SIFA TATU (3) ZA MUME | DEO SUKAMBI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza SIFA TATU (3) ZA MUME.
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / deosukambi1
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    www.youtube.co...
    Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #MahusianoUnaweza Kusapoti huduma hii

Комментарии • 146

  • @marianaduncan6330
    @marianaduncan6330 7 месяцев назад +27

    Ktk vitu sivipendi simpendi mwanaume muongo

  • @alicemwinuka9714
    @alicemwinuka9714 7 месяцев назад +7

    Na wakati mwingine sio kama tunapenda kudanganywa wanawake lakini kwasababu katika swala la uaminifu tayari ulishakuta hilo tatizo kwka mume kwa hiyo hata siku akisema ukweli inakua ngumu kuamini

  • @alicemwinuka9714
    @alicemwinuka9714 7 месяцев назад +5

    Kwa kweli somo ni zuri sana lakini sasa unakuta mwanaume mwingine ni mtata tu kama ulivyosema anatumia nguvu kutaka kuheshimiwa lakini kiukweli hana 2nd & 3rd
    ..ndo mara ya kwanza nakusikiliza lakini nimependezwa sana

    • @saicaglory6834
      @saicaglory6834 6 месяцев назад

      Kwa kweli nimebarikiwa sana na somo hili

  • @joycesethmwangonda8088
    @joycesethmwangonda8088 24 дня назад

    Ubarikiwe sana mch kwa somo zuri la uponyaji wa ndoa zetu.Mungu tusaidie na uponye ndoa zetu.

  • @theresiakessy4747
    @theresiakessy4747 7 месяцев назад +6

    Asante sana kwa mafuzo yako ila mume wangu nampenda sana lakini anafanya matukio ya kuniumiza sana

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад +1

      Ukiendelea kuweka uchungu huo moyoni mwako ni wewe ndio unayeumia sio mumeo

    • @d.m453
      @d.m453 6 месяцев назад

      ​@@DeoSukambiNi nini kifanyike katika hayo maumivu

  • @DavidMgunya
    @DavidMgunya 4 месяца назад +2

    Bosi chukuwa saloot zako upo vizuri sanaktk masuala hayo asante

  • @NeemaMichael-w2w
    @NeemaMichael-w2w 7 месяцев назад +2

    Cjui nipo nje ya mada vp kuhusu mwanaume ambae hajali Wala hahudumii

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад +2

      Hana sifa ya kuwa mume japo ni mwanaume.

  • @eliudkasule7503
    @eliudkasule7503 7 месяцев назад +4

    Mafundisho adimu kwenye kipindi hiki adhimu. Mungu akubariki Pastor!!

  • @DonatilaMwacha
    @DonatilaMwacha 3 месяца назад +2

    Wengi ni waongo mnooo

  • @bahatinahimana5695
    @bahatinahimana5695 7 месяцев назад +1

    Sasa mbone mwanaume izo namna 3 zikimushinda anaamua kwenda kuwowa ungine mwanamke na anataka asikuache nawewe muke wakwanza we muke wakwanza utafanya nini jamani?

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel 7 месяцев назад +5

    Asante sana.. Nimebarikiwa sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад +1

    😂 kwakweli mpk pastor umecheka, point ya 3
    Balaa linaanzia hapo

  • @ModesterRuguzye
    @ModesterRuguzye 7 месяцев назад +2

    Mtumishi mm nimelia sana sana kweli ww nimwalimu nimekuelewa ukweli mm Mume wangu kwenye changamoto za hisia mtacheka t ila changamoto zingine zikija usimuilize maisha yangu yote sasa nimechoka

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza7661 7 месяцев назад +4

    Mafundisho ni mazuri sana🙏

  • @samwelilucas1970
    @samwelilucas1970 7 месяцев назад +3

    Najifunza naona wanaume hatutakiwi kutumia hasira kabisa

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 7 месяцев назад +4

    Thanks pst Deo

  • @VeronicaThomas-pb1cp
    @VeronicaThomas-pb1cp 7 месяцев назад +2

    Pastor nashukuru Sanaa, ila ni Nina swali moja unakuta mwanaume uwezo wa kuwa na hela yuko vizuri lakini hatekelezi majukumu yake?? Shida inakuwa n nini

    • @mariahyera3737
      @mariahyera3737 7 месяцев назад +1

      Huyo ni mchoyo na mbinafsi. Na wapo wengi sana kwa sasa.

