WAFANYABIASHARA MAWASILIANO WAGOMA WAFUNGA BARABARA/MGOGORO NA DART/HATUMTAKI DC UBUNGO..
HTML-код
- Опубликовано: 7 июл 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
This man speaks with logic. Sounding mathematician.
Mkuu wa mkoa leo katumia approach nzuri. Sio approach ile aliyotumia pale kariakoo. Kajifunza
Jamaa uko vizuri
Dar inahitaji mkuu wa mkoa, Mr. Chalamila alifaa awe mbunge tu anashindwa kujenga thoughts kwenye crisis
Na Bado Kariakoo
Mmmh Samia Angalia yasije yakakukuta ya Ruto na Bado wale wa Kariakoo uliosema watolewe🤣🤣🤣😂🤔
Jamani machinga acheni kelele hiyondio Tanzania nanyie wamjini ichizimatunafanyiwa hadivijijini tunatimliwa mashambayetu
Huyu atakuwa mhitimu wa chuo tena udsm
Ila huyo kijana anafaaa kuwa mbunge wa machinga
Tunakaribia kufika
TULIOSOMA CUBA TUJUANE 😮😮😮😮😮😅
yatamkuta ya ruto
Mama wee toa hao RC na DC, hawana uwezo, wanahitaji msaaada kama ROBOTS.
Tatizo kubwa hamna ushirikiano.hapo ilitakiwa machinga kote wasimame, make leo ubungo kesho kwingine.
Hili litamalizwa na Katiba Mpya ili viongozi waheshimu waliowachagua kama Mkuu wa Mkoa alivyosema viongiozi waliopo hawahusiani na wanaowaongoza.
huyu alindwe
Hapo kama kunakaukweli illah sasa mnadili na hao wala rushwa ? Au ndio nahuki natupaka mafuta na mgongo w chupa>?chalamira ww n kiongoz w dar tena n mkuu w mkoa je swali langu upo upande gani hapo kw sababu umesha jua kila kitu pumba na mahindi yapi twambie pumba hapo ni machina au viongozi hao? Ucmungunye maneno please....
Dalili ya mvua ni mawingu.
Wewe ndio huna pakwenda😂 falla2?
Jmosi hiyo nikutaka kuvuruga msimamo
Jamaa anaongea kwa hoja sana, yuko vzr
Yuko vizurie!!!!
HUYU DOGO NI MSOMI MCHUMI NA ANAFAA KUWA KIONGOZI WA WATU TIMAMU. UNATOA WAFANYABIASHARA UWEKE GEREJI MJINI? HII IWAFANYE KUFIKIRI NINYI VIONGOZI.
Hii point ya machinga kununua kwa wenye maduka sio kweli mkuu kuna machinga wanaingiza contena kkooo na wao wanauza kuliko wenye maduka ila kkooo macho kwa wenye maduka majalala yote yamejaaa mauchafu ya mdafu na matikikiti ila pesa za taka taka wanabanwa wenye maduka tu .
Kama anaingiza contena huyo sio machinga.
Gen z hamsheni popo ndio wataelewa hao acheni story kama wameuza bandari bila kutushilikisha watanganyika ijekuwa nyie!ndio lishaondoka ilo😂
Taahira unaongea nini, kaa kimya
HANA AKILI, PENGINE ANA ELIMU TU KWA NATUKIO YAKE INAJIELEZA
@@emmanuelmodest7457 nan ?
Wamachinga unganeni mpe ubunge huyo kijana au udiwani
Akiwa mbunge atabadirishwa na mfumo
Waziri wa biashara ako wapi? Wa ardhi ako wapi? 😮😮😮😮
We utakuwa ni kenyatta,achana na sisi wa TZ
@@walidmgonja3644 au tukuje kwenyu sis gen Z
Walisha tufanya wajinga uongo unamwisho wake
Bado kidogo KATIBA MPYA.
Hii siyo agenda ya katiba ondoa ujinga wako we chagadema
Hakuna majibu hapo kila kitu anajua atawapiga uongo tu