WIVU WA MUME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 фев 2023
  • #Bhailam
  • КиноКино

Комментарии • 187

  • @gracealfonce3795
    @gracealfonce3795 Год назад +30

    Nimeipenda bhairam umecheza umetulia Sana safi. Nakupenda wee mkaka ❣️

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck6348 Год назад +4

    Huyu mchizi Ni best Actor na anawabeba wengi kwenye comedy nyingi anazoshirikishwa.....mimi pia na mkubali huyu mwamba

  • @gracealfonce3795
    @gracealfonce3795 Год назад +20

    Milambo uchungaji unakupendeza Sana ☺️☺️❤️

  • @yohanatulito1182
    @yohanatulito1182 Год назад +6

    Hii Naye imekaa Sana imetulia kweli Mungu awe nanyi Katika maisha yenu 🙏🙏🙏🙏

  • @Amina-xc8tl
    @Amina-xc8tl Год назад +8

    Mhhhh mashallah kazi nzr 👌mno nawapenda nyote washiriki alfu Bailam leo umetulia eti 😂😄

  • @jemsinahman8679
    @jemsinahman8679 Год назад +5

    Bhairam Bai............
    Nimefurahishwa n kaz yako hiii

  • @Cherissa_
    @Cherissa_ Год назад +3

    Bhailam umeupig mwng baba good work kbx

  • @alisaida4080
    @alisaida4080 Год назад +5

    Iko sawa....penda nyinyi nyote nikiwa 🇰🇪

  • @frankmwaikambo-on7tg
    @frankmwaikambo-on7tg Год назад +6

    Bhailammmm!! Nakukubali ndugu yangu sana unajua mzee

  • @djikonprod2331
    @djikonprod2331 Год назад +5

    Bhailam ende lea ivi kaka

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Год назад +6

    Bailam akitulia anatulia kweli 😎 Adi raha 😀😄

  • @shakirashakira5556
    @shakirashakira5556 Год назад +5

    Kiukweli kaz nzuri sana lakini icho alicho zungumza mke wa bhailam nikisukuma ehh

  • @kanikibilalikanikibilali7054
    @kanikibilalikanikibilali7054 Год назад +3

    Nimekukubali sana bhairam hii movie nimeikubari sana ishi sana

  • @wilfriedselemani3898
    @wilfriedselemani3898 Год назад +17

    When I watch your videos I see Kanumba hiding in you Bahilam. God bless you! From DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ambrosealfred1031
    @ambrosealfred1031 Год назад +2

    Bhairam anakipaji cha hali ya juu kweli ww jamaa unajua sana

  • @elijahndiku834
    @elijahndiku834 Год назад +5

    Bailamu nakupenda Sana ukicheza na Steve tena na cram!lakini nafulah zaidi kuona umefunguwa channel yako

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад +4

    Huyu dada pisiiii kaliiiiia kumbeeeeeee msukumaaaaaa mbona alikuwa asemiiiiiiiiioo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mayoooo ulimolaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nedmonad1175
    @nedmonad1175 Год назад +6

    Huyu ni mume wangu kabisa🤣🤣🤣

  • @fantacyfour8040
    @fantacyfour8040 Год назад +3

    Hongera bailam kufungua account Yako piga kazi nakufuatilia sana ndgu yngu

  • @marcoroboi
    @marcoroboi Год назад +2

    Kuna Watu wana Kipaji ila @bhailam Una Kipaji alafu zaid Unajua💣💥#performance 💯↗️↗️📈📈

  • @faithwachira6688
    @faithwachira6688 Год назад +6

    Wow, nice message

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад +5

    Kanumba alipendwa sana kutokana na kuigiza kwa utulivu, nakuona wewe huko

  • @rashidsalinja4252
    @rashidsalinja4252 Год назад +1

    napenda sana unavyo igiza.
    mwenye anaamini baila agonge like apa

  • @brianitunda6051
    @brianitunda6051 Год назад +2

    Bailamu to the next level. Funzo kubwa hili

  • @zuenafrancis9923
    @zuenafrancis9923 Год назад

    Waaaaaaaah nimemupend bhairam

  • @alicelusinde618
    @alicelusinde618 Год назад +4

    Yani wanawake bhana 😄😄

  • @francescafrancesca8901
    @francescafrancesca8901 Год назад +8

    Kaka yangu Bhailam,
    nakusalimia sana.
    Hongera kwa kazi nzuri kaka yangu.👏👏👏
    Hii imenisaidia sana kabisa.
    Asante kwakazi nzuri unao tengeneza.
    Bila shaka Mungu yu'pamoja nawe kwa kazi zako.
    Na unipe fursa ya kuonana na wewe nikija Tanzania.
    Tafadhali utafakari kwa hilo ombi langu.
    Mwenyezi Mungu akublinde na team yako na abariki kazi za mikono yako.
    Asante.

