Tumaini Mwasubila ft. Martha Mwaipaja - Usilie [Official HD Vieo] SKIZA CODE 7381424 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Tanzanian Gospel Star - Tumaini Mwasubila presents the official music video for her 2019 single "Usilie" Directed by ITC Videos and the audio produced by Baraka -JB studio filmed on location in Dar es Salaam phone 0719082000
Tulio rudia zaid ya mara 2 like tujuane
Trust him for everything 🙏
Yaani huu wimbo umenigusa sana
Yan hii nyimbo naona mulinitungia mm kwani ndo mitihani yang mpka ss napata shida katika dowa nalia kila siku dugu zang wengi wananicheka sina mama wala Dada wakunipa moyo katika mauvu yang ila kupitia yinyi napata tumani lakuedela kwani alio wapa wengine ananipa na mm asante sana kwakunipa ujasili Mung awabalik Dada zang😭😭😭😭😭😭
Pole sana Mungu mwaminifu atakupa na wewe wanao kucheka wataaibika
Mungu akusaidiwe atakusikia tu
Pole Mungu atakupa wakati wako bado usikate tamaa
@@TUMAINIMWASUBILAOFFICIAL Dada Tumain .Hongera sana sana kwa kazi nzuri hii.huu wimbo nani ni mtunzi.wew au Martha??
Pole dadangu amini kuwa wewe sio Tasa una watoto wengi sana mda hauja fika ukifika utaitwa MAMA be blessed
Mungu Nikila kitu usikate Tamaaa
Mngu awabaliki watumishi nimebalikiwa Sana nimepata ujasili nasonga mbele
Eheeee mungu unikumbuke na uwakumbuke wanalo shinda
Dada yangu tumaini na boss wangu ❤❤❤
Hakika mtetez n Mungu pekee .
Machozi yamenitoka nimewaza mbali Martha mungu akubariki
Merci sana kwa wimbo wa farajah.
Dada martha hongera kwa kuimba vizuri❤🎉
Amen 🙏🙏 mungu atanifungulia milango
Amen mwanadamu atakupenfa wakati wa Raha aiseee amen🙏🙏🙏🙏🙏. Usilie nyamaza
Mungu ndiye kimbilio letu
Barikiwa my dear kwa ujumbe mkubwa
Asante sana kwa île nyumbo
One thing abt Martha is that she is real, talented
Sitalia tena nimenyamaza 😓
Asante sana muhubiri Martha sitalia tena ubarikiwe sana
N kweli n heri kumtazama Mungu cku zote
Kweli Mungu hajawahi muacha mtu wake Yesu ni Mwema
Kweli mwadamu sio wa kuamin amin
Amen wakati wa washida ndio wengi hujitenga, lakini Mungu atanipenda nyakati zote barikiweni watumishi wa Mungu.
Napenda Sana nyimbo zako, Ina pendeza ku ona umbali Mungu ame kutoa Sita acha kumuamini Mungu🙏🙏🙏
Usike kilema na uzazi ungalipo,GOD is da provider of everything to us all.
Wimbo huu unafariji
Mammy i love your songs may God bless you.
Nimeguswa sana ma wimbo huu yote ayo nimepitia lakin sasa Mimi ni mama was watoto wangu asante yesu kwa kunipa watoto
Wimbo nzuri sana sister
Watakuheshimu siku moja , wote wanakusema mabaya wote watamjua baba
Watakuheshim siku moja
Mungu peke TU
Asante. Kweli aliye kupa atanipa na mimi. Aliye kubariki atanibariki na mimi amen.
Namshukuru mungu kumtumia mtumishi wake martha wa ujumbe wa kutupa nguvu kweli kuna mungu watanzania na pia huku kenya na dunia nzima,, ni usuhuda tu asante nyimbo zako zanitia nguvu hata wakati huu mengi
Umenijenga wimbo wako
Daaa huu wimbo mbona unagusa maisha yangu nimeumia sana Mungu awabariki sana kwa ujumbe wenu nawapenda
Mungu akubariki nawimbo mzuri pia Mimi anikumbuke Amen
Mungu hatakuache daima ipo kesho yafuraha yako
Ooooh nimetumwa hapa na dada Phaustine okitwi mke wangu, wimbo huu umebeba ushuhuda wa mke wangu! Kongole Sana dada kwa ujumbe mkumbwa
Naendelea kubarikiwa nawimbo huu unanitia nguvu sana..Mungu akubarik sana da Martha mwaipaja kupitiahuduma yako nabarikiwa sana .hakika una uzoefu binafsi na nguv ya Mungu.i wish siku moja nikuone nitafurah sana. Mbarikiwe kwa kaz nzuri..by Agy.
Wimbo huu unanikumbusha niliyoyapitia asante yesu wangu kwa kunikumbuka Mimi amina
Mtetezi yupo 🙏🙏
My all time artist,, Nyimbo zako hunigusa Moyo na kunibariki zaidi mum Martha. Mungu azidi kukupigania. One day I hope to meet you in person, I need to tap your anointing.
If our gospel musicians could be like this lady WOG MARTHA mwaipaja they could be empowered I a greater level ,Martha you're great darling sister artist ,wimbo wenyewe mafunzo💃💃💃💃💃💃💃🙌🙌🙌🙌
Shauri nzuri
Huu wimbo ni wa kumpea mtu hekima,moyo na matumaini.Bwana na awabariki sana
Martha your a blessed to me God bless u
Hujawahi kosea nakupenda Kama ninavyozipenda nyimbo zako zinanibariki sana barikiwa mkamilifu wa Bwana❤️🙏
I love you 🇧🇮
Ninawapenda wa Tanzania. I am from Rwanda
Oy
Oy
Imana ni nkuru ntakibuaz kwi mana
Njoo uolewe kwetu my dear
Tunakupenda pia!!
