Mke wangu alitaka kunidhalilisha katika familia yake kwa kusema mimi ni dhaifu kitandani, dada zake wote walipiga kelele kuwa sio kweli. Uongo tu kuwa mkweli Aaahhh😂😂😂😂 Like za Aaaahh🇲🇿❤️🇹🇿
Nakupenda sana mweusi ira nami nikicheza comedy as naitaji sapoti kutoka kwenu nacheza kwa kikundi cha IBINEZEREZA TV au giripe lukas 😂😂😂🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ please nisapoti😢😢😢😢
Steven kama umiandika Mwenyewe unajua kuimba na kuandika naweza kukuita Songwriter broh hili ilikuwa hit Sjajua nini kilicho sababisha Kutofanya vzl uku mtaan hi track Au ulitoa muda watu wamiachia Mizigo Yao ya kwenda
Kama kweli unataka mziki uwe kazi ya kukupatia kipato, jaribu kua serious asee 😳 ni nini hiki umefanya na kuimba ndugu🙄. Najua wanao comment kwamba kichupa sijui ngoma kali ni watu wa circle yako wanaopoga kukukwaza ila ukweli ni kwamba kati ya project ulizo waifanya katika maisha yako za kupiga pesa hii umejikaanga. Kuwa serious asee
Mke wangu alitaka kunidhalilisha katika familia yake kwa kusema mimi ni dhaifu kitandani, dada zake wote walipiga kelele kuwa sio kweli. Uongo tu kuwa mkweli Aaahhh Like za Aaaahh🇲🇿️🇹🇿
Kama unamkubali steve mweusi weka like 300 apa umalaya tu kuoga aaah!
Kuomba like tu ,kupost video yako tutazame tuilike aaaah
@@pkcamlesh2465 kujibu tu comment za wenzako ila kuandika yako aaah!
Hahhahah
kufunga duka tu kuandamaaa aaaah 😁😁🤣
@@BONGO_MUSIC1 🤣🤣🤣🤣
Saf San ngoma Kali umetishas stivu
Kuangalia tu Kutia like aaaah🤣🤣🤣
Hizo like unakula au
@@JustinDamas-my6rs kuuliza tu kuoga aaaah
🤣🤣
@@BramoMag 😅haya bhna
🤣🤣🤣🤣🤣
Kuimba t kuoa waaah 😂😂steven nakukubali mwanangu❤🎉 nipeni like pia team strong 💪💪💪
😂😂😂😂😂
😂😂kuimba tuu kufanya kazi ahhh Hoya steve fans nipeni likes zangu wakwanza leo 😂❤❤ show love
ruclips.net/video/r1S2fP0fUj4/видео.htmlsi=s-OGNuQv3ohdxtnP🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😊😂😊😂😊😂
😅😅😅
Tulokuja kuangalia comment ya davido like apa😊😊😅
Umeiona?
MIM NILIONA ILA KWASAS AIPO TENA
Mbn me sijaona kabisa, kazi kuongea 2u kuwa na uhakika aaahhahah😂😂😂😂
Pia mm 😂😂😂kumbe nko n wenzangu😅
Mke wangu alitaka kunidhalilisha katika familia yake kwa kusema mimi ni dhaifu kitandani, dada zake wote walipiga kelele kuwa sio kweli.
Uongo tu kuwa mkweli Aaahhh😂😂😂😂
Like za Aaaahh🇲🇿❤️🇹🇿
Dada walikujua moto wako au walikua wanakutetea 😅😅
Duh
@@MrTiba_T.vnand 0:00
1:38 😂
Ko adi dada zake wanaelewa duuh
Kama umeikubali hii ngoma gonga like moja kwa stev❤
ku like 2 ku coment aah😂✌️
Kuomba like 2 kusoma aaahaha😂😂😂😂
Nona sana mwang unatsha😅
KUIMBA TU KUOA AHAHAA 😂😂😂
Like za Steve mweusi zote hapa wanangu❤❤
😂😂😂😂
👏👏🙌🙌 umetsha
Kucheza 2 kupiga maswali aahahaha😂😂😂@@aminamahamudumtumba5897
@@aminamahamudumtumba5897kucheka 2 kupiga maswali ahahahahha😂😂😂😂😂😂
@@aminamahamudumtumba5897kucheka 2 kupiga maswali aaahahha😂😂😂😂
Nyimbonzuri kutoasapoti aaahhh
Kama umekuja kunglia comment ya DAVIDO tujuane GONGA LIKE
tumepigwa na kitu kizito 🤣🤣🤣
Mm huyo nabado bautafuta
Yaani hapa nilipo nimeshika magoti hooii nimezunguka kila kona simuoni
Umeongea kabisa😂😂😂
Kazi kusema kutokuwa na uhakika ahahahahah😂😂😂
AMBAO NI TEAM STIVE WEKA LIKE HAPA ,,, TUMKOMESHE SHAFII BRAND MJINGA YULE,,, KUONGEA TU ,, KUOGA AAAAAH!!!!!
