Kisa Cha Mpemba - Latest Bongo Swahili Movie | African Movie

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #24hrslatestswahilibongomovies #africanmovies #latestbongomovies
    Aforevo Title:Kisa Cha Mpemba

Комментарии • 76

  • @1czay
    @1czay 11 месяцев назад +3

    Ila mke mkubwa ana gubu mno😂😂😂 to much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 11 месяцев назад +3

    ❤masha llah mke mdogo mzri na tena anajistiri vzri

  • @CharlesNyanda-z4f
    @CharlesNyanda-z4f 11 месяцев назад +1

    Hogereni mlipangilia vizuri sana anafaa sana kwa kuelimisha jamii

  • @RGMHJT
    @RGMHJT 10 месяцев назад

    Jaman mm nilikuwaga siangaliag bngo move lkn hapa mmeniweza ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @asyasuleiman2097
    @asyasuleiman2097 10 месяцев назад

    Mutabaki na mateso waswahili kwa kukataa sheria za Mungu,wake ni wanne,waacheni waume waoe wastiri wenzenu

  • @khamisjuma3760
    @khamisjuma3760 11 месяцев назад +1

    Kwa kweli iko vizuri ubaya upo kufananiza kisa cha mpemba mpemba gani huyo anaye pelekeshwa

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 10 месяцев назад

    Mashallah mola awabariki nimependa sana igizo

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf 11 месяцев назад +1

    Inshallah tunaomba part 2film nzuri sana.

  • @doreenmsafari2945
    @doreenmsafari2945 10 месяцев назад

    Movie nimeipenda sana mke mkubwa walai kaniacha hoi❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 11 месяцев назад

    Hapo ndo nnapompendea Siyawezi ❤❤

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 11 месяцев назад

    Michezo ya kitanga hiyo,mnaeza iko vizuri ❤.

  • @hannan2793
    @hannan2793 11 месяцев назад +1

    Nimerudi....wekeni mike vya nguo part zengine hatuskiiii plsss

  • @antoniamushi8532
    @antoniamushi8532 11 месяцев назад

    ❤🎉muwe mnatoa taarifa mnapo owa

  • @EsemaNikye-xp3kj
    @EsemaNikye-xp3kj 11 месяцев назад +1

    Aposawa mwana mk ana dekezwa

  • @badalichauchau6983
    @badalichauchau6983 11 месяцев назад

    Mpemba noma

  • @HusnaMgunda
    @HusnaMgunda 8 месяцев назад +1

    Good job

    • @swahilihub7630
      @swahilihub7630  7 месяцев назад

      "Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
      ruclips.net/video/ngmfpktktPg/видео.html

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 11 месяцев назад

    Usisingizie kua huna faida ya kuolewa na mtu mweupe si umetafuta mbegu uzae mtoto mzuri

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 11 месяцев назад

    Nzuri ila mwanaume ako na makosa, hakuna mwanamke ambaye anaweza kuchekea hili lililofanyika hapa

  • @ShekhIddi
    @ShekhIddi 11 месяцев назад

    Ndo mkome wake wadogo mjifundishe kabla hamjaingia kwenye ndoa muwachunguze wanaume kwanza

  • @AhmadMuhammad-l2k
    @AhmadMuhammad-l2k 9 месяцев назад

    Ukweli wanawake asili yao niwivu
    Na wivu ndio upendo.bila wivu no lav.
    Ila mwanamke mwenye kelele anakinaisha san.maan mapnz niutuliv wa moyo na akili kutulia.
    Ila mke mdogo anavutia san .
    Kama mim ningehama hata hiyo nyumba namuachia 2 kwani nin ban

  • @Adhanatwaibu
    @Adhanatwaibu 10 месяцев назад

    Mh hatar sana

  • @aishahaisha3909
    @aishahaisha3909 11 месяцев назад

    Nzur sana

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 11 месяцев назад

    Tuwekane sawa sio sheria wane but ni ruksa 4 ni ruksa muislam kuoa 4 na atimize masharti km aya inavoeleza

  • @Ronaldo78943
    @Ronaldo78943 10 месяцев назад

    Mwanaume anamakosa saana

  • @JoyceSebastian-h8v
    @JoyceSebastian-h8v 8 месяцев назад +1

    • @swahilihub7630
      @swahilihub7630  7 месяцев назад

      "Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
      ruclips.net/video/ngmfpktktPg/видео.html

  • @Tumu-zr2ez
    @Tumu-zr2ez Год назад

    Uko sawa

  • @MariamuAnifa
    @MariamuAnifa 6 месяцев назад

    Safi bi mkubwa

  • @Hamisi-yo4ld
    @Hamisi-yo4ld 2 месяца назад

    Boss

  • @priscilladama8686
    @priscilladama8686 10 месяцев назад

    Bb mkubwa 😂😂😂😂😂maneno ka chiriku😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @khajumkhamis7910
    @khajumkhamis7910 4 месяца назад

    Mke wa pili wa babu Ali ni mke na anastahiki kuwa mke coz Kila sifa na sababu anayo ya kuwa mke

  • @hannan2793
    @hannan2793 11 месяцев назад +1

    C mke mkubwa Ana qubu ni mume ndio Ana makosa angemwambia nina mke wapili ajue ataishije....kosa mpemba.makaka mkiowa mseme ni hatari mwaeza kufanya mtu auwe😮

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 11 месяцев назад +1

    Hii familia ya mke mdogo iko na makosa japo mume hakuwaambia kama yupo na mke tayari,anefaa kukasirika ni mke mkubwa,uke wenza kazi😅😅

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 11 месяцев назад

      Asikasirike vp si w’ke wote wanaopenda kuolewa mke wa 2,3,4. Au unadhani ww kila mtu anapenda mashaka??? W’ke wenyewe wa sasa wengi washirikina na w’me ndio kabisa hawajitambui.

