LIFE WISOM : AINA TATU ZA VIFO - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 18

  • @RedgaMsigala
    @RedgaMsigala 3 месяца назад

    Ahsante kwa somo nzuli naona kuwa nitapiga hatua kwa kulielewa somo hili.

  • @JamesAtilio
    @JamesAtilio 3 месяца назад +2

    Kwa kuongezea Kifo cha kiroho ni dhana inayozungumzia hali ambapo mtu anatenganishwa na chanzo cha maisha ya kiroho, mara nyingi Mungu au uhusiano na nguvu ya juu ya kiroho. Hiki siyo kifo cha kimwili, bali ni kifo kinachohusiana na hali ya ndani ya kiroho au kiimani.
    Katika Ukristo, kifo cha kiroho kinahusiana na dhambi. Dhambi huleta kutenganishwa na Mungu, na hii inachukuliwa kama kifo cha kiroho. Paulo Mtume anasema katika Warumi 6:23 kwamba "Mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu." Hapa, "mauti" inahusisha kifo cha kiroho, ambapo mtu amepoteza uhusiano wake na Mungu kutokana na dhambi.

  • @abdulfatahjuma3105
    @abdulfatahjuma3105 3 месяца назад

    It is best speech more blessing

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 3 месяца назад

    Shukrani sana Kaka joel kwa elimu hii unayozidi kunipa na YEHOVA MUNGU azidi kukupa afya njema wew na familiar yako 🙏🇹🇿

  • @josephtesha872
    @josephtesha872 3 месяца назад

    Asantee nimejifunza

  • @Rehema815
    @Rehema815 3 месяца назад

    Mungu akutunze kwa ajil ya wengine

  • @OmallyMbwana
    @OmallyMbwana 3 месяца назад

    Hakika mungu akutunze kaka joel nanauka ❤

  • @angelnjiku1979
    @angelnjiku1979 3 месяца назад

    Ahsante sana kaka Joel Mungu akubariki

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 3 месяца назад

    Nimejifunza kitu Joel asante

  • @EllyDema
    @EllyDema Месяц назад

    Kaka nijifunza vitu vingi sasa kutoka kwako

  • @tanasimwakatungila-jk8jg
    @tanasimwakatungila-jk8jg 3 месяца назад +2

    Mwenyezi MUNGU azidi kufungua anga lako la maombi Joel nanuka .Azidi kukuinua na DAMU ya yesu kristo Unene mema kwenye maisha yako

  • @muhangwamateo8262
    @muhangwamateo8262 3 месяца назад

    Asante sana kaka

  • @FabianAmos-kr4yp
    @FabianAmos-kr4yp 3 месяца назад

    Ntazingatia

  • @gloriakinyota-qv8pp
    @gloriakinyota-qv8pp 3 месяца назад +1

    Asante kaka Joel umenisaidia kubadilika katika mambo mengi sana God bless you

  • @SaumuBakari-ub9bt
    @SaumuBakari-ub9bt 3 месяца назад

    Shukran sna kaka motivation zako zinanipa mwanga mpya ktk maisha ❤

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 месяца назад

    Hallelujah Ubarikiwe sana kaka Joel ❤

  • @atupendakilian
    @atupendakilian 3 месяца назад

    Ahsante