MAMA WA KAMBO
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- #bhailam #Khairat#comedyplus#2023#
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Karibu kujiunga na group letu la What's app
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... - Приколы
Karibu kujiunga na group letu la What's app
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/IHI6QLyLTz0JRP4QfAeZCJ
Wageni tunaruhusiwa kujiunga?? Au ni watanzania tu 🤔🤔🤔
@@nclaud.n9101 watu wote
muache kulegeza watoto
Mmeweka link ya group la whtsp mbona haifunguki
@@nclaud.n9101 😂😂😢😮😅
Enyi wapenzi wa Bailam munaofurahishwa na uigizaji wake mzuri na kazi nzuri anayoifanya leteni likes zenu hapa.
Kaka yetu Bailam,
wewe ni kipenzi chetu hakika.
Mungu akupe maisha marefu na hekima.
Tupooo
Anajua kuufanyia kaz uhusika
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
Nawapenda bure fanyeni mpango mtoe SRS
Mtoto Mtihn kwel Mungu atuepushie InshAllah
Anaweza sanaa
Mtoto anajua kulia adi ameniliza mashallhhh mashallhhh mashallhhh 🥰🥰🥰❤️❤️❤️ kazi nzuri bailam
Jaman😢😢😢😢😢
Wow filamu nzur 💞🥰ila khayrat mamaa umefura bichwa
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
Njamani munapaje machozi. Mungu awabariki. 😚
Nawapenda sana ♥️♥️
Pole mdogo wangu mama wa kambu wana mambo lakini na watoto muwe na heshima
Eti mama wa kambu 🤣🤣🤣🤣🤣
@@neemamzande8547 umeona eeeh mama w kambu 😂😂😂
Bhailam anakaa serious na kaz yke nkupend San from 🇰🇪🇰🇪
Pole sana mtoi mungu hata kutetea
Ongea baba km vipi mpe mama mzazi wa mtoto ajilelee
Fanyeni mtoe kabisa movie kamili mnakipaji sana
Wanaume muwe mnachunguza kabla ya kufanya maamuzi
Nafurahi sana Nawa fata toka kongo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 watanzania mbarikiwe🙏🏿
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mamakhairat anichekesha na macho yako machozi hayatoki 🤣🤣🤣👌👌👌🥰🥰🥰
Hawa watoto wa kambo ni Wa kuishi nao Kwa akili sana huwa wanajua kuchonganisha sana
]00s
@@amosdeo9534 uko bifu sana
Huyu hailati sidhani ni mtu mzuri,kwa maisha ya kawaida naona ni mbaya tu anavyoigiza.
Kwanini umesema ivo
unamaanisha nn?
Jamani hyo ni kuigiza sasa yy anacheza hyo part ya watto wakusukumbua sio vile unafikiria
@@sophsoph4400 sijaona video yake hata moja mzuri,,yeye kama si mchawi,,utapata akiwa mtoto mtundu,..ila natumai ni igizo tu.
@@chikaleyangwe2200 siku zote mtu ujua kuigiza tabia anayoifahamu or she has been through a lot in her real life.i hope she is not a bad girl.they should try to change her role.
Khairat ntafadhali Usijaribu Hata Siku moja kuwa Kama Ivo mpenzi wangu
Huyu mwamba anajua sana sio siri
Mtoto hatari sana huyu eee watoto wa kambo yaani ukikumbana na kuishi a watoto wakambo kikubwa ni kumuomba mungu mno
Jmn na part 2 iwep
Kenya loves tz comedies sana
Safi bc
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
Hahaaaaa kumbe imesukwa
Tanzania ni nchi muhimu sana
Kip up
Wewe...wewe...👉👉😂😂😂💪🇰🇪
Kaka basi umeua hii..... Mbwa Micky Msukuma hapa 😂
Hello
Yes!!!
I like you bailum.....from Kenya
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
Bba mbon unaongea makavut kumb unakuag mukali🤣🤣🤣
Very nice
Wooohh this is so amazing...it's too short film but it has great teachings. Touches my heart....keep it up people you've done great job👍
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
Tuombee asante kwasababu tunajifunza vingii
since I started watching this comedy. it’s get sense. good job
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
Maendeleo mazuri ❤
Mungu abariki ndoa zetu
Sometimes wajuba tunafeli sana daaah
Mama wa kambo sio mama
Amakuru mashya
Daah watoto aw 🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰
Jaman mungu anakuona we mtoto
Part 2 please iko poa sana
Ni kweli mama huyu anafanya vibaya lakini malipo ni hapa hapa duniani akuna kwingine😢😢😢😢❤❤❤❤😢😢
Mmmmh huyu mtoto anafanana na bairam sijui ni mwanae kweli??
