Siri Nzito Zilizofichwa Kwenye Sanamu La Sphinx of Giza, Ukweli Wa Pua Kuondolewa Wajulikana.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 янв 2024
  • КиноКино

Комментарии • 61

  • @user-yr3yi2yr6i
    @user-yr3yi2yr6i 4 месяца назад +13

    Jibu ni ubaguzi wa rangi wa kutaka kuficha ukweli,kwamba aliyejenga pyramid ni waafrika (wanubi)

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 4 месяца назад +9

    kwa ujuzi nilionao hiyo sura iliyochongwa hapo ni ya mtu mweusi

  • @balikudembensubuga902
    @balikudembensubuga902 4 месяца назад +3

    Zilikuwa namufaano wa Afrika

  • @tinomzungu8070
    @tinomzungu8070 4 месяца назад +4

    Hakika unapo leta stor za misri wanikosha xna

  • @GasperDanielkulaya-jf7ct
    @GasperDanielkulaya-jf7ct 4 месяца назад +1

    Sasa twende kazi 🔥🔥🔥🔥

  • @yohanalukanga6263
    @yohanalukanga6263 4 месяца назад +1

    Kwanini wanavukua hayo masanama na wakati mungu amesha walahani hao watu mpaka nchi imeshalahaniwa

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 4 месяца назад

    Sasa twende kaziii🔥🔥

  • @madlipztanzania1931
    @madlipztanzania1931 4 месяца назад +3

    Nadharia ya wazungu kuvunja hizo pua ndio inamashiko maana ni masanamu mengi yaliyovunjwa pua, tatizo la sisi watu weusi Historia yetu wenyewe tumetegemea kuandikiwa na wazungu hili ni zaidi ya Tatizo pia.

    • @reginaldmapunda6702
      @reginaldmapunda6702 4 месяца назад

      Hata mlima Kilimanjaro ulivumbuliwa na wazungu japo Babu zetu wamewakuta hapohapo na hawasemi hata wachaga walivumbuliwa na wazungu. Sisi ni mafara wa kutupwa. Hadi Leo hii tunataka Katiba kwa kuwategemea wazungu halafu tunaofanya hayo tunajiita wasomi.

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 4 месяца назад +2

    Mauwa yako brother 🎉🎉🎉🎉

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 4 месяца назад +2

    Hakuna mtu atakayeweza kuleta jibu kamili. Hakuna. Hamna anayejua

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 4 месяца назад

    Ukiangalia taya na mashavu hakuna shaka kuhusu mtu mweusi lakini pua kumong'onyoka kitaalamu inawezekana ikawa athari za upepo

  • @abduldjay3034
    @abduldjay3034 4 месяца назад

    dah 🙌🙌 Dunia imetoka mbali sana jamani

  • @crocodilemasala7956
    @crocodilemasala7956 4 месяца назад +1

    9:45👍

  • @cleophaxgeremy2148
    @cleophaxgeremy2148 4 месяца назад +2

    waaaahhh

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 месяца назад

    Ukute sura ya muafrika wakasema bora waondoe ushahidi wote

  • @benOfficial36
    @benOfficial36 4 месяца назад

    Mmmh!!!😂
    Dunia ina mambo

  • @hubman6780
    @hubman6780 4 месяца назад

    Hawana taarifa za kutosha Kwa sababu wanubi hawapo bali wapo waarabu

  • @kasabalibraryseason4018
    @kasabalibraryseason4018 4 месяца назад

    🔥💥🔥

  • @frimasonidunia86
    @frimasonidunia86 4 месяца назад

    Dunia

  • @salumsalum5712
    @salumsalum5712 4 месяца назад +1

    Mimi ni Albert Einstein sasa twende kazi

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 4 месяца назад

    sidhan km mwanadam alijenga pyramids

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 4 месяца назад

    Pua wameikata ili kuficha hiyo pua sawa na ya baba levo 😅 waarabu noma

  • @OdilaFrancine
    @OdilaFrancine 4 месяца назад +1

    Nikiwa congo 🇨🇩🇨🇩

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 месяца назад

    👊👍✌️。

  • @user-if1pz4nm4u
    @user-if1pz4nm4u 4 месяца назад

    Kama kweli hakuna historia ya wana-isarael humo Mistri basi potelea bali kufa na nife Bure Hila kama hipo historia Yao humo BABA MUNGU yupo na mbingu ni sehemu yangu daima.

  • @MohamedHalake-cy8bh
    @MohamedHalake-cy8bh 4 месяца назад +1

    Big up my brother

  • @user-gz1cd6kn5j
    @user-gz1cd6kn5j 4 месяца назад +2

    Apo wariishi wa africa

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 4 месяца назад

      Siyo wafrica ni weusi kwani africa ni jina tu na jina halina rangi

  • @Cryptocurrency_bitcon_Pi_Coin
    @Cryptocurrency_bitcon_Pi_Coin 4 месяца назад

    Ushauriii
    UKIWA UNA TOA VIPIMO VYA VITU BASI WEKA NA MIFANO KAMA UKI TAJA .UREFU AU UPANA SEMA MFANO WAKE INA FANANA NA MLIMA FULANI AU NA BWAWA AU NA MNARA ... YAANI NI VIGUMU KUJUA VIPIMO IVYOO ILA UKI TOLEA MIFANA ITAKUWA POA SANAA . KTK VIDEO ZAKO.

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 4 месяца назад

      Wewe ndo unatakiwa kujifunza vipimo maana cm, m, km ulijifunza shuleni tena kuanzia shule ya msingi

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 4 месяца назад

    From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Justin Sheed Sauti Yako Tamu 🥰🥰🥰

    • @hemedtawah4130
      @hemedtawah4130 4 месяца назад +2

      Wewe ni mwanaume kweli au ?

    • @priscashayk
      @priscashayk 4 месяца назад +1

      😂😂😂

    • @BarnabaBuhoma
      @BarnabaBuhoma 4 месяца назад

      @@priscashaykwewe umetafsiri kitu hajamaanisha. Kwani nikisema sauti yake ni tamu, shida iko wapi? His voice is so sweet….

    • @hemedtawah4130
      @hemedtawah4130 4 месяца назад

      @@priscashayk au unaonaje, maana jinsi alivyomsifia 😁😁

  • @BarnabaBuhoma
    @BarnabaBuhoma 4 месяца назад

    Wa Misri wa kale hawakuwa weusi wala hawakuwa Waarabu. Ila wwlikuwa weupe.. Kumbuka Waarabu ni uzao wa Ishameli, mtoto wa Ibrahimu. Kwa hiyo unaposema Waarabu, ujue unazungumzia uzao wa Ishameli.

    • @user-hb7mq8lg9e
      @user-hb7mq8lg9e 4 месяца назад +1

      Uelewi Chochote Kamsikilize Diamond..Hapa Umepotea Njia🚶🚶😊

    • @SundayMbatia-hr8qp
      @SundayMbatia-hr8qp 4 месяца назад

      Sasa walikua Nan

    • @BarnabaBuhoma
      @BarnabaBuhoma 4 месяца назад

      @@user-hb7mq8lg9e Sawa

    • @BarnabaBuhoma
      @BarnabaBuhoma 4 месяца назад

      @@SundayMbatia-hr8qp Wa Misri wa sasa wakoje? Si ni weupe! Ninyi ndo mnasema wale ni Waarabu. Lakini wale sio Waarabu. Waaarabu hasa, wako Sauda Arabia… ni kama vile Mrusi. Mrusi ni mweupe lakini sio mzungu. Wazungu wako Ulaya.

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 4 месяца назад

      😅😅😅