H ello.Zuchu anatakiwa sababu ya usanii na business siyo mapenzi .Hakuna Mapenzi yoyote .Ni biashara Zuchu ajue kuwa bila usanii Mondi atamtupilia mbali.Zuchu kazana na muziki na siyo mapenzi😮wewe siyo zaidi ya Tanasha😮
Kwani alikuwa ameolewa ? Ajabu daimond anaanzaje kueshi namwanamke tangu lini . Kawaida ya mond nikupita akimaliza maana kakuchoka basi vituko vinaanza
lakini zuchu siku akiamua kuachana na diamond wala hatasema ataondoka kimya kimya...jifunZe kunyamaza zuchu. omba ushauri zuchu na utulie unasema tumeachana wakati unajua wazi unampenda tulia
Mwalimu wako wa kiswahili hakukufundisha umoja na wingi? nimi nitoe kwenye huo upuuzi eti tunamtaka sara na nani? jifunze kuongelea nafsi yako sio nafsi za watu wengine watu wengine
Wasafi wanajua kucheza na akili za watanzani.na watanzania hawasomi hili...ni watu wasahaulifu mno ..kuanzia m9ndi zuchu sara juma esma dida hao wote wapo kwenye mipango yao..kila siku watawachezew maana watz wanapenda uzinifu..na wasafi wanajua hivo.
Juma unafiki sijui utaacha lini yaani clip inaonyesha kabisa km Sara kawekwa pale kwa ajili yakupanda jukwaani haya huyo mama Dangote pale alikaa wapi na Sara kahojiwa kasema kapigiwa cm aje na mara nyingi anampigia ahudhulie show zake lkn Sara huwa haendi sana punguza unafiki ww upinde
😂😂😂😂😂 Mtangazaji huoni aibu wewe kumuuliza Juma maswali ya kikhanithi kama hayo Zuchu kafunga virago eti….Suali kwani Diamond 💎 kamuoa Zuhura . ????? Au mnafanya zinaa ni sifa hapo Bongo kwa Watangazaji.
Ni kweli zuchu ni msani na simba ni msani tena simba ni mtu ambay anapendwa na kila mwana mke❤ so zuchu kama anampenda simba avumiliy kila hali yani kwasimba afunge masikiyo afunge macho mana anajipa presh buree🎉🎉❤
@@mohammadoman8963 hapan so hayingekuwa hizo pesa hatunge mfahamu simba vile vile sara karudi ila kasema hawez rudiyana naye kwasabb yuko kwenye mahusiyano yake
Na nimeshinda nikisema Sarah sio chanzo cha Zuuh kutoka..... Hao waligombana tu. Hamkumbuki Diamond akiwa show akisema hajui kama ashaachwa tena awekwe kwa maombi 😅
Juma lokole muongo mbona zari aliombwa msamaha huyo bab tii alitak apige magoti huku akiomba msamaha mpaka south africa ushauri wangu kwako zuchu huyo mond sio mwanaum sahih kwako wazir wangapi wameacha je ww uzur wako. Wa mwisho umeamuwa usirud nyuma acha ujinga jifikirie
Huyu sister mwandishi wa habari anajuwa sana namkubali sana kazi yake anaijuwa na anaipenda.
Utafika mbali sana dada angu mungu akubaliki sanaaaa
Hakuna Ndoa walikuwa Wanazini
I love you so much Juma lokole ♥️♥️♥️
Kwani walifunga ndoa mpaka waachane nyie nae zinaa axitowaacha salama
Hii family ya diamond wanafiki wengi wao waovu
Mtangazaji nafurahi kukuona unavyojistiri uendelee hivyo hivyo In sha Allah
Juma mwanangu umekuwa sana, kwa majibu ya leo
Waooogooo akuna kitu hapo
Upuuz mmoja
Mnamuogopa bi Kopa ngija awachambe
Juma hapo umesema❤❤❤
Wewe Lokole muongo saana. Ulisema mmeshakwenda Znz kutoa posa.
Yuko kazini Sarah amefanya nini kwenye back stage . First love
Waoooongo nyinyi
Anakupenda hawezi kukudhalilisha
H ello.Zuchu anatakiwa sababu ya usanii na business siyo mapenzi .Hakuna
Mapenzi yoyote .Ni biashara Zuchu ajue kuwa bila usanii Mondi atamtupilia mbali.Zuchu kazana na muziki na siyo mapenzi😮wewe siyo zaidi ya Tanasha😮
Kengere 😮😮
Hapo hamna mapenzi msitudanganye
Sijawah ona zanzibar alilia kuzini kama huyo😊😊😊
Mwenye pesa hatishiwi nyau.alafu wa kumuvu one yuko wap hapo pyuujj
Zuchu njo anawakulisha nyinyi WCB
Puguzeni uzinifu mwamkasirisha mungu jamani mwaona kila kukicha twapigwa zichapo mara mafuriko njaa turudini kwa Allah .