Hailati mtoto mzuri
Yaan talaka mpaka wazazi sio 😄 🤣 😂
😂😂😂😂😂yaone nww
Nimeipenda sana hii movie maana wanaume hudhani mama wa kambo wote ni sawa. Ila kwa atakaetizama hii movie kwa mazingatio atasoma kotu
Wooooo ninzuri sana❤❤❤❤❤
Bailam 🙏
Khayrath mwenzangu ❣️
Ucwe tu na akili kama zake
nice movies
Nampenda baba lailati namba ake plz😊
Nimeipenda sana❤❤
Daaa mbaba huyu kwenye matusi ha jambo apunguze matusi
Akh stepmothers God is watching
Pole ❤❤❤❤
Iyo nifundisho kwa wote
Hapo kwa kumtukana mama mbele ya mwanae ndio umeharibu kabisa, limit ni muhimu
Wanaigiza lakini sio really
Kweil I didn’t like that limit
Sio wao Kuna wanaume wanamna hio
Ayo ni maigizo sio kwel
❤🎉😂❤😊
Uyu nae m2umzima hovyo
Watoto wengine ni maponza hu po nzea licha mama was kambo hata mama mzazi baba Utauponza.
Hii kazi iko poa sana, lakini inaweza ikaleta mgogoro Kwa kutumia soundtrack ya TAUSI, tuwe Origin.
Bhailam uko swa lakini usitusi mbele ya mtoto Hua wamfunza mabaya
Nc😍😍😍😍😍
Nikimtizama bailam namuona km mrithi wa Steven Charles kanumba
The tears of this baby girl will follow this mother
🇧🇮🤝🤝🤝🇧🇮
Ila wee mtt Mungu anakuona
Usiseme ivyo maigizo tu
Mwendelezo jamani
Yan m sna mda wakujbizana Na mtoto wa mtu yan naamka nafanya kila kitu atajua mwenyewe Na babaake
Daah co pw
Tamu sana
Akina baba mchunguze san watot mtaacha wa awake san
Baba bora kabisa
We matako
You guys need to go for television series, you do a very great job, i had the same case,but God is faithful i didn't kicked out my current wife. This video clip has really reminded my daughter Naomi. For this inspiring and memorable clip you've earned my subscription🙏❤️❤️
🙏🙏🙏
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
Mtoto wa Kambo Ata umpe ni utaniwa unamtesa too
Mtt wamwezio niwamwezio tu ata ufanye jema gan bado utaonekana mbaya duuh
Huyu mtoto namnona ndani mwanangu kbx ukawushi wot ni yéyé. Wanawume muw munacunguza ngambo zot . Nawapnda watanzania . Kwa film mungali number one
Nashukuru watoto wa kambo niliowakuta wananiheshimu kama nimewazaa mimi. Bila mimi kusema kua sio wanangu basi watu hawawezi jua
nakubar filam zenu kulio hata bongo move, wanamashauzi mengi kazi mbovu, mara waige Nigeria mara kongo, uzungu mungi ujumbe zero
Hailaty unaboa
❤kweli ninzuri
Dieumerci
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞👌👌👌👌👌👌
Ubarikiwe kwa kazi nzuri❤❤❤
Nimekuwa wa 9
Apana mm naondoka mbona dunia pana aloooo
Hufai kumtusi mwanamke wako mbele ya mtoto maana mwana hatakua na heshima hata kidogo,,,wanaume jifunze hilo.
Sisi wamama jaman
Daaa Mungu kwanza
Salum
Jamani hawa watoto narudia hawa watoto watu wawe makini tu mnaeza kugombanishwa adi basi
🤣🤣🤣🤣
Ukweli ni kwamba Kila mama alee mtoto wake akiwa bado hajafa hakuna mtu atakaeonekana mzuri kwa kulea mtoto wa mwenzie hata siku moja hivyo wanawake kataeni watoto wa kambo itawasaidia kwenye maisha yenu hata kama ni mwanao huwezi mnyima mafunzo na fimbo lazima zipite bila hivyo hakuna malezi bila maelekezo na mafunzo kwa mtoto wa kambo huo ni uonevu Bora Kila mwanamke alee mwanae😊
je ume jifunza nini katika igizo hili? ( enyi mlio amini ,ikikujieni habari kutoka kwa mtu ichunguzeni msije kufanya mambo kwa ujinga kisha mkaja kujutia kwa mlio yafany)
Huyu mbona kama mwanae kweli
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩✊✊
Khailati fanya urudi tule vyuma
❤❤