Wote hao hawapo hai kwa sasa na yule mrembo alikuwa anaonekana mrembo akiwa na makeup tu lakini bila makeup usingemtambua kuwa ni yeye niliona documentary kuhusu maisha yake pia alikuwa anatumia vidonge vya kulevya huenda ndiyo vilimuua lakini mpaka leo hakuna ushahidi kuwa aliuliwa
My favourite actress all the time Marilyn Monroe ❤❤❤❤
Kaka hongera sana kwa kutuletea story ya huyu mrembo aliyetamba sana miaka ya 50, hakika alivutia wengi.🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Woyooo unakumbuka nilikwambia utuwekee history yake huyu waooo asanteee Justin
Asante sana kwa kutuletea hii sir 🥰🥰
Waiting for part two.
Part 2 please Justin
Wow 🥺😳😳😳 part two of please
I'm waiting😜 bro Justine😍
Sasa twende kazi 😊
dada alikuwa mqali sana
Namba mbili pls
Rip marilyn
🙌👀🙏
Ukisema nyuma ya pazia tayari ni kisichojulikana.. Lakini dhana ipo.. Nadhani tu kama ameuwawa atakuwa mumewe mwanajeshi kahusika..
Shabiki namba 4 wa just shed nakufutilia nikiwa West lion Vancouver Canada 🇨🇦
Mimi naitwa justin shed sasa twende kazi
Kweli kabisa enzi zake alikuwa mzuri maarufu na akili nyingi..
Qqqqqqqq
Kweli kwa hyo enzi n mzuri
Ila kwa kipindi cha sasa hvi huyo hamna ktu
Huyo aliuawa
Merilyn Monroe namjua viema
Wote hao hawapo hai kwa sasa na yule mrembo alikuwa anaonekana mrembo akiwa na makeup tu lakini bila makeup usingemtambua kuwa ni yeye niliona documentary kuhusu maisha yake pia alikuwa anatumia vidonge vya kulevya huenda ndiyo vilimuua lakini mpaka leo hakuna ushahidi kuwa aliuliwa
1950 kulikuwa na pic za rangi
Zimeng'arishwa tu hizo
@@deodatuskessy6643 zimewekewa rangi
Ndio picha ya kwanza ya Rangi ilirushwa mwaka 1945
Unadhani 1950 ya marekani ni xawa na ya bongo land
@@highzacknnko9685 cija complan nimeuliza