MAMA WA KAMBO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #bhailam #Khairat#comedyplus#2023#
    For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
    Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
    Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
    Karibu kujiunga na group letu la What's app
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 195

  • @ComedyPlustz
    @ComedyPlustz  Год назад +16

    Karibu kujiunga na group letu la What's app
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/IHI6QLyLTz0JRP4QfAeZCJ

  • @francescafrancesca8901
    @francescafrancesca8901 Год назад +66

    Enyi wapenzi wa Bailam munaofurahishwa na uigizaji wake mzuri na kazi nzuri anayoifanya leteni likes zenu hapa.
    Kaka yetu Bailam,
    wewe ni kipenzi chetu hakika.
    Mungu akupe maisha marefu na hekima.

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Год назад +13

    Mtoto Mtihn kwel Mungu atuepushie InshAllah

  • @ashimdaudi4406
    @ashimdaudi4406 Год назад +10

    Anaweza sanaa

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +9

    Mtoto anajua kulia adi ameniliza mashallhhh mashallhhh mashallhhh 🥰🥰🥰❤️❤️❤️ kazi nzuri bailam

    • @Happy-jc2ms
      @Happy-jc2ms 10 месяцев назад

      Jaman😢😢😢😢😢

  • @مونايشاسعيد
    @مونايشاسعيد Год назад +6

    Wow filamu nzur 💞🥰ila khayrat mamaa umefura bichwa

    • @ndatutv
      @ndatutv Год назад

      AFANDE CHUMVINI, with English subtitle

  • @marie-laurene.
    @marie-laurene. Год назад +10

    Njamani munapaje machozi. Mungu awabariki. 😚

  • @cacynjuguna4070
    @cacynjuguna4070 Год назад +9

    Nawapenda sana ♥️♥️

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +12

    Pole mdogo wangu mama wa kambu wana mambo lakini na watoto muwe na heshima

  • @naumi2302
    @naumi2302 Год назад +4

    Bhailam anakaa serious na kaz yke nkupend San from 🇰🇪🇰🇪

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403 Год назад +2

    Pole sana mtoi mungu hata kutetea

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад +4

    Ongea baba km vipi mpe mama mzazi wa mtoto ajilelee

  • @yobofashion109
    @yobofashion109 Год назад +3

    Fanyeni mtoe kabisa movie kamili mnakipaji sana

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 Год назад +23

    Wanaume muwe mnachunguza kabla ya kufanya maamuzi

  • @josiasmuhindo4500
    @josiasmuhindo4500 Год назад +5

    Nafurahi sana Nawa fata toka kongo

  • @patrickmbaji2737
    @patrickmbaji2737 Год назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 watanzania mbarikiwe🙏🏿

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣mamakhairat anichekesha na macho yako machozi hayatoki 🤣🤣🤣👌👌👌🥰🥰🥰

  • @amosdeo9534
    @amosdeo9534 Год назад +33

    Hawa watoto wa kambo ni Wa kuishi nao Kwa akili sana huwa wanajua kuchonganisha sana

  • @chebetngerechi7289
    @chebetngerechi7289 Год назад +15

    Huyu hailati sidhani ni mtu mzuri,kwa maisha ya kawaida naona ni mbaya tu anavyoigiza.

    • @sophsoph4400
      @sophsoph4400 Год назад +2

      Kwanini umesema ivo

    • @chikaleyangwe2200
      @chikaleyangwe2200 Год назад +1

      unamaanisha nn?

    • @lindauma982
      @lindauma982 Год назад +2

      Jamani hyo ni kuigiza sasa yy anacheza hyo part ya watto wakusukumbua sio vile unafikiria

    • @chebetngerechi7289
      @chebetngerechi7289 Год назад +1

      @@sophsoph4400 sijaona video yake hata moja mzuri,,yeye kama si mchawi,,utapata akiwa mtoto mtundu,..ila natumai ni igizo tu.

    • @chebetngerechi7289
      @chebetngerechi7289 Год назад +1

      @@chikaleyangwe2200 siku zote mtu ujua kuigiza tabia anayoifahamu or she has been through a lot in her real life.i hope she is not a bad girl.they should try to change her role.

