JUMA NATURE ANAONGEA YOTE | SAKATA LA KULIPWA LAKI TANO | MAISHA YANGU YANA SIRI NZITO | MUZIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 янв 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #SNR #JumaNature

Комментарии • 59

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 3 месяца назад

    Long Live Nature. You are a legend. Peace.

  • @JamesJoseph-vd7ep
    @JamesJoseph-vd7ep 4 месяца назад +10

    yani mimi hata ajibu tofauti mi nampenda sanaa juma hana mambo mengi

    • @gwijilavpaji9920
      @gwijilavpaji9920 4 месяца назад

      Hata mimi tatizo letu wabongo tunaprnda kuangalia Taswira ya mtu wa ya nje, kuliko alichonacho mtu

  • @user-qh4ei7jp8s
    @user-qh4ei7jp8s 4 месяца назад +3

    Juma nature you a legend bro

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 4 месяца назад +2

    Ukipata bahati ya kuwa na Damu kama ya Juma Kassim Nature Kiroboto ya kupendwa pasina sababu basi unakuwa umefanikiwa sana kwenye njia zako kimaisha.

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 4 месяца назад +2

    Juma Nature ! Legend !

  • @Igauf3
    @Igauf3 4 месяца назад +2

    The music doesn’t stay longer in the loop, compared to dinosaurs years because of the accessibility, now is faster compared to wayback. It is also instant gratification generation.

  • @maufijose2294
    @maufijose2294 4 месяца назад

    Milard Ayo ni Role Model Wa Watangazaji Wengi Sana Tanzania! 👏

  • @jumamajid7557
    @jumamajid7557 4 месяца назад +3

    Mahmudaat kurasini temeke hiyo. Dooh long time

  • @mbishiwatown7929
    @mbishiwatown7929 4 месяца назад +3

    Juma kassim kiromboto ww ni namba Tanzania mzima

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 4 месяца назад

    Msaka tonge no1.TM Dj🎉Nature!❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @abelkilumbu9205
    @abelkilumbu9205 4 месяца назад

    Sir Nature 😀🙌

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 месяца назад

    ✌️👊👍.

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 4 месяца назад +1

    Nature Nature Nature Nature Nature

  • @TheBongotech360
    @TheBongotech360 3 месяца назад

    Aisee, ulevi wa bangi, pombe na madawa ni hatari sana. Unaulizwa A unajibu B! Hiyo sauti tu inaashiria hali si hali kichwani

  • @Twahakibavu
    @Twahakibavu 2 месяца назад

    Juma nature

  • @cmantz8837
    @cmantz8837 4 месяца назад +1

    Mimi nasema hivi nyimbo zote zinadum mile na mile

  • @trofinlyimo3520
    @trofinlyimo3520 4 месяца назад

    Nishidaaaaaaa

  • @timothymikola2317
    @timothymikola2317 4 месяца назад

    Jina kubwa nature

  • @JumaSuleimanJumaSuleimanRupand
    @JumaSuleimanJumaSuleimanRupand 4 месяца назад

    Wajina

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 4 месяца назад

    A.T au I.T nature umepita mbio hapo xna..😢😢

  • @allysinge7096
    @allysinge7096 4 месяца назад +3

    WASANII WAZAMANI DHARAU ZIMEWAZIDI, NDOMANA WANAPOTEA, SASA MTU ANAKUJA KWNY INTERVIEW KUBWA KAMA HII LKN ANAKUJA AMELEWA, NDOMANA INTERVIEW YOTE HAKUNA HATA SWALI MOJA ALILIJIBU KWA UFASAHA

    • @PesaMadafu
      @PesaMadafu 3 месяца назад

      You must don’t anything about American artists then

  • @mangimkuunarumu954
    @mangimkuunarumu954 4 месяца назад +1

    Kazeeka kweli 😂😂😂

  • @JohnDoe-hy5hh
    @JohnDoe-hy5hh 4 месяца назад

    Ukienda jera serikali inatakiwa ikuhudumie halafu unaikosesha raha😂

  • @user-ks3vx5xj9m
    @user-ks3vx5xj9m 4 месяца назад +2

    Kiroboto legend

  • @IsayaBugoro-zj8nu
    @IsayaBugoro-zj8nu 3 месяца назад

    Acha pombe sauti imeisha

  • @user-ek1dh7ve6r
    @user-ek1dh7ve6r 4 месяца назад +1

    Me ata smuelewi uyu Mzee…. Anaulizwa A anajibu Z

    • @DeBoy-oy2jg
      @DeBoy-oy2jg 3 месяца назад

      Tatizo lako sema tu haujakaa na wahuni ukajuwa kiswahili chao,kwahiyo kumuelewa Nature mpaka ujifunze kuishi na wahuni

