Kuoga Aaah Steve Mweusi (Official video music)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 1,6 тыс.

  • @BONGO_MUSIC1
    @BONGO_MUSIC1 3 месяца назад +385

    Kama unamkubali steve mweusi weka like 300 apa umalaya tu kuoga aaah!

    • @pkcamlesh2465
      @pkcamlesh2465 3 месяца назад +9

      Kuomba like tu ,kupost video yako tutazame tuilike aaaah

    • @BONGO_MUSIC1
      @BONGO_MUSIC1 3 месяца назад +7

      @@pkcamlesh2465 kujibu tu comment za wenzako ila kuandika yako aaah!

    • @youreallywelcome1596
      @youreallywelcome1596 3 месяца назад +3

      Hahhahah

    • @KARINEANTHONYNGULO
      @KARINEANTHONYNGULO 3 месяца назад +5

      kufunga duka tu kuandamaaa aaaah 😁😁🤣

    • @pkcamlesh2465
      @pkcamlesh2465 3 месяца назад +2

      @@BONGO_MUSIC1 🤣🤣🤣🤣

  • @KINYONGAMASAUTIY
    @KINYONGAMASAUTIY 2 месяца назад +15

    Saf San ngoma Kali umetishas stivu

  • @BramoMag
    @BramoMag 3 месяца назад +686

    Kuangalia tu Kutia like aaaah🤣🤣🤣

  • @mmBrian-rw4jh
    @mmBrian-rw4jh 2 месяца назад +73

    Kuimba t kuoa waaah 😂😂steven nakukubali mwanangu❤🎉 nipeni like pia team strong 💪💪💪

  • @SARIVE.LAME_123
    @SARIVE.LAME_123 3 месяца назад +289

    😂😂kuimba tuu kufanya kazi ahhh Hoya steve fans nipeni likes zangu wakwanza leo 😂❤❤ show love

    • @malimadtv
      @malimadtv 3 месяца назад

      ruclips.net/video/r1S2fP0fUj4/видео.htmlsi=s-OGNuQv3ohdxtnP🔥🔥🔥🔥

    • @FilmawardTv
      @FilmawardTv 3 месяца назад

      😂😂😂😂😊😂😊😂😊😂

    • @daxmediaupdates
      @daxmediaupdates 3 месяца назад

      😅😅😅

  • @IbrahimuBaruty-ds8xl
    @IbrahimuBaruty-ds8xl 3 месяца назад +47

    Tulokuja kuangalia comment ya davido like apa😊😊😅

    • @Mmbondotalents
      @Mmbondotalents 2 месяца назад

      Umeiona?

    • @EdiAboolo
      @EdiAboolo 2 месяца назад +1

      MIM NILIONA ILA KWASAS AIPO TENA

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      Mbn me sijaona kabisa, kazi kuongea 2u kuwa na uhakika aaahhahah😂😂😂😂

    • @meselemanikujeza8703
      @meselemanikujeza8703 Месяц назад

      Pia mm 😂😂😂kumbe nko n wenzangu😅

  • @kingcicero1708
    @kingcicero1708 3 месяца назад +206

    Mke wangu alitaka kunidhalilisha katika familia yake kwa kusema mimi ni dhaifu kitandani, dada zake wote walipiga kelele kuwa sio kweli.
    Uongo tu kuwa mkweli Aaahhh😂😂😂😂
    Like za Aaaahh🇲🇿❤️🇹🇿

  • @princesselicy
    @princesselicy 3 месяца назад +72

    Kama umeikubali hii ngoma gonga like moja kwa stev❤

    • @princesselicy
      @princesselicy 2 месяца назад +2

      ku like 2 ku coment aah😂✌️

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад +1

      Kuomba like 2 kusoma aaahaha😂😂😂😂

    • @mdigasafi9864
      @mdigasafi9864 Месяц назад +1

      Nona sana mwang unatsha😅

  • @Heis_Chudo_boy
    @Heis_Chudo_boy 3 месяца назад +86

    KUIMBA TU KUOA AHAHAA 😂😂😂
    Like za Steve mweusi zote hapa wanangu❤❤

    • @aminamahamudumtumba5897
      @aminamahamudumtumba5897 2 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @Talicksadallah_
      @Talicksadallah_ 2 месяца назад

