Binti Yangu - A Swahili Movie

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • A Swahili Bongo movie starring; Fadhili Msisiri, Bi Nono, Mariam Kassim
    Movie title - Binti Yangu
    Aforevo ID -
    #bongomovies #swahilimovies #mozambiquehere

Комментарии • 87

  • @MeswalehShaban-mg5kk
    @MeswalehShaban-mg5kk Год назад +9

    Kweli tui la kwanz la pili maji...mashallah tabarak Allah ❤..funzo zuri sna ..Mungu awajalie nyote mlioshirik ktik hii filamu ❤..nawapend bure nyote..

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Год назад +8

    Yaan binti unakataa kuolewa halaf nje unazini, binti unahiari ubebe mimba nje kulko kuolewa tunakosea sana sisi mabinti😢😢😢😢wanaume washenz kwel kwel mm ndo mana sina imani nao wallah

  • @andrew0502
    @andrew0502 Год назад +10

    Huyu dada aliyeigiza kama Amina anajua sana na Kuna movie ingine ameenda kama Shadia duu nampenda sana ila namhurumia yeye wanaume anaowapenda wanakujaga kumuumiza tu mwishoni,,

  • @mpagikhatib3684
    @mpagikhatib3684 Год назад +14

    Masha Allah hizi ndio mishozo inayo takia kwenye Jamie nimeipenda Sana imenifundisha mengi

  • @sumayyahally3199
    @sumayyahally3199 Год назад +4

    Nimejifunza nimependa fundisho zuri mashaallah 🎉

    • @EpimackChami
      @EpimackChami 11 месяцев назад

      Broo Kama mtu akutak jikatae

  • @maddybongo
    @maddybongo Месяц назад

    Hii movie ya kiutu uzima big up

  • @salumuramadhani3460
    @salumuramadhani3460 4 месяца назад +1

    Shadia &Amina umezicheza mnooooh

  • @shabanmaulana8594
    @shabanmaulana8594 Год назад +6

    Haya mambo ya tokea kweli kabisa, watoto wakike wanasubuliwa sana katika ujana ,unakata kheri unafata sharii, wapo wengi Duniani wengine umalizikia kufa kwa kutoa mimba.mitihani kweli.

    • @xxpolicexx6781
      @xxpolicexx6781 11 месяцев назад +2

      Mungu atulindie watoto wetu Ameen

  • @user-fearless7kulth0um
    @user-fearless7kulth0um Год назад +2

    Stori nzuri mashallah😊lakini kuna makosa mengi yamejitokeza mfano, stori imejikita katika mwez Wa ramadhan na kisha muhisika mwingine miezi ya kujifungua imekaribia na kijana Rashid alimchumbia amina ndani ya mwezi❤huohuo..
    Kuweni makini msiigize kimazoea ili muonekane Ndio maana soko la sanaa linapolomoka yote kwa sababu yenu mnaojiona mnajua kuigiza mkijitizama kwenye vioo na kumbe hamna kitu😂

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад +2

    Mashallah movie nzur san nimeipend❤❤💥

  • @ZainabuSalim-vn5gp
    @ZainabuSalim-vn5gp Год назад +3

    Mashallah may God bless you but dunia yafunza has

  • @mariamkassimu5040
    @mariamkassimu5040 Год назад +3

    MashaAllah move zuri kwa wtoto waki lsilamu ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-yx6zq9bp1s
    @user-yx6zq9bp1s 11 месяцев назад +1

    Mashaallah movie nzr Ina mafunzo

  • @MariaFilibert-wf3om
    @MariaFilibert-wf3om Год назад +3

    Duuuuuuuh kweli imenifunza leo

  • @mwanamisikadongo8596
    @mwanamisikadongo8596 11 месяцев назад

    Mafundisho mazuru sana asanteni Sana Kwa kazi njema ❤❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪👏

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti 11 месяцев назад +1

    Masha Allah inamafunzo mazur♥️♥️🙏

  • @lydiahayieta5611
    @lydiahayieta5611 Год назад +2

    Video nzuri ❤nimeipenda

  • @appsplay4324
    @appsplay4324 Год назад +5

    Movie nzuri ❤❤❤from Kenya 😊

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Год назад +3

    Baba Aminah MashaAllaah mtu an dini yake na laiti wazee wetu wangelifuwa hivi ingelikuwa ni khery

    • @xxpolicexx6781
      @xxpolicexx6781 11 месяцев назад

      Wengine 2 wengine wana dining zao

  • @Dama-sd4qk
    @Dama-sd4qk 7 месяцев назад

    MashaAIIa h hizin diomishozo inayotakwenye jami enimeipe nda sana imenifundishamengi

  • @user-jj4id8vq2d
    @user-jj4id8vq2d 9 месяцев назад

    Nimejifunza kitu asante saana baba Amina👏🏿

  • @ZawiyaAdamu
    @ZawiyaAdamu 7 месяцев назад

    Mashaallaah nakupenda sana we dada

  • @nassiryahya
    @nassiryahya Год назад +3

    Huuu sijui ni uislam wa aina gani jaman

  • @SeleMsami-ws5ch
    @SeleMsami-ws5ch 6 месяцев назад

    Ana kazi nzuri sana dada 🎉tumpe mauwa yake❤❤💯🥀

  • @user-hf6hl7ky5o
    @user-hf6hl7ky5o 8 месяцев назад +1

    kwa kweli naipenda tena na mi penda sijui uyu ni mtoto wa wapi siyo mtoto wa uyu baba apana kwa sababu hana masikyo

