MCHUMA JANGA | new swahili movies | full bongo movie

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 80

  • @EmanuelAmuravu
    @EmanuelAmuravu 5 месяцев назад +2

    Napenda.movie.sana.inafundisha.sana.napenda.mimi.kenya.tena.mbaya.sana.

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 6 месяцев назад +3

    Mna ni cheko saana kabisa mume siwa mtu mumonja kabisa pole sana 😂😂😂😂😂😂😂😂🎉❤😮😮😊

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta 5 месяцев назад +3

    Huyo dada mchuma janga aise namkubali sana, huwa namfuatilia kwenye movie nyingi, huwa anauvaa uhalisia wa kile anachoigiza. Mpe Hongera zake. Tatizo ni huyo jamaa anayewarekodia sauti hajui ku balance.

    • @nbsstudiosinema
      @nbsstudiosinema  5 месяцев назад +2

      Sawa tutalifanyia kazi inshallah litakaa Sawa Hilo jambo la sauti

    • @KHADIJAUMAZIRUMBA
      @KHADIJAUMAZIRUMBA 3 месяца назад +1

      Kweli kabisa directer hayuko sawa

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 5 месяцев назад +2

    Upandalo ndilo uvunao dada. Huyo ni mme wa mtu mtamu

  • @faudhiahassan7907
    @faudhiahassan7907 5 месяцев назад +2

    Jaman inatia huruma mpaka machozi 😭😭

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 6 месяцев назад +2

    Hiyo movie sijui nifanye nini marcani nihatari manji yame zidi unga ahhha huruma 😊🫢🤣🤣🤣🤣🤣😯

    • @nbsstudiosinema
      @nbsstudiosinema  6 месяцев назад

      Pole sana una mpenda nani katika kazi yetu hiyo

  • @aliHassan-my7jv
    @aliHassan-my7jv 6 месяцев назад +2

    Mko vizuri na niko tayar kuwa pamoja nanyi

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 5 месяцев назад +1

    Lisemwalo ni lilelile ""Asiefundishwa na wazazi kufundihwa na dunia. Muache atajieleza mwenyewe kabsaaaaa.

  • @HazinaSaid-ze8lk
    @HazinaSaid-ze8lk 6 месяцев назад +3

    Pole sana Mustafa kwa mitihani uliyopitia😢

  • @salimspy1088
    @salimspy1088 6 месяцев назад +3

    Huyu dada wa mombasa hana kipaji ameharibu

    • @overarchiversartist2399
      @overarchiversartist2399 4 месяца назад

      Sio shida asante kwa kunijulisha dear hakuna anaejijua hata wewe huenda ujijui Kuna vitu unafunzwa so thanks kwakunipa nguvu ili niendeleee kujifunza inshaallah 🤲

  • @user-oh9bh9ko8j
    @user-oh9bh9ko8j 6 месяцев назад +5

    Hyu dada wa kwanza aloibiwa mumewe bdo ajaivaa yuwarudia maneno bdo hanaitaji kupikwa❤❤❤

    • @nbsstudiosinema
      @nbsstudiosinema  6 месяцев назад

      Tumepokea tutafanyia kazi

    • @overarchiversartist2399
      @overarchiversartist2399 4 месяца назад +1

      Kawaida unapoongea na mtu ku uhalisia Ila asante kwa comment 😂 nitapikwa nitaiva asante

    • @user-oh9bh9ko8j
      @user-oh9bh9ko8j 4 месяца назад +1

      @@overarchiversartist2399 😄😄😄😄😄😄hapana kipenzi warudia yni hauko sharp bt ucjali hata mbuyu ulianza kma mchicha

    • @nbsstudiosinema
      @nbsstudiosinema  4 месяца назад +1

      Kabisa tutafijia malengo na kuwapa kilicho bora

    • @user-oh9bh9ko8j
      @user-oh9bh9ko8j 4 месяца назад

      @@nbsstudiosinema in sha Allah

  • @jacklinemwikali5045lina
    @jacklinemwikali5045lina 4 месяца назад +2

    Hapo director bado uko na kazi na huyu dada wa mombasa 😅😅😅😅

    • @nbsstudiosinema
      @nbsstudiosinema  4 месяца назад

      Sawa nimekuelewa na ntafanyia kazi🙏🙏🙏

  • @user-jb3zp9uo7o
    @user-jb3zp9uo7o 5 месяцев назад

    Movie nzuri sana ila mtaalamu wenu wa sauti anawaangusha sana, sauti haiko sawa kuna sehemu inakuwa China na sehemu nyingine inapayuka.

