#kivumbi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 июн 2024
  • #kivumbi CHADEMA WAWEKA WAZI RUSHWA ASUBUHI HII NA SAKATA LA MSINGWA KUHAMIA CCM

Комментарии • 13

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 3 дня назад

    Rushwa ni mbaya Sana, inaharibu taifa.

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i 3 дня назад +1

    Pasta wewe ni mwanasiasa au mtumishi wa mungu.acha kimoja

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 3 дня назад

      Achana na fikra MGANDO. Ukomo wa Siasa ni upi hadi "pasta wewe ni mwanasiasa au mtumishi wa Mungu"?? Msgwa amekuwa akipokea rushwa kutoka CCM wkt akiwa CHADEMA. Kumbuka fedha alizopewa na CCM kipindi cha uchaguzi wa Kanda ya Kusini.

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 3 дня назад

    Vizuri sana kwanini hamsemi kero za wananchi wa chini? Kama sukali Bei juu bati nondo cementi mafuta yote Kodi mpaka mpangaji yaseme

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz 3 дня назад

    Wewe mwenyewe ni mganga njaa😂😂

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y 3 дня назад

    Mh uko vx na mungu akubãliki

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 дня назад +3

    Kazi ya fisiemu ni kununua chadema

  • @user-um5xx5ct7q
    @user-um5xx5ct7q 3 дня назад

    Mhh kumbe mtanzania bara kuitawala Zanzibar ndio sahihi

  • @kauzenikikoti1175
    @kauzenikikoti1175 3 дня назад +1

    Ivi Kumbe Watumishi wa Mungu/ Wachungaji nao wanafanya kazi za Kisiasa? Tutafika tumechoka sanaaaaaaaaaa!!!!!

    • @barnaba3037
      @barnaba3037 3 дня назад

      Nyie ndo mnataka kuturudisha nyumba. Kwani Mchungaji halipi Kodi au hatozwi tozo? Watz elimu bado sana Sasa Mfalme Daudi hakuwa mwanasiasa na nabii? Bado mnamawazo ya kupandikizwa ya wazungu na huku ni waafrika.

    • @barnaba3037
      @barnaba3037 3 дня назад

      Nyie ndo mnataka kuturudisha nyumba. Kwani Mchungaji halipi Kodi au hatozwi tozo? Watz elimu bado sana Sasa Mfalme Daudi hakuwa mwanasiasa na nabii? Bado mnamawazo ya kupandikizwa ya wazungu na huku ni waafrika

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 3 дня назад

    HATA AKINA MDEE MKIENDELEA KUWASUTA NI HERI YAO WAHAMIE CCM.AKINA MDEE NIMTAJI KWA CHAMA , LAKINI WANABEZWA SANA.MNATUFANYIA MAKOSA HIVYO