  • @akimdollarmusic6304
    @akimdollarmusic6304 Год назад +5

    Khairat ntafadhali Usijaribu Hata Siku moja kuwa Kama Ivo mpenzi wangu

  • @chimwemwenyirenda2417
    @chimwemwenyirenda2417 Год назад +6

    Huyu mwamba anajua sana sio siri

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Год назад +6

    Mtoto hatari sana huyu eee watoto wa kambo yaani ukikumbana na kuishi a watoto wakambo kikubwa ni kumuomba mungu mno

  • @asiabuswelu8042
    @asiabuswelu8042 Год назад +9

    Jmn na part 2 iwep

  • @Wankiba
    @Wankiba Год назад +12

    Kenya loves tz comedies sana

    • @Wankiba
      @Wankiba Год назад

      Safi bc

    • @ndatutv
      @ndatutv Год назад

      AFANDE CHUMVINI, with English subtitle

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад +3

    Hahaaaaa kumbe imesukwa

  • @issamustafa1565
    @issamustafa1565 Год назад +10

    Tanzania ni nchi muhimu sana

  • @kingbiggy870
    @kingbiggy870 Год назад +6

    Kip up

  • @Rajab-Raj
    @Rajab-Raj Год назад +5

    Wewe...wewe...👉👉😂😂😂💪🇰🇪

  • @mickymsukuma138
    @mickymsukuma138 Год назад +6

    Kaka basi umeua hii..... Mbwa Micky Msukuma hapa 😂

  • @alisaida4080
    @alisaida4080 Год назад +8

    I like you bailum.....from Kenya

    • @ndatutv
      @ndatutv Год назад

      AFANDE CHUMVINI, with English subtitle

  • @Gerardirankunda2885
    @Gerardirankunda2885 Год назад +6

    Bba mbon unaongea makavut kumb unakuag mukali🤣🤣🤣

  • @ezibblay
    @ezibblay Год назад +6

    Very nice

  • @syriakendayarengako2736
    @syriakendayarengako2736 Год назад +4

    Wooohh this is so amazing...it's too short film but it has great teachings. Touches my heart....keep it up people you've done great job👍

    • @ndatutv
      @ndatutv Год назад

      AFANDE CHUMVINI, with English subtitle

  • @lamaisambi9096
    @lamaisambi9096 Год назад +2

    Tuombee asante kwasababu tunajifunza vingii

  • @baby_face_
    @baby_face_ Год назад +7

    since I started watching this comedy. it’s get sense. good job

    • @ndatutv
      @ndatutv Год назад +1

      AFANDE CHUMVINI, with English subtitle

  • @abla5171
    @abla5171 Год назад +7

    Maendeleo mazuri ❤

  • @rayfordngali2393
    @rayfordngali2393 Год назад +1

    Mungu abariki ndoa zetu

  • @issamustafa1565
    @issamustafa1565 Год назад +8

    Sometimes wajuba tunafeli sana daaah

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726 5 дней назад

    Mama wa kambo sio mama

  • @uwizeyefider2547
    @uwizeyefider2547 Год назад +3

    Amakuru mashya

  • @saifSaif-yj9uu
    @saifSaif-yj9uu Год назад +5

    Daah watoto aw 🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰

  • @sarataunes
    @sarataunes Год назад +1

    Jaman mungu anakuona we mtoto

  • @metrineokola7730
    @metrineokola7730 Год назад +4

    Part 2 please iko poa sana

  • @YunusHaji-h3l
    @YunusHaji-h3l Год назад +1

    Ni kweli mama huyu anafanya vibaya lakini malipo ni hapa hapa duniani akuna kwingine😢😢😢😢❤❤❤❤😢😢

  • @yasintag
    @yasintag Год назад +6

    Mmmmh huyu mtoto anafanana na bairam sijui ni mwanae kweli??