    • @nbsstudiosinema
      @nbsstudiosinema  5 месяцев назад +1

      Asante sana tutalifanyia kazi Hilo pia Asante kwa kuangalia lkn pia endelea kutazama kazi zetu zingine

  • @user-uf9ey7qb4t
    @user-uf9ey7qb4t 4 месяца назад +1

    Hii movie imenitoa machoz kwakweli😢😢😢😢

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 6 месяцев назад +2

    Huyu dada wa Mombasa kipaji Hana mna force tuu

    • @nbsstudiosinema
      @nbsstudiosinema  6 месяцев назад

      Sawa tumepokea

    • @EmmanuelCharo-to4ij
      @EmmanuelCharo-to4ij 6 месяцев назад

      Acha kuvunja Moyo watu ww ushawai jaribu kuigiza

    • @overarchiversartist2399
      @overarchiversartist2399 4 месяца назад

      Nishakuelewa dada asante kuniponda Mimi ndio kunifunza hakuna alizaliwa akiwa anatembea tayari dada huenda wewe wa bongo mm ni mkenya uezi nipenda Ila asante ndio nitazidi kupambana kwakuwa ushaniambia asante

  • @Atb300
    @Atb300 6 месяцев назад +1

    Story nzuri ila baadhi ya waigizaji hawajui...uyu mzee anajua sana hongereni 🎉

  • @EmanuelAmuravu
    @EmanuelAmuravu 5 месяцев назад +1

    Watanzania.nawapenda.sana.

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 6 месяцев назад +10

    Nime angalia hii move kwasababuu ya najuta na flora maana nime wa kumbuka sana Enzi za CCM holl😂😂😂

    • @nbsstudiosinema
      @nbsstudiosinema  6 месяцев назад +1

      Sawa na Asante sana

    • @iamk2me
      @iamk2me 6 месяцев назад +1

      wanangu sana enzi hizo na tony

    • @asmatabdallah1368
      @asmatabdallah1368 6 месяцев назад +1

      @@nbsstudiosinema 🤣🤣🤣Yani Kuna Tony ticha mud kiango elven flora najuta kingwendu bila kusahau Abu Majuto na bilalai yani dah kitambo sanaaaa Kuna mwamba mmoja nime msahau Jina alikuwa mlefu mweupeeeee yy alikuwa ana simami sana upande wa ngoma

    • @overarchiversartist2399
      @overarchiversartist2399 4 месяца назад

      Daaaaah hiii Kali 🤣😂😂😂😂😁 sawa dada msema kweli

  • @user-hy9pp5rp9i
    @user-hy9pp5rp9i 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂sakina umenishinda tabia

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 6 месяцев назад

    Mafunzo mazuri yanapatikana ktk movie hii

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 6 месяцев назад +2

    Munze anaishiwa

  • @batalingayachristopher-ry5lv
    @batalingayachristopher-ry5lv 6 месяцев назад +1

    Dada wa mombasa yuko Vizuri Sana

    • @nbsstudiosinema
      @nbsstudiosinema  6 месяцев назад

      Asante sana

    • @overarchiversartist2399
      @overarchiversartist2399 4 месяца назад

      Asante dear nashkuru nitazidi kujifunza ili nifike kiwango ndio kwanza naanza mola atanifikisha inshaallah asante dear

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 5 месяцев назад +1

    Mwisho wa kiburi nto huo

  • @user-wl3hf2nj9m
    @user-wl3hf2nj9m 6 месяцев назад +1

    Goood moviea 🎉🎉🎉🎉🎉
    Make more effort in order to sucessful

  • @hellenpeter8161
    @hellenpeter8161 6 месяцев назад +2

    Anachokipanda atavuna

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 5 месяцев назад +1

    Sakini kiboko 😂😂

  • @EmanuelAmuravu
    @EmanuelAmuravu 5 месяцев назад +1

    Mwambia.anjea.mimi.sina.bibi.

  • @user-lr8lh3jx3z
    @user-lr8lh3jx3z 6 месяцев назад +1

    Nice movie

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 6 месяцев назад +1

    Good movie

  • @NzaaraMTAITA
    @NzaaraMTAITA 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @user-kr3sn9tk9k
    @user-kr3sn9tk9k 5 месяцев назад

    Hiikali sana

  • @NzaaraMTAITA
    @NzaaraMTAITA 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤😂😂

  • @modrizecha9535
    @modrizecha9535 6 месяцев назад +1

    hyu dda w mombasa mfunzeni tena hajakuwa tayar

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 7 месяцев назад +1

    good movie

    • @nbsstudiosinema
      @nbsstudiosinema  7 месяцев назад

      Asante sana na karibu sana kwenye channel yetu

  • @UbumwemediaSevenTv
    @UbumwemediaSevenTv 4 месяца назад +1

    gvhgchc