JUMA LOKOLE ATAJA SABABU YA ZUCHU KUMUACHA DIAMOND, SARAH AMEHUSIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 апр 2024

Комментарии • 115

  • @IsmailNassoro-yc8mt
    @IsmailNassoro-yc8mt 24 дня назад +1

    Huyu sister mwandishi wa habari anajuwa sana namkubali sana kazi yake anaijuwa na anaipenda.
    Utafika mbali sana dada angu mungu akubaliki sanaaaa

  • @halima23862
    @halima23862 26 дней назад +14

    Hakuna Ndoa walikuwa Wanazini

  • @NM-rq9dr
    @NM-rq9dr 18 дней назад

    I love you so much Juma lokole ♥️♥️♥️

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 26 дней назад +19

    Kwani walifunga ndoa mpaka waachane nyie nae zinaa axitowaacha salama

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 23 дня назад +1

    Hii family ya diamond wanafiki wengi wao waovu

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 22 дня назад

    Mtangazaji nafurahi kukuona unavyojistiri uendelee hivyo hivyo In sha Allah

  • @atupakisyemapuli8637
    @atupakisyemapuli8637 26 дней назад +2

    Juma mwanangu umekuwa sana, kwa majibu ya leo

  • @tusiimeroy3157
    @tusiimeroy3157 26 дней назад

    Waooogooo akuna kitu hapo

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri 25 дней назад

    Upuuz mmoja

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 25 дней назад +1

    Mnamuogopa bi Kopa ngija awachambe

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 26 дней назад +1

    Juma hapo umesema❤❤❤

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 21 день назад +1

    Wewe Lokole muongo saana. Ulisema mmeshakwenda Znz kutoa posa.

  • @halima23862
    @halima23862 26 дней назад +1

    Yuko kazini Sarah amefanya nini kwenye back stage . First love

  • @Marry0-ce6vu
    @Marry0-ce6vu 26 дней назад +1

    Waoooongo nyinyi

  • @marianginaijuma4171
    @marianginaijuma4171 21 день назад

    Anakupenda hawezi kukudhalilisha

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 23 дня назад

    H ello.Zuchu anatakiwa sababu ya usanii na business siyo mapenzi .Hakuna
    Mapenzi yoyote .Ni biashara Zuchu ajue kuwa bila usanii Mondi atamtupilia mbali.Zuchu kazana na muziki na siyo mapenzi😮wewe siyo zaidi ya Tanasha😮

  • @Dilvalovalo
    @Dilvalovalo 25 дней назад

    Kengere 😮😮

  • @esthermutabuzi4582
    @esthermutabuzi4582 25 дней назад

    Hapo hamna mapenzi msitudanganye

  • @janethndial5759
    @janethndial5759 25 дней назад

    Sijawah ona zanzibar alilia kuzini kama huyo😊😊😊

  • @righitkileo
    @righitkileo 26 дней назад +2

    Mwenye pesa hatishiwi nyau.alafu wa kumuvu one yuko wap hapo pyuujj

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 24 дня назад +1

    Zuchu njo anawakulisha nyinyi WCB

  • @user-xq7eo3eb4p
    @user-xq7eo3eb4p 19 дней назад

    Puguzeni uzinifu mwamkasirisha mungu jamani mwaona kila kukicha twapigwa zichapo mara mafuriko njaa turudini kwa Allah .

  • @user-rs1bo1ic7j
    @user-rs1bo1ic7j 20 дней назад

    Kwani alikuwa ameolewa ? Ajabu daimond anaanzaje kueshi namwanamke tangu lini . Kawaida ya mond nikupita akimaliza maana kakuchoka basi vituko vinaanza

  • @lydiampayo597
    @lydiampayo597 24 дня назад

    Kila mtu hajakosa mtu wa historia ktk maisha yake ya uhusiano.DIAMOND yupo sawa.
    Km kuna mtu hana historia yoyote,,amshauri zuchu😅😅

  • @rukayyaaliy9713
    @rukayyaaliy9713 26 дней назад +2

    Zuchu mabegi umekosea sn ucnge beba mabeg😂😂😂

  • @user-qd2cw3cx3u
    @user-qd2cw3cx3u 20 дней назад

    Huyu si fatma !!!?