  • @tomseekenya
    @tomseekenya 7 месяцев назад +1

    Hailati mtoto mzuri

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Год назад +2

    Yaan talaka mpaka wazazi sio 😄 🤣 😂

  • @WachajiWaForo
    @WachajiWaForo Год назад +2

    Nimeipenda sana hii movie maana wanaume hudhani mama wa kambo wote ni sawa. Ila kwa atakaetizama hii movie kwa mazingatio atasoma kotu

    • @Happy-jc2ms
      @Happy-jc2ms 10 месяцев назад

      Wooooo ninzuri sana❤❤❤❤❤

  • @kassimdadi5406
    @kassimdadi5406 Год назад +6

    Bailam 🙏

  • @khayrathahamadi656
    @khayrathahamadi656 Год назад +6

    Khayrath mwenzangu ❣️

  • @prisikachande
    @prisikachande Год назад +4

    nice movies

  • @carolinemahenge1674
    @carolinemahenge1674 Год назад +4

    Nampenda baba lailati namba ake plz😊

  • @Loveness-w3v
    @Loveness-w3v Год назад

    Nimeipenda sana❤❤

  • @monikaestoni-te5bm
    @monikaestoni-te5bm Год назад +2

    Daaa mbaba huyu kwenye matusi ha jambo apunguze matusi

  • @crossmuthui8143
    @crossmuthui8143 Год назад

    Akh stepmothers God is watching

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 8 месяцев назад

    Pole ❤❤❤❤

  • @BedasonSanga
    @BedasonSanga 7 месяцев назад +1

    Iyo nifundisho kwa wote

  • @youngdonmaster2547
    @youngdonmaster2547 Год назад +7

    Hapo kwa kumtukana mama mbele ya mwanae ndio umeharibu kabisa, limit ni muhimu

  • @londeri3756
    @londeri3756 7 месяцев назад +1

    ❤🎉😂❤😊

  • @ErielNanyaro-lk5we
    @ErielNanyaro-lk5we 9 дней назад

    Uyu nae m2umzima hovyo

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 Год назад +3

    Watoto wengine ni maponza hu po nzea licha mama was kambo hata mama mzazi baba Utauponza.

  • @philiponandenga3955
    @philiponandenga3955 Год назад +3

    Hii kazi iko poa sana, lakini inaweza ikaleta mgogoro Kwa kutumia soundtrack ya TAUSI, tuwe Origin.

  • @idamammy6081
    @idamammy6081 Год назад +5

    Bhailam uko swa lakini usitusi mbele ya mtoto Hua wamfunza mabaya

  • @faithmajuma1283
    @faithmajuma1283 Год назад +1

    Nc😍😍😍😍😍

  • @habilbinmwaju-kd4nm
    @habilbinmwaju-kd4nm Год назад +1

    Nikimtizama bailam namuona km mrithi wa Steven Charles kanumba

  • @VirginiaKaime-bq8fe
    @VirginiaKaime-bq8fe Год назад +1

    The tears of this baby girl will follow this mother

  • @mapitotv6837
    @mapitotv6837 Год назад +5

    🇧🇮🤝🤝🤝🇧🇮

  • @gracealfonce3795
    @gracealfonce3795 Год назад +3

    Ila wee mtt Mungu anakuona

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب Год назад +1

    Mwendelezo jamani

  • @rehemarehema8313
    @rehemarehema8313 Год назад +3

    Yan m sna mda wakujbizana Na mtoto wa mtu yan naamka nafanya kila kitu atajua mwenyewe Na babaake

  • @CorolyneMacha-ye4bt
    @CorolyneMacha-ye4bt Год назад

    Daah co pw

  • @nairabebie-mn9nz
    @nairabebie-mn9nz Год назад

    Tamu sana

  • @pendopeter4058
    @pendopeter4058 Месяц назад

    Akina baba mchunguze san watot mtaacha wa awake san

  • @NgarukoNoëlla
    @NgarukoNoëlla 2 месяца назад

    Baba bora kabisa

  • @ElinaStevenuisso-kz2qf
    @ElinaStevenuisso-kz2qf 3 месяца назад +1

    We matako

  • @maroajames2580
    @maroajames2580 Год назад +12

    You guys need to go for television series, you do a very great job, i had the same case,but God is faithful i didn't kicked out my current wife. This video clip has really reminded my daughter Naomi. For this inspiring and memorable clip you've earned my subscription🙏❤️❤️

