Aisee, kisa hiki huwa nakisikia katika wimbo wa Bony- M.(Rasputin) ijapokuwa wimbo unamalizika kwa kusema aliuawa kwa pombe iliyotiliwa sumu. moja ya nyimbo nizipendazo pasipo kujua kumbe ni kisa cha kweli!!
Ila wanawake kucheat hawaanza juzi toka enzi lakini wanajifanyaga kuwanyooshea vidole wanaume. Mwanamke unajua kabisa umeolewa alafu unamkubalia mtu mwingine tena anawapanga kwa foleni
Kutuma salamu ni ushamba
We bwana hizo salamu zako uwe unawapigia simu watu wako uwape salamu
Hizo ni moja ya offer ili kuvutia mashabiki wake na mashabiki wanaenjoy pia.
Acha ushamba kama inakukera hujalazimishwa Ku wotch maana huchangichochote
Matangazo yanakera mnoo
MATANGAZO YAMEZIDI MKUU
Ndio pesa zenyew izo usimaind ww peleka mble tuu km huelew 😂
Sasa twende kazi 🔥🔥🔥🔥
Aisee, kisa hiki huwa nakisikia katika wimbo wa Bony- M.(Rasputin) ijapokuwa wimbo unamalizika kwa kusema aliuawa kwa pombe iliyotiliwa sumu. moja ya nyimbo nizipendazo pasipo kujua kumbe ni kisa cha kweli!!
Ila wanawake kucheat hawaanza juzi toka enzi lakini wanajifanyaga kuwanyooshea vidole wanaume.
Mwanamke unajua kabisa umeolewa alafu unamkubalia mtu mwingine tena anawapanga kwa foleni
Sasa twende kazi
Grigor Rasputin huyu jamaa alikuwa ni shida
Gonga hapa kama umemukubali Putin
Karibu kwenye CHRISMAS party 😂
Weka video maalum za matangazo unaboa kaka
Here we go😊😊
❤❤❤❤❤❤❤❤
👊👍✌️.
Sasa hapa ntarudi kwenye chanel yako
Kwani ulipotea?
@@Chettymlambalipsi-lb9km anapostigi ujinga tu sasa hiv
@@ronnoxgen4154 hapana sio ujinga vitu anavyopost nivya kweli habahatishi👌😊😊😊😊
huyu jamaa Rasputin kala ujana weeee kisha kamgeukia Mungu
Si kwa ubaya bt nothing university apana😂😂
Leta movie movie
Raisi Putin niwa nguvu tu 😂😂😂
Wacha tuitumie hii kutengeneza movie sasa😂😂😂