Vaileth Mwaisumo ft Martha mwaipaja- Naomba Usinyamaze (Official Video) SKIZA CODES -7639624
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Wimbo huu ni wimbo wa kumsihi MUNGU asimame atende sawa sawa na Yer 33:3. Tumemuita MUNGU akutane na kila hitaji gumu na hakika sikio lake si zito atatenda.
#VailethMwaisumo#MarthaMwaipaja#Usinyamaze.
Naomba huu mwaka uwe wangu Baba yangu unitoe niliko unipeleke pengine ❤❤❤ I admire my wife and my child in my house ABBA FATHER
"Vita ni vikali, naomba usinyamaze maadui wafurahie.sitaki tena kuugua".Asanteni sana watumishi wa Mungu.kama tunakubaliana na hawa watumishi wa Mungu gongeni likes hapa.
Barikiwa sana
Usinyamaze eee mfariji wangu
❤
Nakupend San dad yangu
@@vailethmwaisumo tu
Baba wa mbinguni usinyamaze vile tulivyo kuomba sikia Baba jibu tu kwa neema na rehema zako tu
Bwàna mwenyezi Mungu Bwana Yesu Kristof mwokozi weyu kwa jumla n'a mwokozi wa jamaa letu'' kikwaya''binafsi akuongezee karama Siku kwa siku.tumsifu kumuabudu zaidi.yeye mwema atupenda
Sitaki tena kuugua maana nikiuguwa wengine wanafrahi Asante yesu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Usinyamaze Mungu Wangu watanichekelea,,Usinyamaze aki
Kwa kweli tuko na maadui wengi katika familia zetu ni Hali mungu naomba usinyamaze nipaginie baba hasanteni kwa wimbo huu
Naomba usinyamaze mimi niko namyaka 51 sina bibi sina atamutoto naomba usinyamanze.
Like za wakenya ziko wapi,, Mungu wetu usinyamaze...
Hakika asinyamaze kwetu
Ubarikiwe sana ,Mungu azidi kukuinua,,nimebarikiwa
@@mauriceokelo8272 Mungu wetu nimwaminifu.
So much blessed ilove u Martha u natured many from 🇰🇪🇰🇪
Amen
Mungu kweli usinyamaze hatuwajui wote wanaotupiga vita
Amina,ii Mwaka naomba usinyamaze maadui wangu wafurahi,Nibariki,nifungulie njia na uniinu akwa sifa na utukufu wa jina lako.AMINA
Nimechoka kuwa chini , nimechoka kusononeka naonmba usininyamazie
Napenda unvyoimba nyimbo za kutia moyo ubarikiwe zaidi dadangu
Amina
Mungu akurinde nakupenda dada
Usinyamaze baba adui wasije wakafuraĥi ❤❤❤
Ooh nimebarikiwa🙏🙏🙏
Amen
Asante mubarikiwe sana Jéhovah inaomba atambulike katikati ya muungu kweli Mutakatifu nani kama wewe
🙏🙏🙏 keep it up good work 🙏
Naomba usinyamaze Jehova nitazame stk tena kuugua;;;;;;;; mbarikiwe sana watumish wa Mungu ;;;;; Mungu awatumie kwa viwango vya juu sana
Amen
Naomba usinyamaze Mungu wa Daniel usinyamaze wanangoja niabike naomba usinyamaze wakafanya sherehe kwaajili ya anguko langu nitazame Mungu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭nimechoka kulia mm jmn sitaki tena kuwa chini
Amina
Naomba usinyamaze Mungu wangu tenda Jambo
Nikiona Jina Martha mwaipaja siezi pita huo wimbo bila kusikiza❤️❤️
Barikiwa
Ndivo ilivyo kwangu nampenda sana huyu Dada!! Naomba usinyamaze Mungu
Hii ni kwel jmn martha 🙌🙌
Hata mimi kwa kweli
kumbe wewe sawa na mm napenda nyimbo zake sana
Ooooh.mungu usinyamaze maana jeshi ni kubwa LA kudai kiniangamiza naomba usiruhusu nianguke mikononi mwao
Mungu wangu usinyamaze kwa ndoa yangu tenda jambo
Jamani wapendwa wa TZ MUNGU huwatumia kwa njia ya uimbaji ooh endeleni kua baraka ketu from Kenya
Nimechoka kulia, sitaki tena kuwa chini!
Mwenyezi uwe nasi daima! Usinyamaze ninakuomba 😢
Mungu ucinyamaze katika huduma yangu Mimi mariam
So touching ,God am tired crying day and night do a new thing to my life to wipe my tears,don't let my enemies to throw stones at me and defeat me
Amen
Kindly Mungu usininyamazie,nipee hatua nyingine,Kwa macho waone nko nawewe Mola,wewe ni kila kitu,Jitukuze Mimi mwanao Mola😊
Usinyamaze dear lord give me testimony in front of my enemies new name and healing upon me n My situation.
