Taifa limekupata Joel umekomboa wananchi wengi mwelekeo ulikua ni vurugu hata kwa wasomi hii ni maarifa fichika imezinduliwa kwako ukaamua kusaidia wengi Asante kiongozi binafsi nimekua mshindi zaidi kupitia Elimu zako Mungu atukuzwe kwa ajili yako
Kaka Joel asante sana kwa hekima hizi mimi saivi nimekuwa katka maendeo mbalimbali mindset mtazamo chanya kujiona wa thamani kuajiamini japo hapo bado najifanyia kaz ili nijiamini zaidi
Taifa limekupata Joel umekomboa wananchi wengi mwelekeo ulikua ni vurugu hata kwa wasomi hii ni maarifa fichika imezinduliwa kwako ukaamua kusaidia wengi Asante kiongozi binafsi nimekua mshindi zaidi kupitia Elimu zako Mungu atukuzwe kwa ajili yako
Bro kila siku lazima nikusikilize ndonianze na shughuli zingne
Ohoooo! Nimezipata hizo sababu za wao kunianzisha vita... Wanataka ni LOOSW FOCUS waharibu RASILIMALI ZANGU.
Ahsante sana MY MENTOR.
Hii ya leo ni yangu asantee sana umekua sehem ya kuepuka matatizo kweny maisha yangu asante
Mungu azidi kukufadhiri na azidi kukupa afya njema
Ubarikiwe sana mental wang
Ubarikiwe sana Mwl wew ni hazina Mungu azidi kukutunza
Kaka mungu akutunze
Mungu akubariki sana kaka ❤❤
Barikiwa sana
Ubarikiwe na nakuelewa sana❤
Kaka Joel asante sana kwa hekima hizi mimi saivi nimekuwa katka maendeo mbalimbali mindset mtazamo chanya kujiona wa thamani kuajiamini japo hapo bado najifanyia kaz ili nijiamini zaidi
Hakika nimejifunza kitu kikubwa sana mungu azid kukubariki zaidi
Bro bro bro Nanauka thanks kwa maarifa unayotupatia Mungu akuzidishiye nguvuu ...💯
Uko vizuri kaka umeturudisha kwenye reli wote tuliotaka kupoteza tumain
🎉🎉💪🙏
Mungu aku tie nguvu, 🎉🎉🎉🇨🇩
Tuliopo nje ya nchi ungetuwekea hapa tufaidi
Tupo pamoja mbaka tufanikiwe wote
Asante Mwalim JOEL ARTHUR
Tupo naww teacher
Ahsante sana
Asante br .. nimejifunza kitu
Asante Mwalimuu
Kweli kaka ningetamani kuhuduria semina yako bahati mbaya nipo nchee ya nchii
Au sio mjomba
Upo nchee ya nchii😅
@@DenisTarimo-bf4zq ndio kiongozi
@@pedesheedeo 👏
Sad Truth 😢
😊I⁹