SHUHUDIA DULVAN ALIVYOTAKA KUKIMBIA STUDIO / KISA KIZIMA HIKI HAPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 1 тыс.

  • @lilymammpayo8299
    @lilymammpayo8299 3 года назад +195

    Big up Kwa EFM 👏👏👏
    Huwezi kuona huu ujinga🤔
    Dondosha like twende pamoja

    • @mwinjanavil
      @mwinjanavil 3 года назад +2

      huyo diva ndo kapeleka maupumbavu hapo

    • @cuthbertsafari3999
      @cuthbertsafari3999 3 года назад +2

      Redio vipindi ovyo sana

    • @haarunsaidabdillahi4082
      @haarunsaidabdillahi4082 3 года назад +2

      Wasafi hamna dressing code? Dulvan anafanya interview akiwa amevaa nguo ya kulala..pyjama ! Hovyooo
      Mtangazaji pia hovyooo.Ongea Kiswahili tu.

    • @rubniyi3551
      @rubniyi3551 2 года назад

      @@haarunsaidabdillahi4082 nimeshangaa

    • @fadymoses4994
      @fadymoses4994 2 года назад

      👏

  • @avitydamian1994
    @avitydamian1994 3 года назад +346

    Kama nawewe unaamini kuwa hizo ni kiki nipe like

  • @nyabaplussheila6541
    @nyabaplussheila6541 3 года назад +66

    Sasa kwanini kuja ku tangaza mimba kwenye television kama radio!? Kwani wasafi ni familia ya Dulvani wala Diva mama yake ao Dada yake... tz mupo ajabu! Pole sana Dulvani

  • @chanzehabib4243
    @chanzehabib4243 3 года назад +1

    Ukiona mahojiano wasafi radio jua kiki kama unamini nipe likes zangu

  • @carolabel7972
    @carolabel7972 3 года назад +85

    Unakuja wasafi kucharge simu😂😂😂 Dullvani hapo amewezaa

  • @Ajneb.
    @Ajneb. 2 года назад +4

    Huyu dada amechizi labda, unakuja kucharge wasafi kweli💔💔💔

  • @mariammwanzalila9010
    @mariammwanzalila9010 3 года назад +21

    Huyu mdada muongo hivi uwende sehemu bila simu like serious😁

  • @mwinjanavil
    @mwinjanavil 3 года назад +70

    anayeamini hii kiki ni moja kati ya kiki mbovu sana zaid ya zote anyooshe kidole...
    na aliyeona dulvan kavaa night dress nani

  • @patrickvove
    @patrickvove 3 года назад +30

    Dulvani kajibu smart mission passed and respect ila chini kunamambo 🥵🥵🥵🥵

  • @alexanderkibona8478
    @alexanderkibona8478 2 года назад

    Yani mungu atutie ufaham jaman alaf icho kiengerza chanini jaman wote apo wabongo

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 3 года назад +8

    Uyu dada nimemuonea huruma,wadada muwe munaangalia na watu wa kudate nao .Na hii tabia ya kulia kisa mimba sielewi.Mjitaidi kujitegemea jamani.Subiri mtoto azaliwe,sasa mimba tu jamani kelele.!!wadada mnatuangusha..mimba sio ugonjwa.ukipata kisa kama hiki tulia kwanza uzae,sio mimba tu unaanza kelele.sio nzuri.

    • @dianamuniro8129
      @dianamuniro8129 3 года назад +1

      Kweli kabisa yaaani nikuvumilia tu mambo mengine kujidhalilisha

    • @rawhiyarajabu7324
      @rawhiyarajabu7324 3 года назад

      Huyo dada n muongoo bhana

  • @allymkamba1054
    @allymkamba1054 3 года назад +2

    Utopolo mtupu, kazi ya vyombo vya habari ni kubwa sana kwenye jamii kuliko kufanya huu upuuzi.

  • @jackson742
    @jackson742 3 года назад +5

    This guy seem very humble.