Mungu asinyamaze maadui wafurahie,,,,,,,mungu atete na wso wanaoteta NAMI,apigane na wanaopigana nami.thnks sana watumishi wa mungu kwa wimbo huu
Amen
Usinyamaze Baba yuwajuwa shida zangu,,
Usinyamaze Bwana...nimechoka kuugua moyoni mwangu..nipiganie
Wap ilatu ahatishi
Kwasabbu anaye dushindia ananguv kuliko wawo ubalikie Tena dada wetu kipenzi
Naomba usinyamaze ninamwaka sasa nimelala kitandani siwezi hata kusimama Baba naomba usinyamaze niinue na Mimi 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 machozi yamekuwa divai yangu yesu naomba usinyamaze ubarikiwe dd wimbo umenifariji sana mbarikiwe
May healing be your portion 😭🙏
Neema na huruma za Bwana zikuguse pokea uponyaji wako
Pona kwa jina laYesu🙏🙏
Mungu na akakuamshe Pale mahali umelala.
Mungu atakuinua usichoke kumuomba Ammen
Aky naomba usinyamaze pekeyangu siwezi .kuja karibu jeohova
Mungu kwa kweli maadui n wengii naomba usiniachilie usinyamaze mungu fight 4 me battles l can't fight
Mungu hatanyamaza kamwe, yupo nasi site🙏🙏
Aimen
Mungu usinyamaze
Nimechoka kulia sitaki kuwa chini🙏🙏🙏🙏
Ndiyo asinyamaze huyo mungu, ❤❤❤
This song is just a blessing to me , Isaiah 41 :10 haleluhya
Mungu nijibu pia usinyamaze watafutahia
Usinyamaze mungu wangu
Usiache maadui zangu wafurahie matezo yangu baba
❤❤❤❤❤baba usinyamaze nikiliya kwako
Amen. Mungu wangu naomba usinyamazee katika maisha yangu madui wengi sana
Amina
Mwimbaji huo Mungu aendeleye kumuchunga
Bado naucheza huu wimbo🙏
Naomba usinyamaze baba yangu🙏🙏
Neema itoshe sana
Vita nivikal mungu hasa wakat huu mungu angalia wates wanavyonifuatilia
May God bless you abundantly our sisters 🙌🙌i know I'll never be th same 😢God's in control I'll rise again 🙏hve suffered alot😏 it's my time for breakthrough 🙌God I adore you,,, hear my voice🙏
MAADUI NI WENGI SANAÀ. MUNGU USITUNYAZIE TUNAKUOMBA.
Baba naomba usinyamaze kwa maisha yañgu na ya yeyote anayeuskiza wimbo huu maana tumechoka kusononeka
Amen
Hakika Mungu anaweza. usinyamaze juu ya familia ya shirima na watoto wake maaana vita nikali tunapitia.
Amina
Time kujiamini like zenu hapa, tunapo omba mungu wetu, asinyamaze katikati yamapito yetu
Naomba usnyamaze kwenyemaisha yangu
Mj.mbarikiwe sana mungu awazidishie
Naombaa usinyamaze😭😭listening to this on my lowest moment 💔😭
Likes za April 2024🙏❤️
🙏😭 usinyamanze baba tupiganie usinyamenze Yesu tutaibika baba
😭😭
Amen
Indeed you nailed this song by the spirit of God be blessed our sisters Martha and Mwaisumo ❤❤ luv your songs so much
Amen
Am proud for your loved songs, I thank you in Jesus name amen.
Amen Amen, maadui ni wengi lakini sitanyamaza kamwe ntazidi kumuita Mungu 🙏🏻
mungu awainuwe watumishi siku baada ya nyingine maana mumekuwa baraka kwangu sana
Naungana nawewe mungu wetu nimsikivu
Ooh mungu wangu Kwa Mara nyingine naomba usinyamaze nakuhitaji baba......
Amina
"Naomba usinyamaze, adui ni wengi, vita vikali peke yangu siwezi, niliowaita wamenyamaza, MUNGU wa Daniel, ........" Mmejua kunibariki nyie wadada. Ujumbe konki, Rangi konki, Location konki, Chemistry konki, Ndaga mwimbile mwe bhana umwee.
Ndagha fijo Kaka gwangu Usajigwege
Usinyamaze baba nimechoka kusononeka
Mtoe ingine kama hiyo naomba msinyamaze
May God bless you more 🥰,it's a wonderful song
Usinyamaze Baba,Dada Martha hujawahi kosea.Mungu atakuvisha taji.songa mbele
Barikiwa
Usinyamaze Baba. Don't be silent God. Greetings from Kenya. God is indeed not silent on my life affairs.