  • @CatherineMakokha-dg6ws
    @CatherineMakokha-dg6ws 7 месяцев назад +1

    Thanks for the good teaching, I'm single mother, but my question is why every time, when I meet any man, we start talking about how we can get married, before we meet man start asking me to send him money, it's that right, it's that love or he just come to me because of money

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад

      It is not right, its is not love..run

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 7 месяцев назад +4

    Na mimi nihitaji kujifuza zaidi

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад

      Karibu sana endelea kutufatilia

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад +1

    Aisee wengine baba zetu vimeo
    Ila ndo wazazi hakuna namna

  • @BeatriceLyatuu-w8j
    @BeatriceLyatuu-w8j 6 месяцев назад +1

    Shukrani Sana mwl nimejifunza mengi ubarikiwe

  • @estherkalwira9799
    @estherkalwira9799 7 месяцев назад +3

    Ubarikiwe Pasteur

  • @RizikiVincent
    @RizikiVincent 6 месяцев назад +1

    Asante ziti kuwafunza waume zetu ili wajuwe kutulea na kututunza kama vile tulivolelewa kwa wazazi wetu maana walipokubali kuwa waowaji walikubali kubeba majukumu yote ya mke au wake kimaisha yao

    • @eliminachristopher2662
      @eliminachristopher2662 6 месяцев назад

      Je kama mume hawezi kutatua changamoto za finance na kihisia za mke wake ambalo ni tatizo sugu hapa inakuwaje

  • @FredrickKifunda
    @FredrickKifunda 7 месяцев назад +2

    Ninakupongeza sana mchungaji uendelee kutushauri

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 7 месяцев назад +5

    Very true Wanawake anatusaidia kuwafahamu Wanaume, pia wanaume kutufahamu vizuri. Ndoa nyingi hazifiki sababu ya wanandoa kutotambua nafasi zao🙏🏾🙏🏾

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 7 месяцев назад +3

    Mbona wanaume wengi wamekuwa wahongo sana

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад

      Hata wanawake ni waongo pia

  • @preceenosent6324
    @preceenosent6324 7 месяцев назад +2

    Jama hiyo ya mwisho ni ngumu jamani

  • @samwelilucas1970
    @samwelilucas1970 7 месяцев назад +3

    SoMo ni zuri Sanaa

  • @FunnyAlligator-fo2eg
    @FunnyAlligator-fo2eg 7 месяцев назад +2

    Interesting darasa

  • @SuzanaMgoja
    @SuzanaMgoja 6 месяцев назад +1

    Samahani mimi ninamchumba lakini anawivu mnooo na anataka kila ninachofanya nimuambie na nikisahau kumwambh ananisema maneno machafu pia anataka niwe nae karibu yaani niwe naishi nae kwanza then NDIPO ataenda nyumbani .je huyo ni mume au mwanaume?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  6 месяцев назад

      Huyo ni mwanaume HATARI..nenda kaangalie somo la AINA TANO ZA WANAUME

    • @SuzanaMgoja
      @SuzanaMgoja 6 месяцев назад

      Sawa

  • @SendamaNgusa
    @SendamaNgusa 6 месяцев назад +1

    Umekuwa baraka sana kwenye maisha yangu mtumishi

  • @ThéophileBadesirwe
    @ThéophileBadesirwe 7 месяцев назад +2

    Asante sana kwa mafundisho haya

  • @Norrisnoriega
    @Norrisnoriega 2 месяца назад

    🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @BizimunguAdolphe-vp7xp
    @BizimunguAdolphe-vp7xp 7 месяцев назад +2

    Asante sana mwalimu🇷🇼

  • @SarahTsuma-w3v
    @SarahTsuma-w3v 7 месяцев назад +2

    Ahsante barikiwa

  • @NizereOrnella
    @NizereOrnella 7 месяцев назад +1

    God bless you paster kwamafunzo mazuri❤❤❤

  • @wahidakisingo3588
    @wahidakisingo3588 7 месяцев назад

    Asante pastor,,,,,,,i just wish baba chanja apate huu ujumbe umbust kwenye Moyo,,,,,nitumie njia gani kumfikishia hii link bila kumkwaza asijesema nimemuona anakasoro

  • @RechoGunda
    @RechoGunda 5 месяцев назад

    Mmmmh hapo kwenye kutatua mahitaji ya kiuchumi hapo na kihisia mhmm

  • @Teaching356
    @Teaching356 7 месяцев назад +1

    Nimeipenda sana hii Asante.

  • @HekelaKidibule
    @HekelaKidibule 7 месяцев назад +2

    Somo zuri saana,wanaume wangekua online wangejifunza

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 6 месяцев назад +1

    Hii Nb yako code ni yawapi? Tafadhali nisndikie.