    • @ShekhIddi
      @ShekhIddi 11 месяцев назад

      Hilo nalo neno

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 11 месяцев назад

    good movie

  • @batalingayachristopher-ry5lv
    @batalingayachristopher-ry5lv 11 месяцев назад +1

    Sauti ipo😂wewe ndio sim lako bovu

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 10 месяцев назад

    Hapo mwanamke hasidi umekoseya dada

  • @ShekhIddi
    @ShekhIddi 11 месяцев назад

    Mke mkubwa safi san

  • @MariamuAnifa
    @MariamuAnifa 6 месяцев назад +2

    Wifi nae mnafki

  • @geturude-ce7tn
    @geturude-ce7tn 11 месяцев назад

    Huyu ndiyo siyawesi am❤❤❤

  • @JumaChapalama-pi1nj
    @JumaChapalama-pi1nj 7 месяцев назад

    wake wakubwa tatizo mazowea

  • @bushzerahamusic4762
    @bushzerahamusic4762 7 месяцев назад

    Nazkubali kazi zenu

    • @swahilihub7630
      @swahilihub7630  7 месяцев назад

      "Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
      ruclips.net/video/ngmfpktktPg/видео.html

    • @SHARIFASEKA
      @SHARIFASEKA 5 месяцев назад

      ​@@swahilihub7630good job

  • @KhatibSalehKhatib
    @KhatibSalehKhatib 11 месяцев назад

    Mpembaa jamani ndio Tania zao

  • @SalumAli-dg6cs
    @SalumAli-dg6cs 11 месяцев назад

    Sauti aiko saw

  • @MichaelLawei-nc6th
    @MichaelLawei-nc6th 11 месяцев назад +1

    Mke mdogo ni mzul achanana nahuyo mkubwa anakawenge

  • @mamahidaya9566
    @mamahidaya9566 11 месяцев назад

    Ila mashemeji wanafiki jamanii yan anajua kila kitu lakn n kama hajui lolote😂😂😂

  • @salahaljahury2907
    @salahaljahury2907 9 месяцев назад

    Huyu jamaa ni mpuuzi anaongeza mke halafu hajiamini hawezi ku handle hawa madem anaendeshwa tu mpuuzi anatutia aibu wanaume wa shoka

  • @حسنا-ض3ز
    @حسنا-ض3ز 9 месяцев назад

    Good job ❤❤❤❤❤❤😂

  • @rehemapeter9430
    @rehemapeter9430 10 месяцев назад

    Ukwer ni mzur kuliko kupendelea kuficha mwambie tu ukwer

  • @salahaljahury2907
    @salahaljahury2907 9 месяцев назад

    Fala huyu

  • @bonysulemani
    @bonysulemani 11 месяцев назад

    Sauti ni tatizo tubadilike zingatia location

  • @geturude-ce7tn
    @geturude-ce7tn 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂ni siyawesi huwa nampenda sn

  • @NaimaHamad-u9v
    @NaimaHamad-u9v 11 месяцев назад

    Huyo jamaa bazazikwelikweliwrhuuuuu!!!!!!

  • @RoziDocta-cq6bb
    @RoziDocta-cq6bb 10 месяцев назад

    Watu weupe mna nuksi kwanza kwanini

    • @Lion-i9l
      @Lion-i9l 10 месяцев назад

      😂 vizuri .

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 10 месяцев назад

    Mke mdogo mpole ila mume unamakosa piya

  • @TatuHandu
    @TatuHandu 10 месяцев назад

    Kwakweli Wana ume muwe wakweli

  • @JannatKuraishi
    @JannatKuraishi 11 месяцев назад

    Maskini babu ally pole mwaya ila wanaume mkioa semeni ukweli kwa wenzenu 🤔

  • @bonysulemani
    @bonysulemani 11 месяцев назад

    Move za kibongo bwana kilasiku nikukoseya tuu tutabadilika lini?

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 10 месяцев назад

    Wifi unaliya kama kaka pumbavu

  • @fgg8794
    @fgg8794 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂 balaaa

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 11 месяцев назад

    Mke mkubwa ana maneno manyaufu sana kwa kutumia neno baradhuli kila wakati kumwambia mumewe na wakati anamtaka na anasema haachwi mtu sio vizuri kutumia neno (Baradhuli)

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 11 месяцев назад

    Ssa ulikua wataka ufiche mpaka lini,sheria ni wake wanne

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 10 месяцев назад

    Wifi penda cheupe kama kaka fisadi weee

  • @Ronaldo78943
    @Ronaldo78943 10 месяцев назад

    ❤😢😮😅

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx 11 месяцев назад +1

    Njia ya mwongo ni fupi

  • @JannatKuraishi
    @JannatKuraishi 11 месяцев назад

    Mke mkubwa mshari eti fizi zote sinatoka jasho🤔

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 11 месяцев назад

    M’ke mtu mzima yatima???

  • @zainabdadu2667
    @zainabdadu2667 11 месяцев назад

    😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤

  • @Najmah27
    @Najmah27 7 месяцев назад

    😂😂❤😢😮😮😮😂😂😂😂😂