Nakupenda sana Marta maana unagusiya Yale mengi wa mama tunakutana nayo Mungu akubariki yani najisikiya kufarijika kwahuyu wimbo
Martha Mungu akubariki una kipawa
Martha mwaipaja ajawahi kosea mbarikiwe
Ameen huwa nakukubali Sana matha mwaipaja.na nyimbozako huwa nazielewa hata ukishilikishwa huwa unakuwa vinzuri nyimbo inapendenza sana Tena unaweza ukasema yako
Nakupendaaaa marthaaa mwaipaja sijawahi kuuchukia kitu ulichoimba kwenye kila wimbo una ujumbeee wa Mungu ndaniiii Nakupenda mno dadaangu
Sasa nani ataweza chukia song ya muimbi yeyote ukichukia una sauti unda yako aiseee....
Don't stress just play
I thank God for you my sister Martha. Your songs minister to me alot. I hope one day God will make it possible for me to hug you❤
Nikwli 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
dah😭😭.dada matha mungu akuinue hata ukishirikishwa wimbo na mtu unauvaa uhusika sana dada angu
Wimbo huu umenigusa sana nimekumbuka yaliyopita asante yesu wangu kwa kunipa watoto Mimi ubarikiwe martha
In our life, sometimes we have to face hard times. Sometimes we lose all
the charm of our life. But a religious man or woman always keeps faith
in God. Even when you have no hope, you should keep believing in God and
His wisdom. Never lose hope about anything in any situation, whatever
it is bad or worst. Thanks Mum Martha for the message..
Huyu mdada daah cjui ata nisemeje maana kila nikisikia tu sauti yake lazma nitulie mpaka wimbo wake uishe.
Nataman gospel singers wote wangeimba hv sio wengne utadhan bongo flavor
Mwaipaja i lv ua songs
Jamani wewe Mana mungu akubaliki kbs mutetezi uko nanyamanza Amin hallelujh🙌🙌
Wow.mwaipaja napenda wewe xna.mko xwaa.ameen
Martha jaman nakupenda sana mungu yupo kwel naona huu wimbo moiniimbia mm maana ninawates weng
mungu akuongeze miaka zaidi kwenye uimbaji wake nazidi kubarikiwa zaid na zaid
Huyu Martha jaman yuko on fire
Nanyamaza mtetezi yupo
Ama kwel kizur kinajiuza jaman dada Mather asante sana kuwasapot nao hao chipukiz ktk game nasema mungu amisaidie sana kwan wapo jamii ya watu wanayapita hayo ktk jamii inayotuzunguka ila kikubwa maomb
Hakika nimefarijika na nyimbo Zako dada ubarikiwe sanaaa mtetezi yupo
Martha nakupenda
Nice song, Hongera kwako Martha pamoja na Tumaini Mwasubila🙏🙏
Du mungu anabariko
Nakosa namna nzur ya kusema ... Nimachozi ya furaha ujumbe mzr sana ...Martha unagusa na kuponya mioyo kwa nyimbo zenye jumbe nzr
Great finally I have got this powerful song!
Martha mwaipaja naye sauti yake nzuri ukiskiza songz zake utalia tuh....
Nawapenda sana waubiriwaabarinjema watanzania am from congo
Mungu awabariki wote
Amen
Mtetezi yupo nyamaza..
More grace and blessings Martha
Dah mungu Yupo
Napenda nyimbo zakosaana my sista martha zina nifarij moto sana 👌👌🙏🙏🙏🙏
Whenever we face any challenges only God is the one who answer our prayer not your friends nor brother and sister let's depend on God for sure he is the solution to our problems..l love the song Martha may God bless you
Ukweli kabisa atageuza ndimi zao ,I can testify on that.
Amen 🙏 ❤️🇧🇮
Barikiwa Martha Mwaipaja napenda nyimbo zako sana roho mtakatifu azidi kukuzidishia kipaji
Martha nakupenda sana from Burundi
I LOVE THIS SONG SURELY IT HAS SOME WISDOM LESSONS THE WORDS IN THIS SONG IS TOUCHABLE TEACHABLE 😭😭😭😭😭 SISTER TUMAINI MORE GRACE DEAR
kweli ya funza najua martha alipo wimbo mwenyewe huwa wa mafunzo tena ujenga imani ya msikisaji
Umeona ee anapopita mathe nilaha tupu
What a bleesing song!thank God for this far forever YOU BE my shield🙏🙏
Amen Amen
Dada tumaini nakuombea ufike mbali unaimba kwahisia
Hahhaa waaah people can act tumaini hilo begi limebeba nguo au...? Nice song..sunscribed,liked....clicked the bell n shared now am waiting from God the blessings......blesss mwasubila
Nakupenda sana dada Martha kila nisikiapo nyimbozako najifunzi
God has finall answer for me through this song
Baraka tele
This mama has a talent. Pay bill for support please.
I love ur songs dear,, sometimes I listen to ur songs ad feel as if u r singing wat am going thru... Yu really giv me hopes and encouragement,,, be blessed
Amina roho wa Mungu azidi kuwatia nguvu kwenye huduma nabarikiwa sana
yaani Kama vile umenitungia mm huu wimbo
God bless you mum ,,yours songs they give me hope each 🙏🙏💕
Ameen🇰🇪
Hakika mtetezi yupo. Nimeguswa sana na wimbo huu. May almighty God bless you
Amen nikweli Mungu awabariki sana❤❤❤2020 Martha search blessings us
So touching😭😭😭😭😭May God see us thru hard times that some of us are going thru ..through Faith God gonna exactly us 🙏🙏🙏🙏