  • @husseinalibhai7311
    @husseinalibhai7311 3 года назад +2

    Divaa usiangaikee kama dulvan atakii nipee mtotoo mm ntalea Baba Wawa totoo wotee wanao kataliwaa

  • @justfun-gb6fn
    @justfun-gb6fn 3 года назад +7

    TODAY I'VE SEEN
    .....DULLIVANI IS A.... REAL MAN

  • @aishaabdallah2088
    @aishaabdallah2088 2 года назад

    Wewe dada ni fala Sana unalazimsha kuzaa na mtu bwege we tafuta pa kwenda rizki ailazimishwii

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 3 года назад +36

    Msicho elewa Ni kwamba Sisi WASANII atushindwi kumuomba dada Fulani atusingizie Jambo alafu tujiandae namna ya kujitetea mwisho wa siku Kiki napata dada anapata Kiki mtangazaji anapata kontent mjinga shabiki ninae kuja kuona na kukoment hapa

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 3 года назад

      Mmh basi hapo wamechemsha maana uhalisia haupo.

    • @homan_nkwama
      @homan_nkwama 3 года назад +2

      Arnhem Zuid Awawezi kuchemsha mana wao wanafanya biashara katika WIN WIN situation Yani hawana cha kupoteza ndio mana bado tunawajazia comments hapa DUNIA aitaki uwe silias utazeeka haraka just enjoy ila Raha ujue unachofanya mfano mm naangalia maigizo ya staa wangu diva na wahusika wake😄

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 года назад

      @@homan_nkwama Duuh!!!! Umenifungua Macho kweli. Nimejiona mjinga kupita kiasi kuingizwa BUSH nikiwa mjini🙄🙄🙄🙄

    • @collihmushi5944
      @collihmushi5944 3 года назад

      😂😂💔

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 3 года назад +1

      Hii coment yko kwa uwezo wa mungu nmefunguka akili cendelei tena kupotez mb zangu kizembe

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya8754 3 года назад +14

    I'm a woman but something is not adding up, Diva this lady is lying, PERIOD!

  • @luttertv1656
    @luttertv1656 3 года назад +1

    Ushaona wap unaenda mahakamani bila Usha idi et simu ipo charg khaaa we gonga like tusonge

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 3 года назад +19

    Wewe mtangazaji "careful" unaweza kuharibu destiny ya mtu. Hayo maswali unayomdadisi huyo binti mlipaswa kuhakiki kabla ya ku face microphone na kuongea na dunia mambo ambayo wewe mwenyewe umesema kuwa watu wanaweza kutunga story kupata kiki. Zaidi ya maneno aliyokuambia huyo binti, bila kuyahakiki umeamua kumwita huyo kijana na kumpambanisha na public interview. Ni uchanga wa utangazaji hadi unaharibu brand ya mtu bila sababu. Kituo kimwombe radii huyo kijana kama huyo binti atashindwa kutoa ushahidi

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu 2 года назад +1

      Alafu alivyo shoga uyo diva kuma mbona yy akiulizwa kuhusu kulala na patric anakuja juu

  • @munibullahmarunda7051
    @munibullahmarunda7051 3 года назад +1

    Angalia mikono ya huyo dada anaposema "SIMU NIMEIACHA KWA CHAJI" inaonesha kabisa amepoteza confidence.

  • @tamarablack254
    @tamarablack254 3 года назад +4

    Mi nataka kuwa judge....Nahisi Dulvan a take responsibility mpaka atakapojifungua...Then waende DNA..ikipatikana Huyu Mdada Kazengua basi na amlipe Dulvani Hela yake yote na kumchafulia jina na ikawai kuwa Matokeo ya DNA yanamtambua Dulvani kama baba then waendelee kulea. .Basi ..Love from Kenya 🇰🇪

  • @florajames7558
    @florajames7558 3 года назад +1

    Hizo nguo za dulvan sijazielewa 😀😀😀😀😀

    • @lucyalto8751
      @lucyalto8751 3 года назад

      Ni usiku alishavaa nguo za kulalia

    • @florajames7558
      @florajames7558 3 года назад

      @@lucyalto8751 🙌🙌 katisha

  • @nissamwapoladi7345
    @nissamwapoladi7345 3 года назад +45

    Huyu dada muongo.aonyeshe hzo sms kwann hana ushahidi

    • @fadhilmtunha4070
      @fadhilmtunha4070 3 года назад

      Liongo

    • @salumseif1328
      @salumseif1328 3 года назад

      wasafi wanayumba sasa wameanza kumpa kiki lava lava wanakuja kwauyo dulvani mnakela one time