    • @ComedyPlustz
      @ComedyPlustz  Год назад +3

      🙏🙏🙏

    • @ndatutv
      @ndatutv Год назад +2

      AFANDE CHUMVINI, with English subtitle

  • @annebeiby7507
    @annebeiby7507 Год назад +2

    Mtoto wa Kambo Ata umpe ni utaniwa unamtesa too

  • @zulekhaaisha1314
    @zulekhaaisha1314 Год назад +2

    Mtt wamwezio niwamwezio tu ata ufanye jema gan bado utaonekana mbaya duuh

  • @DORCASKWIZERA-c7u
    @DORCASKWIZERA-c7u Год назад

    Huyu mtoto namnona ndani mwanangu kbx ukawushi wot ni yéyé. Wanawume muw munacunguza ngambo zot . Nawapnda watanzania . Kwa film mungali number one

  • @prezgal8869
    @prezgal8869 Месяц назад

    Nashukuru watoto wa kambo niliowakuta wananiheshimu kama nimewazaa mimi. Bila mimi kusema kua sio wanangu basi watu hawawezi jua

  • @znaqmumeja2678
    @znaqmumeja2678 Год назад +1

    nakubar filam zenu kulio hata bongo move, wanamashauzi mengi kazi mbovu, mara waige Nigeria mara kongo, uzungu mungi ujumbe zero

  • @bhokewarioba3224
    @bhokewarioba3224 Год назад +3

    Hailaty unaboa

  • @Kinglove-g4p
    @Kinglove-g4p 2 месяца назад

    ❤kweli ninzuri

  • @Dieumerci14
    @Dieumerci14 3 месяца назад

    Dieumerci

  • @yuui1878
    @yuui1878 Год назад +6

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞👌👌👌👌👌👌

  • @MutonyiMariam-u1z
    @MutonyiMariam-u1z Год назад

    Ubarikiwe kwa kazi nzuri❤❤❤

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 Год назад +2

    Nimekuwa wa 9

  • @MIRIAMANDREW-x1t
    @MIRIAMANDREW-x1t 22 дня назад

    Apana mm naondoka mbona dunia pana aloooo

  • @mumbabies7068
    @mumbabies7068 Год назад +2

    Hufai kumtusi mwanamke wako mbele ya mtoto maana mwana hatakua na heshima hata kidogo,,,wanaume jifunze hilo.

  • @buritya6125
    @buritya6125 Год назад +3

    Sisi wamama jaman

  • @lamaisambi9096
    @lamaisambi9096 Год назад

    Daaa Mungu kwanza

  • @salusimosi1504
    @salusimosi1504 Год назад

    Salum

  • @sadahussein7152
    @sadahussein7152 Год назад +2

    Jamani hawa watoto narudia hawa watoto watu wawe makini tu mnaeza kugombanishwa adi basi

  • @marie-laurene.
    @marie-laurene. Год назад +7

    🤣🤣🤣🤣

  • @NimahNchina
    @NimahNchina Месяц назад

    Ukweli ni kwamba Kila mama alee mtoto wake akiwa bado hajafa hakuna mtu atakaeonekana mzuri kwa kulea mtoto wa mwenzie hata siku moja hivyo wanawake kataeni watoto wa kambo itawasaidia kwenye maisha yenu hata kama ni mwanao huwezi mnyima mafunzo na fimbo lazima zipite bila hivyo hakuna malezi bila maelekezo na mafunzo kwa mtoto wa kambo huo ni uonevu Bora Kila mwanamke alee mwanae😊

  • @maryamididi-wt5ct
    @maryamididi-wt5ct Год назад +2

    je ume jifunza nini katika igizo hili? ( enyi mlio amini ,ikikujieni habari kutoka kwa mtu ichunguzeni msije kufanya mambo kwa ujinga kisha mkaja kujutia kwa mlio yafany)

  • @malombemunyithya9341
    @malombemunyithya9341 Год назад +2

    Huyu mbona kama mwanae kweli

  • @heritierkasereka592
    @heritierkasereka592 Год назад +3

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩✊✊

  • @ashaamran4879
    @ashaamran4879 Год назад +1

    Khailati fanya urudi tule vyuma

  • @HABIBASAID-y7l
    @HABIBASAID-y7l 2 месяца назад

    ❤❤