WAFANYABIASHARA MAWASILIANO WAGOMA WAFUNGA BARABARA/MGOGORO NA DART/HATUMTAKI DC UBUNGO..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 38

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 13 дней назад +3

    This man speaks with logic. Sounding mathematician.

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 13 дней назад +2

    Mkuu wa mkoa leo katumia approach nzuri. Sio approach ile aliyotumia pale kariakoo. Kajifunza

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 12 дней назад +2

    Jamaa uko vizuri

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 13 дней назад +2

    Dar inahitaji mkuu wa mkoa, Mr. Chalamila alifaa awe mbunge tu anashindwa kujenga thoughts kwenye crisis

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 12 дней назад +2

    Na Bado Kariakoo

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 12 дней назад +1

    Mmmh Samia Angalia yasije yakakukuta ya Ruto na Bado wale wa Kariakoo uliosema watolewe🤣🤣🤣😂🤔

  • @user-pk9yr4go8p
    @user-pk9yr4go8p 13 дней назад +1

    Jamani machinga acheni kelele hiyondio Tanzania nanyie wamjini ichizimatunafanyiwa hadivijijini tunatimliwa mashambayetu

  • @laurentjozee8777
    @laurentjozee8777 12 дней назад +2

    Huyu atakuwa mhitimu wa chuo tena udsm

  • @mussamsilangamunubimussa2009
    @mussamsilangamunubimussa2009 12 дней назад +1

    Ila huyo kijana anafaaa kuwa mbunge wa machinga

  • @user-un9gg7qc4z
    @user-un9gg7qc4z 12 дней назад +1

    Tunakaribia kufika

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 12 дней назад +1

    TULIOSOMA CUBA TUJUANE 😮😮😮😮😮😅

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi 12 дней назад +1

    yatamkuta ya ruto

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 12 дней назад +1

    Mama wee toa hao RC na DC, hawana uwezo, wanahitaji msaaada kama ROBOTS.

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 13 дней назад

    Tatizo kubwa hamna ushirikiano.hapo ilitakiwa machinga kote wasimame, make leo ubungo kesho kwingine.

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 13 дней назад

    Hili litamalizwa na Katiba Mpya ili viongozi waheshimu waliowachagua kama Mkuu wa Mkoa alivyosema viongiozi waliopo hawahusiani na wanaowaongoza.

  • @user-fi8jo2zu1g
    @user-fi8jo2zu1g 12 дней назад

    huyu alindwe

  • @issaramadhaniathuman
    @issaramadhaniathuman 13 дней назад

    Hapo kama kunakaukweli illah sasa mnadili na hao wala rushwa ? Au ndio nahuki natupaka mafuta na mgongo w chupa>?chalamira ww n kiongoz w dar tena n mkuu w mkoa je swali langu upo upande gani hapo kw sababu umesha jua kila kitu pumba na mahindi yapi twambie pumba hapo ni machina au viongozi hao? Ucmungunye maneno please....

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 12 дней назад

    Dalili ya mvua ni mawingu.

  • @OmariNkalami-nh6fl
    @OmariNkalami-nh6fl 12 дней назад

    Wewe ndio huna pakwenda😂 falla2?

  • @FestoLalata
    @FestoLalata 13 дней назад

    Jmosi hiyo nikutaka kuvuruga msimamo

  • @user-cb5zb3fy8y
    @user-cb5zb3fy8y 12 дней назад

    Jamaa anaongea kwa hoja sana, yuko vzr

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 8 дней назад

    HUYU DOGO NI MSOMI MCHUMI NA ANAFAA KUWA KIONGOZI WA WATU TIMAMU. UNATOA WAFANYABIASHARA UWEKE GEREJI MJINI? HII IWAFANYE KUFIKIRI NINYI VIONGOZI.

  • @HussainMaula-tz8dh
    @HussainMaula-tz8dh 13 дней назад

    Hii point ya machinga kununua kwa wenye maduka sio kweli mkuu kuna machinga wanaingiza contena kkooo na wao wanauza kuliko wenye maduka ila kkooo macho kwa wenye maduka majalala yote yamejaaa mauchafu ya mdafu na matikikiti ila pesa za taka taka wanabanwa wenye maduka tu .

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l 13 дней назад +3

    Gen z hamsheni popo ndio wataelewa hao acheni story kama wameuza bandari bila kutushilikisha watanganyika ijekuwa nyie!ndio lishaondoka ilo😂

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 12 дней назад

    HANA AKILI, PENGINE ANA ELIMU TU KWA NATUKIO YAKE INAJIELEZA

    • @user13375
      @user13375 12 дней назад

      @@emmanuelmodest7457 nan ?

  • @mussamsilangamunubimussa2009
    @mussamsilangamunubimussa2009 12 дней назад

    Wamachinga unganeni mpe ubunge huyo kijana au udiwani

  • @user13375
    @user13375 12 дней назад

    Waziri wa biashara ako wapi? Wa ardhi ako wapi? 😮😮😮😮

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 12 дней назад

      We utakuwa ni kenyatta,achana na sisi wa TZ

    • @user13375
      @user13375 12 дней назад

      @@walidmgonja3644 au tukuje kwenyu sis gen Z

  • @FestoLalata
    @FestoLalata 13 дней назад

    Walisha tufanya wajinga uongo unamwisho wake

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 12 дней назад +1

    Bado kidogo KATIBA MPYA.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 12 дней назад

      Hii siyo agenda ya katiba ondoa ujinga wako we chagadema

  • @FestoLalata
    @FestoLalata 13 дней назад

    Hakuna majibu hapo kila kitu anajua atawapiga uongo tu