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 23 дня назад

    Diamond ataoa kweli,watoto wake wote walizaliwa nje ya ndoa

  • @redemptajerry5446
    @redemptajerry5446 25 дней назад

    lakini zuchu siku akiamua kuachana na diamond wala hatasema ataondoka kimya kimya...jifunZe kunyamaza zuchu. omba ushauri zuchu na utulie unasema tumeachana wakati unajua wazi unampenda tulia

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 25 дней назад

    Waowane tena mda umeenda jamani magomvi hayana neno

  • @zainabuiddy-me7rd
    @zainabuiddy-me7rd 25 дней назад

    Ww msenge tu wote hao hawaja olewa ajekuolewa yeye

  • @user-lp4yp2wt9c
    @user-lp4yp2wt9c 26 дней назад +14

    zuchu atuliye tuna mtaka sara ❤❤❤

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 26 дней назад

      Wajinga tu ninyi zuchu enjoy na life yako na huyo sara pesa tu itampeleka mapenzi hamna njaa tu inamsumbuwa

    • @mauwaishara7351
      @mauwaishara7351 26 дней назад

      Wewe na nani?

    • @harerimanaannemarie6396
      @harerimanaannemarie6396 26 дней назад

      ​@@mauwaishara7351na mimi

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 26 дней назад

      Mwalimu wako wa kiswahili hakukufundisha umoja na wingi? nimi nitoe kwenye huo upuuzi eti tunamtaka sara na nani? jifunze kuongelea nafsi yako sio nafsi za watu wengine watu wengine

    • @faizamohamed6993
      @faizamohamed6993 25 дней назад

      Mmmh ilikuwa Kiki tu hamna chochote

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 26 дней назад +1

    Niongo juma unamutetea ila ukipenda razima uwe unavumiriya mpenzii

  • @MatildaMkombachepa-bv7sw
    @MatildaMkombachepa-bv7sw 26 дней назад

    Mmmmmh

  • @zaitunifamao7777
    @zaitunifamao7777 26 дней назад +6

    Wifi analeta pesa kwenye company lazma abembelezwe.

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 26 дней назад

    Jamani jamani juma mmbeya ww kha😅

  • @Mr.TTitusBlessing-wk4kp
    @Mr.TTitusBlessing-wk4kp 25 дней назад

    Samsung galaxy s9, old model

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 24 дня назад

    Bana apo. Unsmjua tabia yake. Kubali matokeyo.

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 23 дня назад

    Uyu mdada naitwa nani🇰🇪?

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 26 дней назад +2

    Wasafi wanajua kucheza na akili za watanzani.na watanzania hawasomi hili...ni watu wasahaulifu mno ..kuanzia m9ndi zuchu sara juma esma dida hao wote wapo kwenye mipango yao..kila siku watawachezew maana watz wanapenda uzinifu..na wasafi wanajua hivo.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 25 дней назад

    Zuchu atarudi kwa diamond ataenda wapi mange alishasema Kinga’nga

  • @user-nc5un9wt3n
    @user-nc5un9wt3n 25 дней назад +1

    Kuongea San juma mpaka unakosea zuchu anatongozwa na wanawakewengi😂😂😂😂

  • @user-jf7vx9nb9m
    @user-jf7vx9nb9m 26 дней назад

    Utakuja kuumia zaidi ya hivi ..ukiingia ndan ya ndoa hapo ndo utakuja kupingwa tukio