  • @RizikiVincent
    @RizikiVincent 6 месяцев назад

    Mwalimu mafunzo yako mazuri hakika wanaume wameshindwa kujitambuwa kwamba wao waliumbwa kwaajili ya kujenga na so kubomoa ila wanaume leo wamukuwa wabomozi kuliko kujenga wamejiondowa kwenye kitengo cha ualimu wamejiweka kwenye kitego cha uwanafunzi

  • @mamadoromamadorothea-ij9zd
    @mamadoromamadorothea-ij9zd 7 месяцев назад +1

    Ahsante sana kaka unachokisema n kweli

  • @JacklineMacha-cv9rz
    @JacklineMacha-cv9rz 7 месяцев назад +1

    Asante..maama..umenigusa..nitapata.cha..kufanya.

  • @LucianaGeorge-n9j
    @LucianaGeorge-n9j 7 месяцев назад +2

    Mimi nnasifa zote 3 ila sjaolewa

  • @bishengadau681
    @bishengadau681 4 месяца назад

    Ubarikiwe sanaaa Mtumishi Nimejifunza

  • @FrolinaIlomo-jw9yn
    @FrolinaIlomo-jw9yn 7 месяцев назад +2

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho muhimu

  • @sarahbuluma9837
    @sarahbuluma9837 6 месяцев назад

    Well and good 👍❤ na ss mwalimu wetu sisi tuliolewa ile ndoa ya come and stay) tunasaidiana aje jmn😢 😱 hatutambuliki maskini

  • @loycep7785
    @loycep7785 7 месяцев назад +1

    Nashukuru sana kwa maneno mazuri lkn wanaume wengine wanatuchukulia zarau kwa ufhaifu wetu sasa wanatumia nguvu sasa ndoa hiyo inakuwa haina Amani
    Comand bila hekima ndoa haiendi

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад

      Ina maana huyo mwanaume hana zile sifa za mume ndio maana..ukipata mwenye sifa wala hanaga tatizo hilo

    • @adeladaudi2047
      @adeladaudi2047 5 месяцев назад

      Hapo ndio sielewi unamaanisha huyo amuache ampate mwenye hizo sifa 3, au afanyaje?

    • @joachimlema
      @joachimlema 3 месяца назад

      ​@@adeladaudi2047Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake HEKIMA Ni dawa

  • @KaviraKighoma-d1j
    @KaviraKighoma-d1j 7 месяцев назад +1

    Mwalimu nashukuru kwa mafundisho

  • @jullymwaikenda564
    @jullymwaikenda564 6 месяцев назад +1

    Ubalikiwe

  • @MagrethLyimo-vm5wk
    @MagrethLyimo-vm5wk 4 месяца назад

    Na mke akizikosa sifa zake tatu afanyeje??

  • @bas2823
    @bas2823 7 месяцев назад +1

    UPSOLUTY WRIGHT👌! N TRUE👍! 👏

  • @annandemo9743
    @annandemo9743 5 месяцев назад

    Nashukuru kwa mafundisho haya yanatujenga sana

  • @lukasmbondo
    @lukasmbondo 7 месяцев назад +1

    Nini tofauti ya be kumilikiwa na kutawaliwa pastor

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад

      Nimeelezea kwenye somo

  • @OrnellaHabonimana-gr7wp
    @OrnellaHabonimana-gr7wp 6 месяцев назад

    Past ubarikiwe sana kwamana changa moto yandoa nishida kabisa Mungu atusaidiye tu wanaume unawapenda hawapendeki unawaeshimu awawoni mwisho wanatoka iche ya ndoa mbaka uvumilivu unatushinda Mungu atuwezeshe kabisa

  • @SarahTsuma-w3v
    @SarahTsuma-w3v 7 месяцев назад +1

    Sasa kama mm nko Kenya hyo elfu tano pesa ngap ya kenya

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад

      Semina ilihairishwa

  • @MariannaJoseph-uv2sp
    @MariannaJoseph-uv2sp 6 месяцев назад

    Dah mimi nimetengana na mumu wangu kwakua kiuchumi nina vumilia kwakua sio mzuru au nimeweza kuvumilia yote ila katika kurizisha hisia zangu niziro nihivi uwezo wa tendo nimdogo napiya mpaka ajisikie yeye napiya wakati mwingine hatuwez kufanya tendo mpaka waje wagen ndipo huwa anajisikia so sijamuelewa hata hivo anaamsha hisiya akisha maliza yeye bas hajalitena kuhusu mimi hivo yan

