MWENYEKITI AUZA MLIMA wa KIJIJI MIL 20 YEYE AKAPEWA LAKI 5 -DC SHAKA AWA MKALI AAGIZA WOTE WAKAMATWE
HTML-код
- Опубликовано: 5 май 2024
- MWENYEKITI AUZA MLIMA wa KIJIJI MIL 20 YEYE AKAPEWA LAKI 5 -DC SHAKA AWA MKALI AAGIZA WOTE WAKAMATWE
Mkuu wa wilaya ya kilosa Mh Shaka hamdu Shaka ameamuru kukamatwa kwa mwenyekiti wa kiyongoji cha msowero A bwana Petro Sanga na mwananchi wake bwana Awadhi Aweso kwa kosa la kuchukua kiasi cha shilingi laki 5 na kuruhusu kuuzwa eneo la mlima wa kijiji kwa kiasi cha shillingi Milioni 20
Hoja hiyo ya kuuzwa kwa Mlima wa kijiji inakuja wakati wa mkutano wa adhara uliowakutanisha kamati ya Usalama ya wilaya ya kilosa ikongozwa mkuu wa wilaya mh Shaka hamdu shaka na wananchi wa msowero
Kufuatia kwa changamoto kunamlazimu shaka hamdu shaka kuagiza wote waliohisika katika kuuza na kununua mlima wa serikali ya kijiji kujisalimisha kabla ya kuwasaka
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Nchi imeoza rushwa ubadhirfu umekidhiri sana
Mwacheni auze mbona nyinyi mmeuza Ngorongoro ? Na aliyeuza ni mwanachama wa ccm anyone wakubwa wanachofanya
Elimu yako ndogo hujui maana yakuuza
Hata badar imeuzwa ikiwa viongoz wakubwa wanafanya hivyo hao wa chin wafanyenn? Ikiwa wa mfano ndio hayohayo nawachini wanaiga hayohayo hakuna alichoharibu wamsamehe tu kwakweli
Asante kiongozi wetu ❤
Hahaaaaa uza kila kitu, mbona ngoro ngoro imeuzwa hamna shida
Huo ni mfumo WA CCM Wana hi msishangae
Akili zako zinakutana vibaya,kama ni mfumo huyo mkuu wa wilaya hajui wewe ndoujue? Chadema mnalitumia neno mfumo wakati hamjui maana ya mfumo.
Kwani hii nchi inaongozwa na chama gani na hao wenyekiti ni chama gani
Asee mbona ni maajabu
Alafu wenyeviti vijana kabisa ovyo kwelikweli
Kanda bongo mani
Umemwonea mwenyekiti
Huu ugonjwa hauwez kuisha kwa KWA KATIBA hii Simamen njia kuu acheni KUJIDANGANYA.
Mzanzobar anwezakua mkuu wa wilaya au hata mkoa hku bara lkn mtanganyika huwez hatakua baloz au kununua aridh au hata kupiga kura zanzbar
Kamata walio uza loliondo watutajie na wenzako tamaaa mbaya
Mbona wenginenwameuza ngololo
Mnawaoneatu haowatu .mbona nyinyi mnatuibia pesa zetu na hamkamatwi?
Nchi ina shida kubwa hii sijui tunaelekea wapi watu hawaigopi tena kila mtu anafanya anavyotaka !!aibu mpaka mnauzwa😮
Ccm hoyeeeeee
Tuache wananchi wawe wanajichagulia viongozi ccm accent kutuwekea viongozi
Muache mesesji za kibaguzi humu,,,,awe mzenj awe mabara ss wote ni ndugu na lugha yetu ni moja,,,tumwache afanye kazi yake
Mwenyekiti hana makosa jamani una muhuliza maswali yasiyoeleweka,sasa yeye angejuaje MTU anasema eneo lake
Wazuiwemkabisa wenuevitinkuuza ardhi. Kwanza ndio chamzo.cha kuuza maeneo zaodinyanmara 4
Mwenyekiti mwenyew mbona kama anamawenge 😂😂
Tatizo ccm wanalinda hawachukuliani hatua ukukwetu wameuza vitu vingi wanawakamata halafu kesi zinakoishia hazijulikanagi ndiomaana wanaendelea kuujum wananchi
Mijitu haina haya hata chembe na hawakomi sijui kunanini hii nchi maana kesi hizi hazishi
Ookay😂😂😂😂😂😂
Mwekiti hajauza bali ameidhinisha.Ikiwa wamiliki wapo ndio wakamatwe
Mlima, kisiwa, mto sio mali inayomilikiwa na mtu au taasisi yeyote. Ni mali ya Raia wtz.
Walimfata DC mara mbili lakini DC hakufika kulitatua hilo mgogoro... basi wakaliuza.. sasa kuna shida gani? 🤣
😮😢😢😅😅
Mwenyekiti amejionqeza sasa kama nyie mnauza loliondo ye afanyeje kajionqeza
Huoo nimfumo wenu ccm kila ikikaribiya mambo kupiga kura mnajipaka mafuta saana tumestuka 🗿
Laki tano hela ndogo.Unakuwa msaliti ka m a Yuda aliyemuuza Yesu Kiristo😅😅Balaa
Ww mkuu unawalazinisha wajibu maswali yako wakujibu unajificha inaonekana naww upo
Kikokotoo kinahusika watu wanajikipa
Mbona Serikali ya awamu hii mpaka mbuga za wanyama inauza na watanzania hawasemi kitu?
Kwani tatizo serikali ndugu,tatizo sisi wenye serekali,tafakari.
Cjawai sikia kumbe na mlima unauzwaga Kaa pesa iziii
Kamateni na wauza Bandari
Wenyevti mnajikuta nyie nani?? Tapikeni mbwa nyie,na mngekuwa diwani c mneuxa wa2.
Yaani kwa swala la Ardhi changamoto.
Mtu a n ayeuza aridhi bila mpango ni chizi kabisa.Mwishoni kuiuza hata familia yako😢