
Tunaogopa hata kufanya biashara
Sema baba japo ukweli unauma waambie tu mana nikweli kabisa mtu kama hanapesa anafia kitandani bila matibabu na akifa ndugu watalipa bili yote wakati mtu akutibiwa nyie nchi hii Ina waywa damu sana
Genius
Shamba la serikali ni walipa kodi wake. Serikali inachukua kingi na kuchukua kingi ni kutumia nguvu. Hilo chimboko la kutotoa listi
Nilisema ata ile sheria ya mimba wangekua wanashikwa wanawake .
Ni wajibu wa muuzaji kutoa risiti..na si ombi
Na ww mteja n wajibu kudai