    • @MariannaJoseph-uv2sp
      @MariannaJoseph-uv2sp 6 месяцев назад

      Ila nimkweli napiya sio cheateng hayo anajitahid sana love tu kwake ni ziro

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 7 месяцев назад +2

    Yes nakukubali sn😊

  • @ModesterRuguzye
    @ModesterRuguzye 7 месяцев назад +1

    Yeeeeesu Wangu mm mtumishishi ww umeniliza mm mtumishi kama unaniona vile inauma sana yesu nidamehe nahisi kushidwa sasa mume wangu niwacheti toka naolewa mtumishi nimechoka mwili na roho yangu Mungu akubariki sana kama umeniona Mungu ametuma kwangu yani hili langu kabisa hata awe na pesa mbora ufe

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад +1

      Pole sana dada yangu..endelea kujifunza naamini majibu yako yapo

    • @ModesterRuguzye
      @ModesterRuguzye 7 месяцев назад

      Amina sasa nafumbuka mtumishishi ninaanza kuona mwanga

    • @AgnessenestKibwana
      @AgnessenestKibwana 4 месяца назад

      Hauko peke yako ktk hilo

  • @generalkenny8952
    @generalkenny8952 4 месяца назад

    Nimejifunza Sana kwakeli asante sana

  • @Dr.witness02
    @Dr.witness02 7 месяцев назад +1

    Habar kwa mwanaume alien Muaid mwana mke kumuo na akajikuta ame mpa mwanamke uyo uja uzito na aka kubali mimba na kulea mimba kisha kuamua kumuacha mwana mke huyo shida ina kuwa nini

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад +1

      Mwanaume kuahidi kukuoa haina maana atakuoa..ilipaswa huyo mwanamke asubiri aolewe ndo apate mimba..hiyo ya kuwa mwanaume aliahidi atakuoa sio guarantee kabisa..mwanaume akiwa anataka kukupata anaweza kukuahidi chochote kile lakini haimaanishi ndicho atakachofanya

    • @HalimaHalimaomary
      @HalimaHalimaomary 8 дней назад

      ​@@DeoSukambiMasha Allah asant Sana Allah akufanyie wepes kwa kil hatua maan nakuelewa san

  • @KaviraKighoma-d1j
    @KaviraKighoma-d1j 7 месяцев назад +1

    Mafundisho nimazuri

  • @DesteriaMakumbuli
    @DesteriaMakumbuli 7 месяцев назад +1

    Asante nimebarikiwa Je hata kama akapoteza hizo sifa 3 na mke ukatambua na kumuonyesha kuwa ni mke kabisa unamuheshimu lakini akakosa kutambua kuwa upo upande wake na akaonyesha kuwa hatambui kuwa amempoteza sifa akajiona yupo sahihi je mke anatakiwa kufanya nini.

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад +1

      Jukumu lako ni kuwa MKE sio kumsaidia au kumfundisha mumeo jinsi ya kuwa MUME..ikiwa amepoteza sifa unatakiwa ubaki kwenye nafasi yako ili aone matatizo yake..ukianza harakati za kumfix ataanza kuona wewe ndio tatizo..usibebe majukumu yake kama mume na kadiri anavyozidi kupoteana ndivyo unapaswa kurudi nyuma kumpa nafasi zaidi ya kujitafuta ajipate..si mara zote utafanikiwa lakini ikiwa atashindwa kujipata hautakuwa kwenye lawama za kuchochea yeye kupotea

    • @LuluChloé-h3i
      @LuluChloé-h3i 7 месяцев назад

      😢😢😢😢 asant kwa jibu hii ulio mpa nami ime nifunza nta jitahidi sana ​@@DeoSukambi

    • @MariamObote-lg5pu
      @MariamObote-lg5pu 6 месяцев назад

      Safiiiiii, ushauli wako niliutumia mimi, mwanaume wangu amejifunza!!!!!!!

  • @RUCKY_
    @RUCKY_ 7 месяцев назад +1

    Unavyo anza wah kwenye mada point za msingi unaongea sana mpka unamchosha msikilizaji

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад +1

      Kama ni mvivu wa kusikiliza hii channel itakuboa..fatilia zenye clip fupi fupi ndugu yangu hapa nafundisha na kufafanua

    • @judithmwambe4767
      @judithmwambe4767 7 месяцев назад

      Ni vema kusikiliza vyema maelezo, kuliko kupata point. Hata ukipewa point utacomplain tu mfn; point ikisema" mwanaume unatakiwa kuwajibika" hapo unaweza kuelewa kuwajibika kwenye nini na nini na ninavyotambua akili za watanzania watasema mimi nawajibika sasa huyu anaongea nini sasa.