  • @claudinekigwasa4823
    @claudinekigwasa4823 Год назад +2

    Kwakweli mna nifanya niliye kwakweli😭😭😭 mume nikumbusha mengi sana

  • @ngolocomedian
    @ngolocomedian Год назад +1

    Safi sana ndugu yangu bhailam ...kastory kadogo lakini kazuri

  • @MudrickMussa-bx6lk
    @MudrickMussa-bx6lk Год назад

    Duuuuu bahram umetisha pamoj san

  • @manyanyazakaria
    @manyanyazakaria Год назад +7

    Dada sogha half msukuma nayega sana mayo ubhebhe

    • @robsonwisdom1994
      @robsonwisdom1994 Год назад +2

      Usinifanyeee nichekeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rusinaflow7239
    @rusinaflow7239 Год назад +2

    uo ufundi kaka nimekubal

  • @stevinngenza8704
    @stevinngenza8704 Год назад +1

    Bhailam ni kanumba mpya in town tujiandae kumpokea

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 Год назад

    Bhailam uko vzr sana hongera siku ukija mwanza nitakuja kukupa zawadi!

  • @georgerichard4902
    @georgerichard4902 Год назад +3

    I wish one day to support you in making a large industry in movies production, brother your talented and your bright at once ..big up

  • @georgesgmmutokambali4217
    @georgesgmmutokambali4217 Год назад +2

    Ndo haina ya wake tuna tafuta hao, ila kaka @bhailam towa minywele
    Love you bro

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 Год назад +8

    🤣🤣🤣🤣wanawake hatujui tunataka nn

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад +13

    Wasukumaaaaa to the world 🌍🌍🌍🌍😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @asantechota8974
    @asantechota8974 Год назад +3

    Hatimae Comedian mnaenda kuimeza bongo movie kimasihara kabisa

  • @Teddy-fq5oc
    @Teddy-fq5oc Год назад +3

    Ukiwa na mwanaume wa hivyo mpaka raha hasa anikute kama mimi

  • @izzodampa1205
    @izzodampa1205 Год назад +1

    Bailam Mwamba wng
    Hiyo noma km Kweli

  • @merlinmpekuzi7301
    @merlinmpekuzi7301 Год назад +1

    Nimeipenda Sana hii kazi bro bailam Tisha sana

  • @HorugavyeAime-kp9wu
    @HorugavyeAime-kp9wu 7 месяцев назад

    Anaweza kabisa

  • @marcoroboi
    @marcoroboi Год назад

    UMETULIA; UMEPOA alafu zaid UMECHEZA💯💯🔥we Kiumbe 🙌🏼🙌

  • @abdulbob5796
    @abdulbob5796 Год назад +1

    Nimeikubar an hour vidio Tena sna nahisi BAILAM NDOVIDIO YAKO Y KWANZA KWNYE akauti yako hi ya RUclips

  • @FnellyB
    @FnellyB Год назад

    Bhairamu kaka umenifunza mdogo wako tuhene tukakodiane kuetu mtura tulimile mikolosho Kwanzaa kaka força irmao voce merece prometo asistir sepre o teu trabalho

  • @selinasangawe-ex9ev
    @selinasangawe-ex9ev Год назад +3

    Nimeipenda sana hii ya leo

  • @hijjaferrari331
    @hijjaferrari331 Год назад +3

    Naomi she is very very beautiful

  • @andrealoveness2875
    @andrealoveness2875 Год назад

    Nimependa mdada kaongea lugha yakr vizuri sana

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 Год назад +1

    Musiongee kiluga jmn mkiwa mnaekti wengine hatufaham chcht so vzr ivyo

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 Год назад

    Good job 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tanzania bhairam

  • @onnoj9111
    @onnoj9111 Год назад +2

    Ukoo saw san bahailam ataa ninatamani nilikupata mm💋💋

  • @m.l.b2066
    @m.l.b2066 Год назад +2

    Nimeikubali hii!

