FALL IN LOVE | EP 4|
HTML-код
- Опубликовано: 28 июн 2024
- #Bhailam#Mriam
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz Кино
Ndo uzili amevururwa na mariam kamumekubali ndo uzili gonga like
Napenda Ramso unavyomuangalia bhailam😂😂😂
Jaman bwana Hamza 😂😂😂piga mistar 😂😂😂
Kila mbuyu Una shetan wake so pambana bhailam ndoa ni yako wale wengine ni vi boronga Tu mwamba ni wewe 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamani lamso wamekwambia hawatakin chawa😂😂😂
❤❤❤❤❤ yan unaendelea kuchanganya watu kumbe unae mpenda ni mmoja 😂😂😂😂😂
Much better 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Bhailam Kuwa Makini Wew Rafiki Yako Anakwambia Ukwel 😌😌
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢 bahilam kitakuramba ushangae
Jamani Mariam Mwamba Saaana Yani Anajua kbx Nawapenda sana Maana mnatuburudisha.sana
Nzuri sana 🔥🔥🔥🇹🇿
Wa kwanza team bhailam 🇸🇦🇰🇪🥰🥰
Jmn bhailam wee n 🔥
Nawakubari saanaa yaan mpo moto saana😊
Vizuri sana bhailam
Daah...! baba Mariam, anaimba vizuri sana. Anakipaji sana pia kwenye hilo. Usiache fanyia kazi.
Asante sana kwa ushauri ......nitalifanyia kazi....
Nimetoka burundi wakwanza kukupa like nakupenda sana bakhilam
Mmmh Rachel Toka afe kwenye wake wenza imagine hajafufuka Hadi saiz😂😂😂😂😂😂😂😂
Rachel angekuwepo ungemuona jiongeze wao ndio walimleta na wao ndio wamefukuza au wamemuuza wewe angalia kazi samahani 😂😅😂😅😂
@@FilmawardTv 😂😂😂Sawa bhana still Bhailam Yuko gud sana bhana ckupingi😂😂😂
Kwa kwel😂😂😂
@@liylahahmed829 😂😂😂😂😂
😂😂😂tangu lini marehemu akafufuka jamani
Ndio uzuri aya tusalimiane team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno 🥰 ❤️ 🇴🇲 🇴🇲 😂 😂😂😂😂😂komtawa utafiliaika soon😂😂
Ngoja niangalie Kisha ndio nikoment kipi ni kipi
Good work bhailam hii story ni kali sana na kila siku inazidi kuwa kali sana lai yangu kwako usiifunge mapema maana hauchelewi mariam kakukubali umemuoa mwisho hatutaki twende ata episode 30
Kazi nzuri nakubali sana tupo pamoja mpaka mwisho bhailam
Wow mashallah❤❤❤
Bhailam ❤❤❤❤❤
Hongereni
😂😂😂ndo uzuli acha maneno mwenzio yupo kazini atakufilisi huyo
😂😂😂😂 jaman timu bhailam mnanikosha mie🎉🎉🎉
Nice to see Chite here again 🥰🎉🔥🔥 Bhailam na wenzako big up 🔥🔥❤️🇰🇪🇸🇦
😢😢😢😢😢hio nyimbo yanitoa machozi pia mimi 😢😢😢
Naipenda sana
Bhailam hapo ameleta ingalau 😊
Woyoooo Wakwanza Leo
Aya sasa mnipe Likes namimi 😂😂🎉
Weeeh BHaILAM kafa kaoza kwa mariam 😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mariamu hapa kacheza anadharau hatari
This kind of lady exists like Mariam ,they are there for cash only no love in them.sometimes they use to get blems in their life.but Mariam is very claver she never wanted to use her body
Kutoka saudi team strong mkovipi na bhailam 😂😂😂😂
😂😂jmn uyu binti na bhailam yataishia wapi ngoj tusubiri
Kazi nzuri sana Naomi bhailam mariam big up sana nawapenda wote kwa kazi nzuri
Kazi nzuri Bhailam, wakwanza kutoka Mozambique, Macomia
❤❤❤❤❤
Ndo uzurii huoo
Ramso siku ukimuonabtena mpige picha umuonyeshe ndo ajue ukweli
Uncle ananiuwa san makotawa ndoo sisi km uko kotawa kama mimi gonga like watoto 2 kila mtu mama yake😂😂😂
Nakukubali Sana jeshi tembo Conde boy kutokea Congo 🇨🇩🇨🇩
Eti ndio uzur nikuchane 😂😂😂😂😅
Kazi ni nzuri ila,imepoa sana,haichangamshi kabisaa.ndo uzuri ni wa chane..
Hee wee dada chite ipo na huku tena sio viguruti
If you love Mr uzurii one like❤ at least
Naomi na mjomba uzur 🔥🔥🔥
Ndo uzuli😂😂
NDIO UZUR NDIO
🔥🔥🔥🔥
Ndo uzuuliiii unajuwa team bailam
Nimelia sana😢😢😢
Bhailam khan,, wewe sikuzote nasema kwamba wewe ndjo kanumba wa kizazi ikii.
Jamani mumupe bhailam khan Ata 10M follower
NC
❤❤❤🎉🎉🎉
Masikin bhailam mapenzi yamutesa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ndo uzuri nikuchane
😂😂😂😂
Hahaha maliyamu utatulia Bhailamu wetu jamani😂😂😂😂
Jamani like zangu leo nimewai❤❤
On this one,, real voice
DAX,, BHAI noma like please team from 🇲🇿
Nc
Ramsoooooo.....unanifurahisha sana😂😂😂😂😂
Kenya Watching, ndo uzuli
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Weee mshikaji wetu ako na sauti poa ya kuiba weeh unaiba poa ❤
Thank you
@@Masoudmediatv karibu sana .. tuna ngoja mingi zaidi
@@NillyNilly-fm5pw pamoja
Namtaka babaangu Iko wapi
Imeisha au haufuatilii 😂😂😂😂 maahabiki maandazi
❤
Nawapenda san wa2 wangu❤❤❤
Mwaaaah
Ndo uzurii nikuchane😂😂😂
Uzuri kumbe hata 50k hana
Dah kuumwa baraa
Nime fall in love na hii series nkiwa 🇰🇪 twasubir mwsho wako na mariam bhailam 😊
Badala kuandaman unatixaman movie😂😂😂
Ndo uzuli nikuchane khumalavandu
Hivi we Maryam uko na wanaume wngp ww
Ndo uzuri huo❤❤
This kind of lady exists like Mariam ,they are there for cash only no love in them.sometimes they use to get blems in their life.
Ila uyu Sumaiya n mzr ile mbaya
Ndoo uzuri
😂😂😂
Mapenzi haya shauliki jmn tujifunze😢
Nice
Saut
Acha umbeya mtoto wa kiume
Damn am from congo but living in the US but this movie is dope keep up the good job sir #BHAILAM am with you guys till the end
Hamza ananitesa sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nzuri sana ❤❤🇧🇮🇧🇮
Good
Mariamu na Naomi mnaigiza Cha ukweli
Unyama sana
Bhailam hujiulizi huyo Mariam vip mbona simu ikipigwa TU anaondoka hujiulizi TU ama wadhn ndio wapendwa hivyo
iyo scene ya kuimba jmn😢😢 imeniuzunisha
Big up my guy Bhailam