    • @RUCKY_
      @RUCKY_ 7 месяцев назад

      @@DeoSukambi sio uvivu wa kusikilia unapo chekewa kupoint maneno ya kawa mengi una sahau ya mwanzo hivyo hivyo hata kwenye mafundisho ya bibles hawasomi vifungu vyoote ni vichache na vyenye kufafanulika haraka vichwa vina mambo mengi basi ata walimu wangekua wana fundisha page za vitabu vyoote sasa oky WACHA NI BAKI KWA CHRIS MAUKI.

    • @RUCKY_
      @RUCKY_ 7 месяцев назад

      @@judithmwambe4767 sorry kila mtu na mitizamo yake wengine tuna thamini muda wa kusikiliza na mengine

    • @judithmwambe4767
      @judithmwambe4767 7 месяцев назад

      @@RUCKY_ kama u mvivu kusikiliza its better ukaachana na mafundisho haya maana hayatakusaidia kwa kweli mpendwa.

  • @HyleneGesare
    @HyleneGesare 7 месяцев назад +1

    True pastor

  • @SarahKioko-y4r
    @SarahKioko-y4r 6 месяцев назад

    That's very good advice b blssed

  • @AllenSalewa
    @AllenSalewa 2 месяца назад

    Be blessed pastor

  • @hajatyyusphu334
    @hajatyyusphu334 6 месяцев назад

    Vyote kwangu changa moto

  • @HarietAkiika
    @HarietAkiika 6 месяцев назад

    Hicho kitabu ni whoumch

  • @YonaMwakasakala
    @YonaMwakasakala 4 месяца назад

    Ubarikiwe mwalimu

  • @Norrisnoriega
    @Norrisnoriega 2 месяца назад

    🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @msekenicarlo2206
    @msekenicarlo2206 7 месяцев назад +2

    Nimecheka kwa sautiii😂
    "Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya"
    😂

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад +1

      Oooh yeah😆😆😆

  • @LilianSulubu
    @LilianSulubu 6 месяцев назад

    Somo Zuri linanijega

  • @sarahbuluma9837
    @sarahbuluma9837 6 месяцев назад

    True said 👍 pos- wow Big up 💪🙏

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 7 месяцев назад +1

    Very good Lecture

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад

      Thanks and welcome

  • @annamnyazi8206
    @annamnyazi8206 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤

  • @SimonThomas-i9c
    @SimonThomas-i9c 6 месяцев назад

    Safiii sana mr Deo

  • @YonaMwakasakala
    @YonaMwakasakala 4 месяца назад

    Asnte

  • @PatrickMbusa-u2f
    @PatrickMbusa-u2f 6 месяцев назад

    Ubarikiwe

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 7 месяцев назад +3

    Kabisa Asante sana kwaio

  • @LucyMichael-pn6pr
    @LucyMichael-pn6pr 6 месяцев назад

    🙏🏼

  • @gracemlawa0015
    @gracemlawa0015 7 месяцев назад

    35:51

  • @GraceGrayson-k2o
    @GraceGrayson-k2o 7 месяцев назад +1

    Mm nipo single napenda sana kuwa na mume lakini naopa kusalitiwa na nimeshasalitiwa sana

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад

      Kama unaogopa kusalitiwa basi jifikirie mara mbili kuhusu suala la kuolewa maana hofu yako itakufanya usalitiwe sana..kuwa mke inahitaji IMANI na uaminifu..kama huwaamini wanaume then ni ngumu kuwa mke..jitahidi kuishinda hiyo hofu

  • @happiness_713
    @happiness_713 7 месяцев назад

    Wonderful advice... from Kenya

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 месяцев назад +1

      Glad it was helpful!

    • @happiness_713
      @happiness_713 7 месяцев назад +1

      Those who will follow your teachings will go far! ... that's my thoughts 👊

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 7 месяцев назад +3

    May god bless you for this message

  • @MiriamEzekiel-d1p
    @MiriamEzekiel-d1p 7 месяцев назад +1

    Mafundisho mazuri tunashukuru

  • @mapinduzisylvester1903
    @mapinduzisylvester1903 7 месяцев назад +1

    Takataka

    • @Neema-fh1wp
      @Neema-fh1wp 7 месяцев назад +1

      😂😂😂 Kama kakukera sema malaya wewe...

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 6 месяцев назад

      😂😂😂😃😃😅​@@Neema-fh1wp

  • @pishoniprinting2284
    @pishoniprinting2284 7 месяцев назад +2

    Is true