    • @rehemamshele1417
      @rehemamshele1417 3 года назад

      Uyo dada wanakaa mtaa moja na dul

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 Год назад +1

    kiki ndio yale ya lulu diva na lava lava👍

  • @jokhaelsienna6946
    @jokhaelsienna6946 3 года назад +8

    Kitendo Cha kupanic dully unapoteza point😂umeamua kukaza kaza kwel🤣

  • @Bullah_tz
    @Bullah_tz 3 года назад +1

    Ila dullavan khaa jaman kama mwanamke wanaume hatukog ivyo… Ila upande mwingine huyu mwanamke kwangu mm naona anadanganya maana kama ni kwel kwann cm isiwepo tuone Dm ambazo dullavan kama Dm …. Maana dullavan kajiamin kabisa kamwambia nioneshe Dm lakin dem mala nimeacha cm chaj mala nn. .. dem muongo huyo

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 3 года назад +57

    Oneshe ushahid asimzalilishe Kaka Wa watu

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 3 года назад

    Hiyo no ndrama kweli durvan anashangaa umri wa Dada na yeye tofauti kabisa

  • @georgemajani6600
    @georgemajani6600 3 года назад +11

    Love from 🇰🇪🇰🇪

  • @jbm6309
    @jbm6309 3 года назад +1

    Diva fanya kazi yako Acha utoto unaharibu kazi

  • @annemwande6807
    @annemwande6807 3 года назад +7

    Aki nmecheka 😂😂😂😂😂😂ANAKUJA WASAFI KUCHAJ SIMU😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌

    • @samzuuseif
      @samzuuseif 2 года назад

      Yan anafrahisha huyo dada 😆😆

  • @salmagungurugwa6854
    @salmagungurugwa6854 3 года назад +2

    Da zuu Leo kapatikana yupo km kuku mdondo Na hizo nywele zake😂😂😂

  • @RamadhanAli
    @RamadhanAli 3 года назад +13

    Body language ya Dulvani, says more than meets the eye. Huyu jamaa atakuwa anaufahamu na huyu dada, ama their is something fishy.

    • @alireje6806
      @alireje6806 3 года назад +1

      Ya I feel the same...but hongera hakuondoka

  • @ramadhanmgandi7346
    @ramadhanmgandi7346 3 года назад

    Diva umefanya mbaya haukupaswa,kufanya hivo umemkosea sana dull vanny

  • @donhussle948
    @donhussle948 3 года назад +11

    Nenda guide and cancelling ufanye hayo Ila usifanye hapo Kwa studio kama ur doing ur work ya studio ni mengine Ila c hayooo

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv5031 2 года назад +1

    Wasafi mnafeli
    Mnajiharibia

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 3 года назад +4

    Iyo kiki tu km ya love love na Diva mstuguze wazim sisi 😃😃😃tumewashtukia bana

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 3 года назад +1

    *Madada wawili wamekutana kitandani mmoja akapata mimba sasa wanageukana*

  • @josemsafimusic3389
    @josemsafimusic3389 3 года назад +16

    UNAKUJA WASAFI KUCHAJI SIMU 😂😂😂 DAAH DULVAN

  • @silvatv8294
    @silvatv8294 2 года назад

    HUYU DADA MUONGO KIURAHISI TU KWANN SIMU IKO OFF NA HAINA CHAJII HAWA WANALAO KIKI OR HUYOO DADA KACHONGA NA DIVA APATE UMAARUFU
    KAMA UNAKUBALI GONGA LIKE HAPA

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 года назад +4

    Dulvan na nguo zake za kulalia ni noma

  • @neemaedwad7476
    @neemaedwad7476 3 года назад

    Ataww mtangazaji umemkosea dulvan kwann usingemuuliza kwanza dulvan

  • @kikofia.007
    @kikofia.007 3 года назад +6

    From the first appearance of the girl dullvany amepanic.he is responsible

  • @mwitaedward6520
    @mwitaedward6520 3 года назад

    Noma

  • @leahmagaiwa9099
    @leahmagaiwa9099 3 года назад +9

    Huyu Dada ni Muongo,,, muongo Sana hakuna hicho kitu hapa kwa kuongea tu hakuna ukweli hapa!

