Achana na fikra MGANDO. Ukomo wa Siasa ni upi hadi "pasta wewe ni mwanasiasa au mtumishi wa Mungu"?? Msgwa amekuwa akipokea rushwa kutoka CCM wkt akiwa CHADEMA. Kumbuka fedha alizopewa na CCM kipindi cha uchaguzi wa Kanda ya Kusini.
Nyie ndo mnataka kuturudisha nyumba. Kwani Mchungaji halipi Kodi au hatozwi tozo? Watz elimu bado sana Sasa Mfalme Daudi hakuwa mwanasiasa na nabii? Bado mnamawazo ya kupandikizwa ya wazungu na huku ni waafrika.
Nyie ndo mnataka kuturudisha nyumba. Kwani Mchungaji halipi Kodi au hatozwi tozo? Watz elimu bado sana Sasa Mfalme Daudi hakuwa mwanasiasa na nabii? Bado mnamawazo ya kupandikizwa ya wazungu na huku ni waafrika
Rushwa ni mbaya Sana, inaharibu taifa.
Pasta wewe ni mwanasiasa au mtumishi wa mungu.acha kimoja
Achana na fikra MGANDO. Ukomo wa Siasa ni upi hadi "pasta wewe ni mwanasiasa au mtumishi wa Mungu"?? Msgwa amekuwa akipokea rushwa kutoka CCM wkt akiwa CHADEMA. Kumbuka fedha alizopewa na CCM kipindi cha uchaguzi wa Kanda ya Kusini.
Vizuri sana kwanini hamsemi kero za wananchi wa chini? Kama sukali Bei juu bati nondo cementi mafuta yote Kodi mpaka mpangaji yaseme
Wewe mwenyewe ni mganga njaa😂😂
Mh uko vx na mungu akubãliki
Kazi ya fisiemu ni kununua chadema
Mhh kumbe mtanzania bara kuitawala Zanzibar ndio sahihi
Ivi Kumbe Watumishi wa Mungu/ Wachungaji nao wanafanya kazi za Kisiasa? Tutafika tumechoka sanaaaaaaaaaa!!!!!
Nyie ndo mnataka kuturudisha nyumba. Kwani Mchungaji halipi Kodi au hatozwi tozo? Watz elimu bado sana Sasa Mfalme Daudi hakuwa mwanasiasa na nabii? Bado mnamawazo ya kupandikizwa ya wazungu na huku ni waafrika.
Nyie ndo mnataka kuturudisha nyumba. Kwani Mchungaji halipi Kodi au hatozwi tozo? Watz elimu bado sana Sasa Mfalme Daudi hakuwa mwanasiasa na nabii? Bado mnamawazo ya kupandikizwa ya wazungu na huku ni waafrika
HATA AKINA MDEE MKIENDELEA KUWASUTA NI HERI YAO WAHAMIE CCM.AKINA MDEE NIMTAJI KWA CHAMA , LAKINI WANABEZWA SANA.MNATUFANYIA MAKOSA HIVYO