      👏👏🙌🙌 umetsha

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      ​Kucheza 2 kupiga maswali aahahaha😂😂😂@@aminamahamudumtumba5897

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      ​@@aminamahamudumtumba5897kucheka 2 kupiga maswali ahahahahha😂😂😂😂😂😂

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      ​@@aminamahamudumtumba5897kucheka 2 kupiga maswali aaahahha😂😂😂😂

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 3 месяца назад +18

    Nyimbonzuri kutoasapoti aaahhh

  • @kimwalove
    @kimwalove 3 месяца назад +65

    Kama umekuja kunglia comment ya DAVIDO tujuane GONGA LIKE

    • @AbdulJuma817
      @AbdulJuma817 3 месяца назад

      tumepigwa na kitu kizito 🤣🤣🤣

    • @wamuyungustarboy127
      @wamuyungustarboy127 3 месяца назад

      Mm huyo nabado bautafuta

    • @Maady_is.
      @Maady_is. 3 месяца назад

      Yaani hapa nilipo nimeshika magoti hooii nimezunguka kila kona simuoni

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      Umeongea kabisa😂😂😂

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      Kazi kusema kutokuwa na uhakika ahahahahah😂😂😂

  • @edgarlaurian-d8w
    @edgarlaurian-d8w 3 месяца назад +32

    AMBAO NI TEAM STIVE WEKA LIKE HAPA ,,, TUMKOMESHE SHAFII BRAND MJINGA YULE,,, KUONGEA TU ,, KUOGA AAAAAH!!!!!

    • @MohammedAli-cv1qw
      @MohammedAli-cv1qw 2 месяца назад

      Kucomment tu kulike aaah

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад +1

      Kjibu 2 za wenzio kuandika yako ahaaahahah😂😂😂😂

  • @stevensilungwe41
    @stevensilungwe41 3 месяца назад +70

    Mimi ni wakwanza kutoka 🇿🇲 Zambia.
    Nipeeni likes zangu hapa.

    • @JOAKIMKIFARU
      @JOAKIMKIFARU 2 месяца назад +1

      kula TU kuoga aaah stivu jau huyu

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      Kugogea kobasi kiludisha aahahaha😂😂😂😂

  • @FMCTMETHODISTJIMBONYARUGUSU
    @FMCTMETHODISTJIMBONYARUGUSU Месяц назад

    Hooo Mungu Asifiwe kwa Kazi nzuri, A1- A4 Mungu awabariki kwa kazi nzuri, Amen

  • @JosiasbagambeSelestine
    @JosiasbagambeSelestine 3 месяца назад +63

    we stive noma sana kwel umeonesha kwel kama msemo niwako kwel achana nahuyo anetenda kwamaneno wew ndo mwamba

    • @abdullahmapesa
      @abdullahmapesa 3 месяца назад +2

      Aaaaah 😂😂😂😂

    • @malimadtv
      @malimadtv 3 месяца назад

      ruclips.net/video/r1S2fP0fUj4/видео.htmlsi=s-OGNuQv3ohdxtnP🔥🔥🔥🔥

  • @AllyMabondo-u9k
    @AllyMabondo-u9k 19 дней назад

    Naona mnyama chidi kwenye ubola wake

  • @e7bits_tz
    @e7bits_tz 3 месяца назад +33

    STEVE🔥

    • @edgarlaurian-d8w
      @edgarlaurian-d8w 3 месяца назад +1

      🎉🎉

    • @Mnyatucomedytz
      @Mnyatucomedytz 3 месяца назад

      🎉.

