"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia ruclips.net/video/ngmfpktktPg/видео.html
Ukweli wanawake asili yao niwivu Na wivu ndio upendo.bila wivu no lav. Ila mwanamke mwenye kelele anakinaisha san.maan mapnz niutuliv wa moyo na akili kutulia. Ila mke mdogo anavutia san . Kama mim ningehama hata hiyo nyumba namuachia 2 kwani nin ban
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia ruclips.net/video/ngmfpktktPg/видео.html
C mke mkubwa Ana qubu ni mume ndio Ana makosa angemwambia nina mke wapili ajue ataishije....kosa mpemba.makaka mkiowa mseme ni hatari mwaeza kufanya mtu auwe😮
Asikasirike vp si w’ke wote wanaopenda kuolewa mke wa 2,3,4. Au unadhani ww kila mtu anapenda mashaka??? W’ke wenyewe wa sasa wengi washirikina na w’me ndio kabisa hawajitambui.
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia ruclips.net/video/ngmfpktktPg/видео.html
Mke mkubwa ana maneno manyaufu sana kwa kutumia neno baradhuli kila wakati kumwambia mumewe na wakati anamtaka na anasema haachwi mtu sio vizuri kutumia neno (Baradhuli)
Ila mke mkubwa ana gubu mno😂😂😂 to much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤masha llah mke mdogo mzri na tena anajistiri vzri
Hogereni mlipangilia vizuri sana anafaa sana kwa kuelimisha jamii
Jaman mm nilikuwaga siangaliag bngo move lkn hapa mmeniweza ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mutabaki na mateso waswahili kwa kukataa sheria za Mungu,wake ni wanne,waacheni waume waoe wastiri wenzenu
Kwa kweli iko vizuri ubaya upo kufananiza kisa cha mpemba mpemba gani huyo anaye pelekeshwa
Mashallah mola awabariki nimependa sana igizo
Inshallah tunaomba part 2film nzuri sana.
Movie nimeipenda sana mke mkubwa walai kaniacha hoi❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Hapo ndo nnapompendea Siyawezi ❤❤
Michezo ya kitanga hiyo,mnaeza iko vizuri ❤.
Nimerudi....wekeni mike vya nguo part zengine hatuskiiii plsss
❤🎉muwe mnatoa taarifa mnapo owa
Aposawa mwana mk ana dekezwa
Mpemba noma
Good job
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
ruclips.net/video/ngmfpktktPg/видео.html
Usisingizie kua huna faida ya kuolewa na mtu mweupe si umetafuta mbegu uzae mtoto mzuri
Nzuri ila mwanaume ako na makosa, hakuna mwanamke ambaye anaweza kuchekea hili lililofanyika hapa
Ndo mkome wake wadogo mjifundishe kabla hamjaingia kwenye ndoa muwachunguze wanaume kwanza
Ukweli wanawake asili yao niwivu
Na wivu ndio upendo.bila wivu no lav.
Ila mwanamke mwenye kelele anakinaisha san.maan mapnz niutuliv wa moyo na akili kutulia.
Ila mke mdogo anavutia san .
Kama mim ningehama hata hiyo nyumba namuachia 2 kwani nin ban
Mh hatar sana
Nzur sana
Tuwekane sawa sio sheria wane but ni ruksa 4 ni ruksa muislam kuoa 4 na atimize masharti km aya inavoeleza
Mwanaume anamakosa saana
❤
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
ruclips.net/video/ngmfpktktPg/видео.html
Uko sawa
Safi bi mkubwa
Boss
Bb mkubwa 😂😂😂😂😂maneno ka chiriku😂😂😂😂❤❤❤❤
Mke wa pili wa babu Ali ni mke na anastahiki kuwa mke coz Kila sifa na sababu anayo ya kuwa mke
C mke mkubwa Ana qubu ni mume ndio Ana makosa angemwambia nina mke wapili ajue ataishije....kosa mpemba.makaka mkiowa mseme ni hatari mwaeza kufanya mtu auwe😮
Hii familia ya mke mdogo iko na makosa japo mume hakuwaambia kama yupo na mke tayari,anefaa kukasirika ni mke mkubwa,uke wenza kazi😅😅
Asikasirike vp si w’ke wote wanaopenda kuolewa mke wa 2,3,4. Au unadhani ww kila mtu anapenda mashaka??? W’ke wenyewe wa sasa wengi washirikina na w’me ndio kabisa hawajitambui.
Hilo nalo neno
good movie
Sauti ipo😂wewe ndio sim lako bovu
Hapo mwanamke hasidi umekoseya dada
Alekosea ni mume
Mke mkubwa safi san
Wifi nae mnafki
Huyu ndiyo siyawesi am❤❤❤
wake wakubwa tatizo mazowea
Nazkubali kazi zenu
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
ruclips.net/video/ngmfpktktPg/видео.html
@@swahilihub7630good job
Mpembaa jamani ndio Tania zao
Sauti aiko saw
Mke mdogo ni mzul achanana nahuyo mkubwa anakawenge
Mkubwa ndo mzuri mtu chake
Ila mashemeji wanafiki jamanii yan anajua kila kitu lakn n kama hajui lolote😂😂😂
Huyu jamaa ni mpuuzi anaongeza mke halafu hajiamini hawezi ku handle hawa madem anaendeshwa tu mpuuzi anatutia aibu wanaume wa shoka
Good job ❤❤❤❤❤❤😂
Ukwer ni mzur kuliko kupendelea kuficha mwambie tu ukwer
Fala huyu
Sauti ni tatizo tubadilike zingatia location
😂😂😂😂😂ni siyawesi huwa nampenda sn
Huyo jamaa bazazikwelikweliwrhuuuuu!!!!!!
Watu weupe mna nuksi kwanza kwanini
😂 vizuri .
Mke mdogo mpole ila mume unamakosa piya
Kwakweli Wana ume muwe wakweli
Maskini babu ally pole mwaya ila wanaume mkioa semeni ukweli kwa wenzenu 🤔
Move za kibongo bwana kilasiku nikukoseya tuu tutabadilika lini?
Wifi unaliya kama kaka pumbavu
😂😂😂😂😂😂😂 balaaa
Mke mkubwa ana maneno manyaufu sana kwa kutumia neno baradhuli kila wakati kumwambia mumewe na wakati anamtaka na anasema haachwi mtu sio vizuri kutumia neno (Baradhuli)
Ssa ulikua wataka ufiche mpaka lini,sheria ni wake wanne
Wifi penda cheupe kama kaka fisadi weee
❤😢😮😅
Njia ya mwongo ni fupi
Mke mkubwa mshari eti fizi zote sinatoka jasho🤔
M’ke mtu mzima yatima???
😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤
😂😂❤😢😮😮😮😂😂😂😂😂