  • @Fahadi2023
    @Fahadi2023 Год назад

    2023 mmhh😂😂 kumbe alikuwa Sophie wa amelowa.jmn naomben ata like moja

  • @kinakovusanyuprestige6040
    @kinakovusanyuprestige6040 3 года назад +8

    Hivi unaezajee ita mtu kwenye interview bila ya kuniuliza,,,,mmi ukinijaribu na hii ujinga naweza onyesha drama apo kwa studio mpaka diva utaniitia security

  • @levinamwessa7679
    @levinamwessa7679 3 года назад

    Wasafi wanapenda kiki wamekutana nampenda kiki mwenzao

  • @mwiruhabibu2060
    @mwiruhabibu2060 3 года назад +3

    tuliona dulvan kavaa blauzi tujuane🙊🙊🙊🙊

  • @sabraniaikenda3751
    @sabraniaikenda3751 2 года назад

    Ainde akaleee huko anataka Kiki huyo dada katuma wangapi wakikataliwa wanalea wenyewe au anataka aishi maisha ya kifahali

  • @habibamrisho6337
    @habibamrisho6337 3 года назад +5

    Kama ni kweli ww dada ungeonyesha sms kuna uongo ndani yake,ushahidi ni kitu cha muhimu,onyesha ushahidi ili watu wakuamin

  • @eglahjason6558
    @eglahjason6558 2 года назад

    Congratulations my dada nawishi kuwa kama ww love u

  • @rahmahassan7293
    @rahmahassan7293 3 года назад +23

    Sister fatiliaa kama massage zipo huyo dada anaonekana ni Dramaa yaan

    • @rachelmbeyu4385
      @rachelmbeyu4385 3 года назад

      Siameambiwa aonyeshe evidence ati hana simu

  • @chunaamina8719
    @chunaamina8719 3 года назад +2

    Suluhisho n atafutwe Dullyvany halisi, huyo n mama chago kwa hiyo msimsingizie mwenyewe kaja Na Night dress 😂😂😂

  • @cecyxtive4410
    @cecyxtive4410 3 года назад +4

    Serikali iwapee kazi😋😋

  • @antonyvallerian1718
    @antonyvallerian1718 3 года назад

    Mmmh mjini jua Kali....ubongo unayeyuka mdogo

  • @alibinali_
    @alibinali_ 3 года назад +12

    Dullan ushakata mauno kwa dada wawatu sahi wakata 😂😂😂😂

  • @stevenmwakitalu9992
    @stevenmwakitalu9992 2 года назад

    Duuh!! myself I connect understand this stution,

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli4853 3 года назад +29

    Unakuja wasafi kuchaji cm 😂😂

    • @rahmanassor2652
      @rahmanassor2652 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 3 года назад

      😀😀😀😀

    • @mossianahassan9883
      @mossianahassan9883 3 года назад

      😂😂😂

    • @bernahappy2450
      @bernahappy2450 3 года назад

      Tobaaaaa roho yangu nimecheka hadi mkojo lakini ni kweli kwani amekuja wasafi kuchaji cm😂😂😂😂😂😂

  • @suzanaemanuely8788
    @suzanaemanuely8788 3 года назад +2

    Jaman wasichana tuachen drama za kutaka u super staa kwa kutumia wasanii dah jaman tunatia aibu tubadilike,,,, kama huna nyota ya kuwa star tuache t sa kama kwel una hakika na umezamilia kutaka kumuumbua mtu kwanin aache sim si ujinga huu wew dada mmmh kiboko

  • @christopheraine6446
    @christopheraine6446 3 года назад +7

    Wakwanza leo like zangu jamani

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 2 года назад

    Wewe mtangazaji hujafanya kazi yako sawa sawa ! Huyu mwanamke kwa sura tu anaonekana mwongo anatafuta wa kulea mtoto ambaye hajui mhusika.
    Umeiangusha ofisi yako ukiwa na gender mindset ya kumtetea huyo tapeli kwa 7bb t3 ni mwanamke

  • @paulmagige1391
    @paulmagige1391 2 года назад +3

    next time lulu diva you have such an interview,kindly ask the complainant to come over with full evidence on the basis of his/her complains.
    Hii ndo interview immature have ever seen you doing.

