Nadharia ya wazungu kuvunja hizo pua ndio inamashiko maana ni masanamu mengi yaliyovunjwa pua, tatizo la sisi watu weusi Historia yetu wenyewe tumetegemea kuandikiwa na wazungu hili ni zaidi ya Tatizo pia.
Hata mlima Kilimanjaro ulivumbuliwa na wazungu japo Babu zetu wamewakuta hapohapo na hawasemi hata wachaga walivumbuliwa na wazungu. Sisi ni mafara wa kutupwa. Hadi Leo hii tunataka Katiba kwa kuwategemea wazungu halafu tunaofanya hayo tunajiita wasomi.
Kama kweli hakuna historia ya wana-isarael humo Mistri basi potelea bali kufa na nife Bure Hila kama hipo historia Yao humo BABA MUNGU yupo na mbingu ni sehemu yangu daima.
Ushauriii UKIWA UNA TOA VIPIMO VYA VITU BASI WEKA NA MIFANO KAMA UKI TAJA .UREFU AU UPANA SEMA MFANO WAKE INA FANANA NA MLIMA FULANI AU NA BWAWA AU NA MNARA ... YAANI NI VIGUMU KUJUA VIPIMO IVYOO ILA UKI TOLEA MIFANA ITAKUWA POA SANAA . KTK VIDEO ZAKO.
Wa Misri wa kale hawakuwa weusi wala hawakuwa Waarabu. Ila wwlikuwa weupe.. Kumbuka Waarabu ni uzao wa Ishameli, mtoto wa Ibrahimu. Kwa hiyo unaposema Waarabu, ujue unazungumzia uzao wa Ishameli.
@@SundayMbatia-hr8qp Wa Misri wa sasa wakoje? Si ni weupe! Ninyi ndo mnasema wale ni Waarabu. Lakini wale sio Waarabu. Waaarabu hasa, wako Sauda Arabia… ni kama vile Mrusi. Mrusi ni mweupe lakini sio mzungu. Wazungu wako Ulaya.
Jibu ni ubaguzi wa rangi wa kutaka kuficha ukweli,kwamba aliyejenga pyramid ni waafrika (wanubi)
kwa ujuzi nilionao hiyo sura iliyochongwa hapo ni ya mtu mweusi
Zilikuwa namufaano wa Afrika
Hakika unapo leta stor za misri wanikosha xna
Sasa twende kazi 🔥🔥🔥🔥
Kwanini wanavukua hayo masanama na wakati mungu amesha walahani hao watu mpaka nchi imeshalahaniwa
Sasa twende kaziii🔥🔥
Nadharia ya wazungu kuvunja hizo pua ndio inamashiko maana ni masanamu mengi yaliyovunjwa pua, tatizo la sisi watu weusi Historia yetu wenyewe tumetegemea kuandikiwa na wazungu hili ni zaidi ya Tatizo pia.
Hata mlima Kilimanjaro ulivumbuliwa na wazungu japo Babu zetu wamewakuta hapohapo na hawasemi hata wachaga walivumbuliwa na wazungu. Sisi ni mafara wa kutupwa. Hadi Leo hii tunataka Katiba kwa kuwategemea wazungu halafu tunaofanya hayo tunajiita wasomi.
Mauwa yako brother 🎉🎉🎉🎉
Hakuna mtu atakayeweza kuleta jibu kamili. Hakuna. Hamna anayejua
Ukiangalia taya na mashavu hakuna shaka kuhusu mtu mweusi lakini pua kumong'onyoka kitaalamu inawezekana ikawa athari za upepo
dah 🙌🙌 Dunia imetoka mbali sana jamani
9:45👍
waaaahhh
Ukute sura ya muafrika wakasema bora waondoe ushahidi wote
Mmmh!!!😂
Dunia ina mambo
Hawana taarifa za kutosha Kwa sababu wanubi hawapo bali wapo waarabu
🔥💥🔥
Dunia
Mimi ni Albert Einstein sasa twende kazi
sidhan km mwanadam alijenga pyramids
Pua wameikata ili kuficha hiyo pua sawa na ya baba levo 😅 waarabu noma
Nikiwa congo 🇨🇩🇨🇩
Nikiwa tz nawapenda Congo 🥰🥰
👊👍✌️。
Kama kweli hakuna historia ya wana-isarael humo Mistri basi potelea bali kufa na nife Bure Hila kama hipo historia Yao humo BABA MUNGU yupo na mbingu ni sehemu yangu daima.
Big up my brother
Apo wariishi wa africa
Siyo wafrica ni weusi kwani africa ni jina tu na jina halina rangi
Ushauriii
UKIWA UNA TOA VIPIMO VYA VITU BASI WEKA NA MIFANO KAMA UKI TAJA .UREFU AU UPANA SEMA MFANO WAKE INA FANANA NA MLIMA FULANI AU NA BWAWA AU NA MNARA ... YAANI NI VIGUMU KUJUA VIPIMO IVYOO ILA UKI TOLEA MIFANA ITAKUWA POA SANAA . KTK VIDEO ZAKO.
Wewe ndo unatakiwa kujifunza vipimo maana cm, m, km ulijifunza shuleni tena kuanzia shule ya msingi
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Justin Sheed Sauti Yako Tamu 🥰🥰🥰
Wewe ni mwanaume kweli au ?
😂😂😂
@@priscashaykwewe umetafsiri kitu hajamaanisha. Kwani nikisema sauti yake ni tamu, shida iko wapi? His voice is so sweet….
@@priscashayk au unaonaje, maana jinsi alivyomsifia 😁😁
Wa Misri wa kale hawakuwa weusi wala hawakuwa Waarabu. Ila wwlikuwa weupe.. Kumbuka Waarabu ni uzao wa Ishameli, mtoto wa Ibrahimu. Kwa hiyo unaposema Waarabu, ujue unazungumzia uzao wa Ishameli.
Uelewi Chochote Kamsikilize Diamond..Hapa Umepotea Njia🚶🚶😊
Sasa walikua Nan
@@user-hb7mq8lg9e Sawa
@@SundayMbatia-hr8qp Wa Misri wa sasa wakoje? Si ni weupe! Ninyi ndo mnasema wale ni Waarabu. Lakini wale sio Waarabu. Waaarabu hasa, wako Sauda Arabia… ni kama vile Mrusi. Mrusi ni mweupe lakini sio mzungu. Wazungu wako Ulaya.
😅😅😅