    • @abdiyjaaz8180
      @abdiyjaaz8180 3 месяца назад

      Konka usiwe unacoment ktk account za wasaniii ww mtu mkubwa

    • @stellahpeter1808
      @stellahpeter1808 2 месяца назад

      Upo Hadi huku na kukubali sana mm shabiki yako naomba muendelezo wa yule dada anae jiuza ili maisha yaendelee nimesubiri weee hujatoa 😢

  • @StevenGibson-m6h
    @StevenGibson-m6h Месяц назад

    Wajina ngoma kali sana

  • @misalabacharles2728
    @misalabacharles2728 3 месяца назад +17

    Acha Kuchekesha Sasa Maana Hata Kuimba Unajua Balaa

  • @yatiti-no9kt
    @yatiti-no9kt 2 месяца назад +1

    𝐾𝑎𝑙𝑖 ℎ𝑖𝑖

  • @samzetboykenya6455
    @samzetboykenya6455 3 месяца назад +20

    Shabiki mkubwa hapa tokea Kenya 254 kuogaaa😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪leta likes

  • @GIRIPELUKAS
    @GIRIPELUKAS Месяц назад +1

    Nakupenda sana mweusi ira nami nikicheza comedy as naitaji sapoti kutoka kwenu nacheza kwa kikundi cha IBINEZEREZA TV au giripe lukas 😂😂😂🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ please nisapoti😢😢😢😢

  • @demolenebooysen2085
    @demolenebooysen2085 2 месяца назад +34

    Like za producer Njunju hapa huyu mwamba kafanya kazi kubwa hadi steve mweusi kasound kama msanii star❤

  • @ChettaFlyee
    @ChettaFlyee Месяц назад

    KATAVI ICON

  • @BrayoComedian-ro8kh
    @BrayoComedian-ro8kh 3 месяца назад +39

    Steve kali bro like yangu wapi

  • @salumalley7210
    @salumalley7210 2 месяца назад +1

    Ebana ume tisha sn hii ngoma kali sn mzee

  • @stephenzerozero
    @stephenzerozero 3 месяца назад +4

    Shafii alisema umemuibia👉😀😢😢 bwege yule

  • @SimonNthengemwanzia
    @SimonNthengemwanzia 2 месяца назад +2

    Nimeikubali kweli😂😂

  • @vicky_ylove14.
    @vicky_ylove14. 3 месяца назад +12

    Mimi wa kwanza leooooo😅😅😅 like kwa stive❤❤

  • @chikuboss-dp6nd
    @chikuboss-dp6nd 2 месяца назад

    Dudeee🔥🔥🔥🔥

  • @Abdulaziz-tb1gd
    @Abdulaziz-tb1gd 3 месяца назад +27

    Kila mtu anasema yeye wa kwanza kwenye comment lkn kuwapa like wenziwe aaaah😂😂😂

  • @PaulBisare
    @PaulBisare 2 месяца назад +12

    Huu wimbo nmeangalia zaid ya Mara kumi 🎉

  • @ChidyMnyama-v5w
    @ChidyMnyama-v5w 3 месяца назад +15

    Wakwanza leo❤

    • @TVT4888
      @TVT4888 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @CaptainJr-hb7gt
    @CaptainJr-hb7gt 2 месяца назад +1

    Hakuna comment ya davido huku pumbavu😂😂

  • @NCWolfOfficiel
    @NCWolfOfficiel 2 месяца назад +5

    Endeleye mziki bro mziki wako una ni furahisha kuliko ma vidéo comedy zako ❤❤

  • @PeridaRukosi
    @PeridaRukosi 2 месяца назад +1

    Sapoti yenu muziki jina langu juu boy tz nawaomba sana mkani subscribe na like zenu naomba sana

  • @bonifasMichael
    @bonifasMichael 2 месяца назад +3

    Mm wamwisho kutoka 🇿🇦 like zenu ndugu zangu❤❤

  • @thezaiofficial301
    @thezaiofficial301 3 месяца назад

    Kusubiri urithi kutafuta vyako aaahh from Rwanda

  • @AimaaOmary-u7k
    @AimaaOmary-u7k Месяц назад +3

    Nyimbo nzur mungu atajalia utafika mbele zaid endelea kupambana ❤❤❤

  • @ArnoldKimaro
    @ArnoldKimaro 2 месяца назад

    DAVIDO TUU! ILA ARNOLD KUKOMENT AAAAAAH NAKUBAL SAN😂😂🎉

  • @David_fc_mobile
    @David_fc_mobile 3 месяца назад +37

    Wakwanza Mimi nipeni like zangu

  • @stanleymwalikhitsi
    @stanleymwalikhitsi 2 месяца назад +3

    Uyu naye Hana pesa ila kureject finance bill aaaah😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @e7bits_tz
    @e7bits_tz 3 месяца назад +7