  • @p-flovours8151
    @p-flovours8151 2 года назад

    Duh dulvan kime umana mzeee baba 💪😄👉😄😄😄😄😄😄😅😅

  • @stamuboniphace5358
    @stamuboniphace5358 3 года назад +20

    Huyo mwanamke nimuongo

  • @haithamahmed72
    @haithamahmed72 2 года назад +1

    The studio lady is an apropriate to take this studio.ni bora uzugumzee kiswahili ama kingereza na miwani zajuwa ytowe kama heshima😎

  • @glorylema
    @glorylema 3 года назад +7

    Jamani .....dullyvan hii ni mala ya pili wasafi kumzingua 😂

  • @sophyleenpj4312
    @sophyleenpj4312 3 года назад

    Sofia kama Sofia ameharibu jina letu sana sisi kina Sofia hatuforce issues ukiona mwanaume nikama anakwepa majukumu inabidii uache tuu🙌🙌🙌🙌

  • @kingsleykavu5953
    @kingsleykavu5953 3 года назад +5

    Some men are really jokeing wewe Duly simama kama baba ulee mtoto.. kumbuka mtoto atakua kesho na keshokutwa utamjibu nini

  • @bettyobedy8938
    @bettyobedy8938 3 года назад +2

    Jaman naomben kiuliza hyo nguo aliyo vaa dullvan ni nguo ya kulalia au ndo fashion ya saiv nauliza tu jamanii

  • @michaellagwen8198
    @michaellagwen8198 3 года назад +4

    Leo ndo nimejua huyu ni rijali kama kapiga mimba kweli

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 3 года назад +2

    Makubwa haya Suzy acha nipite zangu Mimi sioni ya dulvani

  • @yusufumajid9168
    @yusufumajid9168 3 года назад +10

    Leo mm nimekua wa kwanza 😳

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim5258 2 года назад

    Wanawake wa bongo wanapenda sana mtelemko

  • @johnnabie5445
    @johnnabie5445 3 года назад +8

    Haya so mambo yakuleta redioni nanyi,, mbona hangemwita bembeni?, Lazima redioni.? Watanzania na Kiki jamani 😂😂😂😂😂😂

  • @onesmoisack
    @onesmoisack 3 года назад

    Saf sna dulvany achana nae hyo dada anatafuta Kiki tushamshtukia

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 3 года назад +4

    Diva nakupenda sana ila please kuwa makini na izi interview manake tangu umeanza kipindi cha lavidavi sjawahi kuona content ambayo imenivutia kuangalia mara yapili.
    Hapo mnaonekana mmesuprise dulvan afu sio sawa kwasababu uyo ni star sasa so sio mtu wakumuita tu kihuni kuja kumvamia namna iyo,pili uyo dada ushahidi hana kwanini mnamuonea kijana wawatu???.
    Sjapenda mimi.

  • @swamweliteobady4496
    @swamweliteobady4496 3 года назад +1

    Bac we Dada usipaniki ww nenda kalete cm uwongo na ukweli utajulikana tofauti na hapo hapatakua na ushaidi

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 3 года назад +3

    Hata huyo duluvan na huyo Dem Kuna kitu kitatoke tupo hapa🙄

  • @asmahiddy6994
    @asmahiddy6994 3 года назад

    Hiki kipindi hakiendan kabisa na haya mambo na kumbuka diva unamuharibia dullivan brand yake aiseeee msimfanyie hivo kaka wa watu tutaacha kufatilia likipindi lako

  • @peragiaisdor6315
    @peragiaisdor6315 3 года назад +3

    We mdada vipi😳 ushahidi👌kwendraaaaaaaaaaa

  • @owagatonny6558
    @owagatonny6558 3 года назад +1

    ukwel kuugundua ni kaz sana, binafsi siwaamini wasanii ni waongo sana kwenye interview

  • @aisharamdan8358
    @aisharamdan8358 3 года назад +6

    Naww mdada kulala nauyo mh hukuona wanaume

  • @gizeratembula8810
    @gizeratembula8810 3 года назад

    Hapo sawa hapo

  • @hildaminja6296
    @hildaminja6296 3 года назад +7

    Aonyeshe ushahidi jmn mbn anamfanya dulla kama kuku ivo

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад

    Umri sawa na mama ake kabisa

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 года назад +4

    Mkisha zaa mje mtupe mrejesho ili mtuaminishe msituletee Kiki tunaumiza vichwa sie kuwa onea huruma 🤔