  • @acybenson7922
    @acybenson7922 25 дней назад

    Zuchu anatumika tu,na anatumika sababu ya talent yake na pesa analetea wasafi

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 26 дней назад

    Jamani Zuu na Dai waacheni hao wanajuana❤❤❤ watawashitukiza wako pamoja

  • @barakakoi5976
    @barakakoi5976 26 дней назад

    Achen upumbavu mapenz gani ushoga tu

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 26 дней назад

    Mashemeji na mawifi daah 😂😂😂😂😂

  • @marianginaijuma4171
    @marianginaijuma4171 21 день назад

    Kawaida ya kudhalilishwa???huyo Zuchu akili ndio amekosa

  • @ashaabdallah9672
    @ashaabdallah9672 26 дней назад +1

    Naeende tuu anataka Cha peke yke kikowap labda kabur hhhh

  • @nyandatesther6045
    @nyandatesther6045 25 дней назад

    Lokole Leo anatengeneza na jana walikua Wanacheka huko Mashamsham😏

  • @user-jf7vx9nb9m
    @user-jf7vx9nb9m 26 дней назад +3

    Zuchu usije kujiroga ukaingia ndoa na Madi mdog wng utajuataa utakuja kufanya maamuzinusio yatarajiq mdog wng ...Fata moyo unakwambia usifate watu wanataka nn

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 25 дней назад

      Na Zuchu hajaona wanaume wote hapo Bongo ila Diamond 😂😂😂 kweli hana kazi.

  • @mamuumamuu1871
    @mamuumamuu1871 26 дней назад +3

    Yuafungasha tena yuajiregesha cz zuchu haezi bila mond

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 25 дней назад

    Mnampa ujinga tuu azidi kutumika had bandama limtoke

  • @ReubenSakwa
    @ReubenSakwa 25 дней назад

    Jameni mwatuchanganya bila kiki wasafi hamtoboi ng'o

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 24 дня назад

    Kwa sasa hamna nyota. Mnamtumia Zuchu anawaingizia pesa.

  • @sofiajumaa4538
    @sofiajumaa4538 25 дней назад +1

    Kiki tuu hizo kuna kitu kinakuja ata huyo Sara alipangwaa afike pale akumbatiwe basi mambo yaende wafanye vitu vyao

  • @nzeyimanamwavita1904
    @nzeyimanamwavita1904 26 дней назад

    Juma juma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 26 дней назад

    😂😂😂😂😂 Eee mvunjiani vunjiane Tv😂😂😂

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 23 дня назад

    Juma😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 24 дня назад

    Zuchu we mi rofa zaidi

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 26 дней назад +1

    mbadilishie na hilo pochi yupo kama uzamafuta ya mawese

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 26 дней назад +1

    Fala zuchu lazima kwa diamond kwani zuchu hajuwi simba ni womaniser

  • @S__Official24
    @S__Official24 26 дней назад

    Juma unafiki sijui utaacha lini yaani clip inaonyesha kabisa km Sara kawekwa pale kwa ajili yakupanda jukwaani haya huyo mama Dangote pale alikaa wapi na Sara kahojiwa kasema kapigiwa cm aje na mara nyingi anampigia ahudhulie show zake lkn Sara huwa haendi sana punguza unafiki ww upinde

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 26 дней назад

    Bongo kwa upuuzi hamjambo

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw 25 дней назад

    Kumbe huyu mtangazaji mpemba

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 26 дней назад

    Huyu amezoea kudanga hawezi kuka na mume moja hilo wote walijua akisha jazwa mimba ya haramu ndio ataenda kwao kutulia

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 26 дней назад

    Zuchu amesema Wasafi ina entertain ma Ex, maanake nini Juma?

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 25 дней назад

    😂😂😂😂😂 Mtangazaji huoni aibu wewe kumuuliza Juma maswali ya kikhanithi kama hayo Zuchu kafunga virago eti….Suali kwani Diamond 💎 kamuoa Zuhura . ????? Au mnafanya zinaa ni sifa hapo Bongo kwa Watangazaji.

  • @ZumoAli
    @ZumoAli 26 дней назад +8

    Kazi yenu n hiyo t y ujinga kila siku mwaongea kila siku mmb yasio elewek tumechoka ssi wakenya

    • @KAGOMAtz
      @KAGOMAtz 26 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 26 дней назад +1

      Kama umechoka soma simu ulale!!

