MARILYN MONROE,mchepuko wa Raisi wa Marekani alietishia kumpindua FIRST LADY,jambo zito linamkuta.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 дек 2021
  • КиноКино

Комментарии • 29

  • @samirajohn6938
    @samirajohn6938 Год назад +1

    My favourite actress all the time Marilyn Monroe ❤❤❤❤

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +4

    Kaka hongera sana kwa kutuletea story ya huyu mrembo aliyetamba sana miaka ya 50, hakika alivutia wengi.🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @sajdatomar6025
    @sajdatomar6025 2 года назад +4

    Woyooo unakumbuka nilikwambia utuwekee history yake huyu waooo asanteee Justin

  • @neemaleonard8427
    @neemaleonard8427 2 года назад +2

    Asante sana kwa kutuletea hii sir 🥰🥰

  • @justinebitariho1129
    @justinebitariho1129 2 года назад +3

    Waiting for part two.

  • @deodatuskessy6643
    @deodatuskessy6643 2 года назад +1

    Part 2 please Justin

  • @jedidahwanjiku1563
    @jedidahwanjiku1563 2 года назад

    Wow 🥺😳😳😳 part two of please

  • @cristinahkimaro.8866
    @cristinahkimaro.8866 2 года назад

    I'm waiting😜 bro Justine😍

  • @mtagechota1002
    @mtagechota1002 2 года назад

    Sasa twende kazi 😊

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 10 дней назад

    dada alikuwa mqali sana

  • @sharmilaally7935
    @sharmilaally7935 2 года назад

    Namba mbili pls

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 2 года назад

    Rip marilyn

  • @ainalion1869
    @ainalion1869 2 года назад

    🙌👀🙏

  • @hasankasam5576
    @hasankasam5576 2 года назад +1

    Ukisema nyuma ya pazia tayari ni kisichojulikana.. Lakini dhana ipo.. Nadhani tu kama ameuwawa atakuwa mumewe mwanajeshi kahusika..

  • @akhamedimaster6400
    @akhamedimaster6400 2 года назад

    Shabiki namba 4 wa just shed nakufutilia nikiwa West lion Vancouver Canada 🇨🇦

  • @xhampoza_25
    @xhampoza_25 2 года назад +1

    Mimi naitwa justin shed sasa twende kazi

  • @hasankasam5576
    @hasankasam5576 2 года назад +2

    Kweli kabisa enzi zake alikuwa mzuri maarufu na akili nyingi..

    • @mlezimbegu6133
      @mlezimbegu6133 2 года назад

      Qqqqqqqq

    • @pixeldrop5874
      @pixeldrop5874 2 года назад +1

      Kweli kwa hyo enzi n mzuri
      Ila kwa kipindi cha sasa hvi huyo hamna ktu

  • @menlandmutashobya8377
    @menlandmutashobya8377 2 года назад

    Huyo aliuawa

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 2 года назад +1

    Merilyn Monroe namjua viema

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 2 года назад

    Wote hao hawapo hai kwa sasa na yule mrembo alikuwa anaonekana mrembo akiwa na makeup tu lakini bila makeup usingemtambua kuwa ni yeye niliona documentary kuhusu maisha yake pia alikuwa anatumia vidonge vya kulevya huenda ndiyo vilimuua lakini mpaka leo hakuna ushahidi kuwa aliuliwa

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 2 года назад +1

    1950 kulikuwa na pic za rangi

    • @deodatuskessy6643
      @deodatuskessy6643 2 года назад +1

      Zimeng'arishwa tu hizo

    • @LyonWalker_
      @LyonWalker_ 2 года назад +1

      @@deodatuskessy6643 zimewekewa rangi

    • @triplea3463
      @triplea3463 2 года назад

      Ndio picha ya kwanza ya Rangi ilirushwa mwaka 1945

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 года назад +3

      Unadhani 1950 ya marekani ni xawa na ya bongo land

    • @LyonWalker_
      @LyonWalker_ 2 года назад +1

      @@highzacknnko9685 cija complan nimeuliza