Kaka yangu Bhailam, nakusalimia sana. Hongera kwa kazi nzuri kaka yangu.👏👏👏 Hii imenisaidia sana kabisa. Asante kwakazi nzuri unao tengeneza. Bila shaka Mungu yu'pamoja nawe kwa kazi zako. Na unipe fursa ya kuonana na wewe nikija Tanzania. Tafadhali utafakari kwa hilo ombi langu. Mwenyezi Mungu akublinde na team yako na abariki kazi za mikono yako. Asante.
Nimeipenda bhairam umecheza umetulia Sana safi. Nakupenda wee mkaka ❣️
Jaman mm napenda adi macho yake jamani🥰
Namba ya bhairam plz
Huyu mchizi Ni best Actor na anawabeba wengi kwenye comedy nyingi anazoshirikishwa.....mimi pia na mkubali huyu mwamba
Milambo uchungaji unakupendeza Sana ☺️☺️❤️
Ahsant gres
Kweli
Hii Naye imekaa Sana imetulia kweli Mungu awe nanyi Katika maisha yenu 🙏🙏🙏🙏
Mhhhh mashallah kazi nzr 👌mno nawapenda nyote washiriki alfu Bailam leo umetulia eti 😂😄
Bhairam Bai............
Nimefurahishwa n kaz yako hiii
Bhailam umeupig mwng baba good work kbx
Iko sawa....penda nyinyi nyote nikiwa 🇰🇪
Bhailammmm!! Nakukubali ndugu yangu sana unajua mzee
Bhailam ende lea ivi kaka
Bailam akitulia anatulia kweli 😎 Adi raha 😀😄
Kiukweli kaz nzuri sana lakini icho alicho zungumza mke wa bhailam nikisukuma ehh
Nimekukubali sana bhairam hii movie nimeikubari sana ishi sana
When I watch your videos I see Kanumba hiding in you Bahilam. God bless you! From DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩
90%
Bhairam anakipaji cha hali ya juu kweli ww jamaa unajua sana
Bailamu nakupenda Sana ukicheza na Steve tena na cram!lakini nafulah zaidi kuona umefunguwa channel yako
Huyu dada pisiiii kaliiiiia kumbeeeeeee msukumaaaaaa mbona alikuwa asemiiiiiiiiioo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mayoooo ulimolaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu ni mume wangu kabisa🤣🤣🤣
Sasa jichanganye ufe
Hongera bailam kufungua account Yako piga kazi nakufuatilia sana ndgu yngu
Kuna Watu wana Kipaji ila @bhailam Una Kipaji alafu zaid Unajua💣💥#performance 💯↗️↗️📈📈
Wow, nice message
Kanumba alipendwa sana kutokana na kuigiza kwa utulivu, nakuona wewe huko
😅😊
napenda sana unavyo igiza.
mwenye anaamini baila agonge like apa
Bailamu to the next level. Funzo kubwa hili
Waaaaaaaah nimemupend bhairam
Yani wanawake bhana 😄😄
Kaka yangu Bhailam,
nakusalimia sana.
Hongera kwa kazi nzuri kaka yangu.👏👏👏
Hii imenisaidia sana kabisa.
Asante kwakazi nzuri unao tengeneza.
Bila shaka Mungu yu'pamoja nawe kwa kazi zako.
Na unipe fursa ya kuonana na wewe nikija Tanzania.
Tafadhali utafakari kwa hilo ombi langu.
Mwenyezi Mungu akublinde na team yako na abariki kazi za mikono yako.
Asante.
Kwakweli mna nifanya niliye kwakweli😭😭😭 mume nikumbusha mengi sana
Safi sana ndugu yangu bhailam ...kastory kadogo lakini kazuri
Duuuuu bahram umetisha pamoj san
Dada sogha half msukuma nayega sana mayo ubhebhe
Usinifanyeee nichekeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂
uo ufundi kaka nimekubal
Bhailam ni kanumba mpya in town tujiandae kumpokea
Bhailam uko vzr sana hongera siku ukija mwanza nitakuja kukupa zawadi!