Kwani alikuwa ameolewa ? Ajabu daimond anaanzaje kueshi namwanamke tangu lini . Kawaida ya mond nikupita akimaliza maana kakuchoka basi vituko vinaanza
Kila mtu hajakosa mtu wa historia ktk maisha yake ya uhusiano.DIAMOND yupo sawa.
Km kuna mtu hana historia yoyote,,amshauri zuchu😅😅
Zuchu mabegi umekosea sn ucnge beba mabeg😂😂😂
Huyu si fatma !!!?
Diamond ataoa kweli,watoto wake wote walizaliwa nje ya ndoa
lakini zuchu siku akiamua kuachana na diamond wala hatasema ataondoka kimya kimya...jifunZe kunyamaza zuchu. omba ushauri zuchu na utulie unasema tumeachana wakati unajua wazi unampenda tulia
Waowane tena mda umeenda jamani magomvi hayana neno
Ww msenge tu wote hao hawaja olewa ajekuolewa yeye
zuchu atuliye tuna mtaka sara ❤❤❤
Wajinga tu ninyi zuchu enjoy na life yako na huyo sara pesa tu itampeleka mapenzi hamna njaa tu inamsumbuwa
Wewe na nani?
@@mauwaishara7351na mimi
Mwalimu wako wa kiswahili hakukufundisha umoja na wingi? nimi nitoe kwenye huo upuuzi eti tunamtaka sara na nani? jifunze kuongelea nafsi yako sio nafsi za watu wengine watu wengine
Mmmh ilikuwa Kiki tu hamna chochote
Niongo juma unamutetea ila ukipenda razima uwe unavumiriya mpenzii
Mmmmmh
Wifi analeta pesa kwenye company lazma abembelezwe.
Jamani jamani juma mmbeya ww kha😅
Samsung galaxy s9, old model
Bana apo. Unsmjua tabia yake. Kubali matokeyo.
Uyu mdada naitwa nani🇰🇪?
Wasafi wanajua kucheza na akili za watanzani.na watanzania hawasomi hili...ni watu wasahaulifu mno ..kuanzia m9ndi zuchu sara juma esma dida hao wote wapo kwenye mipango yao..kila siku watawachezew maana watz wanapenda uzinifu..na wasafi wanajua hivo.
Zuchu atarudi kwa diamond ataenda wapi mange alishasema Kinga’nga
Kuongea San juma mpaka unakosea zuchu anatongozwa na wanawakewengi😂😂😂😂
Utakuja kuumia zaidi ya hivi ..ukiingia ndan ya ndoa hapo ndo utakuja kupingwa tukio
Zuchu anatumika tu,na anatumika sababu ya talent yake na pesa analetea wasafi
Jamani Zuu na Dai waacheni hao wanajuana❤❤❤ watawashitukiza wako pamoja
Achen upumbavu mapenz gani ushoga tu
Mashemeji na mawifi daah 😂😂😂😂😂
Kawaida ya kudhalilishwa???huyo Zuchu akili ndio amekosa
Naeende tuu anataka Cha peke yke kikowap labda kabur hhhh
Lokole Leo anatengeneza na jana walikua Wanacheka huko Mashamsham😏
Zuchu usije kujiroga ukaingia ndoa na Madi mdog wng utajuataa utakuja kufanya maamuzinusio yatarajiq mdog wng ...Fata moyo unakwambia usifate watu wanataka nn
Na Zuchu hajaona wanaume wote hapo Bongo ila Diamond 😂😂😂 kweli hana kazi.
Yuafungasha tena yuajiregesha cz zuchu haezi bila mond
Mnampa ujinga tuu azidi kutumika had bandama limtoke
Jameni mwatuchanganya bila kiki wasafi hamtoboi ng'o
Kwa sasa hamna nyota. Mnamtumia Zuchu anawaingizia pesa.