Amen
Mungu usinyamaze,do something 😢🙏
Bwana usinyamanze such amazing song it really touches me team kenya🇰🇪🇰🇪 viewers zifike a million in Jesus name
Amen thanks Shebah
Ubarikiwe dada
@@vailethmwaisumo see God now we are almost and it will happen in Jesus🇰🇪🇰🇪
@@shebahkemm-Nyabuto Amen GOD is Soo good
And finally we have made it,keep blessing us with such songs,God bless you sister
Naomba usinyamaze baba wakafurah nibariki waone ukuu wako ee baba sikia baba nitazame mwanao niinuee
Amina mpendwa
Amen, USINYAMAZE babangu, ADUI NI WENGI VITA VIKALi, PEKE YANGU SIWEZI
Amina mpendwa
Usinyamaze Mungu wangu 🙏🙏🙏🙏 Vita vikali pekeangu siwezi nisaidie baba (I need your breakthrough in my business God)🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Hiii NI moja ya nyimbo zako ninazozipenda sana. Na kazi zako zimejaaa ujumbe mzuri. Mungu akubariki Sana. Hakika Mungu asinyamaze kwangu
Amen
Usinyamanze usikiye utazamezame mungu abaliki muimbajiuyu
a very good combination. Martha Kenyans love you
Barikiwa sana
Barikiwa pia mum
Wimbo mzuri barikiwa sana karibu kwenye akaunti yangu ya martha mashinji
Listening from +254. This song is my current favourite , i keep on listening and listening each and every time while on my house. God bless you my sister - salute for the good work.
Naomba usinyamaze kwangu mungu wa Ibrahim isaka na yakobo, adui zangu wafurahi, halelujahhhh
Madui n wengi wengi,,vita vikali peke yangu cwezi..Mungu usininyamazie wakafanya sherehe....Lord you know what my heart demands,iam tired of crying ohh Lord .please Daddy change my destiny 😰😰😰😰
Amina
Kwa macho ijulikane niko na wewe man of war
Hii nayo pili pili nyingine kwa shetan,,,,usinyamaze imekuja kitofauti hongera mtumishi
Shukrani sana mpendwa wangu
Mungu Wang usinyamanze kwamaisha yang
Hata kwangu Usinyamaze, Vita ni vikali.
Bila msaada wako Eee Yesu siwezi. Usininyamazie
Barikiwa sana
Amina
Kweli baba ukinyamaza peke yetu hatuweza
Nawapenda sana Dada zangu, Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu
Amina
Elf 5 kwa Leo kwakusikiliza unachokiimba Dada Martha na sitojutia kamwe salio langu nakupenda pia Dada vailet mwaisumo mmekua wafariji nataman siku moja niwaone
Amen
Ata sijui ni how many times naangalia huu wimbo,,for real is a good song 'naomba usinyamaze mungu' keep up watumishi wa wangu
Amina
Baba wa mimi uko wap
Naomba usininyamazie
Mbarikiwe watumishi Wimbo
Unatubarik mno
Amina
Niliambiwa na jirani yangu aty nitakufa masikini nimepata job outside the country wanasema aty ati mm nafanya umalaya nikifanya maendeleyo but I believe thru this song am blessed staliaya tena
Amina, acha waseme kikubwa simama na MUNGU.
Asente
Nakupenda sana nyimbo zako zinanibariki
Vita ni vingi vita vikali peke yangu siwexi I feel bless in Jesus name
Amen
Ee! Mungu wangu usinyamaze juu yangu nakupenda Mungu usinyamaze Yesu Amen.wabari hawa watumishi wako Baba.kweli usinyamaze kuu yao
Amina mpendwa wangu Rebbeca
Naomba usinyamaze mungu wangu maishan mwang
❤❤❤🎉🎉
Hata kunyoa ni style 🤸🤸🤸🤸 anyway am in love with your songs Martha 🥰🇰🇪
Thanks
Mungu usinyamaze Kwa maisha yangu maana maadui n wengi 😂😂love the song
Amina
Naombo uzinyimanze Kwa madui zangu mungu🙏🙏
Nimechoka kua CHINI ee Mungu maadui wanafuhi asante Vailethi barikiwa
Amina
Naomba usininyamazie BABA WA MBINGUNI 🙌 .Naomba usinyamaze MUNGU WANGU. Naomba usinyamaze MUNGU MWAMINIFU. Naomba usinyamaze MFALME WA AJABU 🙏
MUNGU azidi kukubariki watumishi wa MUNGU Dada zangu katika KRISTO Martha Mwaipaja ♥️ na Vaileth 🙏
🇺🇸 Twawapenda
Amina
MUNGU usinyamazee naomba lija vita ni kali usinyamazee . barikiwiweni sana
Amina
These wowen of God are my favourite from Tz.Nyimbo zenyu hua zina ni bariki sana🙏.Mungu Aendelee kuwa bless tu saaana🙏.l thank God for you,you are such a blessing 💕🙏
Amen
Usinyamaze baba nisaidie❤❤
Naomba usinyamaze bwana huu mwaka nishuhudie ukuu wako nyamazisha adui jehovah .whenever i listen to this song i feel like God will never abandon me nimechoka kuugua na kuteseka .Be blessed @vaileth $ martha
Amen
@@vailethmwaisumo❤😊theroyiimodell 3:12
Nami hapa Uganda naomba usinyamaze baaaaba... I can't do without you.
Haki nimebarikiwa Sana.
Shukrani sana mpendwa
@@vailethmwaisumo U are welcome sis in Christ.