MILLI VANILLI Wanamuziki Feki Walioshinda Mpaka Grammy Kumbe Hawaimbi Wao.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2024
  • КиноКино

Комментарии • 53

  • @amosimichael1010
    @amosimichael1010 12 дней назад

    Wana Ngoma yao moja kali sana__Girl am gonna Miss you...🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @noelmunuo4660
    @noelmunuo4660 Месяц назад +14

    Hit yao ya Girl I'm gonna miss you ilikuwa ni noma

  • @Qqambaa
    @Qqambaa Месяц назад +24

    Sijawahi pata like ata moja tangu nifungue hii account

  • @MethodJulius-fu9hf
    @MethodJulius-fu9hf Месяц назад +16

    Hadi kijijini kwetu tuliambiwa anakuja Jack Chan kumbe mruka sarakas😂😂😂😂

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 Месяц назад +3

    Hata ALIKIBA alifanyiwa hivyo na TIMBULI😂😂😂😂.....

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 Месяц назад +3

    Watu weusi utapeli tunaujua😅

  • @lizzjojoh7280
    @lizzjojoh7280 Месяц назад +1

    Despite of all they did,This guys work hard to entertaining the world.❤

  • @Ericomtz5
    @Ericomtz5 Месяц назад +4

    Hawa jamaa walicheza kama Pele

  • @rashidsaid6015
    @rashidsaid6015 Месяц назад +4

    Wahuni hawakuanza leo ktk hii dunia 😂😂😂

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Месяц назад +5

    SASA TWENDE KAZIIIIII

  • @MiirajMohamed-rx1nr
    @MiirajMohamed-rx1nr Месяц назад +3

    Hao wangelikuwa Tanzania kwa walichokifanya wangezid kupata umaaruf zaid ya huo waliokuwa nao awali😂na media za kila aina zingewajalia kuwahoji😂Nchi ya ajab kabisa

  • @jamesmwakyusa9772
    @jamesmwakyusa9772 Месяц назад +2

    Dah..girl am gonna miss u..

    • @bless.2559
      @bless.2559 Месяц назад

      It's a tragedy to know...

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Месяц назад

    Kumbe nyie ndio mnajua leo

  • @zaidumakunganya5992
    @zaidumakunganya5992 Месяц назад

    Dj khaleeeed

  • @modykenzo6563
    @modykenzo6563 29 дней назад

    Girl you know its true ni kali sana

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson3388 Месяц назад

    Wazee wa mabonye

  • @barretobacca9754
    @barretobacca9754 Месяц назад

    Duh

  • @Baba_levo
    @Baba_levo Месяц назад

    😂😂😂😂 Dah

  • @evansmumo3921
    @evansmumo3921 26 дней назад

    Walikuwa mashoga ama

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Месяц назад +1

    Sema km walielewan na wahusika sio fake

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 24 дня назад

    😂😂😂

  • @stephenernestkaforongo7585
    @stephenernestkaforongo7585 25 дней назад

    Mbona Alan Walker anapeta tu

    • @djb2kzer0
      @djb2kzer0 23 дня назад

      Alan walker ni Dj producer na mtayarishaji muandikaji wa music na kila nyimbo Amazon towa ni za kwake
      Ni Kama Dj Khaled

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns Месяц назад +1

    Sema kama wameelewana na walioimba basi sio feki...
    Kama wakina DJ Khalid, wakina Abba na wengine kibao

    • @hikupskikons8914
      @hikupskikons8914 Месяц назад +1

      Exactly, kama walielewana hamna shida

    • @machintangachibwena5922
      @machintangachibwena5922 Месяц назад

      Hao walikuwa hawaiimbi wanatukisa midomo tuuu sauti za nyimbo zilikuwa si sauti zao kama movie la kihindi vile anaimba Sharukhan kumbe anaimba Kumar Sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.

  • @rukiangilla3113
    @rukiangilla3113 Месяц назад +2

    Kimuonekano wako km mashoga

  • @mashkidd4730
    @mashkidd4730 Месяц назад

    FLOP