  • @nasseradel9784
    @nasseradel9784 3 года назад +1

    Wasafi vitu vyao havieleweki hiki nini sasa

  • @yahyahaji4198
    @yahyahaji4198 3 года назад +6

    Kizungu cha nn ongeeni kiswahili wee dada

    • @qwqw1665
      @qwqw1665 3 года назад

      Muongo huyoooo fafa kapewa mimba namtumwingine alafu aongea sana huyo dada hutakiwi

  • @agneshalid1057
    @agneshalid1057 3 года назад

    Ila tuseme ukweli dulvan ana macho mazur,

  • @vikimartin9441
    @vikimartin9441 3 года назад +3

    Jamani? huyu Dada ni mtu mzima kwa nini hakujikinga na ubebaji mimba usiotarajiwa?Kinga zote hizo serikali inahamasisha wanawake kuzitumia yeye akajibebesha mimba kisa katembea na msanii, fedhea zingine sisi wanawake tunazitaka wenyewe na shida tunazitengeneza na mikono yetu, kwa hiyo huyo Dada alivyokuwa kikikutana na dull alihisi anachokifanya matokeo yake ni nini? Na jukum la kujikinga ni la Nani? Tena huyo Dem aache kiranga alichokitaka kashakipata akalee mtoto wake mwenyewe kwasababu walipokuwa kwenye tendo makubaliano sidhani yalikuwa ya kubeba mimba na Kama yalikuwa yakubeba mimba dull ahusike kulea.la! Huyo Dada alishachukua chake ck nyingi.

  • @tumainernest9499
    @tumainernest9499 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣jamn mpk tunacheka daaaaa sio vzl dulluvan msikilize tu dada

  • @ashajohn9039
    @ashajohn9039 3 года назад +18

    Unaenda wasafi kuchaji simu😂😂😂🤣

  • @lightkaduma9074
    @lightkaduma9074 3 года назад

    NAWEPENDA KUWA SAPPT ILLLA DADA MUONGO SANA WEWE CHA SHOBO UONGO KWANZA UNAENDA WASAFI KUJACH SIMU WE DADA ACHA UONGO ACHA PLEASE

  • @micky244
    @micky244 3 года назад +12

    Fala kweli kila interview mnaomuita apo anajifanya kutaka kukimbia et😂😂😂yan aka kajamaa bnaa

  • @kingsleykavu5953
    @kingsleykavu5953 3 года назад +1

    Isije kua kama ya baba simba mama kaangaika naesaizi nitajiri anajileta..ooh sisaidiwi wakati kamtupa mtoto kijana handsome Nasib Abdul..wakati anamtongoza mwanamke utegrmea nini?wewe jikazetu kakaangu umlee mtoto kesho na keshokutwa atakusaidia uzeeni

  • @bobchanda2460
    @bobchanda2460 3 года назад +4

    😂😂😂😂 siku izi WCB wanatengeneza KIKI zenye akili

  • @martinsaigulan8814
    @martinsaigulan8814 3 года назад

    Huyod Dada nae mshamba angeenda kwa ndugu was dulvan kuliko kumuaibisha hvyo

  • @Bongovillagevlogs
    @Bongovillagevlogs 3 года назад +18

    Hivi dullvan wakiume kwl mana lipstick

    • @duncanmwanzi808
      @duncanmwanzi808 3 года назад +1

      Hahahah, sio lipstick jamania ni maumbele tuu , ila huuuhh namshangaaa

    • @duncanmwanzi808
      @duncanmwanzi808 3 года назад

      Hahahah, sio lipstick jamania ni maumbele tuu , ila huuuhh namshangaaa

    • @alluminiumexperttz.12mview13
      @alluminiumexperttz.12mview13 3 года назад +2

      Unauliza wakati Mimba hiyo hapo

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 3 года назад

      Sio lipstick hata kaka yng yupo hivyo

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 года назад +1

      Huyo atakuwa anapumuliwa tu si bure 😀