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 26 дней назад

      😂😂😂kama kalazimishwa​@@BarbaraPatience-qt9cc

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 26 дней назад

      @@BarbaraPatience-qt9cc nawewe nikati ya wazinzi😏😏😏

    • @svt3
      @svt3 26 дней назад

      ​@@fatmafatu1128unajuwaje wanaongelea uzinzi kama hauwasikilize? Unajuwa sababu wewe musikilizaji wao na watu kama wewe ndio wanataka wasikilizaji

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 23 дня назад

    Diamond bado hajapata mke wote siwo .

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 21 день назад

      Kwani yeye ndio? Au hana kasoro zake?

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 21 день назад

    Juma lzm uisfie hio familia. Ht km ni uongo. Sbb ndio maboss wako. Unaogopea ugali wako. Kubwa jinga wewe.

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba 25 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂ludisha mabegi zuchu

  • @user-hx6cl2bc1y
    @user-hx6cl2bc1y 26 дней назад +6

    Anaingiza pesa nyingi WCB acha abembelezwe

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 26 дней назад +36

    Washenzi nyie kazi kuongelea uzinzi kila siku hamna vitu vya msingi

  • @zazalareinebosslady
    @zazalareinebosslady 26 дней назад +3

    Ni kweli zuchu ni msani na simba ni msani tena simba ni mtu ambay anapendwa na kila mwana mke❤ so zuchu kama anampenda simba avumiliy kila hali yani kwasimba afunge masikiyo afunge macho mana anajipa presh buree🎉🎉❤

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 26 дней назад +1

      Mtihani mnampendea pesa tu ninyi wanawake

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 26 дней назад +1

      Angekuwa hana pesa msingempenda na ndio maana ulimuona sara alisepa lkn kaona anapesa anajirudisha

    • @zazalareinebosslady
      @zazalareinebosslady 26 дней назад

      @@mohammadoman8963 hapan so hayingekuwa hizo pesa hatunge mfahamu simba vile vile sara karudi ila kasema hawez rudiyana naye kwasabb yuko kwenye mahusiyano yake

  • @user-fx2wq2yx5r
    @user-fx2wq2yx5r 25 дней назад

    Juma lokole nipe namba ya nadibu

  • @nyandatesther6045
    @nyandatesther6045 26 дней назад +1

    Na nimeshinda nikisema Sarah sio chanzo cha Zuuh kutoka..... Hao waligombana tu.
    Hamkumbuki Diamond akiwa show akisema hajui kama ashaachwa tena awekwe kwa maombi 😅

  • @tatumakadara5793
    @tatumakadara5793 26 дней назад +1

    Kutetea wazinzi tuuuuu.Dunia kuchnei

    • @SihabaAbdallah-li6dx
      @SihabaAbdallah-li6dx 24 дня назад

      Hahha wampenda upumbavu kusaport hi Dunia sijui Ina elekea wap

  • @rukayyaaliy9713
    @rukayyaaliy9713 26 дней назад

    Yani juma nakupend ebu nitafut yani nakupend kwa maneno yak

  • @pastorjully3657
    @pastorjully3657 26 дней назад +1

    Ndoa hakuna

  • @user-zi8zy7zt5v
    @user-zi8zy7zt5v 25 дней назад

    Juma lokole muongo mbona zari aliombwa msamaha huyo bab tii alitak apige magoti huku akiomba msamaha mpaka south africa ushauri wangu kwako zuchu huyo mond sio mwanaum sahih kwako wazir wangapi wameacha je ww uzur wako. Wa mwisho umeamuwa usirud nyuma acha ujinga jifikirie

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 24 дня назад

    Bila Zuchu hamtaishi. Mimi kama Kadidja mtoto wangu hawezi rudi baada ya kuolewa. Mnamchezea saana. Anawatunza nyinyi wote.