Mimi Tangu nilipo mjua huyu Mzee Kakoso, sijui kama kashaniroga 😁❓ Napenda Sana kazi Zao, hali ambayo inapelekea hata majirani kunichukia From DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Fist job bro !! my name is Antony am from Kenya. Nigependa kujiuga na nyinyi. I do art please niambie venya tunaeza geuza number zetu please Broo shwala na malipo mimi sitaki mimi boro tuh umenipea chakula na mahali ya kulala basi inatosa please
Ataka Kenya tuko na MAANDAMANO but tunawafatilia sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ndio sisi sasa😂
Atamoja tu Léo mimi ni wakwaza
Umeomba mmoja ukapata 16 nipunguzie pia ❤❤❤😂❤❤❤❤
Kazi nzur kk jiandae na mwasi atakuelewa kweli yangumacho all in all congratulations ❤❤.. 13:14
Kazi nzuri sana... Ila episodes fupi sana
Nilipo ona status tu nikakimbilia RUclips nusu nivunje miguu❤🎉
Umetisha
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo
Umefanya vema sana kuendelea kutumia majina yaleyale ya waigizaji wako congratulations to you.
Kakoso nige penda kukuliza Swali je mtu anaweza pata nafasi ya kugiza
Director tunaomba sana hii movie usiiachie njiani tunaomba uimalize
Daah jaman atalike moja tu
Una shba
🧭🤳 Nimewahi kufika Leo mwenzenu kutoka Msumbiji 🇲🇿 Mkoan Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa ❤️
Kazi nzuri Kakoso
Wa kwanza tena from drc na dunia nzima
Kakoso mujanja sna
Cascadeur
Kipara unaharibu move na kingereza chako cha hovyoo
😂😂😂😂 m napenda
Dah! Sjui kwanin anaamua kujidharirisha😢
@@user-bj1vr5sl7f anazinguaa bhn inakua comedy
Kabisa
😂😂😂
Unyama ni mwingi 🎉🎉
Ila kipara kingereza chake mie hoi😂😂😂
Kipara vipi.umbea umeacha skuizi lol 😂😂
Kazi kazi mjomba 💪🏻🙏🙏💪🏻
Kipara acha kutudanganya na kingereza chako 😂😂😂😂
Mwasi ana kababy face mashaallah ❤
Hiv mnaelewa kidhungu cha kipara kweli😂😂
Safi sana ila Jamani musicheleweshe muendelezo.
SEMA kingereza cha kipala daaah 😂😂😂
Akina kakoso mnajua tu kutongoza kuoa Aaah sasa mwasi kakuweza😅naipenda team yenu mko vizuri
kipara my learned friend 😂😂😂😂😂😂😂
Mmbo imechmka mgaga tu yuwalia kisa mapnz vp mm ambae xna usaidizi wwte 😂😂😂😂😂kaz nzr xna🇰🇪
Mwasi ni bin-ti mrembo sana laiti ningelikuwa mtanzania ningelimutembeleya nimpesalamu nanimuelezee hisiya zangu❤😊
Waacha wee😂
Kipara kingereza kimemkataa kabisaa😂😂😂
the english is englishing mr kipara yagalby😂😂😂am here for you❤❤❤❤❤
Kazi nzuri bro mbwela yupo wapi
Kazi nzuri mkuu hii ni zaidi ya 🔥🔥🔥 kwa wale wajanja wanaelewa
Kipara una Kijiji chako kakingereza Ako Ako tembea nako
Which is which kipara boya kweli
Sengo akinywa pombe na ana nifanyaka mbavu kuluma na vicheko😂😂😂
Kingereza cha kipara kwani kasemaje pale
Kakoso hii movie kali sana
Watching from Kenya 🤗
Nipee likes zangu mwana ruto😢😂
Kaz nzur 🎉🎉🎉
Kipara acha kukoroga kingereza hivo😂
Hahahhahaha kipara umbea kaachaa😂😂😂😂
Jamani nampenda mwasi ❣️❣️
Much love from saudi ❤❤❤❤
Tam sana kipara 😂😂😂😂😂🎉
Kingereza cha kipara tu mie hoi
hongera sana mwasi
Natka kuoa Mwasi
Kipara usitumiye kizungu unaharibu
Iko safi sana
Mwasi mzur sna
Nimeipenda
Kakoso ana chiti😂😂
😢
Kazi kali sana
kazi nzuri ingawa ni fupi sana
Ila kipar umbea uachi😂😂😂
Sijazoea kuona kipala akiwa serious hizi.. nimemzoea na ubea 😂
Yaan hapa kapoa kweli umbea ameacha so michongo yake
Nimeogoja snaa Wacha Wacha na shebele shebele sengo
Asa hivi mnapenda kutumia kingeleza kibovu kila muvi jamani why
Nice
Ila punguzeni makele
Naeza taka kuigiza kama utojali kakoso
dadekii kiparaa lasi simbaa naonaa kafanyaaa kaziii kweliii brooo manaaa unaaa tunyoooshaa
Nice movie❤
Wa 6 wow😂
4 please
Hongera team kakoso👊
Fireee🎉🎉🎉🎉
𝕂𝕚𝕡𝕒𝕣𝕒 𝕟𝕒𝕜𝕦𝕡𝕖𝕟𝕕𝕒 𝕙𝕚𝕔𝕙𝕠 𝕜𝕚𝕫𝕦𝕟𝕘𝕦 𝕦𝕥𝕒𝕟𝕚𝕗𝕦𝕟𝕕𝕚𝕤𝕙𝕒
Munguu azidii kukulindaa kakoso uzidii kutuuu letea vituu vilivyooo bolaaa
Mnachelewesha kuweka vipande
hakika mwasi mrembo sana
Jaman kakoso kama kuna nafas tupo uku nass jaman tunavipaji
Karibu
Ila Kingereza Cha Kipara😅
Weee kipara jina lako halisi.ni nani
Hii qali
Jamani mwasiiii
Jamani mnatunyima raha dakik ndog san
Kipara mbea😂😂
Mimi Tangu nilipo mjua huyu Mzee Kakoso, sijui kama kashaniroga 😁❓
Napenda Sana kazi Zao, hali ambayo inapelekea hata majirani kunichukia From DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
A you nn kipara😂😂
Dakika chache sana bana Fanya hata 20
Woyooooo🎉🎉🎉🎉
Oyaa we kipara kuwa serious acha kuongea kingeleza kidicho na maana ukitaka ongea ukweli watoto wanajifunza kupitia nyie
Kipara your the best😅😅❤
good job
ila kipara jmn unatisha sana
Hamna movi apa ata aivutii
😂😂mganga kateswa na mapenzi na yy
Kama mganga kateswa na mapenzi wew ni nani usteswe na hayo mapenzi
@@user-dz4pz3oz8f 😂😂
Fist job bro !! my name is Antony am from Kenya. Nigependa kujiuga na nyinyi. I do art please niambie venya tunaeza geuza number zetu please
Broo shwala na malipo mimi sitaki mimi boro tuh umenipea chakula na mahali ya kulala basi inatosa please
Ukipata hii ujumbe tafathali niogelese tuh please nakuomba
😂😂😂😂😂😂Wewe na kakoso agenda zenu ni wanawake 😂😂😂😂😂
Leo mnatunganya picha na sauti haziendani
Mwakatobe inafaa aingie kwenye move hii
🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮
Usisahau kuweka English subtitles hapo chini kwaajili ya watu wasiozungumza kiswahili.
Parte 4
❤❤❤🎉🎉🎉
🙏🙏🙏❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮
Which is which