    STEVE🔥

  • @anithawimbe3440
    @anithawimbe3440 2 месяца назад +10

    Yaani wimbo umetrend sana Steve Una ubunifu wako binafsi

  • @MelchBauma
    @MelchBauma 2 месяца назад +3

    Ku imba tu, ku lake aaaaaah 😂😂😂🥰🥰🥰🥰 namu kubali Steve mweusi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

    • @BernardSimplis
      @BernardSimplis 2 месяца назад +1

      Ukweli Steve Jobs ❤🇨🇩🎼💯+🇨🇩+🇹🇿

  • @AbuubakarySalumu
    @AbuubakarySalumu 3 месяца назад +68

    Me ndo wakwanza. Naombeni like zang please jaman

    • @wizkingmichael8724
      @wizkingmichael8724 3 месяца назад +2

      Kuomba like2 kufanya Kazi ahhhh😅😅

    • @nancyfantasia1945
      @nancyfantasia1945 3 месяца назад

      @@wizkingmichael8724😂😂😂😂😂😂😂

    • @malimadtv
      @malimadtv 3 месяца назад

      ruclips.net/video/r1S2fP0fUj4/видео.htmlsi=s-OGNuQv3ohdxtnP🔥🔥🔥🔥

    • @DjVoizzmixes
      @DjVoizzmixes 3 месяца назад

      Likes aaah😂

  • @RehemaJuma-x1q
    @RehemaJuma-x1q 2 месяца назад +10

    Steve kweli mbunifu Big up kwako

  • @ernestnzoyikorera4629
    @ernestnzoyikorera4629 3 месяца назад +18

    Shafi atukome 🤣🤣😂 anajitia aibu kuoga Aaah 🤣🤣🤣 jmn gonga like hapa tumkomeshe shafi 😂🤣🤣😂

  • @JohnKamau-sy1um
    @JohnKamau-sy1um Месяц назад +3

    Wakwanza kutoka Kenya Steve kuoga aah

  • @Leroiacjay
    @Leroiacjay 2 месяца назад +1

    Yuyo styve tu nani mweusi tu kiekiekiekie kiekiekiekie like pa mwesi mwezetu

  • @raphaelvarane-rv9bv
    @raphaelvarane-rv9bv 3 месяца назад +19

    Mimi hapa wakwanza kutoka Uganda 🇺🇬 nawapenda sana team mweusi Family,Steve mweusi kuliya kwenye sahani ila kusukala aaaaah 😅😅😅

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 месяца назад +2

    Steven kama umiandika
    Mwenyewe unajua kuimba
    na kuandika naweza kukuita
    Songwriter broh hili ilikuwa hit
    Sjajua nini kilicho sababisha
    Kutofanya vzl uku mtaan hi track
    Au ulitoa muda watu wamiachia
    Mizigo Yao ya kwenda

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      Daa h hakika anajua , kazi ksifia 2 kutunga yako😂😂😂😂