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Год назад +1

    Mm namfagilia sana mzee msisili

  • @JayJay-po3xt
    @JayJay-po3xt Год назад +1

    Maasha Allah

  • @WardaYusuph-hz5yl
    @WardaYusuph-hz5yl Год назад +2

    Duh yalio mkuta Aminatujiazali na wasicha na wengine tulio baki

  • @user-pn5tu6vs5o
    @user-pn5tu6vs5o Год назад +1

    Good movie

  • @user-hy9pp5rp9i
    @user-hy9pp5rp9i Год назад +2

    Mama amina kafana na mama ana wa jua kali

  • @user-kl3cw9sl2z
    @user-kl3cw9sl2z 11 месяцев назад

    Histtoria nzuri na ina mafundisho mazuri

  • @ManirambonaElie-wf1eg
    @ManirambonaElie-wf1eg Год назад +4

    Mimi nataka kumujuwa huyo mzee mabuya

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 10 месяцев назад +1

    Asie sikia la mkuu! Uvunjika guu

  • @user-gl9dm1ex4q
    @user-gl9dm1ex4q 10 месяцев назад

    Nzuri Sana❤❤❤❤❤

  • @user-yn7wk4re9z
    @user-yn7wk4re9z 5 месяцев назад

    Wewe mwezangu amina choz huna jitahid ukilia tuoneshe machoz

  • @alimohd3788
    @alimohd3788 Год назад

    Duuuu ! Mtihani

  • @user-ls8xd2ji4m
    @user-ls8xd2ji4m 4 месяца назад

    Okay mini natoka mayanja milo

  • @GriffinNgala
    @GriffinNgala Год назад +2

    Woow it has a very good moral values

  • @sadakashushu5747
    @sadakashushu5747 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤

  • @OmaryAthumani-ii3kc
    @OmaryAthumani-ii3kc 3 месяца назад

    Mungu awakuze na awalinde watunzi wahii filam

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y Год назад +3

    LOOK EVERYTHING IS GONE WRONG 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @DorkasVisent
    @DorkasVisent 5 месяцев назад

    😂😂😂😂mwali anamambo ya kinini😂😂😂emu lundia apoooo

  • @RajuwMirzakhan
    @RajuwMirzakhan 17 дней назад

  • @user-kl3cw9sl2z
    @user-kl3cw9sl2z 11 месяцев назад

    Huyu mzee anajua kuekti kweli kweli apewe soda nitalipa

  • @aminatosha4631
    @aminatosha4631 Год назад

    Mbona Amina baba

  • @user-ez6lv7di5n
    @user-ez6lv7di5n 11 месяцев назад

    Ongela San baba

  • @user-hx3gl7kd8d
    @user-hx3gl7kd8d Год назад

    Hapanikweli Ina Bamba sanatu,

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Год назад

    Mashaalah❤💖

  • @user-hx3gl7kd8d
    @user-hx3gl7kd8d Год назад

    Baba Amina moto kuoteambali😂

  • @shaharhashim2529
    @shaharhashim2529 8 месяцев назад

    Mov ya maadili ya kujifunza

  • @aishaadamu6881
    @aishaadamu6881 Год назад

    Shukurani kwanasah nzuri tu kiukweli nimejifunza kitu

    • @alimohd3788
      @alimohd3788 Год назад

      Umejifuza nn kwenye mchezo huu

  • @bintyusuf5
    @bintyusuf5 Год назад

    Next

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Год назад +1

    😂😂 kimemuramba amina

  • @alimohd3788
    @alimohd3788 Год назад +1

    Mhh

  • @hafsanizeyimana8178
    @hafsanizeyimana8178 11 месяцев назад

    Huyu mama shida haoni kama mtoto anakosa kila saa msameh

  • @TumainiMoggah-ge5zt
    @TumainiMoggah-ge5zt 11 месяцев назад

    Mhm ila yombo sio kwa vituko ivo😂😂😂😂

  • @frankmasala8002
    @frankmasala8002 5 месяцев назад

    Sitaki natak msisiri bwan

  • @frankmasala8002
    @frankmasala8002 5 месяцев назад

    Sio kwa jocho hilo

  • @user-jx8nl1pp9e
    @user-jx8nl1pp9e Год назад +1

  • @user-ez6lv7di5n
    @user-ez6lv7di5n 11 месяцев назад

    Shulman bab wengine waige hili

  • @ManirambonaElie-wf1eg
    @ManirambonaElie-wf1eg Год назад +1

    Nataka kupata namba ya huyo aliyeigiza kama mtoto wa mabuya

  • @mishymadamspeaker1256
    @mishymadamspeaker1256 Год назад +1

    Mambo ya kumlazimu binti kuolewa na mtu ambae hampendi yalipitwa na wakati

    • @aminamloka7545
      @aminamloka7545 4 месяца назад

      Sawa lkn Jambo la kukataa kuolewa Kisha ukazini Hilo ndo lnaenda na wakati!!??? Tujitahd kufanya maamuzi yetu kwa ajiri ya Allah tuache tuyapendayo kwaajiri ya Allah na na tufanye mambo kwa ajiri ya allah Ila makosa yapo kufanya Toba ndo muhm

    • @omanyaladismas3882
      @omanyaladismas3882 2 месяца назад

    • @omanyaladismas3882
      @omanyaladismas3882 2 месяца назад

      I❤ the movie 😂

  • @nassiryahya
    @nassiryahya Год назад +1

    Ivi watu wamekosa mafunzo kwenye gur,an hata huuu mchezo ndio wenye mafuzo kweli

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc Год назад

    Tui lakwanza lapili maji

  • @chingaa918
    @chingaa918 Год назад

    ptp

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Год назад +3

    good movie

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 11 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @HalimaHalima-rw5os
    @HalimaHalima-rw5os Год назад +2

    ❤❤❤❤