Kucomment tu kulike aaah
Kjibu 2 za wenzio kuandika yako ahaaahahah😂😂😂😂
Mimi ni wakwanza kutoka 🇿🇲 Zambia.
Nipeeni likes zangu hapa.
kula TU kuoga aaah stivu jau huyu
Kugogea kobasi kiludisha aahahaha😂😂😂😂
Hooo Mungu Asifiwe kwa Kazi nzuri, A1- A4 Mungu awabariki kwa kazi nzuri, Amen
we stive noma sana kwel umeonesha kwel kama msemo niwako kwel achana nahuyo anetenda kwamaneno wew ndo mwamba
Aaaaah 😂😂😂😂
ruclips.net/video/r1S2fP0fUj4/видео.htmlsi=s-OGNuQv3ohdxtnP🔥🔥🔥🔥
Naona mnyama chidi kwenye ubola wake
STEVE🔥
🎉🎉
🎉.
Konka usiwe unacoment ktk account za wasaniii ww mtu mkubwa
Upo Hadi huku na kukubali sana mm shabiki yako naomba muendelezo wa yule dada anae jiuza ili maisha yaendelee nimesubiri weee hujatoa 😢
Wajina ngoma kali sana
Acha Kuchekesha Sasa Maana Hata Kuimba Unajua Balaa
𝐾𝑎𝑙𝑖 ℎ𝑖𝑖
Shabiki mkubwa hapa tokea Kenya 254 kuogaaa😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪leta likes
Nakupenda sana mweusi ira nami nikicheza comedy as naitaji sapoti kutoka kwenu nacheza kwa kikundi cha IBINEZEREZA TV au giripe lukas 😂😂😂🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ please nisapoti😢😢😢😢
Like za producer Njunju hapa huyu mwamba kafanya kazi kubwa hadi steve mweusi kasound kama msanii star❤
KATAVI ICON
Steve kali bro like yangu wapi
Ebana ume tisha sn hii ngoma kali sn mzee
Shafii alisema umemuibia👉😀😢😢 bwege yule
Nimeikubali kweli😂😂
Mimi wa kwanza leooooo😅😅😅 like kwa stive❤❤
Kuomba like tu kuoga aaah
Dudeee🔥🔥🔥🔥
Kila mtu anasema yeye wa kwanza kwenye comment lkn kuwapa like wenziwe aaaah😂😂😂
Huu wimbo nmeangalia zaid ya Mara kumi 🎉
Wakwanza leo❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna comment ya davido huku pumbavu😂😂
😂😂😂😂😂
Endeleye mziki bro mziki wako una ni furahisha kuliko ma vidéo comedy zako ❤❤
Sapoti yenu muziki jina langu juu boy tz nawaomba sana mkani subscribe na like zenu naomba sana
Mm wamwisho kutoka 🇿🇦 like zenu ndugu zangu❤❤
Kusubiri urithi kutafuta vyako aaahh from Rwanda
Nyimbo nzur mungu atajalia utafika mbele zaid endelea kupambana ❤❤❤
DAVIDO TUU! ILA ARNOLD KUKOMENT AAAAAAH NAKUBAL SAN😂😂🎉
Wakwanza Mimi nipeni like zangu
🎉
Uyu naye Hana pesa ila kureject finance bill aaaah😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
STEVE🔥
Yaani wimbo umetrend sana Steve Una ubunifu wako binafsi
❤
Ku imba tu, ku lake aaaaaah 😂😂😂🥰🥰🥰🥰 namu kubali Steve mweusi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ukweli Steve Jobs ❤🇨🇩🎼💯+🇨🇩+🇹🇿
Me ndo wakwanza. Naombeni like zang please jaman
Kuomba like2 kufanya Kazi ahhhh😅😅
@@wizkingmichael8724😂😂😂😂😂😂😂
ruclips.net/video/r1S2fP0fUj4/видео.htmlsi=s-OGNuQv3ohdxtnP🔥🔥🔥🔥
Likes aaah😂
Steve kweli mbunifu Big up kwako
Shafi atukome 🤣🤣😂 anajitia aibu kuoga Aaah 🤣🤣🤣 jmn gonga like hapa tumkomeshe shafi 😂🤣🤣😂
Wakwanza kutoka Kenya Steve kuoga aah
Yuyo styve tu nani mweusi tu kiekiekiekie kiekiekiekie like pa mwesi mwezetu
Mimi hapa wakwanza kutoka Uganda 🇺🇬 nawapenda sana team mweusi Family,Steve mweusi kuliya kwenye sahani ila kusukala aaaaah 😅😅😅
Steven kama umiandika
Mwenyewe unajua kuimba
na kuandika naweza kukuita
Songwriter broh hili ilikuwa hit
Sjajua nini kilicho sababisha
