KAULI YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YAZIDI KUZUWA TAHARUKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2024

Комментарии • 2

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 9 часов назад +1

    Jeshi la polisi linahusika asilimia mia moja kwa sababu mtekwaji sativa alisema alipeleka kituo Cha polisi oyster bay kawekwa kwenye karakana ya polisi oyster bay jioni walikuja kumfuata na baadae wakaenda kumfanyia huo unyama waliofanya Kila sehemu watu wametekwa tumesikia singida, Tanga,Dar es salaam, shinyanga,tarime na Kila Kona ya nchi hii nafikiri tatizo ni jeshi la polisi na waziri wa mambo ya ndani ya Nchi Hamadi masauni atakuwa anajua watekaji na baadae tunaona Rais anasema anatoa milioni 35 ya matibabu badala ya kusema wale waliofanya uhalifu huo wakamatwe

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 9 часов назад

    Matukio mengi ya mauaji na utekaji nchi hii hakuna cha wasiofahamika, wote wanafahamika, na hapa polisi mjitafakari.