  • @paulyne562
    @paulyne562 2 месяца назад +11

    Umetisha ndugu yangu steve

  • @petermaina-nb9xh
    @petermaina-nb9xh 2 месяца назад

    Kali sana mr steve🎉🎉🎉

  • @RuhuneKabose
    @RuhuneKabose 2 месяца назад +5

    Stevu unajuwa kuiba sana mauwa unastaili🎉🎉

  • @Tobias_mhina
    @Tobias_mhina 2 месяца назад +1

    Naona kasikia kama Bando kapita kama DARASA humu ndani😮😮😮😅

  • @Mastaa_1
    @Mastaa_1 3 месяца назад +17

    KUIMBA TUUUU KUINGIA TRENDING AAAAAAH

  • @Razack-d5e
    @Razack-d5e 2 месяца назад +1

    Hiyo comments ya Davido mbona siioni

  • @AbiTech96
    @AbiTech96 3 месяца назад +9

    Kuigiza tuuu ku oa aaahhhh😅😅😅
    Steve from 🇨🇩

  • @KadustaBoy
    @KadustaBoy 20 дней назад +1

    like tunaomba tuh ila hamulike aaah

  • @mumberearistote8518
    @mumberearistote8518 3 месяца назад +10

    Different talents stive 😅😅😅 from Congo 🇨🇩 mkowa Kasindi board

  • @SophiaTupa-n2k
    @SophiaTupa-n2k 2 месяца назад +2

    Kumbe ilikua kiki😊

  • @Mwangijr22
    @Mwangijr22 3 месяца назад +16

    Kuamka 2 kutandika aaah 😂,from Kenya ❤❤

  • @DonasienPanda
    @DonasienPanda 3 месяца назад +1

    Comment ya Davido hiko wapi?😂😂😂

    • @Jax_all_talents
      @Jax_all_talents 3 месяца назад +1

      Kkkkk Namimi nimeifata😂😂😂

  • @Ngaofamily-dj2
    @Ngaofamily-dj2 3 месяца назад +18

    Nice one..mkulanga zima tuko nyuma yako

  • @JackoniahKimaa
    @JackoniahKimaa 2 месяца назад

    Goma iko sawa ila wanadance SENSEMA YA VANBOY NA TEMBO

  • @Zenabeby
    @Zenabeby 2 месяца назад +2

    Kusoma comment tuu kucomment aaah 🤣😂😂

  • @djtonnytzofficial6253
    @djtonnytzofficial6253 2 месяца назад +7

    Kuzalisha wadada wa watu tu kuudumia aah

  • @RuhuneKabose
    @RuhuneKabose 2 месяца назад +3

    Stevu watuwako wanajuwa kuchenza vizuri

  • @Pi.-u8g
    @Pi.-u8g 2 месяца назад

    Ok good ila musihishiee apo inabidi tutafute idea nyingi za dance kama za Michael Jackson 😂😂😂😂❤

  • @desireirambona5701
    @desireirambona5701 2 месяца назад +6

    Kugombana tu kusimama upigwe aaah❤

  • @MgSquare-dp7cd
    @MgSquare-dp7cd 2 месяца назад +1

    Kuoga aaaah 😂

  • @Zahara-or3cf
    @Zahara-or3cf 2 месяца назад +6

    We steve hii ni nyimbo au comedy

  • @sajilisilwamba2011
    @sajilisilwamba2011 2 месяца назад

    Steve mweusi kuoga aah ruclips.net/video/MNkYYXIwAcc/видео.htmlsi=XkKnFwFoOAl6jXW-

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial 3 месяца назад +25

    ❤Leo gongeni like hapa za mama samia ili baadae nimpelekeh nazo. Hikulu 😂😂😂🎉🎉🎉
    Ila Steve 😂😂😂

  • @jossarMugisho
    @jossarMugisho 2 месяца назад +4

    We noma baba shafii ni mshamba anananganiya vithu ambavyo avi muusu

  • @stevenmwakaje1730
    @stevenmwakaje1730 2 месяца назад +1

    Safi sana

  • @Nicholas1dd4rs8j
    @Nicholas1dd4rs8j 3 месяца назад +10

    Kuishi mukuranga Tu kuja Kenya aaah 🇰🇪😁😁😁😁

  • @AishaRamadan-ik7ip
    @AishaRamadan-ik7ip 19 дней назад

    mganga na mwenzio nyumbu mumeyatimba kinacho fuata mutapotezana 😂😂😂😂

  • @mugocomedy
    @mugocomedy 3 месяца назад +17

    KUIGIZA TU KUIMBA AAAH🤔🙌

  • @ellystephen6532
    @ellystephen6532 Месяц назад

    Kama kweli unataka mziki uwe kazi ya kukupatia kipato, jaribu kua serious asee 😳 ni nini hiki umefanya na kuimba ndugu🙄.
    Najua wanao comment kwamba kichupa sijui ngoma kali ni watu wa circle yako wanaopoga kukukwaza ila ukweli ni kwamba kati ya project ulizo waifanya katika maisha yako za kupiga pesa hii umejikaanga. Kuwa serious asee