Kutofanya vzl uku mtaan hi track
Au ulitoa muda watu wamiachia
Mizigo Yao ya kwenda
Daa h hakika anajua , kazi ksifia 2 kutunga yako😂😂😂😂
Umetisha ndugu yangu steve
Kali sana mr steve🎉🎉🎉
Stevu unajuwa kuiba sana mauwa unastaili🎉🎉
Naona kasikia kama Bando kapita kama DARASA humu ndani😮😮😮😅
KUIMBA TUUUU KUINGIA TRENDING AAAAAAH
Hiyo comments ya Davido mbona siioni
Mimi pia 😂😂😂
Kuigiza tuuu ku oa aaahhhh😅😅😅
Steve from 🇨🇩
like tunaomba tuh ila hamulike aaah
Different talents stive 😅😅😅 from Congo 🇨🇩 mkowa Kasindi board
Kumbe ilikua kiki😊
Kuamka 2 kutandika aaah 😂,from Kenya ❤❤
Comment ya Davido hiko wapi?😂😂😂
Kkkkk Namimi nimeifata😂😂😂
Nice one..mkulanga zima tuko nyuma yako
Goma iko sawa ila wanadance SENSEMA YA VANBOY NA TEMBO
Kusoma comment tuu kucomment aaah 🤣😂😂
Kuzalisha wadada wa watu tu kuudumia aah
Stevu watuwako wanajuwa kuchenza vizuri
Ok good ila musihishiee apo inabidi tutafute idea nyingi za dance kama za Michael Jackson 😂😂😂😂❤
Kugombana tu kusimama upigwe aaah❤
Kuoga aaaah 😂
We steve hii ni nyimbo au comedy
Steve mweusi kuoga aah ruclips.net/video/MNkYYXIwAcc/видео.htmlsi=XkKnFwFoOAl6jXW-
❤Leo gongeni like hapa za mama samia ili baadae nimpelekeh nazo. Hikulu 😂😂😂🎉🎉🎉
Ila Steve 😂😂😂
We noma baba shafii ni mshamba anananganiya vithu ambavyo avi muusu
Safi sana
Kuishi mukuranga Tu kuja Kenya aaah 🇰🇪😁😁😁😁
mganga na mwenzio nyumbu mumeyatimba kinacho fuata mutapotezana 😂😂😂😂
KUIGIZA TU KUIMBA AAAH🤔🙌
Kama kweli unataka mziki uwe kazi ya kukupatia kipato, jaribu kua serious asee 😳 ni nini hiki umefanya na kuimba ndugu🙄.
Najua wanao comment kwamba kichupa sijui ngoma kali ni watu wa circle yako wanaopoga kukukwaza ila ukweli ni kwamba kati ya project ulizo waifanya katika maisha yako za kupiga pesa hii umejikaanga. Kuwa serious asee
Mzee baba ongera sana unaupiga mwingi. 𝐊𝐰𝐚𝐢𝐥𝐨 𝐦𝐢𝐦𝐢 𝐤𝐮𝐤𝐚𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐲𝐚 𝐚𝐚𝐡!!
Kuangalia tu kuimba,aaaa
ujawai kuniangusha mwanangu nakukubali sana
🎉🎉
😅😅❤❤❤❤❤ DJ
KALI SANAAAAAAA❤🙌
Mweusi ukona kipawa cha kuimba Tia bidii pia hii side ndio maana nakutambua kutoka hapa kenyaa
watt wada kuchepuka tu kubeba mimba aaaaaaaaah
Mke wangu alitaka kunidhalilisha katika familia yake kwa kusema mimi ni dhaifu kitandani, dada zake wote walipiga kelele kuwa sio kweli.
Uongo tu kuwa mkweli Aaahhh
Like za Aaaahh🇲🇿️🇹🇿
Hao dada zake walijuaje au ulipita na mashemeji?
ruclips.net/video/MNkYYXIwAcc/видео.htmlsi=XkKnFwFoOAl6jXW-
Kaka hiiii uliua
Kudanga tu kuzaa aahaa
nyimbo tamu ila naulizaje!,ilikua lazima mumtumie subaru kama king'ang'anizi wa dem!😂😂
As Genz wa Kenya I think stevo is more than Diamond wait and see.........,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kuna kitu sielewi, kwanini kila anayeimba singeli akitengeneza video mpaka iwe majalalani? Kwani hawana location nzuri? 🤔
Kutunga zako kuiba nyimbo za watu aaah mbrazil njoo umuone stive kashakuibia uki😢😢😢
Nyimbo kali SEMA video ya elfu 70
Ngoma kali mwanangu ingine kushinda hiyo ikam msee baba
💪💪 nimecommet stak
matangazoo stivu ==/
Kusikiliza 2u kugonga like❤ aaaaah😅
Huyu msanii kabaki bongo wengne wote machawa wa ccm na serekali mama mama mama ujinga mtupu
❤❤❤