LAZIMA USHINDE AINA HIZI NNE ZA VITA - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 71

  • @FredyKisendi
    @FredyKisendi 6 дней назад +38

    Wanafunzi wa Dr joel nanauka, top team, natamani tuwe na group letu ili tujengee utajiri wa watu na mahusiano ya ukuaribu na kujifunza na kupeana connection, ili niwazo langu jamani, Asanteni sana Mungu wabariki

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy 4 часа назад

    Nashukur Allah akuongezeee umri mrefu ndokta Joel

  • @NdayishimiyeHawa-fi8zn
    @NdayishimiyeHawa-fi8zn 5 дней назад +2

    Siku nitakuona live nanauka kama takosa cakukupa naomba uniruhusu japo nikushike mkono 😭😭Mungu akuweke kwaajili yetu🙏🙏

  • @hawahamza1085
    @hawahamza1085 4 дня назад

    Nimerejea mara 4 kiuskiiza hii video . Maneno yanayotoka Moyo sana.❤❤

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 5 дней назад

    Hongera sana br.. Joe kw..kazi nzuri ya..kuelimisha jamii...na..kutupa ukomavu wa..akili.... naendelea kujifunza nikiwa 🇧🇭🇧🇭🙏🙏

  • @emmanuelrutaihwa6545
    @emmanuelrutaihwa6545 6 дней назад +5

    Ahsante na huo ndo ukweli. Jipiganie mwenyewe

  • @NZAMUYEJoseph
    @NZAMUYEJoseph 6 дней назад +2

    Ndio doctor joel Nanauka

  • @NeemaMkoma-n6t
    @NeemaMkoma-n6t 6 дней назад +3

    thankx much bro hakika MUNGU azidi kuachilia hema ,maarifa,hekima na maono zaidi maana wewe sio mbinafsi asanteeeee sana

  • @YusuphSulle
    @YusuphSulle 6 дней назад +2

    Wewe unajua🎉

  • @marinaviviano-n5n
    @marinaviviano-n5n 4 дня назад

    Aisee joel umetia nguvu sana ya kuendelea mbele ubarikiwe sana

  • @BaisaMohamed-fj3vf
    @BaisaMohamed-fj3vf 6 дней назад +1

    fact,, barikiwa mtu wa mungu

  • @Consolata.1
    @Consolata.1 6 дней назад +1

    Asante San kiongozi 🎉

  • @MichaelJuma-r3q
    @MichaelJuma-r3q 6 дней назад +1

    Asante kaka mkubwa, nakuelewa sana mm binafsi

  • @JacklineLession-p3i
    @JacklineLession-p3i 8 часов назад

    Asante sana ubarikiwe sana

  • @ClementLeonard-h9m
    @ClementLeonard-h9m 6 дней назад +1

    Hakika ndoto kubwa maumivu makubwa ni nzuri imeshiba mno funguka asante mwalimu Kwa kutuganga mioyo sisi uliyo pondeka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 дней назад +1

      Ahsante sana sana tuendelee kujifunza 🙏🙏

  • @OmanOman-c9d
    @OmanOman-c9d 6 дней назад +1

    Dr joel hakika

  • @CatherineJohn-uo1tq
    @CatherineJohn-uo1tq 6 дней назад +1

    Thanks my bro

  • @theatlastz67
    @theatlastz67 6 дней назад +1

    Asante sana Kwa elimu mkuu

  • @upendokiza6061
    @upendokiza6061 6 дней назад +5

    Unachoongea ni sahii Dr. Joel, tumefanyikiwa kupitia video zako na Elimu yako ya Mentorship program kabisa, maana tumechekelewa na kupigwa vita Hila kwa sasa tumeshinda. Asante sana Dr. Joel

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 6 дней назад +1

    Asante Dr Joel.

  • @AbisaiBilla
    @AbisaiBilla 6 дней назад +1

    Asante kaka🙏🙏

  • @oscarkoga4733
    @oscarkoga4733 6 дней назад +1

    Ahsante sana mkuu

  • @StellaJohn-cx7dz
    @StellaJohn-cx7dz 5 дней назад

    Mungu azidi kukupigania sir

  • @ShafiiAmisi-h3w
    @ShafiiAmisi-h3w 6 дней назад

    Nakuelewa sana mkubwa 💪💪🇹🇿

  • @jamesshirima10
    @jamesshirima10 6 дней назад +1

    Hakika kaka..Nitazidi kupambana 🤝🏾 thanks bro

  • @GraceSteven-qq5hn
    @GraceSteven-qq5hn 6 дней назад +1

    Asant sana

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 6 дней назад

    Noted📌

  • @ndikumanaamuri3550
    @ndikumanaamuri3550 5 дней назад

    Enough is enough

  • @khadijaamour7654
    @khadijaamour7654 6 дней назад +1

    Ukweli mtupu

  • @hadidjaissa9154
    @hadidjaissa9154 6 дней назад +1

    🙏🙏

  • @PierreDams-zu9we
    @PierreDams-zu9we 5 дней назад

    Nikweli kabisa kwahapo umenigusa

  • @eliasludamila4600
    @eliasludamila4600 6 дней назад +1

    🙏

  • @AbdulkadirHaji-dd4uu
    @AbdulkadirHaji-dd4uu 6 дней назад +1

    Enough is enough. Kila vita itakayokuja mbele yangu nitahkksha napambana nayo mpka kuishinda.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 дней назад

      Hakuna kushindwa . See You At The Top ✈️✈️

  • @lenzboy2171
    @lenzboy2171 6 дней назад +1

    😊😊😊😊

  • @nurulwitiko2847
    @nurulwitiko2847 6 дней назад +1

    Asant kaka huo ni ukweli mtupu

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 6 дней назад +1

    Ahsantee sanaa kaka Joel
    Mungu akubariki sanaaaa 🙏🙏🙏

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye7929 5 дней назад

    Natamani siku nikuone japo nikusalimie umenitia mbali sana

  • @HanifaChalresy
    @HanifaChalresy 5 дней назад

    Asilimia 8o ya mafanikio yangu nimejifunza toka kwako ubarikiwe na uzao wako

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 6 дней назад +1

    Kaka kama wiki ivi sikukupata ila Leo mungu ni mwema nipo nakusikiliza 🙏🙏

  • @farajmanuar3589
    @farajmanuar3589 4 дня назад

    Asante Dr.Joel.

  • @vicytesha8163
    @vicytesha8163 6 дней назад +1

    🙏🙏🙏

  • @mariahamis1708
    @mariahamis1708 6 дней назад