Kwa kuongezea Kifo cha kiroho ni dhana inayozungumzia hali ambapo mtu anatenganishwa na chanzo cha maisha ya kiroho, mara nyingi Mungu au uhusiano na nguvu ya juu ya kiroho. Hiki siyo kifo cha kimwili, bali ni kifo kinachohusiana na hali ya ndani ya kiroho au kiimani. Katika Ukristo, kifo cha kiroho kinahusiana na dhambi. Dhambi huleta kutenganishwa na Mungu, na hii inachukuliwa kama kifo cha kiroho. Paulo Mtume anasema katika Warumi 6:23 kwamba "Mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu." Hapa, "mauti" inahusisha kifo cha kiroho, ambapo mtu amepoteza uhusiano wake na Mungu kutokana na dhambi.
Ahsante kwa somo nzuli naona kuwa nitapiga hatua kwa kulielewa somo hili.
Kwa kuongezea Kifo cha kiroho ni dhana inayozungumzia hali ambapo mtu anatenganishwa na chanzo cha maisha ya kiroho, mara nyingi Mungu au uhusiano na nguvu ya juu ya kiroho. Hiki siyo kifo cha kimwili, bali ni kifo kinachohusiana na hali ya ndani ya kiroho au kiimani.
Katika Ukristo, kifo cha kiroho kinahusiana na dhambi. Dhambi huleta kutenganishwa na Mungu, na hii inachukuliwa kama kifo cha kiroho. Paulo Mtume anasema katika Warumi 6:23 kwamba "Mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu." Hapa, "mauti" inahusisha kifo cha kiroho, ambapo mtu amepoteza uhusiano wake na Mungu kutokana na dhambi.
It is best speech more blessing
Shukrani sana Kaka joel kwa elimu hii unayozidi kunipa na YEHOVA MUNGU azidi kukupa afya njema wew na familiar yako 🙏🇹🇿
Asantee nimejifunza
Mungu akutunze kwa ajil ya wengine
Hakika mungu akutunze kaka joel nanauka ❤
Ahsante sana kaka Joel Mungu akubariki
Nimejifunza kitu Joel asante
Kaka nijifunza vitu vingi sasa kutoka kwako
Mwenyezi MUNGU azidi kufungua anga lako la maombi Joel nanuka .Azidi kukuinua na DAMU ya yesu kristo Unene mema kwenye maisha yako
Ameen Ameen
Asante sana kaka
Ntazingatia
Asante kaka Joel umenisaidia kubadilika katika mambo mengi sana God bless you
Shukran sna kaka motivation zako zinanipa mwanga mpya ktk maisha ❤
Hallelujah Ubarikiwe sana kaka Joel ❤
Ahsante