Kiki tuu hizo kuna kitu kinakuja ata huyo Sara alipangwaa afike pale akumbatiwe basi mambo yaende wafanye vitu vyao
Swadakta ilikuwa Kiki tu
Juma juma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 Eee mvunjiani vunjiane Tv😂😂😂
Juma😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Zuchu we mi rofa zaidi
mbadilishie na hilo pochi yupo kama uzamafuta ya mawese
😅😅😅
Fala zuchu lazima kwa diamond kwani zuchu hajuwi simba ni womaniser
Juma unafiki sijui utaacha lini yaani clip inaonyesha kabisa km Sara kawekwa pale kwa ajili yakupanda jukwaani haya huyo mama Dangote pale alikaa wapi na Sara kahojiwa kasema kapigiwa cm aje na mara nyingi anampigia ahudhulie show zake lkn Sara huwa haendi sana punguza unafiki ww upinde
Bongo kwa upuuzi hamjambo
Kumbe huyu mtangazaji mpemba
Huyu amezoea kudanga hawezi kuka na mume moja hilo wote walijua akisha jazwa mimba ya haramu ndio ataenda kwao kutulia
Zuchu amesema Wasafi ina entertain ma Ex, maanake nini Juma?
😂😂😂😂😂 Mtangazaji huoni aibu wewe kumuuliza Juma maswali ya kikhanithi kama hayo Zuchu kafunga virago eti….Suali kwani Diamond 💎 kamuoa Zuhura . ????? Au mnafanya zinaa ni sifa hapo Bongo kwa Watangazaji.
Kazi yenu n hiyo t y ujinga kila siku mwaongea kila siku mmb yasio elewek tumechoka ssi wakenya
😂😂😂😂😂
Kama umechoka soma simu ulale!!
😂😂😂kama kalazimishwa@@BarbaraPatience-qt9cc
@@BarbaraPatience-qt9cc nawewe nikati ya wazinzi😏😏😏
@@fatmafatu1128unajuwaje wanaongelea uzinzi kama hauwasikilize? Unajuwa sababu wewe musikilizaji wao na watu kama wewe ndio wanataka wasikilizaji
Diamond bado hajapata mke wote siwo .
Kwani yeye ndio? Au hana kasoro zake?
Juma lzm uisfie hio familia. Ht km ni uongo. Sbb ndio maboss wako. Unaogopea ugali wako. Kubwa jinga wewe.
😂😂😂😂😂😂ludisha mabegi zuchu
Anaingiza pesa nyingi WCB acha abembelezwe
Sana anatumika sana zuchu
Washenzi nyie kazi kuongelea uzinzi kila siku hamna vitu vya msingi
😂😂😂😂😂😂
Hawa ni ma umbwa sana wametuharibia sana nchi wana maswali mbele ya Allah
Kabisa
Umeolewa
Uzinzi hq2a ndo wanaosababisha mvua na mafuriko
Ni kweli zuchu ni msani na simba ni msani tena simba ni mtu ambay anapendwa na kila mwana mke❤ so zuchu kama anampenda simba avumiliy kila hali yani kwasimba afunge masikiyo afunge macho mana anajipa presh buree🎉🎉❤
Mtihani mnampendea pesa tu ninyi wanawake
Angekuwa hana pesa msingempenda na ndio maana ulimuona sara alisepa lkn kaona anapesa anajirudisha
@@mohammadoman8963 hapan so hayingekuwa hizo pesa hatunge mfahamu simba vile vile sara karudi ila kasema hawez rudiyana naye kwasabb yuko kwenye mahusiyano yake
Juma lokole nipe namba ya nadibu
Na nimeshinda nikisema Sarah sio chanzo cha Zuuh kutoka..... Hao waligombana tu.
Hamkumbuki Diamond akiwa show akisema hajui kama ashaachwa tena awekwe kwa maombi 😅
Kutetea wazinzi tuuuuu.Dunia kuchnei
Hahha wampenda upumbavu kusaport hi Dunia sijui Ina elekea wap
Yani juma nakupend ebu nitafut yani nakupend kwa maneno yak
Ndoa hakuna
Juma lokole muongo mbona zari aliombwa msamaha huyo bab tii alitak apige magoti huku akiomba msamaha mpaka south africa ushauri wangu kwako zuchu huyo mond sio mwanaum sahih kwako wazir wangapi wameacha je ww uzur wako. Wa mwisho umeamuwa usirud nyuma acha ujinga jifikirie
Uyo zuchu yey sa hihi au 😂nawote wazinifu
Bila Zuchu hamtaishi. Mimi kama Kadidja mtoto wangu hawezi rudi baada ya kuolewa. Mnamchezea saana. Anawatunza nyinyi wote.