    • @DeBoy-oy2jg
      @DeBoy-oy2jg 3 месяца назад

      Mbona wengi wanamuelewa lakini wewe kwako tu ndio tatizo

  • @HalfaSaid-vl6ki
    @HalfaSaid-vl6ki 4 месяца назад

    Nasikia sauti ya uteja tu! Yani uyu na chi benzi maongezi Yao yanafanana duu! 😂😂😂😂

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 4 месяца назад

    Mtangazaji unazunguka uliza kwanini show za wasafi festival tnc wapo yeye mbona hayupo

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 4 месяца назад

    He looks sober today?

  • @ipyanansajigwa1489
    @ipyanansajigwa1489 4 месяца назад

    Huyu siyo bure ,hayuko sawa kuna kitu anatumia kinamchanganya

    • @Juma-qd5eq
      @Juma-qd5eq 4 месяца назад

      Kwa mawazo yako !!!😅😅😅 Ila vip amekuj kuomba msosi kwako !! Au ndo kumekucha tena kutoana akili !!!

  • @user-rs9ip1uc5o
    @user-rs9ip1uc5o 4 месяца назад

    Acheni kuiga saut za watu wengine

  • @superhemed7590
    @superhemed7590 4 месяца назад +4

    Nature 😂anachanganyaga mada balaa kwny kuelewa swali😂😂😂

    • @amedeuskimario8895
      @amedeuskimario8895 4 месяца назад +2

      Yupo stimu

    • @abiboseleman1649
      @abiboseleman1649 4 месяца назад

      Mmezaliwa mwaka gani Nyinyi mlitaka msikie story za sinta sio km mkivyozoea ameongea maisha namasomo nabila kuelewa haya ht basi ndio nyie maselemani

    • @superhemed7590
      @superhemed7590 4 месяца назад

      Tuhadithie ww bas ilikuwaje ikapatkana tmk maana yy ajatoa jibu sahihi. Acha ushamba ww mm namjua nature kupita ivyo unavyojua boya ww

  • @hassanjongo3445
    @hassanjongo3445 4 месяца назад +1

    huyu jamaa kazeeka sasa

  • @ibraa1157
    @ibraa1157 4 месяца назад +1

    Yule tambwe wa wasafi ni bro wako nini....kaka

  • @user-mb3xq1do3s
    @user-mb3xq1do3s 4 месяца назад +2

    Yani nature swali jengine jibu jengine😂😂😂

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 4 месяца назад

    Unajua wewe mtt nature umelewa au vp

  • @allykigatta7564
    @allykigatta7564 4 месяца назад +1

    ...ASA NDO SAUTI LAKO LIWE LA KUKWARUZA..???..kero sana mtu anaongea km chura sauti yake.....

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 4 месяца назад

    Watoto gani juma kawazaa wanamiliki mamilioni guys?

    • @abiboseleman1649
      @abiboseleman1649 4 месяца назад +1

      Kkkk vijana bana vichwa vyenu ulizeni watoto wake ndio chege fidq sifiki kwa kina mbosso ndio mana ya watoto

    • @gwijilavpaji9920
      @gwijilavpaji9920 4 месяца назад

      Hajamaanisha WATOTO wa kuwazaa kimwili ni kimuziki, Nature ana wasanii wengi amewasaidia kufika walipo sasa, japo hata Ku wa inspire kuingia kwenye Muziki

  • @shd12m55
    @shd12m55 4 месяца назад +1

    Pombe tupu 🙄 mtu unaulizwa mbagala wapi unajibu masaki karibu kuliko osterbay

  • @hassanomary9825
    @hassanomary9825 4 месяца назад

    Hakuna jibu alilojibu ni kubwabwa2

  • @user-cy6bv8xr3t
    @user-cy6bv8xr3t 4 месяца назад

    Kiloboto mkongwe