LIFE WISDOM : USHINDI KATIKA VITA - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 июн 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Комментарии • 31

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk 8 дней назад +6

    Taifa limekupata Joel umekomboa wananchi wengi mwelekeo ulikua ni vurugu hata kwa wasomi hii ni maarifa fichika imezinduliwa kwako ukaamua kusaidia wengi Asante kiongozi binafsi nimekua mshindi zaidi kupitia Elimu zako Mungu atukuzwe kwa ajili yako

  • @sebastiansinka4005
    @sebastiansinka4005 9 дней назад +5

    Bro kila siku lazima nikusikilize ndonianze na shughuli zingne

  • @thegoldenmindtz
    @thegoldenmindtz 8 дней назад +2

    Ohoooo! Nimezipata hizo sababu za wao kunianzisha vita... Wanataka ni LOOSW FOCUS waharibu RASILIMALI ZANGU.
    Ahsante sana MY MENTOR.

  • @josephtesha872
    @josephtesha872 8 дней назад +1

    Hii ya leo ni yangu asantee sana umekua sehem ya kuepuka matatizo kweny maisha yangu asante

  • @StellaJohn-cx7dz
    @StellaJohn-cx7dz 8 дней назад +1

    Mungu azidi kukufadhiri na azidi kukupa afya njema

  • @user-lj4pz4pv8o
    @user-lj4pz4pv8o 3 дня назад

    Ubarikiwe sana mental wang

  • @davidfrancis7775
    @davidfrancis7775 9 дней назад +1

    Ubarikiwe sana Mwl wew ni hazina Mungu azidi kukutunza

  • @GerrardKizwolo
    @GerrardKizwolo 7 дней назад

    Kaka mungu akutunze

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 8 дней назад

    Mungu akubariki sana kaka ❤❤

  • @user-oq4fv5ed7u
    @user-oq4fv5ed7u 7 дней назад

    Barikiwa sana

  • @HalimaAmadi
    @HalimaAmadi 7 дней назад

    Ubarikiwe na nakuelewa sana❤

  • @bina2557
    @bina2557 8 дней назад

    Kaka Joel asante sana kwa hekima hizi mimi saivi nimekuwa katka maendeo mbalimbali mindset mtazamo chanya kujiona wa thamani kuajiamini japo hapo bado najifanyia kaz ili nijiamini zaidi

  • @FarajaMkumbo-pc3ft
    @FarajaMkumbo-pc3ft 8 дней назад

    Hakika nimejifunza kitu kikubwa sana mungu azid kukubariki zaidi

  • @user-ge4rf9rf9c
    @user-ge4rf9rf9c 8 дней назад

    Bro bro bro Nanauka thanks kwa maarifa unayotupatia Mungu akuzidishiye nguvuu ...💯

  • @DenisTarimo-bf4zq
    @DenisTarimo-bf4zq 8 дней назад

    Uko vizuri kaka umeturudisha kwenye reli wote tuliotaka kupoteza tumain

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 8 дней назад

    🎉🎉💪🙏

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain9618 8 дней назад

    Mungu aku tie nguvu, 🎉🎉🎉🇨🇩

  • @pauljosephtarimo2279
    @pauljosephtarimo2279 8 дней назад

    Tuliopo nje ya nchi ungetuwekea hapa tufaidi

  • @user-ys2wk4rj6f
    @user-ys2wk4rj6f 8 дней назад

    Tupo pamoja mbaka tufanikiwe wote

  • @NickGamba-ft8tl
    @NickGamba-ft8tl 8 дней назад

    Asante Mwalim JOEL ARTHUR

  • @ramadhanmkenda5918
    @ramadhanmkenda5918 8 дней назад

    Tupo naww teacher

  • @EditherLufunda
    @EditherLufunda 8 дней назад

    Ahsante sana

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 8 дней назад

    Asante br .. nimejifunza kitu

  • @NickGamba-ft8tl
    @NickGamba-ft8tl 8 дней назад

    Asante Mwalimuu

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 8 дней назад +1

    Kweli kaka ningetamani kuhuduria semina yako bahati mbaya nipo nchee ya nchii

  • @eliastanda9825
    @eliastanda9825 9 дней назад

    Sad Truth 😢

  • @lilyanmosses1301
    @lilyanmosses1301 6 дней назад

    😊I⁹