  • @marcoroboi
    @marcoroboi Год назад

    Performance iko MOTO @Bhailam↗️💯

  • @thebrotherstelevision.1700
    @thebrotherstelevision.1700 Год назад +1

    Daaah hii nzuri

  • @kassimdadi5406
    @kassimdadi5406 Год назад +2

    Kamaal Hasan wa Bongo #bhailam

  • @Teddy-fq5oc
    @Teddy-fq5oc Год назад +2

    Tujifunze hili

  • @chorotiles9566
    @chorotiles9566 Год назад +1

    Bairam nami naenda kuoga na ninakipaji pia nakupataje

  • @gastondofra9151
    @gastondofra9151 Год назад

    Mafundisho mazuri sana.nimependa

  • @minanietienne-sz8xu
    @minanietienne-sz8xu Год назад +1

    Ninawapenda kwa jinsi mnavyo igiza

  • @gubabupaul6653
    @gubabupaul6653 Год назад +1

    Nmependa huyo dada kaongea kisukuma nmependa sana yawiza bhole

  • @mastaplan
    @mastaplan Год назад +1

    😂😂😂😂😂 mchungaji fala sana kashangaa kabisa

  • @belitadaudibery-bb9zq
    @belitadaudibery-bb9zq Год назад

    Wasukuma to the world....

  • @muhimpunduemna2476
    @muhimpunduemna2476 Год назад +1

    Nakupenda bailam

  • @asantechota8974
    @asantechota8974 Год назад +1

    Halelujaaaaaaaaah mchungaji bwana 🤣🤣🤣

  • @kamandafadhili7309
    @kamandafadhili7309 Год назад +2

    Akicheka ile cheko yake njo napenda 🤣🤣

  • @user-lg1rq2fj6p
    @user-lg1rq2fj6p Месяц назад

    Kiskuma hikoo tena chenyew

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +1

    Bhailam mwaaaah

  • @mathayomagoti7909
    @mathayomagoti7909 Год назад

    Good ya kaka umecheza pwa sana

  • @abduli-karimkhamadi1409
    @abduli-karimkhamadi1409 Год назад +1

    God bless you

  • @halimarajab3897
    @halimarajab3897 Год назад +3

    👌👌💯

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Год назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @ribanimak.4819
    @ribanimak.4819 Год назад +1

    That's how a man should behave. But don't joke with hiki kizazi cha nyoka?!!

  • @shadyayussuf341
    @shadyayussuf341 Год назад +1

    Hongera san bailam

  • @elmosteve586
    @elmosteve586 Год назад

    Daa!! Nice job

  • @georgesgmmutokambali4217
    @georgesgmmutokambali4217 Год назад +3

    Alléluia

  • @farida4595
    @farida4595 Год назад +1

    Mashaallah ❤

  • @shellanlinsey9295
    @shellanlinsey9295 Год назад +3

    Nime ipenda Leo sana 💖💖💖

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 Год назад +5

    Mirambo kwenye ubora wake 🤣🤣🤣

  • @labelleshashank8852
    @labelleshashank8852 Год назад

    😂😂mchungaji 😂😂😂anaishiwa

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад +1

    Yani kuna watu awapendi Amani jaman khaaa mawivu wivu ya nini sasa makelele kwenye nyumba yakazi gani Dada

  • @mussamadua1079
    @mussamadua1079 Год назад

    Bailam ukovzr mwamba💪

  • @davidtentacion3104
    @davidtentacion3104 Год назад

    Bhailam ni anajua Sana talented

  • @omeganthale3220
    @omeganthale3220 Год назад +1

    New gabo in bongo movie

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 Год назад

    Hallelujaaaaaaaaah😂😂😂 pastor bn

  • @drmwehu
    @drmwehu Год назад

    kaka nakubali sana unachofanya napenda sana kile unafanya

  • @busybee2546
    @busybee2546 Год назад

    It's busybee254,,,,watching from kenya

  • @vee4296
    @vee4296 Год назад

    Kaz nzuri sana

  • @EsheSalum
    @EsheSalum Год назад +1

    🥰🥰🥰🥰🥰

  • @mwanahussein344
    @mwanahussein344 Год назад

    Nimeipenda hii

  • @jaliamartinz
    @jaliamartinz Год назад +1

    Bailam Nakupenda sana Leo umekua humble masha Allah

  • @johnchimwaga26
    @johnchimwaga26 Год назад

    Hii mzee uliua, hakika ujumbe umefika na ni kweli wanawake wengi wamekuwa hivyo.

  • @jibujkakulr488
    @jibujkakulr488 Год назад +2

    Good joob

  • @ahmedjuma303
    @ahmedjuma303 Год назад +1

    bailam kilio lio

  • @rutimarlon
    @rutimarlon Год назад

    Kaliyaliya leo ka Kauka duh

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 Год назад

    Kazi mnzuri jamani

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 Год назад +3

    Wanawake hawaeleweki kuwa wanataka nn

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад +1

    Bonge 1 la clip

  • @nasrahassan2260
    @nasrahassan2260 2 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @amosidaniel1830
    @amosidaniel1830 Год назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