I wish one day to support you in making a large industry in movies production, brother your talented and your bright at once ..big up
Ndo haina ya wake tuna tafuta hao, ila kaka @bhailam towa minywele
Love you bro
🤣🤣🤣🤣wanawake hatujui tunataka nn
Sio wote
@@Teddy-fq5oc wote
Wasukumaaaaa to the world 🌍🌍🌍🌍😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wasukuma buana
Babaaaaaa
Wasuuuuuuukuma oyeeeee
Hatimae Comedian mnaenda kuimeza bongo movie kimasihara kabisa
Ukiwa na mwanaume wa hivyo mpaka raha hasa anikute kama mimi
Mjinga wew😅😅😅😅
Bailam Mwamba wng
Hiyo noma km Kweli
Nimeipenda Sana hii kazi bro bailam Tisha sana
Anaweza kabisa
UMETULIA; UMEPOA alafu zaid UMECHEZA💯💯🔥we Kiumbe 🙌🏼🙌
Nimeikubar an hour vidio Tena sna nahisi BAILAM NDOVIDIO YAKO Y KWANZA KWNYE akauti yako hi ya RUclips
Bhairamu kaka umenifunza mdogo wako tuhene tukakodiane kuetu mtura tulimile mikolosho Kwanzaa kaka força irmao voce merece prometo asistir sepre o teu trabalho
Nimeipenda sana hii ya leo
Naomi she is very very beautiful
Nimependa mdada kaongea lugha yakr vizuri sana
Musiongee kiluga jmn mkiwa mnaekti wengine hatufaham chcht so vzr ivyo
Good job 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tanzania bhairam
Ukoo saw san bahailam ataa ninatamani nilikupata mm💋💋
😅😅😅
Nimeikubali hii!
Performance iko MOTO @Bhailam↗️💯
Daaah hii nzuri
Kamaal Hasan wa Bongo #bhailam
Tujifunze hili
Bairam nami naenda kuoga na ninakipaji pia nakupataje
Mafundisho mazuri sana.nimependa
Ninawapenda kwa jinsi mnavyo igiza
Nmependa huyo dada kaongea kisukuma nmependa sana yawiza bhole
Kisukuma Poa sana
😂😂😂😂😂 mchungaji fala sana kashangaa kabisa
Wasukuma to the world....
Nakupenda bailam
Halelujaaaaaaaaah mchungaji bwana 🤣🤣🤣
Akicheka ile cheko yake njo napenda 🤣🤣
Kiskuma hikoo tena chenyew
Bhailam mwaaaah
Good ya kaka umecheza pwa sana
God bless you
👌👌💯
Kazi nzuri sana
That's how a man should behave. But don't joke with hiki kizazi cha nyoka?!!
Hongera san bailam
Daa!! Nice job
Alléluia
Mashaallah ❤
Nime ipenda Leo sana 💖💖💖
Mirambo kwenye ubora wake 🤣🤣🤣
Yaah napambana ndugu
😂😂mchungaji 😂😂😂anaishiwa
Yani kuna watu awapendi Amani jaman khaaa mawivu wivu ya nini sasa makelele kwenye nyumba yakazi gani Dada
Bailam ukovzr mwamba💪
Bhailam ni anajua Sana talented
New gabo in bongo movie
Hallelujaaaaaaaaah😂😂😂 pastor bn
kaka nakubali sana unachofanya napenda sana kile unafanya
It's busybee254,,,,watching from kenya
Kaz nzuri sana
🥰🥰🥰🥰🥰
Nimeipenda hii
Bailam Nakupenda sana Leo umekua humble masha Allah
Hii mzee uliua, hakika ujumbe umefika na ni kweli wanawake wengi wamekuwa hivyo.
Good joob
Ahsante
bailam kilio lio
Kaliyaliya leo ka Kauka duh
Kazi mnzuri jamani
Wanawake hawaeleweki kuwa wanataka nn
Bonge 1 la clip
❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