  • @PhilipoKayombo-uv9hu
    @PhilipoKayombo-uv9hu 2 месяца назад +3

    Mzee baba ongera sana unaupiga mwingi. 𝐊𝐰𝐚𝐢𝐥𝐨 𝐦𝐢𝐦𝐢 𝐤𝐮𝐤𝐚𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐲𝐚 𝐚𝐚𝐡!!

  • @cleitunalyoto7543
    @cleitunalyoto7543 2 месяца назад

    Kuangalia tu kuimba,aaaa

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 3 месяца назад +13

    ujawai kuniangusha mwanangu nakukubali sana

  • @Mimahmtam
    @Mimahmtam 2 месяца назад

    KALI SANAAAAAAA❤🙌

  • @charliecharles7263
    @charliecharles7263 2 месяца назад +3

    Mweusi ukona kipawa cha kuimba Tia bidii pia hii side ndio maana nakutambua kutoka hapa kenyaa

  • @saviormoses-ug9rf
    @saviormoses-ug9rf 2 месяца назад +1

    watt wada kuchepuka tu kubeba mimba aaaaaaaaah

  • @Sesedaremathe
    @Sesedaremathe 2 месяца назад +8

    Mke wangu alitaka kunidhalilisha katika familia yake kwa kusema mimi ni dhaifu kitandani, dada zake wote walipiga kelele kuwa sio kweli.
    Uongo tu kuwa mkweli Aaahhh
    Like za Aaaahh🇲🇿️🇹🇿

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 2 месяца назад

      Hao dada zake walijuaje au ulipita na mashemeji?

  • @sajilisilwamba2011
    @sajilisilwamba2011 2 месяца назад

    ruclips.net/video/MNkYYXIwAcc/видео.htmlsi=XkKnFwFoOAl6jXW-
    Kaka hiiii uliua

  • @mwijaku
    @mwijaku 3 месяца назад +5

    Kudanga tu kuzaa aahaa

  • @wilferkiplagat3983
    @wilferkiplagat3983 Месяц назад

    nyimbo tamu ila naulizaje!,ilikua lazima mumtumie subaru kama king'ang'anizi wa dem!😂😂

  • @lamonaizerke
    @lamonaizerke 2 месяца назад +3

    As Genz wa Kenya I think stevo is more than Diamond wait and see.........,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @bakarijumakupaza4351
    @bakarijumakupaza4351 2 месяца назад

    Kuna kitu sielewi, kwanini kila anayeimba singeli akitengeneza video mpaka iwe majalalani? Kwani hawana location nzuri? 🤔

  • @KareemKamota-ck7uy
    @KareemKamota-ck7uy 3 месяца назад +8

    Kutunga zako kuiba nyimbo za watu aaah mbrazil njoo umuone stive kashakuibia uki😢😢😢

  • @TwalibTwaha
    @TwalibTwaha 2 месяца назад

    Nyimbo kali SEMA video ya elfu 70

  • @Reshylionarenyven
    @Reshylionarenyven 2 месяца назад +5

    Ngoma kali mwanangu ingine kushinda hiyo ikam msee baba

  • @FadhiliMbinga
    @FadhiliMbinga 3 месяца назад

    💪💪 nimecommet stak
    matangazoo stivu ==/

  • @AnoldiMachinda
    @AnoldiMachinda 3 месяца назад +12

    Kusikiliza 2u kugonga like❤ aaaaah😅

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 6 дней назад

    Huyu msanii kabaki bongo wengne wote machawa wa ccm na serekali mama mama mama ujinga mtupu

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 